Askofu Gwajima na mch Magembe watamani mavazi ya kanisa la Mbarikiwa.
Жүктеу.....
Пікірлер: 99
@nabimanyafesto50145 күн бұрын
The great teacher in the world. Mungu akubariki sana.
@user-wl3ye9tt6z6 күн бұрын
Nami ninakuunga mkono kuhusiana na mavazi uwe mfano bora kwa wakrito wote ,nawapongeza sana kwa hilo BWANA YESU ASIFIWE.
@pauljamesmwamtekele80035 күн бұрын
Safi sana mtumishi mavazi ndio utukufu wa mungu kujistili
@mestonisimzosha2036 күн бұрын
Super Sab/KOMANDOOO/JASUSI/JEMBE/KATAPILA/MWAMBA/ELIYA WA KIZAZI HIKI KWA WEWE TANZANIA NA DUNIA NZIMA HATUNA CHA KUJITETEA MBELE ZA MUNGU KWELI WOKOVU UPO NA UNAWEZEKANA kiukweli upepo unazidi kubadilisha uelekeo big up.
@user-ls2nq2eq3l6 күн бұрын
Ili kanisa liko vzr lkn wanawashambulia Sana cjui kwa nn lkn wanakemea dhambi vzr Sana na kuwafikisha watu mbinguni
@MeckitilidaTushabe-or9hu6 күн бұрын
Kweli wanawake wengi utandawazi umetawala mtu anavaa nguo mpaka ukimwangalia unaogopa especially kwa wanawake wanaojiita wameokoka kuna kanisa moja niliwahi kwenda asee niliogopa mpaka nikasema labda nimekosea njia
@josykogei7647
6 күн бұрын
Usinichekeshe eti ukakosea njia Sasa ulifanyaje
@MeckitilidaTushabe-or9hu
6 күн бұрын
@@josykogei7647 nilikaaa mpaka Ibada ikaisha. Kilicho nishangaza ni Binti niliye kuwa karibu yake. Alikuwa amevaa nguo iliyo acha kitovu nje Tena ametoboa kitovu. Masikio yake yalikuwa yamezungishwa na hereni. Cope zilikuwa kama ufagio suruali yake ilikuwa imechwa. Kucha amebandika yaani alikuwa kama jini kilicho nishangaza zaidi alikuwa ananena kwa Lugha mpaka nikashangaa nikageuka madhabahuni Kuna wahimabi asee. Niliogopa mno waimbaji wamevaa zili nguo za ndani asee 😥😥😥😥 nilisikitika mno nilijiuliza maswali nikakosa majibu ila Mungu atusAidie Kanisa laleo maana udunia umeingia kanisani kabisa yale maonyo watu hawataki Tena ukimsemesha atakwambia ninahama kanisa jaman tunaenda wapi kanisa eee Mungu ombi langu kwa Mungu azidi kuwainua Watumishi wengine kama mbarikiwa. Wenye kuisema kweli ya kristo pasipo kupindisha Maneno ❤️🙏🙏
@user-pf5zs6nm4n6 күн бұрын
Mbarikiwa nakupenda mtumishi wa Mungu aliehai unafundisha kweli tupu ya Mungu nakupenda mtumishi Mungu akubariki tena na tena Ameni
@pascalzakaria78746 сағат бұрын
Ubarikiwe Sawa Sawa na Jina lako
@user-ny1tf2gg8g5 күн бұрын
MUNGU awabariki sana watu wa Mungu mlioko ktk dunia.
@Deboraclementgm2 күн бұрын
Aki mbarikiwe Sana Kwa izo Joho yaani naunga mkono
@oscarzeze64525 күн бұрын
Cjawai kucommenti ila kwahili ninakupongeza sana nikelo sana hata kwangu waislam kwenye mavazi yaheshima wako vizuri Sana Ubarikiwe kwahili Mtumishi wa Mungu
@injilinjeyakutazakanisa6 күн бұрын
Hahahaaaa Magembe!! umeshindikana, ila kweli, yani wanaume tunatabu, hata nguvu zinatuishia kwasababu ya mambo kama haya!!!, wapunguze vinyani, walau wapige visokwe
@mabondolawrence181217 сағат бұрын
Mavazi ya hovyo ni matokeo ya uzinzi ambao wachungaji wengi hawawezi kukemea ni watumishi wachache wanaotumiw na Mungu wasiopenda uzinzi!
