MAPOKEZI YA DR.SULLE KATAVI HESHIMA KUBWA

#drsulle #tanzania
Dr.Sulle alivyo pokelewa mji wa Katavi msafara mkubwa ulivyopita Mji mzima
Na kupokelewa na Sheikh Wa Mkoa Sheikh Mashaka Nassor Kakulukulu pamoja na katibu wake wa mkoa Omary Ally Muna
TUKIO LETU NI KESHO KASHAULILI KUANZIA SAA NANE MCHANA MPAKA SAA KUMI NA MBILI JIONI
#islaahislamictv
Directed by @jaywaladhapresenter

Пікірлер: 11

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudi26 күн бұрын

    Allah amuongoze yeye na jamia Islamiyah In Sha Allah 🤲🤲🤲

  • @user-ru7hg6qk8q
    @user-ru7hg6qk8q26 күн бұрын

    Mashaallah

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z27 күн бұрын

    CHUKIENI ILA MJUE IO NDO ILE CHUMA ANAYOSEMAGA YA 400M..😊(ya nyuma apo)

  • @zizuzidu9803
    @zizuzidu980323 күн бұрын

    CHAWA (Chama cha wachawi) hicho

  • @Sbstn1913
    @Sbstn191326 күн бұрын

    Kama muislam ni haki yaki kiquraan

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s26 күн бұрын

    Hilo gari alimrogea mtu mkenya ndo akamhonga af anamuiga othuman micheal sifa japo hamkut hata nukta

  • @MariamAsudi

    @MariamAsudi

    26 күн бұрын

    Jee uposema hivyo ushaonyeshwa mwisho wako utakavyo kuwa ???? Na jee safari ya maisha yako aunajuwa ??? Na jee u miongoni mwa watu watakawopewa kitabu kwa mkono upi ??? ISHAWAI JIULIZA MASWALI HAYA??? Wabillahi tawfiq

  • @selemankishema5780
    @selemankishema578026 күн бұрын

    Yanamwisho danganya tu waislam

  • @MariamAsudi

    @MariamAsudi

    26 күн бұрын

    Hujafaa hujaumbika kama unaijuwa kesho yako basi mhukumu

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy27 күн бұрын

    Hivi kuna misikitin bado wanamruhusu huyu mchawi atanagaze uchawi wake au anafanya viwanjani?

  • @MariamAsudi

    @MariamAsudi

    26 күн бұрын

    Ndugu yangu hivi unasahau maadili na heshima ya uislamu??? Allah S.W ndie mwenye hukumu sasa unapomuhukumu mtu eti kwa vitendo vyake basi unakosea kumbuka hujafaa hujaumbika na wewe hujuwi unapo kwenda mbeleni Kuna nini ,,, niwiye radhii lakini kumbuka maneno ya mwisho mtume alipowaita WAUMINI wake PAMOJA na maswahaba ,,na kuwaambia basi ikiwa nimemduru mtu yeyote. Toka mwanzo ,basi ajitokeza nimlepe vilevile nilivuomduru ,hapa Kuna funzo kubwa sana ndugu yangu ,,hakuna kitu kibaya kama kutenda mema mwishowe ukapewa kitabu chako kwa mkono wa kushoto ,,, mdomo ni adui mkubwa wa mwanadamu hususan unapozungumza bila mazingatio ,,omba msamaha na utubie kwa mola wake ,,wewe sio mwenye hukumu kumbuka huyo Bado ni miongoni mwa wanaviuoni PAMOJA na miongoni mwa viongozi ,,hebu Rudi katika KITAB alafu soma Sunnah za MTUME swallallahu alayhi wasallam baada ya hapo chaguwa ... Wabillahi tawfiq

Келесі