HATIMAE MCHUNGAJI ASILIMU** MUHUBIRI MWAIPOPO** AMPA NENO ZITO.
#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Пікірлер: 270
Maipopo nakupenda kwajili ya Allah mana nafurahi👌
Allah akubariki Ndugu yetu Mwaipopo na ndugu yetu Hashim. Allah awahifadhi na awanusuri. Kazi mnayoifanya ni kubwa sana
Masha Allah Hashim Samson karibu katika dini ya haki ya LAA ILLAHA ILA ALLAH MUHAMMAD RASULULLAH🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@hansmimo6076
Жыл бұрын
Allah akulipe jannah sheikh mwaipopo
Mashallah,sheik mwaipopo na sheikh Hashim,Allah awlpe firdaus,shekhe mpya Wallah Allah anapenda,akupe afya n Aman soma sana usaidie wakrsto waingie katka haki,tutakusaidia,,,,from kenya
Nilisema ntakuwa bega kwa bega na wewe tangu kipindi kile ulipo fichua uovu na kutangaza haki. Maa shaa Allah, Allah anakufanyia wepesi katika kila hatua. Allah azitu kukuongoza AAMIN
Mwaipopo Wallah unasema kwel kabisa yaan huku Zanzibar kwel mambo ya siasa yako mbele wanaweza wakajitoa muhamba kwa siasa ila si kwa dini dini wanaipuuuza hatuitendei haki tungependa sheikh mwaipopo uje Zanzibar yaaan utujuulishe mapema mm nitaacha yoote alimradi nionane na ww yaaan ww na wahadhiri wenzako mnafanya kazi kubwa sanaaaa Allah awalipe
Kwamakini mwenye akili ataona haki masha Allah
Wallahi nimetokwa na chozi la furaha mwaipopo Allah akuhifadhi dunian na akhera pia ust Hashim karibu Allah akuongoze ndugu yetu ktk iyman
Masha Allah Mola awajalie kila la kheri
Ambaye Mungu aliwaogoza akuna wakuwapiteza Sheikh Mwaipopo pongezi sana Allah akulipe kheiri kwa kazi kubwa unayeifanya
Shekhe kijana ana ongea kiakili sana yaaaani ana nyoosha maneno hadi damu ina ni sisimuka Inshallah Mungu amuongoze njia ya hakii
Takbiiiiiiiiiiir allahu akbar yarabby muongoze mjawalo katika diyahaki
Mash Allah. Ukweli daima hushinda. Sheikh anajua uhubiri kwa njia ya upole na ueleweshaji mzuri.
MaashaAllah mwaipopo endelea kufanya da'awa, na kuwaleta ndugu zetu kwenye dini ya hakki Nao ni Uislamu
Mashaallha takibiiri mwmyezimungu amuongoz naww sheh mwaipop allaha akuhifaz dunian naahela
Masha Allah Allah akuhifadhi sheikh wetu na ndugu yetu Hashimu karibu sana katika uislamu
Masha Allah, masha Allah, Allahu Akibaru, karibu Hashimu kwa NURU ya haki
hongera sana sheikh wetu.nimegundua wanaoingia kwenye uislamu ni wasomi.ALLAH AKBAR.
@aminadima5530
3 жыл бұрын
Fadhili upo
@fadhilikawambwa5159
2 жыл бұрын
@@aminadima5530 nipo dada yangu.
Alhamdulillaah Rabbil Aalamiyn Hashiim Mche Allaah Usiogope Walimwengu Muogope Allaah Pekee Karibu kilimanjaro usome dini ya haki
Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar ❤❤❤❤❤
shukrani Sana shekhe mwaipopo kwa kazi unayo ifanya
Hashim samson umeamua kumkubali mungu wa kweli ambae ni Allah hukujali ya dunia na inshaAllah mwenye enzi mungu hatokuwacha...mungu atakuongoza akupe ujasiri wa hali ya juu kabisa...usiogope uko ktk haki...Allah akuhifadhi.. amiin
@amnehmuhammad9474
2 жыл бұрын
Mashaallah
@rahmahussein4288
Жыл бұрын
Amiin, Allah atujalie mwisho mwema kwa sote
Fanya kazi ya Allah mwaipopo atakujaliia na atakupa stahiki yako
Mashallah nimelia kwa kufaraha. Karibu ktk Dini ya haki Dini ya Mwenyezi Mungu ndugu yetu.
Allah atawalipa Kheri
Idhajaa'a nasurullahi walfatihu (ila akheri l'aya) Subhanallah!
Allah wakbar karibu sana kwenye dini ya haki na kweli mungu akuongoze usome zaidi aaminy
Takbirrrrrrrrr......Allah akbar
Inshallah Allah amfanzie wepesi na amlinde na madhalim kwa maamuzi magumu aliyochukua
Mimi Ni muislamu lkn naona wivu kwa ndg yangu hashim, Ni msafi mno mungu ambariki Sana awe zaidi ya mwaipopo.
Mashaallah Allah akupe afyanjema shekh mwaipopo kwakuwaonyesha njia sahihi.
TAKBIR -TAKBIR -TAKBIR ALLAH AKBAR kijana kaiyona HAKI karibu ndugu yetu katika Dini ya HAKI ya KIISLAM
Karibu sana kaka katika dini ya haki,tunakupokea kwa mikono miwili!😃
Jina lako zuri Hasheem na wee mwenyewe mzuri na umeingia ktk dini nzuri MMungu akuwezeshe...
