CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA
CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 505
@jekelasimoni89502 ай бұрын
Iko njia ionekanayo njema machon pa watu but ni njia za mauti!!! Mungu tusaidie
@lydiawasai9439
Ай бұрын
Her very own words
@carrennyangwara5541Ай бұрын
Christina Shusho..you're a blessing..keep praising God...the eagle doesn't do it's fights on the ground,but high above,where the enemy won't be able to continue fighting,but will definitely give up and the eagle soars higher..the Lord bless your ministry.
@MercyKangethe-fz7zoАй бұрын
This was a most informative message. Christina has brought in a clearer angle of where she is coming from and where she is headed to. She is a woman of God with a clear vision and nothing will stop her. I admire her eloquence and great sense of duty. May God bless you Christina, and may he give you all the comfort and favour you may require to carry on with the Lord's mission. Lots of ❤️ from 🇰🇪.
@SylvesterAmbokile-ur2vd2 ай бұрын
Pengine angeolewa baada ya miaka 19 aliyoitaka asingefikia hali ya sasa kwa kuwa aliiniliwa na kupata mafanikio akiwa na John Shusho
@vunabandijosney80172 ай бұрын
shusho umeshiba...mutu akishashiba anajiona leo jana yake anaisahau ... so unaona hustahili watu waliyokutengeneza kuwa wewe jinsi ulivyo leo...ebu kumbuka ulipotoka wapi !! tujifunze kushukuru
@Tg.7_72 ай бұрын
Ila ni ngumu sana kwake yeye Christina na kwa mumewe pia, kama from the very first place hapakuwahi kua na love it’s very hard….!! Let’s leave this matter to God!!🙏
@zaujatilongo6927
2 ай бұрын
Well said
@jesuinababili2280
2 ай бұрын
Frankly said
@ezekielisack6310
2 ай бұрын
Exactly...
@AngelFoodProductsTz
2 ай бұрын
Ua ver wise
@richardchimba3800
2 ай бұрын
Unaongopea😂wengine
@mikasamwel613Ай бұрын
Jaman msipende kuhukumu mtu bila kujua maisha yake kwa undani zaidi kiatu alichokivaa anakijua mwenyewe amjuaye vyema ni Mungu tu na si wanadamu.
@basilisamsaka8469
Ай бұрын
Wewe ni mtu mwema
@user-fe6gj1hg9r
Ай бұрын
Si kaongea vyote( mateso yote) sasa hatujui ninyi na kaongea yote!!
@neemachalamila5902 ай бұрын
Ila ulikuwa wa kishua!!!! Hadi ice 🧊 cream ulitengeneza maana yake mlikuwa na fridge, halafu hii kjiongeza ndio usaidizi wenyewe kama mke according to bible, sio mateso , na swala la kupenda sio jukumu la mwanamke ni jukumu la mume,
@rhodakerubo2850Ай бұрын
Shida hapa Christina amezungumza kizungu. Angesimulia kwa kiswahili, watanzania wangemuelewa, wasingemhukumu. Mume alishamkataa na kumrudisha kijijini kwa wazazi wake mwaka 2010. Christina akarudi Dar akaanza maisha mapya ya kumtumikia Mungu asilimia mia moja, BILA NDOA SABABU MUME AMEMKATAA! Miaka yote hiyo tangu 2010 amekaa kimya hamjui maisha yake kiundani. Leo kaamua kutoa ushuhuda jinsi Mungu amemtendea mnamuhukumu! Mungu anajua maisha yake tangu waachane, na anemuinua hiyo miaka yote. Muache mama wa watu aishi maisha yake. Christina songa mbele achana na kilele za chura!!! MUNGU MBELE!!!
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Ndo uwa mnasaidiana kula sadaka za hapo church yenu n yye we ndo unamjua kiundan kaaa kwa tulia kula nyama nyamza ..omba macho ya rohon ujue kaz znazoendleaa ktka ulimwengu huu.utajuwa vizur kwa nn amebadilika ashaurik aambiw .kitu ujui tulia unafkir watu wte wanaongea mbovu kma zako
@kabulamalima51792 ай бұрын
Huyo shusho ndo mumeo na baraka zako zilikuwa mikononi mwako. Mungu akusamehe
@neemamasudi79882 ай бұрын
Ni kweli wewe ni mtu wa kijijini pale Congo sehemu inayo hitwa Yungu ndo nyumbani kwenu. Sasa wewe Christina mbona ume hahibisha wana wake wote na wana ume wote. Pole sana Christina shetani yuko na wewe.
@imankasagara9492
2 ай бұрын
Unapotoka katika wingu la Mungu usikubali kuendelea katika Hali hiyo geuka Rudi hata kama kwa gharama ya aibu,aibu kwa watu si kitu Bali kurudi katika wingu la utukufu
@imankasagara9492
2 ай бұрын
Usitumie madhabahu kujitakasa je Leo ndio umegungua hilo au ndo unatangaza kuwa kujaolewa
@imankasagara9492
2 ай бұрын
Wito wa Mungu tunautazama mwisho wa safari si mwanzo
@basilisamsaka8469
Ай бұрын
Kwani wangapi wanaachana na waume zao au wake zao na bado wameokoka
@davidnyika4296
Ай бұрын
Mungu auponye moyo wako
@eliassoingei20462 ай бұрын
Ushuhuda ni pale unaposhinda jaribu na siyo kushindwa, hapo kwenye ndoa hajashinda, Mungu amsaidie kwa kweli, najua bado ana nafasi ya kuanza upya, tena Mungu anampenda sana maana ni waimbaji wengi wamevunja ndoa lkn yy ameshambuliwa sana lengo la Mungu ni kumkumbusha chanzo
@anajohn8132
Ай бұрын
Ndoa yake sidhani kama alianza na Mungu ndio maana imekuwa hivyo. Kuna ndoa nyingi tu si za Mungu japo zimefungwa kanisani. Hizo ndoa huvunjika na wala wanandoa hawahukumiki sababu Mungu hakuwepo.
Usihukumu usije nawewe ukahumiwa.Yeye atabeba msalaba wake mwenyewe.
@lucykayombo99872 ай бұрын
Hongera dada Christna, ushuhuda mkubwa sana unatia moyo, nakufurahia nakupenda...wewe ni mtumishi Roho mtakatifu aongoze hatua zako
@fredyaled2 ай бұрын
Huyu mda cmrefu..utamskia anamgombania Diamond na naye utadkia ana Mtoto wa diamond. Naongea leo ..lakin 2simsingizie Mungu hapa
@rithadonatus81102 ай бұрын
Ila ni kwanini unaongea yote hayo jamani mambo ya familia.. kama uliamua kuacha ungeacha personal
@pastorbakarigeraldwilondja6702Ай бұрын
MUNGU AKUHURUMIE SANA MAANA WEWE NI MWANAMKE USIOSHUKURU KBS
@user-ee6sz5gy4r2 ай бұрын
Mmewe alimtoa KIGOMA kibirizi hata kiswahili alikuwa hajui vzr Leo anamuita Jamaa duhh hii ndoo dunia tenda wema uende zako, Mungu anakuona
@JoseHaule-tx7lu
2 ай бұрын
Ila wanawake nomaaa sana
@angelinamwakilufi8881
2 ай бұрын
Hata wewe kunasehemu ulitolewa na Mtu, haimaanishi umwabudu huyo mtu hata kama anakukosea!
@jacksontarickkitambala2204
Ай бұрын
Fundisheni watu ukweli siyo unafiki Kwani pale ulipo olewa na miaka 19 , MUNGU hakuwa nawe?
