CHRISTINA kamshitaki Mbarikiwa aachiwa kwa dhamana. Atakiwa kuripoti polisi Dar. Aongea kwa uchungu
Edit with InShot: inshotshare.app
Жүктеу.....
Пікірлер: 597
@agathasungura504728 күн бұрын
TUNAO MUELEWA MBALIKIWA KTK SAFARI YA KWENDA MBINGUN TUJUANE
@benjaminmahega
28 күн бұрын
Amina
@obedimunguachiza8434
28 күн бұрын
Amina brother.
@ZTsix
28 күн бұрын
Amna mtu hapa.. sjaanza mm kumuelewa anaanza kuchanganya Dini na mambo binafsi tatzo na sio kwa ubaya hakuwa hvo mwanzo nauona kua ana Mwisho mbaya kama hata badirika.
@desirengenerwasobanuka9015
28 күн бұрын
@@ZTsix Hivi ndugu ,hivi kweli wewe unasoma Biblia? Yaani watu wanajifanya kuwa watumishi wa Mungu na wanatenda uovu na tuache eti tusiingie kwenye maisha ya watu? Yohana alipaza sauti na kumukemea Mfalme Herode alupochukuwa mke wa nduguye Filipo. Ama nyinyi ndio wale munahubiri injili potovu. Wewe sisi hatuna injili ya kubembeleza bro. Mimi si mwana Kikosi Kazi ,ila huduma wanayo ifanya ni Huduma ya Mitume na Manabii. Hivi kweli aliofanya Christina Shusho ni halali? Tuache kudanganyana brother
@nicholaswaemmanuel7221
28 күн бұрын
@@ZTsix TANGU LINI Giza na NURU vikatangamana? ANGALIA vituko na kiherehere kilicho kwenye account YAKO KISHA uvilinganishe na anachokifanya MCH MBARIKIWA, uone kama mnaendana. Bila shaka utamwona tu kama fala na chizi WAKATI NAYE anakuona VIVYO HIVYO. LAKINI ujue mwishowe itajulikana nani fala na chizi vya UKWELI. Twende NALO tu.
@nicholaswaemmanuel722128 күн бұрын
HAKIKA KUOKOKA NA KUCHUKIA UOVU NI KIFO...BABA MUNGU AKUSHIKE UNAPOTEMBEA KWENYE BONDE LA UVULI WA MAUTI. AMEN.
@fredyjeremia707428 күн бұрын
Chrstna,,,MUMEO NI LUTU..UTAKE USITAKE.UMEKATAA KUMSIKILIZA UMEGEUKA HAYA SASA.🔥🔥
@HelbethMlelwa28 күн бұрын
Sauti ya radi imeingia kwenye moyo wa Christina Shusho, kwa kweli kuwa mtu wa Mungu kweli kweli ni kifo.
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
Hakika
@obedimunguachiza8434
28 күн бұрын
True 👍
@ugalidona-cs2yn28 күн бұрын
MBARIKIWA MWAKIPESILE ANAZIDI KUUWASHA MOTO WA INJILI YA KRISTO YESU KATIKA KUENDELEA KUMSHIKILIA MUNGU.
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
😮😮😮
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
@@user-ji5go2jf6h!.!.!.
@agnesspaul1866
23 күн бұрын
Mungu anatakiwa atangaze Neno la Mungu
@obedimunguachiza843428 күн бұрын
Mbarikiwa ni kichwa kilicho kaza, hakina mapungufu!Ukweli unauma ila utabakia tu Ukweli big up man of God .
@jacksonrabson6439
28 күн бұрын
Mumushauri mtu wenu atanyooshwa ohoooo
@georgemahenge28 күн бұрын
Ushitaki wote wario coment.kristina umejiparia kaa ra moto
@elijiusdaniel981728 күн бұрын
Baba Mungu akushike sana kwa kipindi unachokipitia kigumu hivi Mungu akushike sana.
@abekyaaoci608223 күн бұрын
Pole sana Mwakipesile. Alicho kifanya Christina Shusho, alimzalilisha Mme wake mtandaoni kwa kiwango kikubwa sana . Pili alidhalilisha Ukristo mzima na kumpa Shetani utukufu. Huyo Dada yetu Christine hakuwa Mkristo tangu zamani. Ila samahani wa TZ mnajali sana kipawa au karama ya mtu bila kujali mwenendo wake unafanana je. Mulichelewa sana kumtambua Christine.
@ajuayearon576028 күн бұрын
MUNGU ATASIMAMA NA UKWEL SIKU ZOTE.. !! NIKWELI MWENYE NDOA YOYOTE Akitoka nje ya ndoa LAZIMA KUNA DHAMBI IKO JUU YAKE
@user-jr3xs9sb9x28 күн бұрын
Baba Mungu ndio kimbilio lako,ukweli ni kwamba watu hawataki kuambiwa ukweli
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Ukweliii tuna taka ila aache kudharilisha watu
@MagdalenaMatiko
26 күн бұрын
Mbona Yesu alimsammehe yule mzinzi muombee sio kumdhalilishaji
@anthonybenedict544427 күн бұрын
Ukishaanza kupeleka mpendwa mwenzio mahakamani, wewe tayari ulisha iacha njia ya Mungu siku nyingi, ukikemewa mshukuru Mungu unapendwa.
Naye alivomtukana hiyo ni hekima ya mchungaji wa wapi?
@pettybrown265528 күн бұрын
Mandiko yanena wazi unapopitia haya ndugu yangu mbarikiwa hujue yakuwa MUNGU mwenyezi anakutambua wewe ni nani so huyu Christina ashusho hajielewi hanacho kifanya hatakilipia hapa hapa Duniani wee Kaa macho from Kenya
@janeth5378
27 күн бұрын
Wengi hatukatai kumbuka Kristina shusho ni mwanadamu tu huenda amevamiwa na Adui kilichotakiwa hapo mngemwita huyo dada mkamuonya juu yahili kuliko unvyopiga kelele kwenye mitandao sio hekima hiyo mbarikiwa Biblia inasema muonyane Kwa upendo Kwa huko makanisani hakuna mabaraza ya kanisa?mngemwita huyu dada kwanza nakama akishupaza shingo basi mnamwacha lakini hakuchukua hatuna hii mmekazana kumshambulia kwenye mitandao Je huo ndio upendo?mmesahau kuwa watumishi wa mungu mnavita kubwa na Shetani?
@user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын
Uyo dada crestina nafikili aende akatubu kwa mume wake naa akampigie magort amuombe msamaha na atubu mbele za mungu vinginevyo mungu atamtembezea raana kubwa sana unajua siku zote mungu abipiwi
@paschalfausitine710828 күн бұрын
Mchungaji mungu ni mkubwa , Sana sijawai sikia, mkristo anamshitaki mkiristo mwenzake kwa kuwambia ukwweri,
@user-vo6fu3pp1p
28 күн бұрын
Hapo ndo tutajua SHUSHO NI MKRISTO AU LAAA!
