Wekeni keki/mafuta ya upako Ikulu/Wizarani tulipe deni tir 91. Mbarikiwa na maghumashi Mwamposa...

Пікірлер: 211

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola88358 күн бұрын

    Wewe ndiye mtu wa Mungu uliyepo huko tanzania, chapa injili SANA baba

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu8 күн бұрын

    Injili yako imenyooka tunakuombea pia wa Tanzania tumlinde huyu pastor mbarikiwa

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola88358 күн бұрын

    Tandika injili SANA baba, sisi tuliokuwa tunakupinga tumeshakuelewa sana, ubarikiwe SANA

  • @judithtitomalyeta4000

    @judithtitomalyeta4000

    2 күн бұрын

    Mtumíshi ulikuwa vizuri shida unaingilia watumishi wenzio Kwa kuwasema vibaya unajiona ww upo sahihi sana biga injiri kivyako

  • @judithtitomalyeta4000

    @judithtitomalyeta4000

    2 күн бұрын

    Kama ww unaweza mbona Mkoa Wako wa mbeya unashida kibao kwann hutatui acha mdomo hubiri neno

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    2 күн бұрын

    ​@judithtitomalyeta4000 Kwakuwa mbeya kuna shida ndiyo asiseme ukweli,shida hata kwenu zipo,

  • @adventinandyanabo1615

    @adventinandyanabo1615

    Күн бұрын

    Ujinga ujinga tu, kwa akili ya kawaida unaweza kula keki tu mauzo yakaongezeka,? Piga injili ya kweli Mbarikiwa binafsi nakwamini

  • @joshuagabriel6652
    @joshuagabriel66527 күн бұрын

    Mtumishi wote tuliyo kupinga sasa tumekuelewa songa mbele MUNGU yupo nawe wala si mwanadamu

  • @Ayoub-Kayaga2023
    @Ayoub-Kayaga20237 күн бұрын

    Umenichekesha sana mtumishi,,,,,ama kweli chuma hunoa chuma 😂😂😂

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64648 күн бұрын

    Mbarikiwa. Roho aliye ndani Yako ndiye yule aliyeahidiwa na KRISTO.....Hawa wa keki na mafuta ni wahuni,mabaradhuli na wanyang'anyi

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture54825 күн бұрын

    SIJAWWAH KUMWAMINI MWAMPOSA KUHAN MUSA SIJUI NAN MWINGINE YULE NAN YULE MWINGINE

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola88358 күн бұрын

    Hakuna wa kukufanya chochote, Mungu tunayemwabudu atakupigania

  • @jemedalimwakalundwa3520
    @jemedalimwakalundwa35207 күн бұрын

    Mungu yu mwema sana hiyo ndiyo injili ya kweli kabisa yakina Yohana mbatizaji

  • @YakoboDeku
    @YakoboDeku7 күн бұрын

    Mtumishi wa Mungu soga mpele yesu amekaripia soma zab 34 ,19

  • @MercyMbonde
    @MercyMbonde8 күн бұрын

    Injili hii naipenda sana

  • @user-ms1fg5vv1p
    @user-ms1fg5vv1pКүн бұрын

    Mtumish kwann usiende ukamwambie kosa lake kuliko kumsema vibaya kwenye mitandao wakati neno la mungu Lina SEMA mpende jiran yako Kama nafsi yako

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando7 күн бұрын

    Mungu anajivunia mbinguni kuwa ninalo jitu duniani Tanzania mbeya linanyooooshaa mapito ya bwana hongera sana baba Kila nikikusikia ukiongea jambo ambalo linahusu mungu Imani yangu inaongezeka sanaaaa

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga43828 күн бұрын

    Mbalikiwa Ana maono siyo ya nchi hii ufahamu wako nimeupenda sana hongera

  • @urbanmission3072
    @urbanmission30727 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤ HALELUYA MBINGUNI MBINGU IKUKUMBUKE SANA MTUMISHI WA MUNGU M-BARIKIWA WETU, YESU KRISTO AKUBARIK MNO KWA JINA LAKE YESU

  • @Ayoub-Kayaga2023
    @Ayoub-Kayaga20237 күн бұрын

    "......Popote nitakapokuwepo nitatimiza wajibu wangu,,,,," this guy is not a layman,,,,please to anyone concern do not hurt this man. He knows what supposed to be done while a man is ta this world, simply he is a real Prophet sent by Almighty God to our beautiful country Tanzania. Our Government should protect this man!