@jacksontarickkitambala2204
Ай бұрын
@@angelinamwakilufi8881NDOA ni NDOA
@treasurerussel3422
Ай бұрын
Alafuuu ni mkimbiziii 😂😂😂😂😂😂
@user-xy9pk2rz8zАй бұрын
Hiki kizazi cha nyoka kwakweli kwani lazima utafute kujiosha ..mlikutana ..mmeachana endelea na maisha yako ..wanaume wasichafuliwe jamani kwa taarifa tuu hao ni wawakilishi wa Mungu ndani ya familia
@paulmushi2428 Жыл бұрын
Kwa kweli dada Christina umekuwa na ushuhuda wa ubinafsi wa kupitiliza!
@sautikuu212
2 ай бұрын
Yaani utadhani mume wake hana mchango wowote, ubinafsi wa kiwango cha juu mno.
@Kakwasi
2 ай бұрын
It's her life
@elizabethwambua8797Ай бұрын
Love you mommy.only woman who has such past can understand you.Gods love is with you all through.
@zaujatilongo69272 ай бұрын
Mungu akifanyie lililokusudi lake tuuu! Sisi hatujui ila Mungu aonaye sirini anajua yote, Mungu asikuache hadi mwisho wa maisha yako
@stellagwimo31152 ай бұрын
Powerful testimony, thanks Christina for sharing you life story with us. God bless.
@user-fr7jj1bo7y
2 ай бұрын
mwanamke keshakuwa na pesa sasa anamuona mumewe aliyemtoa jalalani kuwa si kitu
Nimeumia sana kumuita mmeo jamaa Mungu na akulipe kulingana na matendo yako. Kumbuka bila huyo jamaa usingekua hivyo ulivyo leo
@treasurerussel3422
Ай бұрын
Mungu Ndio kataka tina awe hivyo
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Aiseee wanawake wa Africa wakitajirika n umaarufu n kosaa kubwa sana wallah
@user-cr1sj8xw9xАй бұрын
Dunia imeisha yaani watu munapiga makofi kwamba ujumbe huu umetoka kwa Mungu atupe andiko linalo muruhusu kuachana na mume wake sio mawazo yake anapotoa maelezo asimutaje Mungu hayo Ni mawazo yake ,Mungu akikuita kumutumia sijawahi kusikia kwamba iache ndoa yako Mungu akusaidie nimefuatilia Sana maneno yako unataka kuleta elimu mpya kwenye ndoa Za watu kwa mawazo yako Mungu anachukia kuachana pia alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe hayo umeyapata wapi? Tuonyeshe andiko Hilo sio maneno mengi acha kuudanganya umma ,shusho tulia kwa Bwana majibu yapo
@jescamushi77372 ай бұрын
Kama mkenya sa hii hahhahahaaaaa ila anamaigizo huyu mama😂😂😂😂
@savedbygrace3230Ай бұрын
Beautifully intetpreted and blessings to Christina.
@consolataconsolata1250Ай бұрын
Huyu dada kukaa kimya kumemfanya aonekane yeye ndio mbaya. Sasa kama mume alimfukuza toka 2010 Leo yeye ndio anaonekana ana kosa? Kama hujui upande wa pili wa story bora kukaa kimya. Wanaume wana tabia ya kufanya vitu halafu wanajifanya wao ndio wameomewa. Mungu ndio anajua ukweli nyie mnaomtukana hamjui ukweli wote. Wanaume wengine hawawezagi kuvumilia mafanikio ya wake zao. Wengine wanaonea wivu wake zao wakifanya vizuri. Mungu anaejua ukweli atamlipa kila mtu sawa sawa na haki yake. Kwanza huyu dada ana hekima sana kama alikaa kimya toka 2010 hakuna mtu alijua kafukuzwa nyumbani kwake..SO SAD
@brorichardmusingithe7th11
Ай бұрын
wewe unaujua ukweli wote? wananchi wanaongea yale anayoyafanya hususani ndoa,Hata wewe hururhusiwi kukimbia ndoa na kujisifiakuwa uliacha ndoa ili umtumikie Mungu, Maswali mengi yako hiviii? Je yeye alilyetamka kuwa haukna wa kutenganisha na mvumilie hadi kufa ataruhusu uachane na mme ana uhubiri injili?
@thomaschagula3508
Ай бұрын
Amina mtumishi. Wewe ndio umeongea la msingi sana. Mungu akubariki sana
@Usizoeedhambi
Ай бұрын
Huyu mwanamke mwongo sana. Tena adanganya akiwa madhabahuni. Alizaliwa 14 Novemba 1974 na kuolewa tar 14 Decemba 1996 akiwa na umri wa miaka 22. Na mwaka huu wa 2024 ana miaka 50. Mzee sasa. Ameolewa kwenye familia ya Kikuhani wamo wachungaji 3 na Baba yao alikuwa Askofu Mkubwa huko Kigoma.Mimi nilikuwa mshirika wake Kanisani kwake Dreamers Centre. Nasema kweli tupu na Mungu anihukumu kama nasema wongo. Niliondoka kwa sababu ya tabia zake za ovyo. Alitupa nje ya ofisi meza na vitabu na Biblia za mme wake Askofu nje ya ofisi bila sababu ya msingi Nikaondoka Kanisani hapo. Familia ya mme wake wala.hawako.9. wanaume walikuwa 4 na wa 3 walikuwa boarding. College na shule. Na alipoolewa alikuja na mdogo wake wa Kike.Vitu vingi anasema hapo uongo tu anachafua madhabahu. Huyu ni devil worshiper ni ajenti wa kuvuruga na kuvunja ndoa makanisani . Yesu alituachia injili ya mapatano. Wewe Mama mwenye Kanisa hilo umechafua madhabahu ya Bwana.Umeharibu ndoa za washirika wako !!! Subiri divorce nyingi baada ya miaka 5 nakuambia . Umebomoa badala ya kujenga. Hapo amefuatana na Manager wake ni mwislamu uchafu mtupu .Nuru na giza wapi.na wapi !!!!!
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
@@Usizoeedhambi ndungu umeandika kwa uchungu sana... Unaonekana unajua mengi kuhusu huyu mwanamke
@PAULINEWANJIKU-pwm
13 сағат бұрын
@@Usizoeedhambi😢duh
@ElphasNabule-uj1zi2 ай бұрын
christine ,kumbuka yakwamba Ndoa ilianzishwa na Mungu na kwa mpango wa Mungu , Talaka Haikuemo. Soma maandiko vizuri .Nithambi ilileta Mutengano Kati ya Mungu na muana damu ,Vilevile katika ndoa usipo elewa kusudi la Mungu ndaani ya maisha yako na Mungu Utatenda Mapenzi ya shetani .kumbuka Mungu anachukia Talaka haswa zaidi kwa Watumishi wake vilevile Kanisa linaanzia Nyumbani Likiekea kwa Mathabau .christin nina suali kwako utajitetea Aje mbele Ya kiti cha enzi Mbinguni? kwa wanadamu ni raisi Jee, Na kwa MUNGU?
@janesuma-is4wc
27 күн бұрын
Wewe ndio usome mandiko vizuri mmekua watu wa kutafsiri bible vibaya na kwa hisia zenu Acha kuhukumu wewe
@mynambwambo20722 ай бұрын
I can relate hii story na ile ya laban na Jacob.. Jacob alienda kwa laban akiwa na baraka zake kila kilchoendelea ikiwemo mifugo mingi kuzaliwa pale ilikua sababu ya Jacob mwenyewe I can relate hii story na shush huyu mwanamke alikua tayari ameshabarikiwa na Mungu huyo mume wake ilikua ni njia tu Mungu allifanya ili kudhihirisha kilichokua ndani ya shush..
