DK SURE ALIVYO ITA MAJINI LIVE, WANASEMA MIMI NI MCHAWI KISA MAJINI
Жүктеу.....
Пікірлер: 480
@marianaduncan633023 күн бұрын
Majini wote ni wabaya hakuna jini mzuri Kwa wanadamu wote ni waasi mbele za Mungu,kazi Yao ni Moja,kuchinja,kuua,na kuharibu,YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi njoo Kwa YESU KRISTO upate okolewa kabla haujachelewa
@user-ot4rx2bl2j
19 күн бұрын
Mimi ni mwislamu lakini Hawa mashekhe wa siku hizi hapana kwakweli. Majini wote ni wazuri kwa wao kwa wao si wazuri kwa binadamu
@kudraabdul7257
16 күн бұрын
Ww ndio mtu hafai kuongea mbele zawatu ukisema hakuna jini mzuri akuna kafiri mwenye alimu nyamanza kabisa
@kudraabdul7257
16 күн бұрын
@@user-ot4rx2bl2jkitu kama hauna elimu nacho nyamanza usiongeyi chochote sule yuko sahihi wengi masheikh wanapinga haya sule anayo yaongea zababu wameanza kutafuta mashabiki
@petromachanga5538
11 күн бұрын
Jini nijini tu
@sammarley1413
9 күн бұрын
Maria mie napinga majini Ila pia yesu hawawezi alishindwa na mwanadan Hadi akasulubiwa kwa majini sindio atakufa kabisaaa wala hatofufuka tena
@muhsinkimaro4283Ай бұрын
Shekh tunakusikiliz sana, kwa mgen ndo atakuw hakuelew, Allah anasema hakufanyen marafik wa kijin na mashaitwan ila kwa waliopotea
@SAULINDINADYO
18 күн бұрын
mwenyezi MUNGU ndiye anaye watibu na kuwaponya wanadamu! Walimwengu jahadharini na elimu zisizomtukuza MUNGU! ALLAH SUB HANAL WATAAL atujaalie Toba jamani
@papawillieseismicentertain311927 күн бұрын
Ndiyo kuna majini ma wazuri, na kunao wabaya. Lakini sio lazima kushirikiana nao ata kama ni wazuri. Wapo na dunia yao, na sisi tuna dunia yetu ijapokuwa sote tunaishi pamoja ulimwenguni. Na Allah S.W.T alituuambia tusihirikiane nao ata kama ni wazuri. Quran ndo tiba na shifaa ya kila kitu. Mwenyezi Mungu atuepushe katika hizi mitihani zote
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Msikilizen huku Mzee kwa makini jamani sioni kama anapotosha wallah Imani imetujaa kiasi ya kua wajinga na tunateseka tukisema inshallah kesho ntapata den leo tunalala njaa
@RojaKhaan
10 күн бұрын
Site tuna akili zetu piya tumesom tulicho Soma niuliz hivi hakuna sehem mtume kaongea nao ? Pig uwa jibu nikwamb nimara kibao amezungumza nao Sasa swali hapo mtume hajashirikian nao? Tumludie mungu tusimkandamize mtu ety kisa ww sjui ni answari mhabi sjui ni Nani site tufuate haQi
@user-su2is7kv3y
9 күн бұрын
sura ya 6 mstali wa 128 annam. Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua
@user-su2is7kv3y9 күн бұрын
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua
@markazswalihinal-islamymom2745
3 сағат бұрын
RR😮ersqae❤❤❤❤❤aaa*😮😮xd😮sadatdssss
@ismailsoud3634Ай бұрын
Dr. Sulke, katika imani ndani ya uislamu muombwa na moaji nie Mwenyezi Mungu tu pekeyake, hivyo ukitumia majini wakuletee riziki hiyo ni fitina unamfitini Mwenyezi Mungu asijulikane. Tunaita USHIRIKINA HUO.
@salimali-rf9er
Ай бұрын
Nenda kasome bado elim yako ni ndogo
@AhmedShkeli25 күн бұрын
Kipato kina hadaa sana watu wallah, Allah amuongoe huyu Shekh.
@mrokay1time95811 күн бұрын
Nyiee mnaoo kataaaa kataenii tuuuu ila huwooo ndiooo ukweliii tuulizenii sisiiii Dr sulee yukoo sahihiii
@allykiba362625 күн бұрын
Mpeyane sapoti ila siku ya maesabu ndo mujuwe kujiteteya vizuri kuusu ayo munayo pongeza na hamjuwi munalo lipongeza
@chachalameck345126 күн бұрын
kama kweli wewe unaimani na mungu ni kwa Nini unaamini majini yanaweza kulko mungu
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Kila kitu hutokea na sababu ndio maana husema mtoto huletwa na mungu lakini lazma ushiriki tendo Jamaa mueleweni huyu Mzee anakitu flani ajab sana
@danielkamau2987Ай бұрын
Kwani majini wa Africa wako slow, ama ni wazuzu hawana teknolojia..really Dr!!
@neemariziki4731
11 күн бұрын
I wonder
@pammymoraamoraa6702Ай бұрын
Huyu amejitangaza tu kua yeye ni mshirikina , atajuaaje hayo yote kama atendi, vipindi zake mingi yeye husema yeyote anayetaka kufanikiwa amtafute Kando, mkenya aliempa gari alisema alimsaidia sana kwa kazi yake ndio akamzawadi, hapo amejitamblisha 100%, kwa raha zake , anaedelea kujitangaza tu hapate wateja wale wanamuelewa😅😅
@mahadhikawia3610
Ай бұрын
Mganga kama mganga Kwa maneno ya ujanja atakuzunguushaa,lakini hatimae atajitoa kwenye wajibu wa Hilo jukumu na kukuwacha wewe mteja wake ukibakia na matumaini hewa Kwa jini hewa .lakini ' Jini ' wake atakuwa kesha mpelekea mzigo wake kutoka kwako. Yaani kabla hujapewa hiyo Pete lazima upigwe kirungu
@mahadhikawia3610
Ай бұрын
Kwani anamaanisha Nini anaposema ,majini wake wanakuondolea vizuizi Isipokuwa iwe Qadari ya mungu . Anapigaje hapo ? au ndio Ile nenda Rudi Kwa aliyepigwa kirungu na hakufanikiwa ?
@moxasaidi3398
29 күн бұрын
Sule anaeteswa na jini anasaidia kwasababu anafasaidiwa na majini kuna maradhi ambayo sule na majini hawawezi ila wale wabaochezewa kishirikina sule anaweza kusaidia
@user-hs1sq1sv8o
25 күн бұрын
Mm naona ameongea point sehemu nyingi ikiwemo katika technology na mambo ya white magic na black magic, Lakini nilishindwa kuelewa katika uvaaji wa hizo Pete za bahati kuhusiana na kinga kwamba inaweza kuzuia, fitna na kukwamishwa kunakotokana na ushirikina, ama majini wabaya isipokuwa chochote kitachoamuriwa na Mwenyezi Mungu...Basi tunarudi pale pale kuwa Mungu ndio nguvu pekee na kimbilio pekee hakuna wa kumzuia ama kumshinda yeye....basi Tumrejee Mungu pekee, tumuombe yeye na kumtumainia yeye...hakuna haja ya pete wala msaada wa majini....Ni hayo tu kwa mtizamo wangu...vinginevyo ameeleza vizuri sana na ufafanuzi mzuri wa mada nyingi. ASANTENI.
