Келесі
- 37:51
- 363 М.
- 26:30
- 261 М.
- 00:14
- 3,5 МЛН
- 6 күн бұрын
- 00:18
- 164 МЛН
- 14 күн бұрын
- 00:40
- 72 МЛН
- 9 күн бұрын
- 00:41
- 79 МЛН
- 20 күн бұрын
- 54:56
- 281 М.
- 56:07
- 189 М.
- 49:16
- 244 М.
- 2:51
- 157 М.
- 17:17
- 127 М.
- 17:47
- 24 М.
- 2:48
- 219 М.
- 1:16:28
- 346 М.
- 1:13:59
- 348 М.
- 00:14
- 3,5 МЛН
- 6 күн бұрын
Пікірлер: 59
Inshallah mwenyezi mungu atujalie twende peopni shekhe!
Mi Quran naisoma sana na naifahamu ingawa si Muislam ni kitabu kizuri sana nakipenda sana hata mimi natamani kwenda peponi
@mahmoodmohammed1679
Жыл бұрын
Allah akuongoze katika njia iliyonyooka...akujaalie pepo wewe na family yako
@mwassamwassa7264
Жыл бұрын
Utapata bikra 72
Shehk kipozeo nampenda sana kwa mawaidha yake
mh jamani nampenda sana huyu sheikh,manake anakipaji cha kuongea na napenda sana mawaidha yake,mungu amzidishie sana.14.06.17.
@issascania3720
7 жыл бұрын
Allah ampe miaka mingi
@issascania3720
7 жыл бұрын
Allah ampe miaka mingi
YESU NDIE NJIA YA KWELI NA UZIMA HAKUNA AWEZAE KWENDA KWA MUNGU PASIPO YEYE...andoa mawazo ya kibinadamu Hakuna Yesu ndani yako hakuna mbingu...Okoka njo kwa Yesu..Period.
@aminamakame1417
7 жыл бұрын
Eti Erick huyo yesu ndio nani anaishi wapi?
@TheTanzanitepure
7 жыл бұрын
Erick Donald wewe unasema kuhusu nabii Essa p.b.u.h mbona waislamu wanamkubali kama mtume wa mungu sasa nyie ndio mnamatatizo hamumkubali mtume Muhammad p.b.u.h sasa nyie ndio muufate uislamu kwani waislamu wamemkubali mtume Essa p.b.u.h kabla ya miaka 1400
@khaalidal-esry2211
7 жыл бұрын
Erick Donald Na damu ya yesu Ni pombe. mungu atunusuri tusifate njia hiyo ya iblis. yaani mnamfanya yesu km dumu la pombe
@mlishomndolwa1222
6 жыл бұрын
Erick Donald mtazamowako
@christinamatrida6219
6 жыл бұрын
+Khaalid Al-esry Yesu ndio kweli yote acheni kudanganywa mnafikiri Mungu ni binadamu sio iyo ni Laana kuwazia ulevi Mbinguni
Nakukuba sana shee
Mwenyezi Mungu Amzidishie
ww jeremia ataulichoongea hakieleweki
Yaan nyie mnaimani za uongo Sana mnawazia kula na unzinzi ulevi Ila siku inakuja utakuja kuona kama ivyo vitu utavikuta
@jumajaffary9698
4 жыл бұрын
Soma Marko 14 25 - 28
amin shekhe kwa mawaiza mazur
@christinamatrida6219
6 жыл бұрын
Sio mawaidha hayo anakudanganya Usimuwazie Mungu kama binadamu huwezi kuta ivyo vitu Mbinguni
nakubaliiii
Mung akurehemuh
we ninomaa
pombe ni kinywaji chenye kilevi, Kila anywaye lazima alewe. Kama ya peponi haileweshi ingeandikwa kwamba haileweshi.
@jumajaffary9698
4 жыл бұрын
Marko 14 25 Yesu alikunywa mvinyo na akasema hatokunywa tena, mpaka peponi
@severinpeterkalekezi5240
4 жыл бұрын
Nendeni kwenyewe pepo yenu ya walevi. Sisi hatuihitaji hiyo mito ya ulevi(ya kurusha akili).
Mashaallah
@yusuphmashallahkhan7095
7 жыл бұрын
Aisha Moka masha Allah Allah ampe umrimref
@bishopmmbando530
6 жыл бұрын
Aisha Moka lazima huko peponiii lazima mtoane ngeu...! Kama sio kumi Mia Mia!
