MDAHALO WA SONGEA...HABIB MAZINGE, IBRAHIM BAKONZI & SAID KINYOGOLI (2)

Akasha Daawah Channel

Пікірлер: 150

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed33813 жыл бұрын

    Uislam ni dini ya Haki wallah najivunia kuwa Muislam ...Yaa Rabi tyujaalie mwisho mwema na tufe tukiw waislam inshaAllah🙏😍

  • @chidistar1944
    @chidistar19444 жыл бұрын

    Hudhuni kwa waislam kumuona sheikh Mazinge anazeeka inshaallah mwenyezi mungu amjaalie pepoo.

  • @zeenathabdulaziz5971
    @zeenathabdulaziz59717 жыл бұрын

    ALLAH,awazidishie mashekhe wangu!ni neema kua ktk dini hii,maana kila kitu kipo wazi nashangaa kwanini makafiri si waelewa

  • @AliAli-kg9ki
    @AliAli-kg9ki6 жыл бұрын

    Masha allah habib mazinge kiboko wa makafir baraka allahu fiq

  • @vimkhamis2794
    @vimkhamis279410 ай бұрын

    Allah awape ulizi wake wa kutosha Mashekhe wetu na Awabariki sana.

  • @nak3477
    @nak34774 жыл бұрын

    Huzun kwa waisalam..shekhe mazjnge kashazeeka...allah amlipe kheri kwa kaz ngumu anayofanya...

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @ashamasudi9441
    @ashamasudi94417 жыл бұрын

    MashaAllah Allah awape umri zaidi mashekhe wetu tuko mbali lakini nyoyo zetu zafurahika MashaAllah

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha7567 жыл бұрын

    wallah mi nampenda sana huyu sheikh kinyogoli ivi ana wake wangapi Akasha plz nijibu

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823

    @kibibimwanamvuamohammadmoh9823

    7 жыл бұрын

    Ma shaa Allah

  • @mansoorsadiq5721

    @mansoorsadiq5721

    6 жыл бұрын

    Viliunanyopingwa na jua uanjani basi namuomba allah siku ya kiama akakufinike na kivulichake siku ambayo hakutakua nakivuli ispokua cha allah amiin yaraby na pamoja na waislam wakweli

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    @@mansoorsadiq5721 Amiin

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani31945 жыл бұрын

    WaLLAH naupend uislam nampend ALLAH ndomung pekee ukristo niukafir nabiashar tu

  • @mansoorsadiq5721
    @mansoorsadiq57216 жыл бұрын

    Allah akuhifathi habib mazinge nakupenda kwaajili ya allah Allah akujalieufekwenye kazihio yakueneza dini ya allah

  • @abdallahamad6596

    @abdallahamad6596

    6 жыл бұрын

    Mansoor Sadiq etyfcjih

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48243 жыл бұрын

    Mazinge umekua babu Masha"Allah nakupenda sheikh wangu

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari5457 жыл бұрын

    mashallah mola awazidishie mzidi kuwalingania watu dini ya ALLAH subhana wataalah

  • @bosslady1772
    @bosslady17724 жыл бұрын

    Gonga like hapa kama unapenda midahalo kama mimi

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
    @kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын

    Ma shaa Allah....masheikh wangu nawapenda kwa ajili ya Allah subhaanahu wataa'alaa ,naye akulipeni khery kwa kazi mnayo ifanya

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa59313 жыл бұрын

    Nashukulu mungu kuwa islam

  • @jamalathman6219
    @jamalathman62193 жыл бұрын

    Mashallah shukran masheikh wetu kwa kazi hii ngumu ya da'waa allah awalipe kila mazuri, uisilamu raha na nidini ya haki najivunia kuzaliwa muisilamu

  • @maryammakhumo2149
    @maryammakhumo21497 жыл бұрын

    mwenyezi mungu awajalie kila kheri na awaepushe na shari na awape umri mrefu wenye sheri na baraka mzidi kuekimisha watu katika njia sahihi

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @khuwailatnassor8521
    @khuwailatnassor85217 жыл бұрын

    mm naona raha sana kuona hii midahalo ya dini,wallahi uislamu ni dini ya kweli

  • @sulemanabbas9955

    @sulemanabbas9955

    5 жыл бұрын

    Mashallah

  • @abdulihafidhali5379

    @abdulihafidhali5379

    4 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @jeanmjimmy

    @jeanmjimmy

    3 жыл бұрын

    Endelea kujidanganya.

