Mbarikiwa live kwenye ibada. Leo amefafanua kwa upole kuhusu Christina Shusho na ndoa yake?
Sisi kwetu injili ni kuongea na kukemea maaovu na uovu na kuwakataza waovu kutenda uovu. KWA MAWASILIAMO ZAIDI PIGA SIMU 0655436603 au 0769015164
Жүктеу.....
Пікірлер: 161
@simonzakaria4770Ай бұрын
Nusu saa nzima unawahubiria wakristo wako habari za mtu badala ya Mungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
Ukimhubiri huyo Mungu hauhubiri watu? Kwani Biblia haijaandika makosa na mema ya watu ndio tunayoyasema ili wengine wajifunze?
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile kweli kabisa mzee tunahubiri kwa kusema watu wa zamani kwa uzuri wao au ubaya wao.
@tinajoe5487
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile hakuna cha kujifunza hapo
@johngerald4739Ай бұрын
Ni vema ukahubiri Toba kwa wanaopotea kuliko kuhubiri kumsema mtu sioni kama hiyo ni sawa mbele za Mungu wapo Watu hawamjui Mungu wanahitaji injili sio busara mahubiri ya kumsema mtu binafsi watumiahi siku hizi mnatafuta umaarufu kuliko kufanya kazi ya Mungu. Ee Mungu wa mbinguni tusaidie sana.
@stephaniakanka8178Ай бұрын
Amen Amen Amen baba yangu hubarikiwe sana kwa mafundisho na neno lake bwana. Nuru na giza haipatani kabisa baba 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻
@tobiasolando4467Ай бұрын
Mafundisho nzuri Ngugu. Aki nmeombea sana dada Christina. Mungu amfungue macho aki. Amen!
@isakamwambenja7397Ай бұрын
Ahsante mtumishi wa Mungu. Umesema kweli. BIBLI NI NENO LA MUNGU
@user-lh5rx6yf1gАй бұрын
Mstari wa 12 inazungumzia mzazi mwenzako siyo mke uliyokwishaoa. Yesu haiwezi kujipinga. Ukiwa na shaka Muulize YESU mwenyewe.
@patiencekalondji8091Ай бұрын
Hallelujah hallelujah baba nafikiri Mungu anataka kuzaa kiroho yaani kuaminisha wasio mujua Mungu
@edengospeltv4395Ай бұрын
Ni kweli Mtumishi yaani ukiingiliana sana na Dunia lazima uangukie pabaya. Mfano mavazi, misemo ...Natamani watu wa media tupate vipande vya ujumbe huu kuna Hekima zinahitajika watu wazipate ziwasidie. Maana wengi wanapima mambo kwa jicho la Dhambi au siyo dhambi wasijue kumbe kuna mambo mengine ni mtego wa shetani kupoteza IDENTITY ya Kanisa
@user-nw9ds9qe5iАй бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji hakika mimi nime kuelewa sana
@mosessiame7882Ай бұрын
Udumu ktk huduma hiyo mtumishi Mungu akubariki sana Ukweli daima unama God bless you
@nguzoyetugirlscentre6270Ай бұрын
Utajifumaniaje we mtumishi ni mchanga kiroho watumishi wengi wanaume wameanguka mara nyigi.Usijitape jiombee Mungu akusaidie. Hivi unajua maana ya neno malaya au soma yakobo ulimi ni kiungo kidogo na mtakatifu utampima kwa ulimi.
@irenemuia2718Ай бұрын
Kweli kabisa ,Amina Amina 🙏
@consoassenga7153Ай бұрын
Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊
@AnnaNgobola-pm7fzАй бұрын
Mbona ma Mbonambona mnamponda mme mwenzemwenzenu mnazidi kumpoteza christina
@JimmyMwakatunduАй бұрын
Mmi ni mtu ambaye sisikilizi wachungaji ila wew nakusikiliza, that your incredible pastor we talk really and immediately
@abrahamnyagawa1304Ай бұрын
Baba,ninakushukuru Sana,niko Shinyanga,lakini ninatokwa na machozi kwa gharama ya ajabu ya huduma yako. UBARIKIWE NA BWANA.ninakupenda Sana,mch mwakipesile.
@rachelmaina3476Ай бұрын
Sio lazima ufatane na mmeo.Lakini kama kulikua na mengine mungu aingilie kati.
@user-lc6te2pe2lАй бұрын
Amen mtumishi kiukweli binadamu hapendi kuambiwa ukweli ubarikiwe kwa kusema kweli.
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
Aliolewa akiwa na miaka chin ya 18 na alilazimishwa ,,,na aliolewa na mtu MZIMA aliaemzidi umrii pakubwa ,so kajitambua kapata pa kuanzia kasepa ,,Hana baya
@chancealimasi1946Ай бұрын
Ubarikiwe
@neemamwakasape1630Ай бұрын
Laiti kama Nyumba zingepewa vinywa, basi tungejua siri za wengi. Mungu na wao ndo wanaojua ukweli. Pengne siku ikiwa wazi tutakosa cha kunena. Tuweni na akiba ya maneno.
