CHRISTINA kamshitaki Mbarikiwa aachiwa kwa dhamana. Atakiwa kuripoti polisi Dar. Aongea kwa uchungu

Edit with InShot: inshotshare.app

Пікірлер: 597

  • @agathasungura5047
    @agathasungura504728 күн бұрын

    TUNAO MUELEWA MBALIKIWA KTK SAFARI YA KWENDA MBINGUN TUJUANE

  • @benjaminmahega

    @benjaminmahega

    28 күн бұрын

    Amina

  • @obedimunguachiza8434

    @obedimunguachiza8434

    28 күн бұрын

    Amina brother.

  • @ZTsix

    @ZTsix

    28 күн бұрын

    Amna mtu hapa.. sjaanza mm kumuelewa anaanza kuchanganya Dini na mambo binafsi tatzo na sio kwa ubaya hakuwa hvo mwanzo nauona kua ana Mwisho mbaya kama hata badirika.

  • @desirengenerwasobanuka9015

    @desirengenerwasobanuka9015

    28 күн бұрын

    ​@@ZTsix Hivi ndugu ,hivi kweli wewe unasoma Biblia? Yaani watu wanajifanya kuwa watumishi wa Mungu na wanatenda uovu na tuache eti tusiingie kwenye maisha ya watu? Yohana alipaza sauti na kumukemea Mfalme Herode alupochukuwa mke wa nduguye Filipo. Ama nyinyi ndio wale munahubiri injili potovu. Wewe sisi hatuna injili ya kubembeleza bro. Mimi si mwana Kikosi Kazi ,ila huduma wanayo ifanya ni Huduma ya Mitume na Manabii. Hivi kweli aliofanya Christina Shusho ni halali? Tuache kudanganyana brother

  • @nicholaswaemmanuel7221

    @nicholaswaemmanuel7221

    28 күн бұрын

    @@ZTsix TANGU LINI Giza na NURU vikatangamana? ANGALIA vituko na kiherehere kilicho kwenye account YAKO KISHA uvilinganishe na anachokifanya MCH MBARIKIWA, uone kama mnaendana. Bila shaka utamwona tu kama fala na chizi WAKATI NAYE anakuona VIVYO HIVYO. LAKINI ujue mwishowe itajulikana nani fala na chizi vya UKWELI. Twende NALO tu.

  • @nicholaswaemmanuel7221
    @nicholaswaemmanuel722128 күн бұрын

    HAKIKA KUOKOKA NA KUCHUKIA UOVU NI KIFO...BABA MUNGU AKUSHIKE UNAPOTEMBEA KWENYE BONDE LA UVULI WA MAUTI. AMEN.

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia707428 күн бұрын

    Chrstna,,,MUMEO NI LUTU..UTAKE USITAKE.UMEKATAA KUMSIKILIZA UMEGEUKA HAYA SASA.🔥🔥

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa28 күн бұрын

    Sauti ya radi imeingia kwenye moyo wa Christina Shusho, kwa kweli kuwa mtu wa Mungu kweli kweli ni kifo.

  • @ugalidona-cs2yn

    @ugalidona-cs2yn

    28 күн бұрын

    Hakika

  • @obedimunguachiza8434

    @obedimunguachiza8434

    28 күн бұрын

    True 👍

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn28 күн бұрын

    MBARIKIWA MWAKIPESILE ANAZIDI KUUWASHA MOTO WA INJILI YA KRISTO YESU KATIKA KUENDELEA KUMSHIKILIA MUNGU.

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    😮😮😮

  • @ugalidona-cs2yn

    @ugalidona-cs2yn

    28 күн бұрын

    ​@@user-ji5go2jf6h!.!.!.

  • @agnesspaul1866

    @agnesspaul1866

    23 күн бұрын

    Mungu anatakiwa atangaze Neno la Mungu

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza843428 күн бұрын

    Mbarikiwa ni kichwa kilicho kaza, hakina mapungufu!Ukweli unauma ila utabakia tu Ukweli big up man of God .

