Mwenyezi Mungu akujalie kazi njema na akuweke ktk watu wa peponi
@aishamohammed5544 Жыл бұрын
Allah akupe umry mrefu na akujalie mambo mema mpaka kaburini upate muangaza na akulinde maneno yako yamenitoa machozi
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Allahu akbar Wallah maneno aliongea Mwaipopo yatupasa kuyazingatia Kwan umoja wetu ndio nguvu yetu tuache ubinafsi, tumeshindwa na makafiri kwa umoja wao
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad Asaalam aleykum, upo sahihi kinachotukwamisha ni kukosa umoja mfano mzuri kwenye kutoa zakka huu ni moja wa mtihani mkubwa mno! hapa nyumbani kuna kanisa lilikuwa la bait ila Sasa wamejenga na sio kama una waumini wengi hapana sababu wanaumoja, ila kwetu imekuwa mtihani mkubwa hata Imani petro aliongea point pia, unakuta ndo chanzo cha kutosonga Mbele zakka ina nafasi kubwa mno kwenye dini yetu ndo maana wenzetu wanapija hatua sana, walleykum Asalaam warahmatullahi wabarakatuh
@halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Allah awatangulie awape umri elmu mzidi kutuelimisha ln shaa Allah.
@nadyajuma41087 жыл бұрын
mwaipopo ulio sema ni kwel waislam sie hatuta ushirikiano wala umoja laiti tungekuwa na umoja basi Allaah angetuzidishia baraka ila tunapo elekea Allaah atunusuru na pia wazidishie mnae tupa somo Amiina
@muvobhekinyonga985
7 жыл бұрын
nadya juma Ameen
@Julia-gm1wh
5 жыл бұрын
Umoja wa kuleta vita ama mashetani nyinyi
@maduuikangira9864 Жыл бұрын
Hakuna mkristo yaani mwana wa mungu anayeweza kubishania Imani yake na wasio amini, sisi wakristo wa kweli tunajitambua Kama yesu alivyoulizwa na shetani ya kuwa ikiwa wewe ni mwana wa mungu geuza hili jiwe liwe mukate, lakini kwakuwa yesu alikuwa anajitambua kuwa ni mwana wa mungu hakuhangaika kugeuza like jiwe kuwa mkate. Hata sisi ni Wana wa mungu kwa kumwamini yesu alieye mwana wa mungu, Amina.
@mobileshop8187 жыл бұрын
mwaipopo Ma shaa Allah kwakujitoa katka ukristo Allah akujaalie kher.
@jumanamata6349
5 жыл бұрын
good
@khayriyamussa5680
5 жыл бұрын
Kher kwake.. In Shaa Allah..
@emmanuelyngabani2079
2 жыл бұрын
Uislamu Ni Uongo Na Hapa Ndio Ushahidi
@mwajabukaseke8710
2 жыл бұрын
@@emmanuelyngabani2079 jingaaa sana ww nyie din yenu inaletwa n binadamuu wenzetuu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Ajitoe sana tu .nani angewezana nae huyo makanisani hakuna uchawi
@abubakaromar46372 жыл бұрын
Mwaipopo Allah akulipe pepo kwa kutoka ukristo
@lightnesselirehema1464
2 жыл бұрын
Huyo kapotea njia!
@rajabumrope87325 жыл бұрын
Subhanaallah MUNGU amekusamehe mwaipopo kuichoma Qur AN
@dottoadam5516
2 жыл бұрын
Mungu atusaid zotee
@khalidali11307 ай бұрын
Allah amlipe kila la kheir sheikh Mwaipopo kwa kuitangaza dini inshallah🙏
@shaafiabdi82735 жыл бұрын
hadiith=kulu muskirin haraam "Chochote ki lewasho ni haramu" Miraa ni haramu
@Officialmasaikhan6 жыл бұрын
Mwaipopo umeongea vzr Sana
@sakinamohd81015 жыл бұрын
Alhamdulilah mzaliwa wa zanzibr hakuna mkristo wahamizi ndowanatuharibia
@abdirahmanomarofficial39772 жыл бұрын
Jazakalah kheiran....for good words for good speech for good words for good story...and May Allah guide us all to the right path...
@allyhamza355
Жыл бұрын
Ll58
@omarympambije32215 жыл бұрын
kwakwel umat Islam tumejaariwa neema na Allah(s.w)
@labilowabiikongo9338
2 жыл бұрын
Swadakt
@hassansalum84967 жыл бұрын
M/mungu anajua mh kumbe wenzetu upande was kushoto watembea na Quran Subhan'Allah
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Mungu kaweka dini mbili kwa ajili yaku poteza wabaya wasijuwe kwaku wapotosha waliyo hamini mana vitabu vyote ni vyamungu Nani kweli apingalo hilo basi yeye ana Pinga Mungu.
@amoury1481
Жыл бұрын
Mungu kaumba dini moja tu Uislamu,Hizi dini Nyingine ni matokea ya mwanadamu
@zenassylvester1256 жыл бұрын
Ukimuona mtu kamuacha Yesu ujue uyo hana Roho mtakatifu
@alhadjmugisha5216
2 жыл бұрын
Hhhh anaroh yake 🤣🤣🤣🤣🤣
@naninana13346
2 жыл бұрын
Ata mimi nina nia ya kuwa mwislam ili nijuwe tu kila aina ya uchawi ni wakomeshe wanawo nisumbuwa, mana wislam wamejaliwa tu neema ya uchawi
@salehrashid-fx9rq
9 ай бұрын
Yesu ni nani?
