UKWELI WOTE KUHUSU HOSPITALI YA SHIFAA WAEKWA WAZI | MWANZO MWISHO KILICHOTOKEA

Tazama Kalima ya Sheikh Salim Barahiyan baada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Ansaar. Alielezea historia ya Hospitali ya Shufaa na safari yake hadi kufungwa na hatimaye ushindi dhidi ya wavamizi wa hospitali hiyo. Usikose kusikiliza kalima hii ya kusisimua!
Tarehe: 27/10/2023
Mahali: Msikiti wa Ansaar, Barabara ya 19

Пікірлер: 28

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,mazungimzo yako na mjane umati Muhammad tumeusikia tunawaombea Allah awape subra katika kipindi hiking kigumuishaallah

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33158 ай бұрын

    ,Hana hata sindano alhamdullilah Allah shahid

  • @raziaiddi7743
    @raziaiddi77439 ай бұрын

    Alhamdulillah tunamshukur kwakufunguliwa hiyo hospital yetu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33158 ай бұрын

    ,haki haipotei inacheleewa na Allah Yuko pamoja na wanaozulumiwa lnshaa Allah kweli itazihiri kwa uwezo wake asiye kuwa na mshirika

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21889 ай бұрын

    ASALAM Alaykum warhmatunllah wabarakatuh. SHEKH TUNAUTAKA MSIKITI .😕😕WETU WAPONWE.ulioko kwenye mikono ya hizbi QASIMU MAFUTA. TunUtAkA haraka saana

  • @safiaothman5175
    @safiaothman51759 ай бұрын

    Wallahi sikuandika kwamba mmemhonga judge shs.75 elfu. Allah ndiye shahiid.

  • @hemedalli4073
    @hemedalli40738 ай бұрын

    HAKI HAIZAMI TAKBIR TAKBIR TAKBIR TAKBIR TAKBIR ALLAH AKBAR

  • @mohabdi5789
    @mohabdi57899 ай бұрын

    Sheikh jikite kwenye hoja yako ya hospital mambo binafsi ya MTU sio raia wa Tanzania si vizuri kumtangazia humu,

  • @universitylink
    @universitylink9 ай бұрын

    Duh hatari sana atakuwa alishawishiwa nankuambia pengine mumewe ni katika share holders ndio maana amekuja

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315Ай бұрын

    ,,haki ya marehem inawatafuna Inawatafuna mtapanga na kupangua tufanye ama vile na bado akhera kwa Hakim haki

  • @safiaothman5175
    @safiaothman51759 ай бұрын

    BIIDHNILLAH ITARUDI KWA MJANE KAMA SI LEO HAPA DUNIANI ATALIPWA HAKI YAKE KESHO AKHIYRA,AAMIIN.

  • @abasishayo3232

    @abasishayo3232

    9 ай бұрын

    Kwani kashindwa nn kuleta vielelezo km nibhakki yake...??? au kwakua ni mjane apewe tuu hata km c haki yake...???

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    9 ай бұрын

    Safia othmani acha ushabiki ww ALLAH akuongoze

  • @hassanmsuo2015
    @hassanmsuo20159 ай бұрын

    Mashalwah, shekhe kabisa

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21889 ай бұрын

    NAAM SHEKH WETU KIPENZI CHETU SALIMU BARAKHYANI ALLAH AMUHIFADH. TUNAUTAKA MSIKITI WA PONGWE YULE MSHENZI HIZBI QASIMU MAFUTA. ()HATUMPENDI KWA AJIRI YA ALLAH() TUNATAKA ♥ 🙏 HIYO MALI ZA KIHIZBIYA WAO SIWANATUITA MAHIZIB BASI WASUTUMIE NA HUO MSIKITI MAAN NIWAKIHIZB..

  • @Abuumuqbil4994

    @Abuumuqbil4994

    9 ай бұрын

    Abas pazia nkuta Tena abas pazia wewe hswa ni kuulize shk kassim bin mafuta kakufanya Nini hbu ongea vitu kwa hoja wewe ndio hizbiya mkubwa

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    9 ай бұрын

    @@Abuumuqbil4994 Qasimu mafuta naww ndiyo mahzibya wakubwa nawachukia kwa ajiri ya ALLAH na mutashindwa tu na uhizbya wenu maan nyie ndiyo kikundi kabisaa

  • @Abuumuqbil4994

    @Abuumuqbil4994

    9 ай бұрын

    @@abbaspaziaog2188 wacha jazba abasi pazia nkuona tu kwenye mitandao uki comment haki Sasa imebainika wewe mtusi shk lkini walio wengi wampenda Sasa bin mafuta wewe hribu mb zko lkini hta kusoma pengine hujui lkini tu ndio hivyo so be care sw

  • @user-tm2ng8fw4k

    @user-tm2ng8fw4k

    9 ай бұрын

    Unamshabikia zalim kama unampenda basi mnasihi awache zulma mwambie amrudishe mohammed singo kiwanja chake

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    9 ай бұрын

    @@user-tm2ng8fw4k una ushahidi gani harafu badala yakuaema watu wapeane naswaha wawe kwenye manhaj salafi kisaw saw ww unawaza mambo ya kidunia tu . ALLAH atuongoze maan wengi tumekalia ushabiki nimpende mimi kwani nitazikwa nae

  • @yusraahmed247
    @yusraahmed2479 ай бұрын

    Loh

  • @yusraahmed247

    @yusraahmed247

    9 ай бұрын

    Inshaallah

  • @safiaothman5175
    @safiaothman51759 ай бұрын

    Dr.Nuria ni mtoto wa dada yangu wa Baba na Mama mmoja itakuwaje eti kanihonga kama mnavyodai ili niseme ukweli . Biidhnillah hospital itarudi kwa mjane, Aamiin.

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    9 ай бұрын

    Yani kumbe wewe unatetea damu sio haki?

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    9 ай бұрын

    Na hata ukihongwa utatoa ukweli upi na ukweli ushatolewa na mahakama

  • @dj_ha17-ux6st

    @dj_ha17-ux6st

    8 ай бұрын

    kuwa makini na haki za watu ..wahusika ndio wanajua acha ushabiki kwenye haki za watu@@Omar_Abdulrahim

  • @dj_ha17-ux6st
    @dj_ha17-ux6st8 ай бұрын

    mcheni Mola wenu mpeni mjane haki yake kabla ya siku ambayo hamtaweza tena kuirudisha sababu miamala haitakuwa kwa Dinari wa Dirham

  • @Omar_Abdulrahim

    @Omar_Abdulrahim

    8 ай бұрын

    Haki ipi unaweza kuleta ushahid?

Келесі