  • @jacksonrabson6439

    @jacksonrabson6439

    28 күн бұрын

    Mumushauri mtu wenu atanyooshwa ohoooo

  • @georgemahenge
    @georgemahenge28 күн бұрын

    Ushitaki wote wario coment.kristina umejiparia kaa ra moto

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel981728 күн бұрын

    Baba Mungu akushike sana kwa kipindi unachokipitia kigumu hivi Mungu akushike sana.

  • @abekyaaoci6082
    @abekyaaoci608223 күн бұрын

    Pole sana Mwakipesile. Alicho kifanya Christina Shusho, alimzalilisha Mme wake mtandaoni kwa kiwango kikubwa sana . Pili alidhalilisha Ukristo mzima na kumpa Shetani utukufu. Huyo Dada yetu Christine hakuwa Mkristo tangu zamani. Ila samahani wa TZ mnajali sana kipawa au karama ya mtu bila kujali mwenendo wake unafanana je. Mulichelewa sana kumtambua Christine.

  • @ajuayearon5760
    @ajuayearon576028 күн бұрын

    MUNGU ATASIMAMA NA UKWEL SIKU ZOTE.. !! NIKWELI MWENYE NDOA YOYOTE Akitoka nje ya ndoa LAZIMA KUNA DHAMBI IKO JUU YAKE

  • @user-jr3xs9sb9x
    @user-jr3xs9sb9x28 күн бұрын

    Baba Mungu ndio kimbilio lako,ukweli ni kwamba watu hawataki kuambiwa ukweli

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    Ukweliii tuna taka ila aache kudharilisha watu

  • @MagdalenaMatiko

    @MagdalenaMatiko

    26 күн бұрын

    Mbona Yesu alimsammehe yule mzinzi muombee sio kumdhalilishaji

  • @anthonybenedict5444
    @anthonybenedict544427 күн бұрын

    Ukishaanza kupeleka mpendwa mwenzio mahakamani, wewe tayari ulisha iacha njia ya Mungu siku nyingi, ukikemewa mshukuru Mungu unapendwa.

  • @user-rs9ib5uh6l

    @user-rs9ib5uh6l

    24 күн бұрын

    Mimi nilikuwa mshabiki wako sana kwanyimbo zako nzuri lla dada unapotea

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    22 күн бұрын

    Naye alivomtukana hiyo ni hekima ya mchungaji wa wapi?

  • @pettybrown2655
    @pettybrown265528 күн бұрын

    Mandiko yanena wazi unapopitia haya ndugu yangu mbarikiwa hujue yakuwa MUNGU mwenyezi anakutambua wewe ni nani so huyu Christina ashusho hajielewi hanacho kifanya hatakilipia hapa hapa Duniani wee Kaa macho from Kenya

  • @janeth5378

    @janeth5378

    27 күн бұрын

    Wengi hatukatai kumbuka Kristina shusho ni mwanadamu tu huenda amevamiwa na Adui kilichotakiwa hapo mngemwita huyo dada mkamuonya juu yahili kuliko unvyopiga kelele kwenye mitandao sio hekima hiyo mbarikiwa Biblia inasema muonyane Kwa upendo Kwa huko makanisani hakuna mabaraza ya kanisa?mngemwita huyu dada kwanza nakama akishupaza shingo basi mnamwacha lakini hakuchukua hatuna hii mmekazana kumshambulia kwenye mitandao Je huo ndio upendo?mmesahau kuwa watumishi wa mungu mnavita kubwa na Shetani?

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын

    Uyo dada crestina nafikili aende akatubu kwa mume wake naa akampigie magort amuombe msamaha na atubu mbele za mungu vinginevyo mungu atamtembezea raana kubwa sana unajua siku zote mungu abipiwi

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine710828 күн бұрын

    Mchungaji mungu ni mkubwa , Sana sijawai sikia, mkristo anamshitaki mkiristo mwenzake kwa kuwambia ukwweri,

  • @user-vo6fu3pp1p

    @user-vo6fu3pp1p

    28 күн бұрын

    Hapo ndo tutajua SHUSHO NI MKRISTO AU LAAA!

  • @ugalidona-cs2yn

    @ugalidona-cs2yn

    28 күн бұрын

    Ndo ITAJULIKANIKA sasa kuwa Christina shusho yuko Upande "MUNGU" au Shetani.

