MUHUBIRI MWAIPOPO AMBANA MCHUNGAJI ATOA SIRI ZA KANISA NA KUSILIMU **PARTY 1**

#SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya KZread ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Пікірлер: 210

  • @nyetaapaul619
    @nyetaapaul6193 жыл бұрын

    Hakika unafanya kazi Shekh wetu, Allah akusimamie na akupe pepo

  • @hamisibadi4981
    @hamisibadi49813 жыл бұрын

    Wallah uislamu neema sana Allah atuongozee waislamu wote na atupe mwisho mwema na awahifadhi masheikh wetu awajalie umri na awajalie wawe wenye kupenda na kusaidiana

  • @issmuking3987
    @issmuking39873 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi sheikh wangu mwaipopo pamoja na waislamu woote Allah atuingize peponi ameen 🤲🏻

  • @hashim8130

    @hashim8130

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @jeffmulei8895

    @jeffmulei8895

    2 жыл бұрын

    ilimpasa Muhammed haubiri habali ya yesu kwamaana yesu alikueko kabla Muhammed Bali aliasi na pia Bible ilikua kabla ya Qur'an

  • @hashim8130

    @hashim8130

    2 жыл бұрын

    @@jeffmulei8895 ilokuwepo qabla ya Quran ni tawrati na zaburi na injili na sio bibilia sababu neno bibilia halipatikani ndani ya bibilia it's not exist! You can only find outside the cover but not inside, if you look word Quran you'll find outside and inside the Qur'an

  • @donedaddy4561

    @donedaddy4561

    2 жыл бұрын

    @@jeffmulei8895 toa andiko kwanzia mwanzo wa biblia mpaka mwisho kam utakuta kuna sehemu imeandikwa biblia zaid ya juu ya lile kasha

  • @laylayl5166

    @laylayl5166

    Жыл бұрын

    Amiin amiin

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo43792 жыл бұрын

    Sheikh wetu mwaipopo Allah akupe afya njema na akulipe kw yale unayoyafnya na akupe ujasiri ya kupambana na hawa makafiri

  • @japhetsamson2433
    @japhetsamson2433 Жыл бұрын

    Uislamu ni dini ya kweli kweli shekhe

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly63042 жыл бұрын

    Mungu akupe pepo ya daraja ya juu sheh wangu na ambao hawamini uislamu kuwa ni dini ya haki basi waingie kwa makundi ishaalwah

  • @mirajiissa1443
    @mirajiissa1443 Жыл бұрын

    Mungu azidi kukuletea wepesi shekh Mwaipopo

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91562 жыл бұрын

    Inshaa Allah mungu amfungue amtoe kwenye Giza asilimu kashaanza kuelewa

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Allah akuongoze sheikh mwaipopo

  • @mufid707
    @mufid7073 жыл бұрын

    Sheikh Mwaipopo Allah akubarik na aku hifadhi Ameen Ameen.

  • @asnalimtv7690
    @asnalimtv76904 ай бұрын

    Mwaipopo kwa maneno tu unanifurahisha dah

  • @issmuking3987
    @issmuking39873 жыл бұрын

    Wallahi mwaipopo Allah akulipe

  • @musasaanane2758
    @musasaanane27582 жыл бұрын

    Utukufu ni wako Allah mwaipopo akutukuze Allah waelemishe wakristu waijue kweli hao

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Mwijilisti kasema andiko hilo hakuna🤣🤣😜😜😜😜 Piga keleleee kwa mwaipopo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘😘😘💙

  • @hassanally4960
    @hassanally49602 жыл бұрын

    Allah akutie nguvu zaid sheikh mwaipopo kwa kazi nzito

  • @abdisalat1579
    @abdisalat15799 ай бұрын

    MashaAllah sheikh kazi nzuri maswali kama hayo ndio yanatakikana katika mijdada

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid117110 ай бұрын

    DAH, I SALUTE SHEIKH MWAIPOPO

  • @dktabbaimran2002
    @dktabbaimran20022 жыл бұрын

    Masha Allah Mungu akuhifadhi Sheikh

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Shukrani mwaipopo kipindi Kizur lkn kifupi