@silassaitoti76894 күн бұрын
Nimecheka Inchi isiyoshikika Magembe hahahaaaa😅
@mbelechimakobola88356 күн бұрын
Yes, ndio mtu wa Mungu uliyepo huko tanzania, tunajivunia sana!
@peter23mapunda79Күн бұрын
Kakobe alifundisha zmani sana mulikuwa mnampinga saiz ndiyo mnaamka
@Hapomwanzo6 күн бұрын
Hii tunaita; Atakayekoswa na upanga ya YEHU,HAZAELI atamfyeka na atakayekoswa na upanga wa HAZAELI, ELISHA atamaliza kazi.
@mwaminijoseph
5 күн бұрын
Imeenda
@JohnJoseph-qq7ow6 күн бұрын
Enderea kusimamia haki mbarikiwa jeshi limenyamaza bunge lamataira wananchi waoga kuandamana daal NCHI ya hovyo kweli hii
@yesumfalme57986 күн бұрын
Naomba mtuwekee video jinsi ya kushona gauni kama hilo na MUNGU AZIDI KUWABARIKI
@luciasteven33144 күн бұрын
GWAJIMA HANAGA MSIMAMO N MAFUNDISHO YAKE HUYU HUYU ALIWAHI SEMA MUNGU HAANGALII MAVAZI
@danielmboje9209Күн бұрын
Good job
@JuneJune-xf4pc6 күн бұрын
Baba umeongea ukweli mtupu nipo oman nakufutilia sana
@PendoPogwa3 күн бұрын
Amina hakuna mkristo alieambiwa avae ivo
@odamssanga68714 күн бұрын
Hakika watavaa NCHI nzima na hata Dunia nzima.
@fidemary83866 күн бұрын
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yaliyo kweli ya maandiko.
@yesumfalme57986 күн бұрын
Amina baba
@TusaKiblaga-vp9jg5 күн бұрын
Ameen baba kweli kabisa inampendeza Mungu kujistiri
@user-hh4hb8sj3q5 күн бұрын
Safi sana katika hili umenena hongera sana
@user-ls2nq2eq3l6 күн бұрын
Hata mm niliwai kusema waislam wakike wanatuzid mavazi wakanishambulia
@leticiakato3956 күн бұрын
Tatizo liko kwako pàstor wafundishe mavazi ya kiBiblia ukisoma maandiko. Mbona dhambi zingine unakemea.
@bartinkahenga1196
6 күн бұрын
Sijaona tatizo la pastor hapo, Shida itakuwa iko kwako
@AidaRaphael6 күн бұрын
Amina
@TAG-8636 күн бұрын
Mbarikiwa utazidi kusitawi sasa Maana kanisa lako ni mfano wa zamani nakupongeza kwa Marezi yako ya kiloho
@saphinaluoga63736 күн бұрын
Amina baba kwa kunyoosha kweli
@tinnahagustinolyelu42472 күн бұрын
Sawa wanavaa vinzuri lakini nyuma ya pazia mmmmmm na sio waislamu tu kuvaa mavazi hayo Kila mwanamke anatakiwa kuvaa na ndio maana shetani aliachwa Hai baba
Kama ningeishi Mbeya ningeabudu Kanisa la Kikosi Kazi ikiwa wakinipokea.
@user-dt9iz2gq3s6 күн бұрын
Ila mzee Maghembe, hahahaha 😂😂😊😅😂😂
@leticiakato3956 күн бұрын
Nimemjibu pastor Gwajima, kwamba yeye kama ameona mavazi Yana tatizo awafundishe kwa neno wabadilike wawe kama neno la Mungu linavyoagiza. Ndiyo maana wanakuja kujifunza. Hasibaki kunungunika.na kuwalaumu washirika. Hawajui ndiyo maana wanakuja kujifunza. Hao washirika wa Mbarikiwa wamefunfishwa na mchungaji wao ndo maana wako hivyo walivyo.