@ibunmtumbaya12815 жыл бұрын
Alhah Akbar uislam ndo habar ya mjini makafir hawAna jipyaaaaa
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Hawa wakristo kazi yao wanapenda ku fadhiliwa nawazungu ndio maana wanava uti na wana kuwa ovyo kama wazungu hawana haya kama mahaba wanipenda wazungu anawatumia kutimiza uchumi wao moto unawangoja kesho kiama
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
@@asmaabdallah4055 unaujua uislamu lakn
@abuudhurkarnayn88336 жыл бұрын
hakika uisilamu nodini ya hakki Allahu ujaalie uislamu mbele
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
MTEI TV Dini hizi hazitatupeleka mbinguni, Bali tutaenda mbinguni kutokana na mahusiano yetu mazuri na Mungu. Hakuna mbinguni mbili, mbingu ni moja peke yake. Na njia ya kuelekea huko no moja tu, Mimi ndimi njia kweli na hukumu mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Asema Yesu Kristo tuwe tunataka tuwe hatutaki ndvyo ilivyo.
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
@@williamkavaya4794 wenye chuki na uislamu poleni
@ramadanissa24295 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa muislam na n namuomba Allah anifishe nikiwa muislam. Allah atawalip kher kw kaz njema mnayoifany. Inshaallah
ukiwa mwiislamu wakweli unarahasa duniani na akhera.
@pungopungo411 Жыл бұрын
Yesu hana shida hata ukimkana yeye ana watu wengi tu. Ni wewe tu mwenyewe utaenda huku na huko yeye yuko palepale. Kila goti litapigwa mbele ya yesu believe me
@luganomwanjotile75757 ай бұрын
IPO njie ionekanayo ni sawa machoni pa, Mtu lakini Mwisho wake ni njia Maya za maiuti
@zariamutesiwase23712 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Mwislam
@al_aminchannel32925 жыл бұрын
allahu Akbar walahi nabado watu wanachezea uislamu tu ishikeni uislamu kwa makini
@AishaAli-lk7gh
5 жыл бұрын
huyu ALLAH amembainisha alokuwa akifanya kwa ukristo sasa wengine wanajenga chuki kwa kusema kweli ukristo sio dini
@kasimothman6940
2 жыл бұрын
Mashaallah
@saiditheone_tz5762 жыл бұрын
Allahu Akbar, Allahumma sturu ummata Muhammad (S. A. W)
@user-yc7cx8lw8h9 ай бұрын
Alhamdulillah 2023
@fatumaalisaid98162 жыл бұрын
Aki mwaipopo umenifanya machozi yakanidondoka, Allha akujaze kheri in sha Allah🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
Yaani ukiwa mkristo sawasawa na maiti. Kwanza kabisa ukipata andiko linalosema ukristo ni dini ya Mungu nipo tayali kubatizwa hata sasa hivi.. Yaani ktk kitabu chochote unachokijua wewe..!
@stallonesylvester1988
8 жыл бұрын
acaha matusi kaka,tangaza uislamu vyema. yesu ni nani?????
@ygyoung9686
6 жыл бұрын
marayn
@nestarnestar4520
5 жыл бұрын
kuma ww nyie ndio mizoga kabxa
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
IBRAHIM ABDUL Dini hizi hazitusaidia chochote. Mahusiano yetu mazuri na Mungu ndyo yatakayotufanya tumuone Mungu. Mbingu ni moja tu wala hakuna mbingu ya pili. Njia ya kwenda huko ni moja wala hakuna njia nyingine. Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Tuwe tunataka tuwe hatutaki ndivyo ilivyo!!
@derickluazi5528
5 жыл бұрын
Ibrahimu ww ujitambui ukitoa neno kwenye qurn linalokuonesha wapi ulipo haidiwa ufalume wa milele nitakuwa mwisilamu
@husseinchiaseeds26535 жыл бұрын
Mwaipopo Allah akuhifadhi
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
amin ya Rabby
@mwanamisp0fu7605 жыл бұрын
Subhana allah, Alhamdhulilah, Allah akbar, Mwaipoipo umewabainishia wakirsto kuwa dini ya haki ni uislam mola akulipe inshaalh
@salehlofy42517 жыл бұрын
wakristo hata aje Yesu mwenyewe watampnga lakn wanakuja ona wakifika kwa Mungu
@salehrashid-fx9rq
9 ай бұрын
Watamuua 😅
@abdulyhamidy50815 жыл бұрын
Mwenzimung atkakusaidia ktk kufkisha dini y MW/mung
@maduuikangira9864 Жыл бұрын
Wewe huujui ukristo ulikuwa umeenda kusomea kupiga hera, lakini siku ukimjua yesu kristo Kama muumba wako na muumba wa ulimwengu utamwinua juu.
@thobiasmsuya61458 жыл бұрын
uislamu ni dini ya khaki
@stallonesylvester1988
8 жыл бұрын
dhibitisha
@sahariabdul
7 жыл бұрын
tafuta video za imani petro na imani akili yako itafunguka na uache weu wa kubuluzwa na neno kristo
@goldmansun5859
6 жыл бұрын
haki iko WAPI?
