JE, UNAJUA UNAWEZA KUWAPANDISHA DARAJAWAZAZI WAKO WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI? - MUHADHARA
JE, UNAJUA UNAWEZA KUWAPANDISHA DARAJAWAZAZI WAKO WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI? - MUHADHARA
MASJID QIBLATAIN ( KARIAKOO - DAR ES SALAAM, TANZANIA)
MUBASHARA KUANZIA SAA 12:45 JIONI_IN SHA ALLAH
NA_MHADHIRI WA KIMATAIFA SHEIKH NURDEEN KISHK
KZread: / @kishkionlinetv
Facebook: / sheikhnurdinkishki
Twitter: / sheikh_kishk
Instagram: / sheikh_nurdeen_kishk
Пікірлер: 135
Allah awawek wazazi wetu awajaz afya na siha njema nasi allah atuzidishie zaid kua wototo wema kwa, amiin amiin amiin
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Allahumma Amiin yaa Rabb
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
Allahummah Amiin ya Rabbil Allamin habibty #rahmaally hujambo
@rahmaally5128
2 жыл бұрын
@@user-ws9ek8dj5n alhamdulillah hope nawe u r doing ok
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
@@rahmaally5128 Alhamdulillah i thank ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA am doing fine too my dear
@rahmaally5128
2 жыл бұрын
@@user-ws9ek8dj5n masha Allah gud 2 hear
Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANAHU wa TA'ALA
Alhamdullilah Allah akujaalie kheir ya Dunia na Akheira ww na wazazi wako na wangu na wa ummaty Mohammad swallallwahu a3lyhy wassallam.Amin
@rahmaally5128
2 жыл бұрын
Amiin amiin amiin
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
Aamin yaarab
@aminakaruwa206
2 жыл бұрын
Amyn Yaa Rabby🤲
Shukuran sana sheikh jazzaka Allah heli Allah akulipekilaheli in shaallah
Subhanallah. Yarabi Wahurumie wazazi wetu kama walivotuhurumia tukiwa watoto wadogo
@ramadhaniamour4834
2 жыл бұрын
Amin
@rusirusi771
2 жыл бұрын
@@ramadhaniamour4834 ameen thumma ameen
@mamymdogomamy3670
2 жыл бұрын
Allahumma aamin yarrab
@mariamathumanndugu5039
2 жыл бұрын
Aamin
Jazakallah khayran
Subhanaallah Allah atuongonze kwahaya in shaallah
Mash Allah tabarak Allah feeq, Jazzak Allah kheri shekhe.
Ma sha Allah Tabaraqa Allah. Shukran ustadh.
Allah akuifadh sheikh wetu
Shukran sheihk kwa kutukumbusha na hili wengine tulikuwa hatujui maana yake Allah akujalie umri mref ili uzid kutukumbusha amiin
Mashaallah tabarakallah skeikh Kishki
Amin amin amin
Maa shaa Allah
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH habibty #khadijaali
subra ngumu lkn ina malipo ya rabbi tujaalie tuwe miongoni mwa wenye kufanya subra amiin
Ahsante sheikh wetu kwa kukutumbusha Allah akulipe kila la kheri na akupe umri mrefu tuzidi kuelimika
Subhannallah Allah tujaalie tuwe wenye kuwathamini wazazi wetu na kuwatendea wema
@aminakaruwa206
2 жыл бұрын
Amyn Yaa Rabby 🤲
@mariamathumanndugu5039
2 жыл бұрын
Aamin
Masha Allah jazaka Allahu lkhair unamawaiza mazuri sn natamani darsa lako nilete watoto wng ila nipo mbali sn
