Wekeni keki/mafuta ya upako Ikulu/Wizarani tulipe deni tir 91. Mbarikiwa na maghumashi Mwamposa...
Жүктеу.....
Пікірлер: 211
@mbelechimakobola88358 күн бұрын
Wewe ndiye mtu wa Mungu uliyepo huko tanzania, chapa injili SANA baba
@komandowainjiliyayesu8 күн бұрын
Injili yako imenyooka tunakuombea pia wa Tanzania tumlinde huyu pastor mbarikiwa
@mbelechimakobola88358 күн бұрын
Tandika injili SANA baba, sisi tuliokuwa tunakupinga tumeshakuelewa sana, ubarikiwe SANA
@judithtitomalyeta4000
2 күн бұрын
Mtumíshi ulikuwa vizuri shida unaingilia watumishi wenzio Kwa kuwasema vibaya unajiona ww upo sahihi sana biga injiri kivyako
@judithtitomalyeta4000
2 күн бұрын
Kama ww unaweza mbona Mkoa Wako wa mbeya unashida kibao kwann hutatui acha mdomo hubiri neno
@FridayMwassa
2 күн бұрын
@judithtitomalyeta4000 Kwakuwa mbeya kuna shida ndiyo asiseme ukweli,shida hata kwenu zipo,
@adventinandyanabo1615
Күн бұрын
Ujinga ujinga tu, kwa akili ya kawaida unaweza kula keki tu mauzo yakaongezeka,? Piga injili ya kweli Mbarikiwa binafsi nakwamini
@joshuagabriel66527 күн бұрын
Mtumishi wote tuliyo kupinga sasa tumekuelewa songa mbele MUNGU yupo nawe wala si mwanadamu
@Ayoub-Kayaga20237 күн бұрын
Umenichekesha sana mtumishi,,,,,ama kweli chuma hunoa chuma 😂😂😂
@johnmalembo64648 күн бұрын
Mbarikiwa. Roho aliye ndani Yako ndiye yule aliyeahidiwa na KRISTO.....Hawa wa keki na mafuta ni wahuni,mabaradhuli na wanyang'anyi
@youngsachafurniture54825 күн бұрын
SIJAWWAH KUMWAMINI MWAMPOSA KUHAN MUSA SIJUI NAN MWINGINE YULE NAN YULE MWINGINE
@mbelechimakobola88358 күн бұрын
Hakuna wa kukufanya chochote, Mungu tunayemwabudu atakupigania
@jemedalimwakalundwa35207 күн бұрын
Mungu yu mwema sana hiyo ndiyo injili ya kweli kabisa yakina Yohana mbatizaji
@YakoboDeku7 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu soga mpele yesu amekaripia soma zab 34 ,19
@MercyMbonde8 күн бұрын
Injili hii naipenda sana
@user-ms1fg5vv1pКүн бұрын
Mtumish kwann usiende ukamwambie kosa lake kuliko kumsema vibaya kwenye mitandao wakati neno la mungu Lina SEMA mpende jiran yako Kama nafsi yako
@AnaniaKyando7 күн бұрын
Mungu anajivunia mbinguni kuwa ninalo jitu duniani Tanzania mbeya linanyooooshaa mapito ya bwana hongera sana baba Kila nikikusikia ukiongea jambo ambalo linahusu mungu Imani yangu inaongezeka sanaaaa
@charlesnyanhanga43828 күн бұрын
Mbalikiwa Ana maono siyo ya nchi hii ufahamu wako nimeupenda sana hongera
@urbanmission30727 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ HALELUYA MBINGUNI MBINGU IKUKUMBUKE SANA MTUMISHI WA MUNGU M-BARIKIWA WETU, YESU KRISTO AKUBARIK MNO KWA JINA LAKE YESU
@Ayoub-Kayaga20237 күн бұрын
"......Popote nitakapokuwepo nitatimiza wajibu wangu,,,,," this guy is not a layman,,,,please to anyone concern do not hurt this man. He knows what supposed to be done while a man is ta this world, simply he is a real Prophet sent by Almighty God to our beautiful country Tanzania. Our Government should protect this man!
@nabimanyafesto5014
5 күн бұрын
This corrupt government has no power to protect him, but God Himself will often protect the guy.
