Mbarikiwa awaambia Kakobe na kanisa la Full gospel mmeangamia, Sauti ya Mungu imeondoka Tanzania

Пікірлер: 72

  • @TinaZimba
    @TinaZimba10 күн бұрын

    Mtumishi wa mungu hiyo roho uliyo hayo naweza kusema kwa Tanzania hii iko kwako inatenda kazi kwa kakobe ilishatoka ila hao jamaa unaopambana nao hatari hatari sana ni mpaka uwe kweli umeitwa na Mungu

  • @user-dg5cv4lq4j
    @user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын

    Tupo Mia Sana hatuja mpigia baali goti songa mbele mbarikiwa tunavuka

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka10088 күн бұрын

    Mtumishi mbona waipenda nguo za rangi ya zawafungwa?

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy961510 күн бұрын

    Mbarikiwa hakika umebarikiwa Hakuna anayeweza kujiita shujaa huku amekimbia vita

  • @janecosta857
    @janecosta85710 күн бұрын

    Moses Maghembe ndo mtumishi wa Mungu pekee Tanzania

  • @user-dg5cv4lq4j
    @user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын

    Bado tupo Mia Sana ambao hatuja mpigia baali goti

  • @zabronbarosha2271
    @zabronbarosha22719 күн бұрын

    Kwa maelekezo ya Mungu inamtaka mafundisho yote aliyowahi kufundisha tangu anaanza huduma yawe kwenye maandiko na yasambazwe dunia nzima wala esijali akimaliza tu kaz aliyopewa na Mungu utamsikia

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka10088 күн бұрын

    Pastor you must know one thing: Albert EINSTEIN!!! was a Philosopher, and what's I know all philosophers are against us Christian, that's why Roman and Grecks are fully of them.. Asante sana mwana wa MUNGU!!! Kwa ushauri wa taifa...

  • @yohanayakobo2154
    @yohanayakobo21547 күн бұрын

    Kimya kingi kina mshindo mkuu,Tulia utamuona KAKOBE

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o9 күн бұрын

    Momumo gwankasanga super sub inabadilisha muelekeo(ushindi).

  • @mwakasagule
    @mwakasagule7 күн бұрын

    Dunia haitawezi kuharibiwa na wale watendao uovu; isipokuwa ni kwa wale wanaowauangalia uovu huo bila kufanya chochote.

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta40007 күн бұрын

    Mbarikiwa nilikupenda wakati unaimba lakini unapenda kusema watu huburi neno tu

  • @yohanayakobo2154
    @yohanayakobo21547 күн бұрын

    Bado KAKOBE ana nguvu mbarikiwa mpe mda kidogo na muombee tutakuwa pamoja naye.Sasa hivi nipo nawe

  • @thomasgodfrey1576
    @thomasgodfrey15767 күн бұрын

    Uko sawa.

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x9 күн бұрын

    Umetafsiri vema hicho kizungu.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe175010 күн бұрын

    Hakika Mch. Kakobe u wapi? Uleta uamsho Tanzania miaka ya 90

  • @JonasiSebastiani
    @JonasiSebastiani9 күн бұрын

    Usitafute washabki wa kukusaidia we chapa kazi huu ndo Wakati wako.

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii78237 күн бұрын

    Mungu ni mwema. Pia nimesha changia video hiyo ya kwanza. Ninahuzuni kubwa ya roho wa Mungu kuona kwanba. mawazo ya wachangiaji unayafanya kuwa uharisia wa mambo hayo, na unayakuza kuwa mjadara mzoto, tafsri yake unayafrahia!!!.(nasikitika sana😢) ,,,Tena mtu anakata kirip na si habari yoote ili kumchafu mtu wa Mungu, na wewe unamkubari unamuunga mkono mtu huyo, na kuona kwamba ni sawa, kama unaona huo ndo utumishi wa Mungu vema endelea na kazi hiyo. Lakini Nauhakika hakuna kabisa mgawanyiko wowote ndani ya kanisani la full Gospel. Labda kama unaanza wewe kufanya kazi ya kulikanganya kanisa hili. Ijapo sioni wepes wa kukanganywa kubagazwa kwa kanisa hili la full gospel na mtu yeyote. Misingi yakeeee!!! imara mnooo!!!. Unaosema Wanafanya mmadhambi,,ni wao na kamwe kanisa la full gospel haliluhusu dhambi yoyote, na watendao hayo ikifahamika vizuri huchukuliwa hatua kari. Au wewe mbarikiwa uliona vikiruhusiwa vitu hivyo ndani ya kanisa hilo?.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba58148 күн бұрын

