Mbarikiwa live kwenye ibada. Leo amefafanua kwa upole kuhusu Christina Shusho na ndoa yake?

Sisi kwetu injili ni kuongea na kukemea maaovu na uovu na kuwakataza waovu kutenda uovu.
KWA MAWASILIAMO ZAIDI PIGA SIMU
0655436603 au 0769015164

Пікірлер: 161

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770Ай бұрын

    Nusu saa nzima unawahubiria wakristo wako habari za mtu badala ya Mungu

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Ай бұрын

    Ukimhubiri huyo Mungu hauhubiri watu? Kwani Biblia haijaandika makosa na mema ya watu ndio tunayoyasema ili wengine wajifunze?

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Ай бұрын

    @@Mbarikiwa_Mwakipesile kweli kabisa mzee tunahubiri kwa kusema watu wa zamani kwa uzuri wao au ubaya wao.

  • @tinajoe5487

    @tinajoe5487

    22 күн бұрын

    @@Mbarikiwa_Mwakipesile hakuna cha kujifunza hapo

  • @johngerald4739
    @johngerald4739Ай бұрын

    Ni vema ukahubiri Toba kwa wanaopotea kuliko kuhubiri kumsema mtu sioni kama hiyo ni sawa mbele za Mungu wapo Watu hawamjui Mungu wanahitaji injili sio busara mahubiri ya kumsema mtu binafsi watumiahi siku hizi mnatafuta umaarufu kuliko kufanya kazi ya Mungu. Ee Mungu wa mbinguni tusaidie sana.

  • @stephaniakanka8178
    @stephaniakanka8178Ай бұрын

    Amen Amen Amen baba yangu hubarikiwe sana kwa mafundisho na neno lake bwana. Nuru na giza haipatani kabisa baba 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻

  • @tobiasolando4467
    @tobiasolando4467Ай бұрын

    Mafundisho nzuri Ngugu. Aki nmeombea sana dada Christina. Mungu amfungue macho aki. Amen!

  • @isakamwambenja7397
    @isakamwambenja7397Ай бұрын

    Ahsante mtumishi wa Mungu. Umesema kweli. BIBLI NI NENO LA MUNGU

  • @user-lh5rx6yf1g
    @user-lh5rx6yf1gАй бұрын

    Mstari wa 12 inazungumzia mzazi mwenzako siyo mke uliyokwishaoa. Yesu haiwezi kujipinga. Ukiwa na shaka Muulize YESU mwenyewe.

  • @patiencekalondji8091
    @patiencekalondji8091Ай бұрын

    Hallelujah hallelujah baba nafikiri Mungu anataka kuzaa kiroho yaani kuaminisha wasio mujua Mungu

  • @edengospeltv4395
    @edengospeltv4395Ай бұрын

    Ni kweli Mtumishi yaani ukiingiliana sana na Dunia lazima uangukie pabaya. Mfano mavazi, misemo ...Natamani watu wa media tupate vipande vya ujumbe huu kuna Hekima zinahitajika watu wazipate ziwasidie. Maana wengi wanapima mambo kwa jicho la Dhambi au siyo dhambi wasijue kumbe kuna mambo mengine ni mtego wa shetani kupoteza IDENTITY ya Kanisa

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5iАй бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji hakika mimi nime kuelewa sana

  • @mosessiame7882
    @mosessiame7882Ай бұрын

    Udumu ktk huduma hiyo mtumishi Mungu akubariki sana Ukweli daima unama God bless you

  • @nguzoyetugirlscentre6270
    @nguzoyetugirlscentre6270Ай бұрын

    Utajifumaniaje we mtumishi ni mchanga kiroho watumishi wengi wanaume wameanguka mara nyigi.Usijitape jiombee Mungu akusaidie. Hivi unajua maana ya neno malaya au soma yakobo ulimi ni kiungo kidogo na mtakatifu utampima kwa ulimi.