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42723 жыл бұрын

    Shukran San sheikh wetu

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye51272 жыл бұрын

    Wallah leo nimeamini mwaipopo ni msomi Allah amuhifadhi na amzidishie imani. Amin

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa55633 жыл бұрын

    Kazi nzuri unafanya kwa elimisha mungu akubariki

  • @saidswalehe2807
    @saidswalehe28073 жыл бұрын

    Mashalah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia48243 жыл бұрын

    Masha"Allah yani uyu dogo kachemsha kabisa ana hoja biblia iko wazi na Qura'n pia

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    3 жыл бұрын

    Mwanangu nnapoenda nakuona by the way ww n mtu wa Kangani? We n mdogo wake Khadija?

  • @mohamedsheha-jz6hn
    @mohamedsheha-jz6hn Жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama1542 Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @benjaminmukabana1496
    @benjaminmukabana14967 ай бұрын

    Wewe ni mwongo mkubwa Tena yesu Atabaki Kuwa Yesu,,akuna kuenda mbinguni,,,Hadi yesu arusi bibilia inasema wote walio lala mautini watafufuliwa,,wewe unasema eti waliokufa wakati wa Abraham,,na musa walienda aje mbinguni na yesu alikua hayuko,,,wewe ulilipwa kuwacha ukiristo na kuenda uisilamu,,mungu akusamehe

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh28812 жыл бұрын

    May Allah bless you always shkh

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali83772 жыл бұрын

    Mashaaallah

  • @tindambaraka2357
    @tindambaraka23572 жыл бұрын

    maashallah

  • @abubakarwasonga5398
    @abubakarwasonga53982 жыл бұрын

    ALLAH AKUJALIE SANA UST MWAIPOPO?

  • @VitalisMmassi-oh4jb
    @VitalisMmassi-oh4jb Жыл бұрын

    Sasa mashehe Yesu ana wahusu nini nyie endeleni na mtumeme wenu sisi tubaki na Yesu wetu.

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh28812 жыл бұрын

    Mashaallah shkh

  • @lelasalum555
    @lelasalum5553 жыл бұрын

    Mashaalh shekh wet

  • @sulemanissa3199
    @sulemanissa31993 жыл бұрын

    Wallah shekh mwaipopo Allah akulipe naakupe mwisho mwema

  • @oman7710
    @oman77102 жыл бұрын

    Walaykum salam warahmatullaah wabarakatuh

  • @princerammy1543
    @princerammy15432 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 ila hawa watu Allah awaongoze inshaallah........ameeen

  • @hidayajamada4817
    @hidayajamada48172 жыл бұрын

    Shekh mungu akuongezee ilim ishaalla alla akulipe

  • @mirajiissa1443
    @mirajiissa1443 Жыл бұрын

    Amini

  • @oqmoqmn5492
    @oqmoqmn54922 жыл бұрын

    Mazinge ukowapi kuna kajitu ha pa kabisha ka dagaa wakigoma njoo ukanyooshe

  • @husseinkiruta1712
    @husseinkiruta17123 жыл бұрын

    80:11..13...Quran Waandishi Ni malaika kupitia kwa mtume Mohammad s.w.s.na mtume aliihifadhi na maswaba zake wakawa wanakopi kutoka kwake then Mtume anayapitia walio andika Kama yako sawa na aliye funuliwa

  • @georgeotieno2818
    @georgeotieno28183 жыл бұрын

    Muijilisti naona alainika inshallah atasilimu Tu.

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57963 жыл бұрын

    Maa shaa Allah ukweli umefikia na kajitosheleza kwa masuala ilobaki ni kazi yake na Allah ndie anaeongoza.

