DAAWAH KATIKA MTAA WA KIAMBIO NAIROBI COUNTY. 23/8/2019
Жүктеу.....
Пікірлер: 221
@mwaks33474 жыл бұрын
Sheikh Mazinge Allah akujalie umri mrefu na masheikh wote hapo
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@hussainthe2nd233
4 жыл бұрын
Ameen
@janetkahada5206
3 жыл бұрын
Na je AL Imran 3 :49 kwa qur'una YESU mwenyewe kasema siyo Paul.
@jutotoju4809
3 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90ib\\p0a\\\\1qa1a\\
@nooordubem28024 жыл бұрын
Wakristo sielewi shida yao iko wapi? Mtu anadai kuwa yesu ni mungu,sekunde mbili zingine anasema yesu ni mwana wa mungu,yaani wamechanganyikiwa kiasi ambacho hata wanakosa kujielewa kabisa. Wanamtukuza yesu kuliko Mungu aliyemuumba huyo yesu,ajabu sana. Ustadh Mazinge wape aya labda watazinduka in shaa Allah
@mohammedrajabu74493 жыл бұрын
MaashaaAllah Sheikh mazinge Allah akupekheri Duniani na Akhera ww na jopu lako loote Allahumma Amiin🙏
@faridaabdala13164 жыл бұрын
Asante allah kwakuniumba muislam..inshallah niongoze niwe mwenye kutimiza nguzo tano za uislamu
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
farida sema Alhamdulillah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@jumakoga2179
4 жыл бұрын
Al handullah
@najmagudeh203
3 жыл бұрын
AMIIN INSHAALLAH
@hamissuche6576
2 жыл бұрын
Dadangu farida, jina Allah, unaanza na capital letter A,.. sio allah
@elphasseurei
Жыл бұрын
Ushapotelea maji Nini ndgu.uko ata kwa dawa siezi kua muislamu.😂
@kijanahodari20804 жыл бұрын
MashaAllah masheikh wetu,tafadhalini toeni mada za masaa mengi jaman
@hassanhamudy66393 жыл бұрын
Islam is my religion...proud to be Muslim
@AbubakarShariff-rc5hh
Ай бұрын
Rh
@egetinginyemachoka27264 жыл бұрын
Uko sawa Mazinge tufungue macho Mazinge mungu akulinde.
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@danielmahela2436
4 жыл бұрын
Hahaha isaya Ni nabii anaongea kauli ya kinabii anaposema amezaliwa sio kwamba Tayari. Mfano ufunuo 21:1 Inasema kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena. Sasa ukisoma iki kifungu ni kana kwamba haya mambo yamekwisha tokea kumbe bado, Ivyo tusipagawe na maneno ya unabii barikiwa sana Amen.
@faizabaishe51724 жыл бұрын
MaashAllah,safi, Allah awaongeze katika njia ilonyoka na atuepushe na moto 🤲 Alhamdulilah nashukuru ni Muslim
@muhidinmohamed14454 жыл бұрын
Barakallahfiq Mungu atawalipa Leo na kesho akhera In Sha Allah
@kalssambaboo97054 жыл бұрын
Shukraan sheikhe mazinge allah atakulipa kwakazi yako
@hashimmhashim26634 жыл бұрын
Mashallah sheikh mazinge! Lakini uli tuondolea utamu kidogo, kulikuwa najamaa ataka kusilimu ukamkatiliza, kwa sababu ya mchungaji, sasa sijui kama alisilimu?!
