Mbarikiwa awaambia Kakobe na kanisa la Full gospel mmeangamia, Sauti ya Mungu imeondoka Tanzania
Жүктеу.....
Пікірлер: 72
@TinaZimba10 күн бұрын
Mtumishi wa mungu hiyo roho uliyo hayo naweza kusema kwa Tanzania hii iko kwako inatenda kazi kwa kakobe ilishatoka ila hao jamaa unaopambana nao hatari hatari sana ni mpaka uwe kweli umeitwa na Mungu
@user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын
Tupo Mia Sana hatuja mpigia baali goti songa mbele mbarikiwa tunavuka
@jeanbaraka10088 күн бұрын
Mtumishi mbona waipenda nguo za rangi ya zawafungwa?
@jonathankessy961510 күн бұрын
Mbarikiwa hakika umebarikiwa Hakuna anayeweza kujiita shujaa huku amekimbia vita
@janecosta85710 күн бұрын
Moses Maghembe ndo mtumishi wa Mungu pekee Tanzania
@user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын
Bado tupo Mia Sana ambao hatuja mpigia baali goti
@zabronbarosha22719 күн бұрын
Kwa maelekezo ya Mungu inamtaka mafundisho yote aliyowahi kufundisha tangu anaanza huduma yawe kwenye maandiko na yasambazwe dunia nzima wala esijali akimaliza tu kaz aliyopewa na Mungu utamsikia
@jeanbaraka10088 күн бұрын
Pastor you must know one thing: Albert EINSTEIN!!! was a Philosopher, and what's I know all philosophers are against us Christian, that's why Roman and Grecks are fully of them.. Asante sana mwana wa MUNGU!!! Kwa ushauri wa taifa...
@yohanayakobo21547 күн бұрын
Kimya kingi kina mshindo mkuu,Tulia utamuona KAKOBE
@user-bp7nb7yp2o9 күн бұрын
Momumo gwankasanga super sub inabadilisha muelekeo(ushindi).
@mwakasagule7 күн бұрын
Dunia haitawezi kuharibiwa na wale watendao uovu; isipokuwa ni kwa wale wanaowauangalia uovu huo bila kufanya chochote.
@judithtitomalyeta40007 күн бұрын
Mbarikiwa nilikupenda wakati unaimba lakini unapenda kusema watu huburi neno tu
@yohanayakobo21547 күн бұрын
Bado KAKOBE ana nguvu mbarikiwa mpe mda kidogo na muombee tutakuwa pamoja naye.Sasa hivi nipo nawe
@thomasgodfrey15767 күн бұрын
Uko sawa.
@user-fj4kj8xc5x9 күн бұрын
Umetafsiri vema hicho kizungu.
@baghabaghaingwengwe175010 күн бұрын
Hakika Mch. Kakobe u wapi? Uleta uamsho Tanzania miaka ya 90
@JonasiSebastiani9 күн бұрын
Usitafute washabki wa kukusaidia we chapa kazi huu ndo Wakati wako.
@juliusjohnii78237 күн бұрын
Mungu ni mwema. Pia nimesha changia video hiyo ya kwanza. Ninahuzuni kubwa ya roho wa Mungu kuona kwanba. mawazo ya wachangiaji unayafanya kuwa uharisia wa mambo hayo, na unayakuza kuwa mjadara mzoto, tafsri yake unayafrahia!!!.(nasikitika sana😢) ,,,Tena mtu anakata kirip na si habari yoote ili kumchafu mtu wa Mungu, na wewe unamkubari unamuunga mkono mtu huyo, na kuona kwamba ni sawa, kama unaona huo ndo utumishi wa Mungu vema endelea na kazi hiyo. Lakini Nauhakika hakuna kabisa mgawanyiko wowote ndani ya kanisani la full Gospel. Labda kama unaanza wewe kufanya kazi ya kulikanganya kanisa hili. Ijapo sioni wepes wa kukanganywa kubagazwa kwa kanisa hili la full gospel na mtu yeyote. Misingi yakeeee!!! imara mnooo!!!. Unaosema Wanafanya mmadhambi,,ni wao na kamwe kanisa la full gospel haliluhusu dhambi yoyote, na watendao hayo ikifahamika vizuri huchukuliwa hatua kari. Au wewe mbarikiwa uliona vikiruhusiwa vitu hivyo ndani ya kanisa hilo?.
