ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE
Жүктеу.....
Пікірлер: 312
@user-oy8sb7jg3sАй бұрын
Masha Allah nakuombea Allah akuhifadhi
@zayumar2955Ай бұрын
MashaAllah MashaAllah ukewenza raha yake wote muwe na dini na pia pesa iwepo (Sheikh Sule 1 akitoka naomba nafasi😅😅) hapo hakutakua na shida sio wengine wanajua suna ya kuowa tu huduma 0 matokeo yake ndio hayo kutesa watt wawatu na kuona ukewenza haufai
@user-gu1lg2zr8s
Ай бұрын
Ujakufika ukajua. Dk sule kwanza kawapiga kisomo apo awajielewi 😂
@zayumar2955
Ай бұрын
@@user-gu1lg2zr8s hapanaaaaaaaaaaa bana ukewenza Raha yake mume awe na pesa na pia nyote muwe na Iman ndan ya mioyo yenu vinginevyo hamtoboi hata kama pesa iwepo
@BIGBOSS-hl3bu
Ай бұрын
Wanawake wanaojiuza WANAWEZA KUKAA na bwana mmoja tena Kuna muda wanashea mabwana na mashoga kitu ambacho ni uchafu zaidi ya uchafu lakini huku kwenye kheri na barka mnaona jambo baya ndio maana masingo mother wamejaaa na wanazidi kila siku
@user-gu1lg2zr8s
Ай бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu kumbuka wanawake wanaojiuza awajainvest mapenzi yao pale. Wanajua ile kwao kazi akija mteja mmemalizana hapa katika ndoa kuna jambo kama penzi tusiwe waongo kushare mapenzi kunauma, kumbuka uyu ni mtu alopanga nae maisha na vitu vingi, kuna watoto unaanzaje kuona mwanamke mwengine anapendwa na mumeo? Sio rahisi wanaume msioijua dini ndio mnaona rahisi dini yenyewe imesema wazi sio jambo la rahisi apo panatakiwa ushirikiano Mkubwa sana kutoka kwa Allah kuweza kuwatia wale wanawake moyo wa kustahimilia, kwa hio usiwachukulie wanawake Wabaya, angalia wanaume wengi waliobobea kwenye dini wanabakia na mke mmoja na sio kwamba hawana kipato, kipo lakini wanajua ni mtihani na pia wanaume wengi wanapata dhambi sana katika ndoa ya mathna, ni ngumu sana kupenda wanawake wote sawa lazima moyo utazama kwa mmoja. Walio na nyoyo za subra watavumilia wasio weza rukhsa kukata dini haijalazimisha uke wenza mnaolazimisha ni nyinyi tu
Yawezekana Bora Tu upate Wenye Kuifahamu Dini vilivyo... Controller ni Mume siku zote MashaAllah Sunnah tul Nabii
@nasrahalkanonasrahalkano20 күн бұрын
Maashaallah mungu awahifadhi
@user-qk5tr8dt7jАй бұрын
Alafu et anajiita mtu wamungu wakati anaonekan kabsa ni muhun tu mungu atusaidie Sana Mana waislam weng wanamwamin hyu jamaa alaf nimganga wakienyeji daah mungu atuhurumie sanaa
@MariamAlly-hk7io
Ай бұрын
Haikuhusu sio muumini meenzako angalia yako
@user-pf9mt2yt4lАй бұрын
Amiin Allah Wallahi unaweza ukawa umeolewa upo peke yako kwenye ndoa Lakini ukawa huna raha wala amani kwenye ndoa yako.. Na ukawa umeolewa upo kwenye ndoa ya uke wenza na mukaishi kumdhibiti mume wenu na mukawa na umoja mukaishi kwa raha na Aman❤i❤
@najatramadhani6300Ай бұрын
Mashallah hongera sana
@user-sd5hj2im4qАй бұрын
Sawa sawa master Dr. Sule
@nancyenock5601Ай бұрын
Naona wanaokataa ukewenza wote ni waisilam hapo ndiyo ujue mapenz hayagawanyki
@batulialmass8914
Ай бұрын
Sio waslamu wate
@user-th8bo9lu8nАй бұрын
Sasa mm nashangaa ndo za waislam afrika wanajali Sana uke wenza ila Waarabu Sasa huwa nacheka wanavimba uwiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 kuna madam wangu hapa mwambie Sasa uke wenza umuone povu 😅😅😅
@MashakaRashid-fw3xuАй бұрын
Mashallah dr sule❤
@RizikiZikiАй бұрын
Masha Allah mungu awazidishiy mapenzi yenu
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Allahumma Amiin Amiin yaarab Amiin
@HalimaAlly-dt5lmАй бұрын
Mashaallahh ❤ mm nimwislam lakin uke wennza nauogopa sana kwasababu niliolewa nikateseka sana
@selemanemomadeformassane3441Ай бұрын
MashaALLAH
@CikeTanzaniaАй бұрын
MashaaAllah
@mohdbest5859Ай бұрын
huyu sule alikuwa mpole Sana lkn kwa sasa media zimemteka na amini usiamini sule ukizidi kuendekeza hizi media utajishushia hadhi maana sasa hivi mara ona mjengo wa sule mara unamiliki vx mara natongozwa sheikh mzima unaongeaje pumba kiasi hicho‽ sasa ushaanza kuongelea wake zako wakati kina mufti wapo kitambo hawaongei wake zao
@TpPt-do5vg
Ай бұрын
Kwani Shida gani hapo kuelezea kuhusu Ndoa, mbona hata mtume Muhammad s.a.w. Imeelezewa wake zake au ujasoma weye,.
