MCH HANANJA ATOA SOMO KWA GEN Z WA KENYA, MUNGU HAPENDI

Пікірлер: 20

  • @bahatisilvesta
    @bahatisilvesta3 күн бұрын

    big point

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah86422 күн бұрын

    Tatz waliojuu Hawana utamaduni wa kuwackiliza walio chini wkt ndio ndio waliowaweka apo juu kwa kura na ridhaa zao lkn wakipata huwasahau na mara nyingi walilalamika solution huwa kuwachapa viboko na kuwanyamazisha.

  • @stephenmwaniki2803
    @stephenmwaniki28032 күн бұрын

    Wacha mzee nikujuze jambo huyu mtu alipo ingia mamlakani kwanza aliondoa kazi kwa vijana pesa za wazee mlo shuleni kwa wasionjiweza huduma hospitalini acha zifurugha yani amehalimbu kila kitu na tusisahau amepeleka watoto wetu haiti kwahiyo hatumchukii bule huku maisha nikusononeka tu

  • @user-uy3uk2ul5b
    @user-uy3uk2ul5b2 күн бұрын

    Unapopandisha Kodi razima uwandae miundombinu ya maksin ya Ali ya chini, ili asije kuraramika km wakenya.

  • @user-em3qx3de7z
    @user-em3qx3de7z3 күн бұрын

    Kwel kabisa mchungaji yaan ni ukwel mtupu

  • @collinsowuor6981
    @collinsowuor6981Күн бұрын

    Kweli kabisa, wakenya ujumbe mzuri kwenu nyinyi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Wale watu wamesema wenyewe kuwa hawana cha kupoteza😢.Hawajali kabisa. NI KW E LI .Wamekata tamaa😢

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Ushabiki ni balaa ,tuongee ba siyo vurugu😮

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_2 күн бұрын

    True

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo964118 сағат бұрын

    Kuja Kenya tukusalimie

  • @anosiata8242
    @anosiata8242Күн бұрын

    Nimecheka eti watanzania ni nautical😀😀😀

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Watu wanategemea kuajiriwa tu.colonilism after effects Vijana wajifunze kujiajiri na siyo kuwategemea wabunge😢😢

  • @ngwenoh.e9725
    @ngwenoh.e97257 сағат бұрын

    What is he talking about? There's no politics there,it's governance,accountability,curb wastage

  • @user-me5xj1cp2e
    @user-me5xj1cp2e13 сағат бұрын

    Magufuli alibadilisha kwa mda gani wachungaji semeni

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed604611 сағат бұрын

    Wewe huijui kenya hatukuelewi

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale173921 сағат бұрын

    Hakika

  • @dukeongori9067
    @dukeongori90672 күн бұрын

    Bro wa suti

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah86422 күн бұрын

    Nimekuelewa mzee wengi hatujui km Kuna maendeleo vitu na Maendeleo watu kwaiyo kinachofanyika ni kuleta Maendeleo vitu tyu bila kujali Maendeleo watu ni muhm zaidi kwasabb ni rahc Maendeleo watu kuleta Maendeleo vitu lkn una una soko lkn huna uwezo wa kuweka bidhaa.

  • @douglaswawire9885
    @douglaswawire98852 сағат бұрын

    Come and stay in Kenya for only only month,,,,you will go back to your country,,,you don't know how people feel

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Ba b a waambie wa n asiasa wa Tanzania pia waanze kujitambua vinginevyo mwakani ni hayo hayo ya Kenya.Sasa tatizo la Tanzania elimu ndogo sana,kwa vijana hata baadhi ya wanasiasa😢😢 Kitakuwa kisanga wajinga watupu kupambana😢😢

Келесі