DR SULLE AFICHUA SIRI YA AJABU KUHUSU MAFUTA YA UPAKO "MAFUTA YANARUDISHA MKE ALIYEKUACHA

Пікірлер: 37

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275Ай бұрын

    Wachungaji wakiongea hata pumba ndiyo mnakubali, wakati kunavitu vingi wanawaficha wanajifanya kwa jina la yesu, huyo shekh yeye anaweka wazi mambo, kwani hayo mafuta wao wanapata wapi mbinguni 😂😂

  • @mohdmassoud749
    @mohdmassoud749Ай бұрын

    Nipeni tu like zangu leo 😊

  • @nomamatata754
    @nomamatata754Ай бұрын

    Anafundisha uchawi na kukana nguvu za Mungu,

  • @Yoo314
    @Yoo314Ай бұрын

    Nilikuwa sitaki kucomment leo lakini duhhh! Hapo kwa Alam tara mara 73 ujisomee kiganjani alafu ukamsalimie mtu na akupe hela, hiyo ilikuwa ni mpya kwangu.

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5wАй бұрын

    Mbona uchome moyo wa mtu akupende? Sasa ukiambiwa mchawi mbona unakataa?

  • @Dafetty
    @DafettyАй бұрын

    😂😂😂😂 mbona kushungulija

  • @mosesmutharimi5837
    @mosesmutharimi5837Ай бұрын

    Mungh ametuonya kuhusu Hawa , Jeremiah 14/14

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8bАй бұрын

    Mlisema Sisi waganga wakieji washilikina sasa Leo sure Kawa mganga haha

  • @AsuntaNgunyali-ch6kk
    @AsuntaNgunyali-ch6kkАй бұрын

    Màfuta sh.ngapi??no.ya dr Sule inapatikana vp?

  • @jayproducts5871
    @jayproducts5871Ай бұрын

    MJUAJI SANA HUYU😊

  • @Yoo314

    @Yoo314

    Ай бұрын

    Mjuaji kivipi Sasa?

  • @sleyumngolo

    @sleyumngolo

    Ай бұрын

    Tatizo anajua

  • @lilmojr7
    @lilmojr7Ай бұрын

    Huyu anakoelekea ni pabaya anazidi kupoteza watu Allah amuongoze kesha kuwa mganga wa kienyeji

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727Ай бұрын

    huyu jamaa ana ubongo wa madini

  • @byabachwezirugemalila9838
    @byabachwezirugemalila9838Ай бұрын

    Maisha magumu yanadababisha watu kudanganywa na watu kama hawa

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongoАй бұрын

    Siri gani wakat wewe ni Mwanga saaahir....unatangaza ushirikina waziwazi....MZEEE WA NYAMBU....UNAUTUKANISHA SANA UISLAM EWE SULE.....DK NYUKI

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongoАй бұрын

    Huyu JAAAHILI ANA JIPYA GANI LABDA UTUFUNDISHE KUPAAA NA UNGO .......SURA IMEUNGUA NOW HALAFU UMENYOA O

  • @user-nr1qe7cw2n
    @user-nr1qe7cw2nАй бұрын

    Hayo mafuta yanaitwaje

  • @RogersSeif
    @RogersSeifАй бұрын

    Ana balaaa

  • @zahiruhamisi4162
    @zahiruhamisi4162Ай бұрын

    Coment azijibiwi sa tunaohitaj huduma zitatufikiaj?

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880Ай бұрын

    KIGAGULA SULE,MAPEPO ULIYONAYO YATAKUUWA VIBAYA,USHAANZA KUA NA DALILI ZA KUWA MWEHU.KIMBILIA KWA YESU.

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    Acha zarau ungekuwa weweungekuwa wewe sio kigagula ungukuwa muislamu ila wewe kama ni mkristo ndo gigagula mwenyewe

  • @ackimackim1880

    @ackimackim1880

    Ай бұрын

    @@faudhiasaidi3669 ukweli unauma,kaa kimya tu sister Kuna mambo huyaelewi bado.

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    @@ackimackim1880 Punguza propaganda

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1bАй бұрын

    Dr sule unajichanganya!.Quran husomwa kwa kutanguliza jina la Mwenyenzi Mungu,Unavyosema soma Alamtara bila bismillahi unamaana gani kama sio shirki? Ushirikina na uislam ni vitu viwili tofauti!..DR Sule hayo yote unayosema ni shirki usiwapotoe watu ?ulianza vizuri ila sasa unaangukia pua.

  • @Yoo314
    @Yoo314Ай бұрын

    Leo hata sitaki nicomment chohote acha nisikilize tu na msisahau kunipitia huku tukizidi kumsikiliza sulley na mbwembwe zake.

  • @user-lf4ni8jx1i
    @user-lf4ni8jx1iАй бұрын

    Sure anapatikanaje tunashida nae jaman

  • @byabachwezirugemalila9838

    @byabachwezirugemalila9838

    Ай бұрын

    Huyu ni tapeli tu

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    ​@@byabachwezirugemalila9838 Alikutapeli nn au unafata UPEPO? Epuka propaganda

  • @hatibunurdini1062
    @hatibunurdini1062Ай бұрын

    Kaongooo😁😁

  • @Kujason12

    @Kujason12

    Ай бұрын

    Wewe hata historia ya familia yako hujui vipi kuhusu vitu kama ivi

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    ​@@Kujason12 😂🤣🤣🤣ni kweli

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5wАй бұрын

    Sule mropokaji tu mjasiriamali

  • @user-nr1qe7cw2n
    @user-nr1qe7cw2nАй бұрын

    Namba zake nitapataje ninashida

  • @byabachwezirugemalila9838

    @byabachwezirugemalila9838

    Ай бұрын

    Huyu jamaa ni tapeli anayosema yote sio kweli usipoteze pesa zako

  • @yassinmohamed-pp3pq

    @yassinmohamed-pp3pq

    Ай бұрын

    Wanao mtukana sule ni mabwege

  • @alimohamedalhinduwaan7685
    @alimohamedalhinduwaan7685Ай бұрын

    Aaache ushirikina wake muhuni tu huyu

Келесі