Jazakumullah kheir, Allah akuzidishie elmu uzidi kutuelimisha🤲
Alah akuzidishie umri akuhifadhi hapa duniani na kesho akhera tuwe pamojja na Wazazi wetu aamin
Alhamdulilah, shukran. Allah akupe kila la kheri duniani na kesho akhella
Jazakalahu kheir 🙏
MashaAllah Allah akuhifadhi sikuzote akupe darja ya Pepo ya juu na atupe na Sisi
MASHA ALLAH
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh habibty gulby umeamkaje leo
@rehemasalim4590
2 жыл бұрын
@@user-ws9ek8dj5n waalaykum msalam waramatullah wabarakatu Alhamdhulilah sijui nawe
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 Alhamdulillah kwangu kwema pia ya ukty
@zainabmaulidi9846
2 жыл бұрын
@@user-ws9ek8dj5n Waalykum salaam Warhamatulah wabarakatuh Alhamdulilah Hof kwak mazedzed wang
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
@@zainabmaulidi9846 Alhamdulillah nashukuru mi mzima habibty wangu
Wa'leykum salam warahmatullah wabarakatuh Alhamdullilah. Barakallahu fik
shukrani sheikh Allah akupe mwisho mwema na waslam wote amin Ya Rabbi
@Matari-Matari
2 жыл бұрын
Jazaakallaahulkhayra
@tatunjenje5365
2 жыл бұрын
Amiin
Jazakalahu kheir
Allah atujalie tuwe wenye kiwaombea dua wazazi wetu na kiwatolea sadaka inshallah
Leo nimefurahi kujuwa jitihada yng juu ya duaa na swadaka zngu Kwa Marehemu wazazi wngu zinawafikia na Allah awapandishe Darja juu zaidi wakae na Amani na waniombee nami msamaha na wawe radhi juu yng kwani nami nataka msamaha wao mbele ya Allah. Jazakallahu Khair Amin
@abuialmarjibi979
Жыл бұрын
Amin yaarab
Haaaaaa!! Alhamdulillah kwa ukumbusho Allah akuifadhi Nimepata elimu kubwa sana
Sheikh Allah akupambe kwa swiha njema ajalie pepo ndio makazi yako na waumin wote
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin
@salmaalkyumi6030
2 жыл бұрын
Allahumma Ameen 🤲
Rabighfirly waliwali dayni warhamhumakamarabayani swaghira 😭😭
Yaa Rabbi tujaalie tuwe wenyekuwatendea wema wazazi wetu Aamiin
@latifaali5874
2 жыл бұрын
Aaamyn
Allah Akbryy
YaaAllah tuongoze katika njia njema
Asalam alaykum waramatulah wabarakatuh shukurani 🙏 ♥️ mungu awalipe mema mashaallah 🙏 ♥️ Allah akibaru mungu atujaliye mwisho mwema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
MAASHAALLAAH ,SHEIKH WETU ALLAAH AKUPE UMRI MREEFU WENYE MANUFAA KTK DUNIA NA AKHERA YAKO NA ALLAAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@yahyandalama2741
2 жыл бұрын
Maashaallah sheikh wetu kishk
@jasminhassan6971
2 жыл бұрын
Allah Humma Aamiin
M/Mungu atujaaliye tuwe kati ya mashahidi waja wema amin.
Salaam 🙏 Mashaallah Tabarak Allah 🤲 Shehe wetu kipenzi chetu💖 more ❣❣from 🇰🇪🇰🇪 Barak Allahu Fiiq🤲
🇴🇲🇴🇲 shekhe Allah akujaalie umri mrefu afya njema furaha itawale maisha Yako pamoja na wazee wangu Insha Allah, mada nzr shukran sana
Mashaallah
M/Mungu atujaaliye tuwe miongoni mwao amin.
Subhanallah Allah atuhifadhi yarabi,shukran sana sheikh wetu.
