Januari Makamba anazungunza kama meneja wa kampeni wa Rais Samia. Kuna ujumbe hapo!
Жүктеу.....
Пікірлер: 224
@rogersiddy4 ай бұрын
Ila binadam sisi wanafiki sana tena zaidi ya sana😳🥺🙏🤲
@MACHOYATAI-jk6fu4 ай бұрын
Makamba wewe tunakujuwa ni kibaka mkubwa tuu mwiizii wewe kwendaa huko kujipendekeza tuu MUNGU atawashughulikia mwenyewe
@Revelation1412.4 ай бұрын
Huyu Jamaa alikuwa anamzihaki raisi bila kujua 😅😅😅
@jofreysaimoni49644 ай бұрын
Uhisani wa rais hauta Jenga taifa hata siku moja chamuhimu mfumo washeria utuongoze
@fredrickmwakalinga63904 ай бұрын
Hiki kituko na kichekesho.cha kibashite
@mbelechimakobola88354 ай бұрын
Hakuna kitu ambacho huwa kinanikera sana kwa nchi ya Tanzania, haswa kwa wanachama wa chama hicho kama tabia ya kumwabudu na kumsifu na hata kujikombakomba kwa taasisi ya urais, kwanini wanachama wa chama hicho wanaabudu sana hivyo? Chama hicho kinanikera saaana, Mheshimiwa rais Mheshimiwa rais aah hadi kero. Ilikuwa hivyo kwa mwendazake hadi wengine kumfananisha na masihi, yooh ni pole sana!
@festokemibala5832
4 ай бұрын
Uchawa na unafiki ndo umewajaa. Kiongozi yeyote anapopewa madaraka anatakiwa afuate Katiba ktk kuongoza na ajue wananchi ndiyo wamemwajiri na yeye anatakiwa ndo awaheahimu na siyo wao kumsujudia, anasujudiwa Mungu tu na si mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke na anakufa! Ni ujinga uliopevuka unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote
@mbelechimakobola8835
4 ай бұрын
@@festokemibala5832 Yes
@Worldunite4 ай бұрын
Mama awe makini na watu km hawa sbb km anaweza kumuongelea vibaya bosi wake aliyefariki, anaweza kumuongelea pia bosi wake wa sasa baada ya kumaliza muda wake
@user-tz9nb8tx9j4 ай бұрын
Namchukia sana makamba kumsema magu
@user-pp1cq9op5y4 ай бұрын
Tunataka katiba mpya ili mama andele kufuata mfumo wa nchi kuliko wa ccm mumetupotezea muda sana kwa sababu aliye shiba hamujui mwenye njaa
@aminielkombe664 ай бұрын
Usalama upi wakati CDF anasema kuna wakimbizi kibao wako kwenye nafasi kubwa
@Revelation1412.4 ай бұрын
😂😂😂😂Huyu Jamaa Kama ulivyosema ana hoja nzito kwa maneno laini
@clemenceparokola4 ай бұрын
Watuletee wakili msomi Mwabukusi itakuwa kabla ya Misa ya kwanza kuisha
@mwakinyagatv7114 ай бұрын
Makamba mwizi tu huyo
@knight6757
4 ай бұрын
👀
@upendoeliya9329
4 ай бұрын
Kibaka mzoefu huyo
@user-qh3hb1tp8r4 ай бұрын
Sifa anazopewa ni za kinafiki huku wakiingonga Samia aspoangalia atavuna mabua
@fredrickmwakalinga63904 ай бұрын
Tume huru na katiba mpya ndio swala muhimu hizo taarabu hazima mashiko
@sonnyr1899
4 ай бұрын
Hamna cha KATIBA mpya wala KATIBA Mze tatizo la nchi zetu nyingi za Afrika umimi na usisi ni mwingi mno Yani kwa kifupi ubinafsi Kenya wanakatiba mpya ila tazama kila uchaguzi ukikaribia KATIBA inawekwa kabatini na kunaanza UKABILA na mwisho damu kumwagika. Wanaoteseka ni raia wa chini mimi na wewe
@mbelechimakobola88354 ай бұрын
Cha ajabu hata waziri Mkuu ambaye nilimwona mtu muhimu sana lakini naye ameingia katika kuipigia mapambio taasisi ya urais, sipendagi kusikia chochote kuhusu chama hicho, kinakera sana
@adelinelyaruu3036
4 ай бұрын
Ni asali tu
@josephpetro2968
4 ай бұрын
Mwabukusi anaweza
@simonsadala23864 ай бұрын
Urais wa nchi hii utausikia kwenye Tarifa ya habari
@EmanuelNicholaus-of1qg4 ай бұрын
Ndo imetokea tujifunze
@ChristerShao4 ай бұрын
Baba hoja zipo kwa upinzani,tatizo ni utangazaji matokeo.
@malkavoice25704 ай бұрын
Mpinzani wake nani sasa kama sio yeye na dingiyake
@kapufi20474 ай бұрын
sidhani kama hii ni shida ikiwa ni utaratibu wao waliojiwekea na umeanza toka enzi za Mwalimu Nyerere, unless kama kuna jicho la tatu la kijasusi sijaliona bado
@kibbysaidi78134 ай бұрын
Lakini kwa mtu kama January Makamba tungetegemea aseme nini?! Huyu ni kama Nape, kama Ridhiwani, kama Hussein Mwinyi na wengine wengi ambao wamepewa madaraka sababu ya Wazazi wao... lazima waisujudie CCM
@getitdoneright19384 ай бұрын
Hawana ubavu kuyazunguza hayo hapa nyumbani bali ugenini ? What a stupid leadership ? Tafuteni tuu sababu za kwenda nje ya nchi na kutorosha fedha za kigeni.
