MAKONDA "Lipeni Hiyo Milioni 132 Ndani ya Dakika 10" SINA MUDA wa KUCHEKA, MIAKA 3 MNAMZUNGUSHA TU 🤔
Жүктеу.....
Пікірлер: 125
@hasani56529 күн бұрын
Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
@adelinelyaruu3036
29 күн бұрын
Hii nchi ni shamba la bibi
@mkabesamaashao6805
29 күн бұрын
Ndio maana wanakiburi sana kwa unyanyasaji
@dorahmushi-we6ts
29 күн бұрын
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!... Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
@dorahmushi-we6ts
29 күн бұрын
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
@binseif2216
29 күн бұрын
@@dorahmushi-we6ts Lkn Arusha inaongoza kwa mauaji
@HamidaHamisi-ej8kz29 күн бұрын
Mama Samia mama yetu uliona mbali sana kumteuwa Makonda Makonda nijembe sana abarikiwe mzazi alieza Makonda
@hamisiyusuph672129 күн бұрын
Huyu jamaa Genius sana Mungu apiganie
@exaverysimon106429 күн бұрын
❤❤. YAN NIKILALA BILA KUANGALIA POST ZA MAKONDA SIPAT USINGIZI😂😂
@Zuu673
29 күн бұрын
😂😂😂km mimi
@Bless215
29 күн бұрын
Hakika
@fathimadaid3429
29 күн бұрын
Mie sikuhizi sisikilizi tena simulizi zaidi ya makonda
@aminakasim1198
29 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@Ryanzabron
29 күн бұрын
Makonda ndo rais wetu ni swala la muda
@user-xc5mk4ro2z29 күн бұрын
Mm ACT damu ila kwa makonda anochokifanya Niko pamoja nae na kama atagombea urais nahama ACT.
@gracekagoma323129 күн бұрын
Ubarikiwe.Wenye wivu wasije kukugusa.Msimuue.Mungu anamlinda Makonda.❤Ninakuombea maisha marefu🎉🎉
@shamzone38829 күн бұрын
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@user-sx1xi4yb2z29 күн бұрын
Makonda wangu mungu azidi kukulinda,, Wasikuue kama walivyomuua baba yetu magufuri,,, Maana watu kama nyie huwa mnawindwa mnoooo,,,
@mchumiajuani199329 күн бұрын
NAPENDEKEZA MAKONDA AWE MKUU MKOA KWAMIEZISITA KATIKA KILA MKOA
@user-zj9wj3qe3i29 күн бұрын
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
@user-ii6gs2jg4g29 күн бұрын
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
@user-jj1sx1ow4h29 күн бұрын
Makonda keep it up
@jacksonjamesndyabawe47129 күн бұрын
Safi sana
@user-yv7xg4em4s29 күн бұрын
Hyu ndie mkombozi wa watu
@umsulaiman746829 күн бұрын
Makonda na kupenda msema kweli mpenzi wa Mungu Allah akuhifadhi na Kila abui
@mbwanamungia992129 күн бұрын
Wababaifu sana tena kujenga shule afadhali kuliko kujenga zahanati
@khadjamhozya29 күн бұрын
Mimi makonda atanifirisi kabisa kira siku natumia erf 2100 bando
@mnyongeiddi245429 күн бұрын
Makonda hata kama CCM siipendi ila wewe nakukubali sana Bora hata CCM wakusimamishe ugombe hata urais unaweza tuokoa
@khadjamhozya
29 күн бұрын
urais hawezi pata
@mnyongeiddi2454
29 күн бұрын
@@khadjamhozya kwanini kiongozi kila jambo hupangwa na Mungu inawezatokea
@martinabayyo9982
28 күн бұрын
@@khadjamhozyambn unampinga sana hi kazi anayofanya utaweza ww? Hata kama ww humpendi wengi tunamkubali utakufa na roho mbaya
@gabybulba957429 күн бұрын
Makonda ana kila sifa ya kuitwa kiongozi, anajua kuenenda na mazingira na kutatua migogoro, Mungu akutangulie Mh.Makonda
@ajmstationery615729 күн бұрын
Mh. Makonda hongera sana kwa kusaidia watu , napendekeza ziara yako iwe nchi nzima na uongezewe power
@gregory6165
29 күн бұрын
Wanaogopa anawafunika, si alikuwa mwenezi akawa anazunguka kila sehem, lakini si walimtoa walipoona attention yote kwake
@hamzafishten956029 күн бұрын
Makonda Allah akulipe huo ndio uzalendo sio kama bahazi ya viongozi wa africa
@user-cs2pg3ng8l29 күн бұрын
Paul makonda Mungu akubariki baba
@MathiusOlavian29 күн бұрын
Baba piga kazi sana tunakukubali sana
@SiaCollins29 күн бұрын
Mtetezi wa wanyonge,hoyeeeeeeee
@user-qn8ig9ey6b29 күн бұрын
Makondaweye ni mtu na nusu mambo magumu kwako yanafanyika mapesi kumbe uleugumu ni utashi wa Watufulani pigakazi Mungu yupamojanawe
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj29 күн бұрын
Moto moto fireeeeh!..