@AnnaSimon-yx9hh
3 күн бұрын
AMEN, utukufu KWA MUNGU mkuu
@BatazalNdifwa-nk2hl14 сағат бұрын
Elimu Elimu Elimu. Muujiza ya Mungu wa kweli Toka MILELE haikufanyika kama shooooo Wala mashindano ya kuamini. Bali Ilifanyika kwa Watu maalumu na Kwa Muda maalumu na lengo maalumu. Poleni sana waponda Muujiza na Mungu sio shangazi Yenu MILELE. Ok
@user-bs7cw1oi6z5 сағат бұрын
Kumbe ameshafunguliwa mwamposa kapigwa na kitu kizito,hiiiiiii ni kali
@TUMLACKMSIGWA7 күн бұрын
Kaza buti mtumishi endelea kuwanyoosha kwa neno la Mungu ndimi zipindishazo ukweli zinyooshe hvo hvo Kwa neno la Mungu amen amen anakuja Yesu
@lucasmwambene8266Күн бұрын
Amina Baba barikiwa sanaa Mungu azid kukuongezea zaidi na zaidi
@user-hx9no2bf8oКүн бұрын
Mbarikiwa wewe ni shida aisee. Haki nimecheka kweli. Hii Injili ni moto braza. Nikichanganya na ile ya mzee Maghembe hakika ni 🔥
@user-xv5kz7zy7r7 күн бұрын
Piga saba mtumishi watu wamekuwa kama mazuzu utakuta wamebeba utazani matahila unajiuliza biblia haionyeshi upuuzi huo wa manyanfanyi mungu akutumie kama kipindi kile cha elia mtishibi
@linkreuben31087 күн бұрын
Umenena Mtu wa Mungu!!!!!!!!!
@user-qn3el8nu7nКүн бұрын
M barikiwa umenivunja mbavu nakupataje nikupongeze ukovizuri pamoja na famly yako chapakazi mwanangu tukopamoja wachane hawo matapeli
@isaacsanga97077 күн бұрын
Ahsante pastor wengi wanapona kwa mahubiri,mafundisho,maonyo na makemeo yako. Hakuna majuto mbele kwa atakayekubali na kufuata yote ufundishayo. Mungu akushike sana!
@AnthonySindabaha-de3xb7 күн бұрын
Amina mtumishi ww ni mfano wa kuigwa maana una maono ya roho mtakatifu.
@geofreymilinga2965Күн бұрын
Tatuzo kumwelewa Mungu ngumu sana mbaka ufanyiwe mwenyewe ndipo Uamini, Samia akisema naamini naomba Uje Ombea ikulu na Maden tuweze kulipa ilo deni linafutwa malamoja , nimahamuzi tu ya mkuu wa nchi kumwamini Mungu basi.
@JoseHaule-tx7lu5 күн бұрын
Huyu ndugu amanyoooooka vibaya sana big up mchungaji
@jescarwegoshola1754Күн бұрын
Kila mtu na Mungu anampa kwa sehemu,Mwamposa kapewa upako huo watu,nawewe fanya chako ulicho funuliwa maana Yesu alisema tukiamini tutafanya zaidi ya aliyo fanya, Mwamposa huyo watu wanakanyaga mafuta wanakula keki wanapona,madeni kwisheni,deni la Nchi tunakusubili wewe utende zaidi ya Yesu maana alisema tukiamini tutatenda zaidi ya aliyo tenda kazi kwako.
@clotildatarimo78476 күн бұрын
Hubiri Injili ya Yesu acha kuhubiri watu
@emanuelmkama1325
5 күн бұрын
Ata yesu alkuwa anayesema matapeli hzaran au ujui?
@geraldsenkondo43348 күн бұрын
MUNGU atusaidie.
@kenedysimon35668 күн бұрын
Endelea Mngu yupo mbele yako
@user-ne5cg4vv1h7 күн бұрын
Baba nakukubali sana❤❤❤ Ukweli humuweka mtu huru
@ramadhanmahongole92936 күн бұрын
Mahubiri ya upako na uponyaji na miujiza yamepitwa na wakati mahubiri ya kisasa yanayo kualika kwa wakati huu ni haya ya mchungaji mbarikiwa
@GloryFredy20 сағат бұрын
Kweli Baba, wadumuo kutenda dhambi uwakee mbele ya wote ili nawengine waogope.1timotheo5:20
@MeshackyMwashiuya2 күн бұрын
Uongo kwer umezidi sana jamani Mungu atusaidie
@msanginaza9053 күн бұрын
Kwa injili iliyonyoooka namkubaliiii mbarikiwa hatakiiii uongo kabisa...ya mwamposa hapana kwakweli acha niwe upande wa mbarikiwa sipendi usaniiii kwa mambo ya Mungu mbarikiwa kanyoooka anahubiri Mungu wa kweli
@user-ut4vt1kn7w3 күн бұрын
Mungu Hazihirishwi Kwa Keki Na Mafuta
@priscaaugustino58036 күн бұрын
Popote nitakapo kuwepo nitatimiza wajibu wangu,
@obadiajuma4368 күн бұрын
Uyo mdada USO wake unaonyesha nimwongo
@GOODLUCKGodwell-bm4br6 күн бұрын
Acha kujisifia kwa elimu yako isiyo na ukweli ila ni kulingana na uelewa wako
CHUMA CHUMA, NONDO NONDO 🦾🦾 Liwake jua, inyeshe mvua hakuna kurud nyuma. Mtumishi wa MUNGU Mbarikiwa MUNGU akutunze
