CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA

CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA

Пікірлер: 505

  • @jekelasimoni8950
    @jekelasimoni89502 ай бұрын

    Iko njia ionekanayo njema machon pa watu but ni njia za mauti!!! Mungu tusaidie

  • @lydiawasai9439

    @lydiawasai9439

    Ай бұрын

    Her very own words

  • @carrennyangwara5541
    @carrennyangwara5541Ай бұрын

    Christina Shusho..you're a blessing..keep praising God...the eagle doesn't do it's fights on the ground,but high above,where the enemy won't be able to continue fighting,but will definitely give up and the eagle soars higher..the Lord bless your ministry.

  • @MercyKangethe-fz7zo
    @MercyKangethe-fz7zoАй бұрын

    This was a most informative message. Christina has brought in a clearer angle of where she is coming from and where she is headed to. She is a woman of God with a clear vision and nothing will stop her. I admire her eloquence and great sense of duty. May God bless you Christina, and may he give you all the comfort and favour you may require to carry on with the Lord's mission. Lots of ❤️ from 🇰🇪.

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd2 ай бұрын

    Pengine angeolewa baada ya miaka 19 aliyoitaka asingefikia hali ya sasa kwa kuwa aliiniliwa na kupata mafanikio akiwa na John Shusho

  • @vunabandijosney8017
    @vunabandijosney80172 ай бұрын

    shusho umeshiba...mutu akishashiba anajiona leo jana yake anaisahau ... so unaona hustahili watu waliyokutengeneza kuwa wewe jinsi ulivyo leo...ebu kumbuka ulipotoka wapi !! tujifunze kushukuru

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_72 ай бұрын

    Ila ni ngumu sana kwake yeye Christina na kwa mumewe pia, kama from the very first place hapakuwahi kua na love it’s very hard….!! Let’s leave this matter to God!!🙏

  • @zaujatilongo6927

    @zaujatilongo6927

    2 ай бұрын

    Well said

  • @jesuinababili2280

    @jesuinababili2280

    2 ай бұрын

    Frankly said

  • @ezekielisack6310

    @ezekielisack6310

    2 ай бұрын

    Exactly...

  • @AngelFoodProductsTz

    @AngelFoodProductsTz

    2 ай бұрын

    Ua ver wise

  • @richardchimba3800

    @richardchimba3800

    2 ай бұрын

    Unaongopea😂wengine

  • @mikasamwel613
    @mikasamwel613Ай бұрын

    Jaman msipende kuhukumu mtu bila kujua maisha yake kwa undani zaidi kiatu alichokivaa anakijua mwenyewe amjuaye vyema ni Mungu tu na si wanadamu.

  • @basilisamsaka8469

    @basilisamsaka8469

    Ай бұрын

    Wewe ni mtu mwema

  • @user-fe6gj1hg9r

    @user-fe6gj1hg9r

    Ай бұрын

    Si kaongea vyote( mateso yote) sasa hatujui ninyi na kaongea yote!!

  • @neemachalamila590
    @neemachalamila5902 ай бұрын

    Ila ulikuwa wa kishua!!!! Hadi ice 🧊 cream ulitengeneza maana yake mlikuwa na fridge, halafu hii kjiongeza ndio usaidizi wenyewe kama mke according to bible, sio mateso , na swala la kupenda sio jukumu la mwanamke ni jukumu la mume,

  • @rhodakerubo2850
    @rhodakerubo2850Ай бұрын

    Shida hapa Christina amezungumza kizungu. Angesimulia kwa kiswahili, watanzania wangemuelewa, wasingemhukumu. Mume alishamkataa na kumrudisha kijijini kwa wazazi wake mwaka 2010. Christina akarudi Dar akaanza maisha mapya ya kumtumikia Mungu asilimia mia moja, BILA NDOA SABABU MUME AMEMKATAA! Miaka yote hiyo tangu 2010 amekaa kimya hamjui maisha yake kiundani. Leo kaamua kutoa ushuhuda jinsi Mungu amemtendea mnamuhukumu! Mungu anajua maisha yake tangu waachane, na anemuinua hiyo miaka yote. Muache mama wa watu aishi maisha yake. Christina songa mbele achana na kilele za chura!!! MUNGU MBELE!!!

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    Ай бұрын

    Ndo uwa mnasaidiana kula sadaka za hapo church yenu n yye we ndo unamjua kiundan kaaa kwa tulia kula nyama nyamza ..omba macho ya rohon ujue kaz znazoendleaa ktka ulimwengu huu.utajuwa vizur kwa nn amebadilika ashaurik aambiw .kitu ujui tulia unafkir watu wte wanaongea mbovu kma zako

  • @kabulamalima5179
    @kabulamalima51792 ай бұрын

    Huyo shusho ndo mumeo na baraka zako zilikuwa mikononi mwako. Mungu akusamehe

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi79882 ай бұрын

    Ni kweli wewe ni mtu wa kijijini pale Congo sehemu inayo hitwa Yungu ndo nyumbani kwenu. Sasa wewe Christina mbona ume hahibisha wana wake wote na wana ume wote. Pole sana Christina shetani yuko na wewe.