@Timoclement29 күн бұрын
Haijalishi Bora anagusa maisha ya watu hongera Makonda
@ClementJacob-sd8lf27 күн бұрын
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
@jacoblaiser763428 күн бұрын
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi. Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya. Kongole Mwamba wa Arusha.
@geey789329 күн бұрын
Ivi Mbona Arusha Viongozi wengi wa halmashauri ni wanawake? Halafu hawako smart? Au ni wale watu wa watu wanawekwa kimkakati
@josephlorri431
29 күн бұрын
Mkoa wenye warembo.. wanapewa nafasi kwa vimemo
@ladislausngoyinde438429 күн бұрын
Hawa ukiwakuta maofisini mwao ni noma, utazungushwa mpaka ukome, wengi ni vyet fek
@user-rr8cw8yl5o29 күн бұрын
Makonda kaza buti baba acha kuwachekea hao tunakuomba baba
@twentyacresfarms346429 күн бұрын
Ukiwa mpigaji uwe smart sana na uwe na kumbukumbu sana kwenye kila jambo na uwe smart sana kupitiliza alafu uwe na ujasiri
@johnlembo2955
29 күн бұрын
Ukiwa mpigaji ujue mwisho wako ni aibu tu.
@Zainab_salat27 күн бұрын
Viongozi wa arusha mmepatikana,Makonda hongera kwa kazi nzuri
@shamzone38829 күн бұрын
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@josephlorri431
29 күн бұрын
Udini umeingiaje hapo..kwa nini umewaza udini kwenye kazi za serikali? Wazo limekujaje kwenye akili..au
@user-iq3pe4sf2h29 күн бұрын
Hi ichi apewemakonda
@khadjamhozya
29 күн бұрын
Apewe nanani
@tiffanymo945328 күн бұрын
Dah ,their not serious. Good Job honorable Makonda. We’re praying for you.❤🙏
@NeemaNey-mp2fi29 күн бұрын
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
@gudimbwana808829 күн бұрын
Apewe uwaziri mkuu mawaziri vilaza wakione Cha moto
@musaamos243117 күн бұрын
Mungu akupe maisha malefu❤❤
@samsonkingdom-xc8cg26 күн бұрын
Ningekua mungu uyujamaa angekua rais
@user-ot5us9mz9w25 күн бұрын
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
@lumamialain27 күн бұрын
😂😂😂 mkurungezi huyo hapo Big up Mkuu wa mkoa Makonda
@mbwanamungia992129 күн бұрын
Nchi nzima inashida taratibu za malipo halmashauri ni kichefuchefu
@user-hw4qp5kv6m29 күн бұрын
Mtetezi wawa Nyongeee oiga kaz Mzeee Mungu Anakusimamiaaa
@SamwellLesicar29 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ makonda jitahidi baba maana wamezidi sana
@Zubaiba23 күн бұрын
Nampenda makonda sana
@mbwanamungia992129 күн бұрын
Mchengelwa ni bwege tu shida zote hizi zipo wizara yake
@Zuu673
29 күн бұрын
Ata km lkn mdomo husiponze kichwa ndugu
@mashaallahabuu1167
29 күн бұрын
Tupoooo wengi Kwa kuangalia kazi ya Muheshimiwa wetu mpendwa ,mnyonge wa wananchi,yaaani nikikisa eb naumia sana,vochwa zipunguzwe bei jmn
@geofreykayombo401
29 күн бұрын
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
@felistaminja303429 күн бұрын
Mungu akufunike kwa mbawa zake milele
