Mzee Yusuf Kuvamiwa na Majambazi: Nilijua nimepigwa risasi kumbe! / Nitawachapa na dua
Ойын-сауық
Mzee Yusuf amedai kwamba muda mchache baada ya kavamiwa na majambazi ilipigwa baruti juu akadhani ni yeye amepigwa risasi ya kifua kumbe hakuna kitu "Nikawa najiuliza mbona sioni damu au ndio nimekufa?"
Пікірлер: 354
Pole Alkhaji Yusuf Allah Azidi Kuwahifadhi Mzee Haji Mimi Nipo Nawewe Washtaki Kwa Allah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hii dua nimeipenda mzee yusuf kamchamba mtangazajii kistaarabu,😂😂
Mimi ni mkristo lakini Imani ya Mzee Yusufu inanifanya niwe na imani dhabiti Juu ya kristo japo yeye ni Muislam.
@ayshashabani8310
5 жыл бұрын
Ndugu yang karibu kweny uislam dini aliyokua akihubir yesu na manabii kabla yake ukutaka kuamin kasome matendo y bwana yesu kisha jiulize kt y waislam na wakrist kunanani wanayafata mafundisho y yesu mfano yesu alikua akisali ktk sinagogi(msikiti wa wayahud) nakuhubiri humo JE NIKINANANI WANASALI MSIKTN NA WANAHUBIRI HUMO????yesu kasema mkisali salini kwa lugha moja je NI DINI GANI HUWA WANASALI KWA LUGHA 1 yaan ww ukienda nchi yeyote dunian ukiingua jumba la ibada lugha numoja huu ndo uislam alihubir yrsu na menginr meng mkitist mtz akinda china atashudwa kusali coz halewi kichuna lkn muislam akiingia msikit w wachna ataswal coz lugha ya ibada n moja aliusema bwana yesu
@mtumwamohd4212
5 жыл бұрын
@@ayshashabani8310 good
@Jackiedaniel75
5 жыл бұрын
@@ayshashabani8310 najua umemwambia kwa nia njema ila nakushauri ukajifunze zaidi biblia ili ujue matendo na mienendo ya Yesu.. inaonekana umekariri
@munirayakoub3682
5 жыл бұрын
Dini zetu zote sawa mpenzi endeleya ivyo ivyo
@linahfelcian1242
5 жыл бұрын
Amini kwamba
Mwanadamu ukiwa na iman kwa Allah uwa haujali kitu Mzee na family yako Allah awalinde in shaa Allah
Si wadaku hao wamesaidia kufikisha ujumbe na kutujuilisha kuwa kuna watu wabaya wako mitaani tuwe makini. Allah awavue salama hilo na jengine in sha Allah. Amiin
Wallahi si utani ukiwa na imani thabiti hutotishika kwa kila kitu ukiamini kunamlinzi wa ulimwengu huyo ndo jabar hakika atakulinda t huo ni mtihan na nikipimo cha iman usiyumbe daima mzee mola akupe nguvu
@marrimborndy3010
5 жыл бұрын
Apna baba yangu pole sana Kutoka niusalama wako nimungu ulee alitaka kukuponesha insha allah mungu atakupa bingineee
@maryamammar1702
5 жыл бұрын
Swadakta
@user-wn2tj5pt1v
5 жыл бұрын
Aysha Shabani
Pole sana brother Yusuf na familiya. Ndugu zangu waislam dua hii inasaidiya wakati kama huu ALLAHUMAH IKFINIHIM BIMA SHIITA. YA ALLAH NIKINGE NA SHARI YA HUYU MTU.
Wallahi Hao majambazi warudishe tu vitu vya watu, Maana sio kwa Dua hizo. Mzee Yussuf ni konki ktk dini yatawakutaaa, Hayaa.
muelekee Allah mzee Yusuf atawaadhibu bila ya wao kujua waja walaana laanathulahy hao majambazI njaa Allah atawaadhibu hapa hapa duniani na kesho Akhera moto wawasubiri hao mjambazi
Ndio uislam huo Alhaj. Mashaallah. Usikae kibwegebwege
Allah. Yupo nawe sheikh yusuph
Ukiwaacha itakuwa dharau bora uwaoneshe kuwa Quran ina uwezo wa kujibiwa kwa haraka !! 😀😀😀😀😀😀😀
@kassimkassimkudowea7076
5 жыл бұрын
pole xana mzee wetu
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
pole sana mzee wetu
@aminamohamedi8399
4 жыл бұрын
Pole Sana inshallah allah atawaongoz waingie kwenye kheri watafute rizki kwanjia impendezayo Allah🤲
Tutoeni sadaka kwa wingi. Sadaka inaondoa majanga km hayo na mengineyo.