@richmwaij33687 сағат бұрын
Amina
@FrankMushi-cs5js7 күн бұрын
Tusaidiee mtumishi wa MUNGU ayaaa majambaziii yanatunyonyaa tuuuu
@MusaOgwoko7 күн бұрын
Uko sawa sio hawoooooo matapeli masikiniiiiiiii
@StelaJohn-nj5yf8 күн бұрын
Mungu turehemu waja wako🙏
@geofreymilinga2965Күн бұрын
Mbaka hapo Naamini Mwamposa Mtumish wa Kweli wa Mungu , Mungu anisamehe nilipokuwa nimemsema vibaya , nimesoma comment nimegundua mwamposa mtumishi wa Kweli wa Mungu maana imeandikwa mutashambuliwa na kuzihakiwa na Watu wengi kwaajili ya Jina langu hakika mwamposa umeifika iyo atuwa Songa mbele baba watatokea wengi watakao kuzihaki na kukutusi kwaajili Ya iyo kazi uliyoamuwa kuifanya ubarkiwe mwamposa walaaaniwe wanao kutusi na kukuzihaki sababu ya Jina La yesu kristo, mm naomba barikiwa na wezako munaomtusi mwamposa tengenezeni hizo keki na mafuta kama watu watapona na kubarkiwa au kama watakuja kununuwa mafuta yenu au hizo keki zenu
@emmanueligale5268 күн бұрын
Yule ni taperi 😂😂😂😂😂😂😂
@BotulphusAugustine7 күн бұрын
Njaa ya neno iyo jamani Yesu ajakosea Wambie ndo wanaleta njaa ya neno kwa watu watu wanazidi kuwa majinga maskini wakufikili Mungu atusaidie mapepo yaupako yapotee ayo kwa jina la Yesu
@felixnicodem62335 күн бұрын
Hii ni injili ya kweli isiogoshewa SEMA ukweli, watu wengi wanefungwa ufahamu Hao manabii na mitume wanaangamiza watu
@d.family.choir17995 күн бұрын
Sasa mimi sielewi wewe ni mkosoaji wa wenzako au mhubiri make unatumia mda mwingi sana kushambulia wenzio
@simonzakaria4770Күн бұрын
Hapa nimekuelewa
@user-nr2ud1dm3y8 күн бұрын
Wachina wanakuja masikini wanakuwa matajiri kuliko Waarab, Wazungu na watu wengineo wageni wanapiga mihela mpaka wanakereka. Mpaka sasa watanzania wengi ni watumwa kwenye Inchi yao.
@user-vn2fo3sx2w2 күн бұрын
Ivi wewe huo muda wa kumsema mwenzako unatoa wapi shida wewe upako huna ndio maana umebaki na umbea tuu yesu Ali SEMA toa Kwa nza kinzi kwenye jicho lako ndio uone boriti kwenye jicho la mwenzako shida huna huo upako nakama huna mungu haja kukubali omba ukubalike
@Mbarikiwa_Mwakipesile
2 күн бұрын
Muda huo nautoa huko ulikotoa muda wa kuandika comment hii.
@user-gi3io1ew8e8 күн бұрын
😂❤🇰🇪📢👋🙏🙏🙏🙏 diyo papa Amina kabisa true 😂
@user-ne5cg4vv1h7 күн бұрын
Hata Mimi nilikuwa najiuliza sana kama kweli mafuta watu wanapona kwanini haendi kuwaponya watu mahospital watu wanateseka sana aipunguzie serikali mzigo 😂😂😂😂
@helencyprian8745
7 күн бұрын
Kabisa! Yaani wajinga ndio waliwao na hawa matapeli wa Injili ya Yesu.
@maxmillanayo2979
7 күн бұрын
Hapa nakupinga wewe lakn mtumishi yupo sahihi,Akuna mgonjwa anaye fuatwa nyumbani na daktari akiwa anaskia kuumwa,bali mgonjwa ndiye anaye mfuata daktari,hivyo hivyo kwamba uponyaji aukufati hapo ulipo bali utaufuata,hata wanafunzi wa YESU walimfuata YESU ili kupata uponyaji,Amina
@FridayMwassa
2 күн бұрын
Yesu alienda mahospitalini?
@isaackambofi12413 күн бұрын
Unachokifanya Ni sawa na shetan alipomwambia Yesu kuwa Kama wewe Ni means wa Mungu geuza jiwe hili kua mkate, so fanya yako acha wivu mtumishi , hapo ulipo b@ada kuhubili habari ya Mungu unamuhubili Mwamposa
@lightnessgamasa60397 күн бұрын
M, barikiwa Soma bibilia Bado haijaisha acha vita unaharibu Injili yamungu laivu,ila kama Roho wamungu anakuongoza endelea mbele zaidi yasana,
@youngsachafurniture5482
5 күн бұрын
Hata aaribu ila anawatoa mazombi mashimoni
@VictorNgosi6 күн бұрын
Waombe mungu wawoooo atusaidie kulipa deni la taifa tr 91 mafuta wanao😂😂😂
@user-jl5un4wf3u8 сағат бұрын
Kama wanafanya miujizakweli siyo maajabu wasogeze ziwa victoria m ajiyawe mbali namji iliwatuwajenge majumba yakifahari namengineyo hapo Dunianzima tuhamie hilokanisa badala ya kuchukuliafedha wauminiwenu. Kwa sayansi za......
