Majini Wanatumia Simu, Ukimuona Nyoka Nyumbani Kwako Fanya Hivi Kabla Ya Kumuua
QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZread @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?id=100088547380966
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
Пікірлер: 32
Mbogo umesoma yule shafi mjinga Sana ujinga umemjaa anajidai kasoma kumbe shafi Hana elimu mjanjajanja tu
@mussamtupa
20 күн бұрын
Shafii hajasoma anachojua kukopea Aya za Qur an. Na Bibilia. Ebu msikilize Shekh Yusuf diwani alivyo chambua majini
DINI YA KIPAGANI!! Sasa inaporomoka tu kwa kuwa Injili ya YESU lazima isimame💪
@mamawamireille4872
17 күн бұрын
Weye jiheshimu gwajima anaingiza waumini kanisani kupitia majini alietowa kwa mzemasele
Ww una ilimu.
Tuonyeshe Kwa bibilia majini yameokoka. Majini Ni waislamu peke
wwe na sule hamna tofauti na nabii ilyasa feki
Ni mimi mazuri 😂
Kwaio wewe sasa ushakua mcha mungu
Huyu yupo sawa wewe unae sema Hawa ndoo wanao chafuwa uisilamu wewe ndoo huna elimu na Ina wezekana ume tumwa na upande wapili kuzuia juhudi za wajuzi jinga wewe Kaa usome
Majini ni mashetani hayo majini
Wacha uongo,hakuna majini wakristo naona umepagawa .
Uyu ata kusoma ajuwi. Je ataelewa vp
Mbogo sy lazima ujb kama hujui siunaacha yann mpaka ujidhalilishe?
Kwani nyinyi mtume wenu naani.....Alafu mbona mwamtangulia.....ama itakua mna elimu kumshinda?
Njaa imetoka tumboni ikaamia kichwani....balaaa
@Dafetty
21 күн бұрын
😂😂😂😂 kabisa 🤝💯
Shafi está certo você não sabe nada 😂😂😂😂
Hata kigoma Mwamgongo alikuwepo
Sheikh usiziogope comment😂
Acha mambo Yako wachawi wakubwa
Wewe na sule ndio walewale washirikina nyie sio mashehe ni mashehena na washirikina huo sio huo siku iz weng dini tumeisoma hamtudanganya
@Rashid-bs6vj
18 күн бұрын
Surat ljinni aya ya 11,majini wanasema miongoni mwetu ni wema na wengine ni waovu...hii ni qur an..xx ww umsoma embu npe ufafanuzi hapoo
Lipo lopo
Watu kama hawa ndo wanao uchafua uislamu
@user-dx8qe4di9n
22 күн бұрын
Sasa sheikh ww umepata iyo dua kwani uwezi kuitowa kwann
@Dafetty
21 күн бұрын
Kabisa 🤝💯😢
@user-dx8qe4di9n
21 күн бұрын
Iyo niilimu ww umepewa bure kwanini ww utaka ugaramiwe
@JeanMuzaliwa-bs6qh
20 күн бұрын
amuna sheikh mbogo ni mkweli,lslam ni ushetani!
Hii ndio tabu ya makhurafii mwisho wao ushirikina kutumia majini badala ya kumumba Allah shida zao. (Al baqarah 186) Na waja Wangu wanapokuuliza kuhusu Mimi: Hakika Mimi niko karibu. Ninaitikia maombi ya mtu wanaponiomba. Basi na waitikie kwa utiifu Kwangu na waniamini Mimi, huenda wakaongoka kwenye Njia Iliyo Nyooka.
Utanisameh Sheikh lakini heri ungenyamazia na Dua hio kuliko kusemablazima tugharamie Dua,wakati yule Sheikh ulosoma Dua kwake hukugharamia,Astaghfirulah,Allah atusameh