MashaAllah mungu akupe Afiaa Insha Allah
Hongera sana Mwaipopo Allah akulipe kheri,haya ndiyo mambo unayotakiwa kuwafahamisha na tija yake ipo wazi,ila Allah akusaidie uendelee hivi hivi badala ya kupoteza muda wako kumshambulia mtu mmoja mmoja. Barikiwa sana tena sana.
Allahu Akbar, MASHAALLAH
Dad😪 Inasisimua sn Mungu amuongoze na awaongoze wote Inshallah
TAKBRIIIIIIII MASHAA ALLAH BORA KIJANA UMEJUA UKWELI MUNGU AKUWEKE SHEKHE MWAIPOPO
Maashaa Allah Tabarakallah..
Takbiiiiiiir.......Allah Akbar
Ni kweli Sheikh Mwaipopo, ndugu zetu wengi wa Zanzibar wanavaa suruali vipensi, wanafuga manywele, wanalewa, wanazini na wala hawambiliki mila potofu zimetuganda hasa siasa na imefika wakati hata iyo dini tunaitia katika siasa ila ukweli uchamungu umepungua sana vijana wanapenda anasa kuliko dini. Inshallah Mungu atusaidie sisi na jamaa zetu. Amyn
Tunakutakia kheri ya mwenyezi mungu.
MashaAllah kijana usiogope law ama za watu mtegeme Allah atakuongoza hapa duniani na kesho Akhera
Hongera mdogo wangu hashimu kwa juhudi Yako ya kutafuta elimu ya alah
Mashaalah hashimu karibu katika dini ya kweli pia uisome angalao
🙏🏻🙏🏻 mungu azidi kukuletea wepesi shekh
mwenyezi mungu awoneshe haki azaririshe ukafiri
Mashallah baraka llahu fih
Ma shaa Allah Allah amjaalie wepesi in shaa Allah amjaalie matendo mema na Allah amridhie na ampe ushindi mkubwa.
Maa shaa Allah Allah akubariq na akusimamie ktk dini ya kaqi
Allah amuhifadhi amuongoze ktk njia iliyonyooka
Yesu kristo atakukana mbele ya Mungu Chizi wewe. Hakuna kitakachonitoa kwa Yesu. Hata mkamue mavi yote yatoke
Daaaaah 🍰❤Hadi raha mashAlaaaaah Hashim hongera
Maashaallah mungu awahifadhi mustadhi wetu
Takbir Allah Akbru
@missrukia9661
3 жыл бұрын
Allhaa huakbalu
Hongera sana hashim kua mwislam
Shekhe mungu azidi kukubariki
Mashalhaa mwenyezimungu amjalie ashimu alaha hamdulilhai labilha alhamini MUNGU mkubwa
Maashallah!
Masha"Allah
Mashaallah mashaallah🤗🤗❣
Mungu akuongoze innshalla
Maaashalla alhamdu lillah lladh hadaana lihaadha.
ALLAH Akuzidishie Ustadh Mwaipopo
Mungu akiongoza. Hashim. Uwuteteye. Uwisilam. Nidiniyahaki
Masha Allah
Huyu ustadh Mohd Mbwana ndie msimamizi wa kutoa mafunzo kwa walio silimu, yuwapatikana Mombasa/ kenya
Allah anasema huwaoni wanao mupenda Mwenyezimungu na mutumewake huwa wanawapenda wanao mupinga mwenyezimungu na mutume wake hawo ndiyo hanz ebuu Allah kundilamwenyezi Mungu hakika kundilamwenyez Mungu ndio mwenye mafanyikio
Allah akujaze kheri shekh wetu mwaipopo
Masha allah
You are well come to noor our br... may Allah bless you always Ameen Ameen Yarrab
Maa shaa Allah
Subhannallah, barakallahu fiih!!!
Mashaallah allah akuzidishie kheri
Mashallah
Mashaallsh mashaallsh ❤
Mashaallah
ManshaAllah
Mashallah tabarak rahman alhamdullillah
Allah Akibar walillah lihamdu
Mashaa Allah,,Tabaarak LLAH,, ALLAH,,Atuongoze sote
Maashallah' kheri
Mungu akuongoze wewe kijana
Hatal sana Nakupaten sana Naitwa SAID HUSSEIN KUTOKA ZANZIBAR
Nafurahi kuona rehema ya Mwenyezi mungu tanzania na kenya watu wanazidi kuingia katika dini yake
MashaAllah
Asalam alykm walamatullah walamatullah vp hali yko shekhe wetu mweipopo tuna uliza yule kijana aliesilimu maendeleo yake
Mashaallah karibu Sana katika din iliyo ya haki Allah akuongoze akujaalie uyafuate mafunzo yaliyokatika dini
Masha allah.🙏
Sheikh unafanyya kazi nzuri Sana, Allah akupe maisha marefu na yenye Nuru.
Mashallah, yanoongewa ni kweli wallah, Allah atujalie mwisho mwema
Allahu akbaru kabira
Mashalla.ustaz wanbiye wahelewe ukwell
Takbira. Allahu akibaru. Afukuzwe allahu
Allah akujaalie afya njema kaka Mwaipopo na akujaalie kila la kheri
Masha-allah 🙏
Karibu ndugu katika dini ya haki mungu akupe daraja ya juu hii inaenda kutimiza maneno ya mwenzimungu kwamba uislamu ndio dini itayokuja kutawala dunia na hii ni dalili kubwa asanteni masheh zangu kwa kazi nzuri
Masha'Allah Tabaraka'Allah
Mwenyezi mungu amtangulie in shaa allah