🔴 MAAJABU YA ARAMA ZA KIGANJA CHA MKONO//TUNATUMIA KUTIBU

#live #tanzania #drsulle #islaamic

Пікірлер: 6

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18Ай бұрын

    Nikweli kabisa kuna baadhi ya watu ukichinja mnyama kwa kutoa sadaka wanatuambia ni shirki lakini siku ya Eid hijja ni sawa , shekh endelea kutoa darasa ili watu waelimike. Shukran sana

  • @hamzaalsharif7195
    @hamzaalsharif7195Ай бұрын

    ALLAH KWA KILA KITU KANAEKA SABABU YAKE SIO KAMA ALLAH HAWEZI ILA VITU VYOTE DUNIANI VINA SIFA YA KUTEGEMEANA

  • @hamzaalsharif7195
    @hamzaalsharif7195Ай бұрын

    KATIKA QUR ANI NENO SHIRKI ALLAH KAKUSUDIA KUABUDU ASIE KUA ALLAH HIYO NDIO SHIRKI ILA KUMTUMIA JINNI KWENYE HALALI SIO MAKOSA ELIMU HAMUNA

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1ydАй бұрын

    Sasa kamaunaljua hilo mwanaadam ni bola sasa yanin kutumia majini sisi wanaadam

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5wАй бұрын

    Huyu hata maneno ya qur an anayakosea

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1ydАй бұрын

    Na hakuna mchamugu mwenye kupata rizq zake kuptia majini hakuna

Келесі