Yaa rabbi hatujalie tuwafanyiewema wazazi
Shukran sheikh wetu barraka allahu feek yaarabi akupe umri twawillah uzidi kutuelimisha mawaidha100%100
Allahumma Swali Alaa Habibi Muhammad Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Mawaidha mazuri tutazidi kuwaombeya kilasiku Shukran kwakuzidi kutuelimisha mengi mema Allahumma Amiiin
Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh maasha ALLAH tabaraka ALLAH sheikh #nurdeenkishk MWENYEZI MUNGU akuhifadh akupe nguvu na ujasiri wa kuilingania Dini ya Haki kiukweli tunafaidika Ummah mzima atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema sote
@zainabmaulidi9846
2 жыл бұрын
Allahumma Amiiin Amiiin Amiiin
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
@@zainabmaulidi9846 amiin ya Rabbil Allamin habibty
@zainabmaulidi9846
2 жыл бұрын
@@user-ws9ek8dj5n Amiiin
@sakinat2527
2 жыл бұрын
Amiin Amiin Amiin
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
@@sakinat2527 amiin ya Rabbil Allamin habibty last born vipi hali yako
Aslm alkm ww..... Shukran Sheikh. Allah akupe mema duniani na akhera. Jazakallah kheir 🙏
Shukrani shelkh mashaAllah
Jazaka llahu L kheir 💐
Safi San shekhe
JazakAllah, Allah atujaalie wenye kuwakumbuka wazazi wetu
Allah Akulipe kwa ilm nakutuelimisha
Masha'Allah sheikh wetu nataman ningekuwa nasubcribe mara nyingi nyingi tuu
Yaarabi wajalie wazazi wangu wawe miongoni mwa waja wa pepon amiiina
Alhamdulilah wallah shekhe wazaziwangu walishatangulia mbele ya haki lakini kabla yahili darasa lako nilikua nikihiomba hii dua wallah nilijiwandotoni mama yangu anafuraha ukunikiwa nimelaza kichwa changu kwenye mapaja yake ukuakinishikashika.
Subhannallah tuongoze sisi kizazi chetu yaraab
Xhukrani allah atujalie kuwafanyia wazaziwetu wema
Mashaallah tabalakallah
Shukran Shekhe Qishiqi kutuelimisha
Amin Amin Amin yarabyy
ALLAH Awajalie khry wazazi wetu
Ewe mwenyezimung tujaaliye tuwemiongoni mwa wenyekuwaombea duwa wazaziwetu na kuwafanyia kila jema mpakakufakwao sis pamoja na vizazi vyetu vijavyo
🙏 inshallah
kuondokewa kugumu ya rabbi tujaalie subra juu ya hili hadi shk unaniliza wallah ya rabbi wafanyie wepesi wazazi wote waliotangulia mbele ya haki amiin amiin
@moisefifi
9 ай бұрын
Allahumma Amiiiyn 😢😢
@moasitymemo9894
6 ай бұрын
Allahuma Amiin yaraabilghalamin
🙏🙏🙏
ALLAH Akujalie khry na afya njema uendelee kutowa dawaa
Aameen
🙏🙏🙏🙏🙏
Rabiii ghufilrii wali waridahiyaa
@hawaheri5833
2 жыл бұрын
Na je wakiwa hai
@mamymdogomamy3670
2 жыл бұрын
Allahumma aamin yarrab
Swadata
😢😢😢
Nauliza shekhe wangu sasa umefiliwa na ndugu akujaliwa kupata mtoto nyie ndugu ao ana mtoto ila aswali na swala ndio dua nyie ndugu ndio kila swala mnamkubuka ndugu yenu kila swala Allah atampandisha darajaa
assalam alaikum. mawaidha muzuri, mashaallah, na omba namba nayo weza kuwasiliana nanyi kuna maswali ningependa kuliza kwa njia ya simu.
Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam Ahli zake na Maswahaba zake wote
Dua na kuwatakia astakfiruallah c ni sawa au ni dua gani inayokusudiwa
Asalam Alaykum sheikh.Sasa wazazi wangu wamekufa ni wakristo mimi ni mwislam duwa ni kiwaombea duaa zitafika?
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Na kama unamuomba Mola awasamehe bibi & babu je? Watasamehewa?
JE KAMA NIWAMOTONI UKIMFANYIA ISTIFAR NA DUA NAYO PIA WATAEPUSHWA NA MOTO.?
Ewe mwenyezimung tujaaliye tuwe miongoni mwa watu wachamung mbele ya wazazi wetu na vizazivyetu vijavyo
niko naswali cheih sijuwi ni ulize wapi
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Sbr sk ya ijumaa kipindi cha Fadhakir saa 2 na 30 usiku
Allah marehemu mama angu pamoja na jamii yote ya Islam yarrab
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Ameen
Maa shaa Allah