@adammjomba58148 күн бұрын
Mbarikiwa mtumishi wa Mungu KWA miaka hii ni hatari sana kuwasema viongozi wa Nchi na watawala wata kukata kichwa kama yohana mbatizaji ukiwagusa sana hawatapenda watu wana jenga majumba wana magari makali ,ukiwafatilia hawakuachi ,ni sawa na jambazi ukiliona sura yake wakati linaiba lazima likimalize .be careful mtumishi wa Mungu mbarikiwa 🇹🇿😭
@zulekhasaud483
7 күн бұрын
Hata wakimuuwa atakufa na atafufuka tena kama yesu .mungu ampe maisha marefu .azidi kuwapa dawa
@user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын
Hakuna mtu hatari Kama mbarikiwa,usiogopeshwe kuwa hao unaowasema ni hatari
@AdelinaAloys10 күн бұрын
BWANA MUNGU akupe nguvu na siku zote umekuwa mwl wa neno la MUNGU lisilo na unafiki ndani yake na usiwaogope maana walimtia Daniel na wenzake kifoni haikuwezekana na hao leo tunao.
@NorbethJosphath-hm1zb10 күн бұрын
Sijuwe kakobe kilichotokea alimkemea nyerere akasema nyerere sio Mungu mara kumi nyerere hakum funga wasikuhizi wakiambiwa ukweli wanachukia
@user-my5yp6xx5s9 күн бұрын
nikweri mtu wa mungu
@kelvinrwebugisa60379 күн бұрын
Ndugu yangu kabla ya kuzungumza lazima kwanza ufanye utafiti wa kutosha, na umwombe Mungu kwa unyenyekevu kuhusu Hilo unalotaka kuzungumza, hili usije ukajikuta unaangamia kwa kukosa maarifa, tutahukimiwa kwa maneno yetu, kuwa makini mtumishi
@agnesspaul1866
9 күн бұрын
Kweli marehemu baba yangu aliwai niambia kabura ya kuongea nifikiri kwanza
@mkdg.4skolo89110 күн бұрын
Umesema kweli kbisaa pastor na siri ilyoko hku dsm wngine wnasema yuko ndni amektwa mguu ankisukari hyo nakupa nayo iweke hlfu km syo kweli atokeee hdharani apinge hilo
@zabronbarosha2271
9 күн бұрын
Ili iweje sasa Kwa hoja yao hiyo yupo. Sana mwenge njoo huyu sio wa mitandao yenu
@user-gn4lc5sk6p
8 күн бұрын
Sasa amekatwa miguu si umsaidie magongo na wheelchair?Wewe kama ni mkristo jitakase na ujiepushe na uongo.Nena ulicho na uhakika nacho.
@kalungirugoye260710 күн бұрын
Gineous
@rastheunique9 күн бұрын
Umenena kweli kaka😭😭
@charlesnyanhanga438210 күн бұрын
Mbarikiwa bwana umenifurahisha sana eti hii koti na hii suruali siyo ya full gospel pennine kama biblia inavyosema adui anapiga mchungaji ili kondoo watawanyike au wewe unaonaje mchungaji mbarikiwa
@user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын
Haya ni majira ya kakobe kuamka alipo
@mwl.michaelsainethmlowe26419 күн бұрын
Hahaha 😂 inachekesha jinsi ulivyofafanua 😂😂 Vizuri
@heavenlyharvesttv13037 күн бұрын
Amen
@ChrisElectrical-ck4mc9 күн бұрын
Ukweli usemwe bila kupepesa macho....Injiri inapoteza thamani kwa kuigopa serikali
@edwinalexander11709 күн бұрын
Hivi kwanza Askofu Kakobe yuko wapi? Mbona yuko kimya sana?
@manfordmkinga40809 күн бұрын
Mungu AMEKUTAKA wewe usimame kama ESTA Kwa WAKATI huu KILA nabii ANAWAKATI wake USIOGOPE kama ELIYA bali SIMAMA Kwa miguu yako SHUJAA wa BWANA
Hata hawa wapo walioyaita kuwa ni matusi. Hivyo tusi ni vile utakavyotaka wewe kufafanua.