@sovajulius3870 Жыл бұрын
Hail to Shusho our very own our talented and beautiful singer of all time She is talented beautiful hard worker and more she is amazing We love you Tina
@sweetberthawilliam65872 ай бұрын
Mshukuru mme wKo alikuoa na kukupa watoto, asingekuwa yeye saa nyingine usingefika hapo kiburi cha pesa
@TeresiaMundia-dz8ye2 ай бұрын
May God go ahead of you
@janewasilwa88132 ай бұрын
Thank you...of God lives I will.live. If God is able I will succeed
@felixmsengi10842 ай бұрын
Ushuhuda mzuri wa maumivu na kujifunza jinsi Ukimpenda MUNGUA hakuachi, ila pia awasamehe wote Kama Yusufu aliuzwa nao hawakujua atakua Nani lkn aliwasamehe na kuwa nao pamoja so nawe familia tayari Ni sehemu yako Tina love them support them be with them to make the difference that GOD is LOVE
@balancedviewpoint7418 Жыл бұрын
Waaah! I didn't know this awesome woman of God knows very fluent English and that she can be that bold and assertive in a cloud. Christina, sorry for what befall you I your earlier days of your marriage. When we keep advising you to stick to your marriage, kumbe there is disheartening story behind your life journey. It is well Christina. If you were in Kenya utaolewa na ukae maisha safi sana. Tunakupenda sana Kenya vile dunia yote inakutambua. I love you much you child of God. Keep it up.
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Acha kumwinua alishapotea
@marykyley836
Жыл бұрын
She is a professor in maths. God's grace is sufficient
@balancedviewpoint7418
Жыл бұрын
@@marykyley836 a professor in maths? From which university please?
@user-qg1iy5ov3uАй бұрын
Hongera sana Christina Mungu huyu akulinde sana change usiyumbishwe na maneno maovu ya mitandaoni
@happinesstesha7061 Жыл бұрын
Nasikitika kama uliachana na mume wako dah mimi nyimbo zako za mwanzo ndo nilizipenda but za sasa dah.
@maneno_kairuki
2 ай бұрын
Hata mimi nyimbo za nyuma. Ni kawaida ya wanawake wakifanikiwa lazima awe na kiburi
@James-od8gf
2 ай бұрын
Mke wangu angekiwa anaabudu kwako hapo ningempga stop haraka sana mana Mchungaji gani kamuacha mumewe?
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Ndo anaaribu wanawake wengne
@nyapetegath409 Жыл бұрын
you are beautifull and fighter. God bless u
@fadhilichristine7734 Жыл бұрын
Much love to you sister Christine may God bless you ❣️
@jamalmanishi72822 ай бұрын
Mungu nifundishe kunyamaza maana sielewi
@elizag.edmond7637
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@heriethsamwel7190
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jeanmusamba8448
2 ай бұрын
hahahaha kina christina wengi huwa wako hivyo sijui kwa nini nimeona more than 4 christina wanaacha waume zao,labdaa maana ya christina na mwanamke kumuacha mumewe
@user-nb2jw4km6f
2 ай бұрын
Hata mimi sielewi kwakweli sijui ni comfidence yakupitiliza au nini?
@lilianurio9781
2 ай бұрын
Me too
@anajohn8132Ай бұрын
Sasa naelewa kumbe mume ndiye alimuacha nakumrudisha Kwao kijijini kwa wazazi wake na watoto wakagawanwa. Sasa lawama ziko kwake kivipi tena
@janewasilwa88132 ай бұрын
God bless you Mama. Someone is encouraged Mama
@ATHANASLUKEHA-ui7pq2 ай бұрын
Roho ya kuhatibu ndoa za watu unayotumika nayo,iangamie Kwa Kina la Yesu!Christina wewe ni mwongo mkubwa!
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Kabsaaa saah uy mathee anatumika na nguvu za giza ndp mana unaona wote.walioachana na mabwana zao wamefungua church ili waendlee kuaribu akil za wanawake wengne wasitii waume zao wakimbie kwa ndoa zao
@BahatiSunga-yk9qf2 ай бұрын
Aminaa Barikiwa
@laurentraphael54702 ай бұрын
Chukizo la uharibifu limesimama mahali pasipopasa. Huna huduma yoyote, umeitwa kwenye umalaya sio huduma kwenda huko.
@lydiawasai9439Ай бұрын
The pain was to take u to another level mti mwema hupurwa mawe lakini pesa zikakupa kiburi ukamsahau Mungu wako. Tubu Christina umrudie Mungu.
@user-lm3gd8pw7z2 ай бұрын
Asha kusema Jina La Mungu na Wewe ni muwasi mukubwa Wewe. Gisi Congo tulikuwa na nakupenda ivi zero kabisa akuna u christu ndani yako Wewe dada
@ireneansima4930
2 ай бұрын
Weye mutakatifu ukuwe nahita
@eliwazamakala3897Ай бұрын
Pole sana dada. Mungu aendelee kukutetea zaid dhidi ya maadui zako. Binadamu huwez waziba midomo. Only God knows.
@josephineusui1114 Жыл бұрын
Congratulations Cristina for realizing your dream.i love you so much.
@salomeshadrack8245 Жыл бұрын
I love you dear. You're my role model...hope to meet you one day. May God protect you and preserve you for His own Glory
@phoebyadema6675 Жыл бұрын
Waah your testimony imenivunja moyo😢,,,tena umeni encourage in this journey of life
@leonardyona1462
2 ай бұрын
Acha kuwa encouraged kwa upumbavu..
@ireneansima4930
2 ай бұрын
Amen abuse man will come to blame her
@BanjoMrisho2 ай бұрын
Huyu Christina anaongea pumba kwaiyo kiingereza ndio kinapanda zaii ya kiswahili? Wewe Huna ukristo hata kidogo Acha kuwalisha pumba warundi uanwapotezea muda Huna ushuhuda
@peterbarakabugera974 Жыл бұрын
i fallow you very well,may God bless you when ever you will stay working for him!
@leakeyochieng9629 Жыл бұрын
Am more than blessed , more grace Christina
@florencenzyuko2121Ай бұрын
Christina God is faithful & you're a seed of God
@timemwamasage40582 ай бұрын
Mpuuzi sana .. ndoa za zamani wanaume na wanawake walikua na upendo...walikua wanaishi na ndugu zao ukiolewa ukakuta familia ina maisha yao uliyoyakuta usuwabadulishe wawe unavyotaka ww,labda kama unawasaidia kukua kiuchumi kuwapekeka shule na kazi au biashara lkn sio nature ya maisha yao...huyu anatafuta kujitetea lkn hakuna kitu...mpuuzi
@neemamasala7167
2 ай бұрын
Ulikuepo hyo zamanii😢
@angelinamwakilufi8881
2 ай бұрын
In first place ndoa haikuwa, na upendo, ila ni convenience ya wazazi eti asijeakaharibikia nyumban😢 wanaume kasiriken mtukaneni ila wanawqke wasiku hizi are not fools ukizingua tunasepaaa!
@marlenekhakoni1404 Жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza kabisa,nimeiskia kwa ufupi ushuhuda wa ma Christina, nimekupenda zaidi
@pamelaayieta60712 ай бұрын
She is a good actress,is she the first one to shine in east Africa.You are behaving like a juvenile.
@Kakwasi
2 ай бұрын
I love her whatever
@lucynjengachef709Ай бұрын
Your story is qn eye opener ....
@doulosjohngamba8985 Жыл бұрын
I will be your Prayer Partner always.
@elimidakashumba2422 Жыл бұрын
Congratration shusho, indeed you re our influencer.
@givenessdavid3743Ай бұрын
It's time to be on Top Tina.....
@phoebyadema6675 Жыл бұрын
Congrats my mentor I love you so much❤
@basilisamsaka8469Ай бұрын
Wote wanaomsema vibaya Christina mmamwonea wivu,na alivyo mzuri kwa sabb hakuna andiko linalomruhusu mtu kumtukana mwenzie,eti unasahau dhambi zako nyingi kuliko za shusho.