@amadeuskimey55215 жыл бұрын
alitoka katika ukristo kwa maana haku chaguliwa na mungu angelichaguliwa na mungu asingee rudi nyuma angechapa injili
@husseinmohamed5942
5 жыл бұрын
Kaiona haki coz ukristo sio dini na Kama unabisha nipe andiko kua ukristo ni dini
@santodelove4351
5 жыл бұрын
Mungu wenu mbaguzi kwahiyo anawachagua chagua
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Alhamdulillah kwakuwa muislam
@aishamzeehamissi6859 Жыл бұрын
ASALAM ALEIKUM PROFESA MAZINGE A MWAIPOPO ALLWAAA AWAPE UMRI MREFU KUTUELIMISHAA JAMIÌII NIKWELI WASHEKHE HAWAELIMISHI JAMI NAKUITOWQ MIHADHARA NIWAO WENYEWE TUU ILIMU WANAKAA NAZO MAJUMBANI
@user-kf5lh4jk3b3 ай бұрын
Wakristo makafiri hawana dini wakifa kwa imani hiyo ni motoni
@abdallajuma62625 жыл бұрын
hakika umeongea ukweli uislamu ndio dini sahihi mbele ya mungu
@irenemboka1401
2 жыл бұрын
Hapa unajidanganya ndugu sisi wote watoto wa Ibrahim kumbuka YESU CHRISTO ndo njia pekee ya MUNGU siasa haina mahali itatupekeka
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
Na vip ktk uislamu kusoma uchawi wa kitabu (faraki)
@chenzhenlee76335 жыл бұрын
Waislam ndio makafiri kama hawajasoma Qur'an yao
@isaacmafole2136
5 жыл бұрын
True
@makanikiamsanga9066 жыл бұрын
HUYO MCHUNGAJI NI MNAFIKI. NI WA UONGO. KAMA AMEHAMA UKRISTO, KWA NINI BASI AMEVAA VAZI LA KICHUNGAJI, ILI AWAAMINISHE WATU KUWA YEYE NI MCHUNGAJI, NA ASIVAE VAZI LA KICHUNGAJI BASI. HUYO NI MCHUNGAJI WA UONGO NA MKRISTO WA UONGO. BIBLIA ILISHA ONYA MBELENI.
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
Makanikia Msanga Mchungaji wa kondoo wa Mungu, aliyeitwa kuwa mchungaji hawezi kufanya haya. Yeyote yule anaweza akajiita kuwa ni mchungaji na asiwe mchungaji. Hawa waliojiita wenyewe ndiyo leo hii tunashuhudia wakifanya vituko.
@husseinmohamed5942
5 жыл бұрын
Anawakejeli wale mafala wanaojiita wakristo
@rizikiali81735 жыл бұрын
mwenyezimungu akupe mazur
@ishoboyyoung15072 жыл бұрын
Tusibaguane kwa dini na rangi kila mmoja afate anapoamini vibaya hivyo kuweni
@eunicebukokhe68052 жыл бұрын
Mazinge wacha kuaribu sigara hapa uarabuni sigara inaasha nyingine wa maanisha waarabu ni makafiri?
@joykhaphimpa45456 жыл бұрын
Kwakweli shetani ni mjinga sana coz anajua kufunga watu macho iliwaingie gizani wasijue ukweli
@johnmnonjela98096 жыл бұрын
umepata hasara ndugu kiroho
@bintichausa4744
5 жыл бұрын
😂😂😋😂😂😂
@bimumaulid11717 жыл бұрын
ukristo dini ya feeza hilo tunalitambua lkn makazi Yao fin nari jahanam motono
@rahmakhamis111
5 жыл бұрын
ndiyooo
@hassanshemawia4587
5 жыл бұрын
Imejipiga
@eladiuspeter586
5 жыл бұрын
bimu maulid wew kabla ya waarabu babu yako hakua na dini
@dottoadam55162 жыл бұрын
Mungu msaidimwaipopo
@zairesoyosoyohabura751310 ай бұрын
So touching story sheikh mwaipopo ❤❤❤😊
@seifhabib5987 Жыл бұрын
Uislam hasa raha bana eee
@kenzanzibartours15297 жыл бұрын
allla akuhifadhi na fitna mwaipopo
@rizikiali81735 жыл бұрын
walah umependeza kua muisilm mashaalah MUNGU akuzidishie
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
amin ya Rabby
@ahmadamapande6772 жыл бұрын
Daah Mungu awalipe Mashekh natamannijifunze hio kazi
@marwamasiku18 Жыл бұрын
Masha llah mungu atuafikishe halikua waislamu ameen
@anjelinawiliam54156 жыл бұрын
mungu awalehem maaana hamjui mlitendalo maaana lisilo wezekanakwamwanadam kwamungu yawezekana
@sweetnanashow56112 жыл бұрын
Akati wenzenu wanatafuta uzima Nyie mnatafuta ujinga haaas
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Mazingi ni kafiri mukubwa wa motoni wapinga kristo
@al_aminchannel32925 жыл бұрын
kwa Allah aliyenufanya muslamu
@tabasamtv67282 жыл бұрын
Wamekaa kbsaaa busy kubishana upuuzi.
@joshuanoel44822 жыл бұрын
Yaani watu wazima kama watoto ndo maana siangaliagi midahalo ya waafrika bora hata marehemu Ahmed deedat
@medinacheronohildah7933
2 жыл бұрын
Yeah na zaik naik Yusuf esteem napenda mada zao juu SI kubishana n kupelekana sawasawa
@mbaroukmbarouk4986 жыл бұрын
Nyinyi makafiri mujue kua huyo yesu munaemfuata hakuwahi kuingia kanisani wala hakua mkiristo mutachomwa moto nabii Issa (as)ataingia peponi na waislam
@festokivuyo7121
2 жыл бұрын
Kama mbinguni nikwenu bs hatutaingia lkn kama ni mbinguni ni kwa Mungu bs huna mamlaka huko
@novatusngoloma8080
Жыл бұрын
Nonsense, fikiria mara mbili kabla ya kucoment
@lawrencechacha7863
Жыл бұрын
Huna tofauti na shetani,maana ungejua tabia ya mungu usingeropoka upuuzi.eleza uzuri wa dini yako na njia ya kumfikia mungu.
@chriscao9828
Ай бұрын
Waislamu ni watu wamechanganyikiwa kama mtume wao wa kuzimu..
