CHRISTINA SHUSHO ALIVYOGUSA MOYO WA ASKOFU GWAJIMA na KUHANI MUSSA WASHINDWA KUJIZUIA
#OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na watanzania wanaoishi Italia
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
Пікірлер: 84
❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Kenya na Tanzania ndio taa ya uokofu Africa.
Kweli Tz imebalikiwa
Amina.Unabariki dada.Mungu akutunze
Rudi kwa mzee wako we love you in Christianity sister
Yesu akawaambia wale Mafarisayo Yule anayeona hana dhambi Na awe.wa kwanza kumpiga huyu mwanamm jiwe Wote wakatawanyika
@GreysonMheni-ln9rm
2 ай бұрын
Kahaba kahaba tu
@danielstephen4374
2 ай бұрын
Jihadhali sana usitumie maandiko kuhalalisha dhambi za watu ama kuwaziba watu kukemea dhambi. Yesu kusema hivyo hakumaanisha watu wasikemee dhambi bali watu wasihukumu. Kusema huyu katenda dhambi siyo kuhukumu bali ni kumkumbusha ili arejee. Jiulize ikiwa hatutatakiwa kusema dhambi za watu basi tuhubiri nini? Au we ni.muumini wa madhehebu ya mafanikio chumvi na mafuta ya upako?
@leonardyona1462
2 ай бұрын
Acha utopolo wewe bastard!
@musamalaba6401
2 ай бұрын
Umejibu vyema sanaa mtumishi wa Mungu,
Christina kipenzi rudi kwenye kiwango hiki hizi nyimbo uliziimba rohoni sana hazijawahi chuja Nakuombea
Christina rudi kwa mumeo, bado tunakupenda sana. Kumbuka alichounganisha mungu binadamu asitenganishe. Tubu na omba msamaha Mungu atakusamehe kwa ulichokifanya. Hakuna wito wa kutenganisha ndoa takatifu, Rudi kwa mumeo,
@immaculatendinda3900
2 ай бұрын
We shughulikia familia Yako achana na za watu...
@christenaandria6379
Ай бұрын
Kabisaa ashughulike na yake kinacho enda mbinguni ni utakatifu
Bwana Ni msaada Kwa wote
Ni mwimbaji mzuri, lakn ukikosea mahali ni lazima urudi magotini umuulize Yesu kwani kukosea kupo! Mtihani alionao binti huyu kwa mujibu wa biblia, hatakiwi kuolewa na mtu mwingine wala kuzini, vinginevyo arudi kwa mume wake!
@CelestistineKabura
2 ай бұрын
Hh
Kazi nzuri sana dada ubarikiwe sana ❤️
Mungu akupiganiye kipindi iki cha jaribu lako,sikupewa kiti cha hukumu ili nikuhukumu.
Congratulations Christina Shusho ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naomba Mungu wa mama Evalyn Joshua,aliye mukiri hivi majuzi alipo safari kule Scoan Nigeria.akasema anataka awe Mungu wake na yeye pia,amupiganiye ktk wakati wake huu usiyo rahisi kwake.Remember Anything close to Jesus recieves attack from satan.God bless sister Christina Shusho,her family,akainue huduma yake zaidi and see her through,in Jesus name.
Yesu anarudi someni maandiko na neno la mungu halibadiliki asomaye na afahamu kuwa mbingu ipo na jehanamu ipo Bwana anawajua walio wake na kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.kaeni tayari watu watu wa Mungu anakuja yesu upesi watakatifu ndio watakaotwaliwa
Aiseee powerful
Amen
Flora mbasha, na Christina shusho wote wamebaki ikabodi tu. Zamani walikuwa safi sana
Waliopitwa ndio wanaokuombea mabaya.. na yote hayo yameanza baada ya Waziri mkuu kukupa nafasi ya kufanyia MTOKO WA PASAKA UWANJA WA TAIFA... HAAAHAAA WATAPIGANAAAA....BADO UTASHINDAAA MAMAAA❤❤❤ U SANAAAA
Unanibariki sana Mungu akutunze
@saimonijonas4356
2 ай бұрын
Kwalipi? Mtakuja kuguswa nakubarikiwa na shetani aliyejigeuza kuwa malaika wa Nuru.Mungu yupi anasema vunja ndoa unitumikie? Mungu yupi anasema unganeni na mashetani niwabariki?
Starting assignment
Kweli Mungu akukumbuke
@chrisdeoglatias8665
2 ай бұрын
Ha ha haaaaa! Ni kwl kw hatua aliyonnayo Mungu amkumbuke, ampe kurejea mahali pake,
Umukumbuke mumeo umemwachaaaa
Delilah
You can feel no more grace in your songs
Huo wimbo uliimba kabla hujahasi
Umepotea dada ,Rudi kwa mmeo
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe wewe
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe wewe
Mbona kakupitaa wewe na ndoa yako imekuwa ivyooo
@chrisdeoglatias8665
2 ай бұрын
Tuwaombee c unaona waimbaj wa injili wengi ndoa zao zimezama!!!? Tuwaombee maana ameimba mch Abiudi UIMBAJI NI WITO WA WATU WANAOANGUKA jpo yy hajaanguka ila kw wasiokuw makini maana katika umaskin. Mwng au utajir na umaarufu ndipo mtu hujaribiw sn hvyo umakin mkubw unahtajka wkt huo!