  • @imankasagara9492

    @imankasagara9492

    2 ай бұрын

    Unapotoka katika wingu la Mungu usikubali kuendelea katika Hali hiyo geuka Rudi hata kama kwa gharama ya aibu,aibu kwa watu si kitu Bali kurudi katika wingu la utukufu

  • @imankasagara9492

    @imankasagara9492

    2 ай бұрын

    Usitumie madhabahu kujitakasa je Leo ndio umegungua hilo au ndo unatangaza kuwa kujaolewa

  • @imankasagara9492

    @imankasagara9492

    2 ай бұрын

    Wito wa Mungu tunautazama mwisho wa safari si mwanzo

  • @basilisamsaka8469

    @basilisamsaka8469

    Ай бұрын

    Kwani wangapi wanaachana na waume zao au wake zao na bado wameokoka

  • @davidnyika4296

    @davidnyika4296

    Ай бұрын

    Mungu auponye moyo wako

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei20462 ай бұрын

    Ushuhuda ni pale unaposhinda jaribu na siyo kushindwa, hapo kwenye ndoa hajashinda, Mungu amsaidie kwa kweli, najua bado ana nafasi ya kuanza upya, tena Mungu anampenda sana maana ni waimbaji wengi wamevunja ndoa lkn yy ameshambuliwa sana lengo la Mungu ni kumkumbusha chanzo

  • @anajohn8132

    @anajohn8132

    Ай бұрын

    Ndoa yake sidhani kama alianza na Mungu ndio maana imekuwa hivyo. Kuna ndoa nyingi tu si za Mungu japo zimefungwa kanisani. Hizo ndoa huvunjika na wala wanandoa hawahukumiki sababu Mungu hakuwepo.

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 Жыл бұрын

    Christina Unajua na Kinge kipo on point Bravooooo

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja86892 ай бұрын

    Acha kumshirikisha Roho mtakatifu na ukahaba.Eti roho amekushukia utoke ktk ndoa yako.Muogope Mungu.

  • @lrutainurwa

    @lrutainurwa

    2 ай бұрын

    Siri ya mtungi aijua kata

  • @kengaswedi3989

    @kengaswedi3989

    Ай бұрын

    Usihukumu usije nawewe ukahumiwa.Yeye atabeba msalaba wake mwenyewe.

  • @lucykayombo9987
    @lucykayombo99872 ай бұрын

    Hongera dada Christna, ushuhuda mkubwa sana unatia moyo, nakufurahia nakupenda...wewe ni mtumishi Roho mtakatifu aongoze hatua zako

  • @fredyaled
    @fredyaled2 ай бұрын

    Huyu mda cmrefu..utamskia anamgombania Diamond na naye utadkia ana Mtoto wa diamond. Naongea leo ..lakin 2simsingizie Mungu hapa

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus81102 ай бұрын

    Ila ni kwanini unaongea yote hayo jamani mambo ya familia.. kama uliamua kuacha ungeacha personal

  • @pastorbakarigeraldwilondja6702
    @pastorbakarigeraldwilondja6702Ай бұрын

    MUNGU AKUHURUMIE SANA MAANA WEWE NI MWANAMKE USIOSHUKURU KBS

  • @user-ee6sz5gy4r
    @user-ee6sz5gy4r2 ай бұрын

    Mmewe alimtoa KIGOMA kibirizi hata kiswahili alikuwa hajui vzr Leo anamuita Jamaa duhh hii ndoo dunia tenda wema uende zako, Mungu anakuona

  • @JoseHaule-tx7lu

    @JoseHaule-tx7lu

    2 ай бұрын

    Ila wanawake nomaaa sana

  • @angelinamwakilufi8881

    @angelinamwakilufi8881

    2 ай бұрын

    Hata wewe kunasehemu ulitolewa na Mtu, haimaanishi umwabudu huyo mtu hata kama anakukosea!

  • @jacksontarickkitambala2204

    @jacksontarickkitambala2204

    Ай бұрын

    Fundisheni watu ukweli siyo unafiki Kwani pale ulipo olewa na miaka 19 , MUNGU hakuwa nawe?

  • @jacksontarickkitambala2204

    @jacksontarickkitambala2204

    Ай бұрын

    ​@@angelinamwakilufi8881NDOA ni NDOA

  • @treasurerussel3422

    @treasurerussel3422

    Ай бұрын

    Alafuuu ni mkimbiziii 😂😂😂😂😂😂

  • @user-xy9pk2rz8z
    @user-xy9pk2rz8zАй бұрын

    Hiki kizazi cha nyoka kwakweli kwani lazima utafute kujiosha ..mlikutana ..mmeachana endelea na maisha yako ..wanaume wasichafuliwe jamani kwa taarifa tuu hao ni wawakilishi wa Mungu ndani ya familia

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Жыл бұрын

    Kwa kweli dada Christina umekuwa na ushuhuda wa ubinafsi wa kupitiliza!