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
Ndo ITAJULIKANIKA sasa kuwa Christina shusho yuko Upande "MUNGU" au Shetani.
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Kumbukeni mbalikiwa alipo onywa na ezekieli alitukana mpaka akamfanya ni Jezebel ,vijana wake wakimpotleiti Kama kavaa suketi,
@lulumatawalo7805
28 күн бұрын
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.Mwana kulifind mwana kuliget.Kuna watu wanajihesabia haki sana! Bado Cassian
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
@@lulumatawalo7805 Moto wa MUNGU, hauzimwagwi
@samwelmatemu887328 күн бұрын
Huyu christina sio mkristo huyo ni mtoto washetani .Hasomagi neno ?
@neemamwakasape163028 күн бұрын
Kama kuna ushauri nitawapa, TAFUTENI SANA USHIRIKA NA MUNGU BINAFSI. Hii dunia sio yakuamini watu tena
@samwelmatemu887328 күн бұрын
Mbarikiwa hongera sana huyo christina amejiwekea kaa la moto kabisa.
@user-cf3iu8we8n26 күн бұрын
Pole sana ila acha injili ya kuwashambulia watu zungumzia habari za Mungu ili watu watubu dhambi zao nimefuatilia sana mahubiri ni ya kuzungumzia watu hii Dunia hakuna mkamilifu Mungu hekimu ya namna ya kuhubiri nimekuelewa lengo lako ni zuri ila anayekosea muonye Kwa upendo na tumia lugha nzuri atakuelewa
@olivernyange2349
22 күн бұрын
Ni kweli kabisa upendo uko wapi kwa wakristo,eti ni mchungaji hekima iko wapi maonyo yako wapi,alimuombea ? Kabla ya kumtukana aise sijui watu wanaosema wameokoka hawajitambui hebu watu waende shule kidogo wasome neno sio kukaa tu kuwaskiliza wachungaji wao kwa sababu wewe muumini pia,umepewa akili sio kuskiliza tu pia kupambanua na kumshauri mchungaji wako anaconda vibaya wao wamekaa tu eti ni vita,vita gani ningewakuta church ningewatandika viboko mpaka huo ufahamu ufunguke na huyo mbarikiwa wenu
@magdalenamwaikambo1963
16 күн бұрын
ambaye ataelewa ataelewa tu,mch hana kosa watu lazima wajijue/wajitambue.
@user-fk4st8qj2k28 күн бұрын
Hakim wetu mkuu ni Mungu kwasisi wakristo,Huyu.mama kaenda njekabisa ya neno la Mungu nakuwa na mashaka na ukristo wake ameshindwa kumshitakia Mungu kama anaona anadhalolishwa?naona anazidi kujitafutia maadui wa Kirkhope na kimwili. Namshauri aachane na upuuzi huu.
@maryhosea4400
24 күн бұрын
😅😊😊😊
@sarahmwasyoge183027 күн бұрын
Hongera mchungaji na asante kwa kuheshimu ndoa na kumheshimu Mungu.
@AngelMassawe-nz9sk15 күн бұрын
Tumsifu Yesu Kristo, sina mengi zaidi ya kusema poleni sana Kristo ni Kristo, Mungu atabaki kua Mungu patana na mstaki wako kabla hajakupeleka kwa kadhi Upendo huvumilia yote huamini yote mhukumu ni mmoja tu Mungu wa haki usimame mwenyewe ktk jambo la wana wako.
@Maxpaul-oi8pw28 күн бұрын
Mbarikiwa hana hatia
@stellahwilfred576228 күн бұрын
I WONDERING THIS IS CHRISTINA I KNEW AS MY MOM OR 😢😢😢
@franksankey960328 күн бұрын
Piga kazi mwamba injili ndiyo iletayo uzima good 👍
@gideonsangi16128 күн бұрын
Mtu wa Mungu sema kweli ya Mungu Wala usitishwe na waovu, Mungu wa mbinguni atakutetea
@hellenngwilla55028 күн бұрын
Kwakweli mwacheni tu mtumishi wa Mungu mweh
@nelsonzebedayo828127 күн бұрын
Ubarikiwe sana mbarikiwa Mungu yuko bamoja nawe!Huyu Dada yetu amesha anguka anguko la kifo na tayari shoka limekwisha kutengwa.Huwezi ukashirikiana nawakina diamond na wasanii wengine ukabaki salama !Huyu dadaetu aombewe ili aombe msamaha na amrudie Mme wake
@happinessmchome910127 күн бұрын
Mungu uishie naomba umtetee mtumishi wako mbarikiwa. Anavipiga vita vya imanii. Mungu usimuache! Amen 🙏
@user-vo6fu3pp1p28 күн бұрын
Shusho ili usidharirike vizuri kama unavyosema MBARIKIWA AMEKUDHARIRISHA WASHITAKI WOTE WALIOKUSEMA MBONA KASHITAKIWA PEKE YAKE?
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Anaye tangulua mbele kwenye vita ndiye anapigwa mshalee
@user-gi3io1ew8e28 күн бұрын
Waaaa GOD be with you pst jicho la bwana linaona diyo mana ulizaliwaa fanyaa KAZI na utafurahi ukiseema nimezipikaa vita na mwendo nimeeumalizaaa 🇰🇪🤔🙏👋
@fikencharles999328 күн бұрын
Watu hawataki kuambiwa ukweli daaa.Jesus is coming soon
@RehemaJonas-yj7ed17 күн бұрын
Pole Sana mtumishi niseemu mojawapovambayo mungu ànakupandisha viwango vingine tunakuombea
@marymwaya968528 күн бұрын
Shusho una watoto wewe acha mbona watumishi wengi tu wanatukwanwa
@MariamCleinance28 күн бұрын
Baba huna hatia mungu yupo pamoja nao dada christina tumia hekima kama ulivyoposti hekima kubali makosa halafu mrudie mungu wako
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Mbarikiwa haonyi ila anadhalilisha,huku akitaka umaalufu
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
@@user-gs2bz5xm8ukwelii kabisaa ...ilo siyo neno la Mungu
@FRENKFARM-fb5mt
28 күн бұрын
so kwery
@jesaminzo
28 күн бұрын
@@user-gs2bz5xm8u ulitaka aonyaje? Ile clip Mbarikiwa alionesha haikuwa ya Christina akiaonya kuachana?
