🔴 MAAJABU YA ARAMA ZA KIGANJA CHA MKONO//TUNATUMIA KUTIBU
#live #tanzania #drsulle #islaamic
Жүктеу.....
Пікірлер: 6
@Abdulrahmanhassan18Ай бұрын
Nikweli kabisa kuna baadhi ya watu ukichinja mnyama kwa kutoa sadaka wanatuambia ni shirki lakini siku ya Eid hijja ni sawa , shekh endelea kutoa darasa ili watu waelimike. Shukran sana
@hamzaalsharif7195Ай бұрын
ALLAH KWA KILA KITU KANAEKA SABABU YAKE SIO KAMA ALLAH HAWEZI ILA VITU VYOTE DUNIANI VINA SIFA YA KUTEGEMEANA
@hamzaalsharif7195Ай бұрын
KATIKA QUR ANI NENO SHIRKI ALLAH KAKUSUDIA KUABUDU ASIE KUA ALLAH HIYO NDIO SHIRKI ILA KUMTUMIA JINNI KWENYE HALALI SIO MAKOSA ELIMU HAMUNA
@kalamamuller-qe1ydАй бұрын
Sasa kamaunaljua hilo mwanaadam ni bola sasa yanin kutumia majini sisi wanaadam
@user-ed1cf9nq5wАй бұрын
Huyu hata maneno ya qur an anayakosea
@kalamamuller-qe1ydАй бұрын
Na hakuna mchamugu mwenye kupata rizq zake kuptia majini hakuna
Пікірлер: 6
Nikweli kabisa kuna baadhi ya watu ukichinja mnyama kwa kutoa sadaka wanatuambia ni shirki lakini siku ya Eid hijja ni sawa , shekh endelea kutoa darasa ili watu waelimike. Shukran sana
ALLAH KWA KILA KITU KANAEKA SABABU YAKE SIO KAMA ALLAH HAWEZI ILA VITU VYOTE DUNIANI VINA SIFA YA KUTEGEMEANA
KATIKA QUR ANI NENO SHIRKI ALLAH KAKUSUDIA KUABUDU ASIE KUA ALLAH HIYO NDIO SHIRKI ILA KUMTUMIA JINNI KWENYE HALALI SIO MAKOSA ELIMU HAMUNA
Sasa kamaunaljua hilo mwanaadam ni bola sasa yanin kutumia majini sisi wanaadam
Huyu hata maneno ya qur an anayakosea
Na hakuna mchamugu mwenye kupata rizq zake kuptia majini hakuna