Rais Ruto aliahidi kufanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri lakini ameshindwa kufanya hivyo

#KTNNews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews #genz
Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on KZread - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
SUBSCRIBE to our KZread channel for more great videos:
/ ktnnewskenya
Follow us on Twitter: / ktnnewske
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live www.ktnnews.com/live
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews

Пікірлер: 89

  • @JohnMutua-cr9ip
    @JohnMutua-cr9ip11 күн бұрын

    Waiting for Ruto to stop making empty promises is like waiting for ship at an airport!! It can't and won't dock there

  • @annegraceatwork8616

    @annegraceatwork8616

    11 күн бұрын

    Truth bitter PILL 💊😅

  • @eunicejefwa1935

    @eunicejefwa1935

    11 күн бұрын

    😂😂😂😂nawashangaa

  • @wakenyaskytv6937
    @wakenyaskytv693711 күн бұрын

    Ruto will never stop lying, if he is not flying he is lying

  • @joycewafula935

    @joycewafula935

    11 күн бұрын

    😅😅😅 imagine

  • @Danamdone254
    @Danamdone25411 күн бұрын

    I lovd ktn you made it so good for anyone to understand what needs to be done

  • @CarolineVijedi
    @CarolineVijedi11 күн бұрын

    Waziri wa elimu nyumbani

  • @rodgersmuyechi5102
    @rodgersmuyechi510211 күн бұрын

    ruto amechaganyikiwa ama ametishiwa na wadani wake pele ya uchaguzi mkuu

  • @Danamdone254
    @Danamdone25411 күн бұрын

    Finya yeye The kanu regime must fall

  • @francismeeme3693
    @francismeeme369311 күн бұрын

    Tutarudi tena

  • @robertkimani2420
    @robertkimani242011 күн бұрын

    When he is not lying.......

  • @mourice1669
    @mourice166911 күн бұрын

    Hot Air 😂😂

  • @jameswangari5541
    @jameswangari554111 күн бұрын

    RUTO kile anatafuta utapata Tu wacha Ku underate hao VIJANA utashangaa Sana wakikungoa kwa hiyo kiti

  • @peterkoinange3825
    @peterkoinange382511 күн бұрын

    Haha the sugoi man will never change. Gaidi lenyewe

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed873511 күн бұрын

    Let's work continue wajamani

  • @user-on1cv7ui6v
    @user-on1cv7ui6v11 күн бұрын

    Once a liar ALWAYS a liar

  • @joycewafula935
    @joycewafula93511 күн бұрын

    😮😮pia punguza mishahara yenu n mingi SAAAANA

  • @ABDI_THE_DON
    @ABDI_THE_DON11 күн бұрын

    Hot Air, Ruto had always been a liar

  • @user-sj8ck1bk1d
    @user-sj8ck1bk1d11 күн бұрын

    Hata hilo jina Ruto siamini kama nilake

  • @rubebandihai6207
    @rubebandihai620711 күн бұрын

    Hawa viongozi wetu ni waongo.

  • @ayubo135
    @ayubo13511 күн бұрын

    Ati ameshindwa kufanya hivyo ? Kwani who is making decision to higher and fire ? 😮

  • @qrankmw.
    @qrankmw.11 күн бұрын

    ..ehh....no retreat ... .....no conversation... ......dont talk to the problem....remove it.... .....reject and eject this icc graduate...

  • @lydialuttah7288
    @lydialuttah728811 күн бұрын

    Mko sure huyu Ruto hatumii pombe

  • @florencemuthoimuthoni5816
    @florencemuthoimuthoni581611 күн бұрын

    Ilikuwa ahadi hewa..aondoke kwa kiti

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed873511 күн бұрын

    Ndio tupate kula slice na blue band 😅

  • @PatrickKkhaemba-mq8gs
    @PatrickKkhaemba-mq8gs11 күн бұрын

    Hakúna wasiri hata mmoja wote bure

  • @mutisyatimothy8199
    @mutisyatimothy819911 күн бұрын

    He is still jocking

  • @PatrickKkhaemba-mq8gs
    @PatrickKkhaemba-mq8gs11 күн бұрын

    Hasarà Kwa walipa ushuru

  • @agnetaogola4490
    @agnetaogola449011 күн бұрын

    Ruto ako na ugonjwa ya uongo..Ako na virusi za uongo mdomoni

  • @Kizigira
    @Kizigira11 күн бұрын

    Tutamchomoa huko statehouse atoroke bila kiatu. Sijui ni laana gani Kenya ilipata kuwa na mtu kama huyu.