@user-yj5es1jw8cАй бұрын
Kristina amekuwa biblia ,waumini wa huyu jamaa ,nawaonea huluma mngehubila injili ingekuwa njema sana
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Aminaaaa
@ceciliakongani9299Ай бұрын
Kweli kabisaa
@dicksonmlelwa1762Ай бұрын
Binafsi nampenda sana huyu mchungaji
@user-lh5rx6yf1gАй бұрын
Mathayo 1:20 [20]Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa RohMtakatif Ndoa ni agano na Mungu anaanza kuitambua wakati wa uchumba.
@MamasokoWahushi26 күн бұрын
Pastor wafaa kuombea hii familia badala ya kuiponda juu ya madhabau na wewe ni mzazi
@agnessmrema8906Ай бұрын
Lakini Cristina Shusho hajasema ameachana na mume wake wala mume wake hajakiri kuachana na mke wake mimi nina imani Cristina bado yuko na mume wake ila katika kumtumikia Mungu kila mmoja anawito wake
@JescarMwakipesile29 күн бұрын
Mungu atusaidie ili tuishi na kutembea ktk Kweli Yake.
@nkhomagodfrey4789Ай бұрын
👏👏
@michaelwanyangaАй бұрын
Katika hizo sababu mbili tu naunga mkono kabisa hotuba hii 1.Kumfumania mtu kwa sababu za uzinzi/uasherati 2.Kuzuia imani
@stephaniakanka8178Ай бұрын
Ame tuvunja moyo kabisa baba yangu tulikuwa tuna penda nyimbo zake kabisa baba yangu hubarikiwe 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
Kwann uvunjike moyo ,Kila mtu Ako na mapito ya peke ake,,so kaa kwa kutulia ,,,,,,huyu mama aliolewa na kwa kulazmishwa na wazazi ,akiwaa na umri mdogo ,na akaolewa na mtu mzma,,,,sasa kajitambua kapata upenyo kasepa ,kosa lake liko wapi??????
@upendochiwa25
Ай бұрын
@@jeremiahcharles6027angekaa kimya tu ingesaidia, kuliko kumsema baba wa watu, mm mwenyewe Christina kaniumiza maana nyimbo zake nyingi nikizisikiliza zinanipa unyenyekevu wakuingia kwenye maombi, naumia sana na natamani christina arudi kwa mume wake itapendeza zaidi
@HappyMsuya-og7okАй бұрын
Ukimsema Sana mtu aliyekosea unajichafua muache mungu afanye kazi yake
@AllexNnko
Ай бұрын
Hii ni aina tu ya mfano wa watumishi walio itwa kipindi cha uamsho na msipo amka nyinyi viongozi vipofu wanakuja kaeni tyr upesi
@DanielSariaАй бұрын
kazi ya watumishi ndio hiyo kuwasaidia kuona mabaya yanapokuja ili mjiepushe nayo .wewe ukiona hayakuingiii kaa kimya kwa maombi na mafunuo lakini kunawengine wanakombolewa.nadhan tuwe wasikikizaji kwanza Mungu atatupa hekima nanma ya kuyajua hayo.
@mpingasaidi4493Ай бұрын
Sipendi tena nyimbo zake
@gerowadamwandika669Ай бұрын
Mchungaji umeongea ukweli mtupu baba, sema watu waelewe Alichounganisha mungu binadamu asitenganishe.
@jeremiahcharles6027Ай бұрын
Acheni kuhukumu watu,,,,,,,kazi ya kuhukumu sio yenu,,hakuna aliekamilika
@johnjohnkipokola5077
Ай бұрын
Lazima aelezwe ukweli! Christina amekengeuka na arudi kwa Mungu akatubu na airudie ndoa yake.
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
@@johnjohnkipokola5077 kaka umesikiliza upande mmoja,,, behind ze scene,bint aliolewa katika umri mdogo ,na aliolewa na akiwa bado hajajitambua ,na nikama alilazimishwa ,kapata upenyo kasepa ,,Hana BAYA
@gabriellyadam9415
Ай бұрын
Sasa si amfate amwambie kwann anamhubir kanisan @@johnjohnkipokola5077
@user-fg4fj6lf5n
Ай бұрын
Pole lakini neno ni neno. Let's agree to let the Word to wash us... painful but essential.... lets move from glory to glory so that we become "cities set on a hill"...we are in a race
@beatricesamwel8161
Ай бұрын
Tofautisha hukumu na maonyo.anapo potosha watu na kuukwepesha ukweli wa neno la YESU lazima akemewe ili asihalibu wanaotaka kuokoka.tofautisha hukumu na maonyo
@consoassenga7153Ай бұрын
Nyie viongozi wa dini kwani hamjui biblia inasemanye kuhusu kumuonya mtu aliyekosea kama mnahisi kakosea? Na je! Mmemsikiliza huyo dada akaeleza sababu ya yeye kusema alichokisema? Na je! Ninyi ndoa zenu ziko salama? Ninawashauri viongozi wa dini wafundisheni waumini yale yanayowapasa kuhusu Imani na Dini na sii mipasho.
