UKIFANYA MAMBO HAYA AMALI ZAKO ZITABATILIKA. SHEIKH NURDEEN KISHK
Ойын-сауық
Muhadhara uliotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Jamia Migori Nchini Kenya Tarehe 16/11/2013, mada ikielezea mambo yanayoharibu amali zetu , ni mambo gani fatilia mada hii ya mwisho upate kuelimika na tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Пікірлер: 53
Jazzakumullah khairy sheikh wetu mawaidha yanaelimisha, Allah atufungue nyoyo zetu ziwe zenye kuzingatia🤲🤲
Mashallah! Allah akupe umri mrefu ulio taweel uzidi kutuelimisha Shekh Nurdin!!!Allah atakupa jazaa yako dunian na kesho Akhera!!na sisi atusameh kila tunapokosea Atupe mwisho mwema na Awaraham wazazi wetu wote na Jamii Muslimina wa muslimat!!
Mashallah mwenyez mungu akupe kheri dunian na akhera allah atusamehe makosa yetu kwa waislam wote
Shukuran jazakallah khehra 🤲 mwalimu angu Allah akufanyie wepesi ktk kla jambo AMIIN 🤲 nakupend san wallah kwa ajili ya Allah 🥰🥰🥰🥰🥰
Maa shaa Allah barakallah fiiq yaa sheikh wetu
@alfredomajor9241
2 жыл бұрын
I guess im asking the wrong place but does anybody know a way to get back into an instagram account?? I was stupid lost my account password. I would appreciate any tips you can give me!
Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh shukran sheikh wetu kipenz cha wengi Allah akupe umri mrefu furaha na amani akuondolee hasadi za waja wake
Yaa ALLAH tukubalie matendo yetu na tufishe hali ya kua ni waislamu
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Amiin yaa Rabbal aalamiin
Corona umebadilisha mfumo wa maisha 😢😭 na bado watu atuzinduki viumbe ss Allah atusameh
@aishasaid6749
3 жыл бұрын
Ndugu yangu watu ndio wamezidisha balaa Tanzania Allah ametuonea huruma bas tunsjiona wababe angalia yanayotendwa uchafu imekithiri
Shukran
Mashallaah allah akupe maisha marefu shekhe
MashaaAllah MashaaAllah jazakAllah ukheri
MashaAllqh mawaidha mazito mpaka yamenigusa Allah atutakabalie amali zetu na Sheikh wetu Allah akuhifadh akupe afya wa umri muzidi kutuelimisha frm mbsa
@aishaaisha1495
3 жыл бұрын
Amiin
@zainabhassan1433
3 жыл бұрын
Mashallah Allah akukinge Ni husuda
Waleykum Salaam Warhamatullahi Wabarakatuh Allah akuifadhi Shekh wetu twa kupenda kwa Ajili ya Allah Shukran kwa mawaidha swafii
Mawaidha yenye Mazingatio, Allahu Akbar ✋ Allah akuhifadhi Sheikh Wetu....
@sakinat2527
3 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@swabraomar9796
Жыл бұрын
Amiin yaarab
Ma sha allah Sheikh wetu kishki allah akubariki na akuhifadhi
Striving for both akhera and duniya in a balanced way with much more focus on akhera. Inshallah may Allah make it easier for us? Jazakallah khair sheikh.
@aminamaganga7368
Жыл бұрын
ALLAH AKUZIDISHIE UMRI MREFU UENDELEE KUENEZA DINI YA ALLAH
Maa shaa Allah
Mada nzuri sana
Masha Allah mawaida vzuri mungu akulinde Sheikh Wetu
Jazakallahu khery
MashaAllah,mawaidha mazuri sana Allah akuhifadhi sheikh wetu na atukubalie amaali zetu atuepushie shirk🤲
Shukran jazaka ALLAH khery
Allah atuongoze na atufahamishe na tusife ihali ni waisilamu kamili
Masha Allah jazakallahu khayra
Maashaallah
Subhanallah
Mashaallah
Shukran wajazaka llahu Heri inshallah
Jazzakumllah Khery
Allah akuhifadhi shekh
MashaAllah
Shekhe labda Rwanda Burundi tunaongea vizuri😃😃
Masha Allah
Mashaalah
@saadiateno5072
3 жыл бұрын
mashaAllah ustad
Nakumbuka ulituahid mwaka jana utarud kenya lkn mr corona hatk kuskia
@sakinat2527
3 жыл бұрын
🤣 mr Corona in shaa Allah atapotea kwa uwezo wa Allah mr Corona
@rehemasalim4590
3 жыл бұрын
@@sakinat2527 amiin
Kweli ukichoma hirizi inaungua haisadii hirizi
Shukraan Sana sheikh wetu jazakallahu kher
Maa shaa Allah
Shukran
@hadijadida1184
2 жыл бұрын
Maanshallah. Allah atu rahisishie .