  • @athumanibakary6029

    @athumanibakary6029

    3 жыл бұрын

    Namshukulumungu kwakuniumba mwisilam uisilam ndio din ya mungu

  • @fineboyAfrica

    @fineboyAfrica

    3 жыл бұрын

    @@jeanmjimmy ww ndy unajidanganya mbwa ww na moto ni wenu kabisa Uislamu ndy Dini ya Haki uo Ukiristo ni ubabaishaji na ujinga tu hamn kitu

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85116 жыл бұрын

    Mashallah mashallah mabrook wallahi masheikh Allah atawalipeni kwakuitanza dini InshaAllah ameen kwasote wote waje Dini na imani yakiislam inshallah ameen 1000x

  • @user-vy8jt2pd2e
    @user-vy8jt2pd2e4 ай бұрын

    Mazing pole sana unazan mungu anapenda okoka ubatizw

  • @mussamahmouud8944
    @mussamahmouud89444 жыл бұрын

    Allah sisi waislaam tumekuamin tusamehe makosayetu ya Allah

  • @hilmialiomar1983

    @hilmialiomar1983

    3 жыл бұрын

    Mashallah sheikh mazinge na wenzio kwa kazi ya kheir munayoifanya(dawah),Allah atakujalieni firdous inshallah.

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @ramadhanidillu9664
    @ramadhanidillu96643 жыл бұрын

    Masha Allah Allah awazidishie maarifa ya kutufundisha

  • @princeomar3492
    @princeomar34927 жыл бұрын

    mashaallha Allhla awajaalie mashkhe wetu wa kislam

  • @isumailibalongo4890

    @isumailibalongo4890

    6 жыл бұрын

    mungu awape nguvu wahadhiri wetu

  • @swaleheharuna7451
    @swaleheharuna74514 жыл бұрын

    Allah awalipe kila lakher

  • @alibell5246
    @alibell52463 жыл бұрын

    Alhamdullah najivunia kua muislam

  • @najmakhamis8052
    @najmakhamis80523 жыл бұрын

    Najikuta namaliza mb naingiza tena kwa maneno matam ya uwislam najijunia kua muislm na asio kua muislm akaribu katika din ya kwly ambayo itaenda kumtetea isha allah

  • @zaharanituwano6615
    @zaharanituwano66157 жыл бұрын

    maasha Allah shkh mazinge Allah akuingize peponi

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @halimanassor7309
    @halimanassor73093 жыл бұрын

    Mashallah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23433 жыл бұрын

    Masha Allah Mazinge nakupenda buree

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe42743 жыл бұрын

    Nawashangaaa wakristo jaamani kubishana namungu basi Allah mkubwa mno

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo12433 жыл бұрын

    Hiki kifaa kipya kimetengenezeka vizuri: Shekh mazinge salamu zako.

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y4 жыл бұрын

    Najivunia kuwa mwislam

  • @abdishakurmohamed9394
    @abdishakurmohamed93944 жыл бұрын

    masha Allah mashekhe wetu

  • @ashababy1814
    @ashababy18147 жыл бұрын

    Asalamwalakum awa ma shiekh wanafundish koroani.tunaomba watufundish dini yetu.kwamasimu.