@user-th7ti9ch5h8 күн бұрын
Wachungaji munaojitambua unganeni yani ww mbalikiwa na kakobe na moses magembe
@jailosmichael26389 күн бұрын
Hoyu kasha kua kama nabii tito mpuuzeni 2
@JonasMtaita-tr6nb9 күн бұрын
Mimi nilikuzwa Sana na mafundisho ya MZEE kakobe na nilihitaji baba yetu kakobe aendelee na nguvu zilezile mapaka MWISHO na Kazi yake aiache ktk msimamo mzuri Kama MZEE Moses kolola na MZEE Lazaro Ila Sasa nashidwa kuelewa mbona kanisa lake linazama na kanyamaza
@rabiamenshoo1988
9 күн бұрын
nyie si ndio mnaamini kuwa ukiipinga Serikali ndio injili ya kweli,Huyu Mbarikiwa yeye na watu wake wanaamini mtumishi anayeipinga Serikali ndiye anayehubiri sahihi, mf.Akina mchungaji anayejiita mwanamapinduzi ndio rafiki zake hao.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
9 күн бұрын
Tofautisha kupinga uovu unaofanywa na mtawala na kuipinga serikali. Kama na hilo dogo hauwezi basi hata tukufafanulie vipi huwezi kuelewa.
@FrankMkemwa
7 күн бұрын
AMINA
@eliabbanyikwa871610 күн бұрын
Watumishi hubirini injili magomvi yanatoka wapi?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
9 күн бұрын
Injili unaita magomvi. Haya onyesha mfano wa Injili ambayo inawageuza waovu kuacha uovu.
@injilinjeyakutazakanisa9 күн бұрын
Ha! huo Mkutano ulifanyika wapi?
@HelbethMlelwa10 күн бұрын
Kweli wewe jamaa una akili. Unajua huyo uliyemsoma anaitwa Albath Einstern, ni miongoni mwa watu wali katika rekodi ya kuwa na akili nyingi sana. Ni kweli elimu ya darasani alifeli kama wewe, lakini alivumbua vitu vingi na vikubwa sana katika sayansi ya fikikia duniani kote. Kweli wewe una akili nyingi, siku zote huwa nakujua hivyo ila leo nimeshangaa kwamba ideology zako zinafanana na zile za Einstein.
@viff5479 күн бұрын
Huo ni mtazamo wako, Na fikra zako Kwa Kakobe. Ila Mungu anawatumishi wengi sana shambani Mwake. Shamba lake halijawahi kupungukiwa watenda kazi
@charlespeter58010 күн бұрын
Usicho kijua wewe unaongozwa na roho ya upotevu tena umevamiwa na roho chafu ndio maana unaendeshwa na misisimko, Mwenzako Mtumishi wa Mungu Kakobe anaongozwa na Roho mtakatifu kwa kila anacho fanya ndio maana umwoni anapiga domo kama wewe.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
10 күн бұрын
Nina hakika wenzako wa dini yako watakaosoma ujumbe wako huu watashangaa sana sababu ya kutukana matusi kwenye clip hii. Hata hivyo napokea matusi yako uliye na roho mtakatifu aliyekuongoza kutukana hivi.
@alinanisimbeye9512
10 күн бұрын
We nawe cjui una umuri gani?
@modestapeter2997
10 күн бұрын
@Charlespeter huyo roho mtakatifu anatokea baada tu yakukabiliwa na ananyamazishwa na ccm?