  • @nabimanyafesto5014

    @nabimanyafesto5014

    5 күн бұрын

    This corrupt government has no power to protect him, but God Himself will often protect the guy.

  • @AnnaSimon-yx9hh

    @AnnaSimon-yx9hh

    3 күн бұрын

    AMEN, utukufu KWA MUNGU mkuu

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl14 сағат бұрын

    Elimu Elimu Elimu. Muujiza ya Mungu wa kweli Toka MILELE haikufanyika kama shooooo Wala mashindano ya kuamini. Bali Ilifanyika kwa Watu maalumu na Kwa Muda maalumu na lengo maalumu. Poleni sana waponda Muujiza na Mungu sio shangazi Yenu MILELE. Ok

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z5 сағат бұрын

    Kumbe ameshafunguliwa mwamposa kapigwa na kitu kizito,hiiiiiii ni kali

  • @TUMLACKMSIGWA
    @TUMLACKMSIGWA7 күн бұрын

    Kaza buti mtumishi endelea kuwanyoosha kwa neno la Mungu ndimi zipindishazo ukweli zinyooshe hvo hvo Kwa neno la Mungu amen amen anakuja Yesu

  • @lucasmwambene8266
    @lucasmwambene8266Күн бұрын

    Amina Baba barikiwa sanaa Mungu azid kukuongezea zaidi na zaidi

  • @user-hx9no2bf8o
    @user-hx9no2bf8oКүн бұрын

    Mbarikiwa wewe ni shida aisee. Haki nimecheka kweli. Hii Injili ni moto braza. Nikichanganya na ile ya mzee Maghembe hakika ni 🔥

  • @user-xv5kz7zy7r
    @user-xv5kz7zy7r7 күн бұрын

    Piga saba mtumishi watu wamekuwa kama mazuzu utakuta wamebeba utazani matahila unajiuliza biblia haionyeshi upuuzi huo wa manyanfanyi mungu akutumie kama kipindi kile cha elia mtishibi

  • @linkreuben3108
    @linkreuben31087 күн бұрын

    Umenena Mtu wa Mungu!!!!!!!!!

  • @user-qn3el8nu7n
    @user-qn3el8nu7nКүн бұрын

    M barikiwa umenivunja mbavu nakupataje nikupongeze ukovizuri pamoja na famly yako chapakazi mwanangu tukopamoja wachane hawo matapeli

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga97077 күн бұрын

    Ahsante pastor wengi wanapona kwa mahubiri,mafundisho,maonyo na makemeo yako. Hakuna majuto mbele kwa atakayekubali na kufuata yote ufundishayo. Mungu akushike sana!

  • @AnthonySindabaha-de3xb
    @AnthonySindabaha-de3xb7 күн бұрын

    Amina mtumishi ww ni mfano wa kuigwa maana una maono ya roho mtakatifu.

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965Күн бұрын

    Tatuzo kumwelewa Mungu ngumu sana mbaka ufanyiwe mwenyewe ndipo Uamini, Samia akisema naamini naomba Uje Ombea ikulu na Maden tuweze kulipa ilo deni linafutwa malamoja , nimahamuzi tu ya mkuu wa nchi kumwamini Mungu basi.

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu5 күн бұрын

    Huyu ndugu amanyoooooka vibaya sana big up mchungaji

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754Күн бұрын

    Kila mtu na Mungu anampa kwa sehemu,Mwamposa kapewa upako huo watu,nawewe fanya chako ulicho funuliwa maana Yesu alisema tukiamini tutafanya zaidi ya aliyo fanya, Mwamposa huyo watu wanakanyaga mafuta wanakula keki wanapona,madeni kwisheni,deni la Nchi tunakusubili wewe utende zaidi ya Yesu maana alisema tukiamini tutatenda zaidi ya aliyo tenda kazi kwako.

  • @clotildatarimo7847
    @clotildatarimo78476 күн бұрын

    Hubiri Injili ya Yesu acha kuhubiri watu

  • @emanuelmkama1325

    @emanuelmkama1325

    5 күн бұрын

    Ata yesu alkuwa anayesema matapeli hzaran au ujui?

  • @geraldsenkondo4334
    @geraldsenkondo43348 күн бұрын

    MUNGU atusaidie.