Shehe mhuni wewe. Rufiji kabomoa. Tapeli mkubwa wewe.
hahahaha kuna pombe peponi!!!! mtafuteni Yesu sio Issa
@khaalidal-esry2211
7 жыл бұрын
Jonas Joe ili tupate pombe makanisani? eti divai ( pombe ya zabibu, mvinyo) Ni damu ya yesu. inna lillaah wainna ilaih rajiun
@ayoubshaibu5209
7 жыл бұрын
+Khaalid Al -esry
@mahatmamgenge
7 жыл бұрын
Jonas Joe Matthew 26:29 29 But I say unto you, I will not drink henceforth of this fruit of the vine, until that day when I drink it new with you in my Father's kingdom.
@ulimbombonaulindi5088
7 жыл бұрын
Jonas Joe umesahau kwamba Yesu alikuwa mpika pombe?
😭
acha uongo mbinguni hakuna kunnywa wars kura
@uledimtumwa2406
6 жыл бұрын
Stanley Kitme kuna mbingu(heaven) na pepo(paradise),Muwe mnatofautisha nyie wagalatia.
@hgfivcj1832
Жыл бұрын
Mmh acha kubisha kama hujuwi acha wakusomeshe
SAY MAJI YA UZIMA ACCORDING TO WORDS OF JESUS OBEY WORDS OF GOD NOT STORY FROM NO WHERE
Quran na biblia kuna tofauti kubwa sana.
@jandpelectronics363
6 жыл бұрын
Biblia inasema mbinguni hakuna kula wala kunywa, kweli kuna tofauti sana na kumbe uislamu unaonyesha kuwa peponi watakuwa walevi daaah😳
@jandpelectronics363
6 жыл бұрын
Maana Biblia inaweka wazi kuwa watu wote watakuwa roho na roho hazili wala hazinywi jamani mbona tofauti kubwa sana?
@stevenhinjo9664
6 жыл бұрын
J and P Electronics lazima kuwe na touti maana biblia ilianza muda hadi kipindi cha Yesu Quran ilikuja baadaye zaidi ya miaka 500 tangu Yesu kristo wakati inakuja torati zaburi na injili zilishakuja kitambo sana lazima kuwe na tofauti kubwa sana
@uledimtumwa2406
6 жыл бұрын
Tofautisha pepo(paradise) na mbingu (heaven), Adam alikuwa bustanini (peponi,Aden),huko ndipo watakapokwenda waislam wakweli kwa Baba yao Adam. Wasio waislam wanaenda huko mbinguni kusikoliwa kitu.
@stevenhinjo9664
6 жыл бұрын
Uledi Mtumwa watu hawataenda peponi kwa majina ya dini Bali wenye kufanya matendo mema Mungu ndicho anahitaji lakini wale wanaojivunia jina lakini na huku wazinzi waongo wachawi wauaji wataenda na jina la dini yao motoni maana walidhani jina ndio ufahari
Duuuuh ngoja nijipe mazoezi ya kunywa pombe maana peponi Kuna mito ya pombe hvy bila mazoezi ya kunywa pombe huko nitashindwa 🤣🤣🤣🤣🤣
LET ME ADVICE U MUSLIM.YESU ALITENGENEZA DIVAI{JUISI YA ZABIBU} KWA KIINGERZA INAITWA VINE NA SIO MVINYO(POMBE) KWA KIINGEREZA INAITWA WINE. PILI NAWASHAURI MCHUNGUZE HISTORIA YA UISLAM, NI NANI ALIOUNZISHA UISLAM, JE? NI MUHAMAD AU ROMAN CATHOLIC? JE MUHAMAD NI MTUME WA MUNGU AU ALITENGENEZWA NA ROMAN CATHOLIC ILI AWASAIDIE KUSHINDANA NA WAYAHUDI KUUPATA MJI WA JERUSALEM? NAOMBA UJIULIZE KWANINI UNAAMINI UNACHOKIAMINI? MWISHO JARIBU KUFUATILIA HISTORIA YA KILE UNACHOKIAMINI.
@TheTanzanitepure
7 жыл бұрын
Makis jeremiah wewe mbumbumbu nakuonea huruma sana , jaribu kusilimu uone raha yake
@rashidijumaaorwaka6699
6 жыл бұрын
pole sana kwa tuliosoma historia hatuangaiki na ww kwanza ujue roman catholic imeanzishwa na watawala wale wale baada ya utumwa kukomaa
@user-xj6xd1iz1z
6 жыл бұрын
Makis jeremiah na wewe inakuhusu nini
@munirahmed9254
6 жыл бұрын
we bwege tu. kamuadvice mamako. na nnakupa pole sana kua mkristo. kuni ya motoni we
@azizymachadeson3577
6 жыл бұрын
Makis jeremiah We hujiekewi inaelekea we ni HKL , eti istoria we unajua istoria wewe we unajua Catholic ilitokea namna gani na nani alianzisha kanisa Catholic hebu kasome wewe!