  • @user-gs2bz5xm8u

    @user-gs2bz5xm8u

    28 күн бұрын

    Kumbukeni mbalikiwa alipo onywa na ezekieli alitukana mpaka akamfanya ni Jezebel ,vijana wake wakimpotleiti Kama kavaa suketi,

  • @lulumatawalo7805

    @lulumatawalo7805

    28 күн бұрын

    Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.Mwana kulifind mwana kuliget.Kuna watu wanajihesabia haki sana! Bado Cassian

  • @ugalidona-cs2yn

    @ugalidona-cs2yn

    28 күн бұрын

    @@lulumatawalo7805 Moto wa MUNGU, hauzimwagwi

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu887328 күн бұрын

    Huyu christina sio mkristo huyo ni mtoto washetani .Hasomagi neno ?

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape163028 күн бұрын

    Kama kuna ushauri nitawapa, TAFUTENI SANA USHIRIKA NA MUNGU BINAFSI. Hii dunia sio yakuamini watu tena

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu887328 күн бұрын

    Mbarikiwa hongera sana huyo christina amejiwekea kaa la moto kabisa.

  • @user-cf3iu8we8n
    @user-cf3iu8we8n26 күн бұрын

    Pole sana ila acha injili ya kuwashambulia watu zungumzia habari za Mungu ili watu watubu dhambi zao nimefuatilia sana mahubiri ni ya kuzungumzia watu hii Dunia hakuna mkamilifu Mungu hekimu ya namna ya kuhubiri nimekuelewa lengo lako ni zuri ila anayekosea muonye Kwa upendo na tumia lugha nzuri atakuelewa

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    22 күн бұрын

    Ni kweli kabisa upendo uko wapi kwa wakristo,eti ni mchungaji hekima iko wapi maonyo yako wapi,alimuombea ? Kabla ya kumtukana aise sijui watu wanaosema wameokoka hawajitambui hebu watu waende shule kidogo wasome neno sio kukaa tu kuwaskiliza wachungaji wao kwa sababu wewe muumini pia,umepewa akili sio kuskiliza tu pia kupambanua na kumshauri mchungaji wako anaconda vibaya wao wamekaa tu eti ni vita,vita gani ningewakuta church ningewatandika viboko mpaka huo ufahamu ufunguke na huyo mbarikiwa wenu

  • @magdalenamwaikambo1963

    @magdalenamwaikambo1963

    16 күн бұрын

    ambaye ataelewa ataelewa tu,mch hana kosa watu lazima wajijue/wajitambue.

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k28 күн бұрын

    Hakim wetu mkuu ni Mungu kwasisi wakristo,Huyu.mama kaenda njekabisa ya neno la Mungu nakuwa na mashaka na ukristo wake ameshindwa kumshitakia Mungu kama anaona anadhalolishwa?naona anazidi kujitafutia maadui wa Kirkhope na kimwili. Namshauri aachane na upuuzi huu.

  • @maryhosea4400

    @maryhosea4400

    24 күн бұрын

    😅😊😊😊

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge183027 күн бұрын

    Hongera mchungaji na asante kwa kuheshimu ndoa na kumheshimu Mungu.

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk15 күн бұрын

    Tumsifu Yesu Kristo, sina mengi zaidi ya kusema poleni sana Kristo ni Kristo, Mungu atabaki kua Mungu patana na mstaki wako kabla hajakupeleka kwa kadhi Upendo huvumilia yote huamini yote mhukumu ni mmoja tu Mungu wa haki usimame mwenyewe ktk jambo la wana wako.

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw28 күн бұрын

    Mbarikiwa hana hatia

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred576228 күн бұрын

    I WONDERING THIS IS CHRISTINA I KNEW AS MY MOM OR 😢😢😢

  • @franksankey9603
    @franksankey960328 күн бұрын

    Piga kazi mwamba injili ndiyo iletayo uzima good 👍

  • @gideonsangi161
    @gideonsangi16128 күн бұрын

    Mtu wa Mungu sema kweli ya Mungu Wala usitishwe na waovu, Mungu wa mbinguni atakutetea

