MENEJA WA MAJI AMCHEKESHA RC MAKONDA NA KUISHANGAZA DUNIA
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 27
@DidierAKILIMupimbidjumaDidier29 күн бұрын
Mimi namushangaaa sana Makonda AKILI kuuu sana ndugu yangu Mungu akubariki sana ndugu yangu makonda
@edrisalusonge4141
23 күн бұрын
Hawa wakuu wa mikoa wengine sijui sio wanachama wa ccm
@susananyasani652629 күн бұрын
Ni kweli Wananchi wanaharibu Bomba ndo sababu Maji hukosekana sehemu nyingine asante
@h.alshidhani897129 күн бұрын
Kwa kweli muheshimiwa Hawa idara ya Maji Mkoa wote wa Arusha lazima wasimamiwe vizuri sanaaaa.
@user-ze6lx9ng6s29 күн бұрын
Be blessed 🙏🙏 makonda,tunaomba rais asikutumbue, watanganyika tunaibiwa sana na hawa watu wa serikalini,
@user-lz1qj6ck3m27 күн бұрын
Makonda nakujaaa, idara ya maji ni shida ninatumia ndoo 10 Kwa wiki moja lakini bili naletewa 30 au 25
@gweremuhidini420429 күн бұрын
Magufuli bado tunae
@dorahmushi-we6ts29 күн бұрын
Makonda Mungu azidi kukutangulia...
@HitamiIbrahimu28 күн бұрын
Makonda nimekufwatilia sana tangu ikiwa mkuu wa mkoa wa daresalam na mpito uliopita nilikuwa sikuelewi ila kuanzia ulivokua muenez mpaka mkuuu wa mkoa wa arusha nimekuelewa sana piga kazi mkuuu
@daudimwaipaja173428 күн бұрын
Makonda hoyeee❤❤
@nasmabanda634028 күн бұрын
NIKWELI WANAIBA MAKONDA
@rofacoltanzania58928 күн бұрын
The Guy is not compitent enough... Huyu injinia hayupo sawa
@drtobias_29 күн бұрын
Kuhudumia wamasai inahitaji Moyo
@michaelfrenkline3429
28 күн бұрын
kukuudumia wewe insitaji Nini?
@joachimsironga1560
28 күн бұрын
Acha dharau we mbwa
@JanethMollel-wk5th
27 күн бұрын
Wamasai tuna Nini,acha zarau wewe
@mataypanga526229 күн бұрын
Maji ya kutosha Tanzania yapo ila pesa za kuchimba visima na mabomba zinaliwa na wanasiasa pamoja wateule wa wanasiasa hao kama kina Makonda.
@alichengilangwa136128 күн бұрын
Bana baba Hawa wanatutesa kote tu?
@kilogreekachananawatuwasio405429 күн бұрын
Huyu meneja wa maji mbona Anaonekana mlevi wa pombe mbovu kapata Meneja kwa Uchawi au ndugu yake mkubwa kamueka umeneja???😂😂Ajui kwa siku litter gapi Anakunjwa😮😮😮
@bockerNyarusahi
29 күн бұрын
Ukisikia akili ndogo kuongoza akili kubwa ndiyo hapaaa
@PriscaBarnabas-qg7ex
28 күн бұрын
😂😂
@saimongilala893829 күн бұрын
Magufuli katuachia mwana Mungu akupe maisha malefu
@HitamiIbrahimu28 күн бұрын
Ipo siku utakuja kuwa rais wa jamhur yamuungano wa Tanzania utakuja kunikumbuka kwa huu utabiri wangu
@OmanOman-dn6dj29 күн бұрын
😂😂😂Makonda Oyeeee
@uziasinkamba738028 күн бұрын
Mradi wa maji momba tarafa ya msangano wenye pesa nyingi bilion 6.7 mpakaleo nikituko wamepewa watu kuchimba mifeleji ya kufukia mipila.Mda wa mradi unaelekea kuisha.mkuu wa mkoa songwe tunaomba baba jaribu kufanya mkutano na wanainchi wa kata ya msangano na ukaguea mradi wa maji pia kuna mradi wa ujenzi wa daraja bado nikama kunashida.