@faridseilan4400Ай бұрын
Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakatu mandugu na madada Mtume Saallallahu Aleihi Wasallam alituhimizia tusi waamini wasomaji wa ma nyota hata kama maneno yao ni kweli tafadhalini tuji chunge sana na mitandao na tusome saana dini yetu ya kiskamu kwa ma sheikh walio julikana na wana ma dalili kutoka kwa vitabu vya swahih ,wanadamu wengi sana wana utajiri bila ma jini wala ma pete tusi danganyeni khwasa madada zetu na ma mama zetu wengi huigia kwa hizi mitego Allah atuongoze na atuhifadhi soote
@faridseilan4400
Ай бұрын
Naomba awa fasirie surrat Bagara 101 to 102
@Abdallahmohamed72
Ай бұрын
Huyu c sheikh ni mrongo sana sio waislamu wote wanaoshiriki mambo ya majini huyu ni mtu wa maslahi
@azizihfarijala5307
Ай бұрын
mimi baba yangu pia alikuwa anafundisha majini
@MohamedKambarera10 күн бұрын
Allah amesema wamakafa sulaymana walakina shayatwina kafaraa
@Mwasame_Official123 күн бұрын
Sisi wakristo tunaelezwa na mungu pekee ❤❤wakristo simameni imara tukombele😅😅😅
@irenengina435022 күн бұрын
Hamuamini allah wenu anawezai kuwapee maarifa ya kuunda jambo kubwa ispokua majin ...ndege ni Mungu alipee muznduzi wa ndege hio ujuz sio majin
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Hata mapasta hawaamini mungu aneza wapa ndio maana wanaishi maisha mazuri kwa Sadaka za waumini wao na waumini wakiishi maisha duni wakiamini kua mungu na wao atawapa kwa kumpa pasta hela kwa kigezo Cha Sadaka
@irenengina4350
17 күн бұрын
@@YusufMwalimu-nu4no unalinganisha wachukuao sadaka na waamini wa majin ,,dah,,,tena kwa hii mjadala hatupo mashindano huyu sheikh kaleta ya majin
@hakizimanashabani8776Ай бұрын
Kama kuna watu wanao potosha wa islam katika imani ya ki islam viyongozi wadini tanzania mnatisha
@user-it4uh7vu5c
26 күн бұрын
Uislamu na ushirikina ni kama samaki na maji
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Hamna elimu na mkiletewa mnakaaa kusoma
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Mnaopishana na huyu Mzee nawaomba tu mjarinu kuangalia movie za kijini za kiafrika. Utaona wanakita katika kuumiza maskini na kuwafanya wagonjwa Hadi kufa..ila za wazungu zinawapa mafanikio na mamlaka ya juu na kuishi vizuri katika Dunia hii... NA UTAMBUE MOVIE NI UHALISIA WA MAISHA YA MWANADAMU HUSIKA KATIKA MAENEO YAKE...
@user-pb4fr3lg6l28 күн бұрын
Unajua mpk unakera sheikh
@AliAli-lu7orАй бұрын
Kwahakika ameathirika na dunia na ladha ya maishayake yenyekumalizika kuliko pepo na ridhwaan (ilmulkalam imewapoteza wengi kablayako mche alwah )wacha hawaa
@ChidySuleiman23 күн бұрын
Mnafki sisi atutaki utuchafurie dina yetu taja huyo mwanachuoni aliesema anaesema kua inaswiiiiiiiiiiiii yan huyu mshirikina anachafua dini wallah lakn allah anayaona haya wallah allah anayaona haya ww aribu tu dini kisa thaman ndogo ya dunia
@FridayMwassa
21 күн бұрын
Huyo shehe amekuzidi sana kwenye ufahamu,majini ni ndugu zenu waislam na yalisilimishwa na Muhammad
@nizigiyimanabaruani4590Ай бұрын
Dokta Sule umefunguka akili pia umeingia undani wa elimu na kuizungumzia haujawa na makosa yoyote endelea hivyo na utaelimisha wengine wengi na wafunguwe akili zao, ndo maana Leo hii unakuta wengi wao wanjidai kuwa Wana elimu ila hawana hata ujuzi wa kutengeneza hata kiberiti. Endelea hivyo hivyo na mengi utagunduwa. Hongera sana kwa elimu hiyo. Nakuunga mkono kwa Hilo.
@saidaamourali8590
Ай бұрын
Huyu haja kufungua akili ndio kakuziba akili haswa maana science hajui hata kidogo.duuuh anamini zile chips za semiconductor ni za kijini siku akija kupa Tesla car za auto driving atasema jini ndio anaendesha na lile gari ni la kijini maana mule muna automation za kufa mtu
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Kweli dokta sule amefungua akili ya watu
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Hapo kuna elimu kubwa sana
@PiliSoboАй бұрын
Huu ni ushirikina wa wazi, Mungu anapokataza ushirikina anajua kuwa jini kampa uwezo tofauti na mwanadam, hivyo unachopaswa ni kumuabudu Mungu ILI tuupinge uwezo wa majini ILI ujue HUYU jini na huyu Mungu
@rehemaomar4924Ай бұрын
Uko sawa Shekh umenifungua masikio .Acha wabishi wabishe 😂😂😂
@HatibuWage-dh9njАй бұрын
shekh kwa kweli uma wa ki isilamu unakutegemea sana lkn hii njia unayofuata sasa huku ni kupotea yaan umekua boga
@trophywilson7211
Ай бұрын
hahahaha ndo ukweli huo Anafichua
@deathrow8004
Ай бұрын
Hatuwezi kumtegema huyu jamaa kashakufuru
@sharfumbarouk6168
Ай бұрын
@@deathrow8004amekufuru kweli kweli live kabisaaa
@FridayMwassa
21 күн бұрын
@@deathrow8004Ameongea usichokipenda
@jafaribori5428Ай бұрын
😂😂😂😂 kaka umenichekesha sana ( tengeneza sanamu lako la udongo halafu tuone !!! ) swali lilikuwa gumu sana kwa mtangazaji wako
@user-cd9nk8yz2hАй бұрын
Binadamu kama hukupa mtihani wa kuuguwa majini au mashetani basi ni vigumu kuelewa binadamu wengine.washukuru mungu sana tena sana
@kilogreekachananawatuwasio405429 күн бұрын
AKUNA JINI MZURI SHEIKH JINI KAMA NYOKA WOTE NYOKA WABAYA KWASABABU UNAWATUMA KULETA CHUMA ULETE NDIO WAZURI KWAKO
@maryamsuleiman634018 күн бұрын
Nikweli majini wema wapo ,km vile binaadam ,kunawema nawabaya ,tulisha ona majini wanaenda kw biaadam kuwaambia mambo mazuri nakuwapa hadhari ,pale walipowafanyia maudhi ,nitafute nikupe khadith hai ,ila hawapendi kuudhiwa wakikupa onyo ,manawazuri niwazuri kweli ,nakunawatu wanawalazimisha kufanya ubaya nakuwaahid malipo
Mimi sna majibu siwez kumuhukumu maana ALLAH ndie mjuzi anajua moyoni kwa kila mtu
@KhamisRajab-kf5ve26 күн бұрын
Khamis Rajab: Hata hivyo Allah swt amesema: Laa taabudu Sheitwan, Usimuabudu Sheitwan,, wala kumfanya Rafiki.. kwanza hana wema hata umfanyie wema ipo siku atakuuwa tu ! Sheikh enedelea kufahamisha watu! lakini msifuge majini mfugaji akija kufa mnawapa taabu watoto wenu.,..
@officialmubytz10763 күн бұрын
Kwa hapa shehe anataka sema mungu aliumba malaika Bina damu Na majini kwa nyakati tofauti?