@adelinelyaruu3036
4 ай бұрын
Labda this time around Diaspora watapiga kura
@hajihassan5433
4 ай бұрын
Ni Katiba gani Rais atakuwa hana mamlaka? Hebu lete sample ya Katiba unayoitaka. Katiba ipo ibara kwa ibara elezea ni ibara ipi yenye kasoro na ni ipi. Tatizo la nchi ni Ukatiba yaani kuheshimiwa na kutekelezwa na sio Katiba . Hivyo hata Katiba Mpya bila hayo ni kazi bure. Ukumbuke pia nchi yetu ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni LAZIMA Katiba ambayo ndio mkataba wa makubaliano ukubalike mote.
@upendoeliya9329
4 ай бұрын
@@hajihassan5433swala linalotakiwa ni Katiba mpya ambayo imebeba Tume Huru ya Uchaguzi na mambo mengine mengi. Ccm wanaiogopa maana iko nutral haiegemei Chama chochote cha siasa.
@lekishonmolele18594 ай бұрын
Mbona hamuongelei Ngorongoro
@danielkanso4 ай бұрын
Kuna haja ya kuwa na mfumo sawa hapa
@christinenyagiro66624 ай бұрын
Unafiki mkubwa alikuwa anajipamba Makamba mbele ya mama yake Samia. Alikuwa hampambi bali alikuwa anajipamba mwenyewe.
@mwakinyagatv7114 ай бұрын
Asante sk
@mwakasagule4 ай бұрын
Nakutahadharisha SSH kumwangalia January Makamba, kwa jicho la tatu. Pia namtahadharisha January Makamba kuwa makini sana na kauri zake mbovu za kuwagawa Watanzania, na kuendelea kuwaumiza Watanzania kwa kumsema vibaya Hayati JPM Kipenzi cha Watanzania. Viongozi acheni unafki.
@salummohamed26894 ай бұрын
Jamani hiki chama sikielewi kabisa maana masikio yangu Bado yanasikia kuwa nchi ilikuwa imefikia uchumi wa kati. Leo huyu chawa anasemaje? "AIBU".
Tupeni katiba time huru na maisha bila cy kubwabwaja maneno kama hayo hatuitaji raisi
@manchalijob96004 ай бұрын
Chizi hili China wananyonga majitu kama haya manafiki sanaaa
@johnmalale38604 ай бұрын
Hili tikiti kabsa;:' miradi hiyo imeanza Awamu gani:; mbona awamu zingine hazikufanyika!; Acha UZWAZWA dogo ;! Chukua chako tu uondoke':
@abdullahissa75484 ай бұрын
Ccm waongo Kwan
@lameckbalekere19624 ай бұрын
Huyu jamaa hafai kuwa kiongozi hata kidogo
@febby83084 ай бұрын
Tumejenga taifa lakini bado sasa tuwainue wanananchi ili wajenge taifa ndi wajenge taifa wenyewe
@josephamos66364 ай бұрын
Jamaa anajikombakomba hakuna kitu ufisadi mtupu
@christinenyagiro66624 ай бұрын
Tena ni hatari sana. Kwa kweli ni hatari sana. Kwani CCM ndiyo kwani wana CCM wote wamewambia kuwa wanamuhitaji? Kwahiyo Makamba na Waziri ndiyo maamuzi ya wanaccm?.
@thebmcblackmiccatcher39493 ай бұрын
Hajui kujenga hoja,
@olomweneabongela17174 ай бұрын
Huyu mkimchunguza vizuri ni mnwyaji wa pombe
@sophiamalinga184 ай бұрын
Leteni katiba mpya leo kesho mbali
@traudkamugisha80514 ай бұрын
Kweli Mama Samia kwenye haya hakika anastahili Heshima kubwa na 2025 mitano tena
@YunusuKantangayo4 ай бұрын
Maono yangu Mama ktk uongozi wa uraisi ameonyesha utulivu na upendo nasema nchi yetu iendelee kuongozwa na akina mama hasa upande huu wa uraisi hatumtaki mwanaume ktk nafasi hiyo ya uraisi muda wote na kwa kipindi kijacho asante ,
@jiddahmaulidi35724 ай бұрын
Majiziiiiii
@HermanZephirneАй бұрын
Aise ci binadamu tuna akili mavi sana
@johnmligo69664 ай бұрын
Ninamfikiria kwa huruma MAKAMBA bado anahasira na Magufuli.... His Legacy will always prevail. Hata akitukanwa vip!
@PeterMagoye4 ай бұрын
Wengi wataungua sana kwa moto nyambafu
@richardnganya23114 ай бұрын
Kurejesha heshima ya nchi inaonesha kulipotea kwa hiyo heshima .. chini ya utawala wa chama kipi ?
@ConradMbuya-hl7nq4 ай бұрын
Kwa sisi wapinzani Tuanae LISU anatoshaaa
@MathewNathan-yb2bz4 ай бұрын
Hayo mapambo ndio hayafai kabisa
@patrickmunisi72343 ай бұрын
Hivi si Hawa ndio walimsifu aliyepita hadi kumfananisha na Mungu?