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla55028 күн бұрын

    Kwakweli mwacheni tu mtumishi wa Mungu mweh

  • @nelsonzebedayo8281
    @nelsonzebedayo828127 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mbarikiwa Mungu yuko bamoja nawe!Huyu Dada yetu amesha anguka anguko la kifo na tayari shoka limekwisha kutengwa.Huwezi ukashirikiana nawakina diamond na wasanii wengine ukabaki salama !Huyu dadaetu aombewe ili aombe msamaha na amrudie Mme wake

  • @happinessmchome9101
    @happinessmchome910127 күн бұрын

    Mungu uishie naomba umtetee mtumishi wako mbarikiwa. Anavipiga vita vya imanii. Mungu usimuache! Amen 🙏

  • @user-vo6fu3pp1p
    @user-vo6fu3pp1p28 күн бұрын

    Shusho ili usidharirike vizuri kama unavyosema MBARIKIWA AMEKUDHARIRISHA WASHITAKI WOTE WALIOKUSEMA MBONA KASHITAKIWA PEKE YAKE?

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    Anaye tangulua mbele kwenye vita ndiye anapigwa mshalee

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e28 күн бұрын

    Waaaa GOD be with you pst jicho la bwana linaona diyo mana ulizaliwaa fanyaa KAZI na utafurahi ukiseema nimezipikaa vita na mwendo nimeeumalizaaa 🇰🇪🤔🙏👋

  • @fikencharles9993
    @fikencharles999328 күн бұрын

    Watu hawataki kuambiwa ukweli daaa.Jesus is coming soon

  • @RehemaJonas-yj7ed
    @RehemaJonas-yj7ed17 күн бұрын

    Pole Sana mtumishi niseemu mojawapovambayo mungu ànakupandisha viwango vingine tunakuombea

  • @marymwaya9685
    @marymwaya968528 күн бұрын

    Shusho una watoto wewe acha mbona watumishi wengi tu wanatukwanwa

  • @MariamCleinance
    @MariamCleinance28 күн бұрын

    Baba huna hatia mungu yupo pamoja nao dada christina tumia hekima kama ulivyoposti hekima kubali makosa halafu mrudie mungu wako

  • @user-gs2bz5xm8u

    @user-gs2bz5xm8u

    28 күн бұрын

    Mbarikiwa haonyi ila anadhalilisha,huku akitaka umaalufu

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    ​@@user-gs2bz5xm8ukwelii kabisaa ...ilo siyo neno la Mungu

  • @FRENKFARM-fb5mt

    @FRENKFARM-fb5mt

    28 күн бұрын

    so kwery

  • @jesaminzo

    @jesaminzo

    28 күн бұрын

    ​@@user-gs2bz5xm8u ulitaka aonyaje? Ile clip Mbarikiwa alionesha haikuwa ya Christina akiaonya kuachana?

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    22 күн бұрын

    ​@@user-gs2bz5xm8ukabisa hana hekima hata moja

  • @ashelikilele167
    @ashelikilele16728 күн бұрын

    Sauti ya mtu aliaye Toka nyikani imeingia ndani ya moyo wa Christina shusho nakukimbiria mahakamani badala ya kutubu

  • @user-gs2bz5xm8u

    @user-gs2bz5xm8u

    28 күн бұрын

    Washilika wa mbalikiwa msisapoti kila kitu

  • @NicksonIsraeli
    @NicksonIsraeli21 күн бұрын

    Nakupenda zaidi ya sana mtumishi unanibariki

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x28 күн бұрын

    Kristina we imba kazi zote mungu atapima mbarikiwa kashatoka nje ya mipango ya mungu badala ahubir anapambana na watu kasahau mungu ni upendo angekushaur mbarikiwa umepotoka acha naw ni Malaya kwn unajiona u safi moyn umejaa sumu

  • @andreamwampamba1039

    @andreamwampamba1039

    28 күн бұрын

    Yaani unamwacha aliye toka nje ya mipango ya Mungu , unamsakama mbarikiwa? Hii ni ajabu. Soma Mathayo 19:6 ,9 utaelewa .makosa ya wazi kabisa unataka yapakwe mafuta !!! Nooooo.