@MariamOfficial-ve1yt
Ай бұрын
We unatetea kitugan hap
@terryconstance3515 Жыл бұрын
Wa, reading the comments, you will understand how she was so suppressed growing up as a woman. Her own people are condemning her like she gave their story. It's her story. She knows it best. If it builds people and it's not offensive in any way, why not give it? Much love Christina.❤
@viwangovingine8771
2 ай бұрын
When you tell the wrong story against God, God Will defend Himself
@terryconstance3515
2 ай бұрын
@@viwangovingine8771 you sound like such a know-it-all. I'll let you do you. Great day ahead.
@rahabnjeri510Ай бұрын
Shusho mungu anakuona ulianza kwa roho na unamaliza na mwiili😢😢😢😢😢 you need God deliverance
@123456789381292 ай бұрын
Mambo ya Mungu ni fumbo kabisa na mambo ya ndoa ni Siri kubwa
@user-gu9hh6ys6c
Ай бұрын
Mungu atabaki kuwa ni Mungu tu!
@nesielias94932 ай бұрын
Duniani huwezi kupata vyote, shukuru hata kwa mema uliyopata
@RebeccaGeorge-qu9kc2 ай бұрын
Powerful testmony my sister christina shusho God bless you
@user-fe6gj1hg9r
Ай бұрын
Shout out you FEMINIST 😊😊😊
@maneno_kairuki2 ай бұрын
No where she appreciates the support from his husband. Wanawake Bwana😢
@clausemsemwa297
2 ай бұрын
Women!
@YasintaMpanduji
2 ай бұрын
Wakati anamsapoti ulikuwepo?, binadamu Bhana kazi mnayo
@odilomwemeziernest646
2 ай бұрын
@@YasintaMpanduji yeye mwenyewe alishuhudia jinsi kipawa chake kilivoinuka,na kujulikana.
@YasintaMpanduji
2 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 ni kweli, yeye ndyo shahidi, Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawapewi support na wenza wao, wanaume Kwa wanawake
@sautikuu212
2 ай бұрын
Mbinafsi sana, huu ushuhuda una mapungufu mengi na makubwa sana.
@gracepatric4371 Жыл бұрын
Translator nikama monica wa masanja
@Usizoeedhambi2 ай бұрын
Hana shukurani huyu.Muilizeni MBC Hot Media ( Mr Forgen ) awaambie jinsi mume wake alivyomsaidia . GOSPEL is the good news of reconciliation not damaging like this. Mumewe amemsomesha hata hako ka Kingereza ni kazi ya mume wake !!!!
@edsonnelson4464
2 ай бұрын
Ndiyo shukrani za wanawake, amesahau yote
@mgswahili3993
2 ай бұрын
What is your whatsapp number nataka kushare kitu na wewe. Imenigusa hii text yako.
@sautikuu212
2 ай бұрын
@@edsonnelson4464 washenzi sana hawa viumbe
@AnneHarold
2 ай бұрын
@@sautikuu212jamani sio wooteeee sema baadhi ya wanawake
@user-cu6tp2bh7b
2 ай бұрын
Msomeshe kiingereza akitumie kukutukana😂😂
@carolinekajuju45072 ай бұрын
My gal my story. if you made it I will make it
@DosianaLulakuze-bv7fg2 ай бұрын
Nakuelewa acha wakupige vita ambaye hajapitia Hajui
@susannyamu2024Ай бұрын
Lots of ❤,🇰🇪
@annapeter8526 Жыл бұрын
poweful testmony maaam
@EsterBenson-vj8vyАй бұрын
😅daaa haya mambo mazito ,pole dada Christina tuko pamoja imba Sana
@MercyOchangoАй бұрын
Guys for those who are judging this woman of God, remember your words are the greator of your world and you don,t know your tomorrow's jouney
@frederickmeshack38482 ай бұрын
We have seen many jumping into gospel reem but soon they mixup them themselves off the go and forgotten for ever, 19 years old ni umri halali usilaumu
@faustinerukiko2933
2 ай бұрын
Unaruhusiwa kabisa na serikali yetu
@faustinerukiko2933
2 ай бұрын
Story ya upande mmoja.....anajikanyagakanyaga tu naona
@sambutilacurtainbedroomsol7431
Ай бұрын
Wenzie at that age tulikuwa tunafanya kazi serikalini na kulea wadogo zangu,Sasa yeye anasemaje alikuwa aliolewa akiwa mdogo?mtoto kwa Tz ni 17 yrs to 0
@jabezjedidiah14292 ай бұрын
Yote uliyoyasema hujatoa hoja mwafaka kwa nini ikaikimbia ndoa. Kado na kumdhalilisha mmeo na familia yake. Hukuteswa, sio adultery... kazi ya nyumba kila mwanamke hufanya. Kwangu naona ni fame na pesa zilikukausha shingo. God is nor author of confusion but of love and unity in Christ Jesus hivyo usisingizie wito ndio ukakutoa kwako. Hujaweka mfano mwema kwa wakristo.
I love her sence of humour but the bible says we should submit ourselves to our husbands. Mungu tupe macho tuone sawa sawa. The enemy only cares of winning her soul. Mungu amrudishe kwa ndoa yake she has been a good servant of God.
@christophermgimba5144 Жыл бұрын
"UKINIPIGA NGUMI NAMI NAKUPIGA NGUMI" SIKUTEGEMEA MANENO HAYA KWA MWANAMKE AMBAYE NI MCHUNGAJI PIA. DADA ZETU WAIMBAJI WANA CHANGAMOTO SANA KWENYE NDOA/MAHUSIANO YAO. SHUSHO INABIDI AWE ANACHAGUA MANENO YA KUONGEA HADHARANI, ANAVYOONGEA ANAHARIBU KULIKO KUJENGA.
@gracekapisha838 Жыл бұрын
Majaribu ni mtaji, acha kulia Mwanamke unayepitia majaribu simama mtazame yesu anakusaidi.
@lilianjosephat9151
Жыл бұрын
Amen
@user-qg1iy5ov3uАй бұрын
Vizuri sana Mungu ni mkubwa sana Christina songa mbele watu wasikutishe
@japhetstanley43022 ай бұрын
Mungu aendeleee kukutunza mtumishi.Jambo ambalo wengi hawawezi kuelewa ni ugumu wa kuishi kwenye ndoa ambayo wewe hukuwa na mapenzi kabisa,nakuombea heri Mungu akukumbuke uwe kwenye furaha yako.
@epifaniakavishe92822 ай бұрын
Mmh Tinna ...
@user-uq3cp6cc3d2 ай бұрын
Waimbaji wanawake wanakiburi kizito sana mungu atusaidie kwasasa hudada anajiona nikeki sana kwasasa. Angalia waimbaji wengi wanawake hawapo kwenye ndoa na wanajiona wapo sahihi kiburi cha uzima kimewajaa kiburi cha fedha kimewajaa.
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Poleni mliomkaribisha Shusho mmeua waumini
@annamosha968
Жыл бұрын
Pole na wewe kwa wivu
@evelynmumia5246
Жыл бұрын
@@annamosha968 kabisa,Kwa Nini wengine wanaudhika na anaongelelea maisha yake? Ongea dada
@victorianchimbi8640
2 ай бұрын
Humjui Christina wa mwanzo aliyeanza kuimba nyimbo za Mungu kwa utukufu mkubwa si huyu wa sasa anayeandaa na matamasha na wasanii wa Bongo flavour , huyu alishaingia mikataba na aliambiwa sharti la kwanza amuache mume wake.
@user-gk8gz8qi1n
2 ай бұрын
Kampeni ya ibilisi kuwauwa watu wachanga kiroho wasimtafute yesu kwa bidii,..tuko siku za mwisho.