@ShabaniShabani-fg7rmАй бұрын
Nashukuru mungu Mimi Nina wata3 naishi nao pamoja tena Kwa amani kubwa ila wananisema sanaaaaaaa.
@HassanMjaka21 күн бұрын
Allah awahifadhi
@maryamathman8917Ай бұрын
Wallahi uke wenza wataka moyo kwakweli
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Hamna lolote ukewenza ni mapenzi ya ndugu na madada kuishi pamoja.. Ukiwa Muislaam wa kweli na ukiwa na imani ya kweli.. Basi sio kazi Unaishi kawaida tu.. Kwani imeshaamini kuwa mwenye kuruzuku ni Allah peke yake na hana mshirika..
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
@@user-pf9mt2yt4l inaonyesha-unaupenda?
@hamzaamry6251Ай бұрын
Mimi nimeoa wake wawili na wote naishi nao kwenye nyumba moja ila kila mke ana chumba chake na wanapendana sana Allah aniongoze katika ndoa yangu
@RahimaMct-ik8mr
Ай бұрын
Allah wanariki wazid kupendan
@RahimaMct-ik8mr
Ай бұрын
Allah wanariki wazid kupendan
@user-id6xo9td6kАй бұрын
Kama wana dini ndani yao wanakaa sana pamoja.
@aairraahseif5648
Ай бұрын
Sio wote wenye dini na wanaroho safi,baadhi ya wenye dini wanajionesha nje wanadini"lkn niwanachoyo na roho mbaya kwa wenzie! Na utakuta hamuwezi mume na hayawezi yote ktk Ndoa
@MussaThomasmassawe-ji9hv14 күн бұрын
Wewe ukubali ukeweza mbona yakobo alikuwa na wake mussa liowa wake wawili Kama unataka mume moja wewe sio mwanamke unaijuwa dini ya kislamu
@MussaThomasmassawe-ji9hv
14 күн бұрын
Mtume Muhammad SWA rasuulallah tutapata thawabu alikuwa na wake Bibi hadija aisha na wengine
@aishakinia4957Ай бұрын
Comments zitaniua😂😂😂😂Dr sulle ayo ni maamuzi yake haimaanishii kila mwanaume aige mfano wake Laa wanaume watofautiana jamanii
@Bless-sk8uv
9 күн бұрын
Lazima tuige coz ni jambo jema kuna elimu tunajifunza
@user-sd5hj2im4qАй бұрын
Saluti to u I'm coming there
@pilimwanza8117Ай бұрын
Wanaume wengi wanaowa kwa tamaa tu km huna pahala pa kuwaweka kuna haja gani ya kuowa wanne kisha uwakusanye km kuku.kuowa zaidi ya mmoja ni uwe muadilifu uwapende na kuwatendea haki sawa lkn kuwakusanya km sardine hapana kwa kweli
@sheemaryam
Ай бұрын
Kama hawana shida ni sawa ata othman Michael akona wawili na wanaishi pamaoja
@user-th8bo9lu8n
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kati ya comment zote umetisha
@FatiuHusseinАй бұрын
Mashaallah ❤❤❤❤
@suleimansoud2783Ай бұрын
MaaShaaAllah
@bradleykhanei4092Ай бұрын
The ayaat of marriage, the ulama have divided it into 4 interpretations: 1) you can marry 4 women 2) 9 wives 3) 18 wives 4) more than 18 wives As you know, all doctrines have their own opinions and evidence. No one can say that those who support the opinion of 4 women are right! In Islam, every opinion is taken into account, because all doctrines have endeavored to reach their decisions through probabilities!