  • @MamaMatha-si1zr

    @MamaMatha-si1zr

    28 күн бұрын

    ​@@andreamwampamba1039dunia ipo ukingoni kwa kweli ndo maana hata ukiwa mpuuzi na malaya unaweza kusifiwa na baadh ya wanaofanan na wewe

  • @user-gh3zf4ow4c

    @user-gh3zf4ow4c

    27 күн бұрын

    jaman

  • @user-fw8wm2xd8x

    @user-fw8wm2xd8x

    27 күн бұрын

    Aliyesafi mungu pekee mungu ndo anajua we unaangalia kw nje anavyoongea mungu anaangalia moyo je vile ndo anashauri au taarab mwachien wokovu mungu wa rehema

  • @user-fw8wm2xd8x

    @user-fw8wm2xd8x

    27 күн бұрын

    Tena hkuna mzinzi kama barikiwa kwn anasumu moyon anasakama mtu mojamoja apate umaarufu ndan yke hkuna upendo ht chembe ni kiki TU za unjili

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv949028 күн бұрын

    Wengi tu wamemsema kwenye mitandao mbona hajawashitaki?

  • @BenjamenGeorge
    @BenjamenGeorge10 күн бұрын

    Mtumishi nakubali sana kweli iilyomo ndani yako Mungu azidi kukubariki❤

  • @PastorsTz
    @PastorsTz28 күн бұрын

    Walioongea ni wengi! Ila kwanini mbarikiwa?

  • @veronicamwenda7449

    @veronicamwenda7449

    28 күн бұрын

    Kitu Cha MUNGU ndani yake.

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    Wote watachukuliwa atua

  • @PastorsTz

    @PastorsTz

    26 күн бұрын

    ​@@user-ji5go2jf6hhahaha hahaha ila unajitahidi sana kupambana,,Kama sauli, Big up,utavuna kazi yako....

  • @ShamteMohmed-ed2kk

    @ShamteMohmed-ed2kk

    26 күн бұрын

    Ungemfuata kwa fargha na kumuonya ungekua mwenye hekima . Lakini haya mambo ya mitandao watumishi kuweni makini.

  • @SerahMumo
    @SerahMumo14 күн бұрын

    I love the song. Daddy Bishop Mamboya would sing it through.

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya695128 күн бұрын

    Hiki kikundi kwa kusifu na kuabudu ni kibokoo.majaribu ni mtaji

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    Awaapii

  • @simonrusigwa3024

    @simonrusigwa3024

    28 күн бұрын

    Wapo serious na kazi yao

  • @user-nt4rt4hz1h
    @user-nt4rt4hz1h28 күн бұрын

    Mungu azidi kukutetea baba.

  • @mercyzawadi8072
    @mercyzawadi807228 күн бұрын

    Christina shusho hapa umechemsha, yaani mchungaji mzima hujajua utetezi wako unatoka wapi hata unakimbilia serikali za dunia aiiiiiiiiii umejichoma Sana haya endelea

  • @stellahwilfred5762

    @stellahwilfred5762

    28 күн бұрын

    Hana tena😢😢

  • @user-iw2fj3ch8b
    @user-iw2fj3ch8b27 күн бұрын

    People try to mind your own business they have nothing to do with you 😊😊😊

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred576228 күн бұрын

    MUNGU bado anakuhitaji Mama yetu ckia hizi kelele

  • @NuruMbwile
    @NuruMbwile28 күн бұрын

    Mimi hapa namwelewa sana Mbatikiwa Mungu akupiganie

  • @user-te1gg8uj7j
    @user-te1gg8uj7j28 күн бұрын

    Hivi Christina shusho kwani ungenyamaza SI yangepita TU? Je ingekuwa diamond anavyotukanwa na kina mwijaku na ustaadhi juma si ungewafunga dar nzima??haupo imara dada jiangalie?ukiwa star lazima ukosolewe na wanaokusema hawatakosekana!

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj28 күн бұрын

    Najiuliza yesu arudi tu si kwa haya nayoyaona humu duniani maana mkristo amegeuka kuwa adui tena ( keep fighting pastor mbarikiwa nalo hili litapita)

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z28 күн бұрын

    Ukweli utabaki palepale,dhambi ni dhambi tu,jipemoyo atashindwa tu lazima tukemee dhambi,kazi ya watumishi wa mungu ni hiyo,ukiwa mwizi utaambiwa.Bibilia inasema neema efunuliwa yatufundisha kukata ubaya.