@EleneusMbalilaki6 күн бұрын
Wewe hujui kitu,na tatizo lako UNAJIWEKA KATIKA NAFASI AMBAYO HUNA NA HUNA WALA HUNA.hujui biblia wa chochote.Ukitaka kujipima angalia unawahumini wangapi unao wachunga,huna hata waumini hata 30,unajipachi nafasi ambayo huna ndio maana unapuuzwa hata hakuna linye maana hapo.Nyamaza kimyaaa potea huko hata elimu ya Mungu huna ni mtu hovyo tuh
@Mbarikiwa_Mwakipesile
6 күн бұрын
Wewe unajua kila kitu. Wingi wa waumini ndio kipimo cha mhubiri? Basi kwako hata Yesu, Eliya, Musa, hawajui kitu ila wewe. Kwani Musa alifanikiwa kuwafikisha mwisho Joshua na kalebu, Eliya alifikisha mwisho Elisha, Yesu watu kumi na moja au mia na ishirini. Zaidi ya hayo ungeaangalia hata ibada ya usiku huwezi kuona watu chini ya hamsini. Hao thelathini umewatoa wapi mwanguku?
@charlespeter58010 күн бұрын
Na hayo mateso unayo yapitia unapitika kwa sababu ya ujinga wako wala hakuna thawabu yeyote
@Mbarikiwa_Mwakipesile
10 күн бұрын
wewe yanakuja mateso yenye thawabu. Na utapitia kwa sababu ya wingi wa akili zako.
@AdelinaAloys
10 күн бұрын
Ndg unakosea sana inawezekana hata wewe ujijui ni nani huyu ni mtu wa MUNGU
@user-vo6fu3pp1p
9 күн бұрын
HONGERA WEWE MWENYE AKILI YA DHULUMA ULIYEPATA THAWABU KWA KUNYAMAZA KIMYA ILI HALI WATU WANAANGAMIA.
@noeleliasi8401
9 күн бұрын
Kijana mboma umri wako mdogo, na unaongea utumbo utumbo tu wa ngedere??,
@HamzaHeri9 күн бұрын
WEWE MBARKIWA MBONA MIMI NAKUONA KAMA UNAUTAPELI WA HALI YA JUU KWA SABABU BADALA YAKUWAILIMISHA WAUMINI WAKO KANISANI UMEKALIA KUCHEZA MITANDAO KUPOSTI UPOTOSHAJI ANZA KUTANGAZA USHOGA KAMA TUNDULISSU MCHAFU MKUBWA WEWE NI MOTONI UNALANA
@emanuelmargwe7087
9 күн бұрын
Unafaham injili inahubiriwa kwa njia mbali mbali? Unafaham mbarikiwa hapo anamuhubiri Kristo kwa watu wengi zaidi ya kukaa kanisani pekee?? Utajisikiaje tukisema wewe ndo tapeli kwa kumtaka mbarikiwa asiongee ukweli hadharani?? 😂😂
@mestonisimzosha203
9 күн бұрын
@@emanuelmargwe7087😂😂umemjibu vizuri saanaa
@user-gn4lc5sk6p
8 күн бұрын
Sasa Tundu Lissu katoka wapi?
@beinafuu621910 күн бұрын
Mzee kakobe jaman wewe ni.mwanafunzi wake.hebu fanyen nanyinyi mbona yeye hakuwatafuta wakina kolola.piga kazi Mungu yupo.usiogope tena mema tu
Пікірлер: 72
Mtumishi wa mungu hiyo roho uliyo hayo naweza kusema kwa Tanzania hii iko kwako inatenda kazi kwa kakobe ilishatoka ila hao jamaa unaopambana nao hatari hatari sana ni mpaka uwe kweli umeitwa na Mungu
Tupo Mia Sana hatuja mpigia baali goti songa mbele mbarikiwa tunavuka
Mtumishi mbona waipenda nguo za rangi ya zawafungwa?
Mbarikiwa hakika umebarikiwa Hakuna anayeweza kujiita shujaa huku amekimbia vita
Moses Maghembe ndo mtumishi wa Mungu pekee Tanzania
Bado tupo Mia Sana ambao hatuja mpigia baali goti
Kwa maelekezo ya Mungu inamtaka mafundisho yote aliyowahi kufundisha tangu anaanza huduma yawe kwenye maandiko na yasambazwe dunia nzima wala esijali akimaliza tu kaz aliyopewa na Mungu utamsikia
Pastor you must know one thing: Albert EINSTEIN!!! was a Philosopher, and what's I know all philosophers are against us Christian, that's why Roman and Grecks are fully of them.. Asante sana mwana wa MUNGU!!! Kwa ushauri wa taifa...