  • @irenemuia2718
    @irenemuia2718Ай бұрын

    Kweli kabisa ,Amina Amina 🙏

  • @consoassenga7153
    @consoassenga7153Ай бұрын

    Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fzАй бұрын

    Mbona ma Mbonambona mnamponda mme mwenzemwenzenu mnazidi kumpoteza christina

  • @JimmyMwakatundu
    @JimmyMwakatunduАй бұрын

    Mmi ni mtu ambaye sisikilizi wachungaji ila wew nakusikiliza, that your incredible pastor we talk really and immediately

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304Ай бұрын

    Baba,ninakushukuru Sana,niko Shinyanga,lakini ninatokwa na machozi kwa gharama ya ajabu ya huduma yako. UBARIKIWE NA BWANA.ninakupenda Sana,mch mwakipesile.

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476Ай бұрын

    Sio lazima ufatane na mmeo.Lakini kama kulikua na mengine mungu aingilie kati.

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2lАй бұрын

    Amen mtumishi kiukweli binadamu hapendi kuambiwa ukweli ubarikiwe kwa kusema kweli.

  • @jeremiahcharles6027

    @jeremiahcharles6027

    Ай бұрын

    Aliolewa akiwa na miaka chin ya 18 na alilazimishwa ,,,na aliolewa na mtu MZIMA aliaemzidi umrii pakubwa ,so kajitambua kapata pa kuanzia kasepa ,,Hana baya

  • @chancealimasi1946
    @chancealimasi1946Ай бұрын

    Ubarikiwe

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630Ай бұрын

    Laiti kama Nyumba zingepewa vinywa, basi tungejua siri za wengi. Mungu na wao ndo wanaojua ukweli. Pengne siku ikiwa wazi tutakosa cha kunena. Tuweni na akiba ya maneno.

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8cАй бұрын

    Kristina amekuwa biblia ,waumini wa huyu jamaa ,nawaonea huluma mngehubila injili ingekuwa njema sana

  • @ceciliakongani9299

    @ceciliakongani9299

    Ай бұрын

    Aminaaaa

  • @ceciliakongani9299
    @ceciliakongani9299Ай бұрын

    Kweli kabisaa

  • @dicksonmlelwa1762
    @dicksonmlelwa1762Ай бұрын

    Binafsi nampenda sana huyu mchungaji

  • @user-lh5rx6yf1g
    @user-lh5rx6yf1gАй бұрын

    Mathayo 1:20 [20]Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa RohMtakatif Ndoa ni agano na Mungu anaanza kuitambua wakati wa uchumba.

  • @MamasokoWahushi
    @MamasokoWahushi26 күн бұрын

    Pastor wafaa kuombea hii familia badala ya kuiponda juu ya madhabau na wewe ni mzazi

  • @agnessmrema8906
    @agnessmrema8906Ай бұрын

    Lakini Cristina Shusho hajasema ameachana na mume wake wala mume wake hajakiri kuachana na mke wake mimi nina imani Cristina bado yuko na mume wake ila katika kumtumikia Mungu kila mmoja anawito wake

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile29 күн бұрын

    Mungu atusaidie ili tuishi na kutembea ktk Kweli Yake.

  • @nkhomagodfrey4789
    @nkhomagodfrey4789Ай бұрын

    👏👏

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyangaАй бұрын

    Katika hizo sababu mbili tu naunga mkono kabisa hotuba hii 1.Kumfumania mtu kwa sababu za uzinzi/uasherati 2.Kuzuia imani

  • @stephaniakanka8178
    @stephaniakanka8178Ай бұрын

    Ame tuvunja moyo kabisa baba yangu tulikuwa tuna penda nyimbo zake kabisa baba yangu hubarikiwe 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇧🇻

  • @jeremiahcharles6027

    @jeremiahcharles6027

    Ай бұрын

    Kwann uvunjike moyo ,Kila mtu Ako na mapito ya peke ake,,so kaa kwa kutulia ,,,,,,huyu mama aliolewa na kwa kulazmishwa na wazazi ,akiwaa na umri mdogo ,na akaolewa na mtu mzma,,,,sasa kajitambua kapata upenyo kasepa ,kosa lake liko wapi??????