    Mbarikiwa mtumishi wa Mungu KWA miaka hii ni hatari sana kuwasema viongozi wa Nchi na watawala wata kukata kichwa kama yohana mbatizaji ukiwagusa sana hawatapenda watu wana jenga majumba wana magari makali ,ukiwafatilia hawakuachi ,ni sawa na jambazi ukiliona sura yake wakati linaiba lazima likimalize .be careful mtumishi wa Mungu mbarikiwa 🇹🇿😭

  • @zulekhasaud483

    @zulekhasaud483

    7 күн бұрын

    Hata wakimuuwa atakufa na atafufuka tena kama yesu .mungu ampe maisha marefu .azidi kuwapa dawa

  • @user-dg5cv4lq4j
    @user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын

    Hakuna mtu hatari Kama mbarikiwa,usiogopeshwe kuwa hao unaowasema ni hatari

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys10 күн бұрын

    BWANA MUNGU akupe nguvu na siku zote umekuwa mwl wa neno la MUNGU lisilo na unafiki ndani yake na usiwaogope maana walimtia Daniel na wenzake kifoni haikuwezekana na hao leo tunao.

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb10 күн бұрын

    Sijuwe kakobe kilichotokea alimkemea nyerere akasema nyerere sio Mungu mara kumi nyerere hakum funga wasikuhizi wakiambiwa ukweli wanachukia

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s9 күн бұрын

    nikweri mtu wa mungu

  • @kelvinrwebugisa6037
    @kelvinrwebugisa60379 күн бұрын

    Ndugu yangu kabla ya kuzungumza lazima kwanza ufanye utafiti wa kutosha, na umwombe Mungu kwa unyenyekevu kuhusu Hilo unalotaka kuzungumza, hili usije ukajikuta unaangamia kwa kukosa maarifa, tutahukimiwa kwa maneno yetu, kuwa makini mtumishi

  • @agnesspaul1866

    @agnesspaul1866

    9 күн бұрын

    Kweli marehemu baba yangu aliwai niambia kabura ya kuongea nifikiri kwanza

  • @mkdg.4skolo891
    @mkdg.4skolo89110 күн бұрын

    Umesema kweli kbisaa pastor na siri ilyoko hku dsm wngine wnasema yuko ndni amektwa mguu ankisukari hyo nakupa nayo iweke hlfu km syo kweli atokeee hdharani apinge hilo

  • @zabronbarosha2271

    @zabronbarosha2271

    9 күн бұрын

    Ili iweje sasa Kwa hoja yao hiyo yupo. Sana mwenge njoo huyu sio wa mitandao yenu

  • @user-gn4lc5sk6p

    @user-gn4lc5sk6p

    8 күн бұрын

    Sasa amekatwa miguu si umsaidie magongo na wheelchair?Wewe kama ni mkristo jitakase na ujiepushe na uongo.Nena ulicho na uhakika nacho.

  • @kalungirugoye2607
    @kalungirugoye260710 күн бұрын

    Gineous

  • @rastheunique
    @rastheunique9 күн бұрын

    Umenena kweli kaka😭😭

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga438210 күн бұрын

    Mbarikiwa bwana umenifurahisha sana eti hii koti na hii suruali siyo ya full gospel pennine kama biblia inavyosema adui anapiga mchungaji ili kondoo watawanyike au wewe unaonaje mchungaji mbarikiwa

  • @user-dg5cv4lq4j
    @user-dg5cv4lq4j9 күн бұрын

    Haya ni majira ya kakobe kuamka alipo

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe26419 күн бұрын

    Hahaha 😂 inachekesha jinsi ulivyofafanua 😂😂 Vizuri

  • @heavenlyharvesttv1303
    @heavenlyharvesttv13037 күн бұрын

    Amen

  • @ChrisElectrical-ck4mc
    @ChrisElectrical-ck4mc9 күн бұрын

    Ukweli usemwe bila kupepesa macho....Injiri inapoteza thamani kwa kuigopa serikali

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11709 күн бұрын

    Hivi kwanza Askofu Kakobe yuko wapi? Mbona yuko kimya sana?

