053 HABIB MAZINGE | JE SACRAMENTI NI MWILI WA YESU 2/2
AKASHA DAAWAH +254 721310082
Жүктеу.....
Пікірлер: 234
@shamimwamanya45987 жыл бұрын
Mazinge Allah akupe kila la kheri uzidi kuwaelimisha wakristo waliopotea.Nami nilitoroka huko kwa sababu hamna dini kule
@bintmohamedmalevi37712 жыл бұрын
Huu muhadhara ulikuwa mkali mno Maa Shaa Allah. Allah awape umri mrefu wenye siha njema masheikh wetu.
@modjayd54245 жыл бұрын
asante sana sheikh wape mpaka waelewe vtu wanavyofanya kwa udhalili wanakula mpaka mashonde
@djumbesaide21697 жыл бұрын
Saide Djumbe Mansha allah Professa Mazinge endelea kuasilimu wskristo,wajue dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu ambayo ni uislamu.
@khadijamohammedsheheasemak1334
7 жыл бұрын
naao waloamini wa kuekwa hapo wote majnuni makafirii ayoooo mmelaanika
@salimaljahwari1
6 жыл бұрын
Khadija Mohammed Shehe asema kweli ن‘ঃচলয। য ষোল য। ?যেমন, সলিল।
@salmabakary6456 жыл бұрын
mungu akujalie kila laheri mazinge hakika pepo ya Allah mungu akupatie inshaallh
@khalfanhamisi42185 жыл бұрын
aslmalkm ndugu Waislam ? S.A.W. hawa wakrsto hawana Oja! Inshaallah Mungu hawapatie fahamu za kuelewa hili waweze Ku slimu wawe waislm!!!.......
@munirayusra918 жыл бұрын
Mungu..akuwekee mazinge inshaallah na kujalie pepo ya Rabbi
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Munira Yusra aaamin
@user-fw7yr7yo2x
5 жыл бұрын
Amin
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
Aamin yaarab
@mohdeddy1235 жыл бұрын
Mwenyez mungu akueke sheikh uwe na afya njema kila siku uwape darsa awo wagonjwa
@ruhaymahothman75985 жыл бұрын
Allah akupe umri uzidi kuelimisha jamii
@pekomisegese77245 жыл бұрын
Yaani Wakristo Hata Kuuliza Maswali Hawajuwi Masikini Ya Mungu.
@user-it6zi7zw8y2 ай бұрын
mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah allah akujalie kila kher Katika maisha yako inshallah umeipigania dini kweli kweli sio Hao wasani waislam ndo wanazid kuongeza ushetani na kuharibu dunia nawatoto wa Zina ndo wameja sasa hivi alafu shida zitaacha kuja
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Jamani Mungu gani anaitwa Yesu...Allah Jina linautisho wacheni mchezo nyinyi Yesu Hana hata sifa za ungu ana sifa za utume...ISSA aleih ssalaamu...Yesu alikula samaki Sifa zaungu Hana kabisa...Yesu anaweza kusimamisha mbingu na ardhi..nyie mnamchezo Yesu atoe usiku aregeshe mchana nyie mnacheza Nyinyi mnaabudu binadamu mwenzenu...Yesu ni mtume sio Mungu eleweni Bana...
@said1780
2 жыл бұрын
Wanacheza na mungu
@AmiduNzokira
4 ай бұрын
0
@ismailyusuph7405 жыл бұрын
Hawa Wachungaji wakiwa wanaongea unaweza kuona wako sawa....kumbe wanapoteza sana Watu...!! Maandiko hawajui....!...Maashallah Mazinge..!...ALLAH Akuweke vyema
@modjayd54245 жыл бұрын
mashaallah wpe elimu hao sheikh wangu mpaka waelewe mungu akupe maisha marefu
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
Aamin yaarab
@nurudinehamimu56586 жыл бұрын
Shekhe mazinge mwenyezmungu akupenguvu uzidi kuwaweka sawa inshaallah
@ceciliasianoi2437
9 ай бұрын
Hhmnnh
@jamuhuriali61835 жыл бұрын
ya alhaa mjalie Maisha mema mazinge wetu amin
@said1780
2 жыл бұрын
Amin
@abaslegera98415 жыл бұрын
MashaAllah ALLAH akuongoze shekh wetu
@mwaafricaharisi45185 жыл бұрын
Sheikh wetu Mungu Akubaliki
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Aamin
@rajabumbunda97965 жыл бұрын
mashaallah mwenyezi mungu akufanyie wepesi wa kila jambo la kher shekhe
@pekomisegese77245 жыл бұрын
Mazinge Nakukubali Sana.
