ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE

Пікірлер: 312

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3sАй бұрын

    Masha Allah nakuombea Allah akuhifadhi

  • @zayumar2955
    @zayumar2955Ай бұрын

    MashaAllah MashaAllah ukewenza raha yake wote muwe na dini na pia pesa iwepo (Sheikh Sule 1 akitoka naomba nafasi😅😅) hapo hakutakua na shida sio wengine wanajua suna ya kuowa tu huduma 0 matokeo yake ndio hayo kutesa watt wawatu na kuona ukewenza haufai

  • @user-gu1lg2zr8s

    @user-gu1lg2zr8s

    Ай бұрын

    Ujakufika ukajua. Dk sule kwanza kawapiga kisomo apo awajielewi 😂

  • @zayumar2955

    @zayumar2955

    Ай бұрын

    @@user-gu1lg2zr8s hapanaaaaaaaaaaa bana ukewenza Raha yake mume awe na pesa na pia nyote muwe na Iman ndan ya mioyo yenu vinginevyo hamtoboi hata kama pesa iwepo

  • @BIGBOSS-hl3bu

    @BIGBOSS-hl3bu

    Ай бұрын

    Wanawake wanaojiuza WANAWEZA KUKAA na bwana mmoja tena Kuna muda wanashea mabwana na mashoga kitu ambacho ni uchafu zaidi ya uchafu lakini huku kwenye kheri na barka mnaona jambo baya ndio maana masingo mother wamejaaa na wanazidi kila siku

  • @user-gu1lg2zr8s

    @user-gu1lg2zr8s

    Ай бұрын

    @@BIGBOSS-hl3bu kumbuka wanawake wanaojiuza awajainvest mapenzi yao pale. Wanajua ile kwao kazi akija mteja mmemalizana hapa katika ndoa kuna jambo kama penzi tusiwe waongo kushare mapenzi kunauma, kumbuka uyu ni mtu alopanga nae maisha na vitu vingi, kuna watoto unaanzaje kuona mwanamke mwengine anapendwa na mumeo? Sio rahisi wanaume msioijua dini ndio mnaona rahisi dini yenyewe imesema wazi sio jambo la rahisi apo panatakiwa ushirikiano Mkubwa sana kutoka kwa Allah kuweza kuwatia wale wanawake moyo wa kustahimilia, kwa hio usiwachukulie wanawake Wabaya, angalia wanaume wengi waliobobea kwenye dini wanabakia na mke mmoja na sio kwamba hawana kipato, kipo lakini wanajua ni mtihani na pia wanaume wengi wanapata dhambi sana katika ndoa ya mathna, ni ngumu sana kupenda wanawake wote sawa lazima moyo utazama kwa mmoja. Walio na nyoyo za subra watavumilia wasio weza rukhsa kukata dini haijalazimisha uke wenza mnaolazimisha ni nyinyi tu

  • @zayumar2955

    @zayumar2955

    Ай бұрын

    @@BIGBOSS-hl3bu usitujumuishe tafadhali Sheikh 😅😅😅

  • @user-cr6mn4ks5f
    @user-cr6mn4ks5fАй бұрын

    Dadaangu unapendeza sana ukivaa hivyo nakupenda kwaajili ya Allah❤

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9mАй бұрын

    Mashallah mashallah honger kwa msimamoo mwanaume ni kichwaaa cha familiaa

  • @user-wl8cq2rn8z
    @user-wl8cq2rn8z18 күн бұрын

    It's all about psychological issue basing on faith ❤

  • @user-kq1sx1uc6z
    @user-kq1sx1uc6zАй бұрын

    Mashaallahh mashaallahh . hongera shekh inapendeza Sana ♥️

  • @ZenaOsman-mr7lj
    @ZenaOsman-mr7ljАй бұрын

    Congratulations,Dr.sulle. hongera tena.sitara ni Sunna ya mtume wetu Mohammad S.A.W.

