MUHUBIRI MWAIPOPO AMBANA MCHUNGAJI ATOA SIRI ZA KANISA NA KUSILIMU **PARTY 1**
#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Пікірлер: 210
Hakika unafanya kazi Shekh wetu, Allah akusimamie na akupe pepo
Wallah uislamu neema sana Allah atuongozee waislamu wote na atupe mwisho mwema na awahifadhi masheikh wetu awajalie umri na awajalie wawe wenye kupenda na kusaidiana
Allah akufanyie wepesi sheikh wangu mwaipopo pamoja na waislamu woote Allah atuingize peponi ameen 🤲🏻
@hashim8130
2 жыл бұрын
Amin
@jeffmulei8895
2 жыл бұрын
ilimpasa Muhammed haubiri habali ya yesu kwamaana yesu alikueko kabla Muhammed Bali aliasi na pia Bible ilikua kabla ya Qur'an
@hashim8130
2 жыл бұрын
@@jeffmulei8895 ilokuwepo qabla ya Quran ni tawrati na zaburi na injili na sio bibilia sababu neno bibilia halipatikani ndani ya bibilia it's not exist! You can only find outside the cover but not inside, if you look word Quran you'll find outside and inside the Qur'an
@donedaddy4561
2 жыл бұрын
@@jeffmulei8895 toa andiko kwanzia mwanzo wa biblia mpaka mwisho kam utakuta kuna sehemu imeandikwa biblia zaid ya juu ya lile kasha
@laylayl5166
Жыл бұрын
Amiin amiin
Sheikh wetu mwaipopo Allah akupe afya njema na akulipe kw yale unayoyafnya na akupe ujasiri ya kupambana na hawa makafiri
Uislamu ni dini ya kweli kweli shekhe
Mungu akupe pepo ya daraja ya juu sheh wangu na ambao hawamini uislamu kuwa ni dini ya haki basi waingie kwa makundi ishaalwah
Mungu azidi kukuletea wepesi shekh Mwaipopo
Inshaa Allah mungu amfungue amtoe kwenye Giza asilimu kashaanza kuelewa
Allah akuongoze sheikh mwaipopo
Sheikh Mwaipopo Allah akubarik na aku hifadhi Ameen Ameen.
Mwaipopo kwa maneno tu unanifurahisha dah
Wallahi mwaipopo Allah akulipe
Utukufu ni wako Allah mwaipopo akutukuze Allah waelemishe wakristu waijue kweli hao
Mwijilisti kasema andiko hilo hakuna🤣🤣😜😜😜😜 Piga keleleee kwa mwaipopo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘😘😘💙
Allah akutie nguvu zaid sheikh mwaipopo kwa kazi nzito
MashaAllah sheikh kazi nzuri maswali kama hayo ndio yanatakikana katika mijdada
DAH, I SALUTE SHEIKH MWAIPOPO
Masha Allah Mungu akuhifadhi Sheikh
Shukrani mwaipopo kipindi Kizur lkn kifupi
Shukran San sheikh wetu
Wallah leo nimeamini mwaipopo ni msomi Allah amuhifadhi na amzidishie imani. Amin
Kazi nzuri unafanya kwa elimisha mungu akubariki
Mashalah
Masha"Allah yani uyu dogo kachemsha kabisa ana hoja biblia iko wazi na Qura'n pia
@abdulmohd6880
3 жыл бұрын
Mwanangu nnapoenda nakuona by the way ww n mtu wa Kangani? We n mdogo wake Khadija?
Mashaa Allah
MashaAllah
Wewe ni mwongo mkubwa Tena yesu Atabaki Kuwa Yesu,,akuna kuenda mbinguni,,,Hadi yesu arusi bibilia inasema wote walio lala mautini watafufuliwa,,wewe unasema eti waliokufa wakati wa Abraham,,na musa walienda aje mbinguni na yesu alikua hayuko,,,wewe ulilipwa kuwacha ukiristo na kuenda uisilamu,,mungu akusamehe
May Allah bless you always shkh
Mashaaallah
maashallah
ALLAH AKUJALIE SANA UST MWAIPOPO?