  • @upendochiwa25

    @upendochiwa25

    Ай бұрын

    ​@@jeremiahcharles6027angekaa kimya tu ingesaidia, kuliko kumsema baba wa watu, mm mwenyewe Christina kaniumiza maana nyimbo zake nyingi nikizisikiliza zinanipa unyenyekevu wakuingia kwenye maombi, naumia sana na natamani christina arudi kwa mume wake itapendeza zaidi

  • @HappyMsuya-og7ok
    @HappyMsuya-og7okАй бұрын

    Ukimsema Sana mtu aliyekosea unajichafua muache mungu afanye kazi yake

  • @AllexNnko

    @AllexNnko

    Ай бұрын

    Hii ni aina tu ya mfano wa watumishi walio itwa kipindi cha uamsho na msipo amka nyinyi viongozi vipofu wanakuja kaeni tyr upesi

  • @DanielSaria
    @DanielSariaАй бұрын

    kazi ya watumishi ndio hiyo kuwasaidia kuona mabaya yanapokuja ili mjiepushe nayo .wewe ukiona hayakuingiii kaa kimya kwa maombi na mafunuo lakini kunawengine wanakombolewa.nadhan tuwe wasikikizaji kwanza Mungu atatupa hekima nanma ya kuyajua hayo.

  • @mpingasaidi4493
    @mpingasaidi4493Ай бұрын

    Sipendi tena nyimbo zake

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669Ай бұрын

    Mchungaji umeongea ukweli mtupu baba, sema watu waelewe Alichounganisha mungu binadamu asitenganishe.

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027Ай бұрын

    Acheni kuhukumu watu,,,,,,,kazi ya kuhukumu sio yenu,,hakuna aliekamilika

  • @johnjohnkipokola5077

    @johnjohnkipokola5077

    Ай бұрын

    Lazima aelezwe ukweli! Christina amekengeuka na arudi kwa Mungu akatubu na airudie ndoa yake.

  • @jeremiahcharles6027

    @jeremiahcharles6027

    Ай бұрын

    @@johnjohnkipokola5077 kaka umesikiliza upande mmoja,,, behind ze scene,bint aliolewa katika umri mdogo ,na aliolewa na akiwa bado hajajitambua ,na nikama alilazimishwa ,kapata upenyo kasepa ,,Hana BAYA

  • @gabriellyadam9415

    @gabriellyadam9415

    Ай бұрын

    Sasa si amfate amwambie kwann anamhubir kanisan ​@@johnjohnkipokola5077

  • @user-fg4fj6lf5n

    @user-fg4fj6lf5n

    Ай бұрын

    Pole lakini neno ni neno. Let's agree to let the Word to wash us... painful but essential.... lets move from glory to glory so that we become "cities set on a hill"...we are in a race

  • @beatricesamwel8161

    @beatricesamwel8161

    Ай бұрын

    Tofautisha hukumu na maonyo.anapo potosha watu na kuukwepesha ukweli wa neno la YESU lazima akemewe ili asihalibu wanaotaka kuokoka.tofautisha hukumu na maonyo

  • @consoassenga7153
    @consoassenga7153Ай бұрын

    Nyie viongozi wa dini kwani hamjui biblia inasemanye kuhusu kumuonya mtu aliyekosea kama mnahisi kakosea? Na je! Mmemsikiliza huyo dada akaeleza sababu ya yeye kusema alichokisema? Na je! Ninyi ndoa zenu ziko salama? Ninawashauri viongozi wa dini wafundisheni waumini yale yanayowapasa kuhusu Imani na Dini na sii mipasho.