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
😢😢kabsaaa anazid kuaribu wengi
@blessingcharles-lc1rr2 ай бұрын
Asiye na dhambi kati yenu hebu awe wa kwanza kumtupia jiwe,mambo ya ndoa ni siri ya watu wawili na Mungu wao ,hayawahusu kaeni mbali na kuhukumu kwa maana wengine wenu hapo mnaohikumu ni waongo,wezi,walevi,mnachepuka,hamhudumii familia zenu,mmetelekeza watoto wenu,mnatesa wake na waume zenu bila kusahau watoto wenu,wengine wasengenyaji,wengine mnawivu,mnakiburi,wengine mnamajivunooo,wengine hata kusaidia wenye uhitaji hamsaidii ,na nyie mko hapa mnahukumu wenzenu eti wakristo, Mjipime vizuri ndipo mweze kutoa kibanzi katika jicho la wenzeny Mjitafakali vizuri
@anastaziasamson593Ай бұрын
Umenitia moyo hapa at least " I think I can do it , I'm going to change my life"
@nancywanjiku25572 ай бұрын
I cant judge you christina marrying young is one of the biggest mistake a girl can do to herself ,many things goes wrong But thanks God He never forsakes us
@faustinerukiko2933
2 ай бұрын
Watu walikuwa wanaolewa na 14...unasema 19?
@joycenaftal-cr2er Жыл бұрын
Ameeen
@merrybahati9882 Жыл бұрын
Amen
@VeronicaKamau-np2si2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢wow!!such a testimony
@releiabby62012 ай бұрын
Naona negative comments but ukimskiza vizuri only women can relate. Being married when still naive is not good, there's always an aftermath... being in an extended family is even more pathetic. You can be bullied indirectly... only the victim will feel it... NOT THE SOCIETY!
@MessiJosph-yw9gc
2 ай бұрын
Shenzi
@lovedavie9621
2 ай бұрын
@@MessiJosph-yw9gc😂😂
@crismtete8837
2 ай бұрын
A smart woman talking about her husband! No way, she's not smart. Is selling groundnuts a taboo?
@releiabby6201
2 ай бұрын
@@MessiJosph-yw9gc hope you are referring to yourself. So pathetic
Пікірлер: 505
Iko njia ionekanayo njema machon pa watu but ni njia za mauti!!! Mungu tusaidie
@lydiawasai9439
Ай бұрын
Her very own words
Christina Shusho..you're a blessing..keep praising God...the eagle doesn't do it's fights on the ground,but high above,where the enemy won't be able to continue fighting,but will definitely give up and the eagle soars higher..the Lord bless your ministry.
This was a most informative message. Christina has brought in a clearer angle of where she is coming from and where she is headed to. She is a woman of God with a clear vision and nothing will stop her. I admire her eloquence and great sense of duty. May God bless you Christina, and may he give you all the comfort and favour you may require to carry on with the Lord's mission. Lots of ❤️ from 🇰🇪.
Pengine angeolewa baada ya miaka 19 aliyoitaka asingefikia hali ya sasa kwa kuwa aliiniliwa na kupata mafanikio akiwa na John Shusho
shusho umeshiba...mutu akishashiba anajiona leo jana yake anaisahau ... so unaona hustahili watu waliyokutengeneza kuwa wewe jinsi ulivyo leo...ebu kumbuka ulipotoka wapi !! tujifunze kushukuru
Ila ni ngumu sana kwake yeye Christina na kwa mumewe pia, kama from the very first place hapakuwahi kua na love it’s very hard….!! Let’s leave this matter to God!!🙏
@zaujatilongo6927
2 ай бұрын
Well said
@jesuinababili2280
2 ай бұрын
Frankly said
@ezekielisack6310
2 ай бұрын
Exactly...
@AngelFoodProductsTz
2 ай бұрын
Ua ver wise
@richardchimba3800
2 ай бұрын
Unaongopea😂wengine
Jaman msipende kuhukumu mtu bila kujua maisha yake kwa undani zaidi kiatu alichokivaa anakijua mwenyewe amjuaye vyema ni Mungu tu na si wanadamu.
@basilisamsaka8469
Ай бұрын
Wewe ni mtu mwema
@user-fe6gj1hg9r
Ай бұрын
Si kaongea vyote( mateso yote) sasa hatujui ninyi na kaongea yote!!
Ila ulikuwa wa kishua!!!! Hadi ice 🧊 cream ulitengeneza maana yake mlikuwa na fridge, halafu hii kjiongeza ndio usaidizi wenyewe kama mke according to bible, sio mateso , na swala la kupenda sio jukumu la mwanamke ni jukumu la mume,
Shida hapa Christina amezungumza kizungu. Angesimulia kwa kiswahili, watanzania wangemuelewa, wasingemhukumu. Mume alishamkataa na kumrudisha kijijini kwa wazazi wake mwaka 2010. Christina akarudi Dar akaanza maisha mapya ya kumtumikia Mungu asilimia mia moja, BILA NDOA SABABU MUME AMEMKATAA! Miaka yote hiyo tangu 2010 amekaa kimya hamjui maisha yake kiundani. Leo kaamua kutoa ushuhuda jinsi Mungu amemtendea mnamuhukumu! Mungu anajua maisha yake tangu waachane, na anemuinua hiyo miaka yote. Muache mama wa watu aishi maisha yake. Christina songa mbele achana na kilele za chura!!! MUNGU MBELE!!!
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Ndo uwa mnasaidiana kula sadaka za hapo church yenu n yye we ndo unamjua kiundan kaaa kwa tulia kula nyama nyamza ..omba macho ya rohon ujue kaz znazoendleaa ktka ulimwengu huu.utajuwa vizur kwa nn amebadilika ashaurik aambiw .kitu ujui tulia unafkir watu wte wanaongea mbovu kma zako
Huyo shusho ndo mumeo na baraka zako zilikuwa mikononi mwako. Mungu akusamehe
Ni kweli wewe ni mtu wa kijijini pale Congo sehemu inayo hitwa Yungu ndo nyumbani kwenu. Sasa wewe Christina mbona ume hahibisha wana wake wote na wana ume wote. Pole sana Christina shetani yuko na wewe.
@imankasagara9492
2 ай бұрын
Unapotoka katika wingu la Mungu usikubali kuendelea katika Hali hiyo geuka Rudi hata kama kwa gharama ya aibu,aibu kwa watu si kitu Bali kurudi katika wingu la utukufu
@imankasagara9492
2 ай бұрын
Usitumie madhabahu kujitakasa je Leo ndio umegungua hilo au ndo unatangaza kuwa kujaolewa
@imankasagara9492
2 ай бұрын
Wito wa Mungu tunautazama mwisho wa safari si mwanzo
@basilisamsaka8469
Ай бұрын
Kwani wangapi wanaachana na waume zao au wake zao na bado wameokoka
@davidnyika4296
Ай бұрын
Mungu auponye moyo wako
Ushuhuda ni pale unaposhinda jaribu na siyo kushindwa, hapo kwenye ndoa hajashinda, Mungu amsaidie kwa kweli, najua bado ana nafasi ya kuanza upya, tena Mungu anampenda sana maana ni waimbaji wengi wamevunja ndoa lkn yy ameshambuliwa sana lengo la Mungu ni kumkumbusha chanzo
@anajohn8132
Ай бұрын
Ndoa yake sidhani kama alianza na Mungu ndio maana imekuwa hivyo. Kuna ndoa nyingi tu si za Mungu japo zimefungwa kanisani. Hizo ndoa huvunjika na wala wanandoa hawahukumiki sababu Mungu hakuwepo.
Christina Unajua na Kinge kipo on point Bravooooo
Acha kumshirikisha Roho mtakatifu na ukahaba.Eti roho amekushukia utoke ktk ndoa yako.Muogope Mungu.
@lrutainurwa
2 ай бұрын
Siri ya mtungi aijua kata
@kengaswedi3989
Ай бұрын
Usihukumu usije nawewe ukahumiwa.Yeye atabeba msalaba wake mwenyewe.