  • @manfordmkinga4080
    @manfordmkinga40809 күн бұрын

    Mungu AMEKUTAKA wewe usimame kama ESTA Kwa WAKATI huu KILA nabii ANAWAKATI wake USIOGOPE kama ELIYA bali SIMAMA Kwa miguu yako SHUJAA wa BWANA

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything10 күн бұрын

    👍✌️👊.

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori99118 күн бұрын

    Lusekelo kanivunja mbavu kweli 😂😂😂

  • @wokovummilla5034
    @wokovummilla503410 күн бұрын

    ɪᴍᴇɪsʜᴀ ʜɪʏᴏ, ᴋᴡᴇʟɪ ʙᴀʙᴀ ʜɪʏᴏ ʀᴏʜᴏ ᴜʟɪʏᴏɪʙᴇʙᴀ ɴᴀɪᴛᴀᴋᴀ sᴀɴᴀ ɪᴡᴇ ᴊᴜᴜ ʏᴀɴɢᴜ

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye15485 күн бұрын

    Ila Kuna wakati ulimtukana

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    5 күн бұрын

    Hata hawa wapo walioyaita kuwa ni matusi. Hivyo tusi ni vile utakavyotaka wewe kufafanua.

  • @user-th7ti9ch5h
    @user-th7ti9ch5h8 күн бұрын

    Wachungaji munaojitambua unganeni yani ww mbalikiwa na kakobe na moses magembe

  • @jailosmichael2638
    @jailosmichael26389 күн бұрын

    Hoyu kasha kua kama nabii tito mpuuzeni 2

  • @JonasMtaita-tr6nb
    @JonasMtaita-tr6nb9 күн бұрын

    Mimi nilikuzwa Sana na mafundisho ya MZEE kakobe na nilihitaji baba yetu kakobe aendelee na nguvu zilezile mapaka MWISHO na Kazi yake aiache ktk msimamo mzuri Kama MZEE Moses kolola na MZEE Lazaro Ila Sasa nashidwa kuelewa mbona kanisa lake linazama na kanyamaza

  • @rabiamenshoo1988

    @rabiamenshoo1988

    9 күн бұрын

    nyie si ndio mnaamini kuwa ukiipinga Serikali ndio injili ya kweli,Huyu Mbarikiwa yeye na watu wake wanaamini mtumishi anayeipinga Serikali ndiye anayehubiri sahihi, mf.Akina mchungaji anayejiita mwanamapinduzi ndio rafiki zake hao.

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    9 күн бұрын

    Tofautisha kupinga uovu unaofanywa na mtawala na kuipinga serikali. Kama na hilo dogo hauwezi basi hata tukufafanulie vipi huwezi kuelewa.

  • @FrankMkemwa

    @FrankMkemwa

    7 күн бұрын

    AMINA

  • @eliabbanyikwa8716
    @eliabbanyikwa871610 күн бұрын

    Watumishi hubirini injili magomvi yanatoka wapi?

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    9 күн бұрын

    Injili unaita magomvi. Haya onyesha mfano wa Injili ambayo inawageuza waovu kuacha uovu.

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa9 күн бұрын

    Ha! huo Mkutano ulifanyika wapi?

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa10 күн бұрын

    Kweli wewe jamaa una akili. Unajua huyo uliyemsoma anaitwa Albath Einstern, ni miongoni mwa watu wali katika rekodi ya kuwa na akili nyingi sana. Ni kweli elimu ya darasani alifeli kama wewe, lakini alivumbua vitu vingi na vikubwa sana katika sayansi ya fikikia duniani kote. Kweli wewe una akili nyingi, siku zote huwa nakujua hivyo ila leo nimeshangaa kwamba ideology zako zinafanana na zile za Einstein.

  • @viff547
    @viff5479 күн бұрын

    Huo ni mtazamo wako, Na fikra zako Kwa Kakobe. Ila Mungu anawatumishi wengi sana shambani Mwake. Shamba lake halijawahi kupungukiwa watenda kazi

  • @charlespeter580
    @charlespeter58010 күн бұрын

    Usicho kijua wewe unaongozwa na roho ya upotevu tena umevamiwa na roho chafu ndio maana unaendeshwa na misisimko, Mwenzako Mtumishi wa Mungu Kakobe anaongozwa na Roho mtakatifu kwa kila anacho fanya ndio maana umwoni anapiga domo kama wewe.