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Wanajificha kwenye uislum uzinifu wa hali ya juu
@bijou5038Ай бұрын
Huyu musimusikilize mwizi mukubwa muone😢😢😢
@user-ym6sh7jh2t17 күн бұрын
Nimempenda hiyo mwanahabari
@masoudalriyamy6298Ай бұрын
Pesa unazo bila ya pesa wasengelikaa hata sekunde 1
@yasminjuma9146
Ай бұрын
Kweli
@user-oo1fs7lp6d
16 күн бұрын
Mbona mtume alikuwa maskin na alikuwa na wake 9 na hajawaacha
@user-pf9mt2yt4lАй бұрын
Kikweli kabisa maneno yako ya murua na ya imani ya kweli uke wenza ameujaalia Allah.. Ameelezea kwenye surat Al Baqarah
@AllybinamourАй бұрын
Gig up dkt sule,mimi nipo nyuma yako saiv nna wawili napambana nipate 3😂😂😂
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
MaashaAllah nakuomba uchukue mafunzo kwa wenye uzoefu ambao wamekutangulia kama Dr.Sulle. Ninamuomba Allah akuwezeshe na akupe nguvu na imani.. Amiin yaarab Amiin
Kwa hiyo kwenye kumuamini Allah na mwenye kuwa na imani ya kweli kabisa baai hawezi kuyapinga maneno ya Allah ambae ametuamrisha..
@ashahassan2120Ай бұрын
Ibilisi ni wewe kama mume anamsimamo make vizuli sana ilawengi choyo anaroho mbaya
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Jamani wallah napenda uke wenza kwanza mme kila siku humkinai na wala huwezi kumnyima usiku manaje ataenda kulala kwa mke mwingine akija lazima utamfurahia tu lskini kila siku mko wawili tu lazima mtachokana
@user-qh9jj5xz3pАй бұрын
Allah akuhifadhi sheikh
@SelemaniMndai-ox8dyАй бұрын
Swadakta 💯💯💯👏
@MustafaAlly-su4dpАй бұрын
Mmh huyu shee ana shida,hapendi kusoma dini ila anapenda kuongea sana.Atwambie Mtume swalallahu alyhiwassalaama alifanya hivo au lifundisha hivo, kuwaweka wanawake w4 nyumba1
@SababuChinunga-ff8ulАй бұрын
Yuko Sawa shehee wangu mimi mwenyewe mwaka waa12 atujawai gombana atuna pesa ira tunaishi kikubwa kuondoa umbea wauku kupereka uku
@KhadijaChogogwe24 күн бұрын
Maashallah
@saniairadukunda4400Ай бұрын
Mmh minapenda kweli ila hio yakukazwa nyumba moja hapana kweli uongo zambi sintoweza
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
Kukazwa-tena!
@Bless-sk8uv
9 күн бұрын
Unakazwa vipi?
@nsuriitv2468Ай бұрын
Chamsingi Amani na Upendo
@bradleykhanei4092Ай бұрын
Dk Sulle, Aya ya ndoa, maulamaa wameigawanya katika tafsiri 4: 1) unaweza kuoa wanawake 4 2) wake 9 3) wake 18 4) zaidi ya wake 18 Kama unavyojua, mafundisho yote yana maoni na ushahidi wao wenyewe. Hakuna mtu anayeweza kusema kwamba wale wanaounga mkono maoni ya wanawake 4 ni sawa! Katika Uislamu, kila rai inazingatiwa, kwa sababu mafundisho yote yamejitahidi kufikia maamuzi yao kwa njia ya uwezekano!
@dastaniguni5599Ай бұрын
Shekhe anawapiga kamba Mkubwa anakaa peke ake bhana na wale wengine wanakaa wawili huyo mmoja sijui kaoa lini
@piuskusenge-jf2obАй бұрын
😂😂 Pretend, Shekhe naona kimagharibi kwa sana😂😂
@user-wu8qe4fv4jАй бұрын
Iyo moja mm sitaiweza ata km niko muislamu siwezii uke wena
@jumaevarist9103
Ай бұрын
Roho mbaya tu
@user-py1ob2ou2wАй бұрын
Acha umalaya
@yahfatmudswiddiq2271Ай бұрын
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! kama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
@user-vq3zu8ne9bАй бұрын
Huez elewa life style kwa siku moja 😂😂😂
@jumaramadhan5903Ай бұрын
Sister nakupenda na ninataka ku kuoa je tuna weza kuongea kuhusu hili
@yahfatmudswiddiq2271Ай бұрын
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! jama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
@bintomar8653Ай бұрын
Nyie mnao sema kwa yesu kuna raha unaoa mke umevaa pete kidoleni na bado unatoka nje muogopeni mungu sio kuwasema waisilamu vibaya heri yeye kaoa wake wa nne kuliko wewe ulieoa mke mmoja na ukiviona vya nje mate yakudondoka.