@asutfaile26478 жыл бұрын
hahahaaa Mazinge nakupenda sana kwa ajili ya Allah
@justardmutarrmwa4452
2 жыл бұрын
Allah ni nani?
@saidasalum8826 Жыл бұрын
professor Mazinge ALLAH akubariki
@yusufhabimana40932 жыл бұрын
shekhe mazinge wekiboko allah atakuripa unafanya kazi ngumu wakristo sijuwi hakirizao zinakaasehemugani!!
@aminariziki16776 жыл бұрын
waislamu Mazinge yuko juu jamani hahaha tumswalieni mtume.
@salmanmahamed6620
5 жыл бұрын
S a w
@qurannimwongozo1895
5 жыл бұрын
Mazinge wafundishe hao maana wote ni mwezi mchanga hawjui kitu
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
Allahumma swali ala' Muhammad wa ala' alihi waswahabihi wasalim
Allah akuzdshie miak ming inn shaa Allah,uzd ktoa daawa kwa makafr
@hanifaharet37397 жыл бұрын
Nawapenda kwa ajil ya Allah,Said unanibambaga sana
@lailatmrsrajaimustapha1384
5 жыл бұрын
wakirsto mbona sion kome nt mnajifanya mnajua mclimu msamehewa mazambi muwe weupe
@pekomisegese77245 жыл бұрын
Wakristo Wanapata Elimu Kubwa Sana Kupitia Waislamu.
@actionboori6581
2 жыл бұрын
Hao ni wale wakristu wako kwa akili yako
@dinakipingo1905 Жыл бұрын
Masha Allah masheikh wetu mko vizuri Allah awape nguvu, Mazinge na Saidi Kinyogoli
@ashachitemo78162 жыл бұрын
Dooh watu tunahitajika Sanaa kujifunza dini kwa undani zaidi tujifunze vitabu vya mungu kwa undani na kuvielewa zaidi
@kassimmohammed49495 жыл бұрын
Mashallahu Allah bless you Aamiin
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Waone waislamu wanaabudu Allah nahawamuoni Ila wakristo munaabudu Yesu wenye alizaliwa Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa Mungu Hana familia wala Hana aloshirikiana nae katika kuumba Dunia...Allahu Akbar....Mungu anifishe nikiwa nimuisilamu...Aaaaameen
@mwanaz31108 жыл бұрын
Mazinge wew ndo Staring wao!!!i have no doubt on you!!!
@ismailhersi1317
2 жыл бұрын
Mnafaya kazi nZuri Sana lakini MSIWAITE kuwaambia WAPUMBAVU KWA sababu Badala ya kuupenda Uislamu watauchukia
@nasraalobaidani31946 жыл бұрын
mazing ALLAH akubarik baba
@mrsdully16137 жыл бұрын
daah shekh wetu mungu akubariki hao wanakupotezeaa mda t
@yahyajumaan3393
5 жыл бұрын
Barakallahu feek Mr mazinge
@paschalmichaeli97765 жыл бұрын
allah akupe umri uzid kuwafungua akili zao .
@said1780
2 жыл бұрын
Amin
@mirajishentembo49625 жыл бұрын
Mazinge sule kinyogoli Imani petro Maulana piganieni dini yetu
@saumumohammad81748 жыл бұрын
mazinge Allah azidi kukupa afya njema na umri mrefu uzidi kututoa taka maskioni maana mengine tulikua hatuyajui.