Hongera dada Christna, ushuhuda mkubwa sana unatia moyo, nakufurahia nakupenda...wewe ni mtumishi Roho mtakatifu aongoze hatua zako
Huyu mda cmrefu..utamskia anamgombania Diamond na naye utadkia ana Mtoto wa diamond. Naongea leo ..lakin 2simsingizie Mungu hapa
Ila ni kwanini unaongea yote hayo jamani mambo ya familia.. kama uliamua kuacha ungeacha personal
MUNGU AKUHURUMIE SANA MAANA WEWE NI MWANAMKE USIOSHUKURU KBS
Mmewe alimtoa KIGOMA kibirizi hata kiswahili alikuwa hajui vzr Leo anamuita Jamaa duhh hii ndoo dunia tenda wema uende zako, Mungu anakuona
@JoseHaule-tx7lu
2 ай бұрын
Ila wanawake nomaaa sana
@angelinamwakilufi8881
2 ай бұрын
Hata wewe kunasehemu ulitolewa na Mtu, haimaanishi umwabudu huyo mtu hata kama anakukosea!
@jacksontarickkitambala2204
Ай бұрын
Fundisheni watu ukweli siyo unafiki Kwani pale ulipo olewa na miaka 19 , MUNGU hakuwa nawe?
@jacksontarickkitambala2204
Ай бұрын
@@angelinamwakilufi8881NDOA ni NDOA
@treasurerussel3422
Ай бұрын
Alafuuu ni mkimbiziii 😂😂😂😂😂😂
Hiki kizazi cha nyoka kwakweli kwani lazima utafute kujiosha ..mlikutana ..mmeachana endelea na maisha yako ..wanaume wasichafuliwe jamani kwa taarifa tuu hao ni wawakilishi wa Mungu ndani ya familia
Kwa kweli dada Christina umekuwa na ushuhuda wa ubinafsi wa kupitiliza!
@sautikuu212
2 ай бұрын
Yaani utadhani mume wake hana mchango wowote, ubinafsi wa kiwango cha juu mno.
@Kakwasi
2 ай бұрын
It's her life
Love you mommy.only woman who has such past can understand you.Gods love is with you all through.
Mungu akifanyie lililokusudi lake tuuu! Sisi hatujui ila Mungu aonaye sirini anajua yote, Mungu asikuache hadi mwisho wa maisha yako
Powerful testimony, thanks Christina for sharing you life story with us. God bless.
@user-fr7jj1bo7y
2 ай бұрын
mwanamke keshakuwa na pesa sasa anamuona mumewe aliyemtoa jalalani kuwa si kitu
@ireneansima4930
2 ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y umasikini inafanya mutu kuhitika akina Nani
@daudimwakitalima8145
2 ай бұрын
Mhhh
Nimeumia sana kumuita mmeo jamaa Mungu na akulipe kulingana na matendo yako. Kumbuka bila huyo jamaa usingekua hivyo ulivyo leo
@treasurerussel3422
Ай бұрын
Mungu Ndio kataka tina awe hivyo
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Aiseee wanawake wa Africa wakitajirika n umaarufu n kosaa kubwa sana wallah
Dunia imeisha yaani watu munapiga makofi kwamba ujumbe huu umetoka kwa Mungu atupe andiko linalo muruhusu kuachana na mume wake sio mawazo yake anapotoa maelezo asimutaje Mungu hayo Ni mawazo yake ,Mungu akikuita kumutumia sijawahi kusikia kwamba iache ndoa yako Mungu akusaidie nimefuatilia Sana maneno yako unataka kuleta elimu mpya kwenye ndoa Za watu kwa mawazo yako Mungu anachukia kuachana pia alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe hayo umeyapata wapi? Tuonyeshe andiko Hilo sio maneno mengi acha kuudanganya umma ,shusho tulia kwa Bwana majibu yapo
Kama mkenya sa hii hahhahahaaaaa ila anamaigizo huyu mama😂😂😂😂
Beautifully intetpreted and blessings to Christina.
Huyu dada kukaa kimya kumemfanya aonekane yeye ndio mbaya. Sasa kama mume alimfukuza toka 2010 Leo yeye ndio anaonekana ana kosa? Kama hujui upande wa pili wa story bora kukaa kimya. Wanaume wana tabia ya kufanya vitu halafu wanajifanya wao ndio wameomewa. Mungu ndio anajua ukweli nyie mnaomtukana hamjui ukweli wote. Wanaume wengine hawawezagi kuvumilia mafanikio ya wake zao. Wengine wanaonea wivu wake zao wakifanya vizuri. Mungu anaejua ukweli atamlipa kila mtu sawa sawa na haki yake. Kwanza huyu dada ana hekima sana kama alikaa kimya toka 2010 hakuna mtu alijua kafukuzwa nyumbani kwake..SO SAD
@brorichardmusingithe7th11
Ай бұрын
wewe unaujua ukweli wote? wananchi wanaongea yale anayoyafanya hususani ndoa,Hata wewe hururhusiwi kukimbia ndoa na kujisifiakuwa uliacha ndoa ili umtumikie Mungu, Maswali mengi yako hiviii? Je yeye alilyetamka kuwa haukna wa kutenganisha na mvumilie hadi kufa ataruhusu uachane na mme ana uhubiri injili?
@thomaschagula3508
Ай бұрын
Amina mtumishi. Wewe ndio umeongea la msingi sana. Mungu akubariki sana
@Usizoeedhambi
Ай бұрын
Huyu mwanamke mwongo sana. Tena adanganya akiwa madhabahuni. Alizaliwa 14 Novemba 1974 na kuolewa tar 14 Decemba 1996 akiwa na umri wa miaka 22. Na mwaka huu wa 2024 ana miaka 50. Mzee sasa. Ameolewa kwenye familia ya Kikuhani wamo wachungaji 3 na Baba yao alikuwa Askofu Mkubwa huko Kigoma.Mimi nilikuwa mshirika wake Kanisani kwake Dreamers Centre. Nasema kweli tupu na Mungu anihukumu kama nasema wongo. Niliondoka kwa sababu ya tabia zake za ovyo. Alitupa nje ya ofisi meza na vitabu na Biblia za mme wake Askofu nje ya ofisi bila sababu ya msingi Nikaondoka Kanisani hapo. Familia ya mme wake wala.hawako.9. wanaume walikuwa 4 na wa 3 walikuwa boarding. College na shule. Na alipoolewa alikuja na mdogo wake wa Kike.Vitu vingi anasema hapo uongo tu anachafua madhabahu. Huyu ni devil worshiper ni ajenti wa kuvuruga na kuvunja ndoa makanisani . Yesu alituachia injili ya mapatano. Wewe Mama mwenye Kanisa hilo umechafua madhabahu ya Bwana.Umeharibu ndoa za washirika wako !!! Subiri divorce nyingi baada ya miaka 5 nakuambia . Umebomoa badala ya kujenga. Hapo amefuatana na Manager wake ni mwislamu uchafu mtupu .Nuru na giza wapi.na wapi !!!!!
@luganomunuwavanu9369
Ай бұрын
@@Usizoeedhambi ndungu umeandika kwa uchungu sana... Unaonekana unajua mengi kuhusu huyu mwanamke
@PAULINEWANJIKU-pwm
13 сағат бұрын
@@Usizoeedhambi😢duh
christine ,kumbuka yakwamba Ndoa ilianzishwa na Mungu na kwa mpango wa Mungu , Talaka Haikuemo. Soma maandiko vizuri .Nithambi ilileta Mutengano Kati ya Mungu na muana damu ,Vilevile katika ndoa usipo elewa kusudi la Mungu ndaani ya maisha yako na Mungu Utatenda Mapenzi ya shetani .kumbuka Mungu anachukia Talaka haswa zaidi kwa Watumishi wake vilevile Kanisa linaanzia Nyumbani Likiekea kwa Mathabau .christin nina suali kwako utajitetea Aje mbele Ya kiti cha enzi Mbinguni? kwa wanadamu ni raisi Jee, Na kwa MUNGU?