Sasa mashehe Yesu ana wahusu nini nyie endeleni na mtumeme wenu sisi tubaki na Yesu wetu.
Mashaallah shkh
Mashaalh shekh wet
Wallah shekh mwaipopo Allah akulipe naakupe mwisho mwema
Walaykum salam warahmatullaah wabarakatuh
😂😂😂😂😂 ila hawa watu Allah awaongoze inshaallah........ameeen
Shekh mungu akuongezee ilim ishaalla alla akulipe
Amini
Mazinge ukowapi kuna kajitu ha pa kabisha ka dagaa wakigoma njoo ukanyooshe
80:11..13...Quran Waandishi Ni malaika kupitia kwa mtume Mohammad s.w.s.na mtume aliihifadhi na maswaba zake wakawa wanakopi kutoka kwake then Mtume anayapitia walio andika Kama yako sawa na aliye funuliwa
Muijilisti naona alainika inshallah atasilimu Tu.
Maa shaa Allah ukweli umefikia na kajitosheleza kwa masuala ilobaki ni kazi yake na Allah ndie anaeongoza.
Mashallah
Shida kubwa yenye wachungaji wetu wanayo ni uchache wa Elimu, mchu gaji ambaye amesoma Quran, amesoma ,hadidhi za mtume,amesoma kitabu maisha ya mutume , waalimu wakiislamu watatoroka
Waislaam tembea kifua mbele tuna dini ya haki hao wengne NI mataka taka,hiyo shule alosoma yesu sjui NI vidudu
We mwalimu wa wakirisu yesu aliwayi kuwa njia yakwenda kwa Mungu kwa zama zake
@mossesjovenari9457
3 жыл бұрын
wewe unamatatizo huna point
Yes alishushiwa nabi Muhamad nawameshakwambiya anafanana na Musa alikuwa na swahaba yuko kama haruni wa musa yani mutuwake wapili itika yesu alisoma akwende akuoneshe daftari zake 😅😅 utume nimiujiza aio mpaka mutu asome paulo njo kasoma kaona uroho wa mutume atakuja mupia kaja kuwa zalimu: yesu alisoma afu mwamuita mungu mungu asome aje na nilazima awe na elimu binafsi yakujitosheleza ico kitabo alikiandikisha ni aboubakar yuko kama haruni wa musa badala yakifo ca anayeshushia we vip? Mutume muhamadi anafanana na musa vingi ata kucunga mbuzi vingitu
Allah akbal
Bwana Yesu asifiwe
@eastafrica6858
Жыл бұрын
Yesu muislam ndugu uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu uisome uislam
Huyo siyo mchungsji
Mungu yupo kwenye dini zote
M/mungu as mfungue akili yake amina
SUBHANALLAH
Uongo wote waislam
Mbona mnaongeyatu bilakusoma vitabu someni vitabu sheikh wetu
Angekutanana mazinge angesilim
@abuujibriltv5233
Жыл бұрын
Nyinyi hamjui. Mazinge huwa anapiga zile za kuumiza mpaka Wana kimbia. Ila huyu jamaa ana hekma sana na ndivyo inavyo takiwa na ndo watasilimu kwa wepesi
Mchungaji amechemsha
Wenjutakwenda motoni ambaye umefunzwa na paulo aliyetumwa na sheitani eti yesu mungu yesu mutoto wa mungu yesu kafa musalabani
Uislam hauna msaada ni wenyewe unajithibitisha kuwa ni dini ya kweli.
YESU NDIYO SIRI KUBWA
Wakiristo msaidieni mwenzenu mpeni aya ni wapi ukiristo ni dini ndani ya bililia?
@wilfredlukowo4692
2 жыл бұрын
Ukristo sio dini ukristo ni mtoka mbinguni mtu wa mbinguni
Toa andiko kijana Wapi ukirto dini
Mbona mchungaji unaongopea kufunga macho kama ilivyo desturi yenu walokole ....
Ni msiba kusikia mzazimbar kaokoka 😀😀😀😀😀🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Sasa mtu utamkuta kusoma hajasoma, imani ya Mungu hana halafu anapelekewa pesa ya boflo afanyeje? Au huwajui hao wanavyonunua watu?