  • @patiencekalondji8091
    @patiencekalondji8091Ай бұрын

    Mungu ni siri kwa sababu hatumuone kwa macho ila kwa imani tu

  • @jimmymasebo6642
    @jimmymasebo6642Ай бұрын

    Kunaneno ameongea point ya kutuzana na kuwa wazi kwa vile unavyota mwezako aonekane hiyo kwisha mambo yote

  • @NiyizigamaClaudine
    @NiyizigamaClaudineАй бұрын

    Ana myaka 50 alizaliwa 1974 Unembe

  • @CharlesKayungi
    @CharlesKayungiАй бұрын

    😊mtoto

  • @jimmymasebo6642
    @jimmymasebo6642Ай бұрын

    Hii comment ni kwa wale tu wanao amini biblia ju ya ndoa naomba mjisomee Kwa mwanaume Malaki 2vs14 Kwa mwanamke Mathayo 19vs3-12 nawapendo wote ndugu zangu

  • @saidsanga3981
    @saidsanga3981Ай бұрын

    Binafs nakuelewa mtumishi, mungu azidi kukalia kusema kweli siku zote,

  • @abrahamnyagawa1304

    @abrahamnyagawa1304

    Ай бұрын

    Safi kabisa,wewe tuko Pamoja.nampenda sana mch mbarikiwa.

  • @priscadanielscappuccinolov3925
    @priscadanielscappuccinolov3925Ай бұрын

    Nimekuelewa sanaa baba japo ukweli unauma usiogope kemea karipi na urudi

  • @tinajoe5487
    @tinajoe5487Ай бұрын

    Ni mahubiri?

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9ptАй бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu5300Ай бұрын

    Asante sana baba.

  • @carolinenyemba2412
    @carolinenyemba2412Ай бұрын

    It's time to put someone in prayer,when the devil want to destroy he uses people,this woman doesn't know what she is doing,she is blinded she needs help please

  • @vukasuvukasu9335
    @vukasuvukasu9335Ай бұрын

    Yawezakana Mzee wa Christina ni violent Kuna kitu inaitwa emotional abuse

  • @user-lh5rx6yf1g
    @user-lh5rx6yf1gАй бұрын

    1 Wakorintho 7:8,10,12 [8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. [10]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe; [12]Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.

  • @ATHANASLUKEHA-ui7pq
    @ATHANASLUKEHA-ui7pqАй бұрын

    Kwamba Mungu anaitambua ndoa kama mumezaa mtoto!SIYO KWERI HATA KIDOGO.

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    Weka wewe hiyo kweli tujifunze kwako

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fzАй бұрын

    Wanaenda vizuri tu ila tukumbuke kuwa shetani yuko kazini na wewe mwenyewe ujiangalie hujui mke wako anakkufikiliaje

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533Ай бұрын

    Acheni kurukia kila jambo ili kupata umaarufu,,huyo mwanamke anajua anachofanya siyo mtoto

  • @CharlesKayungi
    @CharlesKayungiАй бұрын

    Lakini,Mtumishi.Wanandoa kama hawakuzaa moto, ndoa yao itakuwa feki?

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210Ай бұрын

    Kwa hali hii ni bora nokae bila zehebu usilu nikolaa nimtukze mungu na kumsifu kwa kuniuba na kunijaloa akili kufafanua

  • @judycheruiyot5414
    @judycheruiyot5414Ай бұрын

    Kwani mahubiri ni shusho tu? Bure kabisa

  • @abrahamnyagawa1304

    @abrahamnyagawa1304

    Ай бұрын

    Wewe ndiyo bure kabisa, yaani,injili hiyo ilivyo bora na ya thamani.? Hovyo kabisa.

