CHRISTINA SHUSHO ALIVYOGUSA MOYO WA ASKOFU GWAJIMA na KUHANI MUSSA WASHINDWA KUJIZUIA

#OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na watanzania wanaoishi Italia
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv

Пікірлер: 84

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui7222 ай бұрын

    ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Kenya na Tanzania ndio taa ya uokofu Africa.

  • @RaimundoZacariasJonas-jq1bg
    @RaimundoZacariasJonas-jq1bgАй бұрын

    Kweli Tz imebalikiwa

  • @queenmapunda7868
    @queenmapunda78682 ай бұрын

    Amina.Unabariki dada.Mungu akutunze

  • @elijahnyamwange3520
    @elijahnyamwange35202 ай бұрын

    Rudi kwa mzee wako we love you in Christianity sister

  • @naomimaro2156
    @naomimaro21562 ай бұрын

    Yesu akawaambia wale Mafarisayo Yule anayeona hana dhambi Na awe.wa kwanza kumpiga huyu mwanamm jiwe Wote wakatawanyika

  • @GreysonMheni-ln9rm

    @GreysonMheni-ln9rm

    2 ай бұрын

    Kahaba kahaba tu

  • @danielstephen4374

    @danielstephen4374

    2 ай бұрын

    Jihadhali sana usitumie maandiko kuhalalisha dhambi za watu ama kuwaziba watu kukemea dhambi. Yesu kusema hivyo hakumaanisha watu wasikemee dhambi bali watu wasihukumu. Kusema huyu katenda dhambi siyo kuhukumu bali ni kumkumbusha ili arejee. Jiulize ikiwa hatutatakiwa kusema dhambi za watu basi tuhubiri nini? Au we ni.muumini wa madhehebu ya mafanikio chumvi na mafuta ya upako?

  • @leonardyona1462

    @leonardyona1462

    2 ай бұрын

    Acha utopolo wewe bastard!

  • @musamalaba6401

    @musamalaba6401

    2 ай бұрын

    Umejibu vyema sanaa mtumishi wa Mungu,

  • @faithijegwa3592
    @faithijegwa35922 ай бұрын

    Christina kipenzi rudi kwenye kiwango hiki hizi nyimbo uliziimba rohoni sana hazijawahi chuja Nakuombea

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika6692 ай бұрын

    Christina rudi kwa mumeo, bado tunakupenda sana. Kumbuka alichounganisha mungu binadamu asitenganishe. Tubu na omba msamaha Mungu atakusamehe kwa ulichokifanya. Hakuna wito wa kutenganisha ndoa takatifu, Rudi kwa mumeo,

  • @immaculatendinda3900

    @immaculatendinda3900

    2 ай бұрын

    We shughulikia familia Yako achana na za watu...

  • @christenaandria6379

    @christenaandria6379

    Ай бұрын

    Kabisaa ashughulike na yake kinacho enda mbinguni ni utakatifu

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1tАй бұрын

    Bwana Ni msaada Kwa wote

  • @chrispinkyaruzi1110
    @chrispinkyaruzi11102 ай бұрын

    Ni mwimbaji mzuri, lakn ukikosea mahali ni lazima urudi magotini umuulize Yesu kwani kukosea kupo! Mtihani alionao binti huyu kwa mujibu wa biblia, hatakiwi kuolewa na mtu mwingine wala kuzini, vinginevyo arudi kwa mume wake!

  • @CelestistineKabura

    @CelestistineKabura

    2 ай бұрын

    Hh

  • @petermussa871
    @petermussa8712 ай бұрын

    Kazi nzuri sana dada ubarikiwe sana ❤️

  • @naomilouisepraise4973
    @naomilouisepraise49732 ай бұрын

    Mungu akupiganiye kipindi iki cha jaribu lako,sikupewa kiti cha hukumu ili nikuhukumu.

  • @carolinesaru7386
    @carolinesaru73862 ай бұрын

    Congratulations Christina Shusho ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kengaswedi3989
    @kengaswedi3989Ай бұрын

    Naomba Mungu wa mama Evalyn Joshua,aliye mukiri hivi majuzi alipo safari kule Scoan Nigeria.akasema anataka awe Mungu wake na yeye pia,amupiganiye ktk wakati wake huu usiyo rahisi kwake.Remember Anything close to Jesus recieves attack from satan.God bless sister Christina Shusho,her family,akainue huduma yake zaidi and see her through,in Jesus name.