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Asaaante maneno yako ni kweli😅
@user-xm5xg1tt6dАй бұрын
Raha sana
@SalmaBashingwaАй бұрын
Mm ninamke mwenzangu hatujahi kuongea toka nimeolewa mm nickel mdg
Kujiendekezaa tuu na kuendekeza nafsi Kila unachokitaka kwenye nafsi yako we inataka ufanye hio ni sw shirki
@abudalaabdumalik9362Ай бұрын
Masheeee bwana mnatupa wakati mgumu wewe ulikuwa unamesema msanii mmoja Kuhusu pete Apo naona vile vidole ulivyo kataaa kikiwemo cha shahada naona kina pete Ya nn iyo
@TpPt-do5vgАй бұрын
Nampenda huyu dokta suley yaani sio muoga
@masoudalriyamy6298Ай бұрын
Mapenzi bila ya pesa kwanawaka wasasa sahivi hawa sio wanawake hawa wanawaka
@madamshifaa8503Ай бұрын
😢😢😢yarabi nisaidie, nina moyo mwepes jaman nitashindwa mie
@assfzainab912
Ай бұрын
Pia mie😂😂 cyawezi mungu nisamehe
@gracekagoma3231Ай бұрын
Anajifanya mjanja.Sisi wanawake ni ibilisi hatupendani😅😅
@khadijanurdin3163
Ай бұрын
Sema wewe ni ibilis usitujumuishe sote
@nancyenock5601
Ай бұрын
Kasema kweli mwanamke ni ibillisi
@pillyseleman8090Ай бұрын
Yani natamani nipate namba ya sheikh mmoja nimuulize maswali anijibu kwa ufasaha labda nitaelewa kama kuna makosa nakosea masna hizi haiko mbali kuvunjika ndoa yangu
@kitaaofficial4119Ай бұрын
Anautaka sana huu Umbea😂😂😂
@yankanafamilyАй бұрын
Don't trust anyone in this world.be careful
@Abu-Hamza254Ай бұрын
Ndoa ya Kikiristo mi imenishangaza unamuona mama anafanya harusi na baba watoto na watoto already wapo form4🇰🇪🇰🇪
@lordenoughforme4417
Ай бұрын
Uzinifu kwao nikitu cha kawaida2
@DonMooSTUDIO_Express
Ай бұрын
😂 umenichekesha sana na umenikumbusha sana 😂 hizo zipo sana. Wengine wanasema kukamilisha 😂
@user-th8bo9lu8n
Ай бұрын
Tofauti Sha makanisa ukristo ndio lkn Kuna makanisa hayaruhusu
@israelkisaila8401Ай бұрын
Mtu mwenyewe kanyata😂
@RamadhaniOmary-hn4myАй бұрын
Sheikh wang nakukumbusha usiache mavaz ya Snna
@user-my4dr5oq6vАй бұрын
Hao ni wake au mananau jamani
@yukundapeter8200Ай бұрын
Kisakalogia.Nakuja mimi mke wa 5
@AbdiAbdalla-wy4ydАй бұрын
Jamani mm nimeowa wake wawili na wote naishi nao nyumba moja na wanaishi vizur
@emanuelkyomo3772
Ай бұрын
Hiyo yafaa kilichoharamu ni kukaa chumba kimoja wake zote
@sskondopoleani9616Ай бұрын
Hilo la pesa, hata ukiwa na mke mmoja , ukichacha anakukimbia
@aooshosho4255
Ай бұрын
Na pia akikuvumilia heshima yapotea
@ackimackim1880Ай бұрын
UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAKUA NA MAMBO YA HOVYO,UJINGA WA MAMBO KAMA SULE.KWA YESU TUNASTARABIKA SANA, ASANTE YESU.
@AbdallaKhalfan-ic5ek
Ай бұрын
Uislamu ndio dini ya haki huwezi kuwa wa hovyo hata siku moja
@ackimackim1880
Ай бұрын
Dini sio njia ya kwenda mbinguni,YESU tu ndio njia ya kwenda mbinguni, Dini hata wachawi Wana dini,Hadi wavuta bangi Wana Dini.