@user-tu9ps9kr2o29 күн бұрын
Uchunguzi wa Nini kwenye pesa ya Nini 😂😂😂
@ShamsiKasoma-fn4cl29 күн бұрын
Ww Jamaa mungu atulindie unajitaid sana jaman japo chema akidumu Ila ww utadumu Yan hutaki rushwa
@babunyonge627029 күн бұрын
Etii ooh ukimzulumu mchaga anakuua loh kumbe mabwabwa ivi , afu uyo dada anachekacheka akiambiwa huongei na bwana ako tuna mitaro inaibuka uko
@deejeydaev29 күн бұрын
Hichi kichwa safi sana my future presidaa
@JumaNurudini29 күн бұрын
Ila makonda
@thomasraiton776029 күн бұрын
Wanadhurumu Kwa kuwa wao ndio top
@frankbutati834329 күн бұрын
Watumishi wa umma wasijione wezi, kuna siku tutapata kiongozi huyu Makonda awe mkuu wa nchi wataomba kufa
@damsonwilson520229 күн бұрын
Huyu Mzeee ni kweli hata kwangu Alichukuwa mbao kwangu huyu baba Alinilipa cash Alipochukuwa mbao Kwa hiyo Anawadai kweli
@Ushauri23529 күн бұрын
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana mtu ametumia hela harafu unasema ni jamii
@tupegigwensajigwa262929 күн бұрын
Na kuelewa sana Mungu akutunze
@mzongekibwana83829 күн бұрын
Mr swai boss wangu wa zamani..
@gladistaemanueliy633628 күн бұрын
Afu haki za binadamu ije isema makonda ana dhalilisha, waizi nyie, makonda mungu akulinde
@jeanbaptistemanishimwe194629 күн бұрын
Habali ndugu napenda njia huu heshimiwa mukuu wa mukoa anavyo saidia watu angekua lafiki ya Muzee wetu Kagame Mungu Awatangurie njia zenu zote.
@obedpeter687426 күн бұрын
At mie ningekua RAIS kichwa kingeuma bila mkonda
@LusekeloMwaipopo-rm1uc29 күн бұрын
Wizara ya mchengelwa I am Inamchosha tu makonda wetu.
@meshacknyandongo57728 күн бұрын
Serikali wakati mwingine inawafirisi wananchi wake na huu utaratibu wa kuchukua mali za wananchi alafu kulipa mpaka mjiskie wenyewe
@user-iq3pe4sf2h29 күн бұрын
Kwanza awe mukuwa African😢
@deejeydaev29 күн бұрын
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
@mkabesamaashao680529 күн бұрын
SPANA MKUU!
@user-tz8hj1sd5o28 күн бұрын
Why these other leaders canot follow Makonda😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Why??????????
@mohamedkige253528 күн бұрын
Kiufupi2 awa wanakina mam Baaadh yao nishidaaaaa
@kanankirannko617429 күн бұрын
Kweli ukipata peleka sadaka Arusha hii jamani
@Jeysen_lemar24 күн бұрын
Huy si ni yule yule Injinia au namfananisha?????
@user-ts9lp4rm9j26 күн бұрын
Mratibu hya hela yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
@zidatv112229 күн бұрын
Hii nchi onatoa harufu kila kona uaani inanika
@Happizo
29 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kwisa489929 күн бұрын
anacheka cheka ndio maana makonda anawatukana yani mtu unacheza na pesa ya mtu kiasi hichi na kazi kafanya
@memoryngambi757029 күн бұрын
Mtu akihama kikazi,kwani ofisini pamoja na nyaraka vyote vinahama?