@janesuma-is4wc
27 күн бұрын
Wewe ndio usome mandiko vizuri mmekua watu wa kutafsiri bible vibaya na kwa hisia zenu Acha kuhukumu wewe
I can relate hii story na ile ya laban na Jacob.. Jacob alienda kwa laban akiwa na baraka zake kila kilchoendelea ikiwemo mifugo mingi kuzaliwa pale ilikua sababu ya Jacob mwenyewe I can relate hii story na shush huyu mwanamke alikua tayari ameshabarikiwa na Mungu huyo mume wake ilikua ni njia tu Mungu allifanya ili kudhihirisha kilichokua ndani ya shush..
Hail to Shusho our very own our talented and beautiful singer of all time She is talented beautiful hard worker and more she is amazing We love you Tina
Mshukuru mme wKo alikuoa na kukupa watoto, asingekuwa yeye saa nyingine usingefika hapo kiburi cha pesa
May God go ahead of you
Thank you...of God lives I will.live. If God is able I will succeed
Ushuhuda mzuri wa maumivu na kujifunza jinsi Ukimpenda MUNGUA hakuachi, ila pia awasamehe wote Kama Yusufu aliuzwa nao hawakujua atakua Nani lkn aliwasamehe na kuwa nao pamoja so nawe familia tayari Ni sehemu yako Tina love them support them be with them to make the difference that GOD is LOVE
Waaah! I didn't know this awesome woman of God knows very fluent English and that she can be that bold and assertive in a cloud. Christina, sorry for what befall you I your earlier days of your marriage. When we keep advising you to stick to your marriage, kumbe there is disheartening story behind your life journey. It is well Christina. If you were in Kenya utaolewa na ukae maisha safi sana. Tunakupenda sana Kenya vile dunia yote inakutambua. I love you much you child of God. Keep it up.
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Acha kumwinua alishapotea
@marykyley836
Жыл бұрын
She is a professor in maths. God's grace is sufficient
@balancedviewpoint7418
Жыл бұрын
@@marykyley836 a professor in maths? From which university please?
Hongera sana Christina Mungu huyu akulinde sana change usiyumbishwe na maneno maovu ya mitandaoni
Nasikitika kama uliachana na mume wako dah mimi nyimbo zako za mwanzo ndo nilizipenda but za sasa dah.
@maneno_kairuki
2 ай бұрын
Hata mimi nyimbo za nyuma. Ni kawaida ya wanawake wakifanikiwa lazima awe na kiburi
@James-od8gf
2 ай бұрын
Mke wangu angekiwa anaabudu kwako hapo ningempga stop haraka sana mana Mchungaji gani kamuacha mumewe?
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Ndo anaaribu wanawake wengne
you are beautifull and fighter. God bless u
Much love to you sister Christine may God bless you ❣️
Mungu nifundishe kunyamaza maana sielewi
@elizag.edmond7637
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@heriethsamwel7190
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jeanmusamba8448
2 ай бұрын
hahahaha kina christina wengi huwa wako hivyo sijui kwa nini nimeona more than 4 christina wanaacha waume zao,labdaa maana ya christina na mwanamke kumuacha mumewe
@user-nb2jw4km6f
2 ай бұрын
Hata mimi sielewi kwakweli sijui ni comfidence yakupitiliza au nini?
@lilianurio9781
2 ай бұрын
Me too
Sasa naelewa kumbe mume ndiye alimuacha nakumrudisha Kwao kijijini kwa wazazi wake na watoto wakagawanwa. Sasa lawama ziko kwake kivipi tena
God bless you Mama. Someone is encouraged Mama
Roho ya kuhatibu ndoa za watu unayotumika nayo,iangamie Kwa Kina la Yesu!Christina wewe ni mwongo mkubwa!
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
Kabsaaa saah uy mathee anatumika na nguvu za giza ndp mana unaona wote.walioachana na mabwana zao wamefungua church ili waendlee kuaribu akil za wanawake wengne wasitii waume zao wakimbie kwa ndoa zao
Aminaa Barikiwa
Chukizo la uharibifu limesimama mahali pasipopasa. Huna huduma yoyote, umeitwa kwenye umalaya sio huduma kwenda huko.
The pain was to take u to another level mti mwema hupurwa mawe lakini pesa zikakupa kiburi ukamsahau Mungu wako. Tubu Christina umrudie Mungu.
Asha kusema Jina La Mungu na Wewe ni muwasi mukubwa Wewe. Gisi Congo tulikuwa na nakupenda ivi zero kabisa akuna u christu ndani yako Wewe dada
@ireneansima4930
2 ай бұрын
Weye mutakatifu ukuwe nahita
Pole sana dada. Mungu aendelee kukutetea zaid dhidi ya maadui zako. Binadamu huwez waziba midomo. Only God knows.
Congratulations Cristina for realizing your dream.i love you so much.
I love you dear. You're my role model...hope to meet you one day. May God protect you and preserve you for His own Glory
Waah your testimony imenivunja moyo😢,,,tena umeni encourage in this journey of life
@leonardyona1462
2 ай бұрын
Acha kuwa encouraged kwa upumbavu..
@ireneansima4930
2 ай бұрын
Amen abuse man will come to blame her
Huyu Christina anaongea pumba kwaiyo kiingereza ndio kinapanda zaii ya kiswahili? Wewe Huna ukristo hata kidogo Acha kuwalisha pumba warundi uanwapotezea muda Huna ushuhuda
i fallow you very well,may God bless you when ever you will stay working for him!
Am more than blessed , more grace Christina
Christina God is faithful & you're a seed of God
Mpuuzi sana .. ndoa za zamani wanaume na wanawake walikua na upendo...walikua wanaishi na ndugu zao ukiolewa ukakuta familia ina maisha yao uliyoyakuta usuwabadulishe wawe unavyotaka ww,labda kama unawasaidia kukua kiuchumi kuwapekeka shule na kazi au biashara lkn sio nature ya maisha yao...huyu anatafuta kujitetea lkn hakuna kitu...mpuuzi
@neemamasala7167
2 ай бұрын
Ulikuepo hyo zamanii😢
@angelinamwakilufi8881
2 ай бұрын
In first place ndoa haikuwa, na upendo, ila ni convenience ya wazazi eti asijeakaharibikia nyumban😢 wanaume kasiriken mtukaneni ila wanawqke wasiku hizi are not fools ukizingua tunasepaaa!
Kwa Mara ya kwanza kabisa,nimeiskia kwa ufupi ushuhuda wa ma Christina, nimekupenda zaidi
She is a good actress,is she the first one to shine in east Africa.You are behaving like a juvenile.
@Kakwasi
2 ай бұрын
I love her whatever
Your story is qn eye opener ....
I will be your Prayer Partner always.
Congratration shusho, indeed you re our influencer.
It's time to be on Top Tina.....
Congrats my mentor I love you so much❤
Wote wanaomsema vibaya Christina mmamwonea wivu,na alivyo mzuri kwa sabb hakuna andiko linalomruhusu mtu kumtukana mwenzie,eti unasahau dhambi zako nyingi kuliko za shusho.
@MariamOfficial-ve1yt
Ай бұрын
We unatetea kitugan hap
Wa, reading the comments, you will understand how she was so suppressed growing up as a woman. Her own people are condemning her like she gave their story. It's her story. She knows it best. If it builds people and it's not offensive in any way, why not give it? Much love Christina.❤
@viwangovingine8771
2 ай бұрын
When you tell the wrong story against God, God Will defend Himself
@terryconstance3515
2 ай бұрын
@@viwangovingine8771 you sound like such a know-it-all. I'll let you do you. Great day ahead.
Shusho mungu anakuona ulianza kwa roho na unamaliza na mwiili😢😢😢😢😢 you need God deliverance
Mambo ya Mungu ni fumbo kabisa na mambo ya ndoa ni Siri kubwa
@user-gu9hh6ys6c
Ай бұрын
Mungu atabaki kuwa ni Mungu tu!
