MNAKATA VIUNO KANISANI,MMEPAGEUZA CHUMBANI/MCH.MOSES MAGEMBE

#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 755 450 225
+255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...

Пікірлер: 279

  • @brayanramadhan5260
    @brayanramadhan52603 жыл бұрын

    Mzeee nakuelewa sana kama unamwelewa like twende sawa duh!!!!!

  • @ezramharulo9198
    @ezramharulo91982 ай бұрын

    Yaani huyu mchungaji Mungu amlinde angekuwa askofu ingekuwa heri

  • @isayabartazary9108
    @isayabartazary91083 жыл бұрын

    Mungu alivo mzuri hutumii hata mawani Mungu akutunze baba Mchungaji

  • @Stopperkbsa
    @Stopperkbsa3 жыл бұрын

    Baba nakupenda sana, Bwana Yesu azidi kukutunza mzee unayeihubiri kweli ,,, be blessed pastor Magembe.

  • @rachelayo7203
    @rachelayo72033 жыл бұрын

    Ahsante Mungu kwa kutupatia MTU muhimu kama huyu,Mungu MPE maisha marefu zaidi

  • @josephambonisye4033
    @josephambonisye4033Ай бұрын

    Ubarikiwe mchungaji tumekosa watumishi kama wewe

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa55663 жыл бұрын

    Kumbe tupo wengi wenye kuchukizwa na matendo na stepu za ovyo,ubarikiwe

  • @onesiphoreburuma3484
    @onesiphoreburuma34843 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Mchungaji, na asaidie kanisa la leo, wachungaji kujua kuonya, kukaripa, kuongoza na kukemea.

  • @valelianonyato-gx5bq
    @valelianonyato-gx5bqАй бұрын

    Mungu akutie nguvu huo niukweli kwaya za sasa hazina tofauti na wacheza dans vilabuni

  • @amiwitu1445
    @amiwitu14453 жыл бұрын

    Kweli tupu 100%. Mungu awe nawe daima, watumishi wasema kweli kwenye makanisa ya Kikristo ni wachache na wanachukiwa balaa!! Ubarikiwe

  • @ashelyabely7854
    @ashelyabely78543 жыл бұрын

    Kiukweri mtumishi wa Mungu nabarikiwa Sana na injiri yako ya uamsho wa kanisa

  • @victormtani7170
    @victormtani71703 жыл бұрын

    Babu yangu Mchungaji Magembe Mungu akuongozee ktk kuusema ukweli ili kanisa kwaya zipone zinavuka Maadili ya ki Mungu

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko16603 жыл бұрын

    Asante Mtumishi Mkuu wa Mungu. Unahimiza Utakatifu ambao ndio unaomstahili Mungu. Ubarikiwe na Bwana kwa kuliponya Kanisa.

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda50343 жыл бұрын

    Kwaya ambaazo hazikati viuno ni za wasabato tu, lkn zingine ni shida!

  • @hamismabula5813
    @hamismabula58133 жыл бұрын

    Makanisa yamevamiwa na roho za ajabu ajabu. Bora mzee umeliona hilo, likemee!

  • @sarahwilliams4140
    @sarahwilliams41403 жыл бұрын

    Very powerful word wachungaji wa Kenya you should take this example of mchungaji Magembe

  • @japhethmbusyamwanaufufuona4646

    @japhethmbusyamwanaufufuona4646

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @moriceokah504
    @moriceokah5043 жыл бұрын

    Mchungaji nimekuelewa mtumishi wa mungu usimame imara katika utumishi wako usiludi nyuma katika utumishi wako amina.

  • @paulmbanga6993
    @paulmbanga69933 жыл бұрын

    Hakika Mungu kakuweka kwa kusudi lake. Fanya kazi kama ulivyo tumwa. Tuko pamoja kukuombea.

  • @AnethSwila-tw9mv
    @AnethSwila-tw9mv8 ай бұрын

    Wachungaji wanaosema kweli kwa Sasa niwachache sana ubarikiwe baba

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34Ай бұрын

    Wewe mzee uko sahihi 100% maana siku hizi kanisani kama disco.