  • @ceciliakongani9299

    @ceciliakongani9299

    Ай бұрын

    Hana mahubiri huyu....empty debe

  • @lovenessmtei2476
    @lovenessmtei2476Ай бұрын

    Hakika mtunishi umenena kweli

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely8740Ай бұрын

    Sasa kwan inakuhusu nn, ubrii injili tuu mwacheee afanye yake

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875Ай бұрын

    Tunakatazwa kuhukumu mwacheni hana kosa maswala ya ndoa mwachie yeye na mume wake kitu ambacho amekifanya cha kutisha ni kipi? Hili si swala la geni christna christina swala hili likome tumechoka mahubiri hayo hawezi kulaaaniwa kwa hilo vitisho (ndoa ni siri ya watu 2) hawawezi kujiumbua (famili wana watoto watangaze ili iweje? (Mtumishi wa mungu huwezi kuyapanga maisha hata ww hujui la kesho

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zpАй бұрын

    Pst ninaomba unijilishe hapo panasema kuhusu kufumania na kuachana plz

  • @luganomunuwavanu9369

    @luganomunuwavanu9369

    Ай бұрын

    Mathayo 19:3-

  • @user-lh5rx6yf1g

    @user-lh5rx6yf1g

    Ай бұрын

    Huyo wakumfumania ni katika uasherati mpendwa yaani mchumba. Usije jaribu kumuacha mkeo kwa uzinzi hata awe anajiuza huyo ni wako. Yesu amesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asitenganishe.

  • @AzAz-sy6zp

    @AzAz-sy6zp

    Ай бұрын

    Saw

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    ​@@user-lh5rx6yf1gwaalimu wako wamekupoteza

  • @user-lh5rx6yf1g
    @user-lh5rx6yf1gАй бұрын

    Uasherati na uzinzi ni tofauti. Uasherati ni tendo la ndoa la watu ambao hawajaoa /kuokewa na wachumba ambao hawajafanya tendo la ndoa na mmoja akafanya nje tendo hilo Uzinzi ni kufanya tendo la ndoa nje baada ya wanandoa kuwa wailiisha fanya tendo hilo..

  • @luganomunuwavanu9369

    @luganomunuwavanu9369

    Ай бұрын

    Wewe uasherati ni kwa walio ndani ya ndoa, uzinzi ndiyo wale ambao hawajaoa au kuolewa

  • @user-lh5rx6yf1g

    @user-lh5rx6yf1g

    Ай бұрын

    Marko 10:11 [11]Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;

  • @gracesanga6489
    @gracesanga6489Ай бұрын

    mchungaji nakupendaga sana ila nini Leo ibaada yako kumhubiri mtu wakati MUNGU anawajua walio wake habar za huyo dada ziacheni watajuana na MUNGU,au mfuateni mwambieni. yeye mwenyewe

  • @heriettarazo5705
    @heriettarazo5705Ай бұрын

    Inatosha mchungaji kwanini mnaendelea kumuongea kwanini msimuete .kuliko kuendelea kuongelea maana haibadilishi chochote

  • @abrahamnyagawa1304

    @abrahamnyagawa1304

    Ай бұрын

    Umechoka Sana

  • @user-wi4nb7fg8v
    @user-wi4nb7fg8vАй бұрын

    Bado ndoa ya mke wako itakavyoondoka ndio uchanganyikiwe zaidi

  • @lulumatawalo7805
    @lulumatawalo7805Ай бұрын

    Haya ni mahubiri au ni umbea madhabahuni??!!

  • @musatibeti
    @musatibetiАй бұрын

    Hata ww unaonesha ninamnagan kristo hayupo ndaniyako maana unazungumzia sana mamboyamwilini .mbonamtumishi hujatumwa kuwatangazia vituhivyo

  • @BarakaSmollel
    @BarakaSmollel29 күн бұрын

    Iyo sio hukumu Bali kukanyana

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3vАй бұрын

    Hata mkeo ipo cku.... matatizo ya ndoa hayana ujanja....

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177Ай бұрын

    Hivi wewe kazi Yako ni kumhubiri Christina au injili ni mchungaji Gani??? Injili utahubiri lini huna adabu umetamka matusi makubwa makubwa hadharini wewe si Nuru mkwazaji mkubwa

  • @vukasuvukasu9335
    @vukasuvukasu9335Ай бұрын

    Baadala ya kusema mengi mbona usitafute ukweli tena hiyo vedio ya Christina kuondoka ni ya zamani IAM sure wako pamoja kwa sasa!

