DR.SULLE WATANZANIA HATUNA SABABU YA KUANDAMANA//KILA KITU CHETU NI KIZURI KULIKO MAJILANI

#drsulle #tanzania

Пікірлер: 25

  • @victorchiwai8831
    @victorchiwai883124 күн бұрын

    Dr sulle Mimi ni mkenya lakini umezungumza mambo ya kweli,wakenya wamejisahau kabisa wanamdhalilisha Rais wao,Mungu akuzidishie umri doctor

  • @moshantoj

    @moshantoj

    23 күн бұрын

    Usiwe jinga

  • @nomar3708
    @nomar370824 күн бұрын

    MashaAllah dr Sule mwenyezi mungu amekupa haiba na sauti hatuchoki kukusikiliza. Itumie sauti yako imfikie kila mtanzania kumuelimisha faida ya amani kwenye nchi. Uwe na redio yako dr so sauti yako ifike kila kona ya tanzania. Vijana wetu wasije kukurupuka na kutuharibia nchi. Mwenyezi mungu akulipe kila la kheri

  • @ginazngo4317
    @ginazngo431725 күн бұрын

    Mashaalla tabaraka alla alla akulipe machozi yananinitoka

  • @HamisiMaraga
    @HamisiMaraga24 күн бұрын

    Doctor sule nakupongeza kwa unachokizunguza nikweli kwasababu watu wengi hawana madili mazuri dini imekosekana kwenye nyoyo wana shabikia vurugu kuliko amani hawajuwi athari zake mungu akupe nguvu yakuongea ukweli..

  • @ginazngo4317
    @ginazngo431725 күн бұрын

    Maana watu wengi wanaona wanafanya vizuri wana amri moja alla awarubisha kwenye imani 😢😢

  • @TwahaMaziku
    @TwahaMaziku25 күн бұрын

    Acha uchawa

  • @TatuOmar001
    @TatuOmar00124 күн бұрын

    👏👏👏🌷🌹❤

  • @RashidAli-iw6iq
    @RashidAli-iw6iq24 күн бұрын

    Msitukane mitatandaoni.... Matamshi mapotofu.. mimi mkenya... usitumie methali ma semi zisizo na msingi kuwa samaki mmoja akioza wote wanaoza... kiongozi wangu ni Muhammad (saw)

  • @TatuOmar001
    @TatuOmar00124 күн бұрын

    Vijana wa kenya hawana adabu wamefuzwa na RAILA

  • @MwijakaSwalehe-dg4hw

    @MwijakaSwalehe-dg4hw

    24 күн бұрын

    Kinachotusibu Kenya unakujua,na lau asingalikuwa Raila mabadiliko yote mazuri yasingepatikana,fikiria mara mbili kabla hujatukana

  • @hassanalisimba455
    @hassanalisimba45520 күн бұрын

    Usifate video fata bill ya ruto kisha fikiria

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya21 күн бұрын

    Unajikosha kwa Samia,huna aibu shehe mzima

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o24 күн бұрын

    Doctor sule , wewe una defend government , siwasapoti kumtukana Raisi, sio sahihi ila malalamiko yalikuwa sahihi

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o24 күн бұрын

    Sule unanikwaza unavyo iteteya serikali , ninaujuwa uchungu ambawo serikali zetu za kiafrica , mkiongoza vizuri tutawasapoti, ila wakiongoza vibaya , lazima population isimame, sababu sisi watu wakawaida ndo tuna adhirika

  • @user-sr7dv3mu6g
    @user-sr7dv3mu6g24 күн бұрын

    Dr sule Assalam aleku kabla haujasema hao tafuta,na,ujue ni kwa NN walifanye hivyo lazima kuwe na sababu ya kila kitu kufanyika utawala ukiwa mbaya Sera,walizo,zisema,watatekeleza,walishindwa,katiba yetu,inaturuhushu,kuandamana,,umetembea Kenya wapi sasa hiyo hata wewe unakosea busara,hiyo,Kenya,unadharau ndo imewajenga nini bure kabisa,endlea,kufuga,majini

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o24 күн бұрын

    Unachokiongeya sahihi 50/ parents ila Wanainchi wakawaida ndo wanaumiya zaidi , pindi serikali inauwa inchi, kwahiyo Wasipo simama wasimamiwe nanani?

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq24 күн бұрын

    Tatizo la hili taifa limeshikiliwa na waislam ndio maanake hata kubadilisha katiba ni ngumu

  • @victorsabuni6801
    @victorsabuni680118 күн бұрын

    Hakuna mtu asiependa taifalake kinachoumiza nikuibiwa kilasiku nawaizi wanalelewa shekhe kemea uwovu onya kemea karipia

  • @jumaahagu4764
    @jumaahagu476424 күн бұрын

    Hiki kizazi cha kina sule baadhi ni wanafiki hawezekani serekali wanakusanya pesa za dhuluma mfano tozo, faini za unevu, kulipia kodi mtaji wako badala ya faida yaani kodi kulipia zaidi ya mara mbili halafu wajanja wanaziiba na kwa majina CAG anawataja na hatua hawachukuliwi ila iko siku kitanuka

  • @nyasimigeoffrey7737
    @nyasimigeoffrey773724 күн бұрын

    Majini ndio imekua mbia hii story? wachana na wakenya shugulikia majini zako bwana

  • @nomar3708

    @nomar3708

    24 күн бұрын

    Wa kenya mnafata sana wazungu. Mara mpigane ukabila mara serikali. Ovyo kabisa. Mungu ailinde tanzania yetu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya21 күн бұрын

    Ishu sio matusi ongea kwa akili usijitie zuzu ,wanadai haki zao, matusi sio kilichowafanya waandamane ,tatizo watanzania wanaolenga masilahi Yao huishia kusifiwa rais hata kwenye uwongo,rais wa Tanzania ungejua hao ndio wachawi wako ,aibu shehe au mchungaji kujikosha uwongo mbele ya rais

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o24 күн бұрын

    Hakuna democrats Africa, mimi hathari za vita nazijuwa, hata kura zinaibiwa, wewe unasema vilivyo haribika, walio poteza uhai je?

  • @ramakizito4934

    @ramakizito4934

    24 күн бұрын

    Walipoteza uhai kwa kujitakia, mbona wewe hukufa

Келесі