@olivernyange2349
22 күн бұрын
@@user-gs2bz5xm8ukabisa hana hekima hata moja
@ashelikilele16728 күн бұрын
Sauti ya mtu aliaye Toka nyikani imeingia ndani ya moyo wa Christina shusho nakukimbiria mahakamani badala ya kutubu
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Washilika wa mbalikiwa msisapoti kila kitu
@NicksonIsraeli21 күн бұрын
Nakupenda zaidi ya sana mtumishi unanibariki
@user-fw8wm2xd8x28 күн бұрын
Kristina we imba kazi zote mungu atapima mbarikiwa kashatoka nje ya mipango ya mungu badala ahubir anapambana na watu kasahau mungu ni upendo angekushaur mbarikiwa umepotoka acha naw ni Malaya kwn unajiona u safi moyn umejaa sumu
@andreamwampamba1039
28 күн бұрын
Yaani unamwacha aliye toka nje ya mipango ya Mungu , unamsakama mbarikiwa? Hii ni ajabu. Soma Mathayo 19:6 ,9 utaelewa .makosa ya wazi kabisa unataka yapakwe mafuta !!! Nooooo.
@MamaMatha-si1zr
28 күн бұрын
@@andreamwampamba1039dunia ipo ukingoni kwa kweli ndo maana hata ukiwa mpuuzi na malaya unaweza kusifiwa na baadh ya wanaofanan na wewe
@user-gh3zf4ow4c
27 күн бұрын
jaman
@user-fw8wm2xd8x
27 күн бұрын
Aliyesafi mungu pekee mungu ndo anajua we unaangalia kw nje anavyoongea mungu anaangalia moyo je vile ndo anashauri au taarab mwachien wokovu mungu wa rehema
@user-fw8wm2xd8x
27 күн бұрын
Tena hkuna mzinzi kama barikiwa kwn anasumu moyon anasakama mtu mojamoja apate umaarufu ndan yke hkuna upendo ht chembe ni kiki TU za unjili
@ebenezerchurchsupremetv949028 күн бұрын
Wengi tu wamemsema kwenye mitandao mbona hajawashitaki?
@BenjamenGeorge10 күн бұрын
Mtumishi nakubali sana kweli iilyomo ndani yako Mungu azidi kukubariki❤
@PastorsTz28 күн бұрын
Walioongea ni wengi! Ila kwanini mbarikiwa?
@veronicamwenda7449
28 күн бұрын
Kitu Cha MUNGU ndani yake.
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Wote watachukuliwa atua
@PastorsTz
26 күн бұрын
@@user-ji5go2jf6hhahaha hahaha ila unajitahidi sana kupambana,,Kama sauli, Big up,utavuna kazi yako....
@ShamteMohmed-ed2kk
26 күн бұрын
Ungemfuata kwa fargha na kumuonya ungekua mwenye hekima . Lakini haya mambo ya mitandao watumishi kuweni makini.
@SerahMumo14 күн бұрын
I love the song. Daddy Bishop Mamboya would sing it through.
@olivemwamengonakilimombeya695128 күн бұрын
Hiki kikundi kwa kusifu na kuabudu ni kibokoo.majaribu ni mtaji
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Awaapii
@simonrusigwa3024
28 күн бұрын
Wapo serious na kazi yao
@user-nt4rt4hz1h28 күн бұрын
Mungu azidi kukutetea baba.
@mercyzawadi807228 күн бұрын
Christina shusho hapa umechemsha, yaani mchungaji mzima hujajua utetezi wako unatoka wapi hata unakimbilia serikali za dunia aiiiiiiiiii umejichoma Sana haya endelea
@stellahwilfred5762
28 күн бұрын
Hana tena😢😢
@user-iw2fj3ch8b27 күн бұрын
People try to mind your own business they have nothing to do with you 😊😊😊
@stellahwilfred576228 күн бұрын
MUNGU bado anakuhitaji Mama yetu ckia hizi kelele
@NuruMbwile28 күн бұрын
Mimi hapa namwelewa sana Mbatikiwa Mungu akupiganie
@user-te1gg8uj7j28 күн бұрын
Hivi Christina shusho kwani ungenyamaza SI yangepita TU? Je ingekuwa diamond anavyotukanwa na kina mwijaku na ustaadhi juma si ungewafunga dar nzima??haupo imara dada jiangalie?ukiwa star lazima ukosolewe na wanaokusema hawatakosekana!
@leonardjamson-tb4jj28 күн бұрын
Najiuliza yesu arudi tu si kwa haya nayoyaona humu duniani maana mkristo amegeuka kuwa adui tena ( keep fighting pastor mbarikiwa nalo hili litapita)
@user-rs4vz2vt9z28 күн бұрын
Ukweli utabaki palepale,dhambi ni dhambi tu,jipemoyo atashindwa tu lazima tukemee dhambi,kazi ya watumishi wa mungu ni hiyo,ukiwa mwizi utaambiwa.Bibilia inasema neema efunuliwa yatufundisha kukata ubaya.
@LeticiaShoka-me2wq28 күн бұрын
Mungu atakupigania mtumishi wa kweli wa Mungu.utashinda Kwa kishindo🙏
@bcozhenry269828 күн бұрын
Mbarikiwa anasababisha tuwajue wahuni wanaoishi kwa kuitaja Bure jina la Mungu
@louisamazutantamukunzi736328 күн бұрын
Mungu yu pamoja nawewe kwakilajambo hatokuacha akonawewe bega kwa bega'
@valenakomba768628 күн бұрын
SASA UMWACHE , UJUMBE WAKO UMESHAMFIKIA INATOSHA. MWACHIE MUNGU .
@user-ng6yt2od7l28 күн бұрын
Tunakuombea ushindi💯💯
@EmanuelMduma-uo7lb28 күн бұрын
Mbarikiwa Mungu atajitetea huyo asiye kutambua anacheka wakiharibu huwezi kumlazimisha kristo kuacha ndoa unajidai Mungu kakakuita tujifunze nini mbarikiwa tupo nyuma yako Mungu atakushindia
@emanuelingitiri803928 күн бұрын
Nyakati za mwisho ndio dalili hizo
@antonywanyonyi419528 күн бұрын
Hata Nimemdharau Christina Shusho kumbe ni WA hovyo tu oh God Sitawai kua fun wake tna
@aizzyashery556428 күн бұрын
Mmmhhh aiseee mungu anakutumia kwa viwango vizito sana
@raymondmathayomsigwa873728 күн бұрын
Mbarikiwa Mungu akubariki zaidi sasa Christina anataka kukuzaririsha ili urudi nyuma kumtangaza Kristo huo ni uwakala wa shetani
@emmanuelmateru219028 күн бұрын
Nyuma yake huyo mama kuna nguvu ya shetani na mwakala wake. Huyo Diamond sio kabisa ni wakala wa shetani.