@abdiali2244 жыл бұрын
Masha Allah
@montenomontana29354 жыл бұрын
Naomba walimu kabla hamjaanza mjadala mjaribu kufunza hawa wakristo kiswahili...kiswahili ni ngumu kweli
@asaduzamanalmaxmud7671
3 жыл бұрын
Masha allah
@jnrhassan46294 жыл бұрын
Asalamu aleykum ya sheikh yahya .salamu zangu unifikishie ustadh mazinge
@ibrahimabdi23684 жыл бұрын
mashaAllah Allah awalipe kwa kazi mnayoifanya
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Amin
@mohamedmohamed-fs1tl2 жыл бұрын
mashaallah Allah bariik my brothers
@sabraabdilnasir88264 жыл бұрын
Wakiristo allah anawaona kama mnajuwa uislam ni dini ya haki mnaubishi tu ila nawakumbushia kwa Allah tutarejea na mashekhe wetu wanajitahidi kuwasaidia namuomba allah atujaliye mwisho ulio mzuri na pia akulainisheni nyoyo zenu
@seluwahabdull72234 жыл бұрын
mashallah shekh suleiman mungu akuongezee elmu uzidi kutukumbusha nakutukumbusha in sha allah
@jamilshisia59294 жыл бұрын
Ustadhi mazinge Mungu akujalie na akupe rehema mafundishi yako ni mazuri sana na yanafanya uisilamu unazidi kung'aa na kumelemeta
@maryamabdi74604 жыл бұрын
Masha Allah mnafanya kazi nzuri mgekuja kajiado county
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Maryam tukiandaliwa twakuja
@hassanyusuf44784 жыл бұрын
sheikh Mazinge Allah akujalie elmu ya juu zaidi inshallah
@meekman18052 жыл бұрын
Sheikh Suleiman Mazinge tunakupenda kwa ajili ya Allah! Hoja zako nzito sana jazakallahu kheyr.
@elphasseurei Жыл бұрын
Mbingu na mbinguni ni tofauti ndugu,mungu alikua mbinguni akiyajenga mbingu.kuna mbingu nne ndio ufike mbinguni.ety mwalimu wa mwislamu na haujui kueleza ya yalio direct explaination.
@ukhtysakinaa76644 жыл бұрын
Masha Allah SHEIKH Yahya na team yako Allah awalinde na awaongoze na awafanyie wepesi katika kazi zenu
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
amin
@ukhtysakinaa7664
4 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 Allahumma amiin
@kitkatpleasesubscribe6720
4 жыл бұрын
Sheikh Yahya DAAWAH 0720900181 , My dear brother Yahya *PLEASE* do remember to watch my very important videos in my *Playlists* and please add English subtitles to your videos. *Jazak'Allahu Khairan*
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Hawa wenzetu hawajielewi kabisa inalilahi mazinge unawaweza kweli wanakufuru
@elphasseurei Жыл бұрын
Asante ndugu kwa kujikaza be blessed alot,kama bibilia inasemaje na wao wanajua vema kua yesu ni mwana wa mungu na ni mungu, Colossians 1:15 alikua kumbe Cha kwanza so ni mtoto wake,na ndio maana anaitwa mungu kwa sababu ni mtotowe.lakn hawezi kua mungu mwenyewe,Bali ni mfano wa mungu,na kaa vnye wewe na babako,unatumia jina LA babako.....lakni haimanishi mtoto ni babake.wanakuchanganya lakni uko sawa bro.
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
MAA SHAA AL-LAAH MWENYEZI MUNGU AKUPENI KHERI NYINGI
@ukhtysakinaa76644 жыл бұрын
مشاءالله تبارك الله يا أستاذ سليمان، جزاك الله خير
@mkombozimstaff48304 жыл бұрын
Sawa sawa Sheikh au ma sheikh Wangu
@bahatihadijabahati74564 жыл бұрын
Mashaa Allah
@jamilaomari24444 жыл бұрын
Mbona tamu lakini fupi sheikh?