@kibibimwanamvuamohammadmoh9823
8 жыл бұрын
Allahumma Aamiyn
@kibibimwanamvuamohammadmoh9823
8 жыл бұрын
Allahumma Aamiyn
@marywairimu8018
7 жыл бұрын
God bless u Mazige
@mohamedsharif85745 жыл бұрын
God bless you mazinge
@AbdulRahman-wx6iv5 жыл бұрын
Hiyo ishu ya idi Amin imepandikizwa ila hata ss wabongo wanajeshi wetu walipigana Vita ila historia haipotei,vijana wengi tunajua ukweli Sasa hv na sababu tunazijua,hao hao waliotugombanisha ndio wanatuambia ukweli..(Europe)
@haphidhjafary3411
2 жыл бұрын
Mung akupemaish marefu ustadh mazinge
@hamisikolo573111 ай бұрын
Allah akulinde Shekh wetu Habu mazinge
@bnassorokiyamile8857 жыл бұрын
allah amuhifadhi mpenzi wetu mazinge makafiri kodoeni kodoooo kodoooo kodooiogoooo ahaaa munavitimbi mikafiri nyinyi apa dokta mazinge tibu mpaka iyi miaka 2017 ludia iyi mada ya doz zao ahaa haaaa
@khadijamohammedsheheasemak1334
7 жыл бұрын
kweli hakuna jipya makafiri
@abeidabbas9398
6 жыл бұрын
b nassoro kiyamile amiin inshaallah
@shamsashamsa9548
5 жыл бұрын
Duuuh mm Nipo kaka
@user-fp3ft3vf5p6 жыл бұрын
Masha allah
@abdinassirshekhuna99098 жыл бұрын
I like mazinge very much
@saidmunye8626
7 жыл бұрын
me 2
@josephmayunga4743
7 жыл бұрын
tatizo la waislamu wanamuengelea mungu Kama binadamu. hawana elimu ya biblia
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
@@josephmayunga4743 Kati yetu sisi na ninyi wanaemuelewa Mungu kama binadamu ni nani! Kwenye Quran tunaamini hakuna wa kufanana na Mungu, lakini ninyi kwenye biblia yenu mnaitaidi kuwa mfano huu tulioumbiwa sisi binadamu ni mfano wa Mungu! Je una hoja??
@yusufhabimana40932 жыл бұрын
asalam aleykum sheikhe habib mazinge sisi tupo bujumbura tumekukumbuka
@shamsashamsa95485 жыл бұрын
Alhamdiliah mashaallah
@munaseif97696 жыл бұрын
mmewakosha sana kumbe wanakula mavi mmmmmmm uchafu bhana😎
@christinakayela1161
2 жыл бұрын
Kuiona mbingu ni kazi Sasa mnaojiona mnamuomba Mungu wa kweli Tena mnawatukana wenzenu Sasa kumwamini kwenu Mungu nakujiona nyie wa maana kuko wapi? Hizo nikampeni za shetani hiyo mijadara yao haina hata maana wanapoteza muda wao bure2 harafu ni watu wazima utafikiri hawanakazi yakufanya hakuna binadamu Anae mjua Mungu kiundani na hakuna dini ya kweli Bali niimani yako itakayo kuokoa ukijaji Sana dini Wala huwezi ukasali sio uisilam Wala ukristo maana ukichunguza Sana uisilamu nao umejaa uchawi wakutosha hao mashehe wanasiri zakutosha wengine mtabaki kusema uisilam ni dini ya kweli Sasa huwa najiuliza mnae mwamini ni Mungu yupi? Wakati hiyo dini inamambo ya ajabu Sana ukimchunguza Sana nyuki huwezi kulamba hata asali yake Amini unacho kiamini acha kutukana dini za wenzenu maana hata dini yako huijui kiundani zaidi mwogopeni Mungu wako
@jumaakhalfan4855 жыл бұрын
Daaaahh huyu mazinge ni shida
@saidahmed96882 жыл бұрын
mdahalo mzuri
@mohameeddoaan22962 жыл бұрын
MashaaAllah MashaaAllah kinyogori hapa bado mdogo
@hanselricky60547 жыл бұрын
yesu si mkristo lakini kwanini wakristo nawaonea huruma kwasababu wachungaji wanawapoteza na sadaka zenu wanakula wachungaji
@hanselricky6054
7 жыл бұрын
wachungaji acheni kuwapoteza watu na kula sadaka zao
@hanselricky6054
7 жыл бұрын
mnapata dhambi na mnaelekea kwenda motoni
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Hansel Ricky huruma kweli yaani sijui hawaelewi wapi
@africandreamchaser8676
5 жыл бұрын
nyie ndio hamuelewi mmefungwa
@kitalakahamisi53485 күн бұрын
Hii ni dawa kwa ulimwengu mzima na Allah atutulinde na makafiri waotoshaji
@ramafrica90165 жыл бұрын
Mashallah
@abdulmohamed20447 жыл бұрын
Yaap wape ukweli wa mambo
@shamtaus67212 жыл бұрын
Amini alipigwa vita na Julias kwa uislamu wake. Na muungano wa Visiwani na Tanganyika umelazimishwa ili kupunguza nguvu za waislamu ambao ni wengi visiwani huko.
@mwanaimaabdallah78256 жыл бұрын
بارك الله فيك يا شيخ
@mwanahija968
11 ай бұрын
Mashaallah
@beardedalade9 ай бұрын
Mazinge ni mwalimu kweli 😂😂😂
@habibuissa69922 жыл бұрын
Mashaallah
@khadijanjama90165 жыл бұрын
Maa shaa allah
@djumaserge4435 жыл бұрын
Masha' allah
@sabrasharifu81482 жыл бұрын
Manshallah Allah akuripe kher inshallah
@shekhanwilfred31135 жыл бұрын
Inshallah mazinge
@tiffahfrodo98396 жыл бұрын
Maisha marefu mazinge we love you
@mikyfosikama87522 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@aminariziki16776 жыл бұрын
msomaji wa Mazinge Ana nipunga Sana'a jamaa ajitia uchizi asiokuanayo hahah kumnyooshaa kafiri yataka nafasi.