@abdullahibaris71825 жыл бұрын
ALLAHu AKBAR
@abubakaromar46372 жыл бұрын
Allah walipe kheir kwa kazi yenu inshallah
@mariamsindano1953 Жыл бұрын
Mungu pekee ndio anajua, watu wamejaa makanisani na wanaponea huko
@rajabuselemani35866 жыл бұрын
nakubali sana ukristo uchafu watu hawafanyi kazi eti pesa zawaumini zitafanya kazi duuu
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Mjinga kila kinato lewesha ni haramu kwa waislamu labda kwenu ni halali kwa maana nyinyi kazi yenu kulewa tu
@aminariziki16776 жыл бұрын
Uislam ni dini ya haki na ya kweli mbele ya MwenyezMungu.
@JeromeAbu Жыл бұрын
Kaji zuri cheikh wangu
@yusuphsimon81516 жыл бұрын
hahaaa waislam bhnaaa ubishi mwingi ukwel mnaujua
@gabrielisack77866 жыл бұрын
ukiijua kweli itakuweka huru,siku moja sauti ilisikika ikitoka mawinguni ikisema huyu ndiye mwanangu ninayependezwa naye hivyo msikilizeni yeye.
@brightonwashira5420
5 жыл бұрын
We mkristo kafiri nini
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Tupe andiko sio unatupa porojo tu
@aishaomari1881
5 жыл бұрын
Mungu Hana mwana ila Ana mitume 25 na itabak hv
@jumajaffary9698
5 жыл бұрын
Yohana 5:37 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 37 Na Baba aliyenituma naye amenishuhudia. Hamjapata kamwe kuisikia sauti yake wala kuiona sura yake. Yesu kasema sauti ya Mungu hakuna aliesikia wakati wowote wala kuiona sura yake.
@ikabako2454
2 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 umempiga vizuri sana kondoo huyo 🤣😂😅
@marcelinenakafu70396 жыл бұрын
ukiona mtu akiacha ukristo na kwadaku waslam mkristo awesitusitika kwasababu yesu alisema sikuzamwisho kutakuwa mambokamaayo watu watajitenga na imaniyao mwaipopo iyoantiko hakuiyona?
@jamalathman62192 жыл бұрын
Mashallah jazakallah kheir
@mohammemoh73556 жыл бұрын
ALLAH jazakallah kheri Mwaipopo
@hassanabalkasim71432 жыл бұрын
Muislamu aokoka
@omanbarka15882 жыл бұрын
Mazinge kapatikana
@khadijanjama90165 жыл бұрын
والذين كفروا يتمتعون ويأكلون كما تأكل الانعام والنار مثول لهم
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Uislamu ni nuru. Kila chenye kinabadilisha akili ni haramu
@zaitunimutombo665 жыл бұрын
Takbir Allah Akbar
@hamisimdunga99552 жыл бұрын
Ooooooooo the way out ok I'll get back
@alufamauridi7115 жыл бұрын
Uisilam ndio din yahakhi nyie wakilstoy rudin kwenye din ya hakk
@stevensosipita2851
2 жыл бұрын
MATENDO YAKO MEMA NDO YATAKAYO KUINGIZA PEPONI SIYO DINI PEKEE POLENI SANA
@evelyneongachi94866 жыл бұрын
Peter kumkata MTU maskio,,yesu akakiokota akairudisha,ambapo so kawaida kwa binadamu yeyote
@thomasnachenga795
5 жыл бұрын
ILO MOJA yesu kafanya maajabu MENGI kupita hayo....lakini bado HAWATAKI KUAMINI NI MUNGU. hehehe ata wao wanamjua
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Ss Tomas yes mungu kipind alipokua tumbon dunia ilikua yaendeshwa na nan
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Maryam angekufa kwa kifafa cha uzaz kwahy kusingekua na mungu??
@rizikiali81735 жыл бұрын
yakupendeza daima
@kiprono_jnrbk44126 жыл бұрын
Give freedom of worship.....the one who wrote bible are pple.
@amosichacha56755 жыл бұрын
Maamuzi uliyoyachukua mwisho wake yana majuto kilio na kusaga meno. Kwa sasa unaweza usielewe ila utaelewa badae!!
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Hakuna mtume wa kizungu Sasa munatawaliwaje na wao ... Historia yote inarudi Kwa waarabu
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Allahu akbar
@thedymatei81715 жыл бұрын
najivunia kuwa msilm
@omarahmed77085 жыл бұрын
Mwaipopo njooni na kwetu mafia
@officialmatambi55506 жыл бұрын
Duh huyu mwaipopo kumbe anasumbuliwa na njaa tu, anaomba achangiwe na hela tena.
@goldmansun5859
6 жыл бұрын
sisi tunatoa coz tukimtolea Mungu wetu tunastaw,alah(pepo)atambarik nani?ndo mana kutwa utawakuta wamejazana kwa waganga na wasomanyota
@mariamwazir1125
5 жыл бұрын
Safi
@captenndunga9385
5 жыл бұрын
Bernad wee ni kafir hilo linajulikana
@dallaxngaona1345
5 жыл бұрын
Nani kakwambia shoga wewe
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Hana shida na michango yenu makafiri wakubwa
@kamalmukaddam15212 жыл бұрын
Mashallah
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Kweli kabisa uislamu tunajiangusha ss wenyewe heri inshaallah
@greysonmheni5176
2 жыл бұрын
Njoo kwa Yesu,hatakuangusha
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
kumbu nilikuepo kwa baba mazinge zamani 😀😀😀
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
unatisha baba mazinge tupo pamoja sana
@makanikiamsanga9066 жыл бұрын
UNASIKIA? AMEWATAKA WAISLAM KUWAIGA WAKRISTO KWA KUJENGA HOSPITALI NA SHULE, HAO WANAOITWA MAKAFIRI MUJIFUNZE KWAO, YAANI MUWAIGE KUJENGA HOSPITAL, LAKINI MUNAWAITA MAKAFIRI.