  • @samweliemanuelisir5311
    @samweliemanuelisir531111 күн бұрын

    Den of failures

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk11 күн бұрын

    Sio haraka hivyo mnavyo fikiria Kuna sheria

  • @skybilak5135

    @skybilak5135

    11 күн бұрын

    Toka apa hii si maisha ya kitambo 🧐🧐🧐

  • @robertkilunda4017

    @robertkilunda4017

    11 күн бұрын

    Sheria gani? Are you stupid?

  • @salimmachila5736

    @salimmachila5736

    11 күн бұрын

    But ni rahisi appointment of non constitutional positions

  • @MuthamaSabastian

    @MuthamaSabastian

    11 күн бұрын

    Wali appointiwa na Sheria Gani?

  • @Candys9096

    @Candys9096

    11 күн бұрын

    Msijali Huyo ni Akili ya Baby Boomer ,,

  • @edwinkidambu165
    @edwinkidambu16511 күн бұрын

    Yeye hutuambia maneno ambaye tunataka kusikia hamna kitu kitabalika.

  • @danicanoduori
    @danicanoduori11 күн бұрын

    Kondo akionja maindi karibu na store kumutowa hapo sio rahisi Sasa Hawa mawaziri vile wamejuwa pesa ya wakenya nitamu.prezo wangu oko na kibaruwa

  • @briankwala7923
    @briankwala792311 күн бұрын

    wakenya wanataka jogoo itoe sauti ya chura, zakayo hawezi badilika, huyo ni jambazi sugu😂😂😂

  • @eunicejefwa1935

    @eunicejefwa1935

    11 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @magicmind6458

    @magicmind6458

    11 күн бұрын

    You steal with him. Ruto is a human being not robot.

  • @briankwala7923

    @briankwala7923

    11 күн бұрын

    @@magicmind6458 he is a well known thief, go cry somewhere else

  • @user-sj8ck1bk1d
    @user-sj8ck1bk1d11 күн бұрын

    Mdavadi Nyumbani wetangula Nyumbani chirchir Nyumbani Mochogu Nyumbani njuguna Nyumbani

  • @RutoMustGoNow
    @RutoMustGoNow11 күн бұрын

    Ruto will say anything. The Kenyan Constitution provides a clear and robust framework for the impeachment of a sitting president. It is time we saw the democratic accountability mechanisms embedded in the Constitution demonstrated by the National Assembly, who are Constitutionally tasked with moving the motion to impeach.

  • @collinsochieng5486
    @collinsochieng548611 күн бұрын

    Ruto and lies are twin brothers

  • @HillaryKoech-pk2se
    @HillaryKoech-pk2se11 күн бұрын

    RUTO should Not be misled,/misadvised to fire any member of his cabinet....

  • @robertkirui8581
    @robertkirui858111 күн бұрын

    Sio gnetz hakuna haraka

  • @chrispinochieng
    @chrispinochieng11 күн бұрын

    Mr President u r clever enough and now that isue of refreshing ministry is simple those targeted r almost at the retirement age

  • @vivianawuor5185
    @vivianawuor518511 күн бұрын

    Ruto cannot perform, expect nothing

  • @user-nj4fh3vm5i
    @user-nj4fh3vm5i11 күн бұрын

    HUYU MWIZI NI MUONGO SANA SIJUI HUONA WAKENYA NI WAJINGA

  • @kirksconchannelmedia
    @kirksconchannelmedia11 күн бұрын

    Soul searching - dissolving 47 state agencies

  • @sabelixcz2350
    @sabelixcz235011 күн бұрын

    Changes in government does not necessarily mean re shuffling cabinet, mischievous media indeed

  • @mimi5569

    @mimi5569

    11 күн бұрын

    Kibet tulia

  • @mosonikcheomet1206
    @mosonikcheomet120610 күн бұрын

    Dictating Rais nanyi,wait for kalonzo not our president let him to what he knows it is good he is one of the most learned president in Africa not as u think

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo251611 күн бұрын

    Press on prezoo you're in the right track,and God is on your side."Haraka haraka haina baraka".enda pole pole.