@frankremishoy57784 ай бұрын
Asamte kea elimu nzuri
@user-zl3le1wz2u4 ай бұрын
Tunahitaji rais kama awamu ya kwanza mwenye uwezo wa kutaifisha mali za umma zilizo binafsishwa kumangumashi asiye na tamaa ya maisha yake bali ya wananchi afungue au kufufua viwanda, Ardhi kuwa ya umma kwa kuwanyang'anya waliojirimbikizia ardhi kubwa, Anayethamini utu wa mtu,kuwa na sera ya elimu iliyo bora kwa kujitawala wenyewe kwa kuwa na maendeleo kila fani . Tuepukane na uwekezaji serikali inaweza kuandaa wasomi wetu sio uongozi wa kufuata mkumbo.Ni wale wazee waliosoma na kuona tawala mbalimbali za dunia sawa na Nyerere alivyo weka msimamo wa nchi bila kujali tajiri au maskini.
@chancesholdan3424 ай бұрын
Kama kweli Mungu yupo bas hawa wala nchi wote motoni
@SabastianRaymond4 ай бұрын
CCM MSIJISAHAU. MUNGU AZIHAKIWI. HAKUNA UFALME USIO NA MWISHO HAPA DUNIANI UPO MWISHO WA CCM. MUNGU NDIYE AJUAE.
@benny43453 ай бұрын
Hakuwa tumechanganyikiwa na hivyo hatukuhitaji mfariji.
@suphiandaudimbalazi24884 ай бұрын
Makamba yuko smart sana
@abdulally6410
4 ай бұрын
Mkundu tuu wewe Ana usmart gan sasa
@suphiandaudimbalazi2488
4 ай бұрын
@@abdulally6410 hakuna asie mkamilifu, hata wewe nia andazi, lakini haimaanishi huna manufaa, wapo watakao kuitaji kwa kitafunio, kwaiyo inategemea unatazama kwa angle gani, makamba ni smart sana kuliko vijana wengi sana wa nchi hii. Kama wewe na wengine wa mfano wako
@GeorgeObute
3 ай бұрын
Kweli elimu ya Dunia nademokrasia isiyo ya kujikomba na ndiyo Sababu umeshidwa wizara ya nishati makamba ufai kabisa
@abdulally64104 ай бұрын
We jamaaa nakubaliana na ww barikiwa saana
@ahmedghoth29964 ай бұрын
Hili jitu Halifai hata kidogo
@hosianamosha3894 ай бұрын
Kwa upande wangu natamani upinzani wange msimamisha Mwanasheria , Mwabukusi🎉❤
@mkude
4 ай бұрын
Utakuwa wewe unamatatizo ya akili😂😂😂😂😂
@stephenndagalla81833 ай бұрын
Januari Makamba. Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba ndio wale wale sawia na mbunge mmoja aitwaye Kibajaji. Waongeavyo ni kama vile wanatoa "pumzi inayo tokea matakoni"!!
@jiddahmaulidi35724 ай бұрын
Hivi mnajua magu kule alipo anawaona unafki mnaoongea
@elibarikimollel71494 ай бұрын
Ndio lengo kuu la miswada mitatu 3 iliyopitishwa na bunge, na sasa ipo mezani pake inasubiri saini ya Mkuu wao wa nchi, Amiri jeshi mkuu, Rais na MWKT wa ccm,Mama Samia asain iwe sheria ya vyama vya siasa kuelekea uchaguzi ambao ndani ya chama chake pamewekwa kizingiti cha demokrasia kuwa ni yeye tu anayestahili kuchukua fomu, ule utamaduni haupo.
@shabanadam44764 ай бұрын
Mr ministers you proved totally you had lack of commonsense & merits
@JoakimKalunde3 ай бұрын
Ivi mawazili waliisha mpaka unarudisha shetani wa bumburi mpuuzi mkubwa hufai hujui kuendana na wakati having ulisoma psychology ya wa2 wa jimbo lako mpuuzi mmoja
@sospeterodhiambo68694 ай бұрын
Nyerere aliwahi kusema kuwa mpumbavu akikwambia jambo lisilo na maana na ww ukaipokea hivo atakudharau Hawa naona wanamtosa tu Mama yetu lkn siyo kumsaidia Uchawa umezidi jamani
@ChristmasMaheri4 ай бұрын
Hizo ni taratibu za chama kinachotawala.Watanzania wote siyo wanachama wa chama tawala.Nchi yetu imepitia katika milima na mabonde mengi sasa na tunajua matatizo tulio nayo. Wananchi wanaandamana kwa matatizo.Haya maelezo siyo majibu ya matatizo ya msingi tuliyo nayo.Kwenye kura tutatoa uamuzi wa nani atatusaidia.
@christinenyagiro66624 ай бұрын
Kurudisha Inchi ni kuuza mali za Tanganyika kwa warabu ndiyo kurudisha kuzurura kwa warabu na ulaya ndiyo kurudisha uzuri. Kutumia mali za Tanganyika kwa kuenda kila Inchi ndiyo. Yote Magufuli alifanya kwa wanainchi ni kosa kwa CCM Kutawala ni kuiba na kutalii Inchi za inje maana walikuwa kuwa wanafanyia waliowaweka Kutawala ni kosa. Kweli unampamba au unampangua kwa wanainchi?