@LucyKapinga-fg4dk
5 күн бұрын
Hapa Amesha Fundisha Sana Na Kuwaambi Ila Sikuizi Waumini Wengi Niwagumu Awataki Kukubarii Amini Mtu Neno qnapewa
@peter23mapunda79Күн бұрын
Sio mavaz ya mbarikiwa mavaz ya kakobe
@user-ud4hu6xe1c6 күн бұрын
😂😂😂😂😂 maegembe jamani
@rockcitynative99855 күн бұрын
Nakapenda hako ka Sifa ninaweza kukapata vipi kawe kamke kangu.
@GenerosaKinemo6 күн бұрын
Wanawake tuvae mavazi ya staha
@ugalidona-cs2yn5 күн бұрын
Naaam.
@user-ls2nq2eq3l6 күн бұрын
Nawageni wakitaka kuja mnawapatia ayo mavazi au
@festinamwakipale39194 күн бұрын
Wachungaji wote wanataman na itakuwa Mungu awasemeshe wacha Mungu vinguo hivi visuluali.ni pepo la umalaya kwenye makanisa Mungu atatengeneza kanisa la tanzania ila wasafishaji tusisukumane
@silassaitoti76894 күн бұрын
Kweli wazifunike
@zawadimwaibako40656 күн бұрын
Amen amen
@forminaformina76944 күн бұрын
Mbarikiwa.kanisa.lake.yupo.vizuri.sana.kwa.mavazi
@user-ee3sl8lt7k6 күн бұрын
Mag3mbee😂😂🙌
@maureenmgeni5 күн бұрын
Kweli kabisa, wanawake tunapaswa tujisitiri.
@AnethSwila-tw9mv5 күн бұрын
Sie watu niwajeuri kweli yani mtu unamwambia kuhusu mavazi anakuona kama unamuingilia kwenye maisha yake ila mie napendaavazi yenu natamani ningempata fundi kama wenu
@simonzakaria477021 сағат бұрын
Kwa hili nakupongeza
@forminaformina76944 күн бұрын
Kabisa
@user-gm4qi3nn9n5 күн бұрын
Ukivaa nguo ya heshima unajiskia amani na uhuri
@Kanyawela4 күн бұрын
Waislamu sio wa kuigwa bali tuliige Neno la Mungu
@HabilyTech
4 күн бұрын
Wao si unaona wanalitenda hilo neno la kwenye Biblia tofauti na wanaoitwa Wakristo?
@King_Of_Everything5 күн бұрын
👊👍✌️.
@johngerald4677Күн бұрын
Ndo injili niliyo ikubali
@JosephJumanne-e5y3 күн бұрын
Huo ndo uzalendo wa ukiristo wa kipentekoste,
@MichaelKingazi-wm7xj4 күн бұрын
God never see clothes at all.
@zipporahmibei90073 күн бұрын
Wanawake wafunge fijwa zao pia
@hildamtokoma4982
13 сағат бұрын
Amen hope watafunika na vichwa Mungu awabariki
@amosdickson63186 күн бұрын
Najifunza sana mtumishi naendelea kukua
@Rashid-vm1fk5 күн бұрын
Bado kufunika kichwa wakati wa kuabudu ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Hatutumii Quran kuabudu. Biblia inaruhusu mwanamke akiwa na nywele nyingi/ndefu ni badala ya kitambaa (I KOR 11:15)
@Rashid-vm1fk
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile hapo hapana Mama mchungaji kwahilo hapana
@Rashid-vm1fk
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Soma 1wakorintho 11-4-6 hapo kama kweli unasimama katika Neno hili usijaribu hata kuliwekea vilaka liko wazi kabisa.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
@@Rashid-vm1fk wewe ni msukule. Andiko halikamilishwi na mistari ya Mwanzo bali yote na hasa ya mwishoni. Je andiko la 1KOR 11 :15 ni kilaka cha nguo iliyokatwa kwa bibi yako?
