DR.SULLE ASIRIMISHA WATU ZAIDI YA 50 MWANZA TAZAMA

#tanzania #islaamic #drsulle #live

Пікірлер: 73

  • @abdululiza392
    @abdululiza39217 күн бұрын

    ALLAH awajalie wote waliosilim waijue dini ya mwenyezimungu na awafishe katika Mila ya UISLAM

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud17 күн бұрын

    Allah akulipe kila la kheri doctor sule jambo kubwa hili na Allah awasimamie wote walioslim katika kheri

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe782316 күн бұрын

    Takbiriii Allah Akbar karibuni ktk Dini ya haki Dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu.

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana382917 күн бұрын

    Yaan raha ya uislamu hamna maigizo wallah daaah had raha

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku344916 күн бұрын

    Mashaallah Allah (s.w) awangoze katika njia iliyonyooka ya uislam Amin

  • @LabiloWabikongo
    @LabiloWabikongo14 күн бұрын

    mashallah mungu akunyanyue uzid zaid mashallah❤

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar862816 күн бұрын

    Dr.unakiti chako peponi na wakezako inshallah na wanao.pamoja nasi inshallah yaa Rabby🤲🤲

  • @idrisatembo4799
    @idrisatembo479915 күн бұрын

    Doctor sule mungu akupe kheri inshaallah

  • @shersaid7988
    @shersaid798816 күн бұрын

    Allahu Akbar MashaaAllah sheikh Sule Allah akubariki kwa daawa

  • @brothermuadhwam890
    @brothermuadhwam89017 күн бұрын

    Mashallah mungu akuzdishie moyo uo uo doctor sul

  • @NoorynMody
    @NoorynMody16 күн бұрын

    Arafu anatokea mjinga furani anamchafua doctor sule eti mshilikina anaingiza makundi ya watu ktk dini ya Allah unazani atakosa Mungu kumkunjulia mambo yke nakupenda doctor sule kwaajili ya Allah ❤

  • @jimmymatheka2697

    @jimmymatheka2697

    13 күн бұрын

    @@NoorynMody Dr sulle anatumia majini huo sio ushirikina? Ata shetani ni muislam Kwa mjibu WA vitabu vyenu waislamu, majini pia ndugu zenu ushirikina mtupu. Kubali Yesu ni mwana wa mungu upate uzima WA milele

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    12 күн бұрын

    ​@@jimmymatheka2697una aya au umemezeshwa fikra tu za kikafiri? na hiyo aya umeelewa au ndio kulazimizisha kumuabudu binadamu nabii wa mungu

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri652413 күн бұрын

    Mashaalah mashaalah ya Salam ya Salam

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ16 күн бұрын

    Allah akutie nguvu doctor sulee

  • @abdululiza392
    @abdululiza39217 күн бұрын

    ALLAH akulipe kila la kheri jambo hili siodogo watu Hawa kuiona Nuru ya ALLAH

  • @jimmymatheka2697

    @jimmymatheka2697

    13 күн бұрын

    @@abdululiza392mbila kuamini Yesu kama mwana wa mungu ngojea Tu Moto

  • @jimmymatheka2697

    @jimmymatheka2697

    13 күн бұрын

    Dr sulle mwenyewe anatumia majini hapo sasa ndo unang'ang'ana kutetea uislamu WA majini?? Shidwe in the name of jesus

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    12 күн бұрын

    ​@@jimmymatheka2697huyo yesu hata akujui na dini lako la mchongo toa aya ukristo dini ?

  • @jimmymatheka2697

    @jimmymatheka2697

    12 күн бұрын

    @@user-mc2xd4eu2p wacha nikupee elimu wewe neno dini ni kiarabu , Kiswahili ni njia thibitisho ayub 4:6, ata quran yako hauijui soma 6:126 quran, njia ama dini yangu ni hii. John 14:6. Elimu ndo hyo.

  • @malundemoud3719
    @malundemoud371916 күн бұрын

    Mashalaah mwenyezmungu awatangulie katk maisha yenu

  • @omaryally3489
    @omaryally348917 күн бұрын

    Mashallah...

  • @shekhabbasisharifuonlinetv5990
    @shekhabbasisharifuonlinetv599016 күн бұрын

    jazaakallaaahu khaira

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed738117 күн бұрын

    Masha Allah

  • @MauAgent
    @MauAgent14 күн бұрын

    Mashallah

  • @ShabaniAbdi-bn1gz
    @ShabaniAbdi-bn1gz16 күн бұрын

    Mwamba wa kimataifa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @Mr.mile19
    @Mr.mile1913 күн бұрын

    Mashaallah

  • @ginazngo4317
    @ginazngo431714 күн бұрын

    Mashalla

  • @LabiloWabikongo
    @LabiloWabikongo14 күн бұрын

    mashaallah

  • @PhabianiJacobMakaya-sc6jj
    @PhabianiJacobMakaya-sc6jj16 күн бұрын

    Mashallah kila la kheri

  • @farajisewe7416
    @farajisewe741614 күн бұрын

    Allahu Akibar

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja16 күн бұрын

    Mashaa allah

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx16 күн бұрын

    Ma shaa Allaah Allaah Allaah Akulipe kheri

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf16 күн бұрын

    Mashallh tabaraka rrahmaan

  • @omaryalhaj3139
    @omaryalhaj313916 күн бұрын

    Allah Akbar ❤

  • @josephvisenti7416
    @josephvisenti741617 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z17 күн бұрын