Allahu awaongoze yarabi..kweli kbsa mzee Yusuf mola ndie tengemeo letu Allah azidi kuwalinda inshaallah
Maskini. Mwamuuliza nni mzee yusuf..ALLAH akustiri hapa na kesho AKHERA
Pole mdogo wangu na familia yako. Allah Haafidh. Dada yako wa Mlamali.
Nimependa mtangazaji umetaka dua, in sha Allah mzee yusuph mwenyezi mungu yuko pamoja nanyi
@zenahamis7061
5 жыл бұрын
Pole sana Allah akuepushe
Allah awaifazi awavue zitohilo najengine allah umesema dua yamwenyekuzurumiwa inafika mshitakie allah atakulipa kua pamoja na allah ndokila kitu nimefulahi sana kwa hatua mlochukua kuachana nadunia nakumuelekea allah alhamdulilah allah awaifazi awakinge nakila shali awawekee ulizi mbeleyenu nyuma yenu kulia nakushoto hakunazito kwa allah awasahilishie amin amin
pole sanaaa pia mwenyez mung ni Mkubwa kawatia ngvu n ujasiri.Mzee yusuf Fanya kwel soma dua wajue kuwa yupo mjaa apaswae kuabudiwa kwa haki.
Subhanallah mungu awanusuru yarabii
Poleni sana wapendwa mungu awape subra inshaallah
Ni hatar lakin mzee umeni chekesha kwakweli😂😂. Ila daah, poleni sanaa.
Na mwenye zimungu atakulipia kwa kila walio kufanyia na cc mwenyezimungu atulipie kwa dhulma yyte mwenye alotufanyia ameen
Pole sana mzee Allah ndo kilakitu Imani ndo kilakitu
Alhamdulillah Allah awaepushe na mabalaa ,na awape zaid ya walivyovichukua,na yeye ndio Hakim wa haki,haki yenu haipotei
Wallah kwa walioyakuta mnaelewa nn anaongea,Alhamdulillah hata sisi pia ilitufikia ivo lakini tulimueka Allah mbele na sote tulisalimika walichukua walichokipata na waktuachia roho zetu salama,Mzee walichukua kwa haraka wakakuachia baraka .Hakika huu ni mtihani mtihani mkubwa Allah ndie anaejua zaidi...ALHAMDULILLAH
Alhamdulillah Mola amewanusuru Inshaalah Mola awanusuru na mapalaa meingine
Amiin yarab...Alhajj yussuph umenichekesha na iyo dua ya umbea umbea
Tuzidishe ibada na dua kwa wingi katika mijengo yetu kwa vile Allah ndiye mlinzi. Bodyguard kutoka kwake(malaika) wana nguvu,hawahongwi and is for free.
Mzee yusuph nakupa pole sana,kwa wale ambao hawajawahi kutokewa na hili wataona ni miujiza ila mungu atakupa ahueni,mim nilitokewa na hili,mzee yusuph pole sana
pole sana na Allah atakuifdhi Amiin
Aamiin Yaaraby Aamiin, Poleni sana kwa tukio .
Pole sana huo ni mtihani Mungu atawachapa fimbo zake na watatia adabu
Pole ila duwa yako fantastic amn
Security yetu....ni mola.....shukr Allah kwa yote
@nurumustafa9353
5 жыл бұрын
Pole
Pole sana kaka *Mzee Yussuf* Allah akusimamie kwa kila hatua.
@sadakhamis1261
5 жыл бұрын
Aamiin
@lollol-xi3oy
5 жыл бұрын
Ameen
@sharifaabdullah6825
5 жыл бұрын
Amiin
@sharifaabdullah6825
5 жыл бұрын
@Abdallah Mangushi ndio
@ndamayapemakanda1338
5 жыл бұрын
Saumu hassan yaan kila kona nikipita lazima Nikuone hongera xna
Mzee kawa mpole jamniiii
Inshaallah..mungu atawazidi...kuwalinda..
amiin yaraby poleni sana
Hahahahahaaaa! Eti mwanamme hatakiwi kuvaa dhahabu,haya sasa wanaume mnaovaa dhahabu kama mna jibu kwa alhaji mzee Yusuf semeni
inshaaallah mungu atakufanyia wepesi dawa yao wafanyie rakaa 2tuu kila baada ya ibada zako mzee
Mbagara oyeeee 😂😂 Mzee yusuf pole sana
Pole sana mungu awape subra awahifadhi Mzee Yusuf na watoto Lela
Poleni sn Mzee pamoja na familia yko Allah awalinde hapo na penginepo
@wahedawaheda4307
5 жыл бұрын
polee sana Othanzi wotu
Polen sanaa kwa familia nzima mzee yusufu pia amen kwa dua
Poleni...ila nimecheka sana hiyo dua jamani😂😂😂😂😂
Poleni sana nduguzetu Mungu mwema mpohai .
