Majini Wanatumia Simu, Ukimuona Nyoka Nyumbani Kwako Fanya Hivi Kabla Ya Kumuua

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZread @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?id=100088547380966
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Пікірлер: 32

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu659421 күн бұрын

    Mbogo umesoma yule shafi mjinga Sana ujinga umemjaa anajidai kasoma kumbe shafi Hana elimu mjanjajanja tu

  • @mussamtupa

    @mussamtupa

    20 күн бұрын

    Shafii hajasoma anachojua kukopea Aya za Qur an. Na Bibilia. Ebu msikilize Shekh Yusuf diwani alivyo chambua majini

  • @qerysir4410
    @qerysir441018 күн бұрын

    DINI YA KIPAGANI!! Sasa inaporomoka tu kwa kuwa Injili ya YESU lazima isimame💪

  • @mamawamireille4872

    @mamawamireille4872

    17 күн бұрын

    Weye jiheshimu gwajima anaingiza waumini kanisani kupitia majini alietowa kwa mzemasele

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche18 күн бұрын

    Ww una ilimu.

  • @samsonmutuku4496
    @samsonmutuku449618 күн бұрын

    Tuonyeshe Kwa bibilia majini yameokoka. Majini Ni waislamu peke

  • @HassanOsimine
    @HassanOsimine20 күн бұрын

    wwe na sule hamna tofauti na nabii ilyasa feki

  • @MohazmSamowadan
    @MohazmSamowadan12 күн бұрын

    Ni mimi mazuri 😂

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd23 күн бұрын

    Kwaio wewe sasa ushakua mcha mungu

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m20 күн бұрын

    Huyu yupo sawa wewe unae sema Hawa ndoo wanao chafuwa uisilamu wewe ndoo huna elimu na Ina wezekana ume tumwa na upande wapili kuzuia juhudi za wajuzi jinga wewe Kaa usome

  • @thomasnizigiyimana5122
    @thomasnizigiyimana512219 күн бұрын

    Majini ni mashetani hayo majini

  • @EMMANUELMWABONJE
    @EMMANUELMWABONJE18 күн бұрын

    Wacha uongo,hakuna majini wakristo naona umepagawa .

  • @AbdulatifoSufo-tb2rn
    @AbdulatifoSufo-tb2rn22 күн бұрын

    Uyu ata kusoma ajuwi. Je ataelewa vp

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa58721 күн бұрын

    Mbogo sy lazima ujb kama hujui siunaacha yann mpaka ujidhalilishe?

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah57922 күн бұрын

    Kwani nyinyi mtume wenu naani.....Alafu mbona mwamtangulia.....ama itakua mna elimu kumshinda?

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah57922 күн бұрын

    Njaa imetoka tumboni ikaamia kichwani....balaaa

  • @Dafetty

    @Dafetty

    21 күн бұрын

    😂😂😂😂 kabisa 🤝💯

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu19 күн бұрын

    Shafi está certo você não sabe nada 😂😂😂😂

  • @KikwaleRashid
    @KikwaleRashid23 күн бұрын

    Hata kigoma Mwamgongo alikuwepo

  • @jotafungo4622
    @jotafungo462221 күн бұрын

    Sheikh usiziogope comment😂

  • @user-ix3pl1ey6n
    @user-ix3pl1ey6n20 күн бұрын

    Acha mambo Yako wachawi wakubwa

  • @ABUUSHURAIM
    @ABUUSHURAIM18 күн бұрын

    Wewe na sule ndio walewale washirikina nyie sio mashehe ni mashehena na washirikina huo sio huo siku iz weng dini tumeisoma hamtudanganya

  • @Rashid-bs6vj

    @Rashid-bs6vj

    18 күн бұрын

    Surat ljinni aya ya 11,majini wanasema miongoni mwetu ni wema na wengine ni waovu...hii ni qur an..xx ww umsoma embu npe ufafanuzi hapoo

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa58721 күн бұрын

    Lipo lopo

  • @kasimubangu1875
    @kasimubangu187523 күн бұрын

    Watu kama hawa ndo wanao uchafua uislamu

  • @user-dx8qe4di9n

    @user-dx8qe4di9n

    22 күн бұрын

    Sasa sheikh ww umepata iyo dua kwani uwezi kuitowa kwann

  • @Dafetty

    @Dafetty

    21 күн бұрын

    Kabisa 🤝💯😢

  • @user-dx8qe4di9n

    @user-dx8qe4di9n

    21 күн бұрын

    Iyo niilimu ww umepewa bure kwanini ww utaka ugaramiwe

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh

    @JeanMuzaliwa-bs6qh

    20 күн бұрын

    amuna sheikh mbogo ni mkweli,lslam ni ushetani!

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt22 күн бұрын

    Hii ndio tabu ya makhurafii mwisho wao ushirikina kutumia majini badala ya kumumba Allah shida zao. (Al baqarah 186) Na waja Wangu wanapokuuliza kuhusu Mimi: Hakika Mimi niko karibu. Ninaitikia maombi ya mtu wanaponiomba. Basi na waitikie kwa utiifu Kwangu na waniamini Mimi, huenda wakaongoka kwenye Njia Iliyo Nyooka.

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve21 күн бұрын

    Utanisameh Sheikh lakini heri ungenyamazia na Dua hio kuliko kusemablazima tugharamie Dua,wakati yule Sheikh ulosoma Dua kwake hukugharamia,Astaghfirulah,Allah atusameh