@patiencekalondji8091Ай бұрын
Mungu ni siri kwa sababu hatumuone kwa macho ila kwa imani tu
@jimmymasebo6642Ай бұрын
Kunaneno ameongea point ya kutuzana na kuwa wazi kwa vile unavyota mwezako aonekane hiyo kwisha mambo yote
@NiyizigamaClaudineАй бұрын
Ana myaka 50 alizaliwa 1974 Unembe
@CharlesKayungiАй бұрын
😊mtoto
@jimmymasebo6642Ай бұрын
Hii comment ni kwa wale tu wanao amini biblia ju ya ndoa naomba mjisomee Kwa mwanaume Malaki 2vs14 Kwa mwanamke Mathayo 19vs3-12 nawapendo wote ndugu zangu
@saidsanga3981Ай бұрын
Binafs nakuelewa mtumishi, mungu azidi kukalia kusema kweli siku zote,
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Safi kabisa,wewe tuko Pamoja.nampenda sana mch mbarikiwa.
@priscadanielscappuccinolov3925Ай бұрын
Nimekuelewa sanaa baba japo ukweli unauma usiogope kemea karipi na urudi
@tinajoe5487Ай бұрын
Ni mahubiri?
@salamsabdullah-st9ptАй бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@majaysjrmtitu5300Ай бұрын
Asante sana baba.
@carolinenyemba2412Ай бұрын
It's time to put someone in prayer,when the devil want to destroy he uses people,this woman doesn't know what she is doing,she is blinded she needs help please
@vukasuvukasu9335Ай бұрын
Yawezakana Mzee wa Christina ni violent Kuna kitu inaitwa emotional abuse
@user-lh5rx6yf1gАй бұрын
1 Wakorintho 7:8,10,12 [8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. [10]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe; [12]Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
@ATHANASLUKEHA-ui7pqАй бұрын
Kwamba Mungu anaitambua ndoa kama mumezaa mtoto!SIYO KWERI HATA KIDOGO.
@FridayMwassa
Ай бұрын
Weka wewe hiyo kweli tujifunze kwako
@AnnaNgobola-pm7fzАй бұрын
Wanaenda vizuri tu ila tukumbuke kuwa shetani yuko kazini na wewe mwenyewe ujiangalie hujui mke wako anakkufikiliaje
@charlesphilipo3533Ай бұрын
Acheni kurukia kila jambo ili kupata umaarufu,,huyo mwanamke anajua anachofanya siyo mtoto
@CharlesKayungiАй бұрын
Lakini,Mtumishi.Wanandoa kama hawakuzaa moto, ndoa yao itakuwa feki?
@michaelndilima6210Ай бұрын
Kwa hali hii ni bora nokae bila zehebu usilu nikolaa nimtukze mungu na kumsifu kwa kuniuba na kunijaloa akili kufafanua
@judycheruiyot5414Ай бұрын
Kwani mahubiri ni shusho tu? Bure kabisa
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Wewe ndiyo bure kabisa, yaani,injili hiyo ilivyo bora na ya thamani.? Hovyo kabisa.
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Hana mahubiri huyu....empty debe
@lovenessmtei2476Ай бұрын
Hakika mtunishi umenena kweli
@doreensamwely8740Ай бұрын
Sasa kwan inakuhusu nn, ubrii injili tuu mwacheee afanye yake
@venancerutta6875Ай бұрын
Tunakatazwa kuhukumu mwacheni hana kosa maswala ya ndoa mwachie yeye na mume wake kitu ambacho amekifanya cha kutisha ni kipi? Hili si swala la geni christna christina swala hili likome tumechoka mahubiri hayo hawezi kulaaaniwa kwa hilo vitisho (ndoa ni siri ya watu 2) hawawezi kujiumbua (famili wana watoto watangaze ili iweje? (Mtumishi wa mungu huwezi kuyapanga maisha hata ww hujui la kesho
@AzAz-sy6zpАй бұрын
Pst ninaomba unijilishe hapo panasema kuhusu kufumania na kuachana plz
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
Mathayo 19:3-
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Huyo wakumfumania ni katika uasherati mpendwa yaani mchumba. Usije jaribu kumuacha mkeo kwa uzinzi hata awe anajiuza huyo ni wako. Yesu amesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asitenganishe.
@AzAz-sy6zp
Ай бұрын
Saw
@FridayMwassa
Ай бұрын
@@user-lh5rx6yf1gwaalimu wako wamekupoteza
@user-lh5rx6yf1gАй бұрын
Uasherati na uzinzi ni tofauti. Uasherati ni tendo la ndoa la watu ambao hawajaoa /kuokewa na wachumba ambao hawajafanya tendo la ndoa na mmoja akafanya nje tendo hilo Uzinzi ni kufanya tendo la ndoa nje baada ya wanandoa kuwa wailiisha fanya tendo hilo..