  • @DjanatWatoto
    @DjanatWatotoАй бұрын

    ManshaAllah , Allah awape kila kizuri fidunia wari akhera, ukewenza nilaha ❤❤❤

  • @user-pf9mt2yt4l

    @user-pf9mt2yt4l

    Ай бұрын

    Amiin yaarab Amiin

  • @user-pf9mt2yt4l

    @user-pf9mt2yt4l

    Ай бұрын

    Uke wenza ni raha mnapenda kama ndugu mnaishi❤

  • @ArnoldSalim

    @ArnoldSalim

    Ай бұрын

    Amiin thumma amiin ❤❤❤

  • @kuborashid9351
    @kuborashid9351Ай бұрын

    Dada yupo vizuri sana mahojiano yake anauliza maswali ya muhimu alafu sauti Masha Allah

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3umАй бұрын

    Wewe unaesema hutaki ndoa za kushea huenda labda unae michepuko kibao Bora mmeo aoe kwani haki kuoa na kuolewa

  • @user-pf9mt2yt4l

    @user-pf9mt2yt4l

    Ай бұрын

    Asaaaante Kweli kabisa maneno yako

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583Ай бұрын

    MashaAllah , nikhere Allah awajaze kheri naupendo .

  • @adijamuke8590
    @adijamuke8590Ай бұрын

    Allah akuhifadhi shekhe wetu.

  • @ArnoldSalim

    @ArnoldSalim

    Ай бұрын

    Amiin thumma amiin

  • @aliakidiva7060
    @aliakidiva706024 күн бұрын

    Umesema ukweli bro sule Allah kisha ukuwe na namsimamo kama mume tuko pamoja Niko na wawili natarajia kuongeza In shaa Allah

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4lАй бұрын

    Mimi pia kama ningekuwepo huko basi ningelisubiria nafasi ya mke mwengine akitoka ili nizibe pengo❤kwa Dr.Sulle.

  • @MWAJUMAKHERI-jt4qj

    @MWAJUMAKHERI-jt4qj

    Ай бұрын

    We mchawi haondoki mtu

  • @SharifaAthumani-ws5hv
    @SharifaAthumani-ws5hvАй бұрын

    Masha allah allah akulipe. Herry inshaallah

  • @Fadhila-xk2sw
    @Fadhila-xk2swАй бұрын

    Mashaallah Allah akuzidishie uwadilifu

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3sАй бұрын

    Laiti wanaume wote wangekua kama wewe walah Kila mwanamke angekubali ukewenza

  • @fatmasaleh2707

    @fatmasaleh2707

    Ай бұрын

    😊

  • @user-jw7qq1rt4r

    @user-jw7qq1rt4r

    Ай бұрын

    Ni sahihi kabisa

  • @aooshosho4255

    @aooshosho4255

    Ай бұрын

    Na pia kaa wanawake wote wangekuwa kaa wanawake wake Kila mwanaume angekuwa na wanna na riziki ingeongezeka mara dufu.

  • @SaidHassan-ot3un

    @SaidHassan-ot3un

    Ай бұрын

    @@aooshosho4255 jibu-limeenda-shule

  • @DaudMuhammedDjuma
    @DaudMuhammedDjumaАй бұрын

    Mashallah alhamndulillah ongera dr Sule hata mimi ninao wawili na Sina pesa ila alhamndulillah tumetulia nakushibana Allah mkubwa

  • @shamsaalsalamy5159
    @shamsaalsalamy5159Ай бұрын

    Baba yangu aliishi na wake 4 tens nyumba 1 na mpaka wamehitimishana, inatakiwa busara za mume wao tu. Kwa hiyo si ajabu dr shule kuishi na wekeza 4.

  • @Nfffff
    @NfffffАй бұрын

    Mimi muislam napenda uke wenza ❤❤😢xana

  • @user-my4dr5oq6v

    @user-my4dr5oq6v

    Ай бұрын

    Unapatikana wap nilete posa

  • @SalimSalim-mh4kt

    @SalimSalim-mh4kt

    Ай бұрын

    Assalamu alaykum,kweli?