@Rashid-vm1fk
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile kwa maneno gani mabaya nimekwambia mpaka unanitukana?? daaa kweli Mungu tusaidie tutafika kweli tumechoka kama ww ndo mm mchungaji unaulizwa Neno la Mungu halafu unajibu kwa matusi kama hiv
@marympochela79035 күн бұрын
Yaani kwa kweli shetani anajiganya mwerevu sana, wale wanawakw ambao hawaendi mbinguni amewaacha wajistiri ila wale ambao wana safari ya mbinguni, anawadanganya wasivae mavazi ya kujistiri. Wanawake tushituke, MUNGU anatutaka tujisitiri
@AdamJulius-z5i6 күн бұрын
Gwajima astamani mavazi tu, ninachotaka atubu ahubili injili ya kweli, maana nayeye ni mhubili mhuni
@tarithalusola4458
6 күн бұрын
Amekukosea nini mtumishi waMungu wivu tu unakusumbua
@edsonnelson4464
6 күн бұрын
Sema muhubiri au mahubiri siyo mahubili msituharibie kiswahili
@BEDAPASCALMSELLE
5 күн бұрын
Ngwajima sio Muhuni hata kama Kuna mahali alikosea haiondoi kuwa mtumishi wa Mungu kwani hata wewe unayemuita ni Muhuni jichunguze na kama Kuna madhaifu muombee basi kwani mpaka unamuita Muhuni na hauna uhakika wa uhuni wake wewe ndiye unakosea bila kujua na chunga mdomo wako na kuwatukana watumishi wa Mungu pia msukumo unaokusukuma kutoka matusi ni Roho chafu na siyo Roho mt
@BarakaMwakalinga-sn5sp6 күн бұрын
Gwajima kasema mavazi ya waislam, sasa nyingi kanisa la mwakipesile ni waislam?😂😂😂😂😂 mnapenda kusifiwa ila ndo hamna sifa neema 😂😂😂😂😂😂😂.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
6 күн бұрын
Wa Mwakipesile wakivaa kwa siyaha kama wanavyovaa Waislamu sio ndio kutamani kuwa kama kanisa la MBARIKIWA? Anyway tufanye umeshinda
@BarakaMwakalinga-sn5sp
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile tatizo lenu huwa mnaona ninyi ni malaika wengine wote mashetani....shida ndipo inapoanzia hapo.....imba nyimbo za tenzi tu mana ndiyo eneo lako lakini cha kuhubiri huna kabisa mwakipesile huna ulitakiwa ubaki kuwa mwimbaji kama wengine tena kwenye tenzi tu mana hata utunzi wa nyimbo huna kabisa....eti wewe kuwa mchungaji? Hapana hayo mafuta huna kabisa kabisa kabisa hiyo hekima kwako hamna hamna hakuna....umekua janga la taifa yani wewe na corona hakuna tofauti.......Mungu hawezi kukupa karama ili uwe tatizo kwa watu.... mbegu njema asili yake ni Mungu.
@nabimanyafesto50145 күн бұрын
The great teacher in the world. Mungu akubariki sana.
@leticiakato3956 күн бұрын
Tatizo liko kwako pàstor wafundishe mavazi ya kiBiblia ukisoma maandiko. Mbona dhambi zingine unakemea.
@JosephJumanne-e5y3 күн бұрын
Huo ndo uzalendo wa ukiristo wa kipentekoste,
@nabimanyafesto50145 күн бұрын
The great teacher in the world. Mungu akubariki sana.
Пікірлер: 99
The great teacher in the world. Mungu akubariki sana.
Nami ninakuunga mkono kuhusiana na mavazi uwe mfano bora kwa wakrito wote ,nawapongeza sana kwa hilo BWANA YESU ASIFIWE.
Safi sana mtumishi mavazi ndio utukufu wa mungu kujistili
Super Sab/KOMANDOOO/JASUSI/JEMBE/KATAPILA/MWAMBA/ELIYA WA KIZAZI HIKI KWA WEWE TANZANIA NA DUNIA NZIMA HATUNA CHA KUJITETEA MBELE ZA MUNGU KWELI WOKOVU UPO NA UNAWEZEKANA kiukweli upepo unazidi kubadilisha uelekeo big up.