  • @kenedysimon3566
    @kenedysimon35668 күн бұрын

    Endelea Mngu yupo mbele yako

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h7 күн бұрын

    Baba nakukubali sana❤❤❤ Ukweli humuweka mtu huru

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole92936 күн бұрын

    Mahubiri ya upako na uponyaji na miujiza yamepitwa na wakati mahubiri ya kisasa yanayo kualika kwa wakati huu ni haya ya mchungaji mbarikiwa

  • @GloryFredy
    @GloryFredy20 сағат бұрын

    Kweli Baba, wadumuo kutenda dhambi uwakee mbele ya wote ili nawengine waogope.1timotheo5:20

  • @MeshackyMwashiuya
    @MeshackyMwashiuya2 күн бұрын

    Uongo kwer umezidi sana jamani Mungu atusaidie

  • @msanginaza905
    @msanginaza9053 күн бұрын

    Kwa injili iliyonyoooka namkubaliiii mbarikiwa hatakiiii uongo kabisa...ya mwamposa hapana kwakweli acha niwe upande wa mbarikiwa sipendi usaniiii kwa mambo ya Mungu mbarikiwa kanyoooka anahubiri Mungu wa kweli

  • @user-ut4vt1kn7w
    @user-ut4vt1kn7w3 күн бұрын

    Mungu Hazihirishwi Kwa Keki Na Mafuta

  • @priscaaugustino5803
    @priscaaugustino58036 күн бұрын

    Popote nitakapo kuwepo nitatimiza wajibu wangu,

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma4368 күн бұрын

    Uyo mdada USO wake unaonyesha nimwongo

  • @GOODLUCKGodwell-bm4br
    @GOODLUCKGodwell-bm4br6 күн бұрын

    Acha kujisifia kwa elimu yako isiyo na ukweli ila ni kulingana na uelewa wako

  • @festokastory5282
    @festokastory52827 күн бұрын

    😂😂 point zito sana hii

  • @user-on4sb9fn5t
    @user-on4sb9fn5t5 күн бұрын

    Nimecheka bila kuchekeshwa duu!

  • @JacksoniMichaeli
    @JacksoniMichaeli8 күн бұрын

    Waambie hao wanabii wauongo waache zambi kwani hao niwashetani

  • @helencyprian8745
    @helencyprian87457 күн бұрын

    Yaani hili limposa hovyo kabisa

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi7 күн бұрын

    CHUMA CHUMA, NONDO NONDO 🦾🦾 Liwake jua, inyeshe mvua hakuna kurud nyuma. Mtumishi wa MUNGU Mbarikiwa MUNGU akutunze

  • @richmwaij3368
    @richmwaij33687 сағат бұрын

    Amina

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js7 күн бұрын

    Tusaidiee mtumishi wa MUNGU ayaaa majambaziii yanatunyonyaa tuuuu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko7 күн бұрын

    Uko sawa sio hawoooooo matapeli masikiniiiiiiii

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf8 күн бұрын

    Mungu turehemu waja wako🙏

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965Күн бұрын

    Mbaka hapo Naamini Mwamposa Mtumish wa Kweli wa Mungu , Mungu anisamehe nilipokuwa nimemsema vibaya , nimesoma comment nimegundua mwamposa mtumishi wa Kweli wa Mungu maana imeandikwa mutashambuliwa na kuzihakiwa na Watu wengi kwaajili ya Jina langu hakika mwamposa umeifika iyo atuwa Songa mbele baba watatokea wengi watakao kuzihaki na kukutusi kwaajili Ya iyo kazi uliyoamuwa kuifanya ubarkiwe mwamposa walaaaniwe wanao kutusi na kukuzihaki sababu ya Jina La yesu kristo, mm naomba barikiwa na wezako munaomtusi mwamposa tengenezeni hizo keki na mafuta kama watu watapona na kubarkiwa au kama watakuja kununuwa mafuta yenu au hizo keki zenu

  • @emmanueligale526
    @emmanueligale5268 күн бұрын

    Yule ni taperi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @BotulphusAugustine
    @BotulphusAugustine7 күн бұрын

    Njaa ya neno iyo jamani Yesu ajakosea Wambie ndo wanaleta njaa ya neno kwa watu watu wanazidi kuwa majinga maskini wakufikili Mungu atusaidie mapepo yaupako yapotee ayo kwa jina la Yesu

