MCH.DANIEL MGOGO -Ukisema pombe sio mbaya, kwanini mnakunywa bila Kuomba kama vyakula vingine?

#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
E-mail- radiouhaioffice@gmail.com
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
#danielmgogo,
#pastormgogo,#Mahubiriyadanielmgogo#MchungajiMgogo#DenisMpagaze#AnaniasEdgar#MzeewaKujilipua#Mahubiri#NenolaMungu

Пікірлер: 73

  • @ndayizeyeconsolatte
    @ndayizeyeconsolatte2 ай бұрын

    ❤❤❤so much pastor niko americ uje udufundishe Nene lamungu nagopenda sana muno ubarikiwe baba

  • @claudhanock5928
    @claudhanock5928 Жыл бұрын

    Pastor Mungu akubaliki Sana mafundisho yako anandidalisa Sana keep on powerful message

  • @jenifanostress1960
    @jenifanostress1960 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sna baba kwa mahubiri na ushauri wako ❤❤❤ nakupendaga sna baba mungu akuongezeee myaka yakuishi

  • @sahi5305
    @sahi53053 жыл бұрын

    God bless you 🙏 pastor

  • @kasejakaseja3795
    @kasejakaseja3795 Жыл бұрын

    Mchungaji unatupa vitu vizur endelea kupasua mungu akuongezee maarifa zaidi.

  • @effayanga903
    @effayanga9033 жыл бұрын

    Somo la history ni upumbafu harina faida maishani

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    Kabsa yani ujinga tu

  • @felistusomari231
    @felistusomari2313 жыл бұрын

    Ibada yako mchungaji imebeba message yote jinsi ulimwengu upo. GOD bless you alot

  • @tibocherichard1182
    @tibocherichard11823 жыл бұрын

    Mgogo unafurahisha kweli kweli

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Жыл бұрын

    Ubarkiwe mtumish

  • @platinumcargo6891
    @platinumcargo6891 Жыл бұрын

    The message was a cracker.... powerful to say the least

  • @asmnibukhebinamarimba1267
    @asmnibukhebinamarimba1267 Жыл бұрын

    Amen.barikiwa sana

  • @mutwalesylvie1305
    @mutwalesylvie13053 жыл бұрын

    Nime enjoint sana

  • @newtongabriel8529
    @newtongabriel85293 жыл бұрын

    Mtumishi ubarikiwe by Newton Michael

  • @tomafwayi2672
    @tomafwayi26723 жыл бұрын

    Very strong message may God bless you.

  • @faithambogo5715

    @faithambogo5715

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @linaryugen6400
    @linaryugen64003 жыл бұрын

    Mgogo upo vizuri tuambie ukweli tujirkebishe

  • @PeterPaul-dt7wi
    @PeterPaul-dt7wi5 ай бұрын

    ❤ nikweli

  • @yuzotv458
    @yuzotv4585 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimekupenda bure mch:Pombe haifai ndiomaana huwez kuiombea ata sku moja.

  • @charleskaaya4270
    @charleskaaya42703 жыл бұрын

    Amin

  • @mwalimuwafula471
    @mwalimuwafula4713 жыл бұрын

    Hello fellow

  • @Damianmwinde
    @Damianmwinde Жыл бұрын

    Hawaleti pombe kwa kuwa tumedanganyiwa miaka mingi ilio pita, sasa naomba tusome maandiko haya. Mhubiri 9:7, 10:19

  • @benimwakasole7386
    @benimwakasole7386 Жыл бұрын

    Amina baba

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi47593 жыл бұрын

    Mafunzo mazur sana , haswa kwenye kutoa nr.

  • @lilianokedi9699
    @lilianokedi96993 жыл бұрын

    Ameen

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Жыл бұрын

    Mtumishi wachape Kwa maneno ya kweli hao

  • @andrew30968
    @andrew309683 жыл бұрын

    Amen

  • @revinaedward6616
    @revinaedward66162 жыл бұрын

    hakiyamungu nihatari sana

  • @davidsironka-co1dc
    @davidsironka-co1dc Жыл бұрын

    Wazungu,, wanauzia waafrika tabia,, mbaya . waafrika tunapenda,, vya bure,,,

  • @omanigaming6430
    @omanigaming64302 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @nichoema5703
    @nichoema57033 жыл бұрын

    Uko saw mchungaji

  • @luciageog8520
    @luciageog8520 Жыл бұрын

    Ameni

  • @sheylamtima8561
    @sheylamtima8561 Жыл бұрын

    Ayupo ata mumoja

  • @mashmanase7530
    @mashmanase75303 жыл бұрын

    Natumai ipo siku shetani ata acha kiburi na aombe msamaha Mungu ili turudi tuwe uchi kwenye shamba la Eden,,, Bei za nguo zina zidii kuwa ghali pia nimengi tuanahitaji kuyaona