@AbdallaKhalfan-ic5ek
Ай бұрын
Dini ya kiislamu ndio ambayo itakusaidia kupata mafanikio katika mwisho wa maisha Yako sio yesu ni mtu sio mungu ,Mungu ni Moja TU Hana mfano wa sifa ya viumbe alivyo viumba kwa hio yeye ndio mfanyaji na mpabgaji wa Kila kitu
Пікірлер: 312
Masha Allah nakuombea Allah akuhifadhi
MashaAllah MashaAllah ukewenza raha yake wote muwe na dini na pia pesa iwepo (Sheikh Sule 1 akitoka naomba nafasi😅😅) hapo hakutakua na shida sio wengine wanajua suna ya kuowa tu huduma 0 matokeo yake ndio hayo kutesa watt wawatu na kuona ukewenza haufai
@user-gu1lg2zr8s
Ай бұрын
Ujakufika ukajua. Dk sule kwanza kawapiga kisomo apo awajielewi 😂
@zayumar2955
Ай бұрын
@@user-gu1lg2zr8s hapanaaaaaaaaaaa bana ukewenza Raha yake mume awe na pesa na pia nyote muwe na Iman ndan ya mioyo yenu vinginevyo hamtoboi hata kama pesa iwepo
@BIGBOSS-hl3bu
Ай бұрын
Wanawake wanaojiuza WANAWEZA KUKAA na bwana mmoja tena Kuna muda wanashea mabwana na mashoga kitu ambacho ni uchafu zaidi ya uchafu lakini huku kwenye kheri na barka mnaona jambo baya ndio maana masingo mother wamejaaa na wanazidi kila siku
@user-gu1lg2zr8s
Ай бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu kumbuka wanawake wanaojiuza awajainvest mapenzi yao pale. Wanajua ile kwao kazi akija mteja mmemalizana hapa katika ndoa kuna jambo kama penzi tusiwe waongo kushare mapenzi kunauma, kumbuka uyu ni mtu alopanga nae maisha na vitu vingi, kuna watoto unaanzaje kuona mwanamke mwengine anapendwa na mumeo? Sio rahisi wanaume msioijua dini ndio mnaona rahisi dini yenyewe imesema wazi sio jambo la rahisi apo panatakiwa ushirikiano Mkubwa sana kutoka kwa Allah kuweza kuwatia wale wanawake moyo wa kustahimilia, kwa hio usiwachukulie wanawake Wabaya, angalia wanaume wengi waliobobea kwenye dini wanabakia na mke mmoja na sio kwamba hawana kipato, kipo lakini wanajua ni mtihani na pia wanaume wengi wanapata dhambi sana katika ndoa ya mathna, ni ngumu sana kupenda wanawake wote sawa lazima moyo utazama kwa mmoja. Walio na nyoyo za subra watavumilia wasio weza rukhsa kukata dini haijalazimisha uke wenza mnaolazimisha ni nyinyi tu
@zayumar2955
Ай бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu usitujumuishe tafadhali Sheikh 😅😅😅
Dadaangu unapendeza sana ukivaa hivyo nakupenda kwaajili ya Allah❤
Mashallah mashallah honger kwa msimamoo mwanaume ni kichwaaa cha familiaa
It's all about psychological issue basing on faith ❤
Mashaallahh mashaallahh . hongera shekh inapendeza Sana ♥️
Congratulations,Dr.sulle. hongera tena.sitara ni Sunna ya mtume wetu Mohammad S.A.W.
ManshaAllah , Allah awape kila kizuri fidunia wari akhera, ukewenza nilaha ❤❤❤
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Amiin yaarab Amiin
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Uke wenza ni raha mnapenda kama ndugu mnaishi❤
@ArnoldSalim
Ай бұрын
Amiin thumma amiin ❤❤❤
Dada yupo vizuri sana mahojiano yake anauliza maswali ya muhimu alafu sauti Masha Allah
Wewe unaesema hutaki ndoa za kushea huenda labda unae michepuko kibao Bora mmeo aoe kwani haki kuoa na kuolewa
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Asaaaante Kweli kabisa maneno yako
MashaAllah , nikhere Allah awajaze kheri naupendo .
Allah akuhifadhi shekhe wetu.
@ArnoldSalim
Ай бұрын
Amiin thumma amiin
Umesema ukweli bro sule Allah kisha ukuwe na namsimamo kama mume tuko pamoja Niko na wawili natarajia kuongeza In shaa Allah
Mimi pia kama ningekuwepo huko basi ningelisubiria nafasi ya mke mwengine akitoka ili nizibe pengo❤kwa Dr.Sulle.
@MWAJUMAKHERI-jt4qj
Ай бұрын
We mchawi haondoki mtu
Masha allah allah akulipe. Herry inshaallah
Mashaallah Allah akuzidishie uwadilifu
Laiti wanaume wote wangekua kama wewe walah Kila mwanamke angekubali ukewenza
@fatmasaleh2707
Ай бұрын
😊
@user-jw7qq1rt4r
Ай бұрын
Ni sahihi kabisa
@aooshosho4255
Ай бұрын
Na pia kaa wanawake wote wangekuwa kaa wanawake wake Kila mwanaume angekuwa na wanna na riziki ingeongezeka mara dufu.
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
@@aooshosho4255 jibu-limeenda-shule
Mashallah alhamndulillah ongera dr Sule hata mimi ninao wawili na Sina pesa ila alhamndulillah tumetulia nakushibana Allah mkubwa
Baba yangu aliishi na wake 4 tens nyumba 1 na mpaka wamehitimishana, inatakiwa busara za mume wao tu. Kwa hiyo si ajabu dr shule kuishi na wekeza 4.
Mimi muislam napenda uke wenza ❤❤😢xana
@user-my4dr5oq6v
Ай бұрын
Unapatikana wap nilete posa
@SalimSalim-mh4kt
Ай бұрын
Assalamu alaykum,kweli?