@mwanahamis5487
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 mungu atunusuru
@buuwahiid2898
2 жыл бұрын
@@mwanahamis5487 sio wazanzibar halisi ni wakutoka bara
@mwanahamis5487
2 жыл бұрын
@@buuwahiid2898 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo wataka kusema wazazimbar halisi nyie Ni wa takatifu..... Wakazi wa zenji mnaogoza kwa Uchafu Acha kusingizia watu bara.. Juzi kakamatwa mwalimu wa madrasa kalawiti mtoto nae Ni wabara..
@buuwahiid2898
2 жыл бұрын
@@mwanahamis5487 sitaki kuleta fitna ya ushabiki anaye ijuwa zanzibar ananielewa nata mwaipopo ni mbara lkn amesema sio wazanzibar halisi ni wageni kutokea bara
Mwaipopo maneno Yako nimazuri ila munababa isha Watu wenye awajuwi mahandiko unasikiya kwanza uyo mwalimu amesema kama ajuwi q'aran yeye anajuwa kitabu pekeyake
YESU KRISTO OYEEEEEEEEEEEE
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
M'Mungu amuongoze kila mja
@eastafrica6858
Жыл бұрын
Papa oyeee lakinii yesu msimsingizie ni muilam alimsujudia mmungu mmoja
Ukiridhika kuwa yesu ninani na ameletwa Kwa ajili Yakima Nani basi utaridhika maneno ya shekhe ukiridhika basi utakuwa niubishi tuu wamakafiri.
😀
Sheikh Hao wameshapotea mngu awaongoze...
Alete kabisa wapi mungu awe musemaji ucristo nidini ya mungu
@buuwahiid2898
2 жыл бұрын
Njoo tujadili bibilia
Naomba mjadala na mwaipopo
@J4UPro
3 жыл бұрын
Namba hiyo chukua umtafute
@hamadfaki2503
2 жыл бұрын
Ameweka namba zake za cm hapo juu kwaiyo mtafute mufanye mdahalo
Kwa hayo maandiko ulio yatoa Mwaipopo hakuna andiko lililo thibitisha kuwa Yesu kuwa ni mwislam,
@samxx411
2 жыл бұрын
Nenda na wewe ukatetee ukristo tukuone acha maneno ya katika kawa
@ambarnelly6304
2 жыл бұрын
Wapi yesu ni mkristo na wapi kaimgia kanisani mana yesu kaingia msikitini si kanisani na wanao ingia msikitini kufanya ibada muna wajua
Mchungaji jibu swali
Huyu mtoto badoo hata kusoma hajasoma vizuri nimuigajitu
Mm jamani someni biblia Sana nyakati za mwisho hizi ata sijaona kilichomvutia huyu jamaa kuingia uislamu
Assalamualaikum. Salam dr indonesia
Yesu akidema apo mumeka na shekh atamusemeya sheikh katika haki ila nyinyi eacristo mumedanganywa na ma papa ebu twambiye izokanisa zote mbona hazinalakuzungumuza bila yesu masayenu munayamaliza kwakufanya upuuzi tu makanisani
Wapi wacristo mungu awataje kwa jina mutakwenda mbinguni???? Towa swali ni mbili manabi wauongo yesu hasikiyi haoni kilacake kimesimamishwa na Allah Allah ndiye atamurudisha aishisikuzake zilizobaki na afe na yeye kila roho itakufa
WACHA KUDANGANYA WATU SINAGOG Sio msikiti SINAGOG Kwa kiharabu ni majamihu MSIKITI KWA Kiharabu ni Masjid soma 22:40 quran
@alhaddajmohammed4768
3 жыл бұрын
Soma Biblia tafsiri ya Sinagogi ni nini?! Kwa mujibu wa Biblia maana ya SINAGOGI/MASINAGOGI ni Misikiti ya Wayahudi.
@mossesjovenari9457
3 жыл бұрын
@@alhaddajmohammed4768 nipe haya inayosema SINAGOGI ni msikiti ndani ya BIBILIA kama mimi nilivyotoa haya kwenye quran 22:40 kwamba sinagogi sio msikiti.