  • @joycemaige6838
    @joycemaige68383 жыл бұрын

    Kweli kabisa mtu unafika sehemu unaongea ujuwe tume tawaliwa kweli

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko60493 жыл бұрын

    Ni ukweli mchungaji

  • @consolataraymond4822
    @consolataraymond48223 жыл бұрын

    Juhud kuinama ooh baba😂😂😂😂

  • @tommediatz9599
    @tommediatz95993 жыл бұрын

    Mgogo sikuwez

  • @milley7185
    @milley71852 жыл бұрын

    Binadamu wa kwanza alikuwa nyani hivi hii story bado wanajifunza wanafunzi Adamu na Eva walikuwa wapi pamoja na Lilith walikuwa masokwe au

  • @gloriahamisi7611
    @gloriahamisi76113 жыл бұрын

    Safiek mwakaluk

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51923 жыл бұрын

    Hapo umepiga

  • @amazingtv9456
    @amazingtv94563 жыл бұрын

    Tusker 😀😀😀😅😅😅🎅🎅🎅

  • @georgeevan2253
    @georgeevan22533 жыл бұрын

    Aya sas

  • @milley7185
    @milley71852 жыл бұрын

    Hahaha shetani ni mweusi tena ,,,,🤣🤣🤣🤣

  • @paulbarasa7793
    @paulbarasa7793 Жыл бұрын

    Kama kwenda choo ni kitu kizuri,mbona mtu afunge mlango

  • @djkbyofficial
    @djkbyofficial3 жыл бұрын

    🇨🇩👁️👁️🙌

  • @annaseleman1851

    @annaseleman1851

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @davidcurtis175
    @davidcurtis175 Жыл бұрын

    Burning spear alishawahi kuhoji kwenye nyimbo yake inaitwa christofer columbus, anahoji ikiwa christopher columbus ndie mgunduzi wa Jamaica je vipi kuhusu watu walikuwa wakiish hapo? Ambao ni arawk indians na baadhi ya watu wenye asili ya africa wachache? Ni muongo mkubwa. Na pia mlima wa kilimanjaro ulikuwa unaitwa kilimankyaro ikimaanisha kilele cha mlima mzungu amepelekwa huko ameshindwa kuutamka na kuitamka kilinjaro eti yeye ndie wa kwanza kupanda mlima wa kilimankyaro

  • @isackmosha4283
    @isackmosha42833 жыл бұрын

    hahahah

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joycemaige6838
    @joycemaige68383 жыл бұрын

    🤣🤣🤣Mzungu sosososo

  • @saraikyalo4818
    @saraikyalo48183 жыл бұрын

    Haaaa hak wewe eti baba bariki hii pombe

  • @hamischares3390
    @hamischares33903 жыл бұрын

    Mchungajo niseme kifupi nimekwelewa nime kwelewa sana

  • @kayulielkana3909

    @kayulielkana3909

    2 жыл бұрын

    Hongera mch hii ni injili nzuri

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua88043 жыл бұрын

    AMEEN

  • @rachelisamazing8918

    @rachelisamazing8918

    3 жыл бұрын

    Kwangu pombe sio mbaya na naanza na maombi nikinywa

  • @hilgathjoshua8804

    @hilgathjoshua8804

    3 жыл бұрын

    ☺☺☺☺☺☺

  • @rachelisamazing8918

    @rachelisamazing8918

    3 жыл бұрын

    Kulewa dhambi kunywa sio dhambi

  • @edgartemu8299

    @edgartemu8299

    3 жыл бұрын

    Huku kwetu uchagani tunaombea ndo tunakunywa

  • @bintiwayesu2226

    @bintiwayesu2226

    Жыл бұрын

    @@rachelisamazing8918 mithali 14:12 iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti

  • @chuggapjt3782
    @chuggapjt37823 жыл бұрын

    Wewe ukinywa maji unaomba

  • @laurarose1521

    @laurarose1521

    3 жыл бұрын

    Hunafa uombe maji

  • @remmyrehema6755

    @remmyrehema6755

    3 жыл бұрын

    Hahaha

  • @neshkaps2886

    @neshkaps2886

    3 жыл бұрын

    Yes kila kinachopita mdomoni lzm ukiombee hata maji

  • @japhetnzunda99

    @japhetnzunda99

    3 жыл бұрын

    Maji yanapaswa uyaombe ili unywe

  • @rhodananjala8347
    @rhodananjala83473 жыл бұрын

    Amen

  • @samweljohn8799
    @samweljohn87993 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @medadibavuma7272

    @medadibavuma7272

    3 жыл бұрын

    Mbona nyie kahawa hamuombei ????

  • @alexsilvest7774

    @alexsilvest7774

    Жыл бұрын

    Kunywa pombe au kutokunywa pombe hakumpeleki mtu mbinguni. Jitahidi kuzingatia na kuyaishi ktk matendo maagizo ya Kristo. Unajisi upo ndani ya mioyo ya watu na sio kwenye vyakula au vinywaji; kunywa au kutokunywa ni uamuzi binafsi.

  • @FatumaLema

    @FatumaLema

    Жыл бұрын

    Uko vizuri mchungaji lakini na wewe mbona na wewe unachangnyia kiswahili na kizungu apo ndio unanichnganya mgogo