  • @sautikuu212

    @sautikuu212

    2 ай бұрын

    Yaani utadhani mume wake hana mchango wowote, ubinafsi wa kiwango cha juu mno.

  • @Kakwasi

    @Kakwasi

    2 ай бұрын

    It's her life

  • @elizabethwambua8797
    @elizabethwambua8797Ай бұрын

    Love you mommy.only woman who has such past can understand you.Gods love is with you all through.

  • @zaujatilongo6927
    @zaujatilongo69272 ай бұрын

    Mungu akifanyie lililokusudi lake tuuu! Sisi hatujui ila Mungu aonaye sirini anajua yote, Mungu asikuache hadi mwisho wa maisha yako

  • @stellagwimo3115
    @stellagwimo31152 ай бұрын

    Powerful testimony, thanks Christina for sharing you life story with us. God bless.

  • @user-fr7jj1bo7y

    @user-fr7jj1bo7y

    2 ай бұрын

    mwanamke keshakuwa na pesa sasa anamuona mumewe aliyemtoa jalalani kuwa si kitu

  • @ireneansima4930

    @ireneansima4930

    2 ай бұрын

    @@user-fr7jj1bo7y umasikini inafanya mutu kuhitika akina Nani

  • @daudimwakitalima8145

    @daudimwakitalima8145

    2 ай бұрын

    Mhhh

  • @sautiisiyosema
    @sautiisiyosema2 ай бұрын

    Nimeumia sana kumuita mmeo jamaa Mungu na akulipe kulingana na matendo yako. Kumbuka bila huyo jamaa usingekua hivyo ulivyo leo

  • @treasurerussel3422

    @treasurerussel3422

    Ай бұрын

    Mungu Ndio kataka tina awe hivyo

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    Ай бұрын

    Aiseee wanawake wa Africa wakitajirika n umaarufu n kosaa kubwa sana wallah

  • @user-cr1sj8xw9x
    @user-cr1sj8xw9xАй бұрын

    Dunia imeisha yaani watu munapiga makofi kwamba ujumbe huu umetoka kwa Mungu atupe andiko linalo muruhusu kuachana na mume wake sio mawazo yake anapotoa maelezo asimutaje Mungu hayo Ni mawazo yake ,Mungu akikuita kumutumia sijawahi kusikia kwamba iache ndoa yako Mungu akusaidie nimefuatilia Sana maneno yako unataka kuleta elimu mpya kwenye ndoa Za watu kwa mawazo yako Mungu anachukia kuachana pia alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe hayo umeyapata wapi? Tuonyeshe andiko Hilo sio maneno mengi acha kuudanganya umma ,shusho tulia kwa Bwana majibu yapo

  • @jescamushi7737
    @jescamushi77372 ай бұрын

    Kama mkenya sa hii hahhahahaaaaa ila anamaigizo huyu mama😂😂😂😂

  • @savedbygrace3230
    @savedbygrace3230Ай бұрын

    Beautifully intetpreted and blessings to Christina.

  • @consolataconsolata1250
    @consolataconsolata1250Ай бұрын

    Huyu dada kukaa kimya kumemfanya aonekane yeye ndio mbaya. Sasa kama mume alimfukuza toka 2010 Leo yeye ndio anaonekana ana kosa? Kama hujui upande wa pili wa story bora kukaa kimya. Wanaume wana tabia ya kufanya vitu halafu wanajifanya wao ndio wameomewa. Mungu ndio anajua ukweli nyie mnaomtukana hamjui ukweli wote. Wanaume wengine hawawezagi kuvumilia mafanikio ya wake zao. Wengine wanaonea wivu wake zao wakifanya vizuri. Mungu anaejua ukweli atamlipa kila mtu sawa sawa na haki yake. Kwanza huyu dada ana hekima sana kama alikaa kimya toka 2010 hakuna mtu alijua kafukuzwa nyumbani kwake..SO SAD

  • @brorichardmusingithe7th11

    @brorichardmusingithe7th11

    Ай бұрын

    wewe unaujua ukweli wote? wananchi wanaongea yale anayoyafanya hususani ndoa,Hata wewe hururhusiwi kukimbia ndoa na kujisifiakuwa uliacha ndoa ili umtumikie Mungu, Maswali mengi yako hiviii? Je yeye alilyetamka kuwa haukna wa kutenganisha na mvumilie hadi kufa ataruhusu uachane na mme ana uhubiri injili?