@fbhj4436 жыл бұрын
ooooh ndo maana hawana fikra kumbe wanakula mavi?
@simonnzuki8884 Жыл бұрын
Kunatofauti ya kula na mkufuga, mwalimu wa kislamu unataka usikilizwe lakini utaki kusikiliza.
@ramadhanmanko46145 жыл бұрын
Mazinge hoyeeeeeee
@enockkibona75222 жыл бұрын
JESUS IS A WAY
@ahmadseif72412 жыл бұрын
Ahsante kijogoli
@ubarikiwenabwanawamajeshiq58616 жыл бұрын
Yesu alimwambia petro juu ya mwamba nitalijenga kanisa
@abdulbasith3556
5 жыл бұрын
Je alilijenga?
@aishaongaro59658 жыл бұрын
hahahaaaaaa at mwili wa yesu mafi makafuuuuuu......waaaaa allahu Akbar ,... mazinge subhana Allah aenderee kukurinda
@fatmaally714
7 жыл бұрын
Allah is not allah
@hassansalum84967 жыл бұрын
jaman daaah ngamia Sii halam pls
@adilihassan84552 жыл бұрын
Mazinge sina Shaka nawe kabisaaa,yani Hawa jamaa walikuona wanahisi haja mbili mbili wwe kidume cha Allah,Allah akulipe firdaus Amiin
@rahmanmtwiku33585 жыл бұрын
Daah Safi
@yussufally86685 жыл бұрын
Wakristo muache kula mavi makavu
@rashidshamte3083 Жыл бұрын
Kwanini wanakua wakaidi wakati mambo yote wanayafahamu watapata shida kesho kiama hao wakristo
@mariamjuma51235 жыл бұрын
Muhadhara rakhaaaaaaaaaa
@saumumohammad81748 жыл бұрын
hahahahahaaaaa uuuuuuuuiiiiiii mazinge na msomaji wake loooh...chochote kilucho hai duniani chaliwa kwahio hata mamaako wamla daaah mwaniacha hoi..
@sperambuya4610
5 жыл бұрын
Saumu Mohammad hawa watu jamani wanachochea uadui ndani ya mioyo ya watu, sijui serikali iko wap isikemee haya mambo, haswaa, waislam wanatamani sana vita vya kidini, kwakweli sio vizuri kujadili vitu vya kiroho ambavyo kila mmoja wetu, anamuamini mungu mmoja, huu nauita upuuuzi mtupu
@anasiatajovin2035 жыл бұрын
Yan dah nawaonea huruma sana mnaosema. Mazinge mashallah dah eti mzinge nn cjuu looh hakyamungu kweli asante mungu kwanifungulia mema na kuwaficha hawa wajinga mambo mengi kwa maana yako ww unayejua sirini najivunia kuwa mkristo tena mkatoliki asante yesu
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Pole sana dr elimu ni bure hauja chelewa yastahili uwe mwanfalifu usijiache hivyo ukazidi kupotea
@anasiatajovin203
5 жыл бұрын
@@mgeniali1768 shule unatikwa uende wew mjinga me co mjinga mwehu wew
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Asanta mama pongezi endelea kuwa mkatoliki mama waislamu hawalazimishi Mtu kuingia Kwa dini ni haki yako kuwa mkatoliki.....Mungu anahekma zake kuumba Pepo na Moto...
@suberasubera6412 жыл бұрын
nakupenda sanakinyo gori
@bintmohamedmalevi37712 жыл бұрын
Nani yuko hapa leo muhibiri ni noma mno
@abdallahhamisi454 ай бұрын
😂😂😂😂 huyu msheheshaji wa mwisho yuko wapi. Nimependa anavo sema unakula unaendelea kuwa mzembe mzembe
@khatibukhatib99265 жыл бұрын
Hahahahaha we mazinge atari sana ati na mama ako pia anatembea umewai kumla....?
@mrsdully16137 жыл бұрын
hahaha mbavu zangu ety anajitia uchizi asokuanao
@shabamuhidin6342 жыл бұрын
kumbe mikate ya kanisani ina mavi duh!