@emmanuelakutulaga9756Күн бұрын
❤❤❤
@emmanuelmanga34787 күн бұрын
Mafuta yenyewe magumash
@user-tm9sb2kc2b8 күн бұрын
Ukweli unaousema ndo viongozi wengi na wahusika hawaupendi. Tatizo mkono wa serikali upo hadi kanisani mpaka wachungaji wanafungwa midomo.
@apostlejacksonkalinga51918 күн бұрын
Haya Bwana
@mestonisimzosha2038 күн бұрын
😂😂KWENYE CORONA TU alikuwa kama panya sosorososoro kwenye mashimo.HAPA WAJINGA NDIO WALIWAO😂
@AdamJulius-z5i6 күн бұрын
Umesema kweli baba💪
@twahaBakari-lh6yk6 күн бұрын
Mbarikiwa ninakuelewa sana
@deusmasalyuka76837 күн бұрын
Ameeen ameen!
@manfordmkinga40807 күн бұрын
Huyu Mchungaji kiongozi amebarikiwa sana ,hakuna mtu anayeweza kumdhuru ila upako ndio shetani unamfanya achachawe na anatumia watu
@FredymaswiMwita-oj6gv2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@marcelinenakafu70392 күн бұрын
mwaposa ni mihongo tena tapeli
@shigongoshuli63207 күн бұрын
mwamposa mjinga tu pamoja na watu wake😂 Barikiwa sana mtu wa Mungu MBARIKIWA
@Bless-sk8uv
6 күн бұрын
Baki nyumbani kwako mm nikienda kwa MWAMPOSA kinakuuma nini jilinde ww
@shigongoshuli6320
6 күн бұрын
@@Bless-sk8uv maandiko yanasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa .mimi nakuhurumia kwamba unaangamizwa 😂 shituka mapema uiponye roho yako
@Bless-sk8uv
6 күн бұрын
@@shigongoshuli6320 koma Kuma ww kama' WW nikiangamizwa kinachokuuma nini? Angalia maisha yako achana na watu shoga ww kwanza unateseka ukiwa wapi?
@shigongoshuli6320
6 күн бұрын
@@Bless-sk8uv sasa unaona watu wa kwa mwamposa midmomo yenu ilivyomichafu.wewe njoo kwa yesu upone uwe mtakatifu acha kwenda gizani utaambulia kilio tu .mafuta yangekusaidia unsingekuwa mchafu hivyo mdomoni mwako .njoo kwa yesu ,damu yake pekee itakutakasa na wala siyo mafuta hayo .
@kilianjulius9882
5 күн бұрын
Bless sikiliza point za mbarikiwa,,, mwambie huyo mchungaji wako akatende hayo tuamini afu unavyojibu matusi wewe si mtumishi wala mwana wa mungu wana wamungu wanajibu kwa staha na wasitarabu
@JuliusMatiku-ux4chКүн бұрын
Wivu utakuuwa.
@IsdoryNoel2 күн бұрын
Mwamposa ni tapeli kama matapeli wengine
@manfordmkinga40807 күн бұрын
Mwamposa Hana uwezo hata kurudisha chochote kile ila dama tu
@agnesspaul18667 күн бұрын
Muñgu awe nawe daima
@BatazalNdifwa-nk2hl14 сағат бұрын
Nilitaka kusahau. Na wewe mbarikiwa Kufikili wewe upo sahihi kuliko wote hao ni kiburi. Kama hao wote wanadanganya ila wewe tu ndio mkweli wewe fanya huo Ukweli bila kuponda Wengine. Ok
@wilsonm.7376Күн бұрын
Kila siku kujisifu na kuisema serikali na watu wake hiyo ndio injili ya kweli!!!??😢
@leahnzali49336 күн бұрын
Eeeh. Hi Kali lakini kweli watusaidie madeni
@nicolasambokile-gk6nk7 күн бұрын
😂😂 ubarikiwe babaangu mm
@YeremiaGidion8 күн бұрын
Mzee wewe ni chuma Cha mbinguni
@Wiittole8 күн бұрын
Mbarikiwa ni mtumishi wa Mungu lakini ni mkorofi sana,yaani sipati picha ya kuelezea ukorofi wako ila ni mshari sana.Watu wametengeneza mfumo wao wa kupata utajiri wewe unataka kuharibu huu ni ukorofi wa kiwangi cha mwisho kuvumiliwa.
@ombendaud5938
8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Mbarikiwa_Mwakipesile
8 күн бұрын
Wakitaka wawe salama wasitumie Biblia na kutaja jina la Mungu kwa kuwa 2 Timotheo 2:19 Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.
@felixsanga
7 күн бұрын
Kama Mbarikiwa ni Mkorofi na Yesu alikiwa mkorofi sana na kila aliyezaliwa na Mungu lazima aonekane mkorofi!!!
@emmanueligale526
7 күн бұрын
Kwa nn yesu aliuwawa?,,,,,,,, kama ukolofi unauona kwa bwana mbalikiwa.