@jeshimungiki579328 күн бұрын
Hahahaaaaa mtaalamu wa maji hajui binadamu anatakiwa anywe maji kiasi gani.. kiongozi huyo wa serikali vituko sana
@johnsonlweyemam794429 күн бұрын
WASOMI VILAZA HAO WALIOWEKWA NA WAJOMBA ZAO KTK NAFASI ZAO😊
Пікірлер: 27
Mimi namushangaaa sana Makonda AKILI kuuu sana ndugu yangu Mungu akubariki sana ndugu yangu makonda
@edrisalusonge4141
23 күн бұрын
Hawa wakuu wa mikoa wengine sijui sio wanachama wa ccm
Ni kweli Wananchi wanaharibu Bomba ndo sababu Maji hukosekana sehemu nyingine asante
Kwa kweli muheshimiwa Hawa idara ya Maji Mkoa wote wa Arusha lazima wasimamiwe vizuri sanaaaa.
Be blessed 🙏🙏 makonda,tunaomba rais asikutumbue, watanganyika tunaibiwa sana na hawa watu wa serikalini,
Makonda nakujaaa, idara ya maji ni shida ninatumia ndoo 10 Kwa wiki moja lakini bili naletewa 30 au 25
Magufuli bado tunae
Makonda Mungu azidi kukutangulia...
Makonda nimekufwatilia sana tangu ikiwa mkuu wa mkoa wa daresalam na mpito uliopita nilikuwa sikuelewi ila kuanzia ulivokua muenez mpaka mkuuu wa mkoa wa arusha nimekuelewa sana piga kazi mkuuu
Makonda hoyeee❤❤
NIKWELI WANAIBA MAKONDA
The Guy is not compitent enough... Huyu injinia hayupo sawa
Kuhudumia wamasai inahitaji Moyo
@michaelfrenkline3429
28 күн бұрын
kukuudumia wewe insitaji Nini?
@joachimsironga1560
28 күн бұрын
Acha dharau we mbwa
@JanethMollel-wk5th
27 күн бұрын
Wamasai tuna Nini,acha zarau wewe
Maji ya kutosha Tanzania yapo ila pesa za kuchimba visima na mabomba zinaliwa na wanasiasa pamoja wateule wa wanasiasa hao kama kina Makonda.
Bana baba Hawa wanatutesa kote tu?
Huyu meneja wa maji mbona Anaonekana mlevi wa pombe mbovu kapata Meneja kwa Uchawi au ndugu yake mkubwa kamueka umeneja???😂😂Ajui kwa siku litter gapi Anakunjwa😮😮😮
@bockerNyarusahi
29 күн бұрын
Ukisikia akili ndogo kuongoza akili kubwa ndiyo hapaaa
@PriscaBarnabas-qg7ex
28 күн бұрын
😂😂
Magufuli katuachia mwana Mungu akupe maisha malefu
Ipo siku utakuja kuwa rais wa jamhur yamuungano wa Tanzania utakuja kunikumbuka kwa huu utabiri wangu
😂😂😂Makonda Oyeeee
Mradi wa maji momba tarafa ya msangano wenye pesa nyingi bilion 6.7 mpakaleo nikituko wamepewa watu kuchimba mifeleji ya kufukia mipila.Mda wa mradi unaelekea kuisha.mkuu wa mkoa songwe tunaomba baba jaribu kufanya mkutano na wanainchi wa kata ya msangano na ukaguea mradi wa maji pia kuna mradi wa ujenzi wa daraja bado nikama kunashida.
Hahahaaaaa mtaalamu wa maji hajui binadamu anatakiwa anywe maji kiasi gani.. kiongozi huyo wa serikali vituko sana
WASOMI VILAZA HAO WALIOWEKWA NA WAJOMBA ZAO KTK NAFASI ZAO😊