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha75057 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @simbadume4318
    @simbadume43187 жыл бұрын

    Shukran masheikh

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba42317 жыл бұрын

    masha Allah

  • @mirajishentembo4962
    @mirajishentembo49624 жыл бұрын

    Safii mno

  • @fatumamohammed6130
    @fatumamohammed61303 жыл бұрын

    Mashaĺah

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe42743 жыл бұрын

    Shukuran baba mazinge basi sana tunapata somo kabisa

  • @swadaqtr1027
    @swadaqtr10272 жыл бұрын

    Mungu awalinde na hasad

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    mdahalo mzuri

  • @thethreekingstheawadh7979
    @thethreekingstheawadh79796 жыл бұрын

    Alhamdilillah we are Muslims

  • @asmaabdallah4055

    @asmaabdallah4055

    5 жыл бұрын

    Wakristo hawana kitu

  • @asmaabdallah4055

    @asmaabdallah4055

    5 жыл бұрын

    Yeso anasema sivyema kutukuwa cha kulala cha watoto kuwatupia mbwa haaaha hamna nafaasi kwa yeso

  • @kimwagarajabu2891
    @kimwagarajabu28917 жыл бұрын

    Hakika wakristo wote mmepotea, km mnabisha nyie endelea kubisha afu mtaona siku ya mwsho nn kinawakuta

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani31945 жыл бұрын

    mbarikiw sana mashekh wetu

  • @alimaalima6016
    @alimaalima60167 жыл бұрын

    masha allah ...wallah naipenda sana dini yetu

  • @ashababy1814
    @ashababy18147 жыл бұрын

    Sabab tuko mbal.ishallah

  • @habibhabiba.saleh.5590
    @habibhabiba.saleh.55904 жыл бұрын

    Mungu.awape.umri.mrefu

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi42185 жыл бұрын

    aslmalkm ndugu waislam? Yastarkafiru' Allahu,Ystrkfrr'Allahu,Ystfr'Allahu !!!.......

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko70014 жыл бұрын

    Dah yan mbon mnateseka mno kwann

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman85192 жыл бұрын

    Takbiiir

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    mdahalo mzufi

  • @ummyhawaaweis3867
    @ummyhawaaweis38675 жыл бұрын

    Waislam wallah tushukuru alhamdulillah

  • @SsAa-by2ty

    @SsAa-by2ty

    3 жыл бұрын

    Tackbir

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Alhamdulilah

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    @@SsAa-by2ty Allahu Akbar

  • @rabiawaziri3902

    @rabiawaziri3902

    3 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @makenakendi9014
    @makenakendi90142 жыл бұрын

    ALLAH BARIIK always my brothers

  • @alisengi4012
    @alisengi40124 жыл бұрын

    Maashallah

  • @faridaali6850
    @faridaali68505 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37153 жыл бұрын

    HUO SIONMDAHALO MNAONGEA NA WASUKUMA MIKOKOTENI

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru53683 жыл бұрын

    Yani Kaz ya waislam ni kuwanyoosha wakrsto na makfr katka njia saih lakn Hawa wakrsto na makafr weng wao wamekua na myoyo migumu Sana Sana kuelewa cjui kwann!? Na wale viongoz wao wanajua ukweli lakn Hawatak kusema ila mungu Alisha watambua kwa uroho wao viongoz wa makafr na wakrsto 50:6 yeremia

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya65193 жыл бұрын

    Mashaallah tabarak allah

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed34374 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @allymnimbo4304
    @allymnimbo43043 жыл бұрын

    Ninashida na namba ya yeyote anaefanya hiz kazi za daawa

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua75933 жыл бұрын

    ametorokea swali,eti mazinge mbaya kwa maswali.

  • @tabumpate9762
    @tabumpate97623 жыл бұрын

    Kaumeme nimekuona M/MUNGU nakuomba mlipe mema shekhe wetu

  • @hamisiramadhan104
    @hamisiramadhan1047 жыл бұрын

    mashaa allah

  • @swamabubakar8983

    @swamabubakar8983

    6 жыл бұрын

    maashallah mashekhe wetyu Allah awaongoze

  • @yusufubabayo9598

    @yusufubabayo9598

    5 жыл бұрын

    Swam Abubakar masha allah

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua75933 жыл бұрын

    muhuli wa mungu ni nini,mazinge usindanganye????