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
Wewe uasherati ni kwa walio ndani ya ndoa, uzinzi ndiyo wale ambao hawajaoa au kuolewa
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Marko 10:11 [11]Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;
@gracesanga6489Ай бұрын
mchungaji nakupendaga sana ila nini Leo ibaada yako kumhubiri mtu wakati MUNGU anawajua walio wake habar za huyo dada ziacheni watajuana na MUNGU,au mfuateni mwambieni. yeye mwenyewe
Bado ndoa ya mke wako itakavyoondoka ndio uchanganyikiwe zaidi
@lulumatawalo7805Ай бұрын
Haya ni mahubiri au ni umbea madhabahuni??!!
@musatibetiАй бұрын
Hata ww unaonesha ninamnagan kristo hayupo ndaniyako maana unazungumzia sana mamboyamwilini .mbonamtumishi hujatumwa kuwatangazia vituhivyo
@BarakaSmollel29 күн бұрын
Iyo sio hukumu Bali kukanyana
@user-dk5kk4rf3vАй бұрын
Hata mkeo ipo cku.... matatizo ya ndoa hayana ujanja....
@angelsulle7177Ай бұрын
Hivi wewe kazi Yako ni kumhubiri Christina au injili ni mchungaji Gani??? Injili utahubiri lini huna adabu umetamka matusi makubwa makubwa hadharini wewe si Nuru mkwazaji mkubwa
@vukasuvukasu9335Ай бұрын
Baadala ya kusema mengi mbona usitafute ukweli tena hiyo vedio ya Christina kuondoka ni ya zamani IAM sure wako pamoja kwa sasa!
@gideonchipepo8405Ай бұрын
Je ukimtafuta ukamhuliza vizuri ukaongea nae ana kwa ana mi naona ingekua hekima sana kuliko kumhubili madhabahuni kila siku. Maana Biblia imesema mwite umuonye akikosea.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
Wewe umemtafuta Mbarikiwa? Au nawe umeandika comment ya kumkosoa hadharani?
@user-yj5es1jw8cАй бұрын
Neno hapo amna
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Katika hayo asemayo,huoni Neno hapo? Pole Sana,hovyo kabisa!
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Hana neno kabisaa huyu mchungaji...ana kiangazi Cha neno
@princessjj8298Ай бұрын
Wewe baba...Huna biblia???. Maandiko ya kufundisha yameisha mpaka kila siku madhabahu yako unaitumia kuongelea watu. Hubiri Injili acha kujadili watu.
@konexenon5051Ай бұрын
mtu akiwa na dhambi huwa Mchungaji hasimami madhabahuni na kumsema ingekua hivo makanisan asinge baki mtu
@VunjabeiVunjabeiАй бұрын
Binti Gani anamezaa na anamabinti mtoto wake anaiaka20
@filbertkalengaАй бұрын
Tutambue kuwa hata shetani alikuwa mwimbaji baadae akabadilika awa muovu
@samwelmatemu8873Ай бұрын
Huyo dada hapungui miaka 53+
@patiencekalondji8091Ай бұрын
Kuna andiko inasema Yesu ni bwana harusi atafunga ndoa na nani?
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Ayoo ni mambo ya kiroho zaidi ndugu autaolewa maana c dini yakoo heshimu iloo
@saruninaisministries1213Ай бұрын
Useless statement
@joachimchacha3228Ай бұрын
Kumbukeni na Hera za nabii mkuu jodev alizoenda kupewa Arusha nalo ni anguko kubwa
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Ela ilikuwa suala la baaae,ila alianza kuomba nguvu,nanukuu maneno yakee"baba nipe nguvu"nabii akaamka akasema"nikupe nguvu"?akaimba wimbo wake na kumwambia aimbe hata beti moja kisha ndo akampatia milioni kumi.
@samwelmatemu8873Ай бұрын
Hakuna mahali panasema mke akimfumania mme wavunje ndoa isipo kuwa inamlenga mke akifanya uasherati.toa andiko
@FridayMwassa
Ай бұрын
Hivi na wewe ni mkristo
@carolinenjoroge909226 күн бұрын
Mahubiri ya neno yataanza saa ngapi?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
26 күн бұрын
Kabla na baada ya hapa. Ingawa hata haya ni sehemu ya mahubiri ya neno la Mungu
@SabastianRaymondАй бұрын
HAPO NAPO HAUKO SAWA. UZINZI NA UASHERATI NI VITU VIWILI TOFAUTI.
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Lakini vyote ni dhambi na vinahusisha kuingiliana kimwili kati ya ke na me
@user-lh5rx6yf1gАй бұрын
Ndoa ni agano hata mke umemfumania mara mia au haitaki imani Yako agano hilo halivunjiki. Ndoa inavunjika pale mmja anapokufa TU.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
Shika wendawazimu huo uje ufe kwa kujinyonga.
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Je tubadili neno la Mungu kwaajili ya kuogopa kujinyonga?
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
@@user-lh5rx6yf1g mathayo 19:9 ielewe vizuri hiyo usitafsiri kwa mihemko. Ukifumania unamwacha
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
@@user-lh5rx6yf1g neno la "wazungu" tunalibadili macho makavu (mchana kweupe). Hicho unachofahamu ni neno la wazungu. Yaani umetafsiliwa maandiko kama wazungu walivyolenga kumuangaisha Mwafrika. Ndio maana watu kama wewe huwa choka mbaya kwa kila kitu.