    FUNDI M1

  • @AugustinMunaba
    @AugustinMunaba16 күн бұрын

    Apo nimekuelewa kidogo, jina sio dini. Ila wengi katika uislamu awana iyo elimu

  • @MR.OTHMANITV
    @MR.OTHMANITV17 күн бұрын

    taqbiriiiiiii

  • @mwanaishamasoud

    @mwanaishamasoud

    17 күн бұрын

    Allahu akibar

  • @nassornassor3417

    @nassornassor3417

    17 күн бұрын

    Allah Akbar

  • @mwanaikaomar8628

    @mwanaikaomar8628

    16 күн бұрын

    Allahu Akbar walillahi lhamdu

  • @HassanJaphari-rx7jy

    @HassanJaphari-rx7jy

    13 күн бұрын

    AllahuAkbar

  • @samuellubunga1728
    @samuellubunga172816 күн бұрын

    Endelea kuigiza

  • @leonardadd
    @leonardadd16 күн бұрын

    Hawa waislam ni wajanja,hawafunzi ukweli kuhusu dini yao,ni vipengele tu huchagua za kusomea watu

  • @ramadhanimandoa716

    @ramadhanimandoa716

    12 күн бұрын

    Niny nd mnadanganyw hivy ,sis kila kitu kipo wazi ktk Uislamu

  • @rajababrahman4365
    @rajababrahman436516 күн бұрын

    Cha kushangaza ni kuwa watu wote ni waislamu wa zamani maana wamevaa kiswalam

  • @salimchimwaga8384

    @salimchimwaga8384

    16 күн бұрын

    Unaumia ukiwa wapi,au ulitaka wawe uchi kama makanisan kwenu???we haujui kuwa hapo ni kweny muhadhara wamesitiriwa na akina mama wenzao??au roho mbaya tu,😂ndacha uko wapi ona wenzak wanchofanya sio wewe ropo ropo.

  • @user13375

    @user13375

    16 күн бұрын

    Ni yale mazingaombwe ya zamani ya chaki kugeuka jojo 😮😂😂😂😂

  • @HassanJaphari-rx7jy

    @HassanJaphari-rx7jy

    13 күн бұрын

    So hao tuu ndo wamesilimu adi wazungu mnaowaamini wanasilimu na kuifata haki. Acheni chuki someni mtaelewa. Alhamdulillah ☝️🕌🙏🙏🙏

  • @user13375
    @user1337516 күн бұрын

    Duuu ,huyu si anafuga majini, kumbe ni shehk😮😮😮😮

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga838416 күн бұрын

    Ndacha uko wapi??😂

  • @user13375

    @user13375

    16 күн бұрын

    Ndacha akienda akafundisha majini walisilm 😅 watu wote wata ritad 😂😂😂😂

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    12 күн бұрын

    ​@@user13375ndacha hajielewi

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar452011 күн бұрын

    Wasiokua na akili na wenyekukosa muelekeo ndo wamesilimishwa

  • @AugustinMunaba
    @AugustinMunaba16 күн бұрын

    Watangatanga, ni Roho Zao tu kuangaika. Awana elimu yakutosha awo. Mkristu kamili apashwi kubabaika na mambo ayo

  • @tbm7tv257

    @tbm7tv257

    16 күн бұрын

    Ukimuabudu Yesu, sahihi?

  • @user-kn1tw1cy7l

    @user-kn1tw1cy7l

    16 күн бұрын

    Watarud 1 m 1 alie salit chama kasoro wewe njoo Islam uwe huru

  • @AugustinMunaba

    @AugustinMunaba

    16 күн бұрын

    Mimi ata mchumba wgu mtoto wa sheikh mkubwa,kanifwata katika ukristu

  • @HassanJaphari-rx7jy

    @HassanJaphari-rx7jy

    13 күн бұрын

    ​@@AugustinMunabauyo mwanamke anakupenda tuu ila upendo ukiisha ndo utajua kama kweli aliacha au laaa

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka269716 күн бұрын

    Muhammad ni kafiri kama kafari wengine tu wa maccah, wale hawajui maana ya Kafiri tupeni mawe sasa...

  • @HassanJaphari-rx7jy

    @HassanJaphari-rx7jy

    13 күн бұрын

    Subhanallah. Usijali mawe utakutana nayo siku utakayo kufa inshaAllah usijali iyo pumzi uliyonayo Ina mwisho wake.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    13 күн бұрын

    SHETANI JIMI WEWE NI LAANATULLAH

  • @jimmymatheka2697

    @jimmymatheka2697

    13 күн бұрын

    @@HassanJaphari-rx7jy ndugu mbila kuamini Yesu ni mwana wa mungu ngojea Tu Moto w jehanamu pamoja na mtume wako Muhammad

  • @jimmymatheka2697

    @jimmymatheka2697

    13 күн бұрын

    @@rayisadesigns2646 shetani ni ndugu yako , maana Muhammad alimskumisha shetani akawa muislam pamoja na majini ndugu zenu waislamu

  • @jimmymatheka2697

    @jimmymatheka2697

    13 күн бұрын

    @@HassanJaphari-rx7jy uzima WA milele unapatikana Kwa Yesu peke yake 1st John 5:11

  • @user-kn1tw1cy7l
    @user-kn1tw1cy7l16 күн бұрын

    Mashallah

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu684116 күн бұрын

    Mashaallah

  • @imraniabasi3914
    @imraniabasi391416 күн бұрын

    mashaallah

  • @simbajuma5587
    @simbajuma558717 күн бұрын

    Mashallah

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana382917 күн бұрын

    Mashallah

Келесі