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Afu nyuma yako wewe kuna nguvu gani
@ivomhagama9796
28 күн бұрын
Hakuna shirika kati ya Kristo na shetani uwe na macho.ndugu@@user-ji5go2jf6h
@gwamakagwamaka28 күн бұрын
Huyo shusho nikatumwa kashentani tumlaaani wakristo wote
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Weeeee toka pepo hakuna mwanadam wa kulaani kama Mungu amebariiki, walio okoka kwelii kwelii wanampenda na wanamtakia mema
@shikombetvshikombe89728 күн бұрын
Baba endelea kusema kweli, wewe umechahuliwa kwa wakati huu kupitia hayoooo MUNGU akubariki
@davidmalogo710028 күн бұрын
Hayo ndio mahubili kuhubili nikesema ukweli naukweli unaosemwa na mbalikiwa niwakweli mungu akuongoze mchungaji wangu pambana naamini mungu anamalengo mema nawatuwake tunakuombea mchungaji wetu usiludinyuma ,sauti yamtu aliae Toka nyikani
@user-fw6dp9iy4i28 күн бұрын
Ushauri,,,,shusho Patana na mbarikiwa unajichafua
@leonardjamson-tb4jj28 күн бұрын
Dar mungu akutunze mchungaji unapitia mambo mengi ila naamini mungu ameruhusu haya
@alunekyusa490528 күн бұрын
Yaani huyu ,ameamua kuonea sasa,watu wengi sana yameongelea jambo hilo alilolifanya
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Dada mshauli mchungaji wako,hata hivyo shusho hajafanya Jambo baya,mchungaji wenu kazoea kuwazalilisha ninyi,mala huyu alikua hajui kutunza hela ,huyu Malaya huyu alikua hajui kuoga ,haya yote ni udhalilishaji,nyinyi mko ladhi nae ni baba yenu ,kwamwingine hicho ni kidonda ,tuishi kwa staha,mtumie mtu ujumbe ajue makosa take kwa namna ya upendo,tusiumizane kisa unawafwasi wengi wa kukusaidia ,tupendane tuombeane hatujui aliyokuwa anapitia shusho,hivyo ilikuwa inahitajika umuhoji mtu baadae ujue chanzo umshauli Kisha ndipo ukiwa unajua ndipo unaweza kusema ipasavyo,kumbuka hawa watu hawajatoa bado sili chanzo nini,nikuulize halune,unajua mtu hatamwacha mumewe au mkewe isipokua kwa habari ya uzinzi?.je vyote hivyo mmeuliza au mbalikiwa kawa jaji wa kujiamlia bila kusikiliza,najua kawatoa mbali lakini msimchukulie zaidi ya alivyo mbona mmefumba macho,hamtaki kuona ayatendayo sasa ,pesa isinunue utu wenu,fikilieni kila jambo kwa makini,asante
@obedlange537528 күн бұрын
Mtumishi upo sahihi, huyo mwanamke hajui wajibu wake katika kumtumikia MUNGU. Heri aache hata uchungaji na hao wanaochungwa na huyo dada hawajuelewi kabisa!?
@SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr28 күн бұрын
Kamanda wayesu hongera sana mtu wamungu kusema kweli unakuwa hukumbatii dhambi weww nishujaa
@user-fk4st8qj2k28 күн бұрын
Mbarikiwa tunaungana kuombea jambo hili na kwa vile kasema maombi ya wengi yana nguvu basi Mungu atajibu tu.
@sandejacob62327 күн бұрын
Nakubali kamanda , captain jasusi 😃😃
@yusufumahendeka245628 күн бұрын
Christina Shusho narudia kusema kuwa huyu kinachomsumbua ni umalaya hakuna huduma yoyote ndani yake
@stellahwilfred5762
28 күн бұрын
Umerudia tena😂😂😂
@odilomwemeziernest646
28 күн бұрын
Amekupapo nawewe au umejuaje?
@yusufumahendeka2456
28 күн бұрын
@@odilomwemeziernest646 Malaya wa pili na wewe
@user-lx7ez3rq4c28 күн бұрын
Hakuna kushtakiana kwa watakatifu wa Mungu huyu mwanamke amepotoka kabisa ashindwe kwa jina la yesu kristo
@agustinoezekiel28 күн бұрын
MUNGU anawajua walio wake. Atakae kuiponya nafsi huipoteza,na aipotezae nafsi huiponya
@veronicaassenga650028 күн бұрын
AONYWAE MARA NYINGI AKASHUPASA SHINGO YAKE ATAVUNJIKA GAFLA ATAPATA DAWA KWA HIYO MWACHEENI KRISTINA AMEKATAA KUONYWA SIKU ZA MWISHO ATAJIBU MWENYEWE
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Wewe umeliiandaa la kujibu acha ushamba wa kuto kuelewa maandiko
@elizag.edmond7637
28 күн бұрын
Kwahiyo ujanja ni kuigeuza biblia, inachomanisha, unabaki unafuata mkumbo kwa wasiona mda na wewe au unageuzwa kuwa zuzu,wa kutetea maovu, kwani katukanwa au kasemwa kutokana na maneno yake mwenyewe, kuna mtu kwani ameanza kumsema, isipokuwa maneno yake mwenyewe, pole sana @user-ji5go2jf6h
@LusajoMwajeka-tf1nj28 күн бұрын
Christina shusho acha mtumishi wa mungu aongee ukweli kwanini utaki ukweli kuambiwa anataka asifiwe hat hakikosea chilistina chirsitina tena huendani nyimbo Zak na moyo wak haviendani chirsitina kumbuka ulikotoka haya ni maisha tu sote tupo safalin tunapita
@jeanmusamba844811 күн бұрын
mama Mchungaji unanifurahisha sana na nywele zako za asili,sio wengine kazi kuvaa makatani,wazungu wametuharibu sana.hata haya yote mtumishi umemgusa mtumishi wa baal, mwanachama wa chama cha siri cha shetani,ndo sababu
@amashapatrick21128 күн бұрын
Baba Mungu akushike
@ChristerKoku28 күн бұрын
Jamani,Mbarikiwa pole na familia yako.
@ernestokoli682816 күн бұрын
Am from Kenya,let aman of God wosh the church of the Lord
@MnyamaTolu-kd5ct28 күн бұрын
Hatakama sipo kwenye imani hiyo ameikosea jamii kiujumja Amewadhalilisha wanaume na Amewadhalilisha wanawake
@YasintaRaphael28 күн бұрын
Christina ombi langu.ugeuke urudi kwenye asili ya kumtumikia MUNGU umepotea sana
@thelonewolf442928 күн бұрын
Kweli huyu mtumishi anavita kubwa na manyangau. Walio ongea kuusu uyo C.shusho ni wengi ila yeyetu ndie ameshtakiwa 😅😅 MUNGU ANATUMIA HUYU BWANA KUUMBUA WAOVU WAKIJIFICHA KWENYE UWONGOZI AU INJILI.