Kimya kingi kina mshindo mkuu,Tulia utamuona KAKOBE
Momumo gwankasanga super sub inabadilisha muelekeo(ushindi).
Dunia haitawezi kuharibiwa na wale watendao uovu; isipokuwa ni kwa wale wanaowauangalia uovu huo bila kufanya chochote.
Mbarikiwa nilikupenda wakati unaimba lakini unapenda kusema watu huburi neno tu
Bado KAKOBE ana nguvu mbarikiwa mpe mda kidogo na muombee tutakuwa pamoja naye.Sasa hivi nipo nawe
Uko sawa.
Umetafsiri vema hicho kizungu.
Hakika Mch. Kakobe u wapi? Uleta uamsho Tanzania miaka ya 90
Usitafute washabki wa kukusaidia we chapa kazi huu ndo Wakati wako.
Mungu ni mwema. Pia nimesha changia video hiyo ya kwanza. Ninahuzuni kubwa ya roho wa Mungu kuona kwanba. mawazo ya wachangiaji unayafanya kuwa uharisia wa mambo hayo, na unayakuza kuwa mjadara mzoto, tafsri yake unayafrahia!!!.(nasikitika sana😢) ,,,Tena mtu anakata kirip na si habari yoote ili kumchafu mtu wa Mungu, na wewe unamkubari unamuunga mkono mtu huyo, na kuona kwamba ni sawa, kama unaona huo ndo utumishi wa Mungu vema endelea na kazi hiyo. Lakini Nauhakika hakuna kabisa mgawanyiko wowote ndani ya kanisani la full Gospel. Labda kama unaanza wewe kufanya kazi ya kulikanganya kanisa hili. Ijapo sioni wepes wa kukanganywa kubagazwa kwa kanisa hili la full gospel na mtu yeyote. Misingi yakeeee!!! imara mnooo!!!. Unaosema Wanafanya mmadhambi,,ni wao na kamwe kanisa la full gospel haliluhusu dhambi yoyote, na watendao hayo ikifahamika vizuri huchukuliwa hatua kari. Au wewe mbarikiwa uliona vikiruhusiwa vitu hivyo ndani ya kanisa hilo?.
Mbarikiwa mtumishi wa Mungu KWA miaka hii ni hatari sana kuwasema viongozi wa Nchi na watawala wata kukata kichwa kama yohana mbatizaji ukiwagusa sana hawatapenda watu wana jenga majumba wana magari makali ,ukiwafatilia hawakuachi ,ni sawa na jambazi ukiliona sura yake wakati linaiba lazima likimalize .be careful mtumishi wa Mungu mbarikiwa 🇹🇿😭
@zulekhasaud483
7 күн бұрын
Hata wakimuuwa atakufa na atafufuka tena kama yesu .mungu ampe maisha marefu .azidi kuwapa dawa
Hakuna mtu hatari Kama mbarikiwa,usiogopeshwe kuwa hao unaowasema ni hatari
BWANA MUNGU akupe nguvu na siku zote umekuwa mwl wa neno la MUNGU lisilo na unafiki ndani yake na usiwaogope maana walimtia Daniel na wenzake kifoni haikuwezekana na hao leo tunao.
Sijuwe kakobe kilichotokea alimkemea nyerere akasema nyerere sio Mungu mara kumi nyerere hakum funga wasikuhizi wakiambiwa ukweli wanachukia
nikweri mtu wa mungu
Ndugu yangu kabla ya kuzungumza lazima kwanza ufanye utafiti wa kutosha, na umwombe Mungu kwa unyenyekevu kuhusu Hilo unalotaka kuzungumza, hili usije ukajikuta unaangamia kwa kukosa maarifa, tutahukimiwa kwa maneno yetu, kuwa makini mtumishi
@agnesspaul1866
9 күн бұрын
Kweli marehemu baba yangu aliwai niambia kabura ya kuongea nifikiri kwanza
Umesema kweli kbisaa pastor na siri ilyoko hku dsm wngine wnasema yuko ndni amektwa mguu ankisukari hyo nakupa nayo iweke hlfu km syo kweli atokeee hdharani apinge hilo
@zabronbarosha2271
9 күн бұрын
Ili iweje sasa Kwa hoja yao hiyo yupo. Sana mwenge njoo huyu sio wa mitandao yenu
@user-gn4lc5sk6p
8 күн бұрын
Sasa amekatwa miguu si umsaidie magongo na wheelchair?Wewe kama ni mkristo jitakase na ujiepushe na uongo.Nena ulicho na uhakika nacho.