  • @janemurugi9001

    @janemurugi9001

    11 күн бұрын

    @@hellenmaiyo2516 I wish those people are pressuring him would be on his shoes

  • @rivtorkawega9792

    @rivtorkawega9792

    11 күн бұрын

    @@janemurugi9001 he should be the one to be on our shoe. Can you read what's going on in your country since this man took over power. Gaidi anamaliza Kenya na bado unamtetea blindly

  • @hellenmaiyo2516

    @hellenmaiyo2516

    11 күн бұрын

    @@janemurugi9001 Yes let him work on his plan properly, bora atutengenezee nafasi ya watoto wetu.

  • @christopherNyongesa-x9y
    @christopherNyongesa-x9y11 күн бұрын

    Waiting for Ruto to stop

  • @PatrickKkhaemba-mq8gs
    @PatrickKkhaemba-mq8gs11 күн бұрын

    Túlihaitiwa ujumii sió mamlaka shida kubwa Bunge la Kenya ndio vipofu

  • @joshuawafula3907
    @joshuawafula390711 күн бұрын

    Aty Susan nani?😂😂

  • @bahatisuleimangowa1980
    @bahatisuleimangowa198011 күн бұрын

    Huyu jamaah ni akule kichapo na aende kufuga kuku wake.mrongo sana

  • @Typical_Kenyans
    @Typical_Kenyans11 күн бұрын

    He is a coward

  • @flexxflexys1212
    @flexxflexys121211 күн бұрын

    Nonsense headlines

  • @FatiMa-nb5ps
    @FatiMa-nb5ps11 күн бұрын

    Kwani.mbona.hatueleweki.wakenya.tunataka.nn

  • @sifamaureen2792

    @sifamaureen2792

    11 күн бұрын

    Ruto aende sugoi😂😂

  • @gideonnjoroge2379
    @gideonnjoroge237911 күн бұрын

    Hé doesnt know which thief to fire n who to remain😂 wezi baya sana...start with murkomen..ana manga manga with 200million dollars

  • @gratitudeOsano
    @gratitudeOsano11 күн бұрын

    While firing some might cool tempers, These are parents with children, loans, and other financial commitments. If I were the president I would first send parking those adversely mentioned then slash the pay to 3/4 so that Whoever doesn't like the idea can find another job elsewhere.

  • @derrickwanjala3710

    @derrickwanjala3710

    11 күн бұрын

    While some of those guys embezzle funds, do they not know that other Kenyans also have the same obligations you've stated? Kenya must change.

  • @sharonmuga9432

    @sharonmuga9432

    11 күн бұрын

    Desperate situations require desparate solutions. Corrupt leaders at the expense of struggling Kenyans should go very early in the morning!

  • @mathewlagat7330
    @mathewlagat733011 күн бұрын

    Kizasi confouse 😂😂😂😂ati genz....

  • @KenJuma-tz2hg

    @KenJuma-tz2hg

    11 күн бұрын

    Peleka ukale huko

  • @georgeodhiambo2118

    @georgeodhiambo2118

    11 күн бұрын

    Toa Meno zako refu hapa 😂😂😂😂

  • @erickanyugo3253

    @erickanyugo3253

    11 күн бұрын

    Wewe funga meno ngiri wewe!!! Mlichoma watu Kwa kanisa halafu unaongea???? Andika jina confused vizuri.

  • @violetkwamboka5988

    @violetkwamboka5988

    11 күн бұрын

    Mtu hajui kuandika lugha ya kimombo anatuambia nini sasa

  • @user-qy5vs6zu6x

    @user-qy5vs6zu6x

    11 күн бұрын

    Huyu achinjwe hii wiki

  • @borntowinborntoshine698
    @borntowinborntoshine69811 күн бұрын

    The best president