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila16022 ай бұрын

    Yesu anarudi someni maandiko na neno la mungu halibadiliki asomaye na afahamu kuwa mbingu ipo na jehanamu ipo Bwana anawajua walio wake na kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.kaeni tayari watu watu wa Mungu anakuja yesu upesi watakatifu ndio watakaotwaliwa

  • @elywinnermasele1317
    @elywinnermasele13172 ай бұрын

    Aiseee powerful

  • @carolnziokaartist4236
    @carolnziokaartist42362 ай бұрын

    Amen

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph27332 ай бұрын

    Flora mbasha, na Christina shusho wote wamebaki ikabodi tu. Zamani walikuwa safi sana

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter24972 ай бұрын

    Waliopitwa ndio wanaokuombea mabaya.. na yote hayo yameanza baada ya Waziri mkuu kukupa nafasi ya kufanyia MTOKO WA PASAKA UWANJA WA TAIFA... HAAAHAAA WATAPIGANAAAA....BADO UTASHINDAAA MAMAAA❤❤❤ U SANAAAA

  • @EfeniaKomba
    @EfeniaKomba2 ай бұрын

    Unanibariki sana Mungu akutunze

  • @saimonijonas4356

    @saimonijonas4356

    2 ай бұрын

    Kwalipi? Mtakuja kuguswa nakubarikiwa na shetani aliyejigeuza kuwa malaika wa Nuru.Mungu yupi anasema vunja ndoa unitumikie? Mungu yupi anasema unganeni na mashetani niwabariki?

  • @valeriamtenga3384
    @valeriamtenga33842 ай бұрын

    Starting assignment

  • @marymwaya9685
    @marymwaya96852 ай бұрын

    Kweli Mungu akukumbuke

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    2 ай бұрын

    Ha ha haaaaa! Ni kwl kw hatua aliyonnayo Mungu amkumbuke, ampe kurejea mahali pake,

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga57982 ай бұрын

    Umukumbuke mumeo umemwachaaaa

  • @GreysonMheni-ln9rm
    @GreysonMheni-ln9rm2 ай бұрын

    Delilah

  • @Elizabethkiamba-wd3yr
    @Elizabethkiamba-wd3yr2 ай бұрын

    You can feel no more grace in your songs

  • @mgityanyahurya8375
    @mgityanyahurya8375Ай бұрын

    Huo wimbo uliimba kabla hujahasi

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba91742 ай бұрын

    Umepotea dada ,Rudi kwa mmeo

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe wewe

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe wewe

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo87032 ай бұрын

    Mbona kakupitaa wewe na ndoa yako imekuwa ivyooo

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    2 ай бұрын

    Tuwaombee c unaona waimbaj wa injili wengi ndoa zao zimezama!!!? Tuwaombee maana ameimba mch Abiudi UIMBAJI NI WITO WA WATU WANAOANGUKA jpo yy hajaanguka ila kw wasiokuw makini maana katika umaskin. Mwng au utajir na umaarufu ndipo mtu hujaribiw sn hvyo umakin mkubw unahtajka wkt huo!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 ай бұрын

    Kipindi ki I e 😢kumbuka watoto wako😢😢

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe wewe

  • @Elizabethkiamba-wd3yr
    @Elizabethkiamba-wd3yr2 ай бұрын

    No more grace shusho. Mumeo angekufukuza tungeelewa

  • @MamboleoMalebule
    @MamboleoMalebule2 ай бұрын

    Umalaya unakua mtaji.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 ай бұрын

    Th i s is a joke😮😮 Christi n a Kumbuka familia yako😢😢

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe wewe

  • @raphaelagaitani7590

    @raphaelagaitani7590

    2 ай бұрын

    ​@@user-lv5np3ys1jwewe ni mwehu naona kila koment unajibu kaolewe wewe au na wewe ni wale wale wendawazimu ndoa imekushinda umebaki kudanga pole sanaaaaaaa

  • @Jacklinjohn-cr4vs

    @Jacklinjohn-cr4vs

    Ай бұрын

    ​@@user-lv5np3ys1jlabda n mtoto wake maana kila comment anajibu 😢

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 ай бұрын

    M n afiki mkubwa 😅😅

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe

  • @GervasSospeter-vt3zi
    @GervasSospeter-vt3zi2 ай бұрын

    Bado sijaerewa

  • @GreysonMheni-ln9rm
    @GreysonMheni-ln9rm2 ай бұрын

    MIMI NAAMINI HATA KUMSIKILIZA CHRISTINA NI KOSA KUBWA SANA,HUYU KALICHAFUA KANISA KWA KIASI KIKUBWA SANA

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    2 ай бұрын

    Hebu tumpe mda maana kasema ni assignment tuu(jaribu) kapewa so akimaliza jaribu lke atarejea mahali pake!