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Mtumishi, hili neno 1kor 7 : 12 nimefundishwa na Bwana Yesu mwenyewe kwa sauti kabisa. Uwe makini mtumishi maana km unashaka Muulize Bwana atakujibu tu km alivypnijibu mm.
@ceciliakongani9299Ай бұрын
Hujawahi kuwa na lolote la maana la kumwambia yeyote yule...
@hatiagk4447Ай бұрын
Hueleweki hata kidogo
@Yoram_Changala
Ай бұрын
Nadhani haujataka kusikiliza kwa sikio la kuelewa, mbona maelezo hayo yanaeleweka tu
@jacksonmkuye7739
Ай бұрын
Una matatizo binafsi
@ashelikilele167
Ай бұрын
Nazani unajini sharifu linakutesa
@Yoram_Changala
Ай бұрын
@@ashelikilele167 Majini shariffu masumbufu sana 🤣🤣🤣
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Kama unaelewa zaidi ya nilivyoelezea kwanini usininieleze kwa upendio? Sisi ni viungo vya mwili wa kristo. Tafuta neno la Mungu na uelezee bila chuki.
@innocentkanyata9923Ай бұрын
Fanya yako achana na Christina Shusho
@babadee4785Ай бұрын
Judging others doesn't make us perfect.
@user-xe3fo1bh5sАй бұрын
Pumbavu kabisa wewe mbarikiwa katipwe jela tu ufie huko
@neemarosedawson3154Ай бұрын
Mwache huyo dada wewe hubiri Injili tu.
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Hiyo siyo injili? Hovyo kabisa.
@tinajoe5487
Ай бұрын
Huo ni umbea
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
😂😂😂kweli kabsaaa
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Tena wa Hali ya juu
@RebeccaAmisi
Ай бұрын
Peya watu neno acha chouchou MUNGU ana juwa ya kesho please ama hauna neno?
@consoassenga7153Ай бұрын
Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊
Пікірлер: 161
Nusu saa nzima unawahubiria wakristo wako habari za mtu badala ya Mungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
Ukimhubiri huyo Mungu hauhubiri watu? Kwani Biblia haijaandika makosa na mema ya watu ndio tunayoyasema ili wengine wajifunze?
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile kweli kabisa mzee tunahubiri kwa kusema watu wa zamani kwa uzuri wao au ubaya wao.
@tinajoe5487
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile hakuna cha kujifunza hapo
Ni vema ukahubiri Toba kwa wanaopotea kuliko kuhubiri kumsema mtu sioni kama hiyo ni sawa mbele za Mungu wapo Watu hawamjui Mungu wanahitaji injili sio busara mahubiri ya kumsema mtu binafsi watumiahi siku hizi mnatafuta umaarufu kuliko kufanya kazi ya Mungu. Ee Mungu wa mbinguni tusaidie sana.
Amen Amen Amen baba yangu hubarikiwe sana kwa mafundisho na neno lake bwana. Nuru na giza haipatani kabisa baba 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻
Mafundisho nzuri Ngugu. Aki nmeombea sana dada Christina. Mungu amfungue macho aki. Amen!
Ahsante mtumishi wa Mungu. Umesema kweli. BIBLI NI NENO LA MUNGU
Mstari wa 12 inazungumzia mzazi mwenzako siyo mke uliyokwishaoa. Yesu haiwezi kujipinga. Ukiwa na shaka Muulize YESU mwenyewe.
Hallelujah hallelujah baba nafikiri Mungu anataka kuzaa kiroho yaani kuaminisha wasio mujua Mungu
Ni kweli Mtumishi yaani ukiingiliana sana na Dunia lazima uangukie pabaya. Mfano mavazi, misemo ...Natamani watu wa media tupate vipande vya ujumbe huu kuna Hekima zinahitajika watu wazipate ziwasidie. Maana wengi wanapima mambo kwa jicho la Dhambi au siyo dhambi wasijue kumbe kuna mambo mengine ni mtego wa shetani kupoteza IDENTITY ya Kanisa
Ubarikiwe sana mchungaji hakika mimi nime kuelewa sana
Udumu ktk huduma hiyo mtumishi Mungu akubariki sana Ukweli daima unama God bless you
Utajifumaniaje we mtumishi ni mchanga kiroho watumishi wengi wanaume wameanguka mara nyigi.Usijitape jiombee Mungu akusaidie. Hivi unajua maana ya neno malaya au soma yakobo ulimi ni kiungo kidogo na mtakatifu utampima kwa ulimi.
Kweli kabisa ,Amina Amina 🙏
Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊
Mbona ma Mbonambona mnamponda mme mwenzemwenzenu mnazidi kumpoteza christina
Mmi ni mtu ambaye sisikilizi wachungaji ila wew nakusikiliza, that your incredible pastor we talk really and immediately
Baba,ninakushukuru Sana,niko Shinyanga,lakini ninatokwa na machozi kwa gharama ya ajabu ya huduma yako. UBARIKIWE NA BWANA.ninakupenda Sana,mch mwakipesile.