Ili kanisa liko vzr lkn wanawashambulia Sana cjui kwa nn lkn wanakemea dhambi vzr Sana na kuwafikisha watu mbinguni
Kweli wanawake wengi utandawazi umetawala mtu anavaa nguo mpaka ukimwangalia unaogopa especially kwa wanawake wanaojiita wameokoka kuna kanisa moja niliwahi kwenda asee niliogopa mpaka nikasema labda nimekosea njia
@josykogei7647
6 күн бұрын
Usinichekeshe eti ukakosea njia Sasa ulifanyaje
@MeckitilidaTushabe-or9hu
6 күн бұрын
@@josykogei7647 nilikaaa mpaka Ibada ikaisha. Kilicho nishangaza ni Binti niliye kuwa karibu yake. Alikuwa amevaa nguo iliyo acha kitovu nje Tena ametoboa kitovu. Masikio yake yalikuwa yamezungishwa na hereni. Cope zilikuwa kama ufagio suruali yake ilikuwa imechwa. Kucha amebandika yaani alikuwa kama jini kilicho nishangaza zaidi alikuwa ananena kwa Lugha mpaka nikashangaa nikageuka madhabahuni Kuna wahimabi asee. Niliogopa mno waimbaji wamevaa zili nguo za ndani asee 😥😥😥😥 nilisikitika mno nilijiuliza maswali nikakosa majibu ila Mungu atusAidie Kanisa laleo maana udunia umeingia kanisani kabisa yale maonyo watu hawataki Tena ukimsemesha atakwambia ninahama kanisa jaman tunaenda wapi kanisa eee Mungu ombi langu kwa Mungu azidi kuwainua Watumishi wengine kama mbarikiwa. Wenye kuisema kweli ya kristo pasipo kupindisha Maneno ❤️🙏🙏
Mbarikiwa nakupenda mtumishi wa Mungu aliehai unafundisha kweli tupu ya Mungu nakupenda mtumishi Mungu akubariki tena na tena Ameni
Ubarikiwe Sawa Sawa na Jina lako
MUNGU awabariki sana watu wa Mungu mlioko ktk dunia.
Aki mbarikiwe Sana Kwa izo Joho yaani naunga mkono
Cjawai kucommenti ila kwahili ninakupongeza sana nikelo sana hata kwangu waislam kwenye mavazi yaheshima wako vizuri Sana Ubarikiwe kwahili Mtumishi wa Mungu
Hahahaaaa Magembe!! umeshindikana, ila kweli, yani wanaume tunatabu, hata nguvu zinatuishia kwasababu ya mambo kama haya!!!, wapunguze vinyani, walau wapige visokwe
Mavazi ya hovyo ni matokeo ya uzinzi ambao wachungaji wengi hawawezi kukemea ni watumishi wachache wanaotumiw na Mungu wasiopenda uzinzi!
Nimecheka Inchi isiyoshikika Magembe hahahaaaa😅
Yes, ndio mtu wa Mungu uliyepo huko tanzania, tunajivunia sana!
Kakobe alifundisha zmani sana mulikuwa mnampinga saiz ndiyo mnaamka
Hii tunaita; Atakayekoswa na upanga ya YEHU,HAZAELI atamfyeka na atakayekoswa na upanga wa HAZAELI, ELISHA atamaliza kazi.
@mwaminijoseph
5 күн бұрын
Imeenda
Enderea kusimamia haki mbarikiwa jeshi limenyamaza bunge lamataira wananchi waoga kuandamana daal NCHI ya hovyo kweli hii
Naomba mtuwekee video jinsi ya kushona gauni kama hilo na MUNGU AZIDI KUWABARIKI
GWAJIMA HANAGA MSIMAMO N MAFUNDISHO YAKE HUYU HUYU ALIWAHI SEMA MUNGU HAANGALII MAVAZI
Good job
Baba umeongea ukweli mtupu nipo oman nakufutilia sana
Amina hakuna mkristo alieambiwa avae ivo
Hakika watavaa NCHI nzima na hata Dunia nzima.