@wadimtwana72864 жыл бұрын
Maashaallah uislamu ni kila kitu
@nuosab
4 жыл бұрын
Sheikh mazenge Endelea na hii Daawah Allah atuondolee maradhi ambaye haina Dawa
@kitkatpleasesubscribe67204 жыл бұрын
Sheikh Yahya *PLEASE* add English subtitles... And by the way Sheikh Yahya *PLEASE* also watch my important videos in my *Playlists*
@huxeinprince54274 жыл бұрын
Mungu wabarik kwenye kutangaza dawa
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@najmagudeh2033 жыл бұрын
MASHAALLAH MASHAALLAH TABARAKALLAH
@rashidkalimbo24514 жыл бұрын
MashaAllah... Mwenyezi Mungu Awabariki kwa kazi yenu ya kuwatoa watu katika giza... IshaAllah.
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Amini pamoja na ww
@maherzain6153 жыл бұрын
MashaAllah sheikh uko waazi kabisa .hata mtoto mdogo akuelewa tu
@akhuumpweche.79353 жыл бұрын
Maa shaa Allah sheikh wafunguwe macho..
@bihangamanywazuberi16844 жыл бұрын
Jazakallahu khayr
@maryammdoe47844 жыл бұрын
Subhanallah alhamdulillah kwa neema hii ya uslam yaa rabbiy
@MA-ht7po4 жыл бұрын
Allah ibarik fiq sheikh mazinge ndugu yetu from watamu
@Binarybotsltd4 жыл бұрын
Thank for that knowledge
@sheemwsnyiro66704 жыл бұрын
Mashalaah masheikh wetu ALLAH awabariki
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 Mashaallah, na me naitaka iyo kazi Zanzibar hamna uku.
@faizasaid82624 жыл бұрын
Jmni muendelezo
@flavianmarandu57104 жыл бұрын
Mashaallah kwanin hukuwa mwalimu wangu mazinge
@jumaamsuya52644 жыл бұрын
Masha Allaah
@yassirrashid78023 жыл бұрын
Mashallah
@myoutubecom-gg7sb4 жыл бұрын
mashaAllah
@maryamk47393 жыл бұрын
Asalaam Alykum warahmatullah wabarakatu... Nisaidieni na part 2 of this. Jameni. And please make dua for my mother for Allah to guide her to Islam. Jazakallah
Allah awape wepesi mashekh wetu nn maana makafiri huwa wanajifanya hawaelew
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Kafir ni mtume wenu muhamad ambaye hata hakujitambua enzi za utume wake.
@bahatihadijabahati7456
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 ww ndo kafiri pili huna akili ungekuwa na akili usinge abudu yesu waacha mungu wewe vp
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@bahatihadijabahati7456 we ndo fala kweli
@bahatihadijabahati7456
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 sigombani na boya mimi
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@bahatihadijabahati7456 boya mwenyewe usie na akili, mkiambiwa toeni aya ni wapi muhamad kapewa utume na Mungu mnabaki mnajambajamba hovyo.
@ommybaajun67624 жыл бұрын
ALLAH azid kuusimamia Uislamuu
@mwanahamisially52344 жыл бұрын
Kukuru kakara mpe Mike hyo
@nooordubem28024 жыл бұрын
Kuna continuation ya hii video ya kukuru kakara?! Sheikh Mazinge umemkatizia huyo Charles alitaka kusilimu...hebu tupe mlivyomalizana naye na huyo mzee uliyemuita pia...otherwise great job mashaallah tabarak Allah
@@charlesjoseph791 wewe usijifanye umeshindwa hapo kisha waleta Zako hapa 😂😂😂😂😂😂
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Uislam Raha,Nashukuru Allah,Hongereni Sana Kwa Kutuelimisha.Muendelezo Naomba Alhamdulillah.
@sidneykanumba8165
4 жыл бұрын
Allahumma Aameen
@mwanahalimamwachili9679
4 жыл бұрын
@@sidneykanumba8165 Àamiin.
@barakakiula64434 жыл бұрын
Nakupenda sana
@salamamohamed67624 жыл бұрын
Alhamdulillah nilisilimu kupitia hizi video Allah awabariki sana nitafurahi zaidi mkikaribia kwetu +254 kutoa daawa huenda wazazi wangu wakasilimu na wengine In sha Allah
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Mashaallah.
