DR SULLE AFICHUA SIRI YA AJABU KUHUSU MAFUTA YA UPAKO "MAFUTA YANARUDISHA MKE ALIYEKUACHA
Жүктеу.....
Пікірлер: 37
@ramadhaninyangasa7275Ай бұрын
Wachungaji wakiongea hata pumba ndiyo mnakubali, wakati kunavitu vingi wanawaficha wanajifanya kwa jina la yesu, huyo shekh yeye anaweka wazi mambo, kwani hayo mafuta wao wanapata wapi mbinguni 😂😂
@mohdmassoud749Ай бұрын
Nipeni tu like zangu leo 😊
@nomamatata754Ай бұрын
Anafundisha uchawi na kukana nguvu za Mungu,
@Yoo314Ай бұрын
Nilikuwa sitaki kucomment leo lakini duhhh! Hapo kwa Alam tara mara 73 ujisomee kiganjani alafu ukamsalimie mtu na akupe hela, hiyo ilikuwa ni mpya kwangu.
@user-ed1cf9nq5wАй бұрын
Mbona uchome moyo wa mtu akupende? Sasa ukiambiwa mchawi mbona unakataa?
@DafettyАй бұрын
😂😂😂😂 mbona kushungulija
@mosesmutharimi5837Ай бұрын
Mungh ametuonya kuhusu Hawa , Jeremiah 14/14
@user-ow2jv4vn8bАй бұрын
Mlisema Sisi waganga wakieji washilikina sasa Leo sure Kawa mganga haha
@AsuntaNgunyali-ch6kkАй бұрын
Màfuta sh.ngapi??no.ya dr Sule inapatikana vp?
@jayproducts5871Ай бұрын
MJUAJI SANA HUYU😊
@Yoo314
Ай бұрын
Mjuaji kivipi Sasa?
@sleyumngolo
Ай бұрын
Tatizo anajua
@lilmojr7Ай бұрын
Huyu anakoelekea ni pabaya anazidi kupoteza watu Allah amuongoze kesha kuwa mganga wa kienyeji
@saidrakwe8727Ай бұрын
huyu jamaa ana ubongo wa madini
@byabachwezirugemalila9838Ай бұрын
Maisha magumu yanadababisha watu kudanganywa na watu kama hawa
@SameerMdumbemalongoАй бұрын
Siri gani wakat wewe ni Mwanga saaahir....unatangaza ushirikina waziwazi....MZEEE WA NYAMBU....UNAUTUKANISHA SANA UISLAM EWE SULE.....DK NYUKI
@SameerMdumbemalongoАй бұрын
Huyu JAAAHILI ANA JIPYA GANI LABDA UTUFUNDISHE KUPAAA NA UNGO .......SURA IMEUNGUA NOW HALAFU UMENYOA O
@user-nr1qe7cw2nАй бұрын
Hayo mafuta yanaitwaje
@RogersSeifАй бұрын
Ana balaaa
@zahiruhamisi4162Ай бұрын
Coment azijibiwi sa tunaohitaj huduma zitatufikiaj?
@ackimackim1880Ай бұрын
KIGAGULA SULE,MAPEPO ULIYONAYO YATAKUUWA VIBAYA,USHAANZA KUA NA DALILI ZA KUWA MWEHU.KIMBILIA KWA YESU.
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
Acha zarau ungekuwa weweungekuwa wewe sio kigagula ungukuwa muislamu ila wewe kama ni mkristo ndo gigagula mwenyewe
@ackimackim1880
Ай бұрын
@@faudhiasaidi3669 ukweli unauma,kaa kimya tu sister Kuna mambo huyaelewi bado.
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@ackimackim1880 Punguza propaganda
@user-ob2ik5gy1bАй бұрын
Dr sule unajichanganya!.Quran husomwa kwa kutanguliza jina la Mwenyenzi Mungu,Unavyosema soma Alamtara bila bismillahi unamaana gani kama sio shirki? Ushirikina na uislam ni vitu viwili tofauti!..DR Sule hayo yote unayosema ni shirki usiwapotoe watu ?ulianza vizuri ila sasa unaangukia pua.
@Yoo314Ай бұрын
Leo hata sitaki nicomment chohote acha nisikilize tu na msisahau kunipitia huku tukizidi kumsikiliza sulley na mbwembwe zake.