  • @thomaschagula3508

    @thomaschagula3508

    Ай бұрын

    Amina mtumishi. Wewe ndio umeongea la msingi sana. Mungu akubariki sana

  • @Usizoeedhambi

    @Usizoeedhambi

    Ай бұрын

    Huyu mwanamke mwongo sana. Tena adanganya akiwa madhabahuni. Alizaliwa 14 Novemba 1974 na kuolewa tar 14 Decemba 1996 akiwa na umri wa miaka 22. Na mwaka huu wa 2024 ana miaka 50. Mzee sasa. Ameolewa kwenye familia ya Kikuhani wamo wachungaji 3 na Baba yao alikuwa Askofu Mkubwa huko Kigoma.Mimi nilikuwa mshirika wake Kanisani kwake Dreamers Centre. Nasema kweli tupu na Mungu anihukumu kama nasema wongo. Niliondoka kwa sababu ya tabia zake za ovyo. Alitupa nje ya ofisi meza na vitabu na Biblia za mme wake Askofu nje ya ofisi bila sababu ya msingi Nikaondoka Kanisani hapo. Familia ya mme wake wala.hawako.9. wanaume walikuwa 4 na wa 3 walikuwa boarding. College na shule. Na alipoolewa alikuja na mdogo wake wa Kike.Vitu vingi anasema hapo uongo tu anachafua madhabahu. Huyu ni devil worshiper ni ajenti wa kuvuruga na kuvunja ndoa makanisani . Yesu alituachia injili ya mapatano. Wewe Mama mwenye Kanisa hilo umechafua madhabahu ya Bwana.Umeharibu ndoa za washirika wako !!! Subiri divorce nyingi baada ya miaka 5 nakuambia . Umebomoa badala ya kujenga. Hapo amefuatana na Manager wake ni mwislamu uchafu mtupu .Nuru na giza wapi.na wapi !!!!!

  • @luganomunuwavanu9369

    @luganomunuwavanu9369

    Ай бұрын

    ​@@Usizoeedhambi ndungu umeandika kwa uchungu sana... Unaonekana unajua mengi kuhusu huyu mwanamke

  • @PAULINEWANJIKU-pwm

    @PAULINEWANJIKU-pwm

    13 сағат бұрын

    ​@@Usizoeedhambi😢duh

  • @ElphasNabule-uj1zi
    @ElphasNabule-uj1zi2 ай бұрын

    christine ,kumbuka yakwamba Ndoa ilianzishwa na Mungu na kwa mpango wa Mungu , Talaka Haikuemo. Soma maandiko vizuri .Nithambi ilileta Mutengano Kati ya Mungu na muana damu ,Vilevile katika ndoa usipo elewa kusudi la Mungu ndaani ya maisha yako na Mungu Utatenda Mapenzi ya shetani .kumbuka Mungu anachukia Talaka haswa zaidi kwa Watumishi wake vilevile Kanisa linaanzia Nyumbani Likiekea kwa Mathabau .christin nina suali kwako utajitetea Aje mbele Ya kiti cha enzi Mbinguni? kwa wanadamu ni raisi Jee, Na kwa MUNGU?

  • @janesuma-is4wc

    @janesuma-is4wc

    27 күн бұрын

    Wewe ndio usome mandiko vizuri mmekua watu wa kutafsiri bible vibaya na kwa hisia zenu Acha kuhukumu wewe

  • @mynambwambo2072
    @mynambwambo20722 ай бұрын

    I can relate hii story na ile ya laban na Jacob.. Jacob alienda kwa laban akiwa na baraka zake kila kilchoendelea ikiwemo mifugo mingi kuzaliwa pale ilikua sababu ya Jacob mwenyewe I can relate hii story na shush huyu mwanamke alikua tayari ameshabarikiwa na Mungu huyo mume wake ilikua ni njia tu Mungu allifanya ili kudhihirisha kilichokua ndani ya shush..

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 Жыл бұрын

    Hail to Shusho our very own our talented and beautiful singer of all time She is talented beautiful hard worker and more she is amazing We love you Tina

  • @sweetberthawilliam6587
    @sweetberthawilliam65872 ай бұрын

    Mshukuru mme wKo alikuoa na kukupa watoto, asingekuwa yeye saa nyingine usingefika hapo kiburi cha pesa

  • @TeresiaMundia-dz8ye
    @TeresiaMundia-dz8ye2 ай бұрын

    May God go ahead of you

  • @janewasilwa8813
    @janewasilwa88132 ай бұрын

    Thank you...of God lives I will.live. If God is able I will succeed

  • @felixmsengi1084
    @felixmsengi10842 ай бұрын

    Ushuhuda mzuri wa maumivu na kujifunza jinsi Ukimpenda MUNGUA hakuachi, ila pia awasamehe wote Kama Yusufu aliuzwa nao hawakujua atakua Nani lkn aliwasamehe na kuwa nao pamoja so nawe familia tayari Ni sehemu yako Tina love them support them be with them to make the difference that GOD is LOVE

  • @balancedviewpoint7418
    @balancedviewpoint7418 Жыл бұрын

    Waaah! I didn't know this awesome woman of God knows very fluent English and that she can be that bold and assertive in a cloud. Christina, sorry for what befall you I your earlier days of your marriage. When we keep advising you to stick to your marriage, kumbe there is disheartening story behind your life journey. It is well Christina. If you were in Kenya utaolewa na ukae maisha safi sana. Tunakupenda sana Kenya vile dunia yote inakutambua. I love you much you child of God. Keep it up.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Acha kumwinua alishapotea

  • @marykyley836

    @marykyley836

    Жыл бұрын

    She is a professor in maths. God's grace is sufficient

  • @balancedviewpoint7418

    @balancedviewpoint7418

    Жыл бұрын

    @@marykyley836 a professor in maths? From which university please?