@ufunuoeliya7194 ай бұрын
Mm.naamin nchi yetu inaongozwa na wasomi ila sio na wenye akili natamani siku niipate nchi hata wiki moja hakika hakika niseme mara mbili tu
@solomoneglesias97524 ай бұрын
Sk bhana 🙄🙄🙄mmemupa muda wooote huo na hakuna la maana zaidi ya kusifu na kuabudu tu oooh mb zangu rudisha🙋🙋🙋
@sospeterodhiambo68694 ай бұрын
Upinzani kuanza leo ni kwenda kinyume na sheria Tuingie kweli kwenye makosa kama wao Ngoja tutafakari
@user-tx9nz9fx7i4 ай бұрын
We ni mwizi mkubwa kanafki pimbi wee!!
@mathiasmichael99154 ай бұрын
Rais wao... Kipenz chao... Kwahyo yeye hakuwa mtanzania??
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Rais mwanamke,, Mzanzibar,,,.. kwahyo Mzanzibar siyo mtanzania?
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Unamaaanisha kwamba magufuri kuzuia chanjo halikuwa Hana hakili? Je! Ulimuambia?
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Maana yake makamba wewe ni mchonganishi watu gani walikuwa hawapo pamoja na mama?
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Inaonyesha wazi kwamba kwa akili yako makamba magufuri alifanya Mambo ya hovyo na kila alichokifanya akikuwa sahihi?
@victorphilipo4 ай бұрын
Yaani tanzania nikubwa kuliko januari huyo nibinadamu rakini mioyo yawengi wantanzania wanajua nchi ikoje katika kumbukumbu zawengi tunajua magufuri atafufuka tumuereze shida zetu hakuna asiye juwa nimuda umeme umetupa shida kwa uliwezaje kula :::: nao nimajuto mwisho wa siku tanzania itabaki kama nchi
@aediayumgo85464 ай бұрын
Start your political partie don't make noise to much 😅😅😅
@simonnaivasha63934 ай бұрын
Ndani ya chama kuna unafiki wala sio siasa acha kupotosha wananchi wa Tanzania.
@joachimmahoo97864 ай бұрын
Ofisi ya Raisi inahitaji mshomi atakaye kabiliana na Raisi wasomi.
@hajihassan5433
4 ай бұрын
Usomi kipimo chake nini? Kama vyeti vipo!
@yasiniSwedi-qg5oc4 ай бұрын
Hv usalama wa taifa wnamchukuliaje huyu? Hawaoni Kama ni hatali kwa usalama wa tz?
@winstonmwalukasa49974 ай бұрын
Wanafik ndani ya ccm nipamoja na huyu dogo hafai nahana sifa ya uongozi
@lameckbalekere19624 ай бұрын
Ukosawa mleteni mwabukusi
@raymondkafyulilo66364 ай бұрын
Watanzania mnaoishi huko Nje hivi kweli na akili zenu masikiliza utopolo huu? Watu wana uawa wana kufa wanadhulumiwa haki yao na ccm. Nyie mnapiga makofi tu. Badala kuwauliza kwanini hawataki Katiba Mpya ?
@ObediKinkusha-gq8fw4 ай бұрын
JIZI LINAONGEA
@Msemakweli20244 ай бұрын
Ni sawa amefanya lakini tutengeneze maneno ambayo hayaonyeshi dhihaka. Amefanya pamoja na watanzania wenyewe. Afterrall uraisi ni taasisi, yapo mengi ameshauriwa na wengine na Watanzania walilipa Kodi, hajatoa mfukoni mwake
@adenmwakalobo7604 ай бұрын
Dawa ya uchawa huu wote wa kina Majaliwa na Makamba na wengine ni katiba mpya itakayoyatoa mamlaka ya uteuzi wa kila nafasi ktk mikono ya Rais na kwenda ktk institutions ili huu upuuzi wa kusifu sifu na kujipendekeza kwa ajili ya cheo na ubinafsi tu uishe na upotee kabisa ktk nchi yetu! Vinginevyo ikulu panakuwa ni kijiwe tu cha anayepata kuwa Rais kujikusanya na wapambe anaowateua ambao jukumu kubwa walijualo ni kumsifia sifia ili wabaki hapo hata kama hawana uwezo wowote kikazi. Afanye kazi ya nini wakati sifa kuu ktk nafasi yoyote ktk nchi ni kumsifu Rais hata ktk ujinga kabisa na yeye anafurahi kupewa sifa hizo??? Rais shupavu na mwajibikaji atawadai wateule wake WAJIBU na hataendekeza kusifiwa na yeyote!! Lakini Rais dhaifu na asiye na lolote zaidi ya kuteua na kutengua kila uchao, na ambaye kwake ikulu ni pahali pa kupunga upepo yeye na walio karibu yake, atawahitaji wateule wanaokimbilia kumsifu kama hirizi ya cheo hata kama ni wavivu na/au hawawajibiki. Sishangai kofi kupigwa ktk huo mkutano ktk kila alisemalo Makamba kwani watu huandaliwa wafanye hivyo ili kusifu. Kwa hali ya maisha ilivyo ngumu, ajira hakuna, vitu bei juu na taabu nyingine huku ktk kipindi kifupi kisichozidi miaka mitatu cha Rais huyu AMEKOPA MARA TATU USHEE ya deni alilolikuta, ni wapambe tu wanaoweza kupiga kofi! Diaspora ya kweli ina uelewa isingempigia kofi Rais wa hivyo. Anaogopa katiba mpya kwa vile hataki uwajibikaji, anategemea wizi wa kura kubaki madarakani. Unampigiaje kofi Rais wa aina hiyo??