  • @batulialmass8914

    @batulialmass8914

    Ай бұрын

    Hata mimi napenda sana

  • @SaidHassan-ot3un

    @SaidHassan-ot3un

    Ай бұрын

    @@user-my4dr5oq6v kwakusema-hivyo-tu-ndio-unataka-upeleke-posa!kuwa-makin-usiwe-na-pupa

  • @georgeslupopo6215
    @georgeslupopo6215Ай бұрын

    Mungu akuokowe katika maisha ya uzinifu, umujuwe Yesu-Kristo kua bwana namokozi wamaisha yako

  • @IbrahimIbrahim-cl5jw

    @IbrahimIbrahim-cl5jw

    Ай бұрын

    ACHA ujinga

  • @kautharjay5868

    @kautharjay5868

    Ай бұрын

    haha upo sawa kwel?? ndoa ni uzinifu

  • @MariamAlly-hk7io

    @MariamAlly-hk7io

    Ай бұрын

    Dini yake sioyako

  • @user-oo1fs7lp6d

    @user-oo1fs7lp6d

    16 күн бұрын

    Sasa ww unaleta mambo ya yesu na hakuwai kuoa unataka tupige punyeto au🤔tafuta dini kwanza alaf uje ukoment

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4lАй бұрын

    MaashaAllah Dr.Sulle ninamuamini kabisa ni mwanaume wa kikweli na yuko imara❤

  • @user-rs6tb6sv9m

    @user-rs6tb6sv9m

    Ай бұрын

    Una muamini vp ume lala nae

  • @SaidHassan-ot3un

    @SaidHassan-ot3un

    Ай бұрын

    @@user-rs6tb6sv9m tumekatazwa-kudhaniana-kwa-ubaya!naamin-hayo-ni-mapenzi-yake-tu!

  • @alimwadima254
    @alimwadima254Ай бұрын

    Yawezekana Bora Tu upate Wenye Kuifahamu Dini vilivyo... Controller ni Mume siku zote MashaAllah Sunnah tul Nabii

  • @nasrahalkanonasrahalkano
    @nasrahalkanonasrahalkano20 күн бұрын

    Maashaallah mungu awahifadhi

  • @user-qk5tr8dt7j
    @user-qk5tr8dt7jАй бұрын

    Alafu et anajiita mtu wamungu wakati anaonekan kabsa ni muhun tu mungu atusaidie Sana Mana waislam weng wanamwamin hyu jamaa alaf nimganga wakienyeji daah mungu atuhurumie sanaa

  • @MariamAlly-hk7io

    @MariamAlly-hk7io

    Ай бұрын

    Haikuhusu sio muumini meenzako angalia yako

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4lАй бұрын

    Amiin Allah Wallahi unaweza ukawa umeolewa upo peke yako kwenye ndoa Lakini ukawa huna raha wala amani kwenye ndoa yako.. Na ukawa umeolewa upo kwenye ndoa ya uke wenza na mukaishi kumdhibiti mume wenu na mukawa na umoja mukaishi kwa raha na Aman❤i❤

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani6300Ай бұрын

    Mashallah hongera sana

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4qАй бұрын

    Sawa sawa master Dr. Sule

  • @nancyenock5601
    @nancyenock5601Ай бұрын

    Naona wanaokataa ukewenza wote ni waisilam hapo ndiyo ujue mapenz hayagawanyki

  • @batulialmass8914

    @batulialmass8914

    Ай бұрын

    Sio waslamu wate

  • @user-th8bo9lu8n
    @user-th8bo9lu8nАй бұрын

    Sasa mm nashangaa ndo za waislam afrika wanajali Sana uke wenza ila Waarabu Sasa huwa nacheka wanavimba uwiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 kuna madam wangu hapa mwambie Sasa uke wenza umuone povu 😅😅😅

  • @MashakaRashid-fw3xu
    @MashakaRashid-fw3xuАй бұрын

    Mashallah dr sule❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZikiАй бұрын

    Masha Allah mungu awazidishiy mapenzi yenu

  • @user-pf9mt2yt4l

    @user-pf9mt2yt4l

    Ай бұрын

    Allahumma Amiin Amiin yaarab Amiin

  • @HalimaAlly-dt5lm
    @HalimaAlly-dt5lmАй бұрын

    Mashaallahh ❤ mm nimwislam lakin uke wennza nauogopa sana kwasababu niliolewa nikateseka sana