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yaliyo kweli ya maandiko.
Amina baba
Ameen baba kweli kabisa inampendeza Mungu kujistiri
Safi sana katika hili umenena hongera sana
Hata mm niliwai kusema waislam wakike wanatuzid mavazi wakanishambulia
Tatizo liko kwako pàstor wafundishe mavazi ya kiBiblia ukisoma maandiko. Mbona dhambi zingine unakemea.
@bartinkahenga1196
6 күн бұрын
Sijaona tatizo la pastor hapo, Shida itakuwa iko kwako
Amina
Mbarikiwa utazidi kusitawi sasa Maana kanisa lako ni mfano wa zamani nakupongeza kwa Marezi yako ya kiloho
Amina baba kwa kunyoosha kweli
Sawa wanavaa vinzuri lakini nyuma ya pazia mmmmmm na sio waislamu tu kuvaa mavazi hayo Kila mwanamke anatakiwa kuvaa na ndio maana shetani aliachwa Hai baba
Mzinzi hawezi kukemea uzinzi anakuwa anaupenda moyoni, tukemee!
Mavazi hayampeleki mtu mbinguni kujisitini vizuri namoyoni vifanane kujisitili nijambo lamsingi sio lakupuuza
Unafundisha kwa vitendo mbarikiwa
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kama ningeishi Mbeya ningeabudu Kanisa la Kikosi Kazi ikiwa wakinipokea.
Ila mzee Maghembe, hahahaha 😂😂😊😅😂😂
Nimemjibu pastor Gwajima, kwamba yeye kama ameona mavazi Yana tatizo awafundishe kwa neno wabadilike wawe kama neno la Mungu linavyoagiza. Ndiyo maana wanakuja kujifunza. Hasibaki kunungunika.na kuwalaumu washirika. Hawajui ndiyo maana wanakuja kujifunza. Hao washirika wa Mbarikiwa wamefunfishwa na mchungaji wao ndo maana wako hivyo walivyo.
@LucyKapinga-fg4dk
5 күн бұрын
Hapa Amesha Fundisha Sana Na Kuwaambi Ila Sikuizi Waumini Wengi Niwagumu Awataki Kukubarii Amini Mtu Neno qnapewa
Sio mavaz ya mbarikiwa mavaz ya kakobe
😂😂😂😂😂 maegembe jamani
Nakapenda hako ka Sifa ninaweza kukapata vipi kawe kamke kangu.
Wanawake tuvae mavazi ya staha
Naaam.
Nawageni wakitaka kuja mnawapatia ayo mavazi au
Wachungaji wote wanataman na itakuwa Mungu awasemeshe wacha Mungu vinguo hivi visuluali.ni pepo la umalaya kwenye makanisa Mungu atatengeneza kanisa la tanzania ila wasafishaji tusisukumane
Kweli wazifunike
Amen amen
Mbarikiwa.kanisa.lake.yupo.vizuri.sana.kwa.mavazi
Mag3mbee😂😂🙌
Kweli kabisa, wanawake tunapaswa tujisitiri.
Sie watu niwajeuri kweli yani mtu unamwambia kuhusu mavazi anakuona kama unamuingilia kwenye maisha yake ila mie napendaavazi yenu natamani ningempata fundi kama wenu
Kwa hili nakupongeza
Kabisa
Ukivaa nguo ya heshima unajiskia amani na uhuri
Waislamu sio wa kuigwa bali tuliige Neno la Mungu
@HabilyTech
4 күн бұрын
Wao si unaona wanalitenda hilo neno la kwenye Biblia tofauti na wanaoitwa Wakristo?
👊👍✌️.
Ndo injili niliyo ikubali
Huo ndo uzalendo wa ukiristo wa kipentekoste,
God never see clothes at all.