@user-zs8ru9lt2xАй бұрын
Aya ipi inasema kwa uwazi inasema ambayo Allaah amehalalisha tutumie majin. Wakati Allah anasema kwa waja wake tukimwomba chochote anatujibu kwa mujibu wa qurani
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Ww kwakutaka aya ndio mnyewe
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Soma suratul jini paka mwisho utajua aya ipi unataka aya tu usomi Quran
@amneally41354 күн бұрын
Mzee Haydar tuseme hyu ni babu yetu alikua c mshirikina anapenda kusoma Quran siku hio ya alhamis na ndani ya mskit hua pekee yakd na baada ya magharib kuna kisomo mskt
@user-pu7br7sh5dАй бұрын
Wee shekhe waamini majini kuliko mungu
@user-vq9xw3qr7k28 күн бұрын
Sasa nime juwa sababu unakosa uherewa na kuhusu juu ya mambo ya Mungu
@user-vq9xw3qr7k
25 күн бұрын
I don't know if your doing because you wana draw people's attention? Kama Mungu mwenyewe kajiweka wazi kuwa yeye nimsada wetu kwenye mda wama tatitizo yetu,sasa wewe, sasa kama unamiya viumbe vilivyo fungiwa na Mungu, uwo siyo ukosefu? Maneno matakatifu yanasema kuwa Tuwombe kwa Mungu kupitia Jina la Yesu kwa wa khristu alafu tutajibiwa, sasa kama unatumikisha viwumbe vingine apo apatakiwi Mungu na wala mnamuamini yeye, Ulisema kwamba kila mtu anajitakia story ili aweze kupokewa na watu ukasema Paul akaona atunge story, nduguyangu hapo ndo umefeli kabisa, kwasababu Imani nikitu ambacho au amini kwasababu umekiwona, lakini unatanguliza imani baadae matokeyo yanafwata, akuna mtu aliyo Mungu navilevile maneno matakatifu yanasema akuna ambae atamuona Mungu na akawa, kwahio Musa alipata nehema mbere za bwana akaona utukufu, nahamini kwenyu kuruan maneno hayo yapo, sasa Paul alisema Yesu ndo alimtokea siyo Mungu, sasa ukiwa unahanza hoja ka na lengo laku ponya watu siyo kukosowa bibila au ukhristu ata wa khristu nawo wasikosowe dini kwasababu Mungu ndo anamufahamisha mtu njia, binadamu ana nguvu hio, yeye kwake niku hubili vingine niva mwenyezi Mungu mwenyewe kutenda
@IsaKinyongaАй бұрын
Jamaa anapenda dunia si mtu wa dini
@jameschumbula735123 күн бұрын
Jin n jin too wee jitetee jiteteavyo hakuna jin mwema wote niwachafu
@raiswamaraishalisi84265 күн бұрын
Mzee wewe nakukubaligi sana Apo tulipoingiya mpaka kwenye tecnology nikubali sana mzee
@bakarikaoneka1080Ай бұрын
NI AIBU SANA. Achana na mambo ya ajabu na ya aibu kama hayo. Mnafedhehesha uislamu
@bakarimwakabebe9649
20 күн бұрын
Exactly ni aibu kujiita muhadhiri ilhal unapotosha waislam. Akuna anaepaswa kuabudiwa kwa haki pasipo Allah na Qur'an ndio muongozo Wetu waislam na maisha au Sunnah za mtukufu wa daraja Mtume Wetu Muhammad S.A.W.. ukikosa kufuata ii upo nje au kwenye wanafik
@neemariziki4731
11 күн бұрын
😂😂😂😂 Nafa kucheka
@uwimanadady6563Ай бұрын
Mimi naona sijuwi kama elimu yangu ni ndogo uyu anafanya bya shara yake jini ni mapepo alafu mapepo ya takuwa mazuri kivipi?na wamelaaniwa?akuna jini nzuri ata kidogo yote mashetani
@kudraabdul7257
16 күн бұрын
Pepo sio jini ww musa na elia wali mtokea yesu mlimani walimtokea kama pepo ama kama jini?
@pascal4906025 күн бұрын
Wa islaam funguweni macho mutoke kwenye imani yamajini. Mume jua ukweli.
@lizmwangi6583Ай бұрын
Hakuna jini mzuri na jini mbaya....wote ni majini...kujeni kwa Yesu muokolewe.
@abubakarmuhammadsaid3244
Ай бұрын
Sisi Waislamu tunaokolewa na Mungu sio Yesu
@user-ib7kx9dc5mАй бұрын
Umesema kweli handeni Kuna mganga miaka ya nyumba alikuwa akifukuza majini yakufugwa akili kamatwa tu aka weka dawa una ona liondongo lililo finyangwa finyangwa
@jumamussantuicheАй бұрын
Sule,kwa fani ya majini akuna kitu.nalikua najuliza uyu shekhe mbona ana nuru.
@asaphmwinukaministry3319 күн бұрын
IPO siku mtamuelewa Huyu mtu,,,Mark my word's
@abubakarmuhammadsaid3244Ай бұрын
Ni hatari sana kwa mtu asiekuwa na Tawheed kumsikiliza mtu huyu. Wenye kumuamini mtu huyu ni wasiokuwa na elimu ya dini au asiokuwa na aqiyda sahihi.
@user-vq9xw3qr7k28 күн бұрын
Bwana technology aija tokea kwajiri ya majini, uwo niuwonga mtupu, kitu chochote ambacho mtu unatengeneza kinatakiwa program, sematu uyo anaye kuhoja ana uherevu, sim siyo nguvu ya majini, mimi ninacho herewa nikwamba kila kitu ukikifanya kwa utafiki haswa, elewa ata binadam amefanyiwa program na mungu kuhanzia utotoni na mpaka anapokuwa
@user-qj7xp7wo1vАй бұрын
Umtumie jin kupata mali kwahiyo sheikh wewe huamin allah anaweza kukujaalia mali?
@stephanosospeter1709Ай бұрын
Acha kuaminisha, watu ushetani wako, ewe mwana wa ibilisi, umekaa apo kumtukuza shetani, ushindwe kwa jina la YESU KRISTO. Bibilia inasema siku za mwisho marifa yataongezeka, mwamini YESU UWOKOKE
@user-sv6zy3hc8o
Ай бұрын
Hata nyie yesu alisema mtapotea kwa kukosa maarifa
@MrRavini
Ай бұрын
Mhu omba usife Hali yakuwa ni mkristo utaingia motoni
@stephanosospeter1709
Ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu kwa kupotea, laiti mngejua kweli ya Mungu, mngetubu na kugeuka, lakni ata sasa bado amjachelewa, msifanye tu mioyo yenu kuwa migumu, mkubali I Yesu msamehewe dhambi, nyie wenyewe mnajua kuwa Yesu ni alama ya kiama
@sharfumbarouk6168
Ай бұрын
@@stephanosospeter1709Huyo jamaa ndio amepotea peke yake sio sisi - nyinyi wakristo ndio mmepotea Tena upotevu wa mbali maana mmeacha kuabudu Aliyewaumba mnaabudu mwanadamu mwenzenu.... Tafakarini mmepewa akili
@stephanosospeter1709
Ай бұрын
@@sharfumbarouk6168 Sawa, ila kama mnamwamini, Isa bini mariam kuwa ni mtume wa Mungu mbona amumuamini alivyo sema,
@theogeorge377327 күн бұрын
kazi kweli msafi hafu anaenda kudhuru
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Teina wewe ulikua hadhiri mkubwa sasa unamshirikisha M'mungu.