  • @selemanemomadeformassane3441
    @selemanemomadeformassane3441Ай бұрын

    MashaALLAH

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzaniaАй бұрын

    MashaaAllah

  • @mohdbest5859
    @mohdbest5859Ай бұрын

    huyu sule alikuwa mpole Sana lkn kwa sasa media zimemteka na amini usiamini sule ukizidi kuendekeza hizi media utajishushia hadhi maana sasa hivi mara ona mjengo wa sule mara unamiliki vx mara natongozwa sheikh mzima unaongeaje pumba kiasi hicho‽ sasa ushaanza kuongelea wake zako wakati kina mufti wapo kitambo hawaongei wake zao

  • @TpPt-do5vg

    @TpPt-do5vg

    Ай бұрын

    Kwani Shida gani hapo kuelezea kuhusu Ndoa, mbona hata mtume Muhammad s.a.w. Imeelezewa wake zake au ujasoma weye,.

  • @ShabaniShabani-fg7rm
    @ShabaniShabani-fg7rmАй бұрын

    Nashukuru mungu Mimi Nina wata3 naishi nao pamoja tena Kwa amani kubwa ila wananisema sanaaaaaaa.

  • @HassanMjaka
    @HassanMjaka21 күн бұрын

    Allah awahifadhi

  • @maryamathman8917
    @maryamathman8917Ай бұрын

    Wallahi uke wenza wataka moyo kwakweli

  • @user-pf9mt2yt4l

    @user-pf9mt2yt4l

    Ай бұрын

    Hamna lolote ukewenza ni mapenzi ya ndugu na madada kuishi pamoja.. Ukiwa Muislaam wa kweli na ukiwa na imani ya kweli.. Basi sio kazi Unaishi kawaida tu.. Kwani imeshaamini kuwa mwenye kuruzuku ni Allah peke yake na hana mshirika..

  • @SaidHassan-ot3un

    @SaidHassan-ot3un

    Ай бұрын

    @@user-pf9mt2yt4l inaonyesha-unaupenda?

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251Ай бұрын

    Mimi nimeoa wake wawili na wote naishi nao kwenye nyumba moja ila kila mke ana chumba chake na wanapendana sana Allah aniongoze katika ndoa yangu

  • @RahimaMct-ik8mr

    @RahimaMct-ik8mr

    Ай бұрын

    Allah wanariki wazid kupendan

  • @RahimaMct-ik8mr

    @RahimaMct-ik8mr

    Ай бұрын

    Allah wanariki wazid kupendan

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6kАй бұрын

    Kama wana dini ndani yao wanakaa sana pamoja.

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Ай бұрын

    Sio wote wenye dini na wanaroho safi,baadhi ya wenye dini wanajionesha nje wanadini"lkn niwanachoyo na roho mbaya kwa wenzie! Na utakuta hamuwezi mume na hayawezi yote ktk Ndoa

  • @MussaThomasmassawe-ji9hv
    @MussaThomasmassawe-ji9hv14 күн бұрын

    Wewe ukubali ukeweza mbona yakobo alikuwa na wake mussa liowa wake wawili Kama unataka mume moja wewe sio mwanamke unaijuwa dini ya kislamu

  • @MussaThomasmassawe-ji9hv

    @MussaThomasmassawe-ji9hv

    14 күн бұрын

    Mtume Muhammad SWA rasuulallah tutapata thawabu alikuwa na wake Bibi hadija aisha na wengine

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957Ай бұрын

    Comments zitaniua😂😂😂😂Dr sulle ayo ni maamuzi yake haimaanishii kila mwanaume aige mfano wake Laa wanaume watofautiana jamanii

  • @Bless-sk8uv

    @Bless-sk8uv

    9 күн бұрын

    Lazima tuige coz ni jambo jema kuna elimu tunajifunza

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4qАй бұрын

    Saluti to u I'm coming there

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117Ай бұрын

    Wanaume wengi wanaowa kwa tamaa tu km huna pahala pa kuwaweka kuna haja gani ya kuowa wanne kisha uwakusanye km kuku.kuowa zaidi ya mmoja ni uwe muadilifu uwapende na kuwatendea haki sawa lkn kuwakusanya km sardine hapana kwa kweli

  • @sheemaryam

    @sheemaryam

    Ай бұрын

    Kama hawana shida ni sawa ata othman Michael akona wawili na wanaishi pamaoja

  • @user-th8bo9lu8n

    @user-th8bo9lu8n

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kati ya comment zote umetisha

