MCH.DANIEL MGOGO -Ukisema pombe sio mbaya, kwanini mnakunywa bila Kuomba kama vyakula vingine?
#Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789
E-mail- radiouhaioffice@gmail.com
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
#danielmgogo,
#pastormgogo,#Mahubiriyadanielmgogo#MchungajiMgogo#DenisMpagaze#AnaniasEdgar#MzeewaKujilipua#Mahubiri#NenolaMungu
Пікірлер: 73
❤❤❤so much pastor niko americ uje udufundishe Nene lamungu nagopenda sana muno ubarikiwe baba
Pastor Mungu akubaliki Sana mafundisho yako anandidalisa Sana keep on powerful message
Ubarikiwe sna baba kwa mahubiri na ushauri wako ❤❤❤ nakupendaga sna baba mungu akuongezeee myaka yakuishi
God bless you 🙏 pastor
Mchungaji unatupa vitu vizur endelea kupasua mungu akuongezee maarifa zaidi.
Somo la history ni upumbafu harina faida maishani
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Kabsa yani ujinga tu
Ibada yako mchungaji imebeba message yote jinsi ulimwengu upo. GOD bless you alot
Mgogo unafurahisha kweli kweli
Ubarkiwe mtumish
The message was a cracker.... powerful to say the least
Amen.barikiwa sana
Nime enjoint sana
Mtumishi ubarikiwe by Newton Michael
Very strong message may God bless you.
@faithambogo5715
3 жыл бұрын
Amen
Mgogo upo vizuri tuambie ukweli tujirkebishe
❤ nikweli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimekupenda bure mch:Pombe haifai ndiomaana huwez kuiombea ata sku moja.
Amin
Hello fellow
Hawaleti pombe kwa kuwa tumedanganyiwa miaka mingi ilio pita, sasa naomba tusome maandiko haya. Mhubiri 9:7, 10:19
Amina baba
Mafunzo mazur sana , haswa kwenye kutoa nr.
Ameen
Mtumishi wachape Kwa maneno ya kweli hao
Amen
hakiyamungu nihatari sana
Wazungu,, wanauzia waafrika tabia,, mbaya . waafrika tunapenda,, vya bure,,,
🔥🔥🔥🔥
Uko saw mchungaji
Ameni
Ayupo ata mumoja
Natumai ipo siku shetani ata acha kiburi na aombe msamaha Mungu ili turudi tuwe uchi kwenye shamba la Eden,,, Bei za nguo zina zidii kuwa ghali pia nimengi tuanahitaji kuyaona
Kweli kabisa mtu unafika sehemu unaongea ujuwe tume tawaliwa kweli
Ni ukweli mchungaji
Juhud kuinama ooh baba😂😂😂😂
Mgogo sikuwez
Binadamu wa kwanza alikuwa nyani hivi hii story bado wanajifunza wanafunzi Adamu na Eva walikuwa wapi pamoja na Lilith walikuwa masokwe au
Safiek mwakaluk
Hapo umepiga
Tusker 😀😀😀😅😅😅🎅🎅🎅
Aya sas
Hahaha shetani ni mweusi tena ,,,,🤣🤣🤣🤣
Kama kwenda choo ni kitu kizuri,mbona mtu afunge mlango
🇨🇩👁️👁️🙌
@annaseleman1851
3 жыл бұрын
Amen
Burning spear alishawahi kuhoji kwenye nyimbo yake inaitwa christofer columbus, anahoji ikiwa christopher columbus ndie mgunduzi wa Jamaica je vipi kuhusu watu walikuwa wakiish hapo? Ambao ni arawk indians na baadhi ya watu wenye asili ya africa wachache? Ni muongo mkubwa. Na pia mlima wa kilimanjaro ulikuwa unaitwa kilimankyaro ikimaanisha kilele cha mlima mzungu amepelekwa huko ameshindwa kuutamka na kuitamka kilinjaro eti yeye ndie wa kwanza kupanda mlima wa kilimankyaro
hahahah
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mzungu sosososo
Haaaa hak wewe eti baba bariki hii pombe
Mchungajo niseme kifupi nimekwelewa nime kwelewa sana
@kayulielkana3909
2 жыл бұрын
Hongera mch hii ni injili nzuri
AMEEN
@rachelisamazing8918
3 жыл бұрын
Kwangu pombe sio mbaya na naanza na maombi nikinywa
@hilgathjoshua8804
3 жыл бұрын
☺☺☺☺☺☺
@rachelisamazing8918
3 жыл бұрын
Kulewa dhambi kunywa sio dhambi
@edgartemu8299
3 жыл бұрын
Huku kwetu uchagani tunaombea ndo tunakunywa
@bintiwayesu2226
Жыл бұрын
@@rachelisamazing8918 mithali 14:12 iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti
Wewe ukinywa maji unaomba
@laurarose1521
3 жыл бұрын
Hunafa uombe maji
@remmyrehema6755
3 жыл бұрын
Hahaha
@neshkaps2886
3 жыл бұрын
Yes kila kinachopita mdomoni lzm ukiombee hata maji
@japhetnzunda99
3 жыл бұрын
Maji yanapaswa uyaombe ili unywe
Amen
🤣🤣🤣🤣
@medadibavuma7272
3 жыл бұрын
Mbona nyie kahawa hamuombei ????
@alexsilvest7774
Жыл бұрын
Kunywa pombe au kutokunywa pombe hakumpeleki mtu mbinguni. Jitahidi kuzingatia na kuyaishi ktk matendo maagizo ya Kristo. Unajisi upo ndani ya mioyo ya watu na sio kwenye vyakula au vinywaji; kunywa au kutokunywa ni uamuzi binafsi.
@FatumaLema
Жыл бұрын
Uko vizuri mchungaji lakini na wewe mbona na wewe unachangnyia kiswahili na kizungu apo ndio unanichnganya mgogo