@user-og9jt3mg4c29 күн бұрын
MAKONDA MUNGU AKULINDE
@samamlima560729 күн бұрын
Arusha moto unawaka
@kibombi29 күн бұрын
Makonda
@thomasraiton776029 күн бұрын
Sasa nahamia ccm rasmi, kile kilichofanya nisiipende kinaanza kutoweka Huwa simpendi kabisa dhuruma
@shaffycjg53629 күн бұрын
Et akachukue mchanga na mawe yake
@user-zx3he3lp3o28 күн бұрын
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
@barakaabel48229 күн бұрын
Hahahahaaa
@kwisa489929 күн бұрын
office ainamakabidhiano?
@gowekogoweko580329 күн бұрын
😮😮😮😮😮😂😂😂😂
@monalisaally438729 күн бұрын
Nitapigwa sana na mumewngu ila siachi kumsikiliza makonda mpaka aniuwe😂😂
@honoratusmodest285
29 күн бұрын
Kwann akupige itakuwa mume wako adui wa makonda😂
@ntandu1
29 күн бұрын
Pole sana
@monalisaally4387
29 күн бұрын
Nampigia kelele usiku namfungulia makonda😄
@pastorynaph29 күн бұрын
Hahaha
@user-ie2sr4fi4k29 күн бұрын
Kwaiyo alipe kutoka mfukoni mwake? au! vip wajinga wanashangilia atali tupu
@binseif221629 күн бұрын
😂😂Watanzania mabogaz mnaamini hapo atalipwa???hapo mkutano ukiisha hamna cha pesa wala nini
@sskondopoleani9616
29 күн бұрын
Na akilipwa Je????
@samwelilazaro2835
29 күн бұрын
Kikubwa amesema
@kyannickk2be28 күн бұрын
So hadi Mh Makonda aingilie kati ndo watu walipwe!? Wanaohusika wanafanya kazi gani!? .....Bila Paul watu wangedhulumiwa.
@user-xx1je7sy4h29 күн бұрын
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
@martinemaganga5253
29 күн бұрын
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi
Пікірлер: 125
Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
@adelinelyaruu3036
29 күн бұрын
Hii nchi ni shamba la bibi
@mkabesamaashao6805
29 күн бұрын
Ndio maana wanakiburi sana kwa unyanyasaji
@dorahmushi-we6ts
29 күн бұрын
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!... Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
@dorahmushi-we6ts
29 күн бұрын
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
@binseif2216
29 күн бұрын
@@dorahmushi-we6ts Lkn Arusha inaongoza kwa mauaji
Mama Samia mama yetu uliona mbali sana kumteuwa Makonda Makonda nijembe sana abarikiwe mzazi alieza Makonda
Huyu jamaa Genius sana Mungu apiganie
❤❤. YAN NIKILALA BILA KUANGALIA POST ZA MAKONDA SIPAT USINGIZI😂😂
@Zuu673
29 күн бұрын
😂😂😂km mimi
@Bless215
29 күн бұрын
Hakika
@fathimadaid3429
29 күн бұрын
Mie sikuhizi sisikilizi tena simulizi zaidi ya makonda
@aminakasim1198
29 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@Ryanzabron
29 күн бұрын
Makonda ndo rais wetu ni swala la muda
Mm ACT damu ila kwa makonda anochokifanya Niko pamoja nae na kama atagombea urais nahama ACT.