@patrickmathiasnsalanga3401
7 күн бұрын
Mbarikiwa sio mkorofi,. ukorofi ni kuongea au kufanya mambo mabaya, lakini yeye kila anapoongea , huwa anajaribu kuwafundisha watu kuhusu wema na madhara ya kutenda mabaya. Watu wengi hawajui kutofautisha mambo haya ndio maana wanawasubiri watu wema na kuwaacha waovu, kwasababu ubaya umejengewa kivuli cha maneno mazuri. Mtu wa Mungu huyu amesimama vizuri kwenye nafasi yake na Mungu ameona. Swali langu ni je mimi na wewe tutasimamia? EE MUNGU UNISAIDIE.
@ROSEAHEBRON7 күн бұрын
Huko Ni sawa na kusema kama wewe ni mwokozi jiokoe mweñyewe utoke msalabani, alafu hiyo Ni Roho ya kifalisayo ,
@titonsimbazi55327 күн бұрын
MUNGU AKUTIE NGUVU. MUNGU AWEZA KUOKOA NCHI HII KUPITIA WEWE.
@user-mo2sb2nh8u8 күн бұрын
Mchungaji umeongea ukweli kiasi kwamba nimefikilia wachungaji wote wangekuwa kama mchungaji huyu injili ina madini yote
Пікірлер: 211
Wewe ndiye mtu wa Mungu uliyepo huko tanzania, chapa injili SANA baba
Injili yako imenyooka tunakuombea pia wa Tanzania tumlinde huyu pastor mbarikiwa
Tandika injili SANA baba, sisi tuliokuwa tunakupinga tumeshakuelewa sana, ubarikiwe SANA
@judithtitomalyeta4000
2 күн бұрын
Mtumíshi ulikuwa vizuri shida unaingilia watumishi wenzio Kwa kuwasema vibaya unajiona ww upo sahihi sana biga injiri kivyako
@judithtitomalyeta4000
2 күн бұрын
Kama ww unaweza mbona Mkoa Wako wa mbeya unashida kibao kwann hutatui acha mdomo hubiri neno
@FridayMwassa
2 күн бұрын
@judithtitomalyeta4000 Kwakuwa mbeya kuna shida ndiyo asiseme ukweli,shida hata kwenu zipo,
@adventinandyanabo1615
Күн бұрын
Ujinga ujinga tu, kwa akili ya kawaida unaweza kula keki tu mauzo yakaongezeka,? Piga injili ya kweli Mbarikiwa binafsi nakwamini
Mtumishi wote tuliyo kupinga sasa tumekuelewa songa mbele MUNGU yupo nawe wala si mwanadamu
Umenichekesha sana mtumishi,,,,,ama kweli chuma hunoa chuma 😂😂😂
Mbarikiwa. Roho aliye ndani Yako ndiye yule aliyeahidiwa na KRISTO.....Hawa wa keki na mafuta ni wahuni,mabaradhuli na wanyang'anyi
SIJAWWAH KUMWAMINI MWAMPOSA KUHAN MUSA SIJUI NAN MWINGINE YULE NAN YULE MWINGINE
Hakuna wa kukufanya chochote, Mungu tunayemwabudu atakupigania
Mungu yu mwema sana hiyo ndiyo injili ya kweli kabisa yakina Yohana mbatizaji
Mtumishi wa Mungu soga mpele yesu amekaripia soma zab 34 ,19
Injili hii naipenda sana
Mtumish kwann usiende ukamwambie kosa lake kuliko kumsema vibaya kwenye mitandao wakati neno la mungu Lina SEMA mpende jiran yako Kama nafsi yako
Mungu anajivunia mbinguni kuwa ninalo jitu duniani Tanzania mbeya linanyooooshaa mapito ya bwana hongera sana baba Kila nikikusikia ukiongea jambo ambalo linahusu mungu Imani yangu inaongezeka sanaaaa
Mbalikiwa Ana maono siyo ya nchi hii ufahamu wako nimeupenda sana hongera
❤❤❤❤❤❤❤ HALELUYA MBINGUNI MBINGU IKUKUMBUKE SANA MTUMISHI WA MUNGU M-BARIKIWA WETU, YESU KRISTO AKUBARIK MNO KWA JINA LAKE YESU
"......Popote nitakapokuwepo nitatimiza wajibu wangu,,,,," this guy is not a layman,,,,please to anyone concern do not hurt this man. He knows what supposed to be done while a man is ta this world, simply he is a real Prophet sent by Almighty God to our beautiful country Tanzania. Our Government should protect this man!
@nabimanyafesto5014
5 күн бұрын
This corrupt government has no power to protect him, but God Himself will often protect the guy.