@batulialmass8914
Ай бұрын
Hata mimi napenda sana
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
@@user-my4dr5oq6v kwakusema-hivyo-tu-ndio-unataka-upeleke-posa!kuwa-makin-usiwe-na-pupa
Mungu akuokowe katika maisha ya uzinifu, umujuwe Yesu-Kristo kua bwana namokozi wamaisha yako
@IbrahimIbrahim-cl5jw
Ай бұрын
ACHA ujinga
@kautharjay5868
Ай бұрын
haha upo sawa kwel?? ndoa ni uzinifu
@MariamAlly-hk7io
Ай бұрын
Dini yake sioyako
@user-oo1fs7lp6d
16 күн бұрын
Sasa ww unaleta mambo ya yesu na hakuwai kuoa unataka tupige punyeto au🤔tafuta dini kwanza alaf uje ukoment
MaashaAllah Dr.Sulle ninamuamini kabisa ni mwanaume wa kikweli na yuko imara❤
@user-rs6tb6sv9m
Ай бұрын
Una muamini vp ume lala nae
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
@@user-rs6tb6sv9m tumekatazwa-kudhaniana-kwa-ubaya!naamin-hayo-ni-mapenzi-yake-tu!
Yawezekana Bora Tu upate Wenye Kuifahamu Dini vilivyo... Controller ni Mume siku zote MashaAllah Sunnah tul Nabii
Maashaallah mungu awahifadhi
Alafu et anajiita mtu wamungu wakati anaonekan kabsa ni muhun tu mungu atusaidie Sana Mana waislam weng wanamwamin hyu jamaa alaf nimganga wakienyeji daah mungu atuhurumie sanaa
@MariamAlly-hk7io
Ай бұрын
Haikuhusu sio muumini meenzako angalia yako
Amiin Allah Wallahi unaweza ukawa umeolewa upo peke yako kwenye ndoa Lakini ukawa huna raha wala amani kwenye ndoa yako.. Na ukawa umeolewa upo kwenye ndoa ya uke wenza na mukaishi kumdhibiti mume wenu na mukawa na umoja mukaishi kwa raha na Aman❤i❤
Mashallah hongera sana
Sawa sawa master Dr. Sule
Naona wanaokataa ukewenza wote ni waisilam hapo ndiyo ujue mapenz hayagawanyki
@batulialmass8914
Ай бұрын
Sio waslamu wate
Sasa mm nashangaa ndo za waislam afrika wanajali Sana uke wenza ila Waarabu Sasa huwa nacheka wanavimba uwiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 kuna madam wangu hapa mwambie Sasa uke wenza umuone povu 😅😅😅
Mashallah dr sule❤
Masha Allah mungu awazidishiy mapenzi yenu
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Allahumma Amiin Amiin yaarab Amiin
Mashaallahh ❤ mm nimwislam lakin uke wennza nauogopa sana kwasababu niliolewa nikateseka sana
MashaALLAH
MashaaAllah
huyu sule alikuwa mpole Sana lkn kwa sasa media zimemteka na amini usiamini sule ukizidi kuendekeza hizi media utajishushia hadhi maana sasa hivi mara ona mjengo wa sule mara unamiliki vx mara natongozwa sheikh mzima unaongeaje pumba kiasi hicho‽ sasa ushaanza kuongelea wake zako wakati kina mufti wapo kitambo hawaongei wake zao
@TpPt-do5vg
Ай бұрын
Kwani Shida gani hapo kuelezea kuhusu Ndoa, mbona hata mtume Muhammad s.a.w. Imeelezewa wake zake au ujasoma weye,.
Nashukuru mungu Mimi Nina wata3 naishi nao pamoja tena Kwa amani kubwa ila wananisema sanaaaaaaa.
Allah awahifadhi
Wallahi uke wenza wataka moyo kwakweli
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Hamna lolote ukewenza ni mapenzi ya ndugu na madada kuishi pamoja.. Ukiwa Muislaam wa kweli na ukiwa na imani ya kweli.. Basi sio kazi Unaishi kawaida tu.. Kwani imeshaamini kuwa mwenye kuruzuku ni Allah peke yake na hana mshirika..
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
@@user-pf9mt2yt4l inaonyesha-unaupenda?
Mimi nimeoa wake wawili na wote naishi nao kwenye nyumba moja ila kila mke ana chumba chake na wanapendana sana Allah aniongoze katika ndoa yangu
@RahimaMct-ik8mr
Ай бұрын
Allah wanariki wazid kupendan
@RahimaMct-ik8mr
Ай бұрын
Allah wanariki wazid kupendan
Kama wana dini ndani yao wanakaa sana pamoja.