@aityubd4 ай бұрын
Kumbe SSH ndiye aliyeweka wakfu Malasusa😂
@HemediHemedimikole-ez8lc4 ай бұрын
Acha kutupotosha we kibaka tu
@mabondolawrence18124 ай бұрын
Usije kudai nafasi ya juu kwakuwa umeongea maneno hayo!
@JonathanMwandala-hs3ld4 ай бұрын
Watanzania hakuitaka chanjo io,ndege zikwapi,mmerudisha waiz katka serikali ivi nyie hamuoni ziara ya makonda ilivo onyesha ubaya mkubwa unao fanywa na ccm,ccm haitakiwi kabisa Yan r.i.p magu
@jastinmodest80734 ай бұрын
Wanafiki wengi sana kwenye hili liccm
@liannsambu72644 ай бұрын
SHKAMOONI WANAFIKI WANASIASA WA TZ , MUNGU ANAWAANGALIA NA ATASHUGHULIKA NANYI KILA MTU KWA MUDA WAKE , SISI WANANCHI TUNAANGALIA ,MUDA WAJA NA UMESHAFIKA 😢
Пікірлер: 224
Ila binadam sisi wanafiki sana tena zaidi ya sana😳🥺🙏🤲
Makamba wewe tunakujuwa ni kibaka mkubwa tuu mwiizii wewe kwendaa huko kujipendekeza tuu MUNGU atawashughulikia mwenyewe
Huyu Jamaa alikuwa anamzihaki raisi bila kujua 😅😅😅
Uhisani wa rais hauta Jenga taifa hata siku moja chamuhimu mfumo washeria utuongoze
Hiki kituko na kichekesho.cha kibashite
Hakuna kitu ambacho huwa kinanikera sana kwa nchi ya Tanzania, haswa kwa wanachama wa chama hicho kama tabia ya kumwabudu na kumsifu na hata kujikombakomba kwa taasisi ya urais, kwanini wanachama wa chama hicho wanaabudu sana hivyo? Chama hicho kinanikera saaana, Mheshimiwa rais Mheshimiwa rais aah hadi kero. Ilikuwa hivyo kwa mwendazake hadi wengine kumfananisha na masihi, yooh ni pole sana!
@festokemibala5832
4 ай бұрын
Uchawa na unafiki ndo umewajaa. Kiongozi yeyote anapopewa madaraka anatakiwa afuate Katiba ktk kuongoza na ajue wananchi ndiyo wamemwajiri na yeye anatakiwa ndo awaheahimu na siyo wao kumsujudia, anasujudiwa Mungu tu na si mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke na anakufa! Ni ujinga uliopevuka unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote
@mbelechimakobola8835
4 ай бұрын
@@festokemibala5832 Yes
Mama awe makini na watu km hawa sbb km anaweza kumuongelea vibaya bosi wake aliyefariki, anaweza kumuongelea pia bosi wake wa sasa baada ya kumaliza muda wake
Namchukia sana makamba kumsema magu
Tunataka katiba mpya ili mama andele kufuata mfumo wa nchi kuliko wa ccm mumetupotezea muda sana kwa sababu aliye shiba hamujui mwenye njaa
Usalama upi wakati CDF anasema kuna wakimbizi kibao wako kwenye nafasi kubwa
😂😂😂😂Huyu Jamaa Kama ulivyosema ana hoja nzito kwa maneno laini
Watuletee wakili msomi Mwabukusi itakuwa kabla ya Misa ya kwanza kuisha
Makamba mwizi tu huyo
@knight6757
4 ай бұрын
👀
@upendoeliya9329
4 ай бұрын
Kibaka mzoefu huyo
Sifa anazopewa ni za kinafiki huku wakiingonga Samia aspoangalia atavuna mabua
Tume huru na katiba mpya ndio swala muhimu hizo taarabu hazima mashiko
@sonnyr1899
4 ай бұрын
Hamna cha KATIBA mpya wala KATIBA Mze tatizo la nchi zetu nyingi za Afrika umimi na usisi ni mwingi mno Yani kwa kifupi ubinafsi Kenya wanakatiba mpya ila tazama kila uchaguzi ukikaribia KATIBA inawekwa kabatini na kunaanza UKABILA na mwisho damu kumwagika. Wanaoteseka ni raia wa chini mimi na wewe
Cha ajabu hata waziri Mkuu ambaye nilimwona mtu muhimu sana lakini naye ameingia katika kuipigia mapambio taasisi ya urais, sipendagi kusikia chochote kuhusu chama hicho, kinakera sana
@adelinelyaruu3036
4 ай бұрын
Ni asali tu
@josephpetro2968
4 ай бұрын
Mwabukusi anaweza
Urais wa nchi hii utausikia kwenye Tarifa ya habari
Ndo imetokea tujifunze
Baba hoja zipo kwa upinzani,tatizo ni utangazaji matokeo.