@AnnaSimon-yx9hh
3 күн бұрын
AMEN, utukufu KWA MUNGU mkuu
Elimu Elimu Elimu. Muujiza ya Mungu wa kweli Toka MILELE haikufanyika kama shooooo Wala mashindano ya kuamini. Bali Ilifanyika kwa Watu maalumu na Kwa Muda maalumu na lengo maalumu. Poleni sana waponda Muujiza na Mungu sio shangazi Yenu MILELE. Ok
Kumbe ameshafunguliwa mwamposa kapigwa na kitu kizito,hiiiiiii ni kali
Kaza buti mtumishi endelea kuwanyoosha kwa neno la Mungu ndimi zipindishazo ukweli zinyooshe hvo hvo Kwa neno la Mungu amen amen anakuja Yesu
Amina Baba barikiwa sanaa Mungu azid kukuongezea zaidi na zaidi
Mbarikiwa wewe ni shida aisee. Haki nimecheka kweli. Hii Injili ni moto braza. Nikichanganya na ile ya mzee Maghembe hakika ni 🔥
Piga saba mtumishi watu wamekuwa kama mazuzu utakuta wamebeba utazani matahila unajiuliza biblia haionyeshi upuuzi huo wa manyanfanyi mungu akutumie kama kipindi kile cha elia mtishibi
Umenena Mtu wa Mungu!!!!!!!!!
M barikiwa umenivunja mbavu nakupataje nikupongeze ukovizuri pamoja na famly yako chapakazi mwanangu tukopamoja wachane hawo matapeli
Ahsante pastor wengi wanapona kwa mahubiri,mafundisho,maonyo na makemeo yako. Hakuna majuto mbele kwa atakayekubali na kufuata yote ufundishayo. Mungu akushike sana!
Amina mtumishi ww ni mfano wa kuigwa maana una maono ya roho mtakatifu.
Tatuzo kumwelewa Mungu ngumu sana mbaka ufanyiwe mwenyewe ndipo Uamini, Samia akisema naamini naomba Uje Ombea ikulu na Maden tuweze kulipa ilo deni linafutwa malamoja , nimahamuzi tu ya mkuu wa nchi kumwamini Mungu basi.
Huyu ndugu amanyoooooka vibaya sana big up mchungaji
Kila mtu na Mungu anampa kwa sehemu,Mwamposa kapewa upako huo watu,nawewe fanya chako ulicho funuliwa maana Yesu alisema tukiamini tutafanya zaidi ya aliyo fanya, Mwamposa huyo watu wanakanyaga mafuta wanakula keki wanapona,madeni kwisheni,deni la Nchi tunakusubili wewe utende zaidi ya Yesu maana alisema tukiamini tutatenda zaidi ya aliyo tenda kazi kwako.
Hubiri Injili ya Yesu acha kuhubiri watu
@emanuelmkama1325
5 күн бұрын
Ata yesu alkuwa anayesema matapeli hzaran au ujui?
MUNGU atusaidie.
Endelea Mngu yupo mbele yako
Baba nakukubali sana❤❤❤ Ukweli humuweka mtu huru
Mahubiri ya upako na uponyaji na miujiza yamepitwa na wakati mahubiri ya kisasa yanayo kualika kwa wakati huu ni haya ya mchungaji mbarikiwa
Kweli Baba, wadumuo kutenda dhambi uwakee mbele ya wote ili nawengine waogope.1timotheo5:20
Uongo kwer umezidi sana jamani Mungu atusaidie
Kwa injili iliyonyoooka namkubaliiii mbarikiwa hatakiiii uongo kabisa...ya mwamposa hapana kwakweli acha niwe upande wa mbarikiwa sipendi usaniiii kwa mambo ya Mungu mbarikiwa kanyoooka anahubiri Mungu wa kweli
Mungu Hazihirishwi Kwa Keki Na Mafuta
Popote nitakapo kuwepo nitatimiza wajibu wangu,
Uyo mdada USO wake unaonyesha nimwongo
Acha kujisifia kwa elimu yako isiyo na ukweli ila ni kulingana na uelewa wako
😂😂 point zito sana hii
Nimecheka bila kuchekeshwa duu!
Waambie hao wanabii wauongo waache zambi kwani hao niwashetani
Yaani hili limposa hovyo kabisa
CHUMA CHUMA, NONDO NONDO 🦾🦾 Liwake jua, inyeshe mvua hakuna kurud nyuma. Mtumishi wa MUNGU Mbarikiwa MUNGU akutunze
Amina
Tusaidiee mtumishi wa MUNGU ayaaa majambaziii yanatunyonyaa tuuuu
Uko sawa sio hawoooooo matapeli masikiniiiiiiii
Mungu turehemu waja wako🙏
Mbaka hapo Naamini Mwamposa Mtumish wa Kweli wa Mungu , Mungu anisamehe nilipokuwa nimemsema vibaya , nimesoma comment nimegundua mwamposa mtumishi wa Kweli wa Mungu maana imeandikwa mutashambuliwa na kuzihakiwa na Watu wengi kwaajili ya Jina langu hakika mwamposa umeifika iyo atuwa Songa mbele baba watatokea wengi watakao kuzihaki na kukutusi kwaajili Ya iyo kazi uliyoamuwa kuifanya ubarkiwe mwamposa walaaaniwe wanao kutusi na kukuzihaki sababu ya Jina La yesu kristo, mm naomba barikiwa na wezako munaomtusi mwamposa tengenezeni hizo keki na mafuta kama watu watapona na kubarkiwa au kama watakuja kununuwa mafuta yenu au hizo keki zenu
Yule ni taperi 😂😂😂😂😂😂😂
Njaa ya neno iyo jamani Yesu ajakosea Wambie ndo wanaleta njaa ya neno kwa watu watu wanazidi kuwa majinga maskini wakufikili Mungu atusaidie mapepo yaupako yapotee ayo kwa jina la Yesu
Hii ni injili ya kweli isiogoshewa SEMA ukweli, watu wengi wanefungwa ufahamu Hao manabii na mitume wanaangamiza watu
Sasa mimi sielewi wewe ni mkosoaji wa wenzako au mhubiri make unatumia mda mwingi sana kushambulia wenzio
Hapa nimekuelewa
Wachina wanakuja masikini wanakuwa matajiri kuliko Waarab, Wazungu na watu wengineo wageni wanapiga mihela mpaka wanakereka. Mpaka sasa watanzania wengi ni watumwa kwenye Inchi yao.