@user-lf4ni8jx1iАй бұрын
Sure anapatikanaje tunashida nae jaman
@byabachwezirugemalila9838
Ай бұрын
Huyu ni tapeli tu
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@byabachwezirugemalila9838 Alikutapeli nn au unafata UPEPO? Epuka propaganda
@hatibunurdini1062Ай бұрын
Kaongooo😁😁
@Kujason12
Ай бұрын
Wewe hata historia ya familia yako hujui vipi kuhusu vitu kama ivi
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@Kujason12 😂🤣🤣🤣ni kweli
@user-ed1cf9nq5wАй бұрын
Sule mropokaji tu mjasiriamali
@user-nr1qe7cw2nАй бұрын
Namba zake nitapataje ninashida
@byabachwezirugemalila9838
Ай бұрын
Huyu jamaa ni tapeli anayosema yote sio kweli usipoteze pesa zako
Пікірлер: 37
Wachungaji wakiongea hata pumba ndiyo mnakubali, wakati kunavitu vingi wanawaficha wanajifanya kwa jina la yesu, huyo shekh yeye anaweka wazi mambo, kwani hayo mafuta wao wanapata wapi mbinguni 😂😂
Nipeni tu like zangu leo 😊
Anafundisha uchawi na kukana nguvu za Mungu,
Nilikuwa sitaki kucomment leo lakini duhhh! Hapo kwa Alam tara mara 73 ujisomee kiganjani alafu ukamsalimie mtu na akupe hela, hiyo ilikuwa ni mpya kwangu.
Mbona uchome moyo wa mtu akupende? Sasa ukiambiwa mchawi mbona unakataa?
😂😂😂😂 mbona kushungulija
Mungh ametuonya kuhusu Hawa , Jeremiah 14/14
Mlisema Sisi waganga wakieji washilikina sasa Leo sure Kawa mganga haha
Màfuta sh.ngapi??no.ya dr Sule inapatikana vp?
MJUAJI SANA HUYU😊
@Yoo314
Ай бұрын
Mjuaji kivipi Sasa?
@sleyumngolo
Ай бұрын
Tatizo anajua
Huyu anakoelekea ni pabaya anazidi kupoteza watu Allah amuongoze kesha kuwa mganga wa kienyeji
huyu jamaa ana ubongo wa madini
Maisha magumu yanadababisha watu kudanganywa na watu kama hawa
Siri gani wakat wewe ni Mwanga saaahir....unatangaza ushirikina waziwazi....MZEEE WA NYAMBU....UNAUTUKANISHA SANA UISLAM EWE SULE.....DK NYUKI
Huyu JAAAHILI ANA JIPYA GANI LABDA UTUFUNDISHE KUPAAA NA UNGO .......SURA IMEUNGUA NOW HALAFU UMENYOA O
Hayo mafuta yanaitwaje
Ana balaaa
Coment azijibiwi sa tunaohitaj huduma zitatufikiaj?
KIGAGULA SULE,MAPEPO ULIYONAYO YATAKUUWA VIBAYA,USHAANZA KUA NA DALILI ZA KUWA MWEHU.KIMBILIA KWA YESU.
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
Acha zarau ungekuwa weweungekuwa wewe sio kigagula ungukuwa muislamu ila wewe kama ni mkristo ndo gigagula mwenyewe
@ackimackim1880
Ай бұрын
@@faudhiasaidi3669 ukweli unauma,kaa kimya tu sister Kuna mambo huyaelewi bado.
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@ackimackim1880 Punguza propaganda
Dr sule unajichanganya!.Quran husomwa kwa kutanguliza jina la Mwenyenzi Mungu,Unavyosema soma Alamtara bila bismillahi unamaana gani kama sio shirki? Ushirikina na uislam ni vitu viwili tofauti!..DR Sule hayo yote unayosema ni shirki usiwapotoe watu ?ulianza vizuri ila sasa unaangukia pua.
Leo hata sitaki nicomment chohote acha nisikilize tu na msisahau kunipitia huku tukizidi kumsikiliza sulley na mbwembwe zake.
Sure anapatikanaje tunashida nae jaman
@byabachwezirugemalila9838
Ай бұрын
Huyu ni tapeli tu
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@byabachwezirugemalila9838 Alikutapeli nn au unafata UPEPO? Epuka propaganda
Kaongooo😁😁
@Kujason12
Ай бұрын
Wewe hata historia ya familia yako hujui vipi kuhusu vitu kama ivi
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@Kujason12 😂🤣🤣🤣ni kweli
Sule mropokaji tu mjasiriamali
Namba zake nitapataje ninashida
@byabachwezirugemalila9838
Ай бұрын
Huyu jamaa ni tapeli anayosema yote sio kweli usipoteze pesa zako
@yassinmohamed-pp3pq
Ай бұрын
Wanao mtukana sule ni mabwege
Aaache ushirikina wake muhuni tu huyu