@danielshimora531528 күн бұрын
Mbalikiwa Baba Kazi iendelee.
@elikanahsuku658927 күн бұрын
CHRISTINA WALA SIO YEYE KUNA WAHINI NYUMA YAKE NAO WALEE
@warakawayohana289628 күн бұрын
Msumali wa moto umepenya kwa Christina dawa ni kutubu tu dada usishupaze shingo dada yetu anayekuonya anakupenda
@user-nr1gh2vu9z28 күн бұрын
Yupo MUNGU wa kweli anakwenda kukutetea
@isakamwambenja739723 күн бұрын
Barikiwa sana pastor Mwakipesile
@teddysanga184028 күн бұрын
usihukumu na ww utahukumiwa hakuna mkamilifu chini ya juaa
@markojames785528 күн бұрын
Mbariwa barikiwa Zaid na Zaid sema kweli Mungu atakupigania
@user-es4jv6pb8x27 күн бұрын
Pole sana Mtumishi
@hawahussein905518 күн бұрын
Christina nimnafiki anayejificha kwenye neno la Mungu lakini matendo yake nikama mbwa mwitu
@user-tn8iy2ou6s28 күн бұрын
Shusho jishushe mwenyewe na jitakase mludie mume wako omba msamaha kujishusha sio dhambi bali ni kuwa na hekima
@pettybrown265528 күн бұрын
Ni kweli huo niumalaya kawacha mume na watoto wakubwa kiasi hicho hao watoto watamchukuliaje?kilio chaya Kwa huyu Christina shusho Aah
@ChrisElectrical-ck4mc28 күн бұрын
Tena shusho ametenda dhambi nyingine....ya kumshtaki mtumishi wa Mungu
@DaimonMwapelele28 күн бұрын
Huyo ni pepo Christina shusho amejiunga na waabudu shetan Sasa anapambana na mungu
@angelemmanuel714324 күн бұрын
Well said usiamini tu kisa mtu anaimba nyinbo za injili in short shusho hamtumikii Mungu alie hai huo ndio ukweli
Пікірлер: 597
TUNAO MUELEWA MBALIKIWA KTK SAFARI YA KWENDA MBINGUN TUJUANE
@benjaminmahega
28 күн бұрын
Amina
@obedimunguachiza8434
28 күн бұрын
Amina brother.
@ZTsix
28 күн бұрын
Amna mtu hapa.. sjaanza mm kumuelewa anaanza kuchanganya Dini na mambo binafsi tatzo na sio kwa ubaya hakuwa hvo mwanzo nauona kua ana Mwisho mbaya kama hata badirika.
@desirengenerwasobanuka9015
28 күн бұрын
@@ZTsix Hivi ndugu ,hivi kweli wewe unasoma Biblia? Yaani watu wanajifanya kuwa watumishi wa Mungu na wanatenda uovu na tuache eti tusiingie kwenye maisha ya watu? Yohana alipaza sauti na kumukemea Mfalme Herode alupochukuwa mke wa nduguye Filipo. Ama nyinyi ndio wale munahubiri injili potovu. Wewe sisi hatuna injili ya kubembeleza bro. Mimi si mwana Kikosi Kazi ,ila huduma wanayo ifanya ni Huduma ya Mitume na Manabii. Hivi kweli aliofanya Christina Shusho ni halali? Tuache kudanganyana brother
@nicholaswaemmanuel7221
28 күн бұрын
@@ZTsix TANGU LINI Giza na NURU vikatangamana? ANGALIA vituko na kiherehere kilicho kwenye account YAKO KISHA uvilinganishe na anachokifanya MCH MBARIKIWA, uone kama mnaendana. Bila shaka utamwona tu kama fala na chizi WAKATI NAYE anakuona VIVYO HIVYO. LAKINI ujue mwishowe itajulikana nani fala na chizi vya UKWELI. Twende NALO tu.
HAKIKA KUOKOKA NA KUCHUKIA UOVU NI KIFO...BABA MUNGU AKUSHIKE UNAPOTEMBEA KWENYE BONDE LA UVULI WA MAUTI. AMEN.
Chrstna,,,MUMEO NI LUTU..UTAKE USITAKE.UMEKATAA KUMSIKILIZA UMEGEUKA HAYA SASA.🔥🔥
Sauti ya radi imeingia kwenye moyo wa Christina Shusho, kwa kweli kuwa mtu wa Mungu kweli kweli ni kifo.
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
Hakika
@obedimunguachiza8434
28 күн бұрын
True 👍
MBARIKIWA MWAKIPESILE ANAZIDI KUUWASHA MOTO WA INJILI YA KRISTO YESU KATIKA KUENDELEA KUMSHIKILIA MUNGU.
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
😮😮😮
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
@@user-ji5go2jf6h!.!.!.
@agnesspaul1866
23 күн бұрын
Mungu anatakiwa atangaze Neno la Mungu
Mbarikiwa ni kichwa kilicho kaza, hakina mapungufu!Ukweli unauma ila utabakia tu Ukweli big up man of God .
@jacksonrabson6439
28 күн бұрын
Mumushauri mtu wenu atanyooshwa ohoooo
Ushitaki wote wario coment.kristina umejiparia kaa ra moto
Baba Mungu akushike sana kwa kipindi unachokipitia kigumu hivi Mungu akushike sana.
Pole sana Mwakipesile. Alicho kifanya Christina Shusho, alimzalilisha Mme wake mtandaoni kwa kiwango kikubwa sana . Pili alidhalilisha Ukristo mzima na kumpa Shetani utukufu. Huyo Dada yetu Christine hakuwa Mkristo tangu zamani. Ila samahani wa TZ mnajali sana kipawa au karama ya mtu bila kujali mwenendo wake unafanana je. Mulichelewa sana kumtambua Christine.
MUNGU ATASIMAMA NA UKWEL SIKU ZOTE.. !! NIKWELI MWENYE NDOA YOYOTE Akitoka nje ya ndoa LAZIMA KUNA DHAMBI IKO JUU YAKE
Baba Mungu ndio kimbilio lako,ukweli ni kwamba watu hawataki kuambiwa ukweli
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Ukweliii tuna taka ila aache kudharilisha watu
@MagdalenaMatiko
26 күн бұрын
Mbona Yesu alimsammehe yule mzinzi muombee sio kumdhalilishaji
Ukishaanza kupeleka mpendwa mwenzio mahakamani, wewe tayari ulisha iacha njia ya Mungu siku nyingi, ukikemewa mshukuru Mungu unapendwa.