@msellemkassim2515 Жыл бұрын
Mathew 4-23
@reginanjuguna73685 жыл бұрын
kwaivio mnaamini yesu
@shekhekhandereizer559
5 жыл бұрын
atu mjui yesu tuna mjua nabii issa yesu niwakwenu kanisani uko ww vp
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Ni nabi wa Mungu wala simwana wa Mungu
@paqchatygaga7276
2 жыл бұрын
@@shekhekhandereizer559 Kabisa
@mdududebst89335 жыл бұрын
Wakristo gani wazembe hawajui kujenga hoja kabisa
@zaherafrancis755 жыл бұрын
mazing inchallah wewe na amza mutakutana wahala moja
@umayyaali38488 жыл бұрын
amin alikua mwovu
@omaryzubery18095 жыл бұрын
Jina jitambue
@rashidshamte3083 Жыл бұрын
Shekh mazinge wape dawa hao watapona tu
@allyissa43265 жыл бұрын
Uyu nisimbaaaaa tu mazinge
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Nyinyi mnaabudu binadamu mwenzenu...salaala kwani hata akili hamtumii...alomzaa Yesu aliumbwa nanani? Yesu alizaliwa dunia ilikuwa IPO tayari sasa yesu aliumba vp mbingu na ardhi....
@mwanaimaabdallah78255 жыл бұрын
Hahaha hawa bhana
@nasraalobaidani31946 жыл бұрын
waroho wakula kharam tu hawan lolot
@stanleyoruta34635 жыл бұрын
Rudi katika kutoka 10, na utaona ni mkate gani unaosemwa, mkate usiotiwa chaju , shairi ndio inayotengeza chaju, kwa hivyo aiwezi kutiwa katika huu mkate, Wanaofanya hayo ni wakatholiki tu.
Пікірлер: 234
Mazinge Allah akupe kila la kheri uzidi kuwaelimisha wakristo waliopotea.Nami nilitoroka huko kwa sababu hamna dini kule
Huu muhadhara ulikuwa mkali mno Maa Shaa Allah. Allah awape umri mrefu wenye siha njema masheikh wetu.
asante sana sheikh wape mpaka waelewe vtu wanavyofanya kwa udhalili wanakula mpaka mashonde
Saide Djumbe Mansha allah Professa Mazinge endelea kuasilimu wskristo,wajue dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu ambayo ni uislamu.
@khadijamohammedsheheasemak1334
7 жыл бұрын
naao waloamini wa kuekwa hapo wote majnuni makafirii ayoooo mmelaanika
@salimaljahwari1
6 жыл бұрын
Khadija Mohammed Shehe asema kweli ن‘ঃচলয। য ষোল য। ?যেমন, সলিল।
mungu akujalie kila laheri mazinge hakika pepo ya Allah mungu akupatie inshaallh
aslmalkm ndugu Waislam ? S.A.W. hawa wakrsto hawana Oja! Inshaallah Mungu hawapatie fahamu za kuelewa hili waweze Ku slimu wawe waislm!!!.......
Mungu..akuwekee mazinge inshaallah na kujalie pepo ya Rabbi
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Munira Yusra aaamin
@user-fw7yr7yo2x
5 жыл бұрын
Amin
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
Aamin yaarab
Mwenyez mungu akueke sheikh uwe na afya njema kila siku uwape darsa awo wagonjwa
Allah akupe umri uzidi kuelimisha jamii
Yaani Wakristo Hata Kuuliza Maswali Hawajuwi Masikini Ya Mungu.
mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah allah akujalie kila kher Katika maisha yako inshallah umeipigania dini kweli kweli sio Hao wasani waislam ndo wanazid kuongeza ushetani na kuharibu dunia nawatoto wa Zina ndo wameja sasa hivi alafu shida zitaacha kuja
Jamani Mungu gani anaitwa Yesu...Allah Jina linautisho wacheni mchezo nyinyi Yesu Hana hata sifa za ungu ana sifa za utume...ISSA aleih ssalaamu...Yesu alikula samaki Sifa zaungu Hana kabisa...Yesu anaweza kusimamisha mbingu na ardhi..nyie mnamchezo Yesu atoe usiku aregeshe mchana nyie mnacheza Nyinyi mnaabudu binadamu mwenzenu...Yesu ni mtume sio Mungu eleweni Bana...