@hgfivcj1832
2 жыл бұрын
Kwani hapo Unaskia unaongea nini kwani hiyo hospital imejengwa kwa gharma za makfiri? Jibu
@captenndunga93855 жыл бұрын
Ukristo ndo ufreemason wenyewe wanatufumbafumba tuu lakini ukweli ndo huo.. kama unabisha bisha kwa mapungufu yako...
@stevensosipita2851
2 жыл бұрын
Wee nawe umepotea kama huyo mwaipopo.poleni sana hamjui mlitendalo.
@sudeysswai28627 жыл бұрын
kuliko uwe mkristo bora uwe fremason kwamana Wote motoni bora fremason utapiga pesa ila ukristo utakuwa unapigwa pesa msingi wa kweli nikuwa mwislam ustasalimika na moto wakiama
@faridawikenziwikenz64346 жыл бұрын
Samahn jaman naomba kuuliza nini maana neno kristo
@utakatifutv62462 жыл бұрын
BWANA YESU akusamehe hujui unachokiongea biblia haisomwi Kama vitabu vvyenu ili uielewe mpaka uongozwe na ROHO mt. Muhamadi sio roho maana ameshazikwa acheni ujinga mpokeeni YESU ambae alipokufa alifufuka nae hata Sasa yu hai
@bimkubwamohd145
2 жыл бұрын
Pumbavu mmoja
@sahariabdul8 жыл бұрын
unaelekea kuchanganyikiwa
@mikyfosikama87522 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@fadhili22936 жыл бұрын
Hahaha ka pesa huwa hakakwepeki. Ila wakiomba wengine wanakuwa wataka pesa ila kwako ni sawa.
Пікірлер: 551
Mwenyezi Mungu akujalie kazi njema na akuweke ktk watu wa peponi
Allah akupe umry mrefu na akujalie mambo mema mpaka kaburini upate muangaza na akulinde maneno yako yamenitoa machozi
Allahu akbar Wallah maneno aliongea Mwaipopo yatupasa kuyazingatia Kwan umoja wetu ndio nguvu yetu tuache ubinafsi, tumeshindwa na makafiri kwa umoja wao
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad Asaalam aleykum, upo sahihi kinachotukwamisha ni kukosa umoja mfano mzuri kwenye kutoa zakka huu ni moja wa mtihani mkubwa mno! hapa nyumbani kuna kanisa lilikuwa la bait ila Sasa wamejenga na sio kama una waumini wengi hapana sababu wanaumoja, ila kwetu imekuwa mtihani mkubwa hata Imani petro aliongea point pia, unakuta ndo chanzo cha kutosonga Mbele zakka ina nafasi kubwa mno kwenye dini yetu ndo maana wenzetu wanapija hatua sana, walleykum Asalaam warahmatullahi wabarakatuh
Maa Shaa Allah, Allah awatangulie awape umri elmu mzidi kutuelimisha ln shaa Allah.
mwaipopo ulio sema ni kwel waislam sie hatuta ushirikiano wala umoja laiti tungekuwa na umoja basi Allaah angetuzidishia baraka ila tunapo elekea Allaah atunusuru na pia wazidishie mnae tupa somo Amiina
@muvobhekinyonga985
7 жыл бұрын
nadya juma Ameen
@Julia-gm1wh
5 жыл бұрын
Umoja wa kuleta vita ama mashetani nyinyi
Hakuna mkristo yaani mwana wa mungu anayeweza kubishania Imani yake na wasio amini, sisi wakristo wa kweli tunajitambua Kama yesu alivyoulizwa na shetani ya kuwa ikiwa wewe ni mwana wa mungu geuza hili jiwe liwe mukate, lakini kwakuwa yesu alikuwa anajitambua kuwa ni mwana wa mungu hakuhangaika kugeuza like jiwe kuwa mkate. Hata sisi ni Wana wa mungu kwa kumwamini yesu alieye mwana wa mungu, Amina.
mwaipopo Ma shaa Allah kwakujitoa katka ukristo Allah akujaalie kher.
@jumanamata6349
5 жыл бұрын
good
@khayriyamussa5680
5 жыл бұрын
Kher kwake.. In Shaa Allah..
@emmanuelyngabani2079
2 жыл бұрын
Uislamu Ni Uongo Na Hapa Ndio Ushahidi
@mwajabukaseke8710
2 жыл бұрын
@@emmanuelyngabani2079 jingaaa sana ww nyie din yenu inaletwa n binadamuu wenzetuu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Ajitoe sana tu .nani angewezana nae huyo makanisani hakuna uchawi
Mwaipopo Allah akulipe pepo kwa kutoka ukristo
@lightnesselirehema1464
2 жыл бұрын
Huyo kapotea njia!
Subhanaallah MUNGU amekusamehe mwaipopo kuichoma Qur AN
@dottoadam5516
2 жыл бұрын
Mungu atusaid zotee
Allah amlipe kila la kheir sheikh Mwaipopo kwa kuitangaza dini inshallah🙏
hadiith=kulu muskirin haraam "Chochote ki lewasho ni haramu" Miraa ni haramu
Mwaipopo umeongea vzr Sana
Alhamdulilah mzaliwa wa zanzibr hakuna mkristo wahamizi ndowanatuharibia
Jazakalah kheiran....for good words for good speech for good words for good story...and May Allah guide us all to the right path...