  • @felixnicodem6233
    @felixnicodem62335 күн бұрын

    Hii ni injili ya kweli isiogoshewa SEMA ukweli, watu wengi wanefungwa ufahamu Hao manabii na mitume wanaangamiza watu

  • @d.family.choir1799
    @d.family.choir17995 күн бұрын

    Sasa mimi sielewi wewe ni mkosoaji wa wenzako au mhubiri make unatumia mda mwingi sana kushambulia wenzio

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770Күн бұрын

    Hapa nimekuelewa

  • @user-nr2ud1dm3y
    @user-nr2ud1dm3y8 күн бұрын

    Wachina wanakuja masikini wanakuwa matajiri kuliko Waarab, Wazungu na watu wengineo wageni wanapiga mihela mpaka wanakereka. Mpaka sasa watanzania wengi ni watumwa kwenye Inchi yao.

  • @user-vn2fo3sx2w
    @user-vn2fo3sx2w2 күн бұрын

    Ivi wewe huo muda wa kumsema mwenzako unatoa wapi shida wewe upako huna ndio maana umebaki na umbea tuu yesu Ali SEMA toa Kwa nza kinzi kwenye jicho lako ndio uone boriti kwenye jicho la mwenzako shida huna huo upako nakama huna mungu haja kukubali omba ukubalike

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    2 күн бұрын

    Muda huo nautoa huko ulikotoa muda wa kuandika comment hii.

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e8 күн бұрын

    😂❤🇰🇪📢👋🙏🙏🙏🙏 diyo papa Amina kabisa true 😂

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h7 күн бұрын

    Hata Mimi nilikuwa najiuliza sana kama kweli mafuta watu wanapona kwanini haendi kuwaponya watu mahospital watu wanateseka sana aipunguzie serikali mzigo 😂😂😂😂

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    7 күн бұрын

    Kabisa! Yaani wajinga ndio waliwao na hawa matapeli wa Injili ya Yesu.

  • @maxmillanayo2979

    @maxmillanayo2979

    7 күн бұрын

    Hapa nakupinga wewe lakn mtumishi yupo sahihi,Akuna mgonjwa anaye fuatwa nyumbani na daktari akiwa anaskia kuumwa,bali mgonjwa ndiye anaye mfuata daktari,hivyo hivyo kwamba uponyaji aukufati hapo ulipo bali utaufuata,hata wanafunzi wa YESU walimfuata YESU ili kupata uponyaji,Amina

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    2 күн бұрын

    Yesu alienda mahospitalini?

  • @isaackambofi1241
    @isaackambofi12413 күн бұрын

    Unachokifanya Ni sawa na shetan alipomwambia Yesu kuwa Kama wewe Ni means wa Mungu geuza jiwe hili kua mkate, so fanya yako acha wivu mtumishi , hapo ulipo b@ada kuhubili habari ya Mungu unamuhubili Mwamposa

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa60397 күн бұрын

    M, barikiwa Soma bibilia Bado haijaisha acha vita unaharibu Injili yamungu laivu,ila kama Roho wamungu anakuongoza endelea mbele zaidi yasana,

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    5 күн бұрын

    Hata aaribu ila anawatoa mazombi mashimoni

  • @VictorNgosi
    @VictorNgosi6 күн бұрын

    Waombe mungu wawoooo atusaidie kulipa deni la taifa tr 91 mafuta wanao😂😂😂

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u8 сағат бұрын

    Kama wanafanya miujizakweli siyo maajabu wasogeze ziwa victoria m ajiyawe mbali namji iliwatuwajenge majumba yakifahari namengineyo hapo Dunianzima tuhamie hilokanisa badala ya kuchukuliafedha wauminiwenu. Kwa sayansi za......

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756Күн бұрын

    ❤❤❤

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga34787 күн бұрын

    Mafuta yenyewe magumash

  • @user-tm9sb2kc2b
    @user-tm9sb2kc2b8 күн бұрын

    Ukweli unaousema ndo viongozi wengi na wahusika hawaupendi. Tatizo mkono wa serikali upo hadi kanisani mpaka wachungaji wanafungwa midomo.