@said1780
2 жыл бұрын
Wanacheza na mungu
@AmiduNzokira
4 ай бұрын
0
Hawa Wachungaji wakiwa wanaongea unaweza kuona wako sawa....kumbe wanapoteza sana Watu...!! Maandiko hawajui....!...Maashallah Mazinge..!...ALLAH Akuweke vyema
mashaallah wpe elimu hao sheikh wangu mpaka waelewe mungu akupe maisha marefu
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
Aamin yaarab
Shekhe mazinge mwenyezmungu akupenguvu uzidi kuwaweka sawa inshaallah
@ceciliasianoi2437
9 ай бұрын
Hhmnnh
ya alhaa mjalie Maisha mema mazinge wetu amin
@said1780
2 жыл бұрын
Amin
MashaAllah ALLAH akuongoze shekh wetu
Sheikh wetu Mungu Akubaliki
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Aamin
mashaallah mwenyezi mungu akufanyie wepesi wa kila jambo la kher shekhe
Mazinge Nakukubali Sana.
hahahaaa Mazinge nakupenda sana kwa ajili ya Allah
@justardmutarrmwa4452
2 жыл бұрын
Allah ni nani?
professor Mazinge ALLAH akubariki
shekhe mazinge wekiboko allah atakuripa unafanya kazi ngumu wakristo sijuwi hakirizao zinakaasehemugani!!
waislamu Mazinge yuko juu jamani hahaha tumswalieni mtume.
@salmanmahamed6620
5 жыл бұрын
S a w
@qurannimwongozo1895
5 жыл бұрын
Mazinge wafundishe hao maana wote ni mwezi mchanga hawjui kitu
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
Allahumma swali ala' Muhammad wa ala' alihi waswahabihi wasalim
nakupend ustadh mazing ubarikiw daima kwa kz unazofny makafir watabk naukafir wk
Allah akuzdshie miak ming inn shaa Allah,uzd ktoa daawa kwa makafr
Nawapenda kwa ajil ya Allah,Said unanibambaga sana
@lailatmrsrajaimustapha1384
5 жыл бұрын
wakirsto mbona sion kome nt mnajifanya mnajua mclimu msamehewa mazambi muwe weupe
Wakristo Wanapata Elimu Kubwa Sana Kupitia Waislamu.
@actionboori6581
2 жыл бұрын
Hao ni wale wakristu wako kwa akili yako
Masha Allah masheikh wetu mko vizuri Allah awape nguvu, Mazinge na Saidi Kinyogoli
Dooh watu tunahitajika Sanaa kujifunza dini kwa undani zaidi tujifunze vitabu vya mungu kwa undani na kuvielewa zaidi
Mashallahu Allah bless you Aamiin
Waone waislamu wanaabudu Allah nahawamuoni Ila wakristo munaabudu Yesu wenye alizaliwa Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa Mungu Hana familia wala Hana aloshirikiana nae katika kuumba Dunia...Allahu Akbar....Mungu anifishe nikiwa nimuisilamu...Aaaaameen
Mazinge wew ndo Staring wao!!!i have no doubt on you!!!
@ismailhersi1317
2 жыл бұрын
Mnafaya kazi nZuri Sana lakini MSIWAITE kuwaambia WAPUMBAVU KWA sababu Badala ya kuupenda Uislamu watauchukia
mazing ALLAH akubarik baba
daah shekh wetu mungu akubariki hao wanakupotezeaa mda t
@yahyajumaan3393
5 жыл бұрын
Barakallahu feek Mr mazinge
allah akupe umri uzid kuwafungua akili zao .
@said1780
2 жыл бұрын
Amin
Mazinge sule kinyogoli Imani petro Maulana piganieni dini yetu
mazinge Allah azidi kukupa afya njema na umri mrefu uzidi kututoa taka maskioni maana mengine tulikua hatuyajui.
@kibibimwanamvuamohammadmoh9823
8 жыл бұрын
Allahumma Aamiyn
@kibibimwanamvuamohammadmoh9823
8 жыл бұрын
Allahumma Aamiyn
@marywairimu8018
7 жыл бұрын
God bless u Mazige
God bless you mazinge
Hiyo ishu ya idi Amin imepandikizwa ila hata ss wabongo wanajeshi wetu walipigana Vita ila historia haipotei,vijana wengi tunajua ukweli Sasa hv na sababu tunazijua,hao hao waliotugombanisha ndio wanatuambia ukweli..(Europe)
@haphidhjafary3411
2 жыл бұрын
Mung akupemaish marefu ustadh mazinge
Allah akulinde Shekh wetu Habu mazinge
allah amuhifadhi mpenzi wetu mazinge makafiri kodoeni kodoooo kodoooo kodooiogoooo ahaaa munavitimbi mikafiri nyinyi apa dokta mazinge tibu mpaka iyi miaka 2017 ludia iyi mada ya doz zao ahaa haaaa
@khadijamohammedsheheasemak1334
7 жыл бұрын
kweli hakuna jipya makafiri
@abeidabbas9398
6 жыл бұрын
b nassoro kiyamile amiin inshaallah
@shamsashamsa9548
5 жыл бұрын
Duuuh mm Nipo kaka
Masha allah
I like mazinge very much
@saidmunye8626
7 жыл бұрын
me 2
@josephmayunga4743
7 жыл бұрын
tatizo la waislamu wanamuengelea mungu Kama binadamu. hawana elimu ya biblia
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
@@josephmayunga4743 Kati yetu sisi na ninyi wanaemuelewa Mungu kama binadamu ni nani! Kwenye Quran tunaamini hakuna wa kufanana na Mungu, lakini ninyi kwenye biblia yenu mnaitaidi kuwa mfano huu tulioumbiwa sisi binadamu ni mfano wa Mungu! Je una hoja??