Kipindi ki I e 😢kumbuka watoto wako😢😢
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe wewe
No more grace shusho. Mumeo angekufukuza tungeelewa
Umalaya unakua mtaji.
Th i s is a joke😮😮 Christi n a Kumbuka familia yako😢😢
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe wewe
@raphaelagaitani7590
2 ай бұрын
@@user-lv5np3ys1jwewe ni mwehu naona kila koment unajibu kaolewe wewe au na wewe ni wale wale wendawazimu ndoa imekushinda umebaki kudanga pole sanaaaaaaa
@Jacklinjohn-cr4vs
Ай бұрын
@@user-lv5np3ys1jlabda n mtoto wake maana kila comment anajibu 😢
M n afiki mkubwa 😅😅
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe
Bado sijaerewa
MIMI NAAMINI HATA KUMSIKILIZA CHRISTINA NI KOSA KUBWA SANA,HUYU KALICHAFUA KANISA KWA KIASI KIKUBWA SANA
@chrisdeoglatias8665
2 ай бұрын
Hebu tumpe mda maana kasema ni assignment tuu(jaribu) kapewa so akimaliza jaribu lke atarejea mahali pake!
@luckymsomba4818
2 ай бұрын
hizo n chuki zako tu
@florahemmanuel8323
2 ай бұрын
Je wewe hujawahi mkosea Mungu
@carolinesaru7386
2 ай бұрын
Shut up
Ngwajima flora shusho kuhani musa ni walewale time ya matapeli
@LodvolaLameck-jl5vs
2 ай бұрын
Wamemtapeli nani?
@Mwaliwamoto
2 ай бұрын
WE Muondoe Baba Yetu Gwajima kwenye hiyo list haraka. Tena funga kinywa.
Mtu ana Kashifa mbaya halafu anaconda jukwaani kumtukuza Mungu jinga sana
@millyarapta6933
2 ай бұрын
Leave judgement to God
Mapepo yanaabudiwa
@adelinapesha6556
2 ай бұрын
Kuna pepo GANI hapo, watu wanaombea TAIFA unasema kunapepo!! Kama huwezi kuchangia nyamaza kimya kwa Jina la Yesu Kristo.
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe wewe
@qamdiayboay-gv3by
2 ай бұрын
Wakiristo wanajifunza kipi kwa kitendo Cha kumwacha familia yake? Apaswa kukaa chini na kuomba Sana kuhusu maono aliyaona, Mungu sio wa machafuko
Tina umemwacha mumeo unamtaka diamond
@chrisdeoglatias8665
2 ай бұрын
Alisema ni assignment( jaribu) anapitia tunaamn atalishinda na kurejea ktk nafas yke
Jamani huyu dada kavurungwa na dunia soon tutasikia yupo wasafi anaimba nyimbo za duniani na mond anakera
Shusho malaya kahaba huyu hana utukufu wowote nibchangundoa tuu huyo
C.shusho, unamhubiri Yesu yupi anayekirubusu kuvunja ndoa ??😂😂😂😂😂😂
Hakuna kitu hapo,anamuimbia shetani,maana Alisha asi
Mrudie mme wako dada
@adelinapesha6556
2 ай бұрын
Mtafute kwa Muda wako. Mungu yuko TOFAUTI na akili zako. Acha kuchafua Ibada ya maombi.
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe wewe
Huyo ndo ametoroka kwa mme wake na kwenda kwa diamond ama ni mwingine!
@upendoeliya9329
2 ай бұрын
Ndo mwenyewe😂😂😂😂😂 anadai anaishi pekeyake
@thelivingwordchannel9027
2 ай бұрын
@@upendoeliya9329 Du! Kazi ipo tena sana kwa hawa waimbaji wa gospel.
SHUSHU KAHARIBU KWAMBA KATOKA KWA MUME KWA SABABU YA WITO. ANAWAWEKA VIBAYA WAKE WA WATUMISHI ATUBU.
kaishapotea analazimisha
@user-lv5np3ys1j
2 ай бұрын
Kaolewe wewe
@raphaelagaitani7590
2 ай бұрын
@@user-lv5np3ys1jkahaba mdangaji
@itikamlagalila1911
2 ай бұрын
Imba na wewe tuonevenye hulazimishi..
@christenaandria6379
Ай бұрын
Angalia usije hukumiwa wewe kwa maneno yako yasiyo na maana