Gineous
Umenena kweli kaka😭😭
Mbarikiwa bwana umenifurahisha sana eti hii koti na hii suruali siyo ya full gospel pennine kama biblia inavyosema adui anapiga mchungaji ili kondoo watawanyike au wewe unaonaje mchungaji mbarikiwa
Haya ni majira ya kakobe kuamka alipo
Hahaha 😂 inachekesha jinsi ulivyofafanua 😂😂 Vizuri
Amen
Ukweli usemwe bila kupepesa macho....Injiri inapoteza thamani kwa kuigopa serikali
Hivi kwanza Askofu Kakobe yuko wapi? Mbona yuko kimya sana?
Mungu AMEKUTAKA wewe usimame kama ESTA Kwa WAKATI huu KILA nabii ANAWAKATI wake USIOGOPE kama ELIYA bali SIMAMA Kwa miguu yako SHUJAA wa BWANA
👍✌️👊.
Lusekelo kanivunja mbavu kweli 😂😂😂
ɪᴍᴇɪsʜᴀ ʜɪʏᴏ, ᴋᴡᴇʟɪ ʙᴀʙᴀ ʜɪʏᴏ ʀᴏʜᴏ ᴜʟɪʏᴏɪʙᴇʙᴀ ɴᴀɪᴛᴀᴋᴀ sᴀɴᴀ ɪᴡᴇ ᴊᴜᴜ ʏᴀɴɢᴜ
Ila Kuna wakati ulimtukana
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 күн бұрын
Hata hawa wapo walioyaita kuwa ni matusi. Hivyo tusi ni vile utakavyotaka wewe kufafanua.
Wachungaji munaojitambua unganeni yani ww mbalikiwa na kakobe na moses magembe
Hoyu kasha kua kama nabii tito mpuuzeni 2
Mimi nilikuzwa Sana na mafundisho ya MZEE kakobe na nilihitaji baba yetu kakobe aendelee na nguvu zilezile mapaka MWISHO na Kazi yake aiache ktk msimamo mzuri Kama MZEE Moses kolola na MZEE Lazaro Ila Sasa nashidwa kuelewa mbona kanisa lake linazama na kanyamaza
@rabiamenshoo1988
9 күн бұрын
nyie si ndio mnaamini kuwa ukiipinga Serikali ndio injili ya kweli,Huyu Mbarikiwa yeye na watu wake wanaamini mtumishi anayeipinga Serikali ndiye anayehubiri sahihi, mf.Akina mchungaji anayejiita mwanamapinduzi ndio rafiki zake hao.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
9 күн бұрын
Tofautisha kupinga uovu unaofanywa na mtawala na kuipinga serikali. Kama na hilo dogo hauwezi basi hata tukufafanulie vipi huwezi kuelewa.
@FrankMkemwa
7 күн бұрын
AMINA
Watumishi hubirini injili magomvi yanatoka wapi?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
9 күн бұрын
Injili unaita magomvi. Haya onyesha mfano wa Injili ambayo inawageuza waovu kuacha uovu.
Ha! huo Mkutano ulifanyika wapi?
Kweli wewe jamaa una akili. Unajua huyo uliyemsoma anaitwa Albath Einstern, ni miongoni mwa watu wali katika rekodi ya kuwa na akili nyingi sana. Ni kweli elimu ya darasani alifeli kama wewe, lakini alivumbua vitu vingi na vikubwa sana katika sayansi ya fikikia duniani kote. Kweli wewe una akili nyingi, siku zote huwa nakujua hivyo ila leo nimeshangaa kwamba ideology zako zinafanana na zile za Einstein.