Ubarikiwe.Wenye wivu wasije kukugusa.Msimuue.Mungu anamlinda Makonda.❤Ninakuombea maisha marefu🎉🎉
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
Makonda wangu mungu azidi kukulinda,, Wasikuue kama walivyomuua baba yetu magufuri,,, Maana watu kama nyie huwa mnawindwa mnoooo,,,
NAPENDEKEZA MAKONDA AWE MKUU MKOA KWAMIEZISITA KATIKA KILA MKOA
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
Makonda keep it up
Safi sana
Hyu ndie mkombozi wa watu
Makonda na kupenda msema kweli mpenzi wa Mungu Allah akuhifadhi na Kila abui
Wababaifu sana tena kujenga shule afadhali kuliko kujenga zahanati
Mimi makonda atanifirisi kabisa kira siku natumia erf 2100 bando
Makonda hata kama CCM siipendi ila wewe nakukubali sana Bora hata CCM wakusimamishe ugombe hata urais unaweza tuokoa
@khadjamhozya
29 күн бұрын
urais hawezi pata
@mnyongeiddi2454
29 күн бұрын
@@khadjamhozya kwanini kiongozi kila jambo hupangwa na Mungu inawezatokea
@martinabayyo9982
28 күн бұрын
@@khadjamhozyambn unampinga sana hi kazi anayofanya utaweza ww? Hata kama ww humpendi wengi tunamkubali utakufa na roho mbaya
Makonda ana kila sifa ya kuitwa kiongozi, anajua kuenenda na mazingira na kutatua migogoro, Mungu akutangulie Mh.Makonda
Mh. Makonda hongera sana kwa kusaidia watu , napendekeza ziara yako iwe nchi nzima na uongezewe power
@gregory6165
29 күн бұрын
Wanaogopa anawafunika, si alikuwa mwenezi akawa anazunguka kila sehem, lakini si walimtoa walipoona attention yote kwake
Makonda Allah akulipe huo ndio uzalendo sio kama bahazi ya viongozi wa africa
Paul makonda Mungu akubariki baba
Baba piga kazi sana tunakukubali sana
Mtetezi wa wanyonge,hoyeeeeeeee
Makondaweye ni mtu na nusu mambo magumu kwako yanafanyika mapesi kumbe uleugumu ni utashi wa Watufulani pigakazi Mungu yupamojanawe
Moto moto fireeeeh!..
Haijalishi Bora anagusa maisha ya watu hongera Makonda
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi. Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya. Kongole Mwamba wa Arusha.
Ivi Mbona Arusha Viongozi wengi wa halmashauri ni wanawake? Halafu hawako smart? Au ni wale watu wa watu wanawekwa kimkakati
@josephlorri431
29 күн бұрын
Mkoa wenye warembo.. wanapewa nafasi kwa vimemo
Hawa ukiwakuta maofisini mwao ni noma, utazungushwa mpaka ukome, wengi ni vyet fek
Makonda kaza buti baba acha kuwachekea hao tunakuomba baba
Ukiwa mpigaji uwe smart sana na uwe na kumbukumbu sana kwenye kila jambo na uwe smart sana kupitiliza alafu uwe na ujasiri
@johnlembo2955
29 күн бұрын
Ukiwa mpigaji ujue mwisho wako ni aibu tu.
Viongozi wa arusha mmepatikana,Makonda hongera kwa kazi nzuri
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@josephlorri431
29 күн бұрын
Udini umeingiaje hapo..kwa nini umewaza udini kwenye kazi za serikali? Wazo limekujaje kwenye akili..au
Hi ichi apewemakonda
@khadjamhozya
29 күн бұрын
Apewe nanani
Dah ,their not serious. Good Job honorable Makonda. We’re praying for you.❤🙏
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
Apewe uwaziri mkuu mawaziri vilaza wakione Cha moto
Mungu akupe maisha malefu❤❤
Ningekua mungu uyujamaa angekua rais
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
😂😂😂 mkurungezi huyo hapo Big up Mkuu wa mkoa Makonda
Nchi nzima inashida taratibu za malipo halmashauri ni kichefuchefu
Mtetezi wawa Nyongeee oiga kaz Mzeee Mungu Anakusimamiaaa
❤❤❤❤❤❤ makonda jitahidi baba maana wamezidi sana
Nampenda makonda sana