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3uАй бұрын

    Hongera sana Christina Mungu huyu akulinde sana change usiyumbishwe na maneno maovu ya mitandaoni

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 Жыл бұрын

    Nasikitika kama uliachana na mume wako dah mimi nyimbo zako za mwanzo ndo nilizipenda but za sasa dah.

  • @maneno_kairuki

    @maneno_kairuki

    2 ай бұрын

    Hata mimi nyimbo za nyuma. Ni kawaida ya wanawake wakifanikiwa lazima awe na kiburi

  • @James-od8gf

    @James-od8gf

    2 ай бұрын

    Mke wangu angekiwa anaabudu kwako hapo ningempga stop haraka sana mana Mchungaji gani kamuacha mumewe?

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    Ай бұрын

    Ndo anaaribu wanawake wengne

  • @nyapetegath409
    @nyapetegath409 Жыл бұрын

    you are beautifull and fighter. God bless u

  • @fadhilichristine7734
    @fadhilichristine7734 Жыл бұрын

    Much love to you sister Christine may God bless you ❣️

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi72822 ай бұрын

    Mungu nifundishe kunyamaza maana sielewi

  • @elizag.edmond7637

    @elizag.edmond7637

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @heriethsamwel7190

    @heriethsamwel7190

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jeanmusamba8448

    @jeanmusamba8448

    2 ай бұрын

    hahahaha kina christina wengi huwa wako hivyo sijui kwa nini nimeona more than 4 christina wanaacha waume zao,labdaa maana ya christina na mwanamke kumuacha mumewe

  • @user-nb2jw4km6f

    @user-nb2jw4km6f

    2 ай бұрын

    Hata mimi sielewi kwakweli sijui ni comfidence yakupitiliza au nini?

  • @lilianurio9781

    @lilianurio9781

    2 ай бұрын

    Me too

  • @anajohn8132
    @anajohn8132Ай бұрын

    Sasa naelewa kumbe mume ndiye alimuacha nakumrudisha Kwao kijijini kwa wazazi wake na watoto wakagawanwa. Sasa lawama ziko kwake kivipi tena

  • @janewasilwa8813
    @janewasilwa88132 ай бұрын

    God bless you Mama. Someone is encouraged Mama

  • @ATHANASLUKEHA-ui7pq
    @ATHANASLUKEHA-ui7pq2 ай бұрын

    Roho ya kuhatibu ndoa za watu unayotumika nayo,iangamie Kwa Kina la Yesu!Christina wewe ni mwongo mkubwa!

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    Ай бұрын

    Kabsaaa saah uy mathee anatumika na nguvu za giza ndp mana unaona wote.walioachana na mabwana zao wamefungua church ili waendlee kuaribu akil za wanawake wengne wasitii waume zao wakimbie kwa ndoa zao

  • @BahatiSunga-yk9qf
    @BahatiSunga-yk9qf2 ай бұрын

    Aminaa Barikiwa

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael54702 ай бұрын

    Chukizo la uharibifu limesimama mahali pasipopasa. Huna huduma yoyote, umeitwa kwenye umalaya sio huduma kwenda huko.

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439Ай бұрын

    The pain was to take u to another level mti mwema hupurwa mawe lakini pesa zikakupa kiburi ukamsahau Mungu wako. Tubu Christina umrudie Mungu.

  • @user-lm3gd8pw7z
    @user-lm3gd8pw7z2 ай бұрын

    Asha kusema Jina La Mungu na Wewe ni muwasi mukubwa Wewe. Gisi Congo tulikuwa na nakupenda ivi zero kabisa akuna u christu ndani yako Wewe dada

  • @ireneansima4930

    @ireneansima4930

    2 ай бұрын

    Weye mutakatifu ukuwe nahita

  • @eliwazamakala3897
    @eliwazamakala3897Ай бұрын

    Pole sana dada. Mungu aendelee kukutetea zaid dhidi ya maadui zako. Binadamu huwez waziba midomo. Only God knows.

  • @josephineusui1114
    @josephineusui1114 Жыл бұрын

    Congratulations Cristina for realizing your dream.i love you so much.

  • @salomeshadrack8245
    @salomeshadrack8245 Жыл бұрын

    I love you dear. You're my role model...hope to meet you one day. May God protect you and preserve you for His own Glory

  • @phoebyadema6675
    @phoebyadema6675 Жыл бұрын

    Waah your testimony imenivunja moyo😢,,,tena umeni encourage in this journey of life

  • @leonardyona1462

    @leonardyona1462

    2 ай бұрын

    Acha kuwa encouraged kwa upumbavu..

  • @ireneansima4930

    @ireneansima4930

    2 ай бұрын

    Amen abuse man will come to blame her

  • @BanjoMrisho
    @BanjoMrisho2 ай бұрын

    Huyu Christina anaongea pumba kwaiyo kiingereza ndio kinapanda zaii ya kiswahili? Wewe Huna ukristo hata kidogo Acha kuwalisha pumba warundi uanwapotezea muda Huna ushuhuda

  • @peterbarakabugera974
    @peterbarakabugera974 Жыл бұрын

    i fallow you very well,may God bless you when ever you will stay working for him!