@user-rs9ib5uh6l
24 күн бұрын
Mimi nilikuwa mshabiki wako sana kwanyimbo zako nzuri lla dada unapotea
@olivernyange2349
22 күн бұрын
Naye alivomtukana hiyo ni hekima ya mchungaji wa wapi?
Mandiko yanena wazi unapopitia haya ndugu yangu mbarikiwa hujue yakuwa MUNGU mwenyezi anakutambua wewe ni nani so huyu Christina ashusho hajielewi hanacho kifanya hatakilipia hapa hapa Duniani wee Kaa macho from Kenya
@janeth5378
27 күн бұрын
Wengi hatukatai kumbuka Kristina shusho ni mwanadamu tu huenda amevamiwa na Adui kilichotakiwa hapo mngemwita huyo dada mkamuonya juu yahili kuliko unvyopiga kelele kwenye mitandao sio hekima hiyo mbarikiwa Biblia inasema muonyane Kwa upendo Kwa huko makanisani hakuna mabaraza ya kanisa?mngemwita huyu dada kwanza nakama akishupaza shingo basi mnamwacha lakini hakuchukua hatuna hii mmekazana kumshambulia kwenye mitandao Je huo ndio upendo?mmesahau kuwa watumishi wa mungu mnavita kubwa na Shetani?
Uyo dada crestina nafikili aende akatubu kwa mume wake naa akampigie magort amuombe msamaha na atubu mbele za mungu vinginevyo mungu atamtembezea raana kubwa sana unajua siku zote mungu abipiwi
Mchungaji mungu ni mkubwa , Sana sijawai sikia, mkristo anamshitaki mkiristo mwenzake kwa kuwambia ukwweri,
@user-vo6fu3pp1p
28 күн бұрын
Hapo ndo tutajua SHUSHO NI MKRISTO AU LAAA!
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
Ndo ITAJULIKANIKA sasa kuwa Christina shusho yuko Upande "MUNGU" au Shetani.
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Kumbukeni mbalikiwa alipo onywa na ezekieli alitukana mpaka akamfanya ni Jezebel ,vijana wake wakimpotleiti Kama kavaa suketi,
@lulumatawalo7805
28 күн бұрын
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.Mwana kulifind mwana kuliget.Kuna watu wanajihesabia haki sana! Bado Cassian
@ugalidona-cs2yn
28 күн бұрын
@@lulumatawalo7805 Moto wa MUNGU, hauzimwagwi
Huyu christina sio mkristo huyo ni mtoto washetani .Hasomagi neno ?
Kama kuna ushauri nitawapa, TAFUTENI SANA USHIRIKA NA MUNGU BINAFSI. Hii dunia sio yakuamini watu tena
Mbarikiwa hongera sana huyo christina amejiwekea kaa la moto kabisa.
Pole sana ila acha injili ya kuwashambulia watu zungumzia habari za Mungu ili watu watubu dhambi zao nimefuatilia sana mahubiri ni ya kuzungumzia watu hii Dunia hakuna mkamilifu Mungu hekimu ya namna ya kuhubiri nimekuelewa lengo lako ni zuri ila anayekosea muonye Kwa upendo na tumia lugha nzuri atakuelewa
@olivernyange2349
22 күн бұрын
Ni kweli kabisa upendo uko wapi kwa wakristo,eti ni mchungaji hekima iko wapi maonyo yako wapi,alimuombea ? Kabla ya kumtukana aise sijui watu wanaosema wameokoka hawajitambui hebu watu waende shule kidogo wasome neno sio kukaa tu kuwaskiliza wachungaji wao kwa sababu wewe muumini pia,umepewa akili sio kuskiliza tu pia kupambanua na kumshauri mchungaji wako anaconda vibaya wao wamekaa tu eti ni vita,vita gani ningewakuta church ningewatandika viboko mpaka huo ufahamu ufunguke na huyo mbarikiwa wenu
@magdalenamwaikambo1963
16 күн бұрын
ambaye ataelewa ataelewa tu,mch hana kosa watu lazima wajijue/wajitambue.
Hakim wetu mkuu ni Mungu kwasisi wakristo,Huyu.mama kaenda njekabisa ya neno la Mungu nakuwa na mashaka na ukristo wake ameshindwa kumshitakia Mungu kama anaona anadhalolishwa?naona anazidi kujitafutia maadui wa Kirkhope na kimwili. Namshauri aachane na upuuzi huu.
@maryhosea4400
24 күн бұрын
😅😊😊😊
Hongera mchungaji na asante kwa kuheshimu ndoa na kumheshimu Mungu.
Tumsifu Yesu Kristo, sina mengi zaidi ya kusema poleni sana Kristo ni Kristo, Mungu atabaki kua Mungu patana na mstaki wako kabla hajakupeleka kwa kadhi Upendo huvumilia yote huamini yote mhukumu ni mmoja tu Mungu wa haki usimame mwenyewe ktk jambo la wana wako.
Mbarikiwa hana hatia
I WONDERING THIS IS CHRISTINA I KNEW AS MY MOM OR 😢😢😢
Piga kazi mwamba injili ndiyo iletayo uzima good 👍
Mtu wa Mungu sema kweli ya Mungu Wala usitishwe na waovu, Mungu wa mbinguni atakutetea
Kwakweli mwacheni tu mtumishi wa Mungu mweh
Ubarikiwe sana mbarikiwa Mungu yuko bamoja nawe!Huyu Dada yetu amesha anguka anguko la kifo na tayari shoka limekwisha kutengwa.Huwezi ukashirikiana nawakina diamond na wasanii wengine ukabaki salama !Huyu dadaetu aombewe ili aombe msamaha na amrudie Mme wake
Mungu uishie naomba umtetee mtumishi wako mbarikiwa. Anavipiga vita vya imanii. Mungu usimuache! Amen 🙏
Shusho ili usidharirike vizuri kama unavyosema MBARIKIWA AMEKUDHARIRISHA WASHITAKI WOTE WALIOKUSEMA MBONA KASHITAKIWA PEKE YAKE?
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Anaye tangulua mbele kwenye vita ndiye anapigwa mshalee
Waaaa GOD be with you pst jicho la bwana linaona diyo mana ulizaliwaa fanyaa KAZI na utafurahi ukiseema nimezipikaa vita na mwendo nimeeumalizaaa 🇰🇪🤔🙏👋
Watu hawataki kuambiwa ukweli daaa.Jesus is coming soon
Pole Sana mtumishi niseemu mojawapovambayo mungu ànakupandisha viwango vingine tunakuombea
Shusho una watoto wewe acha mbona watumishi wengi tu wanatukwanwa
Baba huna hatia mungu yupo pamoja nao dada christina tumia hekima kama ulivyoposti hekima kubali makosa halafu mrudie mungu wako
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Mbarikiwa haonyi ila anadhalilisha,huku akitaka umaalufu
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
@@user-gs2bz5xm8ukwelii kabisaa ...ilo siyo neno la Mungu
@FRENKFARM-fb5mt
28 күн бұрын
so kwery
@jesaminzo
28 күн бұрын
@@user-gs2bz5xm8u ulitaka aonyaje? Ile clip Mbarikiwa alionesha haikuwa ya Christina akiaonya kuachana?
