INJILI: MZEE WA UPAKO AJA NA MAPYA TENA. JE UNAKUBALIANA NA MAWAZO YAKE? ENDELEA KUTUFUATILIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 16
@mohamedally121Ай бұрын
Wewe nae ni mpuuzi kweli, yesu angekuw mungu lazima kungekuwepo andiko la wazi kabisa, sasa njia ndo Mungu?? Naamza kumuelewa mzee
@NasekileAnthony25 күн бұрын
Inawezekanaje. kuwa yesu kuwa mwana na kuwa baba wakati ni mtoto mzee waupako hupo sahihi nawaomba sisi watu tusome vitabu vya bibilia
@desaumwaweza2 ай бұрын
Good jobu
@anthonyassenga2365
Ай бұрын
Thanks
@anthonyassenga2365
Ай бұрын
🙏🙏
@jastinmkoba2 ай бұрын
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤤
@anthonyassenga2365
Ай бұрын
🙏🙏🙏
@GodfreyMonzo12 күн бұрын
Hao wachache tunaomuunga mkono mzee wa upako tunamuwakilisha nuhu wakati wa ghalika
@bumijamshana1045Ай бұрын
UNAWEZA KUANZA VIZURI ILA UKAMALIZA VIBAYA HII NI HATARI KUBWA KWA LUSEKELO
@AugustinPatrick-gt8ex
Ай бұрын
🤝🤝🤝
@GodfreyMonzo13 күн бұрын
Mungu ni yeye yule jana leo na hata Milèle Utatu mtakatifu, kwa lugha rahisi ni uzihirisho wa mungu kwa wanadamu, uzihirisho huo uko katika nyakati kuu tatu, wakati wa Adam, Abraham, nuhu musa mpaka kufikia sulemani, mungu aliongea moja kwa moja na wanadamu, mfumo huu wa mawasiliano ya mungu kwa wanadamu ulipungua na hata Kupotea kabisa kutokana na machukizo ya wanadamu mbele ya uso wa mungu, uasi ukawa mkubwa, Mungu katika asili yake ya huruma na upendo akaamua kujizihirisha tena kwa wanadamu kupitia yesu kristo aliyemuita mwana ambaye sifa na ukuu wa mungu ulijizihirisha kupitia maisha yake, wakati wa yesu watu waliuona ukuu wa mungu kupitia kristo yesu na kupitia yeye watu waliponywa na kubarikiwa, Yesu alipokaribia kuondoka duniani aliwaahidi wanafunzii wake hatawaa wakiwa bali atawaletea msaidizi wa kuwaongoza ambaye ni roho mtakatifu, ambapo kupitia roho mtakatifu kizazi cha sasa tumeendelea kuuona uwepo wa mungu katika maisha yetu na kupata nafasi ya kusema mbele za bwana mungu watu. Kwa ujumla Mungu baba,, Mungu mwana na Roho mtakatifu ni nyakati kuu tatu ambazo mungu alijizihirisha kwa wanadamu. Hivyo Mungu ni yeye yule jana, leo na hata milele....Amen
@AugustinPatrick-gt8ex
13 күн бұрын
@@GodfreyMonzo Amina
@BensonKaminyogheАй бұрын
Ninabii wa uongo
@AugustinPatrick-gt8ex
Ай бұрын
🏃🏃🏃
@anthonyassenga2365Ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/l5t4m9V8aMKXpZM.html Mungu awabariki watu wa mungu kwa kufuatilia watumishi wa mungu karibuni pia muendelee kujifunza neno la mungu
Пікірлер: 16
Wewe nae ni mpuuzi kweli, yesu angekuw mungu lazima kungekuwepo andiko la wazi kabisa, sasa njia ndo Mungu?? Naamza kumuelewa mzee
Inawezekanaje. kuwa yesu kuwa mwana na kuwa baba wakati ni mtoto mzee waupako hupo sahihi nawaomba sisi watu tusome vitabu vya bibilia
Good jobu
@anthonyassenga2365
Ай бұрын
Thanks
@anthonyassenga2365
Ай бұрын
🙏🙏
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤤
@anthonyassenga2365
Ай бұрын
🙏🙏🙏
Hao wachache tunaomuunga mkono mzee wa upako tunamuwakilisha nuhu wakati wa ghalika
UNAWEZA KUANZA VIZURI ILA UKAMALIZA VIBAYA HII NI HATARI KUBWA KWA LUSEKELO
@AugustinPatrick-gt8ex
Ай бұрын
🤝🤝🤝
Mungu ni yeye yule jana leo na hata Milèle Utatu mtakatifu, kwa lugha rahisi ni uzihirisho wa mungu kwa wanadamu, uzihirisho huo uko katika nyakati kuu tatu, wakati wa Adam, Abraham, nuhu musa mpaka kufikia sulemani, mungu aliongea moja kwa moja na wanadamu, mfumo huu wa mawasiliano ya mungu kwa wanadamu ulipungua na hata Kupotea kabisa kutokana na machukizo ya wanadamu mbele ya uso wa mungu, uasi ukawa mkubwa, Mungu katika asili yake ya huruma na upendo akaamua kujizihirisha tena kwa wanadamu kupitia yesu kristo aliyemuita mwana ambaye sifa na ukuu wa mungu ulijizihirisha kupitia maisha yake, wakati wa yesu watu waliuona ukuu wa mungu kupitia kristo yesu na kupitia yeye watu waliponywa na kubarikiwa, Yesu alipokaribia kuondoka duniani aliwaahidi wanafunzii wake hatawaa wakiwa bali atawaletea msaidizi wa kuwaongoza ambaye ni roho mtakatifu, ambapo kupitia roho mtakatifu kizazi cha sasa tumeendelea kuuona uwepo wa mungu katika maisha yetu na kupata nafasi ya kusema mbele za bwana mungu watu. Kwa ujumla Mungu baba,, Mungu mwana na Roho mtakatifu ni nyakati kuu tatu ambazo mungu alijizihirisha kwa wanadamu. Hivyo Mungu ni yeye yule jana, leo na hata milele....Amen
@AugustinPatrick-gt8ex
13 күн бұрын
@@GodfreyMonzo Amina
Ninabii wa uongo
@AugustinPatrick-gt8ex
Ай бұрын
🏃🏃🏃
kzread.info/dash/bejne/l5t4m9V8aMKXpZM.html Mungu awabariki watu wa mungu kwa kufuatilia watumishi wa mungu karibuni pia muendelee kujifunza neno la mungu
@AugustinPatrick-gt8ex
Ай бұрын
Asante, tutafika