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    10 күн бұрын

    Nina hakika wenzako wa dini yako watakaosoma ujumbe wako huu watashangaa sana sababu ya kutukana matusi kwenye clip hii. Hata hivyo napokea matusi yako uliye na roho mtakatifu aliyekuongoza kutukana hivi.

  • @alinanisimbeye9512

    @alinanisimbeye9512

    10 күн бұрын

    We nawe cjui una umuri gani?

  • @modestapeter2997

    @modestapeter2997

    10 күн бұрын

    @Charlespeter huyo roho mtakatifu anatokea baada tu yakukabiliwa na ananyamazishwa na ccm?

  • @EleneusMbalilaki
    @EleneusMbalilaki6 күн бұрын

    Wewe hujui kitu,na tatizo lako UNAJIWEKA KATIKA NAFASI AMBAYO HUNA NA HUNA WALA HUNA.hujui biblia wa chochote.Ukitaka kujipima angalia unawahumini wangapi unao wachunga,huna hata waumini hata 30,unajipachi nafasi ambayo huna ndio maana unapuuzwa hata hakuna linye maana hapo.Nyamaza kimyaaa potea huko hata elimu ya Mungu huna ni mtu hovyo tuh

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    6 күн бұрын

    Wewe unajua kila kitu. Wingi wa waumini ndio kipimo cha mhubiri? Basi kwako hata Yesu, Eliya, Musa, hawajui kitu ila wewe. Kwani Musa alifanikiwa kuwafikisha mwisho Joshua na kalebu, Eliya alifikisha mwisho Elisha, Yesu watu kumi na moja au mia na ishirini. Zaidi ya hayo ungeaangalia hata ibada ya usiku huwezi kuona watu chini ya hamsini. Hao thelathini umewatoa wapi mwanguku?

  • @charlespeter580
    @charlespeter58010 күн бұрын

    Na hayo mateso unayo yapitia unapitika kwa sababu ya ujinga wako wala hakuna thawabu yeyote

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    10 күн бұрын

    wewe yanakuja mateso yenye thawabu. Na utapitia kwa sababu ya wingi wa akili zako.

  • @AdelinaAloys

    @AdelinaAloys

    10 күн бұрын

    Ndg unakosea sana inawezekana hata wewe ujijui ni nani huyu ni mtu wa MUNGU

  • @user-vo6fu3pp1p

    @user-vo6fu3pp1p

    9 күн бұрын

    HONGERA WEWE MWENYE AKILI YA DHULUMA ULIYEPATA THAWABU KWA KUNYAMAZA KIMYA ILI HALI WATU WANAANGAMIA.

  • @noeleliasi8401

    @noeleliasi8401

    9 күн бұрын

    Kijana mboma umri wako mdogo, na unaongea utumbo utumbo tu wa ngedere??,

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri9 күн бұрын

    WEWE MBARKIWA MBONA MIMI NAKUONA KAMA UNAUTAPELI WA HALI YA JUU KWA SABABU BADALA YAKUWAILIMISHA WAUMINI WAKO KANISANI UMEKALIA KUCHEZA MITANDAO KUPOSTI UPOTOSHAJI ANZA KUTANGAZA USHOGA KAMA TUNDULISSU MCHAFU MKUBWA WEWE NI MOTONI UNALANA

  • @emanuelmargwe7087

    @emanuelmargwe7087

    9 күн бұрын

    Unafaham injili inahubiriwa kwa njia mbali mbali? Unafaham mbarikiwa hapo anamuhubiri Kristo kwa watu wengi zaidi ya kukaa kanisani pekee?? Utajisikiaje tukisema wewe ndo tapeli kwa kumtaka mbarikiwa asiongee ukweli hadharani?? 😂😂

  • @mestonisimzosha203

    @mestonisimzosha203

    9 күн бұрын

    ​@@emanuelmargwe7087😂😂umemjibu vizuri saanaa

  • @user-gn4lc5sk6p

    @user-gn4lc5sk6p

    8 күн бұрын

    Sasa Tundu Lissu katoka wapi?

  • @beinafuu6219
    @beinafuu621910 күн бұрын

    Mzee kakobe jaman wewe ni.mwanafunzi wake.hebu fanyen nanyinyi mbona yeye hakuwatafuta wakina kolola.piga kazi Mungu yupo.usiogope tena mema tu

Келесі