Ivi wewe huo muda wa kumsema mwenzako unatoa wapi shida wewe upako huna ndio maana umebaki na umbea tuu yesu Ali SEMA toa Kwa nza kinzi kwenye jicho lako ndio uone boriti kwenye jicho la mwenzako shida huna huo upako nakama huna mungu haja kukubali omba ukubalike
@Mbarikiwa_Mwakipesile
2 күн бұрын
Muda huo nautoa huko ulikotoa muda wa kuandika comment hii.
😂❤🇰🇪📢👋🙏🙏🙏🙏 diyo papa Amina kabisa true 😂
Hata Mimi nilikuwa najiuliza sana kama kweli mafuta watu wanapona kwanini haendi kuwaponya watu mahospital watu wanateseka sana aipunguzie serikali mzigo 😂😂😂😂
@helencyprian8745
7 күн бұрын
Kabisa! Yaani wajinga ndio waliwao na hawa matapeli wa Injili ya Yesu.
@maxmillanayo2979
7 күн бұрын
Hapa nakupinga wewe lakn mtumishi yupo sahihi,Akuna mgonjwa anaye fuatwa nyumbani na daktari akiwa anaskia kuumwa,bali mgonjwa ndiye anaye mfuata daktari,hivyo hivyo kwamba uponyaji aukufati hapo ulipo bali utaufuata,hata wanafunzi wa YESU walimfuata YESU ili kupata uponyaji,Amina
@FridayMwassa
2 күн бұрын
Yesu alienda mahospitalini?
Unachokifanya Ni sawa na shetan alipomwambia Yesu kuwa Kama wewe Ni means wa Mungu geuza jiwe hili kua mkate, so fanya yako acha wivu mtumishi , hapo ulipo b@ada kuhubili habari ya Mungu unamuhubili Mwamposa
M, barikiwa Soma bibilia Bado haijaisha acha vita unaharibu Injili yamungu laivu,ila kama Roho wamungu anakuongoza endelea mbele zaidi yasana,
@youngsachafurniture5482
5 күн бұрын
Hata aaribu ila anawatoa mazombi mashimoni
Waombe mungu wawoooo atusaidie kulipa deni la taifa tr 91 mafuta wanao😂😂😂
Kama wanafanya miujizakweli siyo maajabu wasogeze ziwa victoria m ajiyawe mbali namji iliwatuwajenge majumba yakifahari namengineyo hapo Dunianzima tuhamie hilokanisa badala ya kuchukuliafedha wauminiwenu. Kwa sayansi za......
❤❤❤
Mafuta yenyewe magumash
Ukweli unaousema ndo viongozi wengi na wahusika hawaupendi. Tatizo mkono wa serikali upo hadi kanisani mpaka wachungaji wanafungwa midomo.
Haya Bwana
😂😂KWENYE CORONA TU alikuwa kama panya sosorososoro kwenye mashimo.HAPA WAJINGA NDIO WALIWAO😂
Umesema kweli baba💪
Mbarikiwa ninakuelewa sana
Ameeen ameen!
Huyu Mchungaji kiongozi amebarikiwa sana ,hakuna mtu anayeweza kumdhuru ila upako ndio shetani unamfanya achachawe na anatumia watu
❤❤❤❤❤❤
mwaposa ni mihongo tena tapeli
mwamposa mjinga tu pamoja na watu wake😂 Barikiwa sana mtu wa Mungu MBARIKIWA
@Bless-sk8uv
6 күн бұрын
Baki nyumbani kwako mm nikienda kwa MWAMPOSA kinakuuma nini jilinde ww
@shigongoshuli6320
6 күн бұрын
@@Bless-sk8uv maandiko yanasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa .mimi nakuhurumia kwamba unaangamizwa 😂 shituka mapema uiponye roho yako
@Bless-sk8uv
6 күн бұрын
@@shigongoshuli6320 koma Kuma ww kama' WW nikiangamizwa kinachokuuma nini? Angalia maisha yako achana na watu shoga ww kwanza unateseka ukiwa wapi?