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya55323 жыл бұрын

    Baba me naomba Mungu tupatikane watumishi kama wewe wanaoisema kweliii ...Nakupenda baba katika Bwana

  • @obedykimilike7629
    @obedykimilike76292 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu na afya njema baba mchungaji uendelee kutumika kwa kuisema kweli

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Жыл бұрын

    Magembe na mgogo nawakubali sana mafundisho yao siyo hao wauza upako na kubariki watu kwa pesa heti manabi yaani wizi mtupu na miuziza yao ya kishetani live kabisa bila chenga Mungu tuokoe watanzania na jinamizi hili la matapeli kwa kutumia jina la yesu

  • @HTV515
    @HTV5153 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa baba watumishi wafundishe ukweli tunatamani kuona Uwepo Wa Mungu, tunatamani tuuone uwepo kama kipindi cha kina ASAFU

  • @devotaLain
    @devotaLain2 күн бұрын

    One love pastor ♥️♥️

  • @stevenjoshua1894
    @stevenjoshua18943 жыл бұрын

    Asante Mchungaji Magembe tuko tunakuombeya Mungu akulete Bujumbura Burundi.

  • @christinabaynet2608
    @christinabaynet2608 Жыл бұрын

    Mkurugenzi wangu hongera kwa mkutano na semina nzuri kuhusu maadili kuporomoka, na hasa umeongelea habari za step za kwaya, ubarikiwe baba kurudisha maadili kanisani

  • @dorcasimmanuelmfundo4219
    @dorcasimmanuelmfundo42193 жыл бұрын

    Amen Sana,hapo kwenye Praise & Worship hapo ndio shida kwa baadhi yao

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison2893 ай бұрын

    Yaani huyu baba amenifurahisha huyu, Mungu akubariki sana. Watu hawajui kumheshimu Mungu. Michezo ambayo huchezi mbele ya baba yako mzazi kwanini ucheze mbele ya baba yetu wa mbinguni? Huwa napata shida sana. Mungu tupe uelewa.

  • @EarnestMwangombola-iv7hr
    @EarnestMwangombola-iv7hr2 ай бұрын

    Hilo la kwaya ni mojawapo ya makandokando... Kuna zinaa, ufisadi, unafiki, kupenda fedha, uchawi, vyeo vya kupeana, uchaguzi kiini macho n.k

  • @lynelee5846
    @lynelee58463 жыл бұрын

    Pewa soda ya kutoka Kenya 🇰🇪✋✋✋afu na mavazi thooo

  • @beatriceamina1337
    @beatriceamina13373 жыл бұрын

    Barikiwa sana mutu wa mungu tena ujumbe huu uwafikie dunia nzima ckuizi mlokole hajulikana niyupi na wadunia hawajulikani mauno tu kwenda mbele shindwe kwa jina la yesu nkiwa kenya

  • @mwaminisabimana6026

    @mwaminisabimana6026

    3 жыл бұрын

    Unapo tikisa kiuno sana kinateremka kikiteremukia jehenamu oopoleni

  • @phinehaskileo8226

    @phinehaskileo8226

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe. Hats wasioamini wanatushangaa!!! Maana hata wenyewe Wana mipaka yao!!!

  • @anneakinyi6987
    @anneakinyi69873 жыл бұрын

    Ukabila umezidi makanisani kenya,God have mercy.

  • @igomambeyamatukiotv6536
    @igomambeyamatukiotv65363 жыл бұрын

    Hapo ndo mtaona umuhimu wawasabato na tatizo mnafata mapokeo ikija step mpya mnayo mnacheza hadi viduku kanisani tena hadi nguo hazina utukufu

  • @expert5898

    @expert5898

    3 жыл бұрын

    Kwani wapi ilielekeza namna ya kucheza???? Kwani Mungu alisema hataki viuno??? Hayo ni Mambo ya maadili, but sio dhambi.

  • @peterremy8013
    @peterremy80133 жыл бұрын

    Magembe uko vizuri ila wewe huna kanisa, kanisa ni la mwenye kumwaga damu aliyetukomboa futa hiyo kauli