@mossesjovenari9457
3 жыл бұрын
@@alhaddajmohammed4768 Na watu waliokuwa wakisalia kwenye MASINAGOG Walikuwa wakimpinga sana BWANA YESU ndo waliokuwa wanataka kumuua Ndo maana waliosalia mle aliwaita watu wa SINAGOG LA SHETAN soma ufunuo 3:9
@essaumpuma2981
3 жыл бұрын
@@alhaddajmohammed4768 omba tukufundishe hiyo tafasiri ya maneno magumu ni waliotafsir biblia kwa kiswahili, ni tafsri shabihifu, ni maneno ya watu waliotafsiri biblia kwa kiswahili,sasa kwanini biblia ya Kingereza Kifaransa, kiarabu na lugha nyingine hazina Tafasiri hiyo? tumekupa aya ndani ya quran, qurani 22:40 haya na wewe toa aya ndani ya biblia tukuone kama mkweli , kitu ambacho huelewi wayahudi wapo waliomkubali yesu na waliomkataa waliokubali ndio wakristo au watu wa christo na ndio wanaoitwa kanisa ni wa tuna sio jengo kama kitabu chako cha qurani22:40 kinavyo dai
@eastafrica6858
Жыл бұрын
@@essaumpuma2981 sina gogi msikiti nyuma ya bible imeandikwa mbona hawa jandika kua ni kanisa mfano beth le hem manake Kwa kiarabu nyumba ya nyama
Ndugu umepotea ata maona yako yata fungwa umemsaliti yesu mara ya pili vifungo vyote vimekurudi uta omboleza hutapata msaada.
Huyo agekutana na mazinge 😀😀😀😀mwijilisti Kaa Mbali na Hao watu unawajaribuu sio
Shekhe naombeni mje muweke mdahalo mafinga mkoa wa ilinga mje mtupunguzie hawa watu uku naombeni jaman mje na shekhe mazinge mje nae
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Kweli kabisa waje kuelimisha watu
WAINJILIST TUNATAKA POINTS WAPI NABII ISSA AS ALIKUA MKRISTO WAPI UKRISTO NI DINI YA MWENYEZIMUNGU?
@mossesjovenari9457
3 жыл бұрын
Maana ya dini ni nini?
Sema wewe twambiye iyo dini ya ki papa umeokota wapi? Wewe funzwa naana kunajini anakuzidi samani mbele ya Mungu ivi hamukuona majini waliyoishi na nabi seileimani mutoto wa daudi? Mpaka wakajenga betrhemu we uko wapi gisi kuko watu wazuri ndivyo kuko majini wazuri gisi kuko watu wabaya ndivyo kuko majini wa baya wewe ka ufunzwe usileti maneno yasokua na elimu uisilam ni elimu
Ulisikia wapi
Shekhe mwaipopo kaelewa huyo pasta cunaona alivyotulia
Msibishane sana ikiwai kweli kristo mda wake umepita niambie ni Nani mwenye kufufua wafu Katka kihama ya mwisho; lakin pia subiria ukifa ndilo utajua yesu ni Mungu au sio Mungu pia nyie hamkua na yesu ndani ndiomaana mlimuacha kristo
@ambarnelly6304
2 жыл бұрын
Ssi waislamu ndo tunamfuata yesu sasa kazi kwenu mana hakuingia kanisani hajabatiza hajajita yye ni mungu wala kwenye biblia hakuna neno ukristo ni dini sasa ndugu huna dini,Huna mungu sasa kazi kwako
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Yesu ni Mtume wa Mungu kama mitume wengine...Yesu sio Mungu...
Sheikh bhana unajitahidi kufunika ukweli Musa alipewa utume na Mungu na mtume Mohammed alipewa Utume na mjomba wake aliyekuwa mchawi Mr Waragha
@shifaazawadi4438
3 жыл бұрын
Soma biblia vizuri utajua Mohammad alitabiriwa kwenye biblia
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
@@shifaazawadi4438, Utawaweza kwa uongo na uzushi hao? Wamerithi kwa babu yao Paulo "Warumi 3:7" na Paulo alijisifu yy ni muongo na Yesu akathibitisha Paulo ni muongo Matayo 8:44. Note; Paulo alikua Farisayo na alijifanya kipofu.