Sio lazima ufatane na mmeo.Lakini kama kulikua na mengine mungu aingilie kati.
Amen mtumishi kiukweli binadamu hapendi kuambiwa ukweli ubarikiwe kwa kusema kweli.
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
Aliolewa akiwa na miaka chin ya 18 na alilazimishwa ,,,na aliolewa na mtu MZIMA aliaemzidi umrii pakubwa ,so kajitambua kapata pa kuanzia kasepa ,,Hana baya
Ubarikiwe
Laiti kama Nyumba zingepewa vinywa, basi tungejua siri za wengi. Mungu na wao ndo wanaojua ukweli. Pengne siku ikiwa wazi tutakosa cha kunena. Tuweni na akiba ya maneno.
Kristina amekuwa biblia ,waumini wa huyu jamaa ,nawaonea huluma mngehubila injili ingekuwa njema sana
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Aminaaaa
Kweli kabisaa
Binafsi nampenda sana huyu mchungaji
Mathayo 1:20 [20]Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa RohMtakatif Ndoa ni agano na Mungu anaanza kuitambua wakati wa uchumba.
Pastor wafaa kuombea hii familia badala ya kuiponda juu ya madhabau na wewe ni mzazi
Lakini Cristina Shusho hajasema ameachana na mume wake wala mume wake hajakiri kuachana na mke wake mimi nina imani Cristina bado yuko na mume wake ila katika kumtumikia Mungu kila mmoja anawito wake
Mungu atusaidie ili tuishi na kutembea ktk Kweli Yake.
👏👏
Katika hizo sababu mbili tu naunga mkono kabisa hotuba hii 1.Kumfumania mtu kwa sababu za uzinzi/uasherati 2.Kuzuia imani
Ame tuvunja moyo kabisa baba yangu tulikuwa tuna penda nyimbo zake kabisa baba yangu hubarikiwe 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
Kwann uvunjike moyo ,Kila mtu Ako na mapito ya peke ake,,so kaa kwa kutulia ,,,,,,huyu mama aliolewa na kwa kulazmishwa na wazazi ,akiwaa na umri mdogo ,na akaolewa na mtu mzma,,,,sasa kajitambua kapata upenyo kasepa ,kosa lake liko wapi??????
@upendochiwa25
Ай бұрын
@@jeremiahcharles6027angekaa kimya tu ingesaidia, kuliko kumsema baba wa watu, mm mwenyewe Christina kaniumiza maana nyimbo zake nyingi nikizisikiliza zinanipa unyenyekevu wakuingia kwenye maombi, naumia sana na natamani christina arudi kwa mume wake itapendeza zaidi
Ukimsema Sana mtu aliyekosea unajichafua muache mungu afanye kazi yake
@AllexNnko
Ай бұрын
Hii ni aina tu ya mfano wa watumishi walio itwa kipindi cha uamsho na msipo amka nyinyi viongozi vipofu wanakuja kaeni tyr upesi
kazi ya watumishi ndio hiyo kuwasaidia kuona mabaya yanapokuja ili mjiepushe nayo .wewe ukiona hayakuingiii kaa kimya kwa maombi na mafunuo lakini kunawengine wanakombolewa.nadhan tuwe wasikikizaji kwanza Mungu atatupa hekima nanma ya kuyajua hayo.
Sipendi tena nyimbo zake
Mchungaji umeongea ukweli mtupu baba, sema watu waelewe Alichounganisha mungu binadamu asitenganishe.
Acheni kuhukumu watu,,,,,,,kazi ya kuhukumu sio yenu,,hakuna aliekamilika
@johnjohnkipokola5077
Ай бұрын
Lazima aelezwe ukweli! Christina amekengeuka na arudi kwa Mungu akatubu na airudie ndoa yake.
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
@@johnjohnkipokola5077 kaka umesikiliza upande mmoja,,, behind ze scene,bint aliolewa katika umri mdogo ,na aliolewa na akiwa bado hajajitambua ,na nikama alilazimishwa ,kapata upenyo kasepa ,,Hana BAYA
@gabriellyadam9415
Ай бұрын
Sasa si amfate amwambie kwann anamhubir kanisan @@johnjohnkipokola5077
@user-fg4fj6lf5n
Ай бұрын
Pole lakini neno ni neno. Let's agree to let the Word to wash us... painful but essential.... lets move from glory to glory so that we become "cities set on a hill"...we are in a race
@beatricesamwel8161
Ай бұрын
Tofautisha hukumu na maonyo.anapo potosha watu na kuukwepesha ukweli wa neno la YESU lazima akemewe ili asihalibu wanaotaka kuokoka.tofautisha hukumu na maonyo
Nyie viongozi wa dini kwani hamjui biblia inasemanye kuhusu kumuonya mtu aliyekosea kama mnahisi kakosea? Na je! Mmemsikiliza huyo dada akaeleza sababu ya yeye kusema alichokisema? Na je! Ninyi ndoa zenu ziko salama? Ninawashauri viongozi wa dini wafundisheni waumini yale yanayowapasa kuhusu Imani na Dini na sii mipasho.