  • @leakeyochieng9629
    @leakeyochieng9629 Жыл бұрын

    Am more than blessed , more grace Christina

  • @florencenzyuko2121
    @florencenzyuko2121Ай бұрын

    Christina God is faithful & you're a seed of God

  • @timemwamasage4058
    @timemwamasage40582 ай бұрын

    Mpuuzi sana .. ndoa za zamani wanaume na wanawake walikua na upendo...walikua wanaishi na ndugu zao ukiolewa ukakuta familia ina maisha yao uliyoyakuta usuwabadulishe wawe unavyotaka ww,labda kama unawasaidia kukua kiuchumi kuwapekeka shule na kazi au biashara lkn sio nature ya maisha yao...huyu anatafuta kujitetea lkn hakuna kitu...mpuuzi

  • @neemamasala7167

    @neemamasala7167

    2 ай бұрын

    Ulikuepo hyo zamanii😢

  • @angelinamwakilufi8881

    @angelinamwakilufi8881

    2 ай бұрын

    In first place ndoa haikuwa, na upendo, ila ni convenience ya wazazi eti asijeakaharibikia nyumban😢 wanaume kasiriken mtukaneni ila wanawqke wasiku hizi are not fools ukizingua tunasepaaa!

  • @marlenekhakoni1404
    @marlenekhakoni1404 Жыл бұрын

    Kwa Mara ya kwanza kabisa,nimeiskia kwa ufupi ushuhuda wa ma Christina, nimekupenda zaidi

  • @pamelaayieta6071
    @pamelaayieta60712 ай бұрын

    She is a good actress,is she the first one to shine in east Africa.You are behaving like a juvenile.

  • @Kakwasi

    @Kakwasi

    2 ай бұрын

    I love her whatever

  • @lucynjengachef709
    @lucynjengachef709Ай бұрын

    Your story is qn eye opener ....

  • @doulosjohngamba8985
    @doulosjohngamba8985 Жыл бұрын

    I will be your Prayer Partner always.

  • @elimidakashumba2422
    @elimidakashumba2422 Жыл бұрын

    Congratration shusho, indeed you re our influencer.

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743Ай бұрын

    It's time to be on Top Tina.....

  • @phoebyadema6675
    @phoebyadema6675 Жыл бұрын

    Congrats my mentor I love you so much❤

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469Ай бұрын

    Wote wanaomsema vibaya Christina mmamwonea wivu,na alivyo mzuri kwa sabb hakuna andiko linalomruhusu mtu kumtukana mwenzie,eti unasahau dhambi zako nyingi kuliko za shusho.

  • @MariamOfficial-ve1yt

    @MariamOfficial-ve1yt

    Ай бұрын

    We unatetea kitugan hap

  • @terryconstance3515
    @terryconstance3515 Жыл бұрын

    Wa, reading the comments, you will understand how she was so suppressed growing up as a woman. Her own people are condemning her like she gave their story. It's her story. She knows it best. If it builds people and it's not offensive in any way, why not give it? Much love Christina.❤

  • @viwangovingine8771

    @viwangovingine8771

    2 ай бұрын

    When you tell the wrong story against God, God Will defend Himself

  • @terryconstance3515

    @terryconstance3515

    2 ай бұрын

    ​@@viwangovingine8771 you sound like such a know-it-all. I'll let you do you. Great day ahead.

  • @rahabnjeri510
    @rahabnjeri510Ай бұрын

    Shusho mungu anakuona ulianza kwa roho na unamaliza na mwiili😢😢😢😢😢 you need God deliverance

  • @12345678938129
    @123456789381292 ай бұрын

    Mambo ya Mungu ni fumbo kabisa na mambo ya ndoa ni Siri kubwa

  • @user-gu9hh6ys6c

    @user-gu9hh6ys6c

    Ай бұрын

    Mungu atabaki kuwa ni Mungu tu!

  • @nesielias9493
    @nesielias94932 ай бұрын

    Duniani huwezi kupata vyote, shukuru hata kwa mema uliyopata

  • @RebeccaGeorge-qu9kc
    @RebeccaGeorge-qu9kc2 ай бұрын

    Powerful testmony my sister christina shusho God bless you

  • @user-fe6gj1hg9r

    @user-fe6gj1hg9r

    Ай бұрын

    Shout out you FEMINIST 😊😊😊

  • @maneno_kairuki
    @maneno_kairuki2 ай бұрын

    No where she appreciates the support from his husband. Wanawake Bwana😢

  • @clausemsemwa297

    @clausemsemwa297

    2 ай бұрын

    Women!

  • @YasintaMpanduji

    @YasintaMpanduji

    2 ай бұрын

    Wakati anamsapoti ulikuwepo?, binadamu Bhana kazi mnayo

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    @@YasintaMpanduji yeye mwenyewe alishuhudia jinsi kipawa chake kilivoinuka,na kujulikana.