  • @FatiuHussein
    @FatiuHusseinАй бұрын

    Mashaallah ❤❤❤❤

  • @suleimansoud2783
    @suleimansoud2783Ай бұрын

    MaaShaaAllah

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092Ай бұрын

    The ayaat of marriage, the ulama have divided it into 4 interpretations: 1) you can marry 4 women 2) 9 wives 3) 18 wives 4) more than 18 wives As you know, all doctrines have their own opinions and evidence. No one can say that those who support the opinion of 4 women are right! In Islam, every opinion is taken into account, because all doctrines have endeavored to reach their decisions through probabilities!

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473Ай бұрын

    Wanajificha kwenye uislum uzinifu wa hali ya juu

  • @bijou5038
    @bijou5038Ай бұрын

    Huyu musimusikilize mwizi mukubwa muone😢😢😢

  • @user-ym6sh7jh2t
    @user-ym6sh7jh2t17 күн бұрын

    Nimempenda hiyo mwanahabari

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298Ай бұрын

    Pesa unazo bila ya pesa wasengelikaa hata sekunde 1

  • @yasminjuma9146

    @yasminjuma9146

    Ай бұрын

    Kweli

  • @user-oo1fs7lp6d

    @user-oo1fs7lp6d

    16 күн бұрын

    Mbona mtume alikuwa maskin na alikuwa na wake 9 na hajawaacha

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4lАй бұрын

    Kikweli kabisa maneno yako ya murua na ya imani ya kweli uke wenza ameujaalia Allah.. Ameelezea kwenye surat Al Baqarah

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    Gig up dkt sule,mimi nipo nyuma yako saiv nna wawili napambana nipate 3😂😂😂

  • @user-pf9mt2yt4l

    @user-pf9mt2yt4l

    Ай бұрын

    MaashaAllah nakuomba uchukue mafunzo kwa wenye uzoefu ambao wamekutangulia kama Dr.Sulle. Ninamuomba Allah akuwezeshe na akupe nguvu na imani.. Amiin yaarab Amiin

  • @Allybinamour

    @Allybinamour

    Ай бұрын

    @@user-pf9mt2yt4l amin amin amin. jazakallahu khairaaa

  • @user-we3ck6jv8o
    @user-we3ck6jv8oАй бұрын

    Hongera kaka ila wajengee kila mtu nyumba yake itapendeza zaidi.

  • @SaidHassan-ot3un

    @SaidHassan-ot3un

    Ай бұрын

    Kwan-kuna-ubaya-gan-wakat-wenyiwao-wameshakubalian?

  • @makameJuma-ex3ps
    @makameJuma-ex3psАй бұрын

    Dada etu mavazi usiyaache ayo yamekupendezesha mno

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959Ай бұрын

    Hongera sana dr sulle

  • @fatumamwande2833
    @fatumamwande2833Ай бұрын

    Mashallah,❤❤❤❤

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4lАй бұрын

    Kwa hiyo kwenye kumuamini Allah na mwenye kuwa na imani ya kweli kabisa baai hawezi kuyapinga maneno ya Allah ambae ametuamrisha..

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120Ай бұрын

    Ibilisi ni wewe kama mume anamsimamo make vizuli sana ilawengi choyo anaroho mbaya

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743Ай бұрын

    Jamani wallah napenda uke wenza kwanza mme kila siku humkinai na wala huwezi kumnyima usiku manaje ataenda kulala kwa mke mwingine akija lazima utamfurahia tu lskini kila siku mko wawili tu lazima mtachokana

  • @user-qh9jj5xz3p
    @user-qh9jj5xz3pАй бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dyАй бұрын

    Swadakta 💯💯💯👏

  • @MustafaAlly-su4dp
    @MustafaAlly-su4dpАй бұрын

    Mmh huyu shee ana shida,hapendi kusoma dini ila anapenda kuongea sana.Atwambie Mtume swalallahu alyhiwassalaama alifanya hivo au lifundisha hivo, kuwaweka wanawake w4 nyumba1

  • @SababuChinunga-ff8ul
    @SababuChinunga-ff8ulАй бұрын

    Yuko Sawa shehee wangu mimi mwenyewe mwaka waa12 atujawai gombana atuna pesa ira tunaishi kikubwa kuondoa umbea wauku kupereka uku

  • @KhadijaChogogwe
    @KhadijaChogogwe24 күн бұрын

    Maashallah

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400Ай бұрын

    Mmh minapenda kweli ila hio yakukazwa nyumba moja hapana kweli uongo zambi sintoweza

  • @SaidHassan-ot3un

    @SaidHassan-ot3un

    Ай бұрын

    Kukazwa-tena!