  • @salihymhene45
    @salihymhene452 жыл бұрын

    Mashallah

  • @hillaryarande745
    @hillaryarande7452 жыл бұрын

    Shida kubwa yenye wachungaji wetu wanayo ni uchache wa Elimu, mchu gaji ambaye amesoma Quran, amesoma ,hadidhi za mtume,amesoma kitabu maisha ya mutume , waalimu wakiislamu watatoroka

  • @abdulabuu7428
    @abdulabuu74282 жыл бұрын

    Waislaam tembea kifua mbele tuna dini ya haki hao wengne NI mataka taka,hiyo shule alosoma yesu sjui NI vidudu

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    We mwalimu wa wakirisu yesu aliwayi kuwa njia yakwenda kwa Mungu kwa zama zake

  • @mossesjovenari9457

    @mossesjovenari9457

    3 жыл бұрын

    wewe unamatatizo huna point

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Yes alishushiwa nabi Muhamad nawameshakwambiya anafanana na Musa alikuwa na swahaba yuko kama haruni wa musa yani mutuwake wapili itika yesu alisoma akwende akuoneshe daftari zake 😅😅 utume nimiujiza aio mpaka mutu asome paulo njo kasoma kaona uroho wa mutume atakuja mupia kaja kuwa zalimu: yesu alisoma afu mwamuita mungu mungu asome aje na nilazima awe na elimu binafsi yakujitosheleza ico kitabo alikiandikisha ni aboubakar yuko kama haruni wa musa badala yakifo ca anayeshushia we vip? Mutume muhamadi anafanana na musa vingi ata kucunga mbuzi vingitu

  • @sheilaseif8884
    @sheilaseif88842 жыл бұрын

    Allah akbal

  • @samwelmwasomola2457
    @samwelmwasomola24572 жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    Жыл бұрын

    Yesu muislam ndugu uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu uisome uislam

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn14022 жыл бұрын

    Huyo siyo mchungsji

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Жыл бұрын

    Mungu yupo kwenye dini zote

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu8252 жыл бұрын

    M/mungu as mfungue akili yake amina

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh28812 жыл бұрын

    SUBHANALLAH

  • @faithmapondo7370
    @faithmapondo7370 Жыл бұрын

    Uongo wote waislam

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo42723 жыл бұрын

    Mbona mnaongeyatu bilakusoma vitabu someni vitabu sheikh wetu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    Angekutanana mazinge angesilim

  • @abuujibriltv5233

    @abuujibriltv5233

    Жыл бұрын

    Nyinyi hamjui. Mazinge huwa anapiga zile za kuumiza mpaka Wana kimbia. Ila huyu jamaa ana hekma sana na ndivyo inavyo takiwa na ndo watasilimu kwa wepesi

  • @georgeotieno2818
    @georgeotieno28183 жыл бұрын

    Mchungaji amechemsha

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Wenjutakwenda motoni ambaye umefunzwa na paulo aliyetumwa na sheitani eti yesu mungu yesu mutoto wa mungu yesu kafa musalabani

  • @muhammadfadhil9835
    @muhammadfadhil98352 жыл бұрын

    Uislam hauna msaada ni wenyewe unajithibitisha kuwa ni dini ya kweli.

  • @shafiihssan738
    @shafiihssan7383 жыл бұрын

    YESU NDIYO SIRI KUBWA

  • @muhammadfadhil9835
    @muhammadfadhil98352 жыл бұрын

    Wakiristo msaidieni mwenzenu mpeni aya ni wapi ukiristo ni dini ndani ya bililia?

  • @wilfredlukowo4692

    @wilfredlukowo4692

    2 жыл бұрын

    Ukristo sio dini ukristo ni mtoka mbinguni mtu wa mbinguni

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Toa andiko kijana Wapi ukirto dini

  • @ngokaomary5123
    @ngokaomary51233 жыл бұрын

    Mbona mchungaji unaongopea kufunga macho kama ilivyo desturi yenu walokole ....