Duniani huwezi kupata vyote, shukuru hata kwa mema uliyopata
Powerful testmony my sister christina shusho God bless you
@user-fe6gj1hg9r
Ай бұрын
Shout out you FEMINIST 😊😊😊
No where she appreciates the support from his husband. Wanawake Bwana😢
@clausemsemwa297
2 ай бұрын
Women!
@YasintaMpanduji
2 ай бұрын
Wakati anamsapoti ulikuwepo?, binadamu Bhana kazi mnayo
@odilomwemeziernest646
2 ай бұрын
@@YasintaMpanduji yeye mwenyewe alishuhudia jinsi kipawa chake kilivoinuka,na kujulikana.
@YasintaMpanduji
2 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 ni kweli, yeye ndyo shahidi, Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawapewi support na wenza wao, wanaume Kwa wanawake
@sautikuu212
2 ай бұрын
Mbinafsi sana, huu ushuhuda una mapungufu mengi na makubwa sana.
Translator nikama monica wa masanja
Hana shukurani huyu.Muilizeni MBC Hot Media ( Mr Forgen ) awaambie jinsi mume wake alivyomsaidia . GOSPEL is the good news of reconciliation not damaging like this. Mumewe amemsomesha hata hako ka Kingereza ni kazi ya mume wake !!!!
@edsonnelson4464
2 ай бұрын
Ndiyo shukrani za wanawake, amesahau yote
@mgswahili3993
2 ай бұрын
What is your whatsapp number nataka kushare kitu na wewe. Imenigusa hii text yako.
@sautikuu212
2 ай бұрын
@@edsonnelson4464 washenzi sana hawa viumbe
@AnneHarold
2 ай бұрын
@@sautikuu212jamani sio wooteeee sema baadhi ya wanawake
@user-cu6tp2bh7b
2 ай бұрын
Msomeshe kiingereza akitumie kukutukana😂😂
My gal my story. if you made it I will make it
Nakuelewa acha wakupige vita ambaye hajapitia Hajui
Lots of ❤,🇰🇪
poweful testmony maaam
😅daaa haya mambo mazito ,pole dada Christina tuko pamoja imba Sana
Guys for those who are judging this woman of God, remember your words are the greator of your world and you don,t know your tomorrow's jouney
We have seen many jumping into gospel reem but soon they mixup them themselves off the go and forgotten for ever, 19 years old ni umri halali usilaumu
@faustinerukiko2933
2 ай бұрын
Unaruhusiwa kabisa na serikali yetu
@faustinerukiko2933
2 ай бұрын
Story ya upande mmoja.....anajikanyagakanyaga tu naona
@sambutilacurtainbedroomsol7431
Ай бұрын
Wenzie at that age tulikuwa tunafanya kazi serikalini na kulea wadogo zangu,Sasa yeye anasemaje alikuwa aliolewa akiwa mdogo?mtoto kwa Tz ni 17 yrs to 0
Yote uliyoyasema hujatoa hoja mwafaka kwa nini ikaikimbia ndoa. Kado na kumdhalilisha mmeo na familia yake. Hukuteswa, sio adultery... kazi ya nyumba kila mwanamke hufanya. Kwangu naona ni fame na pesa zilikukausha shingo. God is nor author of confusion but of love and unity in Christ Jesus hivyo usisingizie wito ndio ukakutoa kwako. Hujaweka mfano mwema kwa wakristo.
Roho wa Mungu,atusaidie
tamaa ikochikua mimba uzaa dhambi dhambi lkikomaa uzaa mauti
I love her sence of humour but the bible says we should submit ourselves to our husbands. Mungu tupe macho tuone sawa sawa. The enemy only cares of winning her soul. Mungu amrudishe kwa ndoa yake she has been a good servant of God.
"UKINIPIGA NGUMI NAMI NAKUPIGA NGUMI" SIKUTEGEMEA MANENO HAYA KWA MWANAMKE AMBAYE NI MCHUNGAJI PIA. DADA ZETU WAIMBAJI WANA CHANGAMOTO SANA KWENYE NDOA/MAHUSIANO YAO. SHUSHO INABIDI AWE ANACHAGUA MANENO YA KUONGEA HADHARANI, ANAVYOONGEA ANAHARIBU KULIKO KUJENGA.
Majaribu ni mtaji, acha kulia Mwanamke unayepitia majaribu simama mtazame yesu anakusaidi.
@lilianjosephat9151
Жыл бұрын
Amen
Vizuri sana Mungu ni mkubwa sana Christina songa mbele watu wasikutishe
Mungu aendeleee kukutunza mtumishi.Jambo ambalo wengi hawawezi kuelewa ni ugumu wa kuishi kwenye ndoa ambayo wewe hukuwa na mapenzi kabisa,nakuombea heri Mungu akukumbuke uwe kwenye furaha yako.
Mmh Tinna ...
Waimbaji wanawake wanakiburi kizito sana mungu atusaidie kwasasa hudada anajiona nikeki sana kwasasa. Angalia waimbaji wengi wanawake hawapo kwenye ndoa na wanajiona wapo sahihi kiburi cha uzima kimewajaa kiburi cha fedha kimewajaa.
Poleni mliomkaribisha Shusho mmeua waumini
@annamosha968
Жыл бұрын
Pole na wewe kwa wivu
@evelynmumia5246
Жыл бұрын
@@annamosha968 kabisa,Kwa Nini wengine wanaudhika na anaongelelea maisha yake? Ongea dada
@victorianchimbi8640
2 ай бұрын
Humjui Christina wa mwanzo aliyeanza kuimba nyimbo za Mungu kwa utukufu mkubwa si huyu wa sasa anayeandaa na matamasha na wasanii wa Bongo flavour , huyu alishaingia mikataba na aliambiwa sharti la kwanza amuache mume wake.
@user-gk8gz8qi1n
2 ай бұрын
Kampeni ya ibilisi kuwauwa watu wachanga kiroho wasimtafute yesu kwa bidii,..tuko siku za mwisho.
@user-tt7cu2et1x
Ай бұрын
😢😢kabsaaa anazid kuaribu wengi
Asiye na dhambi kati yenu hebu awe wa kwanza kumtupia jiwe,mambo ya ndoa ni siri ya watu wawili na Mungu wao ,hayawahusu kaeni mbali na kuhukumu kwa maana wengine wenu hapo mnaohikumu ni waongo,wezi,walevi,mnachepuka,hamhudumii familia zenu,mmetelekeza watoto wenu,mnatesa wake na waume zenu bila kusahau watoto wenu,wengine wasengenyaji,wengine mnawivu,mnakiburi,wengine mnamajivunooo,wengine hata kusaidia wenye uhitaji hamsaidii ,na nyie mko hapa mnahukumu wenzenu eti wakristo, Mjipime vizuri ndipo mweze kutoa kibanzi katika jicho la wenzeny Mjitafakali vizuri
Umenitia moyo hapa at least " I think I can do it , I'm going to change my life"
I cant judge you christina marrying young is one of the biggest mistake a girl can do to herself ,many things goes wrong But thanks God He never forsakes us
@faustinerukiko2933
2 ай бұрын
Watu walikuwa wanaolewa na 14...unasema 19?
Ameeen
Amen
😢😢😢😢😢😢wow!!such a testimony
Naona negative comments but ukimskiza vizuri only women can relate. Being married when still naive is not good, there's always an aftermath... being in an extended family is even more pathetic. You can be bullied indirectly... only the victim will feel it... NOT THE SOCIETY!
@MessiJosph-yw9gc
2 ай бұрын
Shenzi
@lovedavie9621
2 ай бұрын
@@MessiJosph-yw9gc😂😂
@crismtete8837
2 ай бұрын
A smart woman talking about her husband! No way, she's not smart. Is selling groundnuts a taboo?
@releiabby6201
2 ай бұрын
@@MessiJosph-yw9gc hope you are referring to yourself. So pathetic
mkarimali hongera Sana nimependa