  • @JumOnyancha
    @JumOnyancha3 ай бұрын

    Uisilamu ni huwongo mtupu

  • @janek9103
    @janek91036 жыл бұрын

    Nifuata Yesu hadi mwisho

  • @salumdaluga6976

    @salumdaluga6976

    4 жыл бұрын

    Umekula khasara ww

  • @janek9103

    @janek9103

    4 жыл бұрын

    @@salumdaluga6976 ni sawa

  • @fereskenya9923

    @fereskenya9923

    3 жыл бұрын

    Pamoja

  • @maidahmusa1866

    @maidahmusa1866

    3 жыл бұрын

    Atafka kuwa kataa yesu hamtoaamin

  • @bashitemakonda1540
    @bashitemakonda15407 жыл бұрын

    yakwanza ikowapi

  • @ujanjamedia7813
    @ujanjamedia78134 жыл бұрын

    Editor unanini wew

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha7567 жыл бұрын

    mwendelezo plz

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua75933 жыл бұрын

    jibu swali, hoja nyiiiiingi,kwani jibu linakaaaje????

  • @myself4128
    @myself41285 жыл бұрын

    Waislamu watabakia kukariri sababu ndio maana ya quraan(kisomo cha kukariri) hawataielewa biblia mpaka mwisho wa dunia!!! Sababu hawana roho mtakatifu!! Na majini hayawezi kuwasaidia kumuelewa Mungu!!!

  • @AKASHA.P

    @AKASHA.P

    5 жыл бұрын

    Bibilia ipi?

  • @khalfanhamisi4218

    @khalfanhamisi4218

    5 жыл бұрын

    C waulizwa na Sheikh wetu bblia IPI?

  • @halimasssomar8793

    @halimasssomar8793

    4 жыл бұрын

    @@AKASHA.P amuongoze uyo ..ashapotea

  • @maryamsalim1303

    @maryamsalim1303

    3 жыл бұрын

    Nyinyi wakristo ndo hamuijui biblia yenu hyo mnayoijua nyiny ni manen ya watu mnaowaita viongoz wenu

  • @maidahmusa1866

    @maidahmusa1866

    3 жыл бұрын

    Anatakiwa kukombolewa huyu , anatia huruma

  • @rbagha5280
    @rbagha52802 жыл бұрын

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. Wwe have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven. Peace! Ray from Canada

  • @samuelngogo5572
    @samuelngogo55722 жыл бұрын

    Wacha uongo Mazinge wakati Mohamed anasema anaiweka roho yake mikononi mwana wa Mariam kiama ikisimama

  • @fatumakirowa4507
    @fatumakirowa45073 жыл бұрын

    Wacheni kupotea uache uislam urodi kwa ukafri mola akunusuru kaka

  • @user-vy8jt2pd2e
    @user-vy8jt2pd2e4 ай бұрын

    Apana naupinga uislam mm Wala haitatokea kuuamin upotevu wenu wislm nyie

  • @melithanyati1735
    @melithanyati17354 жыл бұрын

    Mazinge kazidishisha usanii hawezi kusimama katika hoja

  • @thaniabas5114

    @thaniabas5114

    3 жыл бұрын

    Azinge na mwamposa nan msanii???! jib nimwamposa wachen kupotea

  • @mgenisaid6544
    @mgenisaid65443 жыл бұрын

    Mzeeyusfuhoi

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy4 жыл бұрын

    Wakristo sikilizeni!!! Yesu alisema siku za mwisho kutakuwa na manabii wauongo na Wapinga Kristo. sikiliza sasa kwa umakini baada ya Yesu kuondoka ikaja Roman Catholic nabii wauongo na Ueslamu mpinga Kristo.