@shifaazawadi4438
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 sijui hawawlewi biblia kama paulo aliwaambia niupumbavu wangu mwenyewe lakini sikutumwa haya maandiko hawayaoni tena akawaambia mkusanyikapo siku ya ijumapili sikwafaida bali mnkusanyika kwa hasara
@Bosskubwah4501
2 жыл бұрын
Huyu bado hajaijua Bible ukija kwenye ELIMU YA FANI YA MJADALA inabidi umesoma BIBLE zote na ziwe kichwani ndipo Uje mezani sio unatoa kichwani utachanganya watu ndugu yangu
Mchungaji kabanwa
Hahahaaaaaaaaa hahahaaaaa uuuuwiii
Kiuongozi imani ya uislam ni muhammad na imani ya ukristo ni yesu.....kwahiyo kuufuata uislam si kumfuata yesu bali muhammad na kumfuata yesu ni kufuata imani gani?
@ambarnelly6304
2 жыл бұрын
Kwani yesu dini gani
Hahahahahah hamna Cha mwinjilist hapo
Ivi kikwete mbele ya mama samia nani muku? Muda wa yesu umekwesha kama ata musa someni bibilia bibilia inasema ongo na kweli tena njowamewapoteza ivo na Allah kwauruma kaleta quor an yesu alikuwa njia kwanza kwawa israel
Sasa mbona mchungaji mwenyewe hata kujieleza hajui ?
sio dini ya majini lakini alteast majini walisikia quran wakasilimu, lakini waisilamu wote ni ndugu, basi waisilamu wana ndugu wa kijini, ambao kwa mujibu wa biblia majini wote ni waasi wote motoni. Yaani majini wameona pakukimbilia ni kwenye uisilamu toooba huu ni msiba, Majini hayana nafasi katika kristo Yesu. Majini hawana dini isipokuwa ni uisilamu. huo ni ushahidi tosha kuwa uisilamu ni ambayo aitokani na YEHOVA bali ALLAH ambaye mpaka sasa hana mfano, kwakifupi hayupo, ila ametungwa tu.
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Ikiwa hamjui kutofautisha hata Jin na Malaika mtajua nn?
@abelsteven3189
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Poa, sijui ila ninashaka na dini ambayo ni kimbilio kwa majini, Majini yanaona bora yasilimu, ndio maana inabidi iwachukue mda kusoma elimu ya kijini kwa kuwa ni ndugu zenu kiimani, inasikitisha sana, kiukweli hamjui, mnayemwabudu. Ndio maana mpaka leo kuna vitu vingi haviishi katika uisilamu, bado kuna hitilafu nyingi katika kipi ni halali kipi ni haramu , hadithi dhaifu na sahihi, Mafundisho mengi hayaendani na ustarabu na maumbile ya mwanadamu.
@buuwahiid2898
2 жыл бұрын
@@abelsteven3189 njoo tujadili bibilia
@mohdahmada1061
Жыл бұрын
Ww akil hun kwanz ujue tofaut bain y jin n shetan hlf cc waislam tunkubal kuw wapo majin waislam n wasio waislam nd mashetan ndug zenu nyiny wakristo at ww mwenyew n shetan kw sabab umekataa hki
Huyu hajui kitu
We mucungaji ka ufunzwe njo ufate ao uace maamuzi niyako usileti ubishi ka ufunzwe waisilam sisi niviongozi wenu wenye akili ata Mungu anasema waisilam wako na akili panabaki muabudu mawe
Wewe ndo utaishia motoni unasema maneno ambayo ata paulo aloyakufunza umemutupa katika ukatolique nakwenda fanya kanisa sumufate katika ukatoloka apo biblia kunamaneno niya uongo aliyaweka nabi wa uongo paulo yesu hajaaca mumemuongezeya
Muinjilisti ameingia wrong number , haamini wakati hana andiko