@mohammedrajabu7449
3 жыл бұрын
MaashaaAllah nduyangu salama mohammed allah akupe kheri na baraka tele na ajaalie wazaziwako wafe Haliyakua ni waisilamu safi kabisa
@yekridikilatheecreativethi25405 ай бұрын
God is alfa and omega. God is the God of now. He is i am whom i am.
@uwesusaid97644 жыл бұрын
Mazenge Babalao 😃😃
@elephantisiolo48663 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@sadanahimana71934 жыл бұрын
Endelea kutufunza mengi na mungu awalinde awape umri mrefu wakutujuza mengi
@user-ki6nw6ve7p4 жыл бұрын
Nachukurumungu kuwa muislamu. Mweyezimungu akuwekee wepes, kuakufudichadiniyake, zakalaher
@saumuseif91893 жыл бұрын
Takbiiiir 🙆🙆🙆
@shedracksaid84024 жыл бұрын
Mungu atajali tu lazim wasilimu wote
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
amin
@musanike30792 жыл бұрын
Mashallah,
@sabrinakhamis77313 жыл бұрын
Lakkini shekhe jamaa alitaka kuslimu bana mbona 😢😢ukampinga🥺
@bahatimkumbo72984 жыл бұрын
Endeleeni kunidanganya enyi kizazi cha farao sababu kuu kwangu moja ya kuikana usilamu ni dini ya farao ya wamisiro ambao walipigwa na Mungu kwa mapogo wadanganyeni wasio jua bibilia someni mstari mmoja na kukariri mdanganye watu wakristo tunajiamini tunadini ya ya Wana wa esilaely walio mshinda Miungu ya farao endeleeni kuyafuga mapepo wa wazuri
@prettyaysha7892
3 жыл бұрын
Enzi za farao ni umma wa Musa na Isa mnaemuita yesualikua na umma wake wa kiyahudi na umma uliosasa ni wa Muhammad mkubali mkatae maana Enzi ya Musa kina farao walimpinga, Issa (yesu ) pia kunao waliompinga na sasahivi ni umma wa Muhammad pia kunao wapingao kama nyinyi Sasa mnaojitia kwa yesu hivi nyinyi wayahudi ama hamjielewi siwashangai hamjijui mko kundi lipi, pole lakini kila mtume alikua na kizazi chake jisahau tu na nyinyi c wayahudi
@esthernyabuto38454 жыл бұрын
Waisilamu mwafunzwa kilauchao muache kuangalia mwili ju yeye alikuwepo tangu imbrahim jameni mejawa na kutoelewa ila mungu awasaidiye
@badalabdallah7761
4 жыл бұрын
Acha kukurupuka jitambue mtoto
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Ww kama unampenda mwenyezi mungu leo kuwa mwislamu sio unaleta habari za biburia hapa
@adamukasim30744 жыл бұрын
Takibiliiii
@barakakiula64434 жыл бұрын
Swadakta mazinge
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Awo Wakristo wanamuabudia nimrom na mke wake na mtoto wao tamuz bila wao kujijua
@adnansaleh39714 жыл бұрын
Islam cannot be defeated cz u cannot defeat a victory that is predestined
@kitkatpleasesubscribe6720
4 жыл бұрын
Adnan Saleh , My dear brother *PLEASE* you must also watch my very important videos in my *Playlists*
@ahmedfarah16464 жыл бұрын
Assalamu Aleikum
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Waalykum Salam Al Akh
@saumuseif91893 жыл бұрын
😀😀😀hapo nikuchemka tu
@siamabakwe42743 жыл бұрын
Those people are confused basi Allah awafanyiye wepesi
@sebantunganyankurunzinza35164 жыл бұрын
Zaburi moja moja heri ya MTU asie kweda katika shauli la wasio haki wala hakuketi kwenye mabaraza ya wenye mizaihau wala mabaraza ya wasio haki
@esthernyabuto38454 жыл бұрын
Jameni utabiri manabii wengi walitabiri yeshu
@fetychina32733 жыл бұрын
Shekh unaendelea au?