  • @tatukhatibu317

    @tatukhatibu317

    4 жыл бұрын

    nenda uko wakristo waongo kama nini

  • @saidmgalula8471

    @saidmgalula8471

    4 жыл бұрын

    @@tatukhatibu317 watapata taabu hao siku ya mwisho Allah atujaalie mwisho ulio mwema waislam wote duniani.

  • @maryamsalim1303

    @maryamsalim1303

    3 жыл бұрын

    Hata nabii issa mnaemuita yesu alisema juu ya ujio wa mtume muhammad (s.a.w) na ndo mtume wa mwisho

  • @maryamsalim1303

    @maryamsalim1303

    3 жыл бұрын

    Waislam tunamuamin nabii issa kma mtume lakn si kma mungu mungu ni mmoja tu ambae ni Allah (s.w) ambae hakuzaaa wala hakuzaliwa

  • @jeanmjimmy

    @jeanmjimmy

    3 жыл бұрын

    @@maryamsalim1303 Endelea kujidanganya.

  • @frankdarwiny9707
    @frankdarwiny97075 жыл бұрын

    mnabishana na majini wakristo mnakazi shitukeni

  • @thaniabas5114

    @thaniabas5114

    3 жыл бұрын

    wewe kafiri nn?

  • @kimanimuikamba4714
    @kimanimuikamba47144 жыл бұрын

    Mazinge ameshindwa na hoja ...anapigisha takbir badala ya kuangazia hoja

  • @hadijamsangi8230

    @hadijamsangi8230

    3 жыл бұрын

    Mashaallah,m/mungu awape umri mrefu waweze kuendelea kutoa elimu

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima20474 жыл бұрын

    Mashallah

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y4 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1256 жыл бұрын

    Muhammad mwenyewe anadai hajui atakalo fanywa yeye siku mwisho wala hajui watalo fanywa wanaomfwata alafu muingie peponi izo ndoto za hadithi za uongo za mtume wenu.....

  • @ramadhanmussa6318

    @ramadhanmussa6318

    5 жыл бұрын

    Toa andiko

  • @alwattanihaji9838

    @alwattanihaji9838

    4 жыл бұрын

    Wee kasome wewe mwenyewe biblia ya 'mwanzo', sio kusomewa na mchungaji anavotaka yeye..

  • @maryamsalim1303

    @maryamsalim1303

    3 жыл бұрын

    Nan kakwambia hajui soma vzr then ndo utoe hoja

  • @zuhulas1036

    @zuhulas1036

    3 жыл бұрын

    Pole.sana.na.upotofu.mlionao.wazahili

  • @yusfakhamis9243

    @yusfakhamis9243

    3 жыл бұрын

    Mtume Muhammad ataingia peponi na kila anayemuamini Allah na Mtume Muhammad

  • @stevenmanyotax3330
    @stevenmanyotax33304 жыл бұрын

    Mwaacha kusali uko mwaja bishana mungu c wakuekew vikao kama ivo wte mlioko apo mmepotea polen

  • @muharamimataula6978
    @muharamimataula69786 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1256 жыл бұрын

    Muhammad mwenyewe anadai hajui atakalo fanywa yeye siku mwisho wala hajui watalo fanywa wanaomfwata alafu muingie peponi izo ndoto za hadithi za uongo za mtume wenu.....

  • @halimasssomar8793

    @halimasssomar8793

    4 жыл бұрын

    Umepotea ww

  • @tamiah-zm4io

    @tamiah-zm4io

    4 жыл бұрын

    Unauthubitisho n unayoyasema??

  • @shemsiasalumu9200

    @shemsiasalumu9200

    4 жыл бұрын

    Umepotea kwa kweli

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Allah akuongoze ktk njia ya haki na Mtume muhammad hakuwa muongo na ahad zake si za uongo zinatoka kwa Allah mfalme wa wafalme na Yesu tunamjua kua ni mtume wa Allah au mayahud na manaswara wanaelekua kua mtume hakua muongo tafakar sasa