@aairraahseif5648
Ай бұрын
Sio wote wenye dini na wanaroho safi,baadhi ya wenye dini wanajionesha nje wanadini"lkn niwanachoyo na roho mbaya kwa wenzie! Na utakuta hamuwezi mume na hayawezi yote ktk Ndoa
Wewe ukubali ukeweza mbona yakobo alikuwa na wake mussa liowa wake wawili Kama unataka mume moja wewe sio mwanamke unaijuwa dini ya kislamu
@MussaThomasmassawe-ji9hv
14 күн бұрын
Mtume Muhammad SWA rasuulallah tutapata thawabu alikuwa na wake Bibi hadija aisha na wengine
Comments zitaniua😂😂😂😂Dr sulle ayo ni maamuzi yake haimaanishii kila mwanaume aige mfano wake Laa wanaume watofautiana jamanii
@Bless-sk8uv
9 күн бұрын
Lazima tuige coz ni jambo jema kuna elimu tunajifunza
Saluti to u I'm coming there
Wanaume wengi wanaowa kwa tamaa tu km huna pahala pa kuwaweka kuna haja gani ya kuowa wanne kisha uwakusanye km kuku.kuowa zaidi ya mmoja ni uwe muadilifu uwapende na kuwatendea haki sawa lkn kuwakusanya km sardine hapana kwa kweli
@sheemaryam
Ай бұрын
Kama hawana shida ni sawa ata othman Michael akona wawili na wanaishi pamaoja
@user-th8bo9lu8n
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kati ya comment zote umetisha
Mashaallah ❤❤❤❤
MaaShaaAllah
The ayaat of marriage, the ulama have divided it into 4 interpretations: 1) you can marry 4 women 2) 9 wives 3) 18 wives 4) more than 18 wives As you know, all doctrines have their own opinions and evidence. No one can say that those who support the opinion of 4 women are right! In Islam, every opinion is taken into account, because all doctrines have endeavored to reach their decisions through probabilities!
Wanajificha kwenye uislum uzinifu wa hali ya juu
Huyu musimusikilize mwizi mukubwa muone😢😢😢
Nimempenda hiyo mwanahabari
Pesa unazo bila ya pesa wasengelikaa hata sekunde 1
@yasminjuma9146
Ай бұрын
Kweli
@user-oo1fs7lp6d
16 күн бұрын
Mbona mtume alikuwa maskin na alikuwa na wake 9 na hajawaacha
Kikweli kabisa maneno yako ya murua na ya imani ya kweli uke wenza ameujaalia Allah.. Ameelezea kwenye surat Al Baqarah
Gig up dkt sule,mimi nipo nyuma yako saiv nna wawili napambana nipate 3😂😂😂
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
MaashaAllah nakuomba uchukue mafunzo kwa wenye uzoefu ambao wamekutangulia kama Dr.Sulle. Ninamuomba Allah akuwezeshe na akupe nguvu na imani.. Amiin yaarab Amiin
@Allybinamour
Ай бұрын
@@user-pf9mt2yt4l amin amin amin. jazakallahu khairaaa
Hongera kaka ila wajengee kila mtu nyumba yake itapendeza zaidi.
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
Kwan-kuna-ubaya-gan-wakat-wenyiwao-wameshakubalian?
Dada etu mavazi usiyaache ayo yamekupendezesha mno
Hongera sana dr sulle
Mashallah,❤❤❤❤
Kwa hiyo kwenye kumuamini Allah na mwenye kuwa na imani ya kweli kabisa baai hawezi kuyapinga maneno ya Allah ambae ametuamrisha..
Ibilisi ni wewe kama mume anamsimamo make vizuli sana ilawengi choyo anaroho mbaya
Jamani wallah napenda uke wenza kwanza mme kila siku humkinai na wala huwezi kumnyima usiku manaje ataenda kulala kwa mke mwingine akija lazima utamfurahia tu lskini kila siku mko wawili tu lazima mtachokana
Allah akuhifadhi sheikh
Swadakta 💯💯💯👏
Mmh huyu shee ana shida,hapendi kusoma dini ila anapenda kuongea sana.Atwambie Mtume swalallahu alyhiwassalaama alifanya hivo au lifundisha hivo, kuwaweka wanawake w4 nyumba1
Yuko Sawa shehee wangu mimi mwenyewe mwaka waa12 atujawai gombana atuna pesa ira tunaishi kikubwa kuondoa umbea wauku kupereka uku
Maashallah
Mmh minapenda kweli ila hio yakukazwa nyumba moja hapana kweli uongo zambi sintoweza
@SaidHassan-ot3un
Ай бұрын
Kukazwa-tena!
@Bless-sk8uv
9 күн бұрын
Unakazwa vipi?
Chamsingi Amani na Upendo
Dk Sulle, Aya ya ndoa, maulamaa wameigawanya katika tafsiri 4: 1) unaweza kuoa wanawake 4 2) wake 9 3) wake 18 4) zaidi ya wake 18 Kama unavyojua, mafundisho yote yana maoni na ushahidi wao wenyewe. Hakuna mtu anayeweza kusema kwamba wale wanaounga mkono maoni ya wanawake 4 ni sawa! Katika Uislamu, kila rai inazingatiwa, kwa sababu mafundisho yote yamejitahidi kufikia maamuzi yao kwa njia ya uwezekano!