Mpinzani wake nani sasa kama sio yeye na dingiyake
sidhani kama hii ni shida ikiwa ni utaratibu wao waliojiwekea na umeanza toka enzi za Mwalimu Nyerere, unless kama kuna jicho la tatu la kijasusi sijaliona bado
Lakini kwa mtu kama January Makamba tungetegemea aseme nini?! Huyu ni kama Nape, kama Ridhiwani, kama Hussein Mwinyi na wengine wengi ambao wamepewa madaraka sababu ya Wazazi wao... lazima waisujudie CCM
Hawana ubavu kuyazunguza hayo hapa nyumbani bali ugenini ? What a stupid leadership ? Tafuteni tuu sababu za kwenda nje ya nchi na kutorosha fedha za kigeni.
@adelinelyaruu3036
4 ай бұрын
Labda this time around Diaspora watapiga kura
@hajihassan5433
4 ай бұрын
Ni Katiba gani Rais atakuwa hana mamlaka? Hebu lete sample ya Katiba unayoitaka. Katiba ipo ibara kwa ibara elezea ni ibara ipi yenye kasoro na ni ipi. Tatizo la nchi ni Ukatiba yaani kuheshimiwa na kutekelezwa na sio Katiba . Hivyo hata Katiba Mpya bila hayo ni kazi bure. Ukumbuke pia nchi yetu ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni LAZIMA Katiba ambayo ndio mkataba wa makubaliano ukubalike mote.
@upendoeliya9329
4 ай бұрын
@@hajihassan5433swala linalotakiwa ni Katiba mpya ambayo imebeba Tume Huru ya Uchaguzi na mambo mengine mengi. Ccm wanaiogopa maana iko nutral haiegemei Chama chochote cha siasa.
Mbona hamuongelei Ngorongoro
Kuna haja ya kuwa na mfumo sawa hapa
Unafiki mkubwa alikuwa anajipamba Makamba mbele ya mama yake Samia. Alikuwa hampambi bali alikuwa anajipamba mwenyewe.
Asante sk
Nakutahadharisha SSH kumwangalia January Makamba, kwa jicho la tatu. Pia namtahadharisha January Makamba kuwa makini sana na kauri zake mbovu za kuwagawa Watanzania, na kuendelea kuwaumiza Watanzania kwa kumsema vibaya Hayati JPM Kipenzi cha Watanzania. Viongozi acheni unafki.
Jamani hiki chama sikielewi kabisa maana masikio yangu Bado yanasikia kuwa nchi ilikuwa imefikia uchumi wa kati. Leo huyu chawa anasemaje? "AIBU".
Makamba acha polojo twambie miladi mingapi imekamilika
@huyu1993
4 ай бұрын
Kwaiyo wewe hujui miradi mingapi imekamilika ? Kwani hauangalii tv ? Au vyombo vya habari hauvisikii ?
Yani nimechoka kwaunafiki huuu jamani tumuogope ALAA
Huo ni u babe sisi wananchi mnatunyima uhuru wetu na haki ya kugombea sio powa
Umejipendekeza kuwa kwa hiyo usiseme chama cha upinzani bali tunashida tunataka KATIBA.
Watu wengine ukiwaona tu hata sura zao, unagundua kuwa hakuna mtu hapo.
Ccm neno haki hakuna wao amani usalama umoja 😂😂haki ndio hubeba hayo yteee
Makamba oyeee,wapinzani hakuna kitu,wanasubili mihemko
Tundu Lissu Ama tosha huyu mama ambaye alifeli form IV
@hajihassan5433
4 ай бұрын
Nenda wewe uliyepasi.
@hajihassan5433
4 ай бұрын
Rais wa Tanzania ni LAZIMA awe na academic rank ya degree moja hivyo kama anazo mbili shida iko wapi?
Look who is talking.😂 the big thief 😊 hata Magufuli alimfukuza kazi...
@alawikihema8676
4 ай бұрын
Who is magu
Mfanano wako. Mwanamke mzanzibari. Ninanukuu mh Makamba
Tupeni katiba time huru na maisha bila cy kubwabwaja maneno kama hayo hatuitaji raisi
Chizi hili China wananyonga majitu kama haya manafiki sanaaa
Hili tikiti kabsa;:' miradi hiyo imeanza Awamu gani:; mbona awamu zingine hazikufanyika!; Acha UZWAZWA dogo ;! Chukua chako tu uondoke':
Ccm waongo Kwan
Huyu jamaa hafai kuwa kiongozi hata kidogo
Tumejenga taifa lakini bado sasa tuwainue wanananchi ili wajenge taifa ndi wajenge taifa wenyewe
Jamaa anajikombakomba hakuna kitu ufisadi mtupu
Tena ni hatari sana. Kwa kweli ni hatari sana. Kwani CCM ndiyo kwani wana CCM wote wamewambia kuwa wanamuhitaji? Kwahiyo Makamba na Waziri ndiyo maamuzi ya wanaccm?.
Hajui kujenga hoja,
Huyu mkimchunguza vizuri ni mnwyaji wa pombe
Leteni katiba mpya leo kesho mbali
Kweli Mama Samia kwenye haya hakika anastahili Heshima kubwa na 2025 mitano tena
Maono yangu Mama ktk uongozi wa uraisi ameonyesha utulivu na upendo nasema nchi yetu iendelee kuongozwa na akina mama hasa upande huu wa uraisi hatumtaki mwanaume ktk nafasi hiyo ya uraisi muda wote na kwa kipindi kijacho asante ,
Majiziiiiii
Aise ci binadamu tuna akili mavi sana
Ninamfikiria kwa huruma MAKAMBA bado anahasira na Magufuli.... His Legacy will always prevail. Hata akitukanwa vip!