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga51918 күн бұрын

    Haya Bwana

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha2038 күн бұрын

    😂😂KWENYE CORONA TU alikuwa kama panya sosorososoro kwenye mashimo.HAPA WAJINGA NDIO WALIWAO😂

  • @AdamJulius-z5i
    @AdamJulius-z5i6 күн бұрын

    Umesema kweli baba💪

  • @twahaBakari-lh6yk
    @twahaBakari-lh6yk6 күн бұрын

    Mbarikiwa ninakuelewa sana

  • @deusmasalyuka7683
    @deusmasalyuka76837 күн бұрын

    Ameeen ameen!

  • @manfordmkinga4080
    @manfordmkinga40807 күн бұрын

    Huyu Mchungaji kiongozi amebarikiwa sana ,hakuna mtu anayeweza kumdhuru ila upako ndio shetani unamfanya achachawe na anatumia watu

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv2 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @marcelinenakafu7039
    @marcelinenakafu70392 күн бұрын

    mwaposa ni mihongo tena tapeli

  • @shigongoshuli6320
    @shigongoshuli63207 күн бұрын

    mwamposa mjinga tu pamoja na watu wake😂 Barikiwa sana mtu wa Mungu MBARIKIWA

  • @Bless-sk8uv

    @Bless-sk8uv

    6 күн бұрын

    Baki nyumbani kwako mm nikienda kwa MWAMPOSA kinakuuma nini jilinde ww

  • @shigongoshuli6320

    @shigongoshuli6320

    6 күн бұрын

    @@Bless-sk8uv maandiko yanasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa .mimi nakuhurumia kwamba unaangamizwa 😂 shituka mapema uiponye roho yako

  • @Bless-sk8uv

    @Bless-sk8uv

    6 күн бұрын

    @@shigongoshuli6320 koma Kuma ww kama' WW nikiangamizwa kinachokuuma nini? Angalia maisha yako achana na watu shoga ww kwanza unateseka ukiwa wapi?

  • @shigongoshuli6320

    @shigongoshuli6320

    6 күн бұрын

    @@Bless-sk8uv sasa unaona watu wa kwa mwamposa midmomo yenu ilivyomichafu.wewe njoo kwa yesu upone uwe mtakatifu acha kwenda gizani utaambulia kilio tu .mafuta yangekusaidia unsingekuwa mchafu hivyo mdomoni mwako .njoo kwa yesu ,damu yake pekee itakutakasa na wala siyo mafuta hayo .

  • @kilianjulius9882

    @kilianjulius9882

    5 күн бұрын

    Bless sikiliza point za mbarikiwa,,, mwambie huyo mchungaji wako akatende hayo tuamini afu unavyojibu matusi wewe si mtumishi wala mwana wa mungu wana wamungu wanajibu kwa staha na wasitarabu

  • @JuliusMatiku-ux4ch
    @JuliusMatiku-ux4chКүн бұрын

    Wivu utakuuwa.

  • @IsdoryNoel
    @IsdoryNoel2 күн бұрын

    Mwamposa ni tapeli kama matapeli wengine

  • @manfordmkinga4080
    @manfordmkinga40807 күн бұрын

    Mwamposa Hana uwezo hata kurudisha chochote kile ila dama tu

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul18667 күн бұрын

    Muñgu awe nawe daima

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl14 сағат бұрын

    Nilitaka kusahau. Na wewe mbarikiwa Kufikili wewe upo sahihi kuliko wote hao ni kiburi. Kama hao wote wanadanganya ila wewe tu ndio mkweli wewe fanya huo Ukweli bila kuponda Wengine. Ok

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376Күн бұрын

    Kila siku kujisifu na kuisema serikali na watu wake hiyo ndio injili ya kweli!!!??😢

  • @leahnzali4933
    @leahnzali49336 күн бұрын

    Eeeh. Hi Kali lakini kweli watusaidie madeni

  • @nicolasambokile-gk6nk
    @nicolasambokile-gk6nk7 күн бұрын

    😂😂 ubarikiwe babaangu mm

  • @YeremiaGidion
    @YeremiaGidion8 күн бұрын

    Mzee wewe ni chuma Cha mbinguni

  • @Wiittole
    @Wiittole8 күн бұрын

    Mbarikiwa ni mtumishi wa Mungu lakini ni mkorofi sana,yaani sipati picha ya kuelezea ukorofi wako ila ni mshari sana.Watu wametengeneza mfumo wao wa kupata utajiri wewe unataka kuharibu huu ni ukorofi wa kiwangi cha mwisho kuvumiliwa.