  • @YasintaMpanduji

    @YasintaMpanduji

    2 ай бұрын

    @@odilomwemeziernest646 ni kweli, yeye ndyo shahidi, Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawapewi support na wenza wao, wanaume Kwa wanawake

  • @sautikuu212

    @sautikuu212

    2 ай бұрын

    Mbinafsi sana, huu ushuhuda una mapungufu mengi na makubwa sana.

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 Жыл бұрын

    Translator nikama monica wa masanja

  • @Usizoeedhambi
    @Usizoeedhambi2 ай бұрын

    Hana shukurani huyu.Muilizeni MBC Hot Media ( Mr Forgen ) awaambie jinsi mume wake alivyomsaidia . GOSPEL is the good news of reconciliation not damaging like this. Mumewe amemsomesha hata hako ka Kingereza ni kazi ya mume wake !!!!

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    2 ай бұрын

    Ndiyo shukrani za wanawake, amesahau yote

  • @mgswahili3993

    @mgswahili3993

    2 ай бұрын

    What is your whatsapp number nataka kushare kitu na wewe. Imenigusa hii text yako.

  • @sautikuu212

    @sautikuu212

    2 ай бұрын

    @@edsonnelson4464 washenzi sana hawa viumbe

  • @AnneHarold

    @AnneHarold

    2 ай бұрын

    ​@@sautikuu212jamani sio wooteeee sema baadhi ya wanawake

  • @user-cu6tp2bh7b

    @user-cu6tp2bh7b

    2 ай бұрын

    Msomeshe kiingereza akitumie kukutukana😂😂

  • @carolinekajuju4507
    @carolinekajuju45072 ай бұрын

    My gal my story. if you made it I will make it

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg2 ай бұрын

    Nakuelewa acha wakupige vita ambaye hajapitia Hajui

  • @susannyamu2024
    @susannyamu2024Ай бұрын

    Lots of ❤,🇰🇪

  • @annapeter8526
    @annapeter8526 Жыл бұрын

    poweful testmony maaam

  • @EsterBenson-vj8vy
    @EsterBenson-vj8vyАй бұрын

    😅daaa haya mambo mazito ,pole dada Christina tuko pamoja imba Sana

  • @MercyOchango
    @MercyOchangoАй бұрын

    Guys for those who are judging this woman of God, remember your words are the greator of your world and you don,t know your tomorrow's jouney

  • @frederickmeshack3848
    @frederickmeshack38482 ай бұрын

    We have seen many jumping into gospel reem but soon they mixup them themselves off the go and forgotten for ever, 19 years old ni umri halali usilaumu

  • @faustinerukiko2933

    @faustinerukiko2933

    2 ай бұрын

    Unaruhusiwa kabisa na serikali yetu

  • @faustinerukiko2933

    @faustinerukiko2933

    2 ай бұрын

    Story ya upande mmoja.....anajikanyagakanyaga tu naona

  • @sambutilacurtainbedroomsol7431

    @sambutilacurtainbedroomsol7431

    Ай бұрын

    Wenzie at that age tulikuwa tunafanya kazi serikalini na kulea wadogo zangu,Sasa yeye anasemaje alikuwa aliolewa akiwa mdogo?mtoto kwa Tz ni 17 yrs to 0

  • @jabezjedidiah1429
    @jabezjedidiah14292 ай бұрын

    Yote uliyoyasema hujatoa hoja mwafaka kwa nini ikaikimbia ndoa. Kado na kumdhalilisha mmeo na familia yake. Hukuteswa, sio adultery... kazi ya nyumba kila mwanamke hufanya. Kwangu naona ni fame na pesa zilikukausha shingo. God is nor author of confusion but of love and unity in Christ Jesus hivyo usisingizie wito ndio ukakutoa kwako. Hujaweka mfano mwema kwa wakristo.

  • @FocusMahagara
    @FocusMahagara2 ай бұрын

    Roho wa Mungu,atusaidie

  • @florenceLema-ou4my
    @florenceLema-ou4my2 ай бұрын

    tamaa ikochikua mimba uzaa dhambi dhambi lkikomaa uzaa mauti

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439Ай бұрын

    I love her sence of humour but the bible says we should submit ourselves to our husbands. Mungu tupe macho tuone sawa sawa. The enemy only cares of winning her soul. Mungu amrudishe kwa ndoa yake she has been a good servant of God.

  • @christophermgimba5144
    @christophermgimba5144 Жыл бұрын

    "UKINIPIGA NGUMI NAMI NAKUPIGA NGUMI" SIKUTEGEMEA MANENO HAYA KWA MWANAMKE AMBAYE NI MCHUNGAJI PIA. DADA ZETU WAIMBAJI WANA CHANGAMOTO SANA KWENYE NDOA/MAHUSIANO YAO. SHUSHO INABIDI AWE ANACHAGUA MANENO YA KUONGEA HADHARANI, ANAVYOONGEA ANAHARIBU KULIKO KUJENGA.

  • @gracekapisha838
    @gracekapisha838 Жыл бұрын

    Majaribu ni mtaji, acha kulia Mwanamke unayepitia majaribu simama mtazame yesu anakusaidi.