  • @luckymsomba4818

    @luckymsomba4818

    2 ай бұрын

    hizo n chuki zako tu

  • @florahemmanuel8323

    @florahemmanuel8323

    2 ай бұрын

    Je wewe hujawahi mkosea Mungu

  • @carolinesaru7386

    @carolinesaru7386

    2 ай бұрын

    Shut up

  • @user-er7hm6nz1s
    @user-er7hm6nz1s2 ай бұрын

    Ngwajima flora shusho kuhani musa ni walewale time ya matapeli

  • @LodvolaLameck-jl5vs

    @LodvolaLameck-jl5vs

    2 ай бұрын

    Wamemtapeli nani?

  • @Mwaliwamoto

    @Mwaliwamoto

    2 ай бұрын

    WE Muondoe Baba Yetu Gwajima kwenye hiyo list haraka. Tena funga kinywa.

  • @MamboleoMalebule
    @MamboleoMalebule2 ай бұрын

    Mtu ana Kashifa mbaya halafu anaconda jukwaani kumtukuza Mungu jinga sana

  • @millyarapta6933

    @millyarapta6933

    2 ай бұрын

    Leave judgement to God

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul38622 ай бұрын

    Mapepo yanaabudiwa

  • @adelinapesha6556

    @adelinapesha6556

    2 ай бұрын

    Kuna pepo GANI hapo, watu wanaombea TAIFA unasema kunapepo!! Kama huwezi kuchangia nyamaza kimya kwa Jina la Yesu Kristo.

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe wewe

  • @qamdiayboay-gv3by

    @qamdiayboay-gv3by

    2 ай бұрын

    Wakiristo wanajifunza kipi kwa kitendo Cha kumwacha familia yake? Apaswa kukaa chini na kuomba Sana kuhusu maono aliyaona, Mungu sio wa machafuko

  • @nuhumhagama2132
    @nuhumhagama21322 ай бұрын

    Tina umemwacha mumeo unamtaka diamond

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    2 ай бұрын

    Alisema ni assignment( jaribu) anapitia tunaamn atalishinda na kurejea ktk nafas yke

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta40002 ай бұрын

    Jamani huyu dada kavurungwa na dunia soon tutasikia yupo wasafi anaimba nyimbo za duniani na mond anakera

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu88732 ай бұрын

    Shusho malaya kahaba huyu hana utukufu wowote nibchangundoa tuu huyo

  • @CelestistineKabura
    @CelestistineKabura2 ай бұрын

    C.shusho, unamhubiri Yesu yupi anayekirubusu kuvunja ndoa ??😂😂😂😂😂😂

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli212 ай бұрын

    Hakuna kitu hapo,anamuimbia shetani,maana Alisha asi

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King2 ай бұрын

    Mrudie mme wako dada

  • @adelinapesha6556

    @adelinapesha6556

    2 ай бұрын

    Mtafute kwa Muda wako. Mungu yuko TOFAUTI na akili zako. Acha kuchafua Ibada ya maombi.

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe wewe

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel90272 ай бұрын

    Huyo ndo ametoroka kwa mme wake na kwenda kwa diamond ama ni mwingine!

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    2 ай бұрын

    Ndo mwenyewe😂😂😂😂😂 anadai anaishi pekeyake

  • @thelivingwordchannel9027

    @thelivingwordchannel9027

    2 ай бұрын

    @@upendoeliya9329 Du! Kazi ipo tena sana kwa hawa waimbaji wa gospel.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga38842 ай бұрын

    SHUSHU KAHARIBU KWAMBA KATOKA KWA MUME KWA SABABU YA WITO. ANAWAWEKA VIBAYA WAKE WA WATUMISHI ATUBU.

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja52312 ай бұрын

    kaishapotea analazimisha

  • @user-lv5np3ys1j

    @user-lv5np3ys1j

    2 ай бұрын

    Kaolewe wewe

  • @raphaelagaitani7590

    @raphaelagaitani7590

    2 ай бұрын

    ​@@user-lv5np3ys1jkahaba mdangaji

  • @itikamlagalila1911

    @itikamlagalila1911

    2 ай бұрын

    Imba na wewe tuonevenye hulazimishi..

  • @christenaandria6379

    @christenaandria6379

    Ай бұрын

    Angalia usije hukumiwa wewe kwa maneno yako yasiyo na maana

Келесі