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Ni msiba kusikia mzazimbar kaokoka 😀😀😀😀😀🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    Sasa mtu utamkuta kusoma hajasoma, imani ya Mungu hana halafu anapelekewa pesa ya boflo afanyeje? Au huwajui hao wanavyonunua watu?

  • @mwanahamis5487

    @mwanahamis5487

    3 жыл бұрын

    @@alhamdulillah5796 mungu atunusuru

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    @@mwanahamis5487 sio wazanzibar halisi ni wakutoka bara

  • @mwanahamis5487

    @mwanahamis5487

    2 жыл бұрын

    @@buuwahiid2898 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo wataka kusema wazazimbar halisi nyie Ni wa takatifu..... Wakazi wa zenji mnaogoza kwa Uchafu Acha kusingizia watu bara.. Juzi kakamatwa mwalimu wa madrasa kalawiti mtoto nae Ni wabara..

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    @@mwanahamis5487 sitaki kuleta fitna ya ushabiki anaye ijuwa zanzibar ananielewa nata mwaipopo ni mbara lkn amesema sio wazanzibar halisi ni wageni kutokea bara

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n2 ай бұрын

    Mwaipopo maneno Yako nimazuri ila munababa isha Watu wenye awajuwi mahandiko unasikiya kwanza uyo mwalimu amesema kama ajuwi q'aran yeye anajuwa kitabu pekeyake

  • @wilfredlukowo4692
    @wilfredlukowo46922 жыл бұрын

    YESU KRISTO OYEEEEEEEEEEEE

  • @fhyubhhh2881

    @fhyubhhh2881

    2 жыл бұрын

    M'Mungu amuongoze kila mja

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    Жыл бұрын

    Papa oyeee lakinii yesu msimsingizie ni muilam alimsujudia mmungu mmoja

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Жыл бұрын

    Ukiridhika kuwa yesu ninani na ameletwa Kwa ajili Yakima Nani basi utaridhika maneno ya shekhe ukiridhika basi utakuwa niubishi tuu wamakafiri.

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama69912 жыл бұрын

    😀

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali83772 жыл бұрын

    Sheikh Hao wameshapotea mngu awaongoze...

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Alete kabisa wapi mungu awe musemaji ucristo nidini ya mungu

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    Njoo tujadili bibilia

  • @geoffreymjipe3334
    @geoffreymjipe33343 жыл бұрын

    Naomba mjadala na mwaipopo

  • @J4UPro

    @J4UPro

    3 жыл бұрын

    Namba hiyo chukua umtafute

  • @hamadfaki2503

    @hamadfaki2503

    2 жыл бұрын

    Ameweka namba zake za cm hapo juu kwaiyo mtafute mufanye mdahalo

  • @apostlendmawallamawalla4074
    @apostlendmawallamawalla40742 жыл бұрын

    Kwa hayo maandiko ulio yatoa Mwaipopo hakuna andiko lililo thibitisha kuwa Yesu kuwa ni mwislam,

  • @samxx411

    @samxx411

    2 жыл бұрын

    Nenda na wewe ukatetee ukristo tukuone acha maneno ya katika kawa

  • @ambarnelly6304

    @ambarnelly6304

    2 жыл бұрын

    Wapi yesu ni mkristo na wapi kaimgia kanisani mana yesu kaingia msikitini si kanisani na wanao ingia msikitini kufanya ibada muna wajua

  • @georgeotieno2818
    @georgeotieno28183 жыл бұрын

    Mchungaji jibu swali

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Жыл бұрын

    Huyu mtoto badoo hata kusoma hajasoma vizuri nimuigajitu

  • @michaelmbezi7927
    @michaelmbezi79272 жыл бұрын

    Mm jamani someni biblia Sana nyakati za mwisho hizi ata sijaona kilichomvutia huyu jamaa kuingia uislamu