@muhsinkimaro4283Ай бұрын
Muogope Allah shekh, hata gar utasema lina majin ndo maana linatembea
Muogope Allah ndug yangu utaja juta katka haya na andaa majibu kwa Allah
@beatman40126 күн бұрын
Kama nikweli jini ana guvu na uwezo, Mbona hajuii Futur ya mwana damu?😂😂From #Comoros
@MohamedKambarera10 күн бұрын
Ásalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Sisi haifai kufanya kazi anayofanya huyu sule huo ni ushirikina
@user-pu7br7sh5dАй бұрын
Ni nyakat za mwisho manabii wauongo na wa kweli akili mwako kichwani ,ndugiangu mtegemee allha ndo anajua kilak2 ukiskiza v2 vya mitandaoni vitakupeleka pabaya Maana hujui uskize yupi uache yupi yoote muachie allha Nyinyi kama mwasukumana sisi tulio silim juz tufanye nn tumwamini allha na kumjua allha kilaki2 mungu ndo anajua
@GoodluckLesilwa-kq2ln
27 күн бұрын
Ndo ujutie maamuzi Yako mabovu..mbivu na mbichi zinajifunua
@Ismail-db5ojАй бұрын
Mbona haulekezi Shida zako kwa Allah mbadala kutumia majini kutekeleza maitaji zako
@whatisthetruth.8793
Ай бұрын
Allah sii jini mkuu mwenyewe
@Ismail-db5oj
Ай бұрын
@@whatisthetruth.8793 Kwa hivyo Jini ana fanya haraka zaidi ya Allah Kukidhi maitaji ya binadamu?Innalilahi Wainaileyrajuun
@TRIPLE.3Rs28 күн бұрын
Next interview atuonyeshe ikhtilafu kwa vitabu gani?
@muhsinkimaro4283Ай бұрын
Unaomba msaada wa majin halaf unasema sio ushirikina
@trophywilson7211
Ай бұрын
siyo mshirikina maana Mtume alitumia majini na yapo msikiti alikozikwa hiyo ipo mtandaoni
kupata malinkwa njia ya pili kwa kafara ya wanayma ni haramu...?
@maisaramanangaabedi717517 күн бұрын
Nauliza surat djini aya ya 26 Mwenyezi anasema mambo ya siri Mungu ndjo anadjuwa nauliza iyi aya inasema wongo
@erickagwe884126 күн бұрын
Kama ni hivyo waarabu ndio wangekuwa wanasayansi wakuu w Dunia
@abdallahjuma260827 күн бұрын
Uyu sheikh anatukanisha dini
@IsaKinyongaАй бұрын
Wanao kuunga mkono washilikina wezio
@neemariziki4731
11 күн бұрын
Mwaniua kucheka waislamu jameni
@SAULINDINADYO18 күн бұрын
Mtu yeyote asikudanganye Kila jini ni baya sanana athari zake ni mbaya! Mimi nimesoma elimi ya majini naijeria miaka SITA! Sidanganywi
@experiusmrefu1003Ай бұрын
Huyu Jamaa....sio Dr...labda ni Daktar
@NaomiMakoriАй бұрын
Mwenyezi mungu kaumba vitu viote vimtumikie mwamadamu ss leo majini kuututumikia Kuna ubaya sulle huko sawa
@djbonfire4683Ай бұрын
Programming languages Ndio zinatumika kaka katika marobot
@mohammadswaleh690029 күн бұрын
Huyu Maongezi yake tu ni Mshirikina,hufai hata kuswali nyuma yake
@karimmveyange255820 күн бұрын
KAZA UZI DR.USITISHIKE. HAO WAPO NA WATAENDELEA KUWEPO HADI KIAMA
@user-ut9kc7uq2rАй бұрын
We Baki tu kwenye mdahalo mambo mengine km huna dalili za elimu (Hadith nabsunnah) c utulie tu
@selemanimngoya1970Күн бұрын
Majina ni kama binadamu, kuna wabaya na wema. Ila miongoni mwao kuna MASHETANI ambao ndiyo majini wabaya.
@kassamalishabaniАй бұрын
Nabi suleimani alitumia nini
@OmarMohamed-bs2hf19 күн бұрын
Majini Wana makabila wapo wema wapo waovu na inafikia steji muovu pia usilimi ilmu ya majini kikweli ni elimu kubwa sana
@jumawaziri8501Ай бұрын
huyo mtangtazaji ni mtoto wa Dr sulle ama ??????
@focusernest5610
Ай бұрын
Hapn kwanz huyo bint mzanzibar
@mtindikoja883729 күн бұрын
Ubishi nimbishi sana selemani Ila wewe nimchawi tu
@mbarakfadhil-bc3ed8 күн бұрын
Nice brother mashallah
@awadhsuleiman846927 күн бұрын
Sisi waislamu tumefundishwa kufanya adhkari za kujikinga dhidi ya shari zote na ndio maana Mtume alayhisswalaatu wassalaam. Hakutaka watu wategemee vitu wamtegemee Muumba wao. Tukifungua huu mlango basi hata hirizi watazitetea kama wewe unavyosema. Irejee tauhidi ambayo ndio kazi ya Kila Mtume aliyetumwa na Allaah utagundua upotevu wa huyu Jamaa!
@shadoringo4701
11 күн бұрын
Ata Sim ni herizi tatizo apo ni elimu tuu
@RojaKhaan
11 күн бұрын
العبد لا ينجو بشيطان Sasa ukimwambia huyu shekhe anakosea ww ndy unakosea kikubha elewa shaitwaan ninani
@furahinimrutu3085
10 күн бұрын
@@RojaKhaanuisilam ni majini ukikataa njoo kwenye ukristo
@furahinimrutu3085
10 күн бұрын
@@RojaKhaanuisilam ni majini ukikataa njoo kwenye ukristo
@taifaramadhan8684
20 сағат бұрын
Katika wooote walo changia hapa naona we ndo umeongea pointi muhimu kabisa na ya msingi kuliko wote humu. hasa hapo uliposema kuhusu TAUHID maana mitume wote ukisoma QUR,AN TUKUFU walikua wanasema wamtegemee Allah pekee na kumuomba yeye tu na kutaka msaada kwake katika kila kitu nk. na si kutegemea eti msaada wa Viumbe Majini na maroboti nk.
@abasingaruka187221 күн бұрын
Dr Sule wewe mwenyewe ndio unajieleza uthamani wà mjini, na kuisaliti dini ya kuiislamu Kama wanashirikiana na majini,
@inspirationquote00521 күн бұрын
Sheikh,,🦾ur on point!! Not technology is not using majini.
@user-ib7kx9dc5mАй бұрын
Kuna majini waisilam na Kuna majini makafiri hili lipo wazi
@trophywilson7211
Ай бұрын
hakuna majini wakristo Yesu aliwatupia baharini
@fundimau2379
20 күн бұрын
Yote haya mmeshindwa kujua nini maana ya huo Uislam ndio maana mnasema kuna Majini Waislam lakini mkijua Uislam hamuwezi kuunga mkono haya pia hamjui huo uzuri mnapo sema majini wabaya na majini wazuri, kwani ukisema nyoka huyu ni mzuri hapo umemuhamisha kuwa sio nyoka au hawezi kudhuru, acheni hayo mambo.