  • @LeticiaShoka-me2wq
    @LeticiaShoka-me2wq28 күн бұрын

    Mungu atakupigania mtumishi wa kweli wa Mungu.utashinda Kwa kishindo🙏

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry269828 күн бұрын

    Mbarikiwa anasababisha tuwajue wahuni wanaoishi kwa kuitaja Bure jina la Mungu

  • @louisamazutantamukunzi7363
    @louisamazutantamukunzi736328 күн бұрын

    Mungu yu pamoja nawewe kwakilajambo hatokuacha akonawewe bega kwa bega'

  • @valenakomba7686
    @valenakomba768628 күн бұрын

    SASA UMWACHE , UJUMBE WAKO UMESHAMFIKIA INATOSHA. MWACHIE MUNGU .

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l28 күн бұрын

    Tunakuombea ushindi💯💯

  • @EmanuelMduma-uo7lb
    @EmanuelMduma-uo7lb28 күн бұрын

    Mbarikiwa Mungu atajitetea huyo asiye kutambua anacheka wakiharibu huwezi kumlazimisha kristo kuacha ndoa unajidai Mungu kakakuita tujifunze nini mbarikiwa tupo nyuma yako Mungu atakushindia

  • @emanuelingitiri8039
    @emanuelingitiri803928 күн бұрын

    Nyakati za mwisho ndio dalili hizo

  • @antonywanyonyi4195
    @antonywanyonyi419528 күн бұрын

    Hata Nimemdharau Christina Shusho kumbe ni WA hovyo tu oh God Sitawai kua fun wake tna

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery556428 күн бұрын

    Mmmhhh aiseee mungu anakutumia kwa viwango vizito sana

  • @raymondmathayomsigwa8737
    @raymondmathayomsigwa873728 күн бұрын

    Mbarikiwa Mungu akubariki zaidi sasa Christina anataka kukuzaririsha ili urudi nyuma kumtangaza Kristo huo ni uwakala wa shetani

  • @emmanuelmateru2190
    @emmanuelmateru219028 күн бұрын

    Nyuma yake huyo mama kuna nguvu ya shetani na mwakala wake. Huyo Diamond sio kabisa ni wakala wa shetani.

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    Afu nyuma yako wewe kuna nguvu gani

  • @ivomhagama9796

    @ivomhagama9796

    28 күн бұрын

    Hakuna shirika kati ya Kristo na shetani uwe na macho.ndugu​@@user-ji5go2jf6h

  • @gwamakagwamaka
    @gwamakagwamaka28 күн бұрын

    Huyo shusho nikatumwa kashentani tumlaaani wakristo wote

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    Weeeee toka pepo hakuna mwanadam wa kulaani kama Mungu amebariiki, walio okoka kwelii kwelii wanampenda na wanamtakia mema

  • @shikombetvshikombe897
    @shikombetvshikombe89728 күн бұрын

    Baba endelea kusema kweli, wewe umechahuliwa kwa wakati huu kupitia hayoooo MUNGU akubariki

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo710028 күн бұрын

    Hayo ndio mahubili kuhubili nikesema ukweli naukweli unaosemwa na mbalikiwa niwakweli mungu akuongoze mchungaji wangu pambana naamini mungu anamalengo mema nawatuwake tunakuombea mchungaji wetu usiludinyuma ,sauti yamtu aliae Toka nyikani

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i28 күн бұрын

    Ushauri,,,,shusho Patana na mbarikiwa unajichafua

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj28 күн бұрын

    Dar mungu akutunze mchungaji unapitia mambo mengi ila naamini mungu ameruhusu haya

  • @alunekyusa4905
    @alunekyusa490528 күн бұрын

    Yaani huyu ,ameamua kuonea sasa,watu wengi sana yameongelea jambo hilo alilolifanya