@bachuhamza23963 жыл бұрын
Ww
@nooraallahuakibarumwenyeez30794 жыл бұрын
jamani uwiislam raha yani nimefulahi sana waiislamu kuwaelekezo wakristo ktk njia lmustakim iliyo nyooka
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
yani kiukweli kwa mtu mwenye akili timamu akisikiliza haya kwa makini basi wakristo kweli mnapotea ivi mbona hamuelewi kila siku yesu mingu ewe mkristo kaa utafakari
@davallamchambe52753 жыл бұрын
Mwenye namba ya huyu shekhe suleiman mazinge anigee
@sabrinakhamis77313 жыл бұрын
Usiende tena kanisani 😂😂😂😂😏
@shifamakame46224 жыл бұрын
Ingekuwa mm hiyo mikafiri ningeipiga mibao mn mikaidi sn Ela nyie munowafundisha muna moyo AllaH awalipe kheri ingekuwa mm na presha zangu zamanii nishamkunja km haelewi na kaahaondoka
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Duh ww noma.
@yussufsheikh5111
3 жыл бұрын
Wakiristo hawakubali ukweli
@lifegoesonfunnymassia88564 жыл бұрын
Mazinge Ni mgonjwa wa akili, hapo Naona hela za waislamu Ni tamu Sanaa😂😂😂😂😂 mazinge nenepa kabisaa
@mundharyhabibu5361
4 жыл бұрын
Umeelwa shule iliyotolewa lakini
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Waislam hawatoleshwi pesa mbona.
@abubakarzamir6276
4 жыл бұрын
Kanisan ndio kuna pesa za shetan kila jumapili
@mohamedissack80534 жыл бұрын
Kafri ni kafiri tu hawakubali kueli
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Kafiri namba moja ni nyie waislamu.
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Subhanallaah inshallah iko siku watajua ukweli na haki
@user-wv5fq1bm5x
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 Subhanallah yani ww mungu akutowe gizani ujue dini ya kweli ni ya Kiislam
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@user-wv5fq1bm5x dini ya kufuga majini siyo
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 ni wewe 2 pole
@najatnasma50174 жыл бұрын
Sheikh namba yako naipata je na kwa dar uko sehemu gani
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Hayupo Tz uyo yupo Kenya.
@amraniissa5304 жыл бұрын
Wakati utafika mazinge na wenzio mtapiga magoti mbele zake Yesu kristo Mungu aliye hai na kujutia haya natamani kama ningekuwepo hapo nikunyooshe mazinge na Hao unao waaminisha hapo ya kufkilika
@shemsiasalumu9200
4 жыл бұрын
Hujui ulitendalo naww utajuta siku utakapo kutana na MOLA WAKO MLENZI
@meddyhazali1470
4 жыл бұрын
Jielewe wewe.... mnakubali mitume yote kuwa walipewa utume isipokuwa Mtume Muhammad kisa tu alikuwa muarabu ...angekuwa mzungu mnge mkataa? Rudini kundini nyie.... mara baba roho mwana...hamuwezi kumpa cheo cha Mungu yesu wakati yeye alikuwa nabii tu.... kwahiyo Mungu alizaliwa?? Someni msipelekwe pelekwe tu
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu hana mfano wake,Hazai, haoi na haiwezekani akamuumba nabii Issa ambaye nyie mliyopotaka mnamuhita Yesu alafu yeye mwenyezi mungu aingie kwenye nafusi ya Issa heti yesu ni mungu,Yesu alitumwa na mungu,yesu kaumbwa na mungu na Yesu sio mungu na dini ya kweli ni Uislamu tu na ni 1tu.