Mchengelwa ni bwege tu shida zote hizi zipo wizara yake
@Zuu673
29 күн бұрын
Ata km lkn mdomo husiponze kichwa ndugu
@mashaallahabuu1167
29 күн бұрын
Tupoooo wengi Kwa kuangalia kazi ya Muheshimiwa wetu mpendwa ,mnyonge wa wananchi,yaaani nikikisa eb naumia sana,vochwa zipunguzwe bei jmn
@geofreykayombo401
29 күн бұрын
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
Mungu akufunike kwa mbawa zake milele
Uchunguzi wa Nini kwenye pesa ya Nini 😂😂😂
Ww Jamaa mungu atulindie unajitaid sana jaman japo chema akidumu Ila ww utadumu Yan hutaki rushwa
Etii ooh ukimzulumu mchaga anakuua loh kumbe mabwabwa ivi , afu uyo dada anachekacheka akiambiwa huongei na bwana ako tuna mitaro inaibuka uko
Hichi kichwa safi sana my future presidaa
Ila makonda
Wanadhurumu Kwa kuwa wao ndio top
Watumishi wa umma wasijione wezi, kuna siku tutapata kiongozi huyu Makonda awe mkuu wa nchi wataomba kufa
Huyu Mzeee ni kweli hata kwangu Alichukuwa mbao kwangu huyu baba Alinilipa cash Alipochukuwa mbao Kwa hiyo Anawadai kweli
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana mtu ametumia hela harafu unasema ni jamii
Na kuelewa sana Mungu akutunze
Mr swai boss wangu wa zamani..
Afu haki za binadamu ije isema makonda ana dhalilisha, waizi nyie, makonda mungu akulinde
Habali ndugu napenda njia huu heshimiwa mukuu wa mukoa anavyo saidia watu angekua lafiki ya Muzee wetu Kagame Mungu Awatangurie njia zenu zote.
At mie ningekua RAIS kichwa kingeuma bila mkonda
Wizara ya mchengelwa I am Inamchosha tu makonda wetu.
Serikali wakati mwingine inawafirisi wananchi wake na huu utaratibu wa kuchukua mali za wananchi alafu kulipa mpaka mjiskie wenyewe
Kwanza awe mukuwa African😢
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
SPANA MKUU!
Why these other leaders canot follow Makonda😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Why??????????
Kiufupi2 awa wanakina mam Baaadh yao nishidaaaaa
Kweli ukipata peleka sadaka Arusha hii jamani
Huy si ni yule yule Injinia au namfananisha?????
Mratibu hya hela yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
Hii nchi onatoa harufu kila kona uaani inanika
@Happizo
29 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
anacheka cheka ndio maana makonda anawatukana yani mtu unacheza na pesa ya mtu kiasi hichi na kazi kafanya
Mtu akihama kikazi,kwani ofisini pamoja na nyaraka vyote vinahama?
MAKONDA MUNGU AKULINDE
Arusha moto unawaka
Makonda
Sasa nahamia ccm rasmi, kile kilichofanya nisiipende kinaanza kutoweka Huwa simpendi kabisa dhuruma
Et akachukue mchanga na mawe yake
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
Hahahahaaa
office ainamakabidhiano?
😮😮😮😮😮😂😂😂😂
Nitapigwa sana na mumewngu ila siachi kumsikiliza makonda mpaka aniuwe😂😂
@honoratusmodest285
29 күн бұрын
Kwann akupige itakuwa mume wako adui wa makonda😂
@ntandu1
29 күн бұрын
Pole sana
@monalisaally4387
29 күн бұрын
Nampigia kelele usiku namfungulia makonda😄
Hahaha
Kwaiyo alipe kutoka mfukoni mwake? au! vip wajinga wanashangilia atali tupu
😂😂Watanzania mabogaz mnaamini hapo atalipwa???hapo mkutano ukiisha hamna cha pesa wala nini
@sskondopoleani9616
29 күн бұрын
Na akilipwa Je????
@samwelilazaro2835
29 күн бұрын
Kikubwa amesema
So hadi Mh Makonda aingilie kati ndo watu walipwe!? Wanaohusika wanafanya kazi gani!? .....Bila Paul watu wangedhulumiwa.
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
@martinemaganga5253
29 күн бұрын
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi
Makonda