  • @gideonchipepo8405
    @gideonchipepo8405Ай бұрын

    Je ukimtafuta ukamhuliza vizuri ukaongea nae ana kwa ana mi naona ingekua hekima sana kuliko kumhubili madhabahuni kila siku. Maana Biblia imesema mwite umuonye akikosea.

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Ай бұрын

    Wewe umemtafuta Mbarikiwa? Au nawe umeandika comment ya kumkosoa hadharani?

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8cАй бұрын

    Neno hapo amna

  • @abrahamnyagawa1304

    @abrahamnyagawa1304

    Ай бұрын

    Katika hayo asemayo,huoni Neno hapo? Pole Sana,hovyo kabisa!

  • @ceciliakongani9299

    @ceciliakongani9299

    Ай бұрын

    Hana neno kabisaa huyu mchungaji...ana kiangazi Cha neno

  • @princessjj8298
    @princessjj8298Ай бұрын

    Wewe baba...Huna biblia???. Maandiko ya kufundisha yameisha mpaka kila siku madhabahu yako unaitumia kuongelea watu. Hubiri Injili acha kujadili watu.

  • @konexenon5051
    @konexenon5051Ай бұрын

    mtu akiwa na dhambi huwa Mchungaji hasimami madhabahuni na kumsema ingekua hivo makanisan asinge baki mtu

  • @VunjabeiVunjabei
    @VunjabeiVunjabeiАй бұрын

    Binti Gani anamezaa na anamabinti mtoto wake anaiaka20

  • @filbertkalenga
    @filbertkalengaАй бұрын

    Tutambue kuwa hata shetani alikuwa mwimbaji baadae akabadilika awa muovu

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873Ай бұрын

    Huyo dada hapungui miaka 53+

  • @patiencekalondji8091
    @patiencekalondji8091Ай бұрын

    Kuna andiko inasema Yesu ni bwana harusi atafunga ndoa na nani?

  • @FrankMushi-cs5js

    @FrankMushi-cs5js

    Ай бұрын

    Ayoo ni mambo ya kiroho zaidi ndugu autaolewa maana c dini yakoo heshimu iloo

  • @saruninaisministries1213
    @saruninaisministries1213Ай бұрын

    Useless statement

  • @joachimchacha3228
    @joachimchacha3228Ай бұрын

    Kumbukeni na Hera za nabii mkuu jodev alizoenda kupewa Arusha nalo ni anguko kubwa

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Ай бұрын

    Ela ilikuwa suala la baaae,ila alianza kuomba nguvu,nanukuu maneno yakee"baba nipe nguvu"nabii akaamka akasema"nikupe nguvu"?akaimba wimbo wake na kumwambia aimbe hata beti moja kisha ndo akampatia milioni kumi.

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873Ай бұрын

    Hakuna mahali panasema mke akimfumania mme wavunje ndoa isipo kuwa inamlenga mke akifanya uasherati.toa andiko

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    Hivi na wewe ni mkristo

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge909226 күн бұрын

    Mahubiri ya neno yataanza saa ngapi?

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    26 күн бұрын

    Kabla na baada ya hapa. Ingawa hata haya ni sehemu ya mahubiri ya neno la Mungu

  • @SabastianRaymond
    @SabastianRaymondАй бұрын

    HAPO NAPO HAUKO SAWA. UZINZI NA UASHERATI NI VITU VIWILI TOFAUTI.

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Ай бұрын

    Lakini vyote ni dhambi na vinahusisha kuingiliana kimwili kati ya ke na me

  • @user-lh5rx6yf1g
    @user-lh5rx6yf1gАй бұрын

    Ndoa ni agano hata mke umemfumania mara mia au haitaki imani Yako agano hilo halivunjiki. Ndoa inavunjika pale mmja anapokufa TU.