@SafariJournalsАй бұрын
Huyu anaya tukuza sana Majini, MAKOSA hii
@user-hd7vt8fk5t23 күн бұрын
Nyie mnaohoji achen kuandika vichwa vya habat visivyoendana na mahojiano
@neemariziki4731
11 күн бұрын
😂😂😂😂 Mungu wangu
@hassanjuma370320 сағат бұрын
Kuna watu wanakosoa hebu tupeni mnavyojua nyinyi
@issaosman739719 күн бұрын
Majini ni aina mbili wazuri na wabaya
@user-mu8ue6wg4c18 күн бұрын
Inaa LILAH waina ilah raaji'uun
@fatmaabdallah-sg1rk22 күн бұрын
Yes sio mungu siku moja mtakuja fahamu ilo
@qerysir4410
22 күн бұрын
Ni means wa Mungu! Mwana wa Mungu ni Mungu!
@PeterMasala-gh5np8 күн бұрын
Kwa hiyo uislamu ni Uchawi
@abuumaryam1922Ай бұрын
Dr Sule Ufahamu wako upo chin sanaaa
@RamadhaniMohamedi-de2vc
29 күн бұрын
Ww ndio uwelewa wako mdog niambie tunaipataje sindano kwenye vitabu.
@hassanjuma3703
20 сағат бұрын
Abu tueleze ufahamu wako tujue ukweli
@bonifasiemanueli21Ай бұрын
🎉 Haa haa roboti kumbe ni jini chukua :5:😅😅😅😅😅 Kumbe waafrika tulichelewa sana
Пікірлер: 480
Majini wote ni wabaya hakuna jini mzuri Kwa wanadamu wote ni waasi mbele za Mungu,kazi Yao ni Moja,kuchinja,kuua,na kuharibu,YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi njoo Kwa YESU KRISTO upate okolewa kabla haujachelewa
@user-ot4rx2bl2j
19 күн бұрын
Mimi ni mwislamu lakini Hawa mashekhe wa siku hizi hapana kwakweli. Majini wote ni wazuri kwa wao kwa wao si wazuri kwa binadamu
@kudraabdul7257
16 күн бұрын
Ww ndio mtu hafai kuongea mbele zawatu ukisema hakuna jini mzuri akuna kafiri mwenye alimu nyamanza kabisa
@kudraabdul7257
16 күн бұрын
@@user-ot4rx2bl2jkitu kama hauna elimu nacho nyamanza usiongeyi chochote sule yuko sahihi wengi masheikh wanapinga haya sule anayo yaongea zababu wameanza kutafuta mashabiki
@petromachanga5538
11 күн бұрын
Jini nijini tu
@sammarley1413
9 күн бұрын
Maria mie napinga majini Ila pia yesu hawawezi alishindwa na mwanadan Hadi akasulubiwa kwa majini sindio atakufa kabisaaa wala hatofufuka tena
Shekh tunakusikiliz sana, kwa mgen ndo atakuw hakuelew, Allah anasema hakufanyen marafik wa kijin na mashaitwan ila kwa waliopotea
@SAULINDINADYO
18 күн бұрын
mwenyezi MUNGU ndiye anaye watibu na kuwaponya wanadamu! Walimwengu jahadharini na elimu zisizomtukuza MUNGU! ALLAH SUB HANAL WATAAL atujaalie Toba jamani
Ndiyo kuna majini ma wazuri, na kunao wabaya. Lakini sio lazima kushirikiana nao ata kama ni wazuri. Wapo na dunia yao, na sisi tuna dunia yetu ijapokuwa sote tunaishi pamoja ulimwenguni. Na Allah S.W.T alituuambia tusihirikiane nao ata kama ni wazuri. Quran ndo tiba na shifaa ya kila kitu. Mwenyezi Mungu atuepushe katika hizi mitihani zote
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Msikilizen huku Mzee kwa makini jamani sioni kama anapotosha wallah Imani imetujaa kiasi ya kua wajinga na tunateseka tukisema inshallah kesho ntapata den leo tunalala njaa
@RojaKhaan
10 күн бұрын
Site tuna akili zetu piya tumesom tulicho Soma niuliz hivi hakuna sehem mtume kaongea nao ? Pig uwa jibu nikwamb nimara kibao amezungumza nao Sasa swali hapo mtume hajashirikian nao? Tumludie mungu tusimkandamize mtu ety kisa ww sjui ni answari mhabi sjui ni Nani site tufuate haQi
@user-su2is7kv3y
9 күн бұрын
sura ya 6 mstali wa 128 annam. Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua
@markazswalihinal-islamymom2745
3 сағат бұрын
RR😮ersqae❤❤❤❤❤aaa*😮😮xd😮sadatdssss
Dr. Sulke, katika imani ndani ya uislamu muombwa na moaji nie Mwenyezi Mungu tu pekeyake, hivyo ukitumia majini wakuletee riziki hiyo ni fitina unamfitini Mwenyezi Mungu asijulikane. Tunaita USHIRIKINA HUO.
@salimali-rf9er
Ай бұрын
Nenda kasome bado elim yako ni ndogo
Kipato kina hadaa sana watu wallah, Allah amuongoe huyu Shekh.
Nyiee mnaoo kataaaa kataenii tuuuu ila huwooo ndiooo ukweliii tuulizenii sisiiii Dr sulee yukoo sahihiii
Mpeyane sapoti ila siku ya maesabu ndo mujuwe kujiteteya vizuri kuusu ayo munayo pongeza na hamjuwi munalo lipongeza
kama kweli wewe unaimani na mungu ni kwa Nini unaamini majini yanaweza kulko mungu
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Kila kitu hutokea na sababu ndio maana husema mtoto huletwa na mungu lakini lazma ushiriki tendo Jamaa mueleweni huyu Mzee anakitu flani ajab sana
Kwani majini wa Africa wako slow, ama ni wazuzu hawana teknolojia..really Dr!!
@neemariziki4731
11 күн бұрын
I wonder
Huyu amejitangaza tu kua yeye ni mshirikina , atajuaaje hayo yote kama atendi, vipindi zake mingi yeye husema yeyote anayetaka kufanikiwa amtafute Kando, mkenya aliempa gari alisema alimsaidia sana kwa kazi yake ndio akamzawadi, hapo amejitamblisha 100%, kwa raha zake , anaedelea kujitangaza tu hapate wateja wale wanamuelewa😅😅
@mahadhikawia3610
Ай бұрын
Mganga kama mganga Kwa maneno ya ujanja atakuzunguushaa,lakini hatimae atajitoa kwenye wajibu wa Hilo jukumu na kukuwacha wewe mteja wake ukibakia na matumaini hewa Kwa jini hewa .lakini ' Jini ' wake atakuwa kesha mpelekea mzigo wake kutoka kwako. Yaani kabla hujapewa hiyo Pete lazima upigwe kirungu
@mahadhikawia3610
Ай бұрын
Kwani anamaanisha Nini anaposema ,majini wake wanakuondolea vizuizi Isipokuwa iwe Qadari ya mungu . Anapigaje hapo ? au ndio Ile nenda Rudi Kwa aliyepigwa kirungu na hakufanikiwa ?
@moxasaidi3398
29 күн бұрын
Sule anaeteswa na jini anasaidia kwasababu anafasaidiwa na majini kuna maradhi ambayo sule na majini hawawezi ila wale wabaochezewa kishirikina sule anaweza kusaidia
@user-hs1sq1sv8o
25 күн бұрын
Mm naona ameongea point sehemu nyingi ikiwemo katika technology na mambo ya white magic na black magic, Lakini nilishindwa kuelewa katika uvaaji wa hizo Pete za bahati kuhusiana na kinga kwamba inaweza kuzuia, fitna na kukwamishwa kunakotokana na ushirikina, ama majini wabaya isipokuwa chochote kitachoamuriwa na Mwenyezi Mungu...Basi tunarudi pale pale kuwa Mungu ndio nguvu pekee na kimbilio pekee hakuna wa kumzuia ama kumshinda yeye....basi Tumrejee Mungu pekee, tumuombe yeye na kumtumainia yeye...hakuna haja ya pete wala msaada wa majini....Ni hayo tu kwa mtizamo wangu...vinginevyo ameeleza vizuri sana na ufafanuzi mzuri wa mada nyingi. ASANTENI.
Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakatu mandugu na madada Mtume Saallallahu Aleihi Wasallam alituhimizia tusi waamini wasomaji wa ma nyota hata kama maneno yao ni kweli tafadhalini tuji chunge sana na mitandao na tusome saana dini yetu ya kiskamu kwa ma sheikh walio julikana na wana ma dalili kutoka kwa vitabu vya swahih ,wanadamu wengi sana wana utajiri bila ma jini wala ma pete tusi danganyeni khwasa madada zetu na ma mama zetu wengi huigia kwa hizi mitego Allah atuongoze na atuhifadhi soote
@faridseilan4400
Ай бұрын
Naomba awa fasirie surrat Bagara 101 to 102
@Abdallahmohamed72
Ай бұрын
Huyu c sheikh ni mrongo sana sio waislamu wote wanaoshiriki mambo ya majini huyu ni mtu wa maslahi
@azizihfarijala5307
Ай бұрын
mimi baba yangu pia alikuwa anafundisha majini
Allah amesema wamakafa sulaymana walakina shayatwina kafaraa
Sisi wakristo tunaelezwa na mungu pekee ❤❤wakristo simameni imara tukombele😅😅😅
Hamuamini allah wenu anawezai kuwapee maarifa ya kuunda jambo kubwa ispokua majin ...ndege ni Mungu alipee muznduzi wa ndege hio ujuz sio majin
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Hata mapasta hawaamini mungu aneza wapa ndio maana wanaishi maisha mazuri kwa Sadaka za waumini wao na waumini wakiishi maisha duni wakiamini kua mungu na wao atawapa kwa kumpa pasta hela kwa kigezo Cha Sadaka
@irenengina4350
17 күн бұрын
@@YusufMwalimu-nu4no unalinganisha wachukuao sadaka na waamini wa majin ,,dah,,,tena kwa hii mjadala hatupo mashindano huyu sheikh kaleta ya majin
Kama kuna watu wanao potosha wa islam katika imani ya ki islam viyongozi wadini tanzania mnatisha
@user-it4uh7vu5c
26 күн бұрын
Uislamu na ushirikina ni kama samaki na maji
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Hamna elimu na mkiletewa mnakaaa kusoma
@YusufMwalimu-nu4no
18 күн бұрын
Mnaopishana na huyu Mzee nawaomba tu mjarinu kuangalia movie za kijini za kiafrika. Utaona wanakita katika kuumiza maskini na kuwafanya wagonjwa Hadi kufa..ila za wazungu zinawapa mafanikio na mamlaka ya juu na kuishi vizuri katika Dunia hii... NA UTAMBUE MOVIE NI UHALISIA WA MAISHA YA MWANADAMU HUSIKA KATIKA MAENEO YAKE...
Unajua mpk unakera sheikh
Kwahakika ameathirika na dunia na ladha ya maishayake yenyekumalizika kuliko pepo na ridhwaan (ilmulkalam imewapoteza wengi kablayako mche alwah )wacha hawaa
Mnafki sisi atutaki utuchafurie dina yetu taja huyo mwanachuoni aliesema anaesema kua inaswiiiiiiiiiiiii yan huyu mshirikina anachafua dini wallah lakn allah anayaona haya wallah allah anayaona haya ww aribu tu dini kisa thaman ndogo ya dunia
@FridayMwassa
21 күн бұрын
Huyo shehe amekuzidi sana kwenye ufahamu,majini ni ndugu zenu waislam na yalisilimishwa na Muhammad
Dokta Sule umefunguka akili pia umeingia undani wa elimu na kuizungumzia haujawa na makosa yoyote endelea hivyo na utaelimisha wengine wengi na wafunguwe akili zao, ndo maana Leo hii unakuta wengi wao wanjidai kuwa Wana elimu ila hawana hata ujuzi wa kutengeneza hata kiberiti. Endelea hivyo hivyo na mengi utagunduwa. Hongera sana kwa elimu hiyo. Nakuunga mkono kwa Hilo.
@saidaamourali8590
Ай бұрын
Huyu haja kufungua akili ndio kakuziba akili haswa maana science hajui hata kidogo.duuuh anamini zile chips za semiconductor ni za kijini siku akija kupa Tesla car za auto driving atasema jini ndio anaendesha na lile gari ni la kijini maana mule muna automation za kufa mtu
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Kweli dokta sule amefungua akili ya watu
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Hapo kuna elimu kubwa sana
Huu ni ushirikina wa wazi, Mungu anapokataza ushirikina anajua kuwa jini kampa uwezo tofauti na mwanadam, hivyo unachopaswa ni kumuabudu Mungu ILI tuupinge uwezo wa majini ILI ujue HUYU jini na huyu Mungu
Uko sawa Shekh umenifungua masikio .Acha wabishi wabishe 😂😂😂
shekh kwa kweli uma wa ki isilamu unakutegemea sana lkn hii njia unayofuata sasa huku ni kupotea yaan umekua boga
@trophywilson7211
Ай бұрын
hahahaha ndo ukweli huo Anafichua
@deathrow8004
Ай бұрын
Hatuwezi kumtegema huyu jamaa kashakufuru
@sharfumbarouk6168
Ай бұрын
@@deathrow8004amekufuru kweli kweli live kabisaaa
@FridayMwassa
21 күн бұрын
@@deathrow8004Ameongea usichokipenda
😂😂😂😂 kaka umenichekesha sana ( tengeneza sanamu lako la udongo halafu tuone !!! ) swali lilikuwa gumu sana kwa mtangazaji wako
Binadamu kama hukupa mtihani wa kuuguwa majini au mashetani basi ni vigumu kuelewa binadamu wengine.washukuru mungu sana tena sana
AKUNA JINI MZURI SHEIKH JINI KAMA NYOKA WOTE NYOKA WABAYA KWASABABU UNAWATUMA KULETA CHUMA ULETE NDIO WAZURI KWAKO
Nikweli majini wema wapo ,km vile binaadam ,kunawema nawabaya ,tulisha ona majini wanaenda kw biaadam kuwaambia mambo mazuri nakuwapa hadhari ,pale walipowafanyia maudhi ,nitafute nikupe khadith hai ,ila hawapendi kuudhiwa wakikupa onyo ,manawazuri niwazuri kweli ,nakunawatu wanawalazimisha kufanya ubaya nakuwaahid malipo
Professor dr sule M/Mungu akupe umri mrefu sana
Jamaani tumutegemee muumba wetu umodjatu Tuachane nakutegemea viumbe vyake😢
Mimi sna majibu siwez kumuhukumu maana ALLAH ndie mjuzi anajua moyoni kwa kila mtu
Khamis Rajab: Hata hivyo Allah swt amesema: Laa taabudu Sheitwan, Usimuabudu Sheitwan,, wala kumfanya Rafiki.. kwanza hana wema hata umfanyie wema ipo siku atakuuwa tu ! Sheikh enedelea kufahamisha watu! lakini msifuge majini mfugaji akija kufa mnawapa taabu watoto wenu.,..
Kwa hapa shehe anataka sema mungu aliumba malaika Bina damu Na majini kwa nyakati tofauti?