Asante kaka mungu yupo pamoja nas
Amiin yarabi kwa duwa
Siwapendi wavamizi,wenye kupenda kula riziki za wenzao,halafu wanawaadhibu na kuchukua jasho la mtu,hata sijui niwaombee dua gani,ila mungu awaongoze waache wizi watafute riziki kwa njia za kheir.
اللهم آمين..
@ramadhanibilali6002
5 жыл бұрын
Abdul swamadu
Poleni xana Allah awanusuru na mabaya yote
Aaminy aaminy aaminy aaminy 🙏🙏🙏🙏🙏🙏aaaminy yaraby
Allah awahifadhi na balaa za dunia
naoba uwatie adabu ameen rabillahllameen Allahmdulillah rabillahllameen🙏
Amin yaarabby
pole sanaa mzee Allah akupeni subrah
pole mzee yusufu Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kwakila jambo
@sadahmzee2916
5 жыл бұрын
Pole Sana M.Mungu atakuwepusha Sana na kila balaaa
@sadahmzee2916
5 жыл бұрын
Inna.llwaah Maaswabirina
Pole sana mzee yusuph
Poleeni sana ALLAH awaepushe namitihani
Poleni sana wapendwa ALLAH MKUU
Amiin ya rabb
Pole sana mzee wa juma dede
Poleni sana mungu mwema Bora mkosalama alhamdulilah.
Inna Allah Maa Swabirina♥imani kitu kikubwa😍😍😍
Poleni
Umekubali kukukaribishwa nimecheka sana mzee yusuph
Nimecheka Mzee yusufu,
Pole mzee mungu azidi kukulinda
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi mume wake bi Leyla Rashid
@chikuissa5819
5 жыл бұрын
Pole san
Pole jamani mwenyezimungu atawasaidia mungu ndie tegemeo letu in sha Allah ataawaadhibu
Maasha Allah ktk suala la dua ua waislam mbona mara moja Allah anajibu.
poleni. Allah. Awalinde
Poleni sana allah atawalipia
poleni sana ila umenifuraisha tu kuusu zaabu
poleni Sana mzee yusuf
Alhamdulillah bora mpo salama hawaja mizuru
Poleni...Mungu ndio kila ktu
Amin
Mwanamke shujaa sana huyu mungu amzidishie
Poleni familia ya mzee Yusufu.
MashaAllah Allah awalinde na azidi kuwapa subra
Ma-sha allah Kwa Dua hiyo hapana udaku na umbea umbea teeena
Mzee baba fanya mpango upate bunduki na funga camera. Sema ume nifuraisha sana ndugu yangu
Allah azidi kukuongoza na tuwaombee,wale wengine ambao bado wako mashimoni Allah awatoe.Amiin
Amiin kwa dua
Ameen Ameen Yaraab
Pole sana mzee na leyla mungu amewalinda sana
Aamiin thumma Aamiin
Poleni na tu nawaombea Mungu aendelee kuwalinda
Allah atakulinda
Aamiin yarabilaalamin
Huyu Mtangazaji sidhani kama akili yake iko sawa, ameomba MTU afanye dua halafu anacheka Cheka, Nidhamu iko wapi katika hili?!?!
@khadijagunyu1566
5 жыл бұрын
We umeyaskiliza vizuri hayo maombi hata mm nimecheka
@salmaseif2018
5 жыл бұрын
Richard Mnkande Poleni Sana'a kwa mtihani MKUBWA uliowakuta
@saumujuma5473
4 жыл бұрын
Kwa Dua ile lazima ucheke shekhe hahahah
@hasnaabduly4945
4 жыл бұрын
😀😀😀😀hiyo dua ata me ningecheka kwa sauti kabisa😀😀😀
Mapolice Wa bongo ni Wa kisiasa na kuonekana kwa TV lakini kazi muhimu kama usalama Wa wananchi hakuna
Amin yarab Amin
Kakayusufu mungu yupo nawewe atakurinda inshaallah
Pole san #mzee mwenyez mung akupe uliz
Pole sana kaka angu Allah kakulindeni tushukuru tu umzma alhamdulillah
@subeerasub7319
5 жыл бұрын
Poren mzee yusuf
Pole sana mzze
Pole sana