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Ай бұрын

    Shika wendawazimu huo uje ufe kwa kujinyonga.

  • @user-lh5rx6yf1g

    @user-lh5rx6yf1g

    Ай бұрын

    Je tubadili neno la Mungu kwaajili ya kuogopa kujinyonga?

  • @luganomunuwavanu9369

    @luganomunuwavanu9369

    Ай бұрын

    ​​@@user-lh5rx6yf1g mathayo 19:9 ielewe vizuri hiyo usitafsiri kwa mihemko. Ukifumania unamwacha

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Ай бұрын

    @@user-lh5rx6yf1g neno la "wazungu" tunalibadili macho makavu (mchana kweupe). Hicho unachofahamu ni neno la wazungu. Yaani umetafsiliwa maandiko kama wazungu walivyolenga kumuangaisha Mwafrika. Ndio maana watu kama wewe huwa choka mbaya kwa kila kitu.

  • @user-lh5rx6yf1g

    @user-lh5rx6yf1g

    Ай бұрын

    Mtumishi, hili neno 1kor 7 : 12 nimefundishwa na Bwana Yesu mwenyewe kwa sauti kabisa. Uwe makini mtumishi maana km unashaka Muulize Bwana atakujibu tu km alivypnijibu mm.

  • @ceciliakongani9299
    @ceciliakongani9299Ай бұрын

    Hujawahi kuwa na lolote la maana la kumwambia yeyote yule...

  • @hatiagk4447
    @hatiagk4447Ай бұрын

    Hueleweki hata kidogo

  • @Yoram_Changala

    @Yoram_Changala

    Ай бұрын

    Nadhani haujataka kusikiliza kwa sikio la kuelewa, mbona maelezo hayo yanaeleweka tu

  • @jacksonmkuye7739

    @jacksonmkuye7739

    Ай бұрын

    Una matatizo binafsi

  • @ashelikilele167

    @ashelikilele167

    Ай бұрын

    Nazani unajini sharifu linakutesa

  • @Yoram_Changala

    @Yoram_Changala

    Ай бұрын

    @@ashelikilele167 Majini shariffu masumbufu sana 🤣🤣🤣

  • @user-lh5rx6yf1g

    @user-lh5rx6yf1g

    Ай бұрын

    Kama unaelewa zaidi ya nilivyoelezea kwanini usininieleze kwa upendio? Sisi ni viungo vya mwili wa kristo. Tafuta neno la Mungu na uelezee bila chuki.

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923Ай бұрын

    Fanya yako achana na Christina Shusho

  • @babadee4785
    @babadee4785Ай бұрын

    Judging others doesn't make us perfect.

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5sАй бұрын

    Pumbavu kabisa wewe mbarikiwa katipwe jela tu ufie huko

  • @neemarosedawson3154
    @neemarosedawson3154Ай бұрын

    Mwache huyo dada wewe hubiri Injili tu.

  • @abrahamnyagawa1304

    @abrahamnyagawa1304

    Ай бұрын

    Hiyo siyo injili? Hovyo kabisa.

  • @tinajoe5487

    @tinajoe5487

    Ай бұрын

    Huo ni umbea

  • @ceciliakongani9299

    @ceciliakongani9299

    Ай бұрын

    😂😂😂kweli kabsaaa

  • @ceciliakongani9299

    @ceciliakongani9299

    Ай бұрын

    Tena wa Hali ya juu

  • @RebeccaAmisi

    @RebeccaAmisi

    Ай бұрын

    Peya watu neno acha chouchou MUNGU ana juwa ya kesho please ama hauna neno?

  • @consoassenga7153
    @consoassenga7153Ай бұрын

    Tatizo la watumishi wa leo, wengi hamjui mnachopaswa kufanya. Mnafikiri ili mpate waumini lazma mumtumie huyu dada maana mnajua wengi wanampenda na wangependa kumfwatilia.😊

Келесі