  • @lilianjosephat9151

    @lilianjosephat9151

    Жыл бұрын

    Amen

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3uАй бұрын

    Vizuri sana Mungu ni mkubwa sana Christina songa mbele watu wasikutishe

  • @japhetstanley4302
    @japhetstanley43022 ай бұрын

    Mungu aendeleee kukutunza mtumishi.Jambo ambalo wengi hawawezi kuelewa ni ugumu wa kuishi kwenye ndoa ambayo wewe hukuwa na mapenzi kabisa,nakuombea heri Mungu akukumbuke uwe kwenye furaha yako.

  • @epifaniakavishe9282
    @epifaniakavishe92822 ай бұрын

    Mmh Tinna ...

  • @user-uq3cp6cc3d
    @user-uq3cp6cc3d2 ай бұрын

    Waimbaji wanawake wanakiburi kizito sana mungu atusaidie kwasasa hudada anajiona nikeki sana kwasasa. Angalia waimbaji wengi wanawake hawapo kwenye ndoa na wanajiona wapo sahihi kiburi cha uzima kimewajaa kiburi cha fedha kimewajaa.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Жыл бұрын

    Poleni mliomkaribisha Shusho mmeua waumini

  • @annamosha968

    @annamosha968

    Жыл бұрын

    Pole na wewe kwa wivu

  • @evelynmumia5246

    @evelynmumia5246

    Жыл бұрын

    ​@@annamosha968 kabisa,Kwa Nini wengine wanaudhika na anaongelelea maisha yake? Ongea dada

  • @victorianchimbi8640

    @victorianchimbi8640

    2 ай бұрын

    Humjui Christina wa mwanzo aliyeanza kuimba nyimbo za Mungu kwa utukufu mkubwa si huyu wa sasa anayeandaa na matamasha na wasanii wa Bongo flavour , huyu alishaingia mikataba na aliambiwa sharti la kwanza amuache mume wake.

  • @user-gk8gz8qi1n

    @user-gk8gz8qi1n

    2 ай бұрын

    Kampeni ya ibilisi kuwauwa watu wachanga kiroho wasimtafute yesu kwa bidii,..tuko siku za mwisho.

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    Ай бұрын

    😢😢kabsaaa anazid kuaribu wengi

  • @blessingcharles-lc1rr
    @blessingcharles-lc1rr2 ай бұрын

    Asiye na dhambi kati yenu hebu awe wa kwanza kumtupia jiwe,mambo ya ndoa ni siri ya watu wawili na Mungu wao ,hayawahusu kaeni mbali na kuhukumu kwa maana wengine wenu hapo mnaohikumu ni waongo,wezi,walevi,mnachepuka,hamhudumii familia zenu,mmetelekeza watoto wenu,mnatesa wake na waume zenu bila kusahau watoto wenu,wengine wasengenyaji,wengine mnawivu,mnakiburi,wengine mnamajivunooo,wengine hata kusaidia wenye uhitaji hamsaidii ,na nyie mko hapa mnahukumu wenzenu eti wakristo, Mjipime vizuri ndipo mweze kutoa kibanzi katika jicho la wenzeny Mjitafakali vizuri

  • @anastaziasamson593
    @anastaziasamson593Ай бұрын

    Umenitia moyo hapa at least " I think I can do it , I'm going to change my life"

  • @nancywanjiku2557
    @nancywanjiku25572 ай бұрын

    I cant judge you christina marrying young is one of the biggest mistake a girl can do to herself ,many things goes wrong But thanks God He never forsakes us

  • @faustinerukiko2933

    @faustinerukiko2933

    2 ай бұрын

    Watu walikuwa wanaolewa na 14...unasema 19?

  • @joycenaftal-cr2er
    @joycenaftal-cr2er Жыл бұрын

    Ameeen

  • @merrybahati9882
    @merrybahati9882 Жыл бұрын

    Amen

  • @VeronicaKamau-np2si
    @VeronicaKamau-np2si2 ай бұрын

    😢😢😢😢😢😢wow!!such a testimony

  • @releiabby6201
    @releiabby62012 ай бұрын

    Naona negative comments but ukimskiza vizuri only women can relate. Being married when still naive is not good, there's always an aftermath... being in an extended family is even more pathetic. You can be bullied indirectly... only the victim will feel it... NOT THE SOCIETY!

  • @MessiJosph-yw9gc

    @MessiJosph-yw9gc

    2 ай бұрын

    Shenzi

  • @lovedavie9621

    @lovedavie9621

    2 ай бұрын

    ​@@MessiJosph-yw9gc😂😂

  • @crismtete8837

    @crismtete8837

    2 ай бұрын

    A smart woman talking about her husband! No way, she's not smart. Is selling groundnuts a taboo?

  • @releiabby6201

    @releiabby6201

    2 ай бұрын

    @@MessiJosph-yw9gc hope you are referring to yourself. So pathetic

  • @EDETRAUDHUNGU
    @EDETRAUDHUNGU2 ай бұрын

    mkarimali hongera Sana nimependa

Келесі