Wengi wataungua sana kwa moto nyambafu
Kurejesha heshima ya nchi inaonesha kulipotea kwa hiyo heshima .. chini ya utawala wa chama kipi ?
Kwa sisi wapinzani Tuanae LISU anatoshaaa
Hayo mapambo ndio hayafai kabisa
Hivi si Hawa ndio walimsifu aliyepita hadi kumfananisha na Mungu?
Asamte kea elimu nzuri
Tunahitaji rais kama awamu ya kwanza mwenye uwezo wa kutaifisha mali za umma zilizo binafsishwa kumangumashi asiye na tamaa ya maisha yake bali ya wananchi afungue au kufufua viwanda, Ardhi kuwa ya umma kwa kuwanyang'anya waliojirimbikizia ardhi kubwa, Anayethamini utu wa mtu,kuwa na sera ya elimu iliyo bora kwa kujitawala wenyewe kwa kuwa na maendeleo kila fani . Tuepukane na uwekezaji serikali inaweza kuandaa wasomi wetu sio uongozi wa kufuata mkumbo.Ni wale wazee waliosoma na kuona tawala mbalimbali za dunia sawa na Nyerere alivyo weka msimamo wa nchi bila kujali tajiri au maskini.
Kama kweli Mungu yupo bas hawa wala nchi wote motoni
CCM MSIJISAHAU. MUNGU AZIHAKIWI. HAKUNA UFALME USIO NA MWISHO HAPA DUNIANI UPO MWISHO WA CCM. MUNGU NDIYE AJUAE.
Hakuwa tumechanganyikiwa na hivyo hatukuhitaji mfariji.
Makamba yuko smart sana
@abdulally6410
4 ай бұрын
Mkundu tuu wewe Ana usmart gan sasa
@suphiandaudimbalazi2488
4 ай бұрын
@@abdulally6410 hakuna asie mkamilifu, hata wewe nia andazi, lakini haimaanishi huna manufaa, wapo watakao kuitaji kwa kitafunio, kwaiyo inategemea unatazama kwa angle gani, makamba ni smart sana kuliko vijana wengi sana wa nchi hii. Kama wewe na wengine wa mfano wako
@GeorgeObute
3 ай бұрын
Kweli elimu ya Dunia nademokrasia isiyo ya kujikomba na ndiyo Sababu umeshidwa wizara ya nishati makamba ufai kabisa
We jamaaa nakubaliana na ww barikiwa saana
Hili jitu Halifai hata kidogo
Kwa upande wangu natamani upinzani wange msimamisha Mwanasheria , Mwabukusi🎉❤
@mkude
4 ай бұрын
Utakuwa wewe unamatatizo ya akili😂😂😂😂😂
Januari Makamba. Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba ndio wale wale sawia na mbunge mmoja aitwaye Kibajaji. Waongeavyo ni kama vile wanatoa "pumzi inayo tokea matakoni"!!
Hivi mnajua magu kule alipo anawaona unafki mnaoongea
Ndio lengo kuu la miswada mitatu 3 iliyopitishwa na bunge, na sasa ipo mezani pake inasubiri saini ya Mkuu wao wa nchi, Amiri jeshi mkuu, Rais na MWKT wa ccm,Mama Samia asain iwe sheria ya vyama vya siasa kuelekea uchaguzi ambao ndani ya chama chake pamewekwa kizingiti cha demokrasia kuwa ni yeye tu anayestahili kuchukua fomu, ule utamaduni haupo.
Mr ministers you proved totally you had lack of commonsense & merits
Ivi mawazili waliisha mpaka unarudisha shetani wa bumburi mpuuzi mkubwa hufai hujui kuendana na wakati having ulisoma psychology ya wa2 wa jimbo lako mpuuzi mmoja
Nyerere aliwahi kusema kuwa mpumbavu akikwambia jambo lisilo na maana na ww ukaipokea hivo atakudharau Hawa naona wanamtosa tu Mama yetu lkn siyo kumsaidia Uchawa umezidi jamani
Hizo ni taratibu za chama kinachotawala.Watanzania wote siyo wanachama wa chama tawala.Nchi yetu imepitia katika milima na mabonde mengi sasa na tunajua matatizo tulio nayo. Wananchi wanaandamana kwa matatizo.Haya maelezo siyo majibu ya matatizo ya msingi tuliyo nayo.Kwenye kura tutatoa uamuzi wa nani atatusaidia.
Kurudisha Inchi ni kuuza mali za Tanganyika kwa warabu ndiyo kurudisha kuzurura kwa warabu na ulaya ndiyo kurudisha uzuri. Kutumia mali za Tanganyika kwa kuenda kila Inchi ndiyo. Yote Magufuli alifanya kwa wanainchi ni kosa kwa CCM Kutawala ni kuiba na kutalii Inchi za inje maana walikuwa kuwa wanafanyia waliowaweka Kutawala ni kosa. Kweli unampamba au unampangua kwa wanainchi?
Mm.naamin nchi yetu inaongozwa na wasomi ila sio na wenye akili natamani siku niipate nchi hata wiki moja hakika hakika niseme mara mbili tu
Sk bhana 🙄🙄🙄mmemupa muda wooote huo na hakuna la maana zaidi ya kusifu na kuabudu tu oooh mb zangu rudisha🙋🙋🙋
Upinzani kuanza leo ni kwenda kinyume na sheria Tuingie kweli kwenye makosa kama wao Ngoja tutafakari
We ni mwizi mkubwa kanafki pimbi wee!!