  • @user-gs2bz5xm8u

    @user-gs2bz5xm8u

    28 күн бұрын

    Dada mshauli mchungaji wako,hata hivyo shusho hajafanya Jambo baya,mchungaji wenu kazoea kuwazalilisha ninyi,mala huyu alikua hajui kutunza hela ,huyu Malaya huyu alikua hajui kuoga ,haya yote ni udhalilishaji,nyinyi mko ladhi nae ni baba yenu ,kwamwingine hicho ni kidonda ,tuishi kwa staha,mtumie mtu ujumbe ajue makosa take kwa namna ya upendo,tusiumizane kisa unawafwasi wengi wa kukusaidia ,tupendane tuombeane hatujui aliyokuwa anapitia shusho,hivyo ilikuwa inahitajika umuhoji mtu baadae ujue chanzo umshauli Kisha ndipo ukiwa unajua ndipo unaweza kusema ipasavyo,kumbuka hawa watu hawajatoa bado sili chanzo nini,nikuulize halune,unajua mtu hatamwacha mumewe au mkewe isipokua kwa habari ya uzinzi?.je vyote hivyo mmeuliza au mbalikiwa kawa jaji wa kujiamlia bila kusikiliza,najua kawatoa mbali lakini msimchukulie zaidi ya alivyo mbona mmefumba macho,hamtaki kuona ayatendayo sasa ,pesa isinunue utu wenu,fikilieni kila jambo kwa makini,asante

  • @obedlange5375
    @obedlange537528 күн бұрын

    Mtumishi upo sahihi, huyo mwanamke hajui wajibu wake katika kumtumikia MUNGU. Heri aache hata uchungaji na hao wanaochungwa na huyo dada hawajuelewi kabisa!?

  • @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr
    @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr28 күн бұрын

    Kamanda wayesu hongera sana mtu wamungu kusema kweli unakuwa hukumbatii dhambi weww nishujaa

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k28 күн бұрын

    Mbarikiwa tunaungana kuombea jambo hili na kwa vile kasema maombi ya wengi yana nguvu basi Mungu atajibu tu.

  • @sandejacob623
    @sandejacob62327 күн бұрын

    Nakubali kamanda , captain jasusi 😃😃

  • @yusufumahendeka2456
    @yusufumahendeka245628 күн бұрын

    Christina Shusho narudia kusema kuwa huyu kinachomsumbua ni umalaya hakuna huduma yoyote ndani yake

  • @stellahwilfred5762

    @stellahwilfred5762

    28 күн бұрын

    Umerudia tena😂😂😂

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    28 күн бұрын

    Amekupapo nawewe au umejuaje?

  • @yusufumahendeka2456

    @yusufumahendeka2456

    28 күн бұрын

    @@odilomwemeziernest646 Malaya wa pili na wewe

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c28 күн бұрын

    Hakuna kushtakiana kwa watakatifu wa Mungu huyu mwanamke amepotoka kabisa ashindwe kwa jina la yesu kristo

  • @agustinoezekiel
    @agustinoezekiel28 күн бұрын

    MUNGU anawajua walio wake. Atakae kuiponya nafsi huipoteza,na aipotezae nafsi huiponya

  • @veronicaassenga6500
    @veronicaassenga650028 күн бұрын

    AONYWAE MARA NYINGI AKASHUPASA SHINGO YAKE ATAVUNJIKA GAFLA ATAPATA DAWA KWA HIYO MWACHEENI KRISTINA AMEKATAA KUONYWA SIKU ZA MWISHO ATAJIBU MWENYEWE

  • @user-ji5go2jf6h

    @user-ji5go2jf6h

    28 күн бұрын

    Wewe umeliiandaa la kujibu acha ushamba wa kuto kuelewa maandiko

  • @elizag.edmond7637

    @elizag.edmond7637

    28 күн бұрын

    Kwahiyo ujanja ni kuigeuza biblia, inachomanisha, unabaki unafuata mkumbo kwa wasiona mda na wewe au unageuzwa kuwa zuzu,wa kutetea maovu, kwani katukanwa au kasemwa kutokana na maneno yake mwenyewe, kuna mtu kwani ameanza kumsema, isipokuwa maneno yake mwenyewe, pole sana ​@user-ji5go2jf6h

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj28 күн бұрын

    Christina shusho acha mtumishi wa mungu aongee ukweli kwanini utaki ukweli kuambiwa anataka asifiwe hat hakikosea chilistina chirsitina tena huendani nyimbo Zak na moyo wak haviendani chirsitina kumbuka ulikotoka haya ni maisha tu sote tupo safalin tunapita

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba844811 күн бұрын

    mama Mchungaji unanifurahisha sana na nywele zako za asili,sio wengine kazi kuvaa makatani,wazungu wametuharibu sana.hata haya yote mtumishi umemgusa mtumishi wa baal, mwanachama wa chama cha siri cha shetani,ndo sababu

  • @amashapatrick211
    @amashapatrick21128 күн бұрын

    Baba Mungu akushike

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku28 күн бұрын

    Jamani,Mbarikiwa pole na familia yako.