@olivernyange2349
22 күн бұрын
@@user-gs2bz5xm8ukabisa hana hekima hata moja
Sauti ya mtu aliaye Toka nyikani imeingia ndani ya moyo wa Christina shusho nakukimbiria mahakamani badala ya kutubu
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Washilika wa mbalikiwa msisapoti kila kitu
Nakupenda zaidi ya sana mtumishi unanibariki
Kristina we imba kazi zote mungu atapima mbarikiwa kashatoka nje ya mipango ya mungu badala ahubir anapambana na watu kasahau mungu ni upendo angekushaur mbarikiwa umepotoka acha naw ni Malaya kwn unajiona u safi moyn umejaa sumu
@andreamwampamba1039
28 күн бұрын
Yaani unamwacha aliye toka nje ya mipango ya Mungu , unamsakama mbarikiwa? Hii ni ajabu. Soma Mathayo 19:6 ,9 utaelewa .makosa ya wazi kabisa unataka yapakwe mafuta !!! Nooooo.
@MamaMatha-si1zr
28 күн бұрын
@@andreamwampamba1039dunia ipo ukingoni kwa kweli ndo maana hata ukiwa mpuuzi na malaya unaweza kusifiwa na baadh ya wanaofanan na wewe
@user-gh3zf4ow4c
27 күн бұрын
jaman
@user-fw8wm2xd8x
27 күн бұрын
Aliyesafi mungu pekee mungu ndo anajua we unaangalia kw nje anavyoongea mungu anaangalia moyo je vile ndo anashauri au taarab mwachien wokovu mungu wa rehema
@user-fw8wm2xd8x
27 күн бұрын
Tena hkuna mzinzi kama barikiwa kwn anasumu moyon anasakama mtu mojamoja apate umaarufu ndan yke hkuna upendo ht chembe ni kiki TU za unjili
Wengi tu wamemsema kwenye mitandao mbona hajawashitaki?
Mtumishi nakubali sana kweli iilyomo ndani yako Mungu azidi kukubariki❤
Walioongea ni wengi! Ila kwanini mbarikiwa?
@veronicamwenda7449
28 күн бұрын
Kitu Cha MUNGU ndani yake.
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Wote watachukuliwa atua
@PastorsTz
26 күн бұрын
@@user-ji5go2jf6hhahaha hahaha ila unajitahidi sana kupambana,,Kama sauli, Big up,utavuna kazi yako....
@ShamteMohmed-ed2kk
26 күн бұрын
Ungemfuata kwa fargha na kumuonya ungekua mwenye hekima . Lakini haya mambo ya mitandao watumishi kuweni makini.
I love the song. Daddy Bishop Mamboya would sing it through.
Hiki kikundi kwa kusifu na kuabudu ni kibokoo.majaribu ni mtaji
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Awaapii
@simonrusigwa3024
28 күн бұрын
Wapo serious na kazi yao
Mungu azidi kukutetea baba.
Christina shusho hapa umechemsha, yaani mchungaji mzima hujajua utetezi wako unatoka wapi hata unakimbilia serikali za dunia aiiiiiiiiii umejichoma Sana haya endelea
@stellahwilfred5762
28 күн бұрын
Hana tena😢😢
People try to mind your own business they have nothing to do with you 😊😊😊
MUNGU bado anakuhitaji Mama yetu ckia hizi kelele
Mimi hapa namwelewa sana Mbatikiwa Mungu akupiganie
Hivi Christina shusho kwani ungenyamaza SI yangepita TU? Je ingekuwa diamond anavyotukanwa na kina mwijaku na ustaadhi juma si ungewafunga dar nzima??haupo imara dada jiangalie?ukiwa star lazima ukosolewe na wanaokusema hawatakosekana!
Najiuliza yesu arudi tu si kwa haya nayoyaona humu duniani maana mkristo amegeuka kuwa adui tena ( keep fighting pastor mbarikiwa nalo hili litapita)
Ukweli utabaki palepale,dhambi ni dhambi tu,jipemoyo atashindwa tu lazima tukemee dhambi,kazi ya watumishi wa mungu ni hiyo,ukiwa mwizi utaambiwa.Bibilia inasema neema efunuliwa yatufundisha kukata ubaya.
Mungu atakupigania mtumishi wa kweli wa Mungu.utashinda Kwa kishindo🙏
Mbarikiwa anasababisha tuwajue wahuni wanaoishi kwa kuitaja Bure jina la Mungu
Mungu yu pamoja nawewe kwakilajambo hatokuacha akonawewe bega kwa bega'
SASA UMWACHE , UJUMBE WAKO UMESHAMFIKIA INATOSHA. MWACHIE MUNGU .
Tunakuombea ushindi💯💯
Mbarikiwa Mungu atajitetea huyo asiye kutambua anacheka wakiharibu huwezi kumlazimisha kristo kuacha ndoa unajidai Mungu kakakuita tujifunze nini mbarikiwa tupo nyuma yako Mungu atakushindia
Nyakati za mwisho ndio dalili hizo
Hata Nimemdharau Christina Shusho kumbe ni WA hovyo tu oh God Sitawai kua fun wake tna
Mmmhhh aiseee mungu anakutumia kwa viwango vizito sana
Mbarikiwa Mungu akubariki zaidi sasa Christina anataka kukuzaririsha ili urudi nyuma kumtangaza Kristo huo ni uwakala wa shetani
Nyuma yake huyo mama kuna nguvu ya shetani na mwakala wake. Huyo Diamond sio kabisa ni wakala wa shetani.