  • @Bless-sk8uv

    @Bless-sk8uv

    9 күн бұрын

    Unakazwa vipi?

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468Ай бұрын

    Chamsingi Amani na Upendo

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092Ай бұрын

    Dk Sulle, Aya ya ndoa, maulamaa wameigawanya katika tafsiri 4: 1) unaweza kuoa wanawake 4 2) wake 9 3) wake 18 4) zaidi ya wake 18 Kama unavyojua, mafundisho yote yana maoni na ushahidi wao wenyewe. Hakuna mtu anayeweza kusema kwamba wale wanaounga mkono maoni ya wanawake 4 ni sawa! Katika Uislamu, kila rai inazingatiwa, kwa sababu mafundisho yote yamejitahidi kufikia maamuzi yao kwa njia ya uwezekano!

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599Ай бұрын

    Shekhe anawapiga kamba Mkubwa anakaa peke ake bhana na wale wengine wanakaa wawili huyo mmoja sijui kaoa lini

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2obАй бұрын

    😂😂 Pretend, Shekhe naona kimagharibi kwa sana😂😂

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4jАй бұрын

    Iyo moja mm sitaiweza ata km niko muislamu siwezii uke wena

  • @jumaevarist9103

    @jumaevarist9103

    Ай бұрын

    Roho mbaya tu

  • @user-py1ob2ou2w
    @user-py1ob2ou2wАй бұрын

    Acha umalaya

  • @yahfatmudswiddiq2271
    @yahfatmudswiddiq2271Ай бұрын

    hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! kama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9bАй бұрын

    Huez elewa life style kwa siku moja 😂😂😂

  • @jumaramadhan5903
    @jumaramadhan5903Ай бұрын

    Sister nakupenda na ninataka ku kuoa je tuna weza kuongea kuhusu hili

  • @yahfatmudswiddiq2271
    @yahfatmudswiddiq2271Ай бұрын

    hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! jama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa

  • @bintomar8653
    @bintomar8653Ай бұрын

    Nyie mnao sema kwa yesu kuna raha unaoa mke umevaa pete kidoleni na bado unatoka nje muogopeni mungu sio kuwasema waisilamu vibaya heri yeye kaoa wake wa nne kuliko wewe ulieoa mke mmoja na ukiviona vya nje mate yakudondoka.

  • @user-pf9mt2yt4l

    @user-pf9mt2yt4l

    Ай бұрын

    Asaaante maneno yako ni kweli😅

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6dАй бұрын

    Raha sana

  • @SalmaBashingwa
    @SalmaBashingwaАй бұрын

    Mm ninamke mwenzangu hatujahi kuongea toka nimeolewa mm nickel mdg

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ruАй бұрын

    Ahsante

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2oАй бұрын

    Namimi naitajiii kuongezaaa Mk eee nimepataaa fundishoooo kakaaa

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254Ай бұрын

    Unataka pesa kaoe bengi🇰🇪🇰🇪

  • @user-yt3nb3uc9i
    @user-yt3nb3uc9iАй бұрын

    Kujiendekezaa tuu na kuendekeza nafsi Kila unachokitaka kwenye nafsi yako we inataka ufanye hio ni sw shirki

  • @abudalaabdumalik9362
    @abudalaabdumalik9362Ай бұрын

    Masheeee bwana mnatupa wakati mgumu wewe ulikuwa unamesema msanii mmoja Kuhusu pete Apo naona vile vidole ulivyo kataaa kikiwemo cha shahada naona kina pete Ya nn iyo