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Yaani ww ukizaa mtoto,mtoto huyo anakuwa ana nafsi yako?
@officialkamdudu4 жыл бұрын
wakristo mna vichwa vigumu aise...
@user-wv5fq1bm5x
4 жыл бұрын
Aisee yani mungu awanusuru yani wengine wagumu kufahamu
@rashidimanyoka41254 жыл бұрын
Mmh
@shukranoberd24904 жыл бұрын
Yesu ni mungu ama laa Jibu liko yoh 14:7 na yesu ndo kakuumba yoh 1:1--3
@officialkamdudu
4 жыл бұрын
Shukran Oberd kwani yohana 1:1 ni maneno ya nani ?
@shukranoberd2490
4 жыл бұрын
Official Kamdudu niya yohan na ht hivo nyie mnakataa wingi wa mungu lakn qolohan yen inasema mfano kipindi Muhammad anapewa utume hakupewa na mungu moja maana quoran inasema tulimpa sio nilimpa so mna miungu mingi sio mungu mmoja
@officialkamdudu
4 жыл бұрын
Shukran Oberd acha porojo Allaah anatumia katika Qur’ani kwa njia ya wingi inatumika katika lugha nyingi na katika Kiarabu ni Jam‘u Lita‘dhiim (Majestic or Royal Plural au wingi wa ukubwa na utukufu au wingi wa kifalme). Oxford Advanced Learner’s Dictionary inafasiri We (Sisi) kwa kusema: “Formal used instead of I by a king, queen or pope or by the writer of an editorial article in a newspaper, etc. The ROYAL WE (Inatumika rasmi badala ya Mimi na mfalme, malkia, papa au na mwandishi wa tahariri katika makala ya gazeti na kadhalika. Hii ni Sisi ya kifalme” (uk. 1443). Na Allaah ni Mkuu zaidi na Mtukufu na kwake ipo mifano ya juu zaidi na ni aula katika kutumia utukufu wake katika hilo, hivyo ‘TUME’ au ‘SISI’ inapotumika katika Qur’an inaonyesha Utukufu wake akiwa Yeye ni Yeye tu wala hana mwendani.
@shukranoberd2490
4 жыл бұрын
Official Kamdudu kwanini atumie wingi wakati ni nafsi moja km sio dini ya kihun et mpaka mnadanganya watu et waloasi sabato walikua manyani yaan ni utoto kabisa mbona mpaka sasa wanaasi na hawawi mnyani
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
mungu kazaliwa😁😁duuu mungu sijui huko tumboni aliwekwa na nani na kabla yakuzaliwa sasa mama ake yesu alikuw anaabudu nini😁😁kweli hamuwezi kuelewa milele na milele
@ukhtyruqyah78603 жыл бұрын
😂 namuonea uruma uyo mchungaji anabwabwaja tuu sijamuelewa ata nusu jaman ee Islam ndio dn ya kweli wakubar wakatae
@samuelkombo35592 жыл бұрын
Na hata "shahada" Katika Coran hakuna
@janetkahada52063 жыл бұрын
Kwani hata qur'una mupinga hata qur'una nyinyi ovyo akili punguwani
@janetkahada52063 жыл бұрын
Sio tu Bible hata qur'una YESU aliumba AL - Imran 2 :49 Na ni mutume kwa wana wa lsreal kuwaambia mimi nimekujieni na lshara kutoka kwa Mola mlezi wenu ya kwamba na kuundieni kwa udongo kama ndege sura ya ndege Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya mwenyezi MUNGU.
@janetkahada5206
3 жыл бұрын
Sorry it's AL Imran 3:49
@jaredmisiaimochokoroomusa12604 жыл бұрын
Soma Tito 2:13 yesu ni Mungu
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Ww soma Quran ndicho kitabu kikamilimu cha mwenyezi mungu na hakina shaka ndani yake.