  • @ombendaud5938

    @ombendaud5938

    8 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    8 күн бұрын

    Wakitaka wawe salama wasitumie Biblia na kutaja jina la Mungu kwa kuwa 2 Timotheo 2:19 Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.

  • @felixsanga

    @felixsanga

    7 күн бұрын

    Kama Mbarikiwa ni Mkorofi na Yesu alikiwa mkorofi sana na kila aliyezaliwa na Mungu lazima aonekane mkorofi!!!

  • @emmanueligale526

    @emmanueligale526

    7 күн бұрын

    Kwa nn yesu aliuwawa?,,,,,,,, kama ukolofi unauona kwa bwana mbalikiwa.

  • @patrickmathiasnsalanga3401

    @patrickmathiasnsalanga3401

    7 күн бұрын

    Mbarikiwa sio mkorofi,. ukorofi ni kuongea au kufanya mambo mabaya, lakini yeye kila anapoongea , huwa anajaribu kuwafundisha watu kuhusu wema na madhara ya kutenda mabaya. Watu wengi hawajui kutofautisha mambo haya ndio maana wanawasubiri watu wema na kuwaacha waovu, kwasababu ubaya umejengewa kivuli cha maneno mazuri. Mtu wa Mungu huyu amesimama vizuri kwenye nafasi yake na Mungu ameona. Swali langu ni je mimi na wewe tutasimamia? EE MUNGU UNISAIDIE.

  • @ROSEAHEBRON
    @ROSEAHEBRON7 күн бұрын

    Huko Ni sawa na kusema kama wewe ni mwokozi jiokoe mweñyewe utoke msalabani, alafu hiyo Ni Roho ya kifalisayo ,

  • @titonsimbazi5532
    @titonsimbazi55327 күн бұрын

    MUNGU AKUTIE NGUVU. MUNGU AWEZA KUOKOA NCHI HII KUPITIA WEWE.

  • @user-mo2sb2nh8u
    @user-mo2sb2nh8u8 күн бұрын

    Mchungaji umeongea ukweli kiasi kwamba nimefikilia wachungaji wote wangekuwa kama mchungaji huyu injili ina madini yote

  • @badaembwilo2349
    @badaembwilo23493 күн бұрын

    Mmm kwani amekukosea Nini amini unayo amini usimseme mwenzio watu wanapona

  • @bernardmushi4869
    @bernardmushi48698 күн бұрын

    TRUE SERVANT OF GOD

  • @PrudencePaul-mr1ge
    @PrudencePaul-mr1ge6 күн бұрын

    Unafikili tunaweza kukuelewa sisi ambao kwa imani tumeona miujiza ikifanyika Mwamposa sio level zako tafuta Cha kuongea kingine

  • @JohnJoseph-qq7ow

    @JohnJoseph-qq7ow

    6 күн бұрын

    Popote pale wajinga kama wewe huwa hawakosekani.

  • @JohnJoseph-qq7ow

    @JohnJoseph-qq7ow

    6 күн бұрын

    Kwa akili zako fupi uwezi kumuelewa mwamposa niwa shetani ndiomaana wewe washetani unamwona Ana level kubwa

  • @PrudencePaul-mr1ge

    @PrudencePaul-mr1ge

    6 күн бұрын

    @@JohnJoseph-qq7ow kazi za shetani ni zipi ebu tueleze

  • @PrudencePaul-mr1ge

    @PrudencePaul-mr1ge

    6 күн бұрын

    @@JohnJoseph-qq7ow maandiko yanasema upumbafu wa Mungu unanguvu kuliko hekima ya mwanadamu Mungu sio mwanadamu umpangie Cha kufanya

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f5 күн бұрын

    Mbona wakati wa Korona awakusema wale kaki ya upako wapone.gwajima pekeyake.ndio jasusi la minguni.

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv6 күн бұрын

    Umaskini unakutesa

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    2 күн бұрын

    Mtoto wa nabii hata huku upo

  • @franknnko4744
    @franknnko47447 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @barakamwasumbi1646
    @barakamwasumbi16468 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @Ayoub-Kayaga2023
    @Ayoub-Kayaga20237 күн бұрын

    Unless we are going to regret 😢

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow6 күн бұрын

    Umemwambia ukweli 😂😂

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa76238 күн бұрын

    Kweli tukamwage mafuta ya upako hela zitokee tulipe deni

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole92936 күн бұрын

    Injili hii ccm na wala rushwa hawaipendi

Келесі