  • @lucybilly6683
    @lucybilly66833 жыл бұрын

    Asante kwa mafundisho mazuri na magumu ,asikiae na asikie

  • @binseif2216
    @binseif2216Ай бұрын

    Yesu alishakataa vinanda kanisani na nyimbo lkn vichwa maji wanafanya ya shetani

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui31383 жыл бұрын

    Mzee umenichekesha sana nmekuelewa sana you made my day hahahahahahahaha

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack98363 жыл бұрын

    Very powerful message Rev Magembe

  • @kivumajunior4260

    @kivumajunior4260

    3 жыл бұрын

    Nakubaliana kabisa Mch

  • @sweetluc2660
    @sweetluc26603 жыл бұрын

    Ameen kweli Baba Mungu akubaliki kwa kusema kweli

  • @HTV515
    @HTV5153 жыл бұрын

    Ni kweli mzee ukweli ni lazima tu usemwe Wanazidi mno baba

  • @ambasonkalenga2047
    @ambasonkalenga20473 жыл бұрын

    Wasabato wapo vizuri sema mchungaji ili tupone

  • @magekata7229
    @magekata72293 жыл бұрын

    Amina mchungaji ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏

  • @furahamlozi7376
    @furahamlozi73763 жыл бұрын

    Aminaaaaa sana ubarikiwee mtumishi wa munguuu

  • @juliasmtobesya5031
    @juliasmtobesya50313 жыл бұрын

    Ni kweli mchungaji Maghembe. Vijana wa leo wameligeuza Kanisa la leo kuwa sehemu ya mziki wa Kwasakwasa na Dansi kwa kisingizio cha enzi zile za Daudi. Hali hii isipokemewa kwa sasa itafikia mwanaume na mwanamke kucheza kwa kukumbatiana na kusikana viunoni. Ikumbukwe kuwa Shetani anatumia njia kama hizo kujiinua na kuliingilia Kanisa. Vijana badilikeni.

  • @sarahyvonne4580
    @sarahyvonne45803 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa62063 жыл бұрын

    Sema mtumishi bila kupepesa,wanao taka kupona wapone,wasio taka wakajiunge na akina chimenengule na maviono yao,siyo kukatikia kwenye madhabahu ya Mungu wetu,

  • @celestinebenson8183
    @celestinebenson81833 жыл бұрын

    Powerful!.

  • @binseif2216
    @binseif2216Ай бұрын

    Wagalatia mtihani sana

  • @jacobtolya1716
    @jacobtolya17163 жыл бұрын

    Mungu akubariki mchungaji.Umenena kweli yote

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga21263 жыл бұрын

    Ha haaaaaaaaaaaa! Kubinuka binuka aaa! Pastor bhana ubarikiwe 2. Umenifurahisha

  • @florapeudy6567
    @florapeudy65673 жыл бұрын

    Amina mchungaji sema ukweli wa YESU

  • @winniecasterreuben1734
    @winniecasterreuben17343 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @raphaeljulius9220
    @raphaeljulius92202 жыл бұрын

    Amina mchungaji na barikiwa sana na mafunzo yake

  • @marcelinekilongo5765
    @marcelinekilongo5765 Жыл бұрын

    Amen and amen 🙏

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed34373 жыл бұрын

    Mchungaji mi ni mwislam.. Lakini kwenye hili umejitutumua umeongea

  • @harinamagati7550
    @harinamagati7550 Жыл бұрын

    Natamani siku moja niudhurie Ibada kanisani kwako Mtumishi wa Mungu

  • @Shuna-lg2kf
    @Shuna-lg2kf Жыл бұрын

    Mungu akubariki magembe

  • @samwelmartine4497
    @samwelmartine44973 жыл бұрын

    Iko vizuri sana baba Askofu

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni3 жыл бұрын

    Ni kweli baba mchungaji kwaya zimekuwa disco

  • @meshackpaul4978
    @meshackpaul49783 жыл бұрын

    Wambie mzee! Wewe ungekuwa msabato unawahubili hivo wangekuambia Wana mfata daudi aliecheza adi nguoo zkadondoka!! Na Sasa kabisaa wanavocheza wanataka nao nguo ziwadondoke! Dah niwabishi! Ungekuwa msabato hapo wangekutukana

  • @mustaphagairo1936

    @mustaphagairo1936

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @ngwanafabian4612

    @ngwanafabian4612

    2 жыл бұрын

    Unadhani wasabato wako 100%? Si kweli maana hata hiyo sabato hawaifuati kama ipasavyo wao wamekariri sabato ni jumamosi tu.

  • @esperenceamris
    @esperenceamris3 жыл бұрын

    Penda sana mtumishi wa Bwana

  • @rejoycekivuyo9208
    @rejoycekivuyo92083 жыл бұрын

    Nimekupenda sana mtumishi

  • @danielijackson8700
    @danielijackson87003 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi tena hatachumbani hwakati hivo wasicheze kabiaas

  • @nurumbongo7556
    @nurumbongo75562 жыл бұрын

    Nimekuelewa mtumishi wangu

  • @magrethmicheal4663
    @magrethmicheal46634 ай бұрын

    Ni Kweli Baba, Ukabila ufe Ndani ya Kanisa.

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi69483 жыл бұрын

    Wanasema eti ni Sebene la Yesu!!!sipat picture

  • @Muhabwantebe
    @Muhabwantebe3 жыл бұрын

    Amen Amen Amen

  • @danielmakata1795
    @danielmakata17953 жыл бұрын

    Ameeeni,tunamtaka bwana na nguvu zakee.

  • @StevenKajimbwa
    @StevenKajimbwa8 ай бұрын

    amen baba tumekuelewa

  • @danielmwasi5450
    @danielmwasi54503 жыл бұрын

    Mungu akubariki baba

  • @GERALDHAMBAGELE
    @GERALDHAMBAGELE2 ай бұрын

    Sina Cha kuongeza Neno lako ni Hakika na kweli .Nabalikiwa huku Kahama

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75163 жыл бұрын

    Amina hii inaonekana baadhi ya wachungaji wanaogopa kukemea dhambi.

  • @karibasayi9719
    @karibasayi97193 жыл бұрын

    Kabisaaaa 🙏🙏🙏

  • @JoshuaAlexander-sw2qm
    @JoshuaAlexander-sw2qm16 күн бұрын

    MUNGU akuongezee miaka yakuish

  • @cliffkingi
    @cliffkingi3 жыл бұрын

    Mungu atusamehe wote hakuna mwenye haki hata Mmoja ....Mungu asifiwe Step zote Katika Roho na Kweli ...Hata Viduku mradi Ni Kumsifu Mungu na sio mchungaji...

  • @anneafrica939

    @anneafrica939

    3 жыл бұрын

    Malaika hawasifu YESU kwa viduku na kwaito staili za kidunia na ushetani umeingia kanisani hiyo ndio lango la mateka kanisani

  • @philimonsijaona2933
    @philimonsijaona29333 жыл бұрын

    Kweli rev Moses magembe

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem6733 жыл бұрын

    Kiuno nacho ni kiungo alichoumba Mungu tusibague viungo vyote ni vya Mungu..tumsifu Mungu katika roho na kumaanisha tukiongozwa na roho.

  • @emanuelsamwel62
    @emanuelsamwel623 жыл бұрын

    Uko vzr mchungaji

  • @zerangizikii7844
    @zerangizikii78443 жыл бұрын

    Mtakatifu atunze mtakatifu amina

  • @AtilioSanga
    @AtilioSangaАй бұрын

    Ameee kweli kabisa

  • @obedilizer3412
    @obedilizer34123 жыл бұрын

    Safi sana Songa mbele

  • @mariakabonga2
    @mariakabonga2Ай бұрын

    kweli itabaki kuwa kweli hata mi nakwazikaga sana mtu anacheza mpaka anapitiliza

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua88043 жыл бұрын

    Tuponee kupitia mafundisho haya Barikiwa mchungaji🙏🙏🙏🙏🙏

  • @maombezimwambapa4695
    @maombezimwambapa46953 жыл бұрын

    Mungu akupe Maisha marefu

  • @melckizedecklufungulo3176
    @melckizedecklufungulo31763 жыл бұрын

    Aminaaaaaa kwa kweli umenena

  • @Min_abednego_fabiano
    @Min_abednego_fabiano3 жыл бұрын

    Amen...Lazima kweli izungumzwe

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.69993 жыл бұрын

    Mugambo Song the message is here

  • @robertlameck7095

    @robertlameck7095

    3 жыл бұрын

    Kweli mzee siyo kwa mauno Yale

  • @prislareginald878
    @prislareginald8783 жыл бұрын

    Hapo sawa

  • @EzekieliEnock
    @EzekieliEnock9 ай бұрын

    Nakuelewa sanaaaa

  • @florachogo5537
    @florachogo55373 жыл бұрын

    sema mtumishi .tubadirike

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Ni KWELI kabisa mizaa IMEZIDI makanisani

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64643 жыл бұрын

    Nabarikiwa

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia58733 жыл бұрын

    Amina bab nakosaga Aman San mtu anakat mauno madhabahuni utafikili yupo dsk

  • @rodgersabraham1065
    @rodgersabraham10653 жыл бұрын

    Mzee hua nakuelewa sana. Yaani wewe ni miongoni mwa walimu wangu ambao nawaelewa sana

  • @loadmasimba2265

    @loadmasimba2265

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa mtumish barikiwa sana

  • @shedyema2792
    @shedyema27923 жыл бұрын

    Baba mch akubariki

  • @Muhabwantebe
    @Muhabwantebe3 жыл бұрын

    Amene Amen Amen

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday69493 жыл бұрын

    Mm ni msabato ila huyu pastor anahubiri kweli

  • @mackfasonmoshi4629

    @mackfasonmoshi4629

    2 жыл бұрын

    Ahsante Kaka Emma Q. Mimi si Msabato ila Mzee anasema kweli tupu....Lakini wale Zabron Singers wa KHM (SDA) wako vizuri....WanaMabeats na Rhythm zenye Nidhamu...Machezo na Minenguo Makanisani Mhhhhh.. Hatariiiiii....

  • @martinkisha6307
    @martinkisha63073 жыл бұрын

    Nakufatilia Sana magembe

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki33302 жыл бұрын

    Nimefurahi sana

Келесі