@shigongoshuli6320
6 күн бұрын
@@Bless-sk8uv sasa unaona watu wa kwa mwamposa midmomo yenu ilivyomichafu.wewe njoo kwa yesu upone uwe mtakatifu acha kwenda gizani utaambulia kilio tu .mafuta yangekusaidia unsingekuwa mchafu hivyo mdomoni mwako .njoo kwa yesu ,damu yake pekee itakutakasa na wala siyo mafuta hayo .
@kilianjulius9882
5 күн бұрын
Bless sikiliza point za mbarikiwa,,, mwambie huyo mchungaji wako akatende hayo tuamini afu unavyojibu matusi wewe si mtumishi wala mwana wa mungu wana wamungu wanajibu kwa staha na wasitarabu
Wivu utakuuwa.
Mwamposa ni tapeli kama matapeli wengine
Mwamposa Hana uwezo hata kurudisha chochote kile ila dama tu
Muñgu awe nawe daima
Nilitaka kusahau. Na wewe mbarikiwa Kufikili wewe upo sahihi kuliko wote hao ni kiburi. Kama hao wote wanadanganya ila wewe tu ndio mkweli wewe fanya huo Ukweli bila kuponda Wengine. Ok
Kila siku kujisifu na kuisema serikali na watu wake hiyo ndio injili ya kweli!!!??😢
Eeeh. Hi Kali lakini kweli watusaidie madeni
😂😂 ubarikiwe babaangu mm
Mzee wewe ni chuma Cha mbinguni
Mbarikiwa ni mtumishi wa Mungu lakini ni mkorofi sana,yaani sipati picha ya kuelezea ukorofi wako ila ni mshari sana.Watu wametengeneza mfumo wao wa kupata utajiri wewe unataka kuharibu huu ni ukorofi wa kiwangi cha mwisho kuvumiliwa.
@ombendaud5938
8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Mbarikiwa_Mwakipesile
8 күн бұрын
Wakitaka wawe salama wasitumie Biblia na kutaja jina la Mungu kwa kuwa 2 Timotheo 2:19 Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.
@felixsanga
7 күн бұрын
Kama Mbarikiwa ni Mkorofi na Yesu alikiwa mkorofi sana na kila aliyezaliwa na Mungu lazima aonekane mkorofi!!!
@emmanueligale526
7 күн бұрын
Kwa nn yesu aliuwawa?,,,,,,,, kama ukolofi unauona kwa bwana mbalikiwa.
@patrickmathiasnsalanga3401
7 күн бұрын
Mbarikiwa sio mkorofi,. ukorofi ni kuongea au kufanya mambo mabaya, lakini yeye kila anapoongea , huwa anajaribu kuwafundisha watu kuhusu wema na madhara ya kutenda mabaya. Watu wengi hawajui kutofautisha mambo haya ndio maana wanawasubiri watu wema na kuwaacha waovu, kwasababu ubaya umejengewa kivuli cha maneno mazuri. Mtu wa Mungu huyu amesimama vizuri kwenye nafasi yake na Mungu ameona. Swali langu ni je mimi na wewe tutasimamia? EE MUNGU UNISAIDIE.
Huko Ni sawa na kusema kama wewe ni mwokozi jiokoe mweñyewe utoke msalabani, alafu hiyo Ni Roho ya kifalisayo ,
MUNGU AKUTIE NGUVU. MUNGU AWEZA KUOKOA NCHI HII KUPITIA WEWE.
Mchungaji umeongea ukweli kiasi kwamba nimefikilia wachungaji wote wangekuwa kama mchungaji huyu injili ina madini yote
Mmm kwani amekukosea Nini amini unayo amini usimseme mwenzio watu wanapona
TRUE SERVANT OF GOD
Unafikili tunaweza kukuelewa sisi ambao kwa imani tumeona miujiza ikifanyika Mwamposa sio level zako tafuta Cha kuongea kingine
@JohnJoseph-qq7ow
6 күн бұрын
Popote pale wajinga kama wewe huwa hawakosekani.
@JohnJoseph-qq7ow
6 күн бұрын
Kwa akili zako fupi uwezi kumuelewa mwamposa niwa shetani ndiomaana wewe washetani unamwona Ana level kubwa
@PrudencePaul-mr1ge
6 күн бұрын
@@JohnJoseph-qq7ow kazi za shetani ni zipi ebu tueleze
@PrudencePaul-mr1ge
6 күн бұрын
@@JohnJoseph-qq7ow maandiko yanasema upumbafu wa Mungu unanguvu kuliko hekima ya mwanadamu Mungu sio mwanadamu umpangie Cha kufanya
Mbona wakati wa Korona awakusema wale kaki ya upako wapone.gwajima pekeyake.ndio jasusi la minguni.
Umaskini unakutesa
@FridayMwassa
2 күн бұрын
Mtoto wa nabii hata huku upo
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Unless we are going to regret 😢
Umemwambia ukweli 😂😂
Kweli tukamwage mafuta ya upako hela zitokee tulipe deni
Injili hii ccm na wala rushwa hawaipendi