  • @respectmasamir1536
    @respectmasamir15362 жыл бұрын

    Assalamualaikum. Salam dr indonesia

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Yesu akidema apo mumeka na shekh atamusemeya sheikh katika haki ila nyinyi eacristo mumedanganywa na ma papa ebu twambiye izokanisa zote mbona hazinalakuzungumuza bila yesu masayenu munayamaliza kwakufanya upuuzi tu makanisani

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Wapi wacristo mungu awataje kwa jina mutakwenda mbinguni???? Towa swali ni mbili manabi wauongo yesu hasikiyi haoni kilacake kimesimamishwa na Allah Allah ndiye atamurudisha aishisikuzake zilizobaki na afe na yeye kila roho itakufa

  • @mossesjovenari9457
    @mossesjovenari94573 жыл бұрын

    WACHA KUDANGANYA WATU SINAGOG Sio msikiti SINAGOG Kwa kiharabu ni majamihu MSIKITI KWA Kiharabu ni Masjid soma 22:40 quran

  • @alhaddajmohammed4768

    @alhaddajmohammed4768

    3 жыл бұрын

    Soma Biblia tafsiri ya Sinagogi ni nini?! Kwa mujibu wa Biblia maana ya SINAGOGI/MASINAGOGI ni Misikiti ya Wayahudi.

  • @mossesjovenari9457

    @mossesjovenari9457

    3 жыл бұрын

    @@alhaddajmohammed4768 nipe haya inayosema SINAGOGI ni msikiti ndani ya BIBILIA kama mimi nilivyotoa haya kwenye quran 22:40 kwamba sinagogi sio msikiti.

  • @mossesjovenari9457

    @mossesjovenari9457

    3 жыл бұрын

    @@alhaddajmohammed4768 Na watu waliokuwa wakisalia kwenye MASINAGOG Walikuwa wakimpinga sana BWANA YESU ndo waliokuwa wanataka kumuua Ndo maana waliosalia mle aliwaita watu wa SINAGOG LA SHETAN soma ufunuo 3:9

  • @essaumpuma2981

    @essaumpuma2981

    3 жыл бұрын

    @@alhaddajmohammed4768 omba tukufundishe hiyo tafasiri ya maneno magumu ni waliotafsir biblia kwa kiswahili, ni tafsri shabihifu, ni maneno ya watu waliotafsiri biblia kwa kiswahili,sasa kwanini biblia ya Kingereza Kifaransa, kiarabu na lugha nyingine hazina Tafasiri hiyo? tumekupa aya ndani ya quran, qurani 22:40 haya na wewe toa aya ndani ya biblia tukuone kama mkweli , kitu ambacho huelewi wayahudi wapo waliomkubali yesu na waliomkataa waliokubali ndio wakristo au watu wa christo na ndio wanaoitwa kanisa ni wa tuna sio jengo kama kitabu chako cha qurani22:40 kinavyo dai

  • @eastafrica6858

    @eastafrica6858

    Жыл бұрын

    @@essaumpuma2981 sina gogi msikiti nyuma ya bible imeandikwa mbona hawa jandika kua ni kanisa mfano beth le hem manake Kwa kiarabu nyumba ya nyama

  • @eunicebukokhe6805
    @eunicebukokhe68052 жыл бұрын

    Ndugu umepotea ata maona yako yata fungwa umemsaliti yesu mara ya pili vifungo vyote vimekurudi uta omboleza hutapata msaada.

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis54873 жыл бұрын

    Huyo agekutana na mazinge 😀😀😀😀mwijilisti Kaa Mbali na Hao watu unawajaribuu sio

  • @zahoroawadh6812
    @zahoroawadh68122 жыл бұрын

    Shekhe naombeni mje muweke mdahalo mafinga mkoa wa ilinga mje mtupunguzie hawa watu uku naombeni jaman mje na shekhe mazinge mje nae

  • @fhyubhhh2881

    @fhyubhhh2881

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa waje kuelimisha watu

  • @harounalubbaid8585
    @harounalubbaid85853 жыл бұрын

    WAINJILIST TUNATAKA POINTS WAPI NABII ISSA AS ALIKUA MKRISTO WAPI UKRISTO NI DINI YA MWENYEZIMUNGU?