asalam aleykum sheikhe habib mazinge sisi tupo bujumbura tumekukumbuka
Alhamdiliah mashaallah
mmewakosha sana kumbe wanakula mavi mmmmmmm uchafu bhana😎
@christinakayela1161
2 жыл бұрын
Kuiona mbingu ni kazi Sasa mnaojiona mnamuomba Mungu wa kweli Tena mnawatukana wenzenu Sasa kumwamini kwenu Mungu nakujiona nyie wa maana kuko wapi? Hizo nikampeni za shetani hiyo mijadara yao haina hata maana wanapoteza muda wao bure2 harafu ni watu wazima utafikiri hawanakazi yakufanya hakuna binadamu Anae mjua Mungu kiundani na hakuna dini ya kweli Bali niimani yako itakayo kuokoa ukijaji Sana dini Wala huwezi ukasali sio uisilam Wala ukristo maana ukichunguza Sana uisilamu nao umejaa uchawi wakutosha hao mashehe wanasiri zakutosha wengine mtabaki kusema uisilam ni dini ya kweli Sasa huwa najiuliza mnae mwamini ni Mungu yupi? Wakati hiyo dini inamambo ya ajabu Sana ukimchunguza Sana nyuki huwezi kulamba hata asali yake Amini unacho kiamini acha kutukana dini za wenzenu maana hata dini yako huijui kiundani zaidi mwogopeni Mungu wako
Daaaahh huyu mazinge ni shida
mdahalo mzuri
MashaaAllah MashaaAllah kinyogori hapa bado mdogo
yesu si mkristo lakini kwanini wakristo nawaonea huruma kwasababu wachungaji wanawapoteza na sadaka zenu wanakula wachungaji
@hanselricky6054
7 жыл бұрын
wachungaji acheni kuwapoteza watu na kula sadaka zao
@hanselricky6054
7 жыл бұрын
mnapata dhambi na mnaelekea kwenda motoni
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Hansel Ricky huruma kweli yaani sijui hawaelewi wapi
@africandreamchaser8676
5 жыл бұрын
nyie ndio hamuelewi mmefungwa
Hii ni dawa kwa ulimwengu mzima na Allah atutulinde na makafiri waotoshaji
Mashallah
Yaap wape ukweli wa mambo
Amini alipigwa vita na Julias kwa uislamu wake. Na muungano wa Visiwani na Tanganyika umelazimishwa ili kupunguza nguvu za waislamu ambao ni wengi visiwani huko.
بارك الله فيك يا شيخ
@mwanahija968
11 ай бұрын
Mashaallah
Mazinge ni mwalimu kweli 😂😂😂
Mashaallah
Maa shaa allah
Masha' allah
Manshallah Allah akuripe kher inshallah
Inshallah mazinge
Maisha marefu mazinge we love you
Mashallah tabarakallah
msomaji wa Mazinge Ana nipunga Sana'a jamaa ajitia uchizi asiokuanayo hahah kumnyooshaa kafiri yataka nafasi.
ooooh ndo maana hawana fikra kumbe wanakula mavi?
Kunatofauti ya kula na mkufuga, mwalimu wa kislamu unataka usikilizwe lakini utaki kusikiliza.