Mungu ni siri kwa sababu hatumuone kwa macho ila kwa imani tu
Kunaneno ameongea point ya kutuzana na kuwa wazi kwa vile unavyota mwezako aonekane hiyo kwisha mambo yote
Ana myaka 50 alizaliwa 1974 Unembe
😊mtoto
Hii comment ni kwa wale tu wanao amini biblia ju ya ndoa naomba mjisomee Kwa mwanaume Malaki 2vs14 Kwa mwanamke Mathayo 19vs3-12 nawapendo wote ndugu zangu
Binafs nakuelewa mtumishi, mungu azidi kukalia kusema kweli siku zote,
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Safi kabisa,wewe tuko Pamoja.nampenda sana mch mbarikiwa.
Nimekuelewa sanaa baba japo ukweli unauma usiogope kemea karipi na urudi
Ni mahubiri?
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana baba.
It's time to put someone in prayer,when the devil want to destroy he uses people,this woman doesn't know what she is doing,she is blinded she needs help please
Yawezakana Mzee wa Christina ni violent Kuna kitu inaitwa emotional abuse
1 Wakorintho 7:8,10,12 [8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. [10]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe; [12]Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
Kwamba Mungu anaitambua ndoa kama mumezaa mtoto!SIYO KWERI HATA KIDOGO.
@FridayMwassa
Ай бұрын
Weka wewe hiyo kweli tujifunze kwako
Wanaenda vizuri tu ila tukumbuke kuwa shetani yuko kazini na wewe mwenyewe ujiangalie hujui mke wako anakkufikiliaje
Acheni kurukia kila jambo ili kupata umaarufu,,huyo mwanamke anajua anachofanya siyo mtoto
Lakini,Mtumishi.Wanandoa kama hawakuzaa moto, ndoa yao itakuwa feki?
Kwa hali hii ni bora nokae bila zehebu usilu nikolaa nimtukze mungu na kumsifu kwa kuniuba na kunijaloa akili kufafanua
Kwani mahubiri ni shusho tu? Bure kabisa
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Wewe ndiyo bure kabisa, yaani,injili hiyo ilivyo bora na ya thamani.? Hovyo kabisa.
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Hana mahubiri huyu....empty debe
Hakika mtunishi umenena kweli
Sasa kwan inakuhusu nn, ubrii injili tuu mwacheee afanye yake
Tunakatazwa kuhukumu mwacheni hana kosa maswala ya ndoa mwachie yeye na mume wake kitu ambacho amekifanya cha kutisha ni kipi? Hili si swala la geni christna christina swala hili likome tumechoka mahubiri hayo hawezi kulaaaniwa kwa hilo vitisho (ndoa ni siri ya watu 2) hawawezi kujiumbua (famili wana watoto watangaze ili iweje? (Mtumishi wa mungu huwezi kuyapanga maisha hata ww hujui la kesho
Pst ninaomba unijilishe hapo panasema kuhusu kufumania na kuachana plz
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
Mathayo 19:3-
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Huyo wakumfumania ni katika uasherati mpendwa yaani mchumba. Usije jaribu kumuacha mkeo kwa uzinzi hata awe anajiuza huyo ni wako. Yesu amesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asitenganishe.
@AzAz-sy6zp
Ай бұрын
Saw
@FridayMwassa
Ай бұрын
@@user-lh5rx6yf1gwaalimu wako wamekupoteza
Uasherati na uzinzi ni tofauti. Uasherati ni tendo la ndoa la watu ambao hawajaoa /kuokewa na wachumba ambao hawajafanya tendo la ndoa na mmoja akafanya nje tendo hilo Uzinzi ni kufanya tendo la ndoa nje baada ya wanandoa kuwa wailiisha fanya tendo hilo..
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
Wewe uasherati ni kwa walio ndani ya ndoa, uzinzi ndiyo wale ambao hawajaoa au kuolewa
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Marko 10:11 [11]Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;
mchungaji nakupendaga sana ila nini Leo ibaada yako kumhubiri mtu wakati MUNGU anawajua walio wake habar za huyo dada ziacheni watajuana na MUNGU,au mfuateni mwambieni. yeye mwenyewe
Inatosha mchungaji kwanini mnaendelea kumuongea kwanini msimuete .kuliko kuendelea kuongelea maana haibadilishi chochote
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Umechoka Sana
Bado ndoa ya mke wako itakavyoondoka ndio uchanganyikiwe zaidi
Haya ni mahubiri au ni umbea madhabahuni??!!
Hata ww unaonesha ninamnagan kristo hayupo ndaniyako maana unazungumzia sana mamboyamwilini .mbonamtumishi hujatumwa kuwatangazia vituhivyo
Iyo sio hukumu Bali kukanyana
Hata mkeo ipo cku.... matatizo ya ndoa hayana ujanja....
Hivi wewe kazi Yako ni kumhubiri Christina au injili ni mchungaji Gani??? Injili utahubiri lini huna adabu umetamka matusi makubwa makubwa hadharini wewe si Nuru mkwazaji mkubwa
Baadala ya kusema mengi mbona usitafute ukweli tena hiyo vedio ya Christina kuondoka ni ya zamani IAM sure wako pamoja kwa sasa!