Aya ipi inasema kwa uwazi inasema ambayo Allaah amehalalisha tutumie majin. Wakati Allah anasema kwa waja wake tukimwomba chochote anatujibu kwa mujibu wa qurani
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Ww kwakutaka aya ndio mnyewe
@kassamalishabani
29 күн бұрын
Soma suratul jini paka mwisho utajua aya ipi unataka aya tu usomi Quran
Mzee Haydar tuseme hyu ni babu yetu alikua c mshirikina anapenda kusoma Quran siku hio ya alhamis na ndani ya mskit hua pekee yakd na baada ya magharib kuna kisomo mskt
Wee shekhe waamini majini kuliko mungu
Sasa nime juwa sababu unakosa uherewa na kuhusu juu ya mambo ya Mungu
@user-vq9xw3qr7k
25 күн бұрын
I don't know if your doing because you wana draw people's attention? Kama Mungu mwenyewe kajiweka wazi kuwa yeye nimsada wetu kwenye mda wama tatitizo yetu,sasa wewe, sasa kama unamiya viumbe vilivyo fungiwa na Mungu, uwo siyo ukosefu? Maneno matakatifu yanasema kuwa Tuwombe kwa Mungu kupitia Jina la Yesu kwa wa khristu alafu tutajibiwa, sasa kama unatumikisha viwumbe vingine apo apatakiwi Mungu na wala mnamuamini yeye, Ulisema kwamba kila mtu anajitakia story ili aweze kupokewa na watu ukasema Paul akaona atunge story, nduguyangu hapo ndo umefeli kabisa, kwasababu Imani nikitu ambacho au amini kwasababu umekiwona, lakini unatanguliza imani baadae matokeyo yanafwata, akuna mtu aliyo Mungu navilevile maneno matakatifu yanasema akuna ambae atamuona Mungu na akawa, kwahio Musa alipata nehema mbere za bwana akaona utukufu, nahamini kwenyu kuruan maneno hayo yapo, sasa Paul alisema Yesu ndo alimtokea siyo Mungu, sasa ukiwa unahanza hoja ka na lengo laku ponya watu siyo kukosowa bibila au ukhristu ata wa khristu nawo wasikosowe dini kwasababu Mungu ndo anamufahamisha mtu njia, binadamu ana nguvu hio, yeye kwake niku hubili vingine niva mwenyezi Mungu mwenyewe kutenda
Jamaa anapenda dunia si mtu wa dini
Jin n jin too wee jitetee jiteteavyo hakuna jin mwema wote niwachafu
Mzee wewe nakukubaligi sana Apo tulipoingiya mpaka kwenye tecnology nikubali sana mzee
NI AIBU SANA. Achana na mambo ya ajabu na ya aibu kama hayo. Mnafedhehesha uislamu
@bakarimwakabebe9649
20 күн бұрын
Exactly ni aibu kujiita muhadhiri ilhal unapotosha waislam. Akuna anaepaswa kuabudiwa kwa haki pasipo Allah na Qur'an ndio muongozo Wetu waislam na maisha au Sunnah za mtukufu wa daraja Mtume Wetu Muhammad S.A.W.. ukikosa kufuata ii upo nje au kwenye wanafik
@neemariziki4731
11 күн бұрын
😂😂😂😂 Nafa kucheka
Mimi naona sijuwi kama elimu yangu ni ndogo uyu anafanya bya shara yake jini ni mapepo alafu mapepo ya takuwa mazuri kivipi?na wamelaaniwa?akuna jini nzuri ata kidogo yote mashetani
@kudraabdul7257
16 күн бұрын
Pepo sio jini ww musa na elia wali mtokea yesu mlimani walimtokea kama pepo ama kama jini?
Wa islaam funguweni macho mutoke kwenye imani yamajini. Mume jua ukweli.
Hakuna jini mzuri na jini mbaya....wote ni majini...kujeni kwa Yesu muokolewe.
@abubakarmuhammadsaid3244
Ай бұрын
Sisi Waislamu tunaokolewa na Mungu sio Yesu
Umesema kweli handeni Kuna mganga miaka ya nyumba alikuwa akifukuza majini yakufugwa akili kamatwa tu aka weka dawa una ona liondongo lililo finyangwa finyangwa
Sule,kwa fani ya majini akuna kitu.nalikua najuliza uyu shekhe mbona ana nuru.
IPO siku mtamuelewa Huyu mtu,,,Mark my word's
Ni hatari sana kwa mtu asiekuwa na Tawheed kumsikiliza mtu huyu. Wenye kumuamini mtu huyu ni wasiokuwa na elimu ya dini au asiokuwa na aqiyda sahihi.
Bwana technology aija tokea kwajiri ya majini, uwo niuwonga mtupu, kitu chochote ambacho mtu unatengeneza kinatakiwa program, sematu uyo anaye kuhoja ana uherevu, sim siyo nguvu ya majini, mimi ninacho herewa nikwamba kila kitu ukikifanya kwa utafiki haswa, elewa ata binadam amefanyiwa program na mungu kuhanzia utotoni na mpaka anapokuwa
Umtumie jin kupata mali kwahiyo sheikh wewe huamin allah anaweza kukujaalia mali?
Acha kuaminisha, watu ushetani wako, ewe mwana wa ibilisi, umekaa apo kumtukuza shetani, ushindwe kwa jina la YESU KRISTO. Bibilia inasema siku za mwisho marifa yataongezeka, mwamini YESU UWOKOKE
@user-sv6zy3hc8o
Ай бұрын
Hata nyie yesu alisema mtapotea kwa kukosa maarifa
@MrRavini
Ай бұрын
Mhu omba usife Hali yakuwa ni mkristo utaingia motoni
@stephanosospeter1709
Ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu kwa kupotea, laiti mngejua kweli ya Mungu, mngetubu na kugeuka, lakni ata sasa bado amjachelewa, msifanye tu mioyo yenu kuwa migumu, mkubali I Yesu msamehewe dhambi, nyie wenyewe mnajua kuwa Yesu ni alama ya kiama
@sharfumbarouk6168
Ай бұрын
@@stephanosospeter1709Huyo jamaa ndio amepotea peke yake sio sisi - nyinyi wakristo ndio mmepotea Tena upotevu wa mbali maana mmeacha kuabudu Aliyewaumba mnaabudu mwanadamu mwenzenu.... Tafakarini mmepewa akili
@stephanosospeter1709
Ай бұрын
@@sharfumbarouk6168 Sawa, ila kama mnamwamini, Isa bini mariam kuwa ni mtume wa Mungu mbona amumuamini alivyo sema,
kazi kweli msafi hafu anaenda kudhuru
Teina wewe ulikua hadhiri mkubwa sasa unamshirikisha M'mungu.
Muogope Allah shekh, hata gar utasema lina majin ndo maana linatembea
@savesadgeneration
29 күн бұрын
Wewe hvi saudia wanataka kuunda neom city....whose plan,? knowledge is power... listen
@RamadhaniMohamedi-de2vc
29 күн бұрын
Nikulize swali kwanini ww autaki kutengeneza ndege au gali mm namini majini wamepewa uwezo mukubwa na mungu
Shekhe sule wata kuelewa tu hii itafanya watu wa some ili wajue
Nabii Suleiman pia alitumikisha majini
Unapotosha umma. Tumeagizwa Kumtaka Mungu msaada na si kiumbe awaye yeyote yule. Wewe unapotosha watu kwa manufaa yako
Ni hawo hawo makafiri watumishi washeitwani kupingana na dini ya kisilamu alimuradi waisilamu wanasema au wanafanya
Sule lenye najua mungu ndio upanga maisha ya mtu ,tuweke Imani yetu Kwa mungu ,ndio mwenye kupeana riziki,sio majini na Pete,
Kuishi kwingi kuona mengi....... Wata-trend kisha watapotea.....