Huo ni mtazamo wako, Na fikra zako Kwa Kakobe. Ila Mungu anawatumishi wengi sana shambani Mwake. Shamba lake halijawahi kupungukiwa watenda kazi
Usicho kijua wewe unaongozwa na roho ya upotevu tena umevamiwa na roho chafu ndio maana unaendeshwa na misisimko, Mwenzako Mtumishi wa Mungu Kakobe anaongozwa na Roho mtakatifu kwa kila anacho fanya ndio maana umwoni anapiga domo kama wewe.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
10 күн бұрын
Nina hakika wenzako wa dini yako watakaosoma ujumbe wako huu watashangaa sana sababu ya kutukana matusi kwenye clip hii. Hata hivyo napokea matusi yako uliye na roho mtakatifu aliyekuongoza kutukana hivi.
@alinanisimbeye9512
10 күн бұрын
We nawe cjui una umuri gani?
@modestapeter2997
10 күн бұрын
@Charlespeter huyo roho mtakatifu anatokea baada tu yakukabiliwa na ananyamazishwa na ccm?
Wewe hujui kitu,na tatizo lako UNAJIWEKA KATIKA NAFASI AMBAYO HUNA NA HUNA WALA HUNA.hujui biblia wa chochote.Ukitaka kujipima angalia unawahumini wangapi unao wachunga,huna hata waumini hata 30,unajipachi nafasi ambayo huna ndio maana unapuuzwa hata hakuna linye maana hapo.Nyamaza kimyaaa potea huko hata elimu ya Mungu huna ni mtu hovyo tuh
@Mbarikiwa_Mwakipesile
6 күн бұрын
Wewe unajua kila kitu. Wingi wa waumini ndio kipimo cha mhubiri? Basi kwako hata Yesu, Eliya, Musa, hawajui kitu ila wewe. Kwani Musa alifanikiwa kuwafikisha mwisho Joshua na kalebu, Eliya alifikisha mwisho Elisha, Yesu watu kumi na moja au mia na ishirini. Zaidi ya hayo ungeaangalia hata ibada ya usiku huwezi kuona watu chini ya hamsini. Hao thelathini umewatoa wapi mwanguku?
Na hayo mateso unayo yapitia unapitika kwa sababu ya ujinga wako wala hakuna thawabu yeyote
@Mbarikiwa_Mwakipesile
10 күн бұрын
wewe yanakuja mateso yenye thawabu. Na utapitia kwa sababu ya wingi wa akili zako.
@AdelinaAloys
10 күн бұрын
Ndg unakosea sana inawezekana hata wewe ujijui ni nani huyu ni mtu wa MUNGU
@user-vo6fu3pp1p
9 күн бұрын
HONGERA WEWE MWENYE AKILI YA DHULUMA ULIYEPATA THAWABU KWA KUNYAMAZA KIMYA ILI HALI WATU WANAANGAMIA.
@noeleliasi8401
9 күн бұрын
Kijana mboma umri wako mdogo, na unaongea utumbo utumbo tu wa ngedere??,
WEWE MBARKIWA MBONA MIMI NAKUONA KAMA UNAUTAPELI WA HALI YA JUU KWA SABABU BADALA YAKUWAILIMISHA WAUMINI WAKO KANISANI UMEKALIA KUCHEZA MITANDAO KUPOSTI UPOTOSHAJI ANZA KUTANGAZA USHOGA KAMA TUNDULISSU MCHAFU MKUBWA WEWE NI MOTONI UNALANA
@emanuelmargwe7087
9 күн бұрын
Unafaham injili inahubiriwa kwa njia mbali mbali? Unafaham mbarikiwa hapo anamuhubiri Kristo kwa watu wengi zaidi ya kukaa kanisani pekee?? Utajisikiaje tukisema wewe ndo tapeli kwa kumtaka mbarikiwa asiongee ukweli hadharani?? 😂😂
@mestonisimzosha203
9 күн бұрын
@@emanuelmargwe7087😂😂umemjibu vizuri saanaa
@user-gn4lc5sk6p
8 күн бұрын
Sasa Tundu Lissu katoka wapi?
Mzee kakobe jaman wewe ni.mwanafunzi wake.hebu fanyen nanyinyi mbona yeye hakuwatafuta wakina kolola.piga kazi Mungu yupo.usiogope tena mema tu