  • @ernestokoli6828
    @ernestokoli682816 күн бұрын

    Am from Kenya,let aman of God wosh the church of the Lord

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct28 күн бұрын

    Hatakama sipo kwenye imani hiyo ameikosea jamii kiujumja Amewadhalilisha wanaume na Amewadhalilisha wanawake

  • @YasintaRaphael
    @YasintaRaphael28 күн бұрын

    Christina ombi langu.ugeuke urudi kwenye asili ya kumtumikia MUNGU umepotea sana

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf442928 күн бұрын

    Kweli huyu mtumishi anavita kubwa na manyangau. Walio ongea kuusu uyo C.shusho ni wengi ila yeyetu ndie ameshtakiwa 😅😅 MUNGU ANATUMIA HUYU BWANA KUUMBUA WAOVU WAKIJIFICHA KWENYE UWONGOZI AU INJILI.

  • @danielshimora5315
    @danielshimora531528 күн бұрын

    Mbalikiwa Baba Kazi iendelee.

  • @elikanahsuku6589
    @elikanahsuku658927 күн бұрын

    CHRISTINA WALA SIO YEYE KUNA WAHINI NYUMA YAKE NAO WALEE

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana289628 күн бұрын

    Msumali wa moto umepenya kwa Christina dawa ni kutubu tu dada usishupaze shingo dada yetu anayekuonya anakupenda

  • @user-nr1gh2vu9z
    @user-nr1gh2vu9z28 күн бұрын

    Yupo MUNGU wa kweli anakwenda kukutetea

  • @isakamwambenja7397
    @isakamwambenja739723 күн бұрын

    Barikiwa sana pastor Mwakipesile

  • @teddysanga1840
    @teddysanga184028 күн бұрын

    usihukumu na ww utahukumiwa hakuna mkamilifu chini ya juaa

  • @markojames7855
    @markojames785528 күн бұрын

    Mbariwa barikiwa Zaid na Zaid sema kweli Mungu atakupigania

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x27 күн бұрын

    Pole sana Mtumishi

  • @hawahussein9055
    @hawahussein905518 күн бұрын

    Christina nimnafiki anayejificha kwenye neno la Mungu lakini matendo yake nikama mbwa mwitu

  • @user-tn8iy2ou6s
    @user-tn8iy2ou6s28 күн бұрын

    Shusho jishushe mwenyewe na jitakase mludie mume wako omba msamaha kujishusha sio dhambi bali ni kuwa na hekima

  • @pettybrown2655
    @pettybrown265528 күн бұрын

    Ni kweli huo niumalaya kawacha mume na watoto wakubwa kiasi hicho hao watoto watamchukuliaje?kilio chaya Kwa huyu Christina shusho Aah

  • @ChrisElectrical-ck4mc
    @ChrisElectrical-ck4mc28 күн бұрын

    Tena shusho ametenda dhambi nyingine....ya kumshtaki mtumishi wa Mungu

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele28 күн бұрын

    Huyo ni pepo Christina shusho amejiunga na waabudu shetan Sasa anapambana na mungu

  • @angelemmanuel7143
    @angelemmanuel714324 күн бұрын

    Well said usiamini tu kisa mtu anaimba nyinbo za injili in short shusho hamtumikii Mungu alie hai huo ndio ukweli

  • @WillBat-gc9ex
    @WillBat-gc9ex28 күн бұрын

    Mbarikiwa lakaanagu christna hajielew piga kelele usiogope

  • @JeremiahRichard-oj8up
    @JeremiahRichard-oj8up7 күн бұрын

    Pole sana mtu wa MUNGU

Келесі