DR.SULLE AWAKA MOTO/WATANZANIA TUACHE UJINGA//HAKUNA UTAJIRI KWENYE VIUNGO VYA MWANADAMU
#drsulle #live #tanzania
Kutokana na sakata la mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi linaolendelea nchini hapa Tanzania yakiwa ni mawazo potofu ya baadhi ya watu wakizani kufanya hivyo ndiyo kupata mafanikio.Kiongozzi huyu wa dini na ya Uislam ALHAJ-DR.SULLE kafunguka mengi juu ya changamoto hiyo.
USIKOSE PIA KUTUFUATILIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII KAMA VILE INSTAGRAM TIKTOK FACEBOOK NA KWINGINE KOTE KARIBU.
Пікірлер: 6
Haha 1 watching alaf mtu mwenyewe mm aya nipeni like zangu zifiki japo 1k
Kabisa ndugu yangu
SULE PIA ANGEAMBIWA MAPEMA ANGETAFUTA ALBINO MAANA ANAIPENDA DUNIA NA ANAPENDA SHIRK 😢
Utajiri wa albino haupo Je utajiri wa majini na Pete upo?
Ila upo kwa majini? Pumbavu kabisa
Ujinga kwa ku tumia majini😮😮