  • @TpPt-do5vg
    @TpPt-do5vgАй бұрын

    Nampenda huyu dokta suley yaani sio muoga

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298Ай бұрын

    Mapenzi bila ya pesa kwanawaka wasasa sahivi hawa sio wanawake hawa wanawaka

  • @madamshifaa8503
    @madamshifaa8503Ай бұрын

    😢😢😢yarabi nisaidie, nina moyo mwepes jaman nitashindwa mie

  • @assfzainab912

    @assfzainab912

    Ай бұрын

    Pia mie😂😂 cyawezi mungu nisamehe

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Ай бұрын

    Anajifanya mjanja.Sisi wanawake ni ibilisi hatupendani😅😅

  • @khadijanurdin3163

    @khadijanurdin3163

    Ай бұрын

    Sema wewe ni ibilis usitujumuishe sote

  • @nancyenock5601

    @nancyenock5601

    Ай бұрын

    Kasema kweli mwanamke ni ibillisi

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090Ай бұрын

    Yani natamani nipate namba ya sheikh mmoja nimuulize maswali anijibu kwa ufasaha labda nitaelewa kama kuna makosa nakosea masna hizi haiko mbali kuvunjika ndoa yangu

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119Ай бұрын

    Anautaka sana huu Umbea😂😂😂

  • @yankanafamily
    @yankanafamilyАй бұрын

    Don't trust anyone in this world.be careful

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254Ай бұрын

    Ndoa ya Kikiristo mi imenishangaza unamuona mama anafanya harusi na baba watoto na watoto already wapo form4🇰🇪🇰🇪

  • @lordenoughforme4417

    @lordenoughforme4417

    Ай бұрын

    Uzinifu kwao nikitu cha kawaida2

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Ай бұрын

    😂 umenichekesha sana na umenikumbusha sana 😂 hizo zipo sana. Wengine wanasema kukamilisha 😂

  • @user-th8bo9lu8n

    @user-th8bo9lu8n

    Ай бұрын

    Tofauti Sha makanisa ukristo ndio lkn Kuna makanisa hayaruhusu

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401Ай бұрын

    Mtu mwenyewe kanyata😂

  • @RamadhaniOmary-hn4my
    @RamadhaniOmary-hn4myАй бұрын

    Sheikh wang nakukumbusha usiache mavaz ya Snna

  • @user-my4dr5oq6v
    @user-my4dr5oq6vАй бұрын

    Hao ni wake au mananau jamani

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200Ай бұрын

    Kisakalogia.Nakuja mimi mke wa 5

  • @AbdiAbdalla-wy4yd
    @AbdiAbdalla-wy4ydАй бұрын

    Jamani mm nimeowa wake wawili na wote naishi nao nyumba moja na wanaishi vizur

  • @emanuelkyomo3772

    @emanuelkyomo3772

    Ай бұрын

    Hiyo yafaa kilichoharamu ni kukaa chumba kimoja wake zote

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616Ай бұрын

    Hilo la pesa, hata ukiwa na mke mmoja , ukichacha anakukimbia

  • @aooshosho4255

    @aooshosho4255

    Ай бұрын

    Na pia akikuvumilia heshima yapotea

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880Ай бұрын

    UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAKUA NA MAMBO YA HOVYO,UJINGA WA MAMBO KAMA SULE.KWA YESU TUNASTARABIKA SANA, ASANTE YESU.

  • @AbdallaKhalfan-ic5ek

    @AbdallaKhalfan-ic5ek

    Ай бұрын

    Uislamu ndio dini ya haki huwezi kuwa wa hovyo hata siku moja

  • @ackimackim1880

    @ackimackim1880

    Ай бұрын

    Dini sio njia ya kwenda mbinguni,YESU tu ndio njia ya kwenda mbinguni, Dini hata wachawi Wana dini,Hadi wavuta bangi Wana Dini.

  • @AbdallaKhalfan-ic5ek

    @AbdallaKhalfan-ic5ek

    Ай бұрын

    Dini ya kiislamu ndio ambayo itakusaidia kupata mafanikio katika mwisho wa maisha Yako sio yesu ni mtu sio mungu ,Mungu ni Moja TU Hana mfano wa sifa ya viumbe alivyo viumba kwa hio yeye ndio mfanyaji na mpabgaji wa Kila kitu