  • @mossesjovenari9457

    @mossesjovenari9457

    3 жыл бұрын

    Maana ya dini ni nini?

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Sema wewe twambiye iyo dini ya ki papa umeokota wapi? Wewe funzwa naana kunajini anakuzidi samani mbele ya Mungu ivi hamukuona majini waliyoishi na nabi seileimani mutoto wa daudi? Mpaka wakajenga betrhemu we uko wapi gisi kuko watu wazuri ndivyo kuko majini wazuri gisi kuko watu wabaya ndivyo kuko majini wa baya wewe ka ufunzwe usileti maneno yasokua na elimu uisilam ni elimu

  • @jeffmulei8895
    @jeffmulei88952 жыл бұрын

    Ulisikia wapi

  • @saidswalehe2807
    @saidswalehe28073 жыл бұрын

    Shekhe mwaipopo kaelewa huyo pasta cunaona alivyotulia

  • @yohanamyinga9504
    @yohanamyinga95042 жыл бұрын

    Msibishane sana ikiwai kweli kristo mda wake umepita niambie ni Nani mwenye kufufua wafu Katka kihama ya mwisho; lakin pia subiria ukifa ndilo utajua yesu ni Mungu au sio Mungu pia nyie hamkua na yesu ndani ndiomaana mlimuacha kristo

  • @ambarnelly6304

    @ambarnelly6304

    2 жыл бұрын

    Ssi waislamu ndo tunamfuata yesu sasa kazi kwenu mana hakuingia kanisani hajabatiza hajajita yye ni mungu wala kwenye biblia hakuna neno ukristo ni dini sasa ndugu huna dini,Huna mungu sasa kazi kwako

  • @fhyubhhh2881

    @fhyubhhh2881

    2 жыл бұрын

    Yesu ni Mtume wa Mungu kama mitume wengine...Yesu sio Mungu...

  • @pastormashimo3305
    @pastormashimo33053 жыл бұрын

    Sheikh bhana unajitahidi kufunika ukweli Musa alipewa utume na Mungu na mtume Mohammed alipewa Utume na mjomba wake aliyekuwa mchawi Mr Waragha

  • @shifaazawadi4438

    @shifaazawadi4438

    3 жыл бұрын

    Soma biblia vizuri utajua Mohammad alitabiriwa kwenye biblia

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    @@shifaazawadi4438, Utawaweza kwa uongo na uzushi hao? Wamerithi kwa babu yao Paulo "Warumi 3:7" na Paulo alijisifu yy ni muongo na Yesu akathibitisha Paulo ni muongo Matayo 8:44. Note; Paulo alikua Farisayo na alijifanya kipofu.

  • @shifaazawadi4438

    @shifaazawadi4438

    3 жыл бұрын

    @@alhamdulillah5796 sijui hawawlewi biblia kama paulo aliwaambia niupumbavu wangu mwenyewe lakini sikutumwa haya maandiko hawayaoni tena akawaambia mkusanyikapo siku ya ijumapili sikwafaida bali mnkusanyika kwa hasara

  • @Bosskubwah4501

    @Bosskubwah4501

    2 жыл бұрын

    Huyu bado hajaijua Bible ukija kwenye ELIMU YA FANI YA MJADALA inabidi umesoma BIBLE zote na ziwe kichwani ndipo Uje mezani sio unatoa kichwani utachanganya watu ndugu yangu

  • @J4UPro
    @J4UPro3 жыл бұрын

    Mchungaji kabanwa

  • @zulfajohnkilongozi4943
    @zulfajohnkilongozi49432 жыл бұрын

    Hahahaaaaaaaaa hahahaaaaa uuuuwiii

  • @shafiihssan738
    @shafiihssan7383 жыл бұрын

    Kiuongozi imani ya uislam ni muhammad na imani ya ukristo ni yesu.....kwahiyo kuufuata uislam si kumfuata yesu bali muhammad na kumfuata yesu ni kufuata imani gani?