Wanawake wafunge fijwa zao pia
@hildamtokoma4982
13 сағат бұрын
Amen hope watafunika na vichwa Mungu awabariki
Najifunza sana mtumishi naendelea kukua
Bado kufunika kichwa wakati wa kuabudu ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Hatutumii Quran kuabudu. Biblia inaruhusu mwanamke akiwa na nywele nyingi/ndefu ni badala ya kitambaa (I KOR 11:15)
@Rashid-vm1fk
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile hapo hapana Mama mchungaji kwahilo hapana
@Rashid-vm1fk
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Soma 1wakorintho 11-4-6 hapo kama kweli unasimama katika Neno hili usijaribu hata kuliwekea vilaka liko wazi kabisa.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
@@Rashid-vm1fk wewe ni msukule. Andiko halikamilishwi na mistari ya Mwanzo bali yote na hasa ya mwishoni. Je andiko la 1KOR 11 :15 ni kilaka cha nguo iliyokatwa kwa bibi yako?
@Rashid-vm1fk
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile kwa maneno gani mabaya nimekwambia mpaka unanitukana?? daaa kweli Mungu tusaidie tutafika kweli tumechoka kama ww ndo mm mchungaji unaulizwa Neno la Mungu halafu unajibu kwa matusi kama hiv
Yaani kwa kweli shetani anajiganya mwerevu sana, wale wanawakw ambao hawaendi mbinguni amewaacha wajistiri ila wale ambao wana safari ya mbinguni, anawadanganya wasivae mavazi ya kujistiri. Wanawake tushituke, MUNGU anatutaka tujisitiri
Gwajima astamani mavazi tu, ninachotaka atubu ahubili injili ya kweli, maana nayeye ni mhubili mhuni
@tarithalusola4458
6 күн бұрын
Amekukosea nini mtumishi waMungu wivu tu unakusumbua
@edsonnelson4464
6 күн бұрын
Sema muhubiri au mahubiri siyo mahubili msituharibie kiswahili
@BEDAPASCALMSELLE
5 күн бұрын
Ngwajima sio Muhuni hata kama Kuna mahali alikosea haiondoi kuwa mtumishi wa Mungu kwani hata wewe unayemuita ni Muhuni jichunguze na kama Kuna madhaifu muombee basi kwani mpaka unamuita Muhuni na hauna uhakika wa uhuni wake wewe ndiye unakosea bila kujua na chunga mdomo wako na kuwatukana watumishi wa Mungu pia msukumo unaokusukuma kutoka matusi ni Roho chafu na siyo Roho mt
Gwajima kasema mavazi ya waislam, sasa nyingi kanisa la mwakipesile ni waislam?😂😂😂😂😂 mnapenda kusifiwa ila ndo hamna sifa neema 😂😂😂😂😂😂😂.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
6 күн бұрын
Wa Mwakipesile wakivaa kwa siyaha kama wanavyovaa Waislamu sio ndio kutamani kuwa kama kanisa la MBARIKIWA? Anyway tufanye umeshinda
@BarakaMwakalinga-sn5sp
5 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile tatizo lenu huwa mnaona ninyi ni malaika wengine wote mashetani....shida ndipo inapoanzia hapo.....imba nyimbo za tenzi tu mana ndiyo eneo lako lakini cha kuhubiri huna kabisa mwakipesile huna ulitakiwa ubaki kuwa mwimbaji kama wengine tena kwenye tenzi tu mana hata utunzi wa nyimbo huna kabisa....eti wewe kuwa mchungaji? Hapana hayo mafuta huna kabisa kabisa kabisa hiyo hekima kwako hamna hamna hakuna....umekua janga la taifa yani wewe na corona hakuna tofauti.......Mungu hawezi kukupa karama ili uwe tatizo kwa watu.... mbegu njema asili yake ni Mungu.
The great teacher in the world. Mungu akubariki sana.
Tatizo liko kwako pàstor wafundishe mavazi ya kiBiblia ukisoma maandiko. Mbona dhambi zingine unakemea.
Huo ndo uzalendo wa ukiristo wa kipentekoste,
The great teacher in the world. Mungu akubariki sana.
Huo ndo uzalendo wa ukiristo wa kipentekoste,
Huo ndo uzalendo wa ukiristo wa kipentekoste,
Huo ndo uzalendo wa ukiristo wa kipentekoste,