@allyhamza355
Жыл бұрын
Ll58
kwakwel umat Islam tumejaariwa neema na Allah(s.w)
@labilowabiikongo9338
2 жыл бұрын
Swadakt
M/mungu anajua mh kumbe wenzetu upande was kushoto watembea na Quran Subhan'Allah
Mungu kaweka dini mbili kwa ajili yaku poteza wabaya wasijuwe kwaku wapotosha waliyo hamini mana vitabu vyote ni vyamungu Nani kweli apingalo hilo basi yeye ana Pinga Mungu.
@amoury1481
Жыл бұрын
Mungu kaumba dini moja tu Uislamu,Hizi dini Nyingine ni matokea ya mwanadamu
Ukimuona mtu kamuacha Yesu ujue uyo hana Roho mtakatifu
@alhadjmugisha5216
2 жыл бұрын
Hhhh anaroh yake 🤣🤣🤣🤣🤣
@naninana13346
2 жыл бұрын
Ata mimi nina nia ya kuwa mwislam ili nijuwe tu kila aina ya uchawi ni wakomeshe wanawo nisumbuwa, mana wislam wamejaliwa tu neema ya uchawi
@salehrashid-fx9rq
9 ай бұрын
Yesu ni nani?
Alhah Akbar uislam ndo habar ya mjini makafir hawAna jipyaaaaa
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Hawa wakristo kazi yao wanapenda ku fadhiliwa nawazungu ndio maana wanava uti na wana kuwa ovyo kama wazungu hawana haya kama mahaba wanipenda wazungu anawatumia kutimiza uchumi wao moto unawangoja kesho kiama
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
@@asmaabdallah4055 unaujua uislamu lakn
hakika uisilamu nodini ya hakki Allahu ujaalie uislamu mbele
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
MTEI TV Dini hizi hazitatupeleka mbinguni, Bali tutaenda mbinguni kutokana na mahusiano yetu mazuri na Mungu. Hakuna mbinguni mbili, mbingu ni moja peke yake. Na njia ya kuelekea huko no moja tu, Mimi ndimi njia kweli na hukumu mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Asema Yesu Kristo tuwe tunataka tuwe hatutaki ndvyo ilivyo.
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
@@williamkavaya4794 wenye chuki na uislamu poleni
Najivunia kuzaliwa muislam na n namuomba Allah anifishe nikiwa muislam. Allah atawalip kher kw kaz njema mnayoifany. Inshaallah
Allha.akulipe.mema.mwaipopo.hakika.nafs.yako.imeshaiokowa.allhandulih.leo.nakesho.peponi.sadaka.nimuhimu
ukiwa mwiislamu wakweli unarahasa duniani na akhera.
Yesu hana shida hata ukimkana yeye ana watu wengi tu. Ni wewe tu mwenyewe utaenda huku na huko yeye yuko palepale. Kila goti litapigwa mbele ya yesu believe me
IPO njie ionekanayo ni sawa machoni pa, Mtu lakini Mwisho wake ni njia Maya za maiuti
Najivunia kuzaliwa Mwislam
allahu Akbar walahi nabado watu wanachezea uislamu tu ishikeni uislamu kwa makini
@AishaAli-lk7gh
5 жыл бұрын
huyu ALLAH amembainisha alokuwa akifanya kwa ukristo sasa wengine wanajenga chuki kwa kusema kweli ukristo sio dini
@kasimothman6940
2 жыл бұрын
Mashaallah
Allahu Akbar, Allahumma sturu ummata Muhammad (S. A. W)
Alhamdulillah 2023
Aki mwaipopo umenifanya machozi yakanidondoka, Allha akujaze kheri in sha Allah🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
Yaani ukiwa mkristo sawasawa na maiti. Kwanza kabisa ukipata andiko linalosema ukristo ni dini ya Mungu nipo tayali kubatizwa hata sasa hivi.. Yaani ktk kitabu chochote unachokijua wewe..!
@stallonesylvester1988
8 жыл бұрын
acaha matusi kaka,tangaza uislamu vyema. yesu ni nani?????
@ygyoung9686
6 жыл бұрын
marayn
@nestarnestar4520
5 жыл бұрын
kuma ww nyie ndio mizoga kabxa
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
IBRAHIM ABDUL Dini hizi hazitusaidia chochote. Mahusiano yetu mazuri na Mungu ndyo yatakayotufanya tumuone Mungu. Mbingu ni moja tu wala hakuna mbingu ya pili. Njia ya kwenda huko ni moja wala hakuna njia nyingine. Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Tuwe tunataka tuwe hatutaki ndivyo ilivyo!!
@derickluazi5528
5 жыл бұрын
Ibrahimu ww ujitambui ukitoa neno kwenye qurn linalokuonesha wapi ulipo haidiwa ufalume wa milele nitakuwa mwisilamu
Mwaipopo Allah akuhifadhi
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
amin ya Rabby
Subhana allah, Alhamdhulilah, Allah akbar, Mwaipoipo umewabainishia wakirsto kuwa dini ya haki ni uislam mola akulipe inshaalh
wakristo hata aje Yesu mwenyewe watampnga lakn wanakuja ona wakifika kwa Mungu
@salehrashid-fx9rq
9 ай бұрын
Watamuua 😅
Mwenzimung atkakusaidia ktk kufkisha dini y MW/mung
Wewe huujui ukristo ulikuwa umeenda kusomea kupiga hera, lakini siku ukimjua yesu kristo Kama muumba wako na muumba wa ulimwengu utamwinua juu.
uislamu ni dini ya khaki
@stallonesylvester1988
8 жыл бұрын
dhibitisha
@sahariabdul
7 жыл бұрын
tafuta video za imani petro na imani akili yako itafunguka na uache weu wa kubuluzwa na neno kristo
@goldmansun5859
6 жыл бұрын
haki iko WAPI?
