MAPYA YAIBUKA WANAOFANYA SURGERY MATATANI ZAIDI KWA KIFO.

Пікірлер: 20

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv8 күн бұрын

    Dada letu tuna kupenda sana ndugu zako waislamu kwahilo vazi maashaalllahu

  • @user-jh7ru2sl6p
    @user-jh7ru2sl6p8 күн бұрын

    Unapendeza sasa sasa mtangazaji wetu stara inakufanya uwe mrembo sana

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad64633 күн бұрын

    Sikuhizi mtangazaji unapendeza.👏

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c8 күн бұрын

    Tatizo lipo kwa Watanzania wakike ,Kila kitu kinachoingia tunakupokea kwa Miko 2 bila kujua na kujali afya, pia tuangalie upande w2 wanao tuletea hizi huduma wao wanazitumia au Watanzania ni Kama jalala?!

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9557 күн бұрын

    Umevaa vizur sio kila siku upo kama chizi

  • @RynoFiree

    @RynoFiree

    7 күн бұрын

    Tumia lugha nzuri 😮😮

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna63097 күн бұрын

    Dk umeongea point kwawenye akili tumekupata vizuri ,,,kwamba ukishafanya surgery huo ni mwanzo tu bado utahitajika kwenda tu khitilafu Inajitokeza kila kukicha 😂😂😂 wanataka kumkosoa mungu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9557 күн бұрын

    Bora wakifanyiwa wote wafe

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    3 күн бұрын

    😂

  • @user-tw7qm5mw4b
    @user-tw7qm5mw4b5 күн бұрын

    Wanamkosoa sana mwenyezi Mungu wafege tu kwakweli na hao madaktari jamani wapatage hofu ya mwenyezi Mungu wamekua kama Mungu watu ewe mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema maana daa watu wana force mpaka dhambi

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia56747 күн бұрын

    Sio kujificha dada utaftaji ni mgumu hivyo unaona ukashinde kituoni ushinde njaa na watoto au ukatafute ule na watoto😢

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w8 күн бұрын

    Wangejua familia zilizofiwa na wale vijana maumivu zinayoyapitia

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c8 күн бұрын

    Hatari sana hii

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9557 күн бұрын

    Bure ukipata kuonana nadocta labda ulale apo apo

  • @Marjeby
    @Marjeby4 күн бұрын

    Nyie Mbengo online tv narudia tena kangalieni sana haka katangazaji kana waacha muda sio mwingi cz soko letu kubwa nowadays linataka presenter wa aina yake so wangalieni wakubwa

  • @mbengotv

    @mbengotv

    4 күн бұрын

    Sawa

  • @naifathassan2607
    @naifathassan26074 күн бұрын

    Jamani mnanitisha me nishalipia kufanya tummy tuck

  • @mshambaused3840

    @mshambaused3840

    4 күн бұрын

    😂😂😂Nenda achana na ushauri wadokt

  • @sophiakimaro5174

    @sophiakimaro5174

    4 күн бұрын

    Kuna wakati nilianza kuwekeza hela nikapata ushauri wa doctors mmmh!! Nikala hela yangu.haya mambo kuna wakati inatisha ukifikiria kwenda theatre bila kuumwa.mmmmh!!!

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    2 күн бұрын

    Ushaur mzr😂😂😂​@@mshambaused3840

Келесі