MUME WAKO HAJATULIA ANA WANAWAKE WENGI HUKO NJE HELA ANAKULA NAO WEWE UNATESEKA "PASTOR MGOGO
Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
KZread : Pastor Daniel Mgogo kzread.info/dron/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Пікірлер: 35
Yes ni neno la Mungu, mahali unalishwa kiroho ni pale unatiya moja ya kumi na sadaka, hiyo ndiyo malipo ya watumishi wa Mungu
Mungu akulinde paster
Utalipwa na Mungu, endeleya tu kumutumikiya Mungu
Amien ubarikiwe sana
Mungu akulinde❤❤
Umesema kweli mtumishi asante kwa kutupatia nondo za kweli.mwenye sikio na asikie
Mtumishi wa Mungu hongera Sana ,kwamahubiri Yako Mungu akuongeze nguvu ili uendelee kushusha nyundo,unanibari Sana Sana.
Amina sana baba Mungu anendelee kukutunza maana ni watumishi wachache sana kama wewe ❤🙏
Kweli pasta
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe usemayo yote ni kweli kabisa
Nakupenda Sana mtumishi SEMA tuelewe baba
Thankyou so much pastor
Wewe pastor tosha wanaume tukonashida Sana
Mwenyezi mungu atusaidie
Vraiment ilenikweli
Barikiwa sana mushugaji
Mungu akubariki mtumishi
Mungu akubariki sana pastor🥰🥰🥰🥰🥰
Amina mtumishi
I receive I the mighty name of Jesus
Kwa Mungu sio kwa Muzungu na kwenye shamba la miwa huvuniwi mihogo
tutakuelewa kimya kimya dondosha nondo dozi iendelee
Kama Rose mhando hazeeki, janefa mgendi hazeeki watching from Capetown ❤❤
MUNGU atusamehe
Kweli Baba ni machungu ila tunalikubali
Nikweli wachristo ambao hajakuwa kiroho wanashida sana tena sana hasa hasa huku marecani watu wanatuma sadaka Africa chakumi Africa lakini kanisa anayo sali huku hata sadaka hata chakumi hatowi akipata shida sasa mushindwe kufanya nyambo lolote ndo anakuwaga wakwanza kununa kuteta kanisa mambo mengi . Huruma sana
Ubalikiwe baba😂😂😂😂
Dondosha nondo kabisa baba
Toboa siri pastor mgogo napenda mahubiri yako barikiwa
Nitapataje namba huyu pastor,mahubiri yake ni ya kujenga kondoo wapotevu.
Pasta upewe ulinzi baba nakuelewa
😂😂😂😂😂watanzania mumebarikiwa
dozi iendelee mtumishi type dozi
😂😂😂😂
Ndgha wakukaja 😂😂