@NahyaShaban-ve4qe
Жыл бұрын
ww huyo ni paul aliwadanganya🤣🤣🤣
@jbjaphet14654 жыл бұрын
Huyo dogo hajuwi wanitafute mimi
@davidochieng2975
4 жыл бұрын
Waje kwangu pia hawatoshi ni vile hawapendi kupeana muda kwa wenzao.Ubishi tu na kutokubali ukweli wa biblia.
@user-wv5fq1bm5x
4 жыл бұрын
Hamna lolote nyie mnakataa tuu dini ni ya kiislam
@adamtamim6048
4 жыл бұрын
@@davidochieng2975 haya hebu tupe andiko linalosema ukristo ndio dini ya kweli Na lialosema yesu ni mungu
@adamtamim6048
4 жыл бұрын
@@davidochieng2975 hebu jiulize swali dogo tuu kabla yesu hajazaliwa binaadam walikuwa wanamiabudu mungu gan
@ismailyusuph740
4 жыл бұрын
Hahaaa’ wanashindwa kina Papa Paulo wanaoandika biblia kila mwaka’ utaweza ww ndugu...! Ukisoma maandiko utaelewa kwamba hujitambui ...!..unakwenda Kwa kukaririshwa na wachungaji..!
@paulndungu5234 жыл бұрын
Wacha kuchanganya huyo Jamaal, hiyo hoja huwezani nayo ispokuwa, nikumchanganya, kama unajiamini kabisa na hoja zako please nitafute tujadiriane.
@zakialustan722
4 жыл бұрын
Akutafute nani wewe bankrupt
@davidochieng2975
4 жыл бұрын
@@zakialustan722 Mbona mnakataa ukweli nyinyi?
@mundharyhabibu5361
4 жыл бұрын
@@davidochieng2975 unahoj gani..... Maandiko bibilia nzma hkun hta moj linalosem ukristo ni dini
@ukhtysakinaa76644 жыл бұрын
twasubiri muendelezo insha Allah
@kelvinmichae7284 жыл бұрын
huyo shekhe hajielewi
@aliimwasiri2764
4 жыл бұрын
Nenda ukamueleweshe mwenzako anahaha kama kameza uji moto ajui aumeze au auteme😁😁😁
@asmaaabdalla9372
4 жыл бұрын
Msiba Kwa wakristo mungu mwana roho mtakatifu wote wanks 1+1+1=3
@asmaaabdalla9372
4 жыл бұрын
Mungu WA wakristo kazaliwa katahiriwa msiba anae tahiriwa mungu mwanadamu fikirieni maneno yaupunbavu munatukuwa kanisani
@minaminaa1669
4 жыл бұрын
@@asmaaabdalla9372 😊😃😃😃
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
yesu kaumba nini kama ni mungu na huyo yesu anatahiriwi dahh msibishe ila mshukiru waislam wanavyotoa miadhara inawasaidia nyie msio jua hadhi ya mungu ivi yesu kweli awe mungu alaf mlivyokuwa maboya na nyumba zenu mmejaza picha za yule alieigiza picha la yesu na kumpigia magoti😁😁
Пікірлер: 221
Sheikh Mazinge Allah akujalie umri mrefu na masheikh wote hapo
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@hussainthe2nd233
4 жыл бұрын
Ameen
@janetkahada5206
3 жыл бұрын
Na je AL Imran 3 :49 kwa qur'una YESU mwenyewe kasema siyo Paul.
@jutotoju4809
3 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90ib\\p0a\\\\1qa1a\\
Wakristo sielewi shida yao iko wapi? Mtu anadai kuwa yesu ni mungu,sekunde mbili zingine anasema yesu ni mwana wa mungu,yaani wamechanganyikiwa kiasi ambacho hata wanakosa kujielewa kabisa. Wanamtukuza yesu kuliko Mungu aliyