MNAKATA VIUNO KANISANI,MMEPAGEUZA CHUMBANI/MCH.MOSES MAGEMBE
#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 755 450 225
+255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
Пікірлер: 279
Mzeee nakuelewa sana kama unamwelewa like twende sawa duh!!!!!
Yaani huyu mchungaji Mungu amlinde angekuwa askofu ingekuwa heri
Mungu alivo mzuri hutumii hata mawani Mungu akutunze baba Mchungaji
Baba nakupenda sana, Bwana Yesu azidi kukutunza mzee unayeihubiri kweli ,,, be blessed pastor Magembe.
Ahsante Mungu kwa kutupatia MTU muhimu kama huyu,Mungu MPE maisha marefu zaidi
Ubarikiwe mchungaji tumekosa watumishi kama wewe
Kumbe tupo wengi wenye kuchukizwa na matendo na stepu za ovyo,ubarikiwe
Mungu akubariki sana Mchungaji, na asaidie kanisa la leo, wachungaji kujua kuonya, kukaripa, kuongoza na kukemea.
Mungu akutie nguvu huo niukweli kwaya za sasa hazina tofauti na wacheza dans vilabuni
Kweli tupu 100%. Mungu awe nawe daima, watumishi wasema kweli kwenye makanisa ya Kikristo ni wachache na wanachukiwa balaa!! Ubarikiwe
Kiukweri mtumishi wa Mungu nabarikiwa Sana na injiri yako ya uamsho wa kanisa
Babu yangu Mchungaji Magembe Mungu akuongozee ktk kuusema ukweli ili kanisa kwaya zipone zinavuka Maadili ya ki Mungu
Asante Mtumishi Mkuu wa Mungu. Unahimiza Utakatifu ambao ndio unaomstahili Mungu. Ubarikiwe na Bwana kwa kuliponya Kanisa.
Kwaya ambaazo hazikati viuno ni za wasabato tu, lkn zingine ni shida!
Makanisa yamevamiwa na roho za ajabu ajabu. Bora mzee umeliona hilo, likemee!
Very powerful word wachungaji wa Kenya you should take this example of mchungaji Magembe
@japhethmbusyamwanaufufuona4646
3 жыл бұрын
Kweli kabisa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mchungaji nimekuelewa mtumishi wa mungu usimame imara katika utumishi wako usiludi nyuma katika utumishi wako amina.
Hakika Mungu kakuweka kwa kusudi lake. Fanya kazi kama ulivyo tumwa. Tuko pamoja kukuombea.
Wachungaji wanaosema kweli kwa Sasa niwachache sana ubarikiwe baba
Wewe mzee uko sahihi 100% maana siku hizi kanisani kama disco.
Baba me naomba Mungu tupatikane watumishi kama wewe wanaoisema kweliii ...Nakupenda baba katika Bwana
Mungu akupe maisha marefu na afya njema baba mchungaji uendelee kutumika kwa kuisema kweli
Magembe na mgogo nawakubali sana mafundisho yao siyo hao wauza upako na kubariki watu kwa pesa heti manabi yaani wizi mtupu na miuziza yao ya kishetani live kabisa bila chenga Mungu tuokoe watanzania na jinamizi hili la matapeli kwa kutumia jina la yesu
Ni kweli kabisa baba watumishi wafundishe ukweli tunatamani kuona Uwepo Wa Mungu, tunatamani tuuone uwepo kama kipindi cha kina ASAFU
One love pastor ♥️♥️
Asante Mchungaji Magembe tuko tunakuombeya Mungu akulete Bujumbura Burundi.
Mkurugenzi wangu hongera kwa mkutano na semina nzuri kuhusu maadili kuporomoka, na hasa umeongelea habari za step za kwaya, ubarikiwe baba kurudisha maadili kanisani
Amen Sana,hapo kwenye Praise & Worship hapo ndio shida kwa baadhi yao
Yaani huyu baba amenifurahisha huyu, Mungu akubariki sana. Watu hawajui kumheshimu Mungu. Michezo ambayo huchezi mbele ya baba yako mzazi kwanini ucheze mbele ya baba yetu wa mbinguni? Huwa napata shida sana. Mungu tupe uelewa.
Hilo la kwaya ni mojawapo ya makandokando... Kuna zinaa, ufisadi, unafiki, kupenda fedha, uchawi, vyeo vya kupeana, uchaguzi kiini macho n.k
Pewa soda ya kutoka Kenya 🇰🇪✋✋✋afu na mavazi thooo
Barikiwa sana mutu wa mungu tena ujumbe huu uwafikie dunia nzima ckuizi mlokole hajulikana niyupi na wadunia hawajulikani mauno tu kwenda mbele shindwe kwa jina la yesu nkiwa kenya
@mwaminisabimana6026
3 жыл бұрын
Unapo tikisa kiuno sana kinateremka kikiteremukia jehenamu oopoleni
@phinehaskileo8226
3 жыл бұрын
Ubarikiwe. Hats wasioamini wanatushangaa!!! Maana hata wenyewe Wana mipaka yao!!!
Ukabila umezidi makanisani kenya,God have mercy.
Hapo ndo mtaona umuhimu wawasabato na tatizo mnafata mapokeo ikija step mpya mnayo mnacheza hadi viduku kanisani tena hadi nguo hazina utukufu
@expert5898
3 жыл бұрын
Kwani wapi ilielekeza namna ya kucheza???? Kwani Mungu alisema hataki viuno??? Hayo ni Mambo ya maadili, but sio dhambi.
Magembe uko vizuri ila wewe huna kanisa, kanisa ni la mwenye kumwaga damu aliyetukomboa futa hiyo kauli
Asante kwa mafundisho mazuri na magumu ,asikiae na asikie
Yesu alishakataa vinanda kanisani na nyimbo lkn vichwa maji wanafanya ya shetani
Mzee umenichekesha sana nmekuelewa sana you made my day hahahahahahahaha
Very powerful message Rev Magembe
@kivumajunior4260
3 жыл бұрын
Nakubaliana kabisa Mch
Ameen kweli Baba Mungu akubaliki kwa kusema kweli
Ni kweli mzee ukweli ni lazima tu usemwe Wanazidi mno baba
Wasabato wapo vizuri sema mchungaji ili tupone
Amina mchungaji ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏
Aminaaaaa sana ubarikiwee mtumishi wa munguuu
Ni kweli mchungaji Maghembe. Vijana wa leo wameligeuza Kanisa la leo kuwa sehemu ya mziki wa Kwasakwasa na Dansi kwa kisingizio cha enzi zile za Daudi. Hali hii isipokemewa kwa sasa itafikia mwanaume na mwanamke kucheza kwa kukumbatiana na kusikana viunoni. Ikumbukwe kuwa Shetani anatumia njia kama hizo kujiinua na kuliingilia Kanisa. Vijana badilikeni.
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Sema mtumishi bila kupepesa,wanao taka kupona wapone,wasio taka wakajiunge na akina chimenengule na maviono yao,siyo kukatikia kwenye madhabahu ya Mungu wetu,
Powerful!.
Wagalatia mtihani sana
Mungu akubariki mchungaji.Umenena kweli yote
Ha haaaaaaaaaaaa! Kubinuka binuka aaa! Pastor bhana ubarikiwe 2. Umenifurahisha
Amina mchungaji sema ukweli wa YESU
Barikiwa mtumishi wa mungu
Amina mchungaji na barikiwa sana na mafunzo yake
Amen and amen 🙏
Mchungaji mi ni mwislam.. Lakini kwenye hili umejitutumua umeongea
Natamani siku moja niudhurie Ibada kanisani kwako Mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki magembe
Iko vizuri sana baba Askofu
Ni kweli baba mchungaji kwaya zimekuwa disco
Wambie mzee! Wewe ungekuwa msabato unawahubili hivo wangekuambia Wana mfata daudi aliecheza adi nguoo zkadondoka!! Na Sasa kabisaa wanavocheza wanataka nao nguo ziwadondoke! Dah niwabishi! Ungekuwa msabato hapo wangekutukana
@mustaphagairo1936
3 жыл бұрын
Hakika
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
Unadhani wasabato wako 100%? Si kweli maana hata hiyo sabato hawaifuati kama ipasavyo wao wamekariri sabato ni jumamosi tu.
Penda sana mtumishi wa Bwana
Nimekupenda sana mtumishi
Barikiwa mtumishi tena hatachumbani hwakati hivo wasicheze kabiaas
Nimekuelewa mtumishi wangu
Ni Kweli Baba, Ukabila ufe Ndani ya Kanisa.
Wanasema eti ni Sebene la Yesu!!!sipat picture
Amen Amen Amen
Ameeeni,tunamtaka bwana na nguvu zakee.
amen baba tumekuelewa
Mungu akubariki baba
Sina Cha kuongeza Neno lako ni Hakika na kweli .Nabalikiwa huku Kahama
Amina hii inaonekana baadhi ya wachungaji wanaogopa kukemea dhambi.
Kabisaaaa 🙏🙏🙏
MUNGU akuongezee miaka yakuish
Mungu atusamehe wote hakuna mwenye haki hata Mmoja ....Mungu asifiwe Step zote Katika Roho na Kweli ...Hata Viduku mradi Ni Kumsifu Mungu na sio mchungaji...
@anneafrica939
3 жыл бұрын
Malaika hawasifu YESU kwa viduku na kwaito staili za kidunia na ushetani umeingia kanisani hiyo ndio lango la mateka kanisani
Kweli rev Moses magembe
Kiuno nacho ni kiungo alichoumba Mungu tusibague viungo vyote ni vya Mungu..tumsifu Mungu katika roho na kumaanisha tukiongozwa na roho.
Uko vzr mchungaji
Mtakatifu atunze mtakatifu amina
Ameee kweli kabisa
Safi sana Songa mbele
kweli itabaki kuwa kweli hata mi nakwazikaga sana mtu anacheza mpaka anapitiliza
Tuponee kupitia mafundisho haya Barikiwa mchungaji🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akupe Maisha marefu
Aminaaaaaa kwa kweli umenena
Amen...Lazima kweli izungumzwe
Mugambo Song the message is here
@robertlameck7095
3 жыл бұрын
Kweli mzee siyo kwa mauno Yale
Hapo sawa
Nakuelewa sanaaaa
sema mtumishi .tubadirike
Ni KWELI kabisa mizaa IMEZIDI makanisani
Nabarikiwa
Amina bab nakosaga Aman San mtu anakat mauno madhabahuni utafikili yupo dsk
Mzee hua nakuelewa sana. Yaani wewe ni miongoni mwa walimu wangu ambao nawaelewa sana
@loadmasimba2265
3 жыл бұрын
Kweli kabisa mtumish barikiwa sana
Baba mch akubariki
Amene Amen Amen
Mm ni msabato ila huyu pastor anahubiri kweli
@mackfasonmoshi4629
2 жыл бұрын
Ahsante Kaka Emma Q. Mimi si Msabato ila Mzee anasema kweli tupu....Lakini wale Zabron Singers wa KHM (SDA) wako vizuri....WanaMabeats na Rhythm zenye Nidhamu...Machezo na Minenguo Makanisani Mhhhhh.. Hatariiiiii....
Nakufatilia Sana magembe
Nimefurahi sana