alitoka katika ukristo kwa maana haku chaguliwa na mungu angelichaguliwa na mungu asingee rudi nyuma angechapa injili
@husseinmohamed5942
5 жыл бұрын
Kaiona haki coz ukristo sio dini na Kama unabisha nipe andiko kua ukristo ni dini
@santodelove4351
5 жыл бұрын
Mungu wenu mbaguzi kwahiyo anawachagua chagua
Alhamdulillah kwakuwa muislam
ASALAM ALEIKUM PROFESA MAZINGE A MWAIPOPO ALLWAAA AWAPE UMRI MREFU KUTUELIMISHAA JAMIÌII NIKWELI WASHEKHE HAWAELIMISHI JAMI NAKUITOWQ MIHADHARA NIWAO WENYEWE TUU ILIMU WANAKAA NAZO MAJUMBANI
Wakristo makafiri hawana dini wakifa kwa imani hiyo ni motoni
hakika umeongea ukweli uislamu ndio dini sahihi mbele ya mungu
@irenemboka1401
2 жыл бұрын
Hapa unajidanganya ndugu sisi wote watoto wa Ibrahim kumbuka YESU CHRISTO ndo njia pekee ya MUNGU siasa haina mahali itatupekeka
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
Na vip ktk uislamu kusoma uchawi wa kitabu (faraki)
Waislam ndio makafiri kama hawajasoma Qur'an yao
@isaacmafole2136
5 жыл бұрын
True
HUYO MCHUNGAJI NI MNAFIKI. NI WA UONGO. KAMA AMEHAMA UKRISTO, KWA NINI BASI AMEVAA VAZI LA KICHUNGAJI, ILI AWAAMINISHE WATU KUWA YEYE NI MCHUNGAJI, NA ASIVAE VAZI LA KICHUNGAJI BASI. HUYO NI MCHUNGAJI WA UONGO NA MKRISTO WA UONGO. BIBLIA ILISHA ONYA MBELENI.
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
Makanikia Msanga Mchungaji wa kondoo wa Mungu, aliyeitwa kuwa mchungaji hawezi kufanya haya. Yeyote yule anaweza akajiita kuwa ni mchungaji na asiwe mchungaji. Hawa waliojiita wenyewe ndiyo leo hii tunashuhudia wakifanya vituko.
@husseinmohamed5942
5 жыл бұрын
Anawakejeli wale mafala wanaojiita wakristo
mwenyezimungu akupe mazur
Tusibaguane kwa dini na rangi kila mmoja afate anapoamini vibaya hivyo kuweni
Mazinge wacha kuaribu sigara hapa uarabuni sigara inaasha nyingine wa maanisha waarabu ni makafiri?
Kwakweli shetani ni mjinga sana coz anajua kufunga watu macho iliwaingie gizani wasijue ukweli
umepata hasara ndugu kiroho
@bintichausa4744
5 жыл бұрын
😂😂😋😂😂😂
ukristo dini ya feeza hilo tunalitambua lkn makazi Yao fin nari jahanam motono
@rahmakhamis111
5 жыл бұрын
ndiyooo
@hassanshemawia4587
5 жыл бұрын
Imejipiga
@eladiuspeter586
5 жыл бұрын
bimu maulid wew kabla ya waarabu babu yako hakua na dini
Mungu msaidimwaipopo
So touching story sheikh mwaipopo ❤❤❤😊
Uislam hasa raha bana eee
allla akuhifadhi na fitna mwaipopo
walah umependeza kua muisilm mashaalah MUNGU akuzidishie
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
amin ya Rabby
Daah Mungu awalipe Mashekh natamannijifunze hio kazi
Masha llah mungu atuafikishe halikua waislamu ameen
mungu awalehem maaana hamjui mlitendalo maaana lisilo wezekanakwamwanadam kwamungu yawezekana
Akati wenzenu wanatafuta uzima Nyie mnatafuta ujinga haaas
Mazingi ni kafiri mukubwa wa motoni wapinga kristo
kwa Allah aliyenufanya muslamu
Wamekaa kbsaaa busy kubishana upuuzi.
Yaani watu wazima kama watoto ndo maana siangaliagi midahalo ya waafrika bora hata marehemu Ahmed deedat
@medinacheronohildah7933
2 жыл бұрын
Yeah na zaik naik Yusuf esteem napenda mada zao juu SI kubishana n kupelekana sawasawa
Nyinyi makafiri mujue kua huyo yesu munaemfuata hakuwahi kuingia kanisani wala hakua mkiristo mutachomwa moto nabii Issa (as)ataingia peponi na waislam
@festokivuyo7121
2 жыл бұрын
Kama mbinguni nikwenu bs hatutaingia lkn kama ni mbinguni ni kwa Mungu bs huna mamlaka huko
@novatusngoloma8080
Жыл бұрын
Nonsense, fikiria mara mbili kabla ya kucoment
@lawrencechacha7863
Жыл бұрын
Huna tofauti na shetani,maana ungejua tabia ya mungu usingeropoka upuuzi.eleza uzuri wa dini yako na njia ya kumfikia mungu.
@chriscao9828
Ай бұрын
Waislamu ni watu wamechanganyikiwa kama mtume wao wa kuzimu..
ALLAHu AKBAR
Allah walipe kheir kwa kazi yenu inshallah
Mungu pekee ndio anajua, watu wamejaa makanisani na wanaponea huko
nakubali sana ukristo uchafu watu hawafanyi kazi eti pesa zawaumini zitafanya kazi duuu
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Mjinga kila kinato lewesha ni haramu kwa waislamu labda kwenu ni halali kwa maana nyinyi kazi yenu kulewa tu
Uislam ni dini ya haki na ya kweli mbele ya MwenyezMungu.
