DR.SULLE AWAKA MOTO/WATANZANIA TUACHE UJINGA//HAKUNA UTAJIRI KWENYE VIUNGO VYA MWANADAMU

#drsulle #live #tanzania
Kutokana na sakata la mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi linaolendelea nchini hapa Tanzania yakiwa ni mawazo potofu ya baadhi ya watu wakizani kufanya hivyo ndiyo kupata mafanikio.Kiongozzi huyu wa dini na ya Uislam ALHAJ-DR.SULLE kafunguka mengi juu ya changamoto hiyo.
USIKOSE PIA KUTUFUATILIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII KAMA VILE INSTAGRAM TIKTOK FACEBOOK NA KWINGINE KOTE KARIBU.

Пікірлер: 6

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204Ай бұрын

    Haha 1 watching alaf mtu mwenyewe mm aya nipeni like zangu zifiki japo 1k

  • @BashirMahero
    @BashirMaheroАй бұрын

    Kabisa ndugu yangu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7jiАй бұрын

    SULE PIA ANGEAMBIWA MAPEMA ANGETAFUTA ALBINO MAANA ANAIPENDA DUNIA NA ANAPENDA SHIRK 😢

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3yАй бұрын

    Utajiri wa albino haupo Je utajiri wa majini na Pete upo?

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Ila upo kwa majini? Pumbavu kabisa

  • @user13375
    @user13375Ай бұрын

    Ujinga kwa ku tumia majini😮😮

Келесі