Mazinge hoyeeeeeee
JESUS IS A WAY
Ahsante kijogoli
Yesu alimwambia petro juu ya mwamba nitalijenga kanisa
@abdulbasith3556
5 жыл бұрын
Je alilijenga?
hahahaaaaaa at mwili wa yesu mafi makafuuuuuu......waaaaa allahu Akbar ,... mazinge subhana Allah aenderee kukurinda
@fatmaally714
7 жыл бұрын
Allah is not allah
jaman daaah ngamia Sii halam pls
Mazinge sina Shaka nawe kabisaaa,yani Hawa jamaa walikuona wanahisi haja mbili mbili wwe kidume cha Allah,Allah akulipe firdaus Amiin
Daah Safi
Wakristo muache kula mavi makavu
Kwanini wanakua wakaidi wakati mambo yote wanayafahamu watapata shida kesho kiama hao wakristo
Muhadhara rakhaaaaaaaaaa
hahahahahaaaaa uuuuuuuuiiiiiii mazinge na msomaji wake loooh...chochote kilucho hai duniani chaliwa kwahio hata mamaako wamla daaah mwaniacha hoi..
@sperambuya4610
5 жыл бұрын
Saumu Mohammad hawa watu jamani wanachochea uadui ndani ya mioyo ya watu, sijui serikali iko wap isikemee haya mambo, haswaa, waislam wanatamani sana vita vya kidini, kwakweli sio vizuri kujadili vitu vya kiroho ambavyo kila mmoja wetu, anamuamini mungu mmoja, huu nauita upuuuzi mtupu
Yan dah nawaonea huruma sana mnaosema. Mazinge mashallah dah eti mzinge nn cjuu looh hakyamungu kweli asante mungu kwanifungulia mema na kuwaficha hawa wajinga mambo mengi kwa maana yako ww unayejua sirini najivunia kuwa mkristo tena mkatoliki asante yesu
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Pole sana dr elimu ni bure hauja chelewa yastahili uwe mwanfalifu usijiache hivyo ukazidi kupotea
@anasiatajovin203
5 жыл бұрын
@@mgeniali1768 shule unatikwa uende wew mjinga me co mjinga mwehu wew
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Asanta mama pongezi endelea kuwa mkatoliki mama waislamu hawalazimishi Mtu kuingia Kwa dini ni haki yako kuwa mkatoliki.....Mungu anahekma zake kuumba Pepo na Moto...
nakupenda sanakinyo gori
Nani yuko hapa leo muhibiri ni noma mno
😂😂😂😂 huyu msheheshaji wa mwisho yuko wapi. Nimependa anavo sema unakula unaendelea kuwa mzembe mzembe
Hahahahaha we mazinge atari sana ati na mama ako pia anatembea umewai kumla....?
hahaha mbavu zangu ety anajitia uchizi asokuanao
kumbe mikate ya kanisani ina mavi duh!
Mathew 4-23
kwaivio mnaamini yesu
@shekhekhandereizer559
5 жыл бұрын
atu mjui yesu tuna mjua nabii issa yesu niwakwenu kanisani uko ww vp
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
Ni nabi wa Mungu wala simwana wa Mungu
@paqchatygaga7276
2 жыл бұрын
@@shekhekhandereizer559 Kabisa
Wakristo gani wazembe hawajui kujenga hoja kabisa
mazing inchallah wewe na amza mutakutana wahala moja
amin alikua mwovu
Jina jitambue
Shekh mazinge wape dawa hao watapona tu
Uyu nisimbaaaaa tu mazinge
Nyinyi mnaabudu binadamu mwenzenu...salaala kwani hata akili hamtumii...alomzaa Yesu aliumbwa nanani? Yesu alizaliwa dunia ilikuwa IPO tayari sasa yesu aliumba vp mbingu na ardhi....
Hahaha hawa bhana
waroho wakula kharam tu hawan lolot
Rudi katika kutoka 10, na utaona ni mkate gani unaosemwa, mkate usiotiwa chaju , shairi ndio inayotengeza chaju, kwa hivyo aiwezi kutiwa katika huu mkate, Wanaofanya hayo ni wakatholiki tu.
@analyticalguru5851
2 жыл бұрын
Dini yenyu Haina umoja
Mazinge analazimisha kushinda kwanguvu nawala siyo kwapointi Hana lolote niujanjaujanja tu.
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
Ni ujanja vipi wakati haongei kwa maneno yake bali kwa ushahidi kutoka humo humo kwenye biblia yenu/zenu?
this mahn reasons like a fool.... honestly mwenye akili atakubaliana na mm
@user-fm9gr6jb6e
7 жыл бұрын
Which man? Do you mean the dude who was asking a muslim scholar why do christians build many churches yet alone he is christian?
@anasiatajovin203
5 жыл бұрын
@@user-fm9gr6jb6e ni ww pamoja na mazinge ndio ninyi wa pumbavu
@iddmussa224
5 жыл бұрын
no he reason with proof and facts
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
@@iddmussa224 Mungu awasaidie kwani mpotevu uwa ana kishipa