MAPOKEZI YA DR.SULLE KATAVI HESHIMA KUBWA
#drsulle #tanzania
Dr.Sulle alivyo pokelewa mji wa Katavi msafara mkubwa ulivyopita Mji mzima
Na kupokelewa na Sheikh Wa Mkoa Sheikh Mashaka Nassor Kakulukulu pamoja na katibu wake wa mkoa Omary Ally Muna
TUKIO LETU NI KESHO KASHAULILI KUANZIA SAA NANE MCHANA MPAKA SAA KUMI NA MBILI JIONI
#islaahislamictv
Directed by @jaywaladhapresenter
Пікірлер: 11
Allah amuongoze yeye na jamia Islamiyah In Sha Allah 🤲🤲🤲
Mashaallah
CHUKIENI ILA MJUE IO NDO ILE CHUMA ANAYOSEMAGA YA 400M..😊(ya nyuma apo)
CHAWA (Chama cha wachawi) hicho
Kama muislam ni haki yaki kiquraan
Hilo gari alimrogea mtu mkenya ndo akamhonga af anamuiga othuman micheal sifa japo hamkut hata nukta
@MariamAsudi
26 күн бұрын
Jee uposema hivyo ushaonyeshwa mwisho wako utakavyo kuwa ???? Na jee safari ya maisha yako aunajuwa ??? Na jee u miongoni mwa watu watakawopewa kitabu kwa mkono upi ??? ISHAWAI JIULIZA MASWALI HAYA??? Wabillahi tawfiq
Yanamwisho danganya tu waislam
@MariamAsudi
26 күн бұрын
Hujafaa hujaumbika kama unaijuwa kesho yako basi mhukumu
Hivi kuna misikitin bado wanamruhusu huyu mchawi atanagaze uchawi wake au anafanya viwanjani?
@MariamAsudi
26 күн бұрын
Ndugu yangu hivi unasahau maadili na heshima ya uislamu??? Allah S.W ndie mwenye hukumu sasa unapomuhukumu mtu eti kwa vitendo vyake basi unakosea kumbuka hujafaa hujaumbika na wewe hujuwi unapo kwenda mbeleni Kuna nini ,,, niwiye radhii lakini kumbuka maneno ya mwisho mtume alipowaita WAUMINI wake PAMOJA na maswahaba ,,na kuwaambia basi ikiwa nimemduru mtu yeyote. Toka mwanzo ,basi ajitokeza nimlepe vilevile nilivuomduru ,hapa Kuna funzo kubwa sana ndugu yangu ,,hakuna kitu kibaya kama kutenda mema mwishowe ukapewa kitabu chako kwa mkono wa kushoto ,,, mdomo ni adui mkubwa wa mwanadamu hususan unapozungumza bila mazingatio ,,omba msamaha na utubie kwa mola wake ,,wewe sio mwenye hukumu kumbuka huyo Bado ni miongoni mwa wanaviuoni PAMOJA na miongoni mwa viongozi ,,hebu Rudi katika KITAB alafu soma Sunnah za MTUME swallallahu alayhi wasallam baada ya hapo chaguwa ... Wabillahi tawfiq