Je ukimtafuta ukamhuliza vizuri ukaongea nae ana kwa ana mi naona ingekua hekima sana kuliko kumhubili madhabahuni kila siku. Maana Biblia imesema mwite umuonye akikosea.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
Wewe umemtafuta Mbarikiwa? Au nawe umeandika comment ya kumkosoa hadharani?
Neno hapo amna
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Katika hayo asemayo,huoni Neno hapo? Pole Sana,hovyo kabisa!
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Hana neno kabisaa huyu mchungaji...ana kiangazi Cha neno
Wewe baba...Huna biblia???. Maandiko ya kufundisha yameisha mpaka kila siku madhabahu yako unaitumia kuongelea watu. Hubiri Injili acha kujadili watu.
mtu akiwa na dhambi huwa Mchungaji hasimami madhabahuni na kumsema ingekua hivo makanisan asinge baki mtu
Binti Gani anamezaa na anamabinti mtoto wake anaiaka20
Tutambue kuwa hata shetani alikuwa mwimbaji baadae akabadilika awa muovu
Huyo dada hapungui miaka 53+
Kuna andiko inasema Yesu ni bwana harusi atafunga ndoa na nani?
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Ayoo ni mambo ya kiroho zaidi ndugu autaolewa maana c dini yakoo heshimu iloo
Useless statement
Kumbukeni na Hera za nabii mkuu jodev alizoenda kupewa Arusha nalo ni anguko kubwa
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Ela ilikuwa suala la baaae,ila alianza kuomba nguvu,nanukuu maneno yakee"baba nipe nguvu"nabii akaamka akasema"nikupe nguvu"?akaimba wimbo wake na kumwambia aimbe hata beti moja kisha ndo akampatia milioni kumi.
Hakuna mahali panasema mke akimfumania mme wavunje ndoa isipo kuwa inamlenga mke akifanya uasherati.toa andiko
@FridayMwassa
Ай бұрын
Hivi na wewe ni mkristo
Mahubiri ya neno yataanza saa ngapi?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
26 күн бұрын
Kabla na baada ya hapa. Ingawa hata haya ni sehemu ya mahubiri ya neno la Mungu
HAPO NAPO HAUKO SAWA. UZINZI NA UASHERATI NI VITU VIWILI TOFAUTI.
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Lakini vyote ni dhambi na vinahusisha kuingiliana kimwili kati ya ke na me
Ndoa ni agano hata mke umemfumania mara mia au haitaki imani Yako agano hilo halivunjiki. Ndoa inavunjika pale mmja anapokufa TU.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
Shika wendawazimu huo uje ufe kwa kujinyonga.
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Je tubadili neno la Mungu kwaajili ya kuogopa kujinyonga?
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
@@user-lh5rx6yf1g mathayo 19:9 ielewe vizuri hiyo usitafsiri kwa mihemko. Ukifumania unamwacha
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Ай бұрын
@@user-lh5rx6yf1g neno la "wazungu" tunalibadili macho makavu (mchana kweupe). Hicho unachofahamu ni neno la wazungu. Yaani umetafsiliwa maandiko kama wazungu walivyolenga kumuangaisha Mwafrika. Ndio maana watu kama wewe huwa choka mbaya kwa kila kitu.
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Mtumishi, hili neno 1kor 7 : 12 nimefundishwa na Bwana Yesu mwenyewe kwa sauti kabisa. Uwe makini mtumishi maana km unashaka Muulize Bwana atakujibu tu km alivypnijibu mm.
Hujawahi kuwa na lolote la maana la kumwambia yeyote yule...
Hueleweki hata kidogo
@Yoram_Changala
Ай бұрын
Nadhani haujataka kusikiliza kwa sikio la kuelewa, mbona maelezo hayo yanaeleweka tu
@jacksonmkuye7739
Ай бұрын
Una matatizo binafsi
@ashelikilele167
Ай бұрын
Nazani unajini sharifu linakutesa
@Yoram_Changala
Ай бұрын
@@ashelikilele167 Majini shariffu masumbufu sana 🤣🤣🤣
@user-lh5rx6yf1g
Ай бұрын
Kama unaelewa zaidi ya nilivyoelezea kwanini usininieleze kwa upendio? Sisi ni viungo vya mwili wa kristo. Tafuta neno la Mungu na uelezee bila chuki.
Fanya yako achana na Christina Shusho
Judging others doesn't make us perfect.
Pumbavu kabisa wewe mbarikiwa katipwe jela tu ufie huko
Mwache huyo dada wewe hubiri Injili tu.
@abrahamnyagawa1304
Ай бұрын
Hiyo siyo injili? Hovyo kabisa.
@tinajoe5487
Ай бұрын
Huo ni umbea
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
😂😂😂kweli kabsaaa
@ceciliakongani9299
Ай бұрын
Tena wa Hali ya juu
@RebeccaAmisi
Ай бұрын
Peya watu neno acha chouchou MUNGU ana juwa ya kesho please ama hauna neno?
Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