Shekhe anawapiga kamba Mkubwa anakaa peke ake bhana na wale wengine wanakaa wawili huyo mmoja sijui kaoa lini
😂😂 Pretend, Shekhe naona kimagharibi kwa sana😂😂
Iyo moja mm sitaiweza ata km niko muislamu siwezii uke wena
@jumaevarist9103
Ай бұрын
Roho mbaya tu
Acha umalaya
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! kama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
Huez elewa life style kwa siku moja 😂😂😂
Sister nakupenda na ninataka ku kuoa je tuna weza kuongea kuhusu hili
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! jama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
Nyie mnao sema kwa yesu kuna raha unaoa mke umevaa pete kidoleni na bado unatoka nje muogopeni mungu sio kuwasema waisilamu vibaya heri yeye kaoa wake wa nne kuliko wewe ulieoa mke mmoja na ukiviona vya nje mate yakudondoka.
@user-pf9mt2yt4l
Ай бұрын
Asaaante maneno yako ni kweli😅
Raha sana
Mm ninamke mwenzangu hatujahi kuongea toka nimeolewa mm nickel mdg
Ahsante
Namimi naitajiii kuongezaaa Mk eee nimepataaa fundishoooo kakaaa
Unataka pesa kaoe bengi🇰🇪🇰🇪
Kujiendekezaa tuu na kuendekeza nafsi Kila unachokitaka kwenye nafsi yako we inataka ufanye hio ni sw shirki
Masheeee bwana mnatupa wakati mgumu wewe ulikuwa unamesema msanii mmoja Kuhusu pete Apo naona vile vidole ulivyo kataaa kikiwemo cha shahada naona kina pete Ya nn iyo
Nampenda huyu dokta suley yaani sio muoga
Mapenzi bila ya pesa kwanawaka wasasa sahivi hawa sio wanawake hawa wanawaka
😢😢😢yarabi nisaidie, nina moyo mwepes jaman nitashindwa mie
@assfzainab912
Ай бұрын
Pia mie😂😂 cyawezi mungu nisamehe
Anajifanya mjanja.Sisi wanawake ni ibilisi hatupendani😅😅
@khadijanurdin3163
Ай бұрын
Sema wewe ni ibilis usitujumuishe sote
@nancyenock5601
Ай бұрын
Kasema kweli mwanamke ni ibillisi
Yani natamani nipate namba ya sheikh mmoja nimuulize maswali anijibu kwa ufasaha labda nitaelewa kama kuna makosa nakosea masna hizi haiko mbali kuvunjika ndoa yangu
Anautaka sana huu Umbea😂😂😂
Don't trust anyone in this world.be careful
Ndoa ya Kikiristo mi imenishangaza unamuona mama anafanya harusi na baba watoto na watoto already wapo form4🇰🇪🇰🇪
@lordenoughforme4417
Ай бұрын
Uzinifu kwao nikitu cha kawaida2
@DonMooSTUDIO_Express
Ай бұрын
😂 umenichekesha sana na umenikumbusha sana 😂 hizo zipo sana. Wengine wanasema kukamilisha 😂
@user-th8bo9lu8n
Ай бұрын
Tofauti Sha makanisa ukristo ndio lkn Kuna makanisa hayaruhusu
Mtu mwenyewe kanyata😂
Sheikh wang nakukumbusha usiache mavaz ya Snna
Hao ni wake au mananau jamani
Kisakalogia.Nakuja mimi mke wa 5
Jamani mm nimeowa wake wawili na wote naishi nao nyumba moja na wanaishi vizur
@emanuelkyomo3772
Ай бұрын
Hiyo yafaa kilichoharamu ni kukaa chumba kimoja wake zote
Hilo la pesa, hata ukiwa na mke mmoja , ukichacha anakukimbia
@aooshosho4255
Ай бұрын
Na pia akikuvumilia heshima yapotea
UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAKUA NA MAMBO YA HOVYO,UJINGA WA MAMBO KAMA SULE.KWA YESU TUNASTARABIKA SANA, ASANTE YESU.
@AbdallaKhalfan-ic5ek
Ай бұрын
Uislamu ndio dini ya haki huwezi kuwa wa hovyo hata siku moja
@ackimackim1880
Ай бұрын
Dini sio njia ya kwenda mbinguni,YESU tu ndio njia ya kwenda mbinguni, Dini hata wachawi Wana dini,Hadi wavuta bangi Wana Dini.
@AbdallaKhalfan-ic5ek
Ай бұрын
Dini ya kiislamu ndio ambayo itakusaidia kupata mafanikio katika mwisho wa maisha Yako sio yesu ni mtu sio mungu ,Mungu ni Moja TU Hana mfano wa sifa ya viumbe alivyo viumba kwa hio yeye ndio mfanyaji na mpabgaji wa Kila kitu