Muogope Allah ndug yangu utaja juta katka haya na andaa majibu kwa Allah
Kama nikweli jini ana guvu na uwezo, Mbona hajuii Futur ya mwana damu?😂😂From #Comoros
Ásalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Sisi haifai kufanya kazi anayofanya huyu sule huo ni ushirikina
Ni nyakat za mwisho manabii wauongo na wa kweli akili mwako kichwani ,ndugiangu mtegemee allha ndo anajua kilak2 ukiskiza v2 vya mitandaoni vitakupeleka pabaya Maana hujui uskize yupi uache yupi yoote muachie allha Nyinyi kama mwasukumana sisi tulio silim juz tufanye nn tumwamini allha na kumjua allha kilaki2 mungu ndo anajua
@GoodluckLesilwa-kq2ln
27 күн бұрын
Ndo ujutie maamuzi Yako mabovu..mbivu na mbichi zinajifunua
Mbona haulekezi Shida zako kwa Allah mbadala kutumia majini kutekeleza maitaji zako
@whatisthetruth.8793
Ай бұрын
Allah sii jini mkuu mwenyewe
@Ismail-db5oj
Ай бұрын
@@whatisthetruth.8793 Kwa hivyo Jini ana fanya haraka zaidi ya Allah Kukidhi maitaji ya binadamu?Innalilahi Wainaileyrajuun
Next interview atuonyeshe ikhtilafu kwa vitabu gani?
Unaomba msaada wa majin halaf unasema sio ushirikina
@trophywilson7211
Ай бұрын
siyo mshirikina maana Mtume alitumia majini na yapo msikiti alikozikwa hiyo ipo mtandaoni
Mwamini Yesu ndg
shekh njaa iyache ibaki tumboni usiipeleke kichwani
@trophywilson7211
Ай бұрын
mmmh
@neemariziki4731
11 күн бұрын
😂😂😂😂 eti amepeleka njaa wapi?
kupata malinkwa njia ya pili kwa kafara ya wanayma ni haramu...?
Nauliza surat djini aya ya 26 Mwenyezi anasema mambo ya siri Mungu ndjo anadjuwa nauliza iyi aya inasema wongo
Kama ni hivyo waarabu ndio wangekuwa wanasayansi wakuu w Dunia
Uyu sheikh anatukanisha dini
Wanao kuunga mkono washilikina wezio
@neemariziki4731
11 күн бұрын
Mwaniua kucheka waislamu jameni
Mtu yeyote asikudanganye Kila jini ni baya sanana athari zake ni mbaya! Mimi nimesoma elimi ya majini naijeria miaka SITA! Sidanganywi
Huyu Jamaa....sio Dr...labda ni Daktar
Mwenyezi mungu kaumba vitu viote vimtumikie mwamadamu ss leo majini kuututumikia Kuna ubaya sulle huko sawa
Programming languages Ndio zinatumika kaka katika marobot
Huyu Maongezi yake tu ni Mshirikina,hufai hata kuswali nyuma yake
KAZA UZI DR.USITISHIKE. HAO WAPO NA WATAENDELEA KUWEPO HADI KIAMA
We Baki tu kwenye mdahalo mambo mengine km huna dalili za elimu (Hadith nabsunnah) c utulie tu
Majina ni kama binadamu, kuna wabaya na wema. Ila miongoni mwao kuna MASHETANI ambao ndiyo majini wabaya.
Nabi suleimani alitumia nini
Majini Wana makabila wapo wema wapo waovu na inafikia steji muovu pia usilimi ilmu ya majini kikweli ni elimu kubwa sana
huyo mtangtazaji ni mtoto wa Dr sulle ama ??????
@focusernest5610
Ай бұрын
Hapn kwanz huyo bint mzanzibar
Ubishi nimbishi sana selemani Ila wewe nimchawi tu
Nice brother mashallah
Sisi waislamu tumefundishwa kufanya adhkari za kujikinga dhidi ya shari zote na ndio maana Mtume alayhisswalaatu wassalaam. Hakutaka watu wategemee vitu wamtegemee Muumba wao. Tukifungua huu mlango basi hata hirizi watazitetea kama wewe unavyosema. Irejee tauhidi ambayo ndio kazi ya Kila Mtume aliyetumwa na Allaah utagundua upotevu wa huyu Jamaa!
@shadoringo4701
11 күн бұрын
Ata Sim ni herizi tatizo apo ni elimu tuu
@RojaKhaan
11 күн бұрын
العبد لا ينجو بشيطان Sasa ukimwambia huyu shekhe anakosea ww ndy unakosea kikubha elewa shaitwaan ninani
@furahinimrutu3085
10 күн бұрын
@@RojaKhaanuisilam ni majini ukikataa njoo kwenye ukristo
@furahinimrutu3085
10 күн бұрын
@@RojaKhaanuisilam ni majini ukikataa njoo kwenye ukristo
@taifaramadhan8684
20 сағат бұрын
Katika wooote walo changia hapa naona we ndo umeongea pointi muhimu kabisa na ya msingi kuliko wote humu. hasa hapo uliposema kuhusu TAUHID maana mitume wote ukisoma QUR,AN TUKUFU walikua wanasema wamtegemee Allah pekee na kumuomba yeye tu na kutaka msaada kwake katika kila kitu nk. na si kutegemea eti msaada wa Viumbe Majini na maroboti nk.
Dr Sule wewe mwenyewe ndio unajieleza uthamani wà mjini, na kuisaliti dini ya kuiislamu Kama wanashirikiana na majini,
Sheikh,,🦾ur on point!! Not technology is not using majini.
Kuna majini waisilam na Kuna majini makafiri hili lipo wazi
@trophywilson7211
Ай бұрын
hakuna majini wakristo Yesu aliwatupia baharini
@fundimau2379
20 күн бұрын
Yote haya mmeshindwa kujua nini maana ya huo Uislam ndio maana mnasema kuna Majini Waislam lakini mkijua Uislam hamuwezi kuunga mkono haya pia hamjui huo uzuri mnapo sema majini wabaya na majini wazuri, kwani ukisema nyoka huyu ni mzuri hapo umemuhamisha kuwa sio nyoka au hawezi kudhuru, acheni hayo mambo.
Huyu anaya tukuza sana Majini, MAKOSA hii
Nyie mnaohoji achen kuandika vichwa vya habat visivyoendana na mahojiano
@neemariziki4731
11 күн бұрын
😂😂😂😂 Mungu wangu
Kuna watu wanakosoa hebu tupeni mnavyojua nyinyi
Majini ni aina mbili wazuri na wabaya
Inaa LILAH waina ilah raaji'uun
Yes sio mungu siku moja mtakuja fahamu ilo
@qerysir4410
22 күн бұрын
Ni means wa Mungu! Mwana wa Mungu ni Mungu!
Kwa hiyo uislamu ni Uchawi
Dr Sule Ufahamu wako upo chin sanaaa
@RamadhaniMohamedi-de2vc
29 күн бұрын
Ww ndio uwelewa wako mdog niambie tunaipataje sindano kwenye vitabu.
@hassanjuma3703
20 сағат бұрын
Abu tueleze ufahamu wako tujue ukweli
🎉 Haa haa roboti kumbe ni jini chukua :5:😅😅😅😅😅 Kumbe waafrika tulichelewa sana
@bonifasiemanueli21
Ай бұрын
Hapo kwenye roboti nimegonga 🎉 Japo wengi hawajui
Mna kazi kwelikweli