Rais wao... Kipenz chao... Kwahyo yeye hakuwa mtanzania??
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Rais mwanamke,, Mzanzibar,,,.. kwahyo Mzanzibar siyo mtanzania?
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Unamaaanisha kwamba magufuri kuzuia chanjo halikuwa Hana hakili? Je! Ulimuambia?
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Maana yake makamba wewe ni mchonganishi watu gani walikuwa hawapo pamoja na mama?
@mathiasmichael9915
4 ай бұрын
Inaonyesha wazi kwamba kwa akili yako makamba magufuri alifanya Mambo ya hovyo na kila alichokifanya akikuwa sahihi?
Yaani tanzania nikubwa kuliko januari huyo nibinadamu rakini mioyo yawengi wantanzania wanajua nchi ikoje katika kumbukumbu zawengi tunajua magufuri atafufuka tumuereze shida zetu hakuna asiye juwa nimuda umeme umetupa shida kwa uliwezaje kula :::: nao nimajuto mwisho wa siku tanzania itabaki kama nchi
Start your political partie don't make noise to much 😅😅😅
Ndani ya chama kuna unafiki wala sio siasa acha kupotosha wananchi wa Tanzania.
Ofisi ya Raisi inahitaji mshomi atakaye kabiliana na Raisi wasomi.
@hajihassan5433
4 ай бұрын
Usomi kipimo chake nini? Kama vyeti vipo!
Hv usalama wa taifa wnamchukuliaje huyu? Hawaoni Kama ni hatali kwa usalama wa tz?
Wanafik ndani ya ccm nipamoja na huyu dogo hafai nahana sifa ya uongozi
Ukosawa mleteni mwabukusi
Watanzania mnaoishi huko Nje hivi kweli na akili zenu masikiliza utopolo huu? Watu wana uawa wana kufa wanadhulumiwa haki yao na ccm. Nyie mnapiga makofi tu. Badala kuwauliza kwanini hawataki Katiba Mpya ?
JIZI LINAONGEA
Ni sawa amefanya lakini tutengeneze maneno ambayo hayaonyeshi dhihaka. Amefanya pamoja na watanzania wenyewe. Afterrall uraisi ni taasisi, yapo mengi ameshauriwa na wengine na Watanzania walilipa Kodi, hajatoa mfukoni mwake
Dawa ya uchawa huu wote wa kina Majaliwa na Makamba na wengine ni katiba mpya itakayoyatoa mamlaka ya uteuzi wa kila nafasi ktk mikono ya Rais na kwenda ktk institutions ili huu upuuzi wa kusifu sifu na kujipendekeza kwa ajili ya cheo na ubinafsi tu uishe na upotee kabisa ktk nchi yetu! Vinginevyo ikulu panakuwa ni kijiwe tu cha anayepata kuwa Rais kujikusanya na wapambe anaowateua ambao jukumu kubwa walijualo ni kumsifia sifia ili wabaki hapo hata kama hawana uwezo wowote kikazi. Afanye kazi ya nini wakati sifa kuu ktk nafasi yoyote ktk nchi ni kumsifu Rais hata ktk ujinga kabisa na yeye anafurahi kupewa sifa hizo??? Rais shupavu na mwajibikaji atawadai wateule wake WAJIBU na hataendekeza kusifiwa na yeyote!! Lakini Rais dhaifu na asiye na lolote zaidi ya kuteua na kutengua kila uchao, na ambaye kwake ikulu ni pahali pa kupunga upepo yeye na walio karibu yake, atawahitaji wateule wanaokimbilia kumsifu kama hirizi ya cheo hata kama ni wavivu na/au hawawajibiki. Sishangai kofi kupigwa ktk huo mkutano ktk kila alisemalo Makamba kwani watu huandaliwa wafanye hivyo ili kusifu. Kwa hali ya maisha ilivyo ngumu, ajira hakuna, vitu bei juu na taabu nyingine huku ktk kipindi kifupi kisichozidi miaka mitatu cha Rais huyu AMEKOPA MARA TATU USHEE ya deni alilolikuta, ni wapambe tu wanaoweza kupiga kofi! Diaspora ya kweli ina uelewa isingempigia kofi Rais wa hivyo. Anaogopa katiba mpya kwa vile hataki uwajibikaji, anategemea wizi wa kura kubaki madarakani. Unampigiaje kofi Rais wa aina hiyo??
Kumbe SSH ndiye aliyeweka wakfu Malasusa😂
Acha kutupotosha we kibaka tu
Usije kudai nafasi ya juu kwakuwa umeongea maneno hayo!
Watanzania hakuitaka chanjo io,ndege zikwapi,mmerudisha waiz katka serikali ivi nyie hamuoni ziara ya makonda ilivo onyesha ubaya mkubwa unao fanywa na ccm,ccm haitakiwi kabisa Yan r.i.p magu
Wanafiki wengi sana kwenye hili liccm
SHKAMOONI WANAFIKI WANASIASA WA TZ , MUNGU ANAWAANGALIA NA ATASHUGHULIKA NANYI KILA MTU KWA MUDA WAKE , SISI WANANCHI TUNAANGALIA ,MUDA WAJA NA UMESHAFIKA 😢
Kumbe mtoto wa nyoka ni nyoka