  • @ambarnelly6304

    @ambarnelly6304

    2 жыл бұрын

    Kwani yesu dini gani

  • @kwaleboy6064
    @kwaleboy60642 жыл бұрын

    Hahahahahah hamna Cha mwinjilist hapo

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Ivi kikwete mbele ya mama samia nani muku? Muda wa yesu umekwesha kama ata musa someni bibilia bibilia inasema ongo na kweli tena njowamewapoteza ivo na Allah kwauruma kaleta quor an yesu alikuwa njia kwanza kwawa israel

  • @abelsteven3189
    @abelsteven31893 жыл бұрын

    Sasa mbona mchungaji mwenyewe hata kujieleza hajui ?

  • @abelsteven3189
    @abelsteven31893 жыл бұрын

    sio dini ya majini lakini alteast majini walisikia quran wakasilimu, lakini waisilamu wote ni ndugu, basi waisilamu wana ndugu wa kijini, ambao kwa mujibu wa biblia majini wote ni waasi wote motoni. Yaani majini wameona pakukimbilia ni kwenye uisilamu toooba huu ni msiba, Majini hayana nafasi katika kristo Yesu. Majini hawana dini isipokuwa ni uisilamu. huo ni ushahidi tosha kuwa uisilamu ni ambayo aitokani na YEHOVA bali ALLAH ambaye mpaka sasa hana mfano, kwakifupi hayupo, ila ametungwa tu.

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    Ikiwa hamjui kutofautisha hata Jin na Malaika mtajua nn?

  • @abelsteven3189

    @abelsteven3189

    3 жыл бұрын

    @@alhamdulillah5796 Poa, sijui ila ninashaka na dini ambayo ni kimbilio kwa majini, Majini yanaona bora yasilimu, ndio maana inabidi iwachukue mda kusoma elimu ya kijini kwa kuwa ni ndugu zenu kiimani, inasikitisha sana, kiukweli hamjui, mnayemwabudu. Ndio maana mpaka leo kuna vitu vingi haviishi katika uisilamu, bado kuna hitilafu nyingi katika kipi ni halali kipi ni haramu , hadithi dhaifu na sahihi, Mafundisho mengi hayaendani na ustarabu na maumbile ya mwanadamu.

  • @buuwahiid2898

    @buuwahiid2898

    2 жыл бұрын

    @@abelsteven3189 njoo tujadili bibilia

  • @mohdahmada1061

    @mohdahmada1061

    Жыл бұрын

    Ww akil hun kwanz ujue tofaut bain y jin n shetan hlf cc waislam tunkubal kuw wapo majin waislam n wasio waislam nd mashetan ndug zenu nyiny wakristo at ww mwenyew n shetan kw sabab umekataa hki

  • @muhammadmassoud5121
    @muhammadmassoud51213 жыл бұрын

    Huyu hajui kitu

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    We mucungaji ka ufunzwe njo ufate ao uace maamuzi niyako usileti ubishi ka ufunzwe waisilam sisi niviongozi wenu wenye akili ata Mungu anasema waisilam wako na akili panabaki muabudu mawe

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa79033 жыл бұрын

    Wewe ndo utaishia motoni unasema maneno ambayo ata paulo aloyakufunza umemutupa katika ukatolique nakwenda fanya kanisa sumufate katika ukatoloka apo biblia kunamaneno niya uongo aliyaweka nabi wa uongo paulo yesu hajaaca mumemuongezeya

  • @dktabbaimran2002
    @dktabbaimran20022 жыл бұрын

    Muinjilisti ameingia wrong number , haamini wakati hana andiko