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Afu nyuma yako wewe kuna nguvu gani
@ivomhagama9796
28 күн бұрын
Hakuna shirika kati ya Kristo na shetani uwe na macho.ndugu@@user-ji5go2jf6h
Huyo shusho nikatumwa kashentani tumlaaani wakristo wote
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Weeeee toka pepo hakuna mwanadam wa kulaani kama Mungu amebariiki, walio okoka kwelii kwelii wanampenda na wanamtakia mema
Baba endelea kusema kweli, wewe umechahuliwa kwa wakati huu kupitia hayoooo MUNGU akubariki
Hayo ndio mahubili kuhubili nikesema ukweli naukweli unaosemwa na mbalikiwa niwakweli mungu akuongoze mchungaji wangu pambana naamini mungu anamalengo mema nawatuwake tunakuombea mchungaji wetu usiludinyuma ,sauti yamtu aliae Toka nyikani
Ushauri,,,,shusho Patana na mbarikiwa unajichafua
Dar mungu akutunze mchungaji unapitia mambo mengi ila naamini mungu ameruhusu haya
Yaani huyu ,ameamua kuonea sasa,watu wengi sana yameongelea jambo hilo alilolifanya
@user-gs2bz5xm8u
28 күн бұрын
Dada mshauli mchungaji wako,hata hivyo shusho hajafanya Jambo baya,mchungaji wenu kazoea kuwazalilisha ninyi,mala huyu alikua hajui kutunza hela ,huyu Malaya huyu alikua hajui kuoga ,haya yote ni udhalilishaji,nyinyi mko ladhi nae ni baba yenu ,kwamwingine hicho ni kidonda ,tuishi kwa staha,mtumie mtu ujumbe ajue makosa take kwa namna ya upendo,tusiumizane kisa unawafwasi wengi wa kukusaidia ,tupendane tuombeane hatujui aliyokuwa anapitia shusho,hivyo ilikuwa inahitajika umuhoji mtu baadae ujue chanzo umshauli Kisha ndipo ukiwa unajua ndipo unaweza kusema ipasavyo,kumbuka hawa watu hawajatoa bado sili chanzo nini,nikuulize halune,unajua mtu hatamwacha mumewe au mkewe isipokua kwa habari ya uzinzi?.je vyote hivyo mmeuliza au mbalikiwa kawa jaji wa kujiamlia bila kusikiliza,najua kawatoa mbali lakini msimchukulie zaidi ya alivyo mbona mmefumba macho,hamtaki kuona ayatendayo sasa ,pesa isinunue utu wenu,fikilieni kila jambo kwa makini,asante
Mtumishi upo sahihi, huyo mwanamke hajui wajibu wake katika kumtumikia MUNGU. Heri aache hata uchungaji na hao wanaochungwa na huyo dada hawajuelewi kabisa!?
Kamanda wayesu hongera sana mtu wamungu kusema kweli unakuwa hukumbatii dhambi weww nishujaa
Mbarikiwa tunaungana kuombea jambo hili na kwa vile kasema maombi ya wengi yana nguvu basi Mungu atajibu tu.
Nakubali kamanda , captain jasusi 😃😃
Christina Shusho narudia kusema kuwa huyu kinachomsumbua ni umalaya hakuna huduma yoyote ndani yake
@stellahwilfred5762
28 күн бұрын
Umerudia tena😂😂😂
@odilomwemeziernest646
28 күн бұрын
Amekupapo nawewe au umejuaje?
@yusufumahendeka2456
28 күн бұрын
@@odilomwemeziernest646 Malaya wa pili na wewe
Hakuna kushtakiana kwa watakatifu wa Mungu huyu mwanamke amepotoka kabisa ashindwe kwa jina la yesu kristo
MUNGU anawajua walio wake. Atakae kuiponya nafsi huipoteza,na aipotezae nafsi huiponya
AONYWAE MARA NYINGI AKASHUPASA SHINGO YAKE ATAVUNJIKA GAFLA ATAPATA DAWA KWA HIYO MWACHEENI KRISTINA AMEKATAA KUONYWA SIKU ZA MWISHO ATAJIBU MWENYEWE
@user-ji5go2jf6h
28 күн бұрын
Wewe umeliiandaa la kujibu acha ushamba wa kuto kuelewa maandiko
@elizag.edmond7637
28 күн бұрын
Kwahiyo ujanja ni kuigeuza biblia, inachomanisha, unabaki unafuata mkumbo kwa wasiona mda na wewe au unageuzwa kuwa zuzu,wa kutetea maovu, kwani katukanwa au kasemwa kutokana na maneno yake mwenyewe, kuna mtu kwani ameanza kumsema, isipokuwa maneno yake mwenyewe, pole sana @user-ji5go2jf6h
Christina shusho acha mtumishi wa mungu aongee ukweli kwanini utaki ukweli kuambiwa anataka asifiwe hat hakikosea chilistina chirsitina tena huendani nyimbo Zak na moyo wak haviendani chirsitina kumbuka ulikotoka haya ni maisha tu sote tupo safalin tunapita
mama Mchungaji unanifurahisha sana na nywele zako za asili,sio wengine kazi kuvaa makatani,wazungu wametuharibu sana.hata haya yote mtumishi umemgusa mtumishi wa baal, mwanachama wa chama cha siri cha shetani,ndo sababu
Baba Mungu akushike
Jamani,Mbarikiwa pole na familia yako.
Am from Kenya,let aman of God wosh the church of the Lord
Hatakama sipo kwenye imani hiyo ameikosea jamii kiujumja Amewadhalilisha wanaume na Amewadhalilisha wanawake
Christina ombi langu.ugeuke urudi kwenye asili ya kumtumikia MUNGU umepotea sana
Kweli huyu mtumishi anavita kubwa na manyangau. Walio ongea kuusu uyo C.shusho ni wengi ila yeyetu ndie ameshtakiwa 😅😅 MUNGU ANATUMIA HUYU BWANA KUUMBUA WAOVU WAKIJIFICHA KWENYE UWONGOZI AU INJILI.
Mbalikiwa Baba Kazi iendelee.
CHRISTINA WALA SIO YEYE KUNA WAHINI NYUMA YAKE NAO WALEE
Msumali wa moto umepenya kwa Christina dawa ni kutubu tu dada usishupaze shingo dada yetu anayekuonya anakupenda
Yupo MUNGU wa kweli anakwenda kukutetea
Barikiwa sana pastor Mwakipesile
usihukumu na ww utahukumiwa hakuna mkamilifu chini ya juaa
Mbariwa barikiwa Zaid na Zaid sema kweli Mungu atakupigania
Pole sana Mtumishi
Christina nimnafiki anayejificha kwenye neno la Mungu lakini matendo yake nikama mbwa mwitu
Shusho jishushe mwenyewe na jitakase mludie mume wako omba msamaha kujishusha sio dhambi bali ni kuwa na hekima
Ni kweli huo niumalaya kawacha mume na watoto wakubwa kiasi hicho hao watoto watamchukuliaje?kilio chaya Kwa huyu Christina shusho Aah
Tena shusho ametenda dhambi nyingine....ya kumshtaki mtumishi wa Mungu
Huyo ni pepo Christina shusho amejiunga na waabudu shetan Sasa anapambana na mungu
Well said usiamini tu kisa mtu anaimba nyinbo za injili in short shusho hamtumikii Mungu alie hai huo ndio ukweli
Mbarikiwa lakaanagu christna hajielew piga kelele usiogope
Pole sana mtu wa MUNGU