Kaji zuri cheikh wangu
hahaaa waislam bhnaaa ubishi mwingi ukwel mnaujua
ukiijua kweli itakuweka huru,siku moja sauti ilisikika ikitoka mawinguni ikisema huyu ndiye mwanangu ninayependezwa naye hivyo msikilizeni yeye.
@brightonwashira5420
5 жыл бұрын
We mkristo kafiri nini
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Tupe andiko sio unatupa porojo tu
@aishaomari1881
5 жыл бұрын
Mungu Hana mwana ila Ana mitume 25 na itabak hv
@jumajaffary9698
5 жыл бұрын
Yohana 5:37 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 37 Na Baba aliyenituma naye amenishuhudia. Hamjapata kamwe kuisikia sauti yake wala kuiona sura yake. Yesu kasema sauti ya Mungu hakuna aliesikia wakati wowote wala kuiona sura yake.
@ikabako2454
2 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 umempiga vizuri sana kondoo huyo 🤣😂😅
ukiona mtu akiacha ukristo na kwadaku waslam mkristo awesitusitika kwasababu yesu alisema sikuzamwisho kutakuwa mambokamaayo watu watajitenga na imaniyao mwaipopo iyoantiko hakuiyona?
Mashallah jazakallah kheir
ALLAH jazakallah kheri Mwaipopo
Muislamu aokoka
Mazinge kapatikana
والذين كفروا يتمتعون ويأكلون كما تأكل الانعام والنار مثول لهم
Uislamu ni nuru. Kila chenye kinabadilisha akili ni haramu
Takbir Allah Akbar
Ooooooooo the way out ok I'll get back
Uisilam ndio din yahakhi nyie wakilstoy rudin kwenye din ya hakk
@stevensosipita2851
2 жыл бұрын
MATENDO YAKO MEMA NDO YATAKAYO KUINGIZA PEPONI SIYO DINI PEKEE POLENI SANA
Peter kumkata MTU maskio,,yesu akakiokota akairudisha,ambapo so kawaida kwa binadamu yeyote
@thomasnachenga795
5 жыл бұрын
ILO MOJA yesu kafanya maajabu MENGI kupita hayo....lakini bado HAWATAKI KUAMINI NI MUNGU. hehehe ata wao wanamjua
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Ss Tomas yes mungu kipind alipokua tumbon dunia ilikua yaendeshwa na nan
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Maryam angekufa kwa kifafa cha uzaz kwahy kusingekua na mungu??
yakupendeza daima
Give freedom of worship.....the one who wrote bible are pple.
Maamuzi uliyoyachukua mwisho wake yana majuto kilio na kusaga meno. Kwa sasa unaweza usielewe ila utaelewa badae!!
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Hakuna mtume wa kizungu Sasa munatawaliwaje na wao ... Historia yote inarudi Kwa waarabu
Allahu akbar
najivunia kuwa msilm
Mwaipopo njooni na kwetu mafia
Duh huyu mwaipopo kumbe anasumbuliwa na njaa tu, anaomba achangiwe na hela tena.
@goldmansun5859
6 жыл бұрын
sisi tunatoa coz tukimtolea Mungu wetu tunastaw,alah(pepo)atambarik nani?ndo mana kutwa utawakuta wamejazana kwa waganga na wasomanyota
@mariamwazir1125
5 жыл бұрын
Safi
@captenndunga9385
5 жыл бұрын
Bernad wee ni kafir hilo linajulikana
@dallaxngaona1345
5 жыл бұрын
Nani kakwambia shoga wewe
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Hana shida na michango yenu makafiri wakubwa
Mashallah
Kweli kabisa uislamu tunajiangusha ss wenyewe heri inshaallah
@greysonmheni5176
2 жыл бұрын
Njoo kwa Yesu,hatakuangusha
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
kumbu nilikuepo kwa baba mazinge zamani 😀😀😀
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
unatisha baba mazinge tupo pamoja sana
UNASIKIA? AMEWATAKA WAISLAM KUWAIGA WAKRISTO KWA KUJENGA HOSPITALI NA SHULE, HAO WANAOITWA MAKAFIRI MUJIFUNZE KWAO, YAANI MUWAIGE KUJENGA HOSPITAL, LAKINI MUNAWAITA MAKAFIRI.
@hgfivcj1832
2 жыл бұрын
Kwani hapo Unaskia unaongea nini kwani hiyo hospital imejengwa kwa gharma za makfiri? Jibu
Ukristo ndo ufreemason wenyewe wanatufumbafumba tuu lakini ukweli ndo huo.. kama unabisha bisha kwa mapungufu yako...
@stevensosipita2851
2 жыл бұрын
Wee nawe umepotea kama huyo mwaipopo.poleni sana hamjui mlitendalo.
kuliko uwe mkristo bora uwe fremason kwamana Wote motoni bora fremason utapiga pesa ila ukristo utakuwa unapigwa pesa msingi wa kweli nikuwa mwislam ustasalimika na moto wakiama
Samahn jaman naomba kuuliza nini maana neno kristo
BWANA YESU akusamehe hujui unachokiongea biblia haisomwi Kama vitabu vvyenu ili uielewe mpaka uongozwe na ROHO mt. Muhamadi sio roho maana ameshazikwa acheni ujinga mpokeeni YESU ambae alipokufa alifufuka nae hata Sasa yu hai
@bimkubwamohd145
2 жыл бұрын
Pumbavu mmoja
unaelekea kuchanganyikiwa
Mashallah tabarakallah
Hahaha ka pesa huwa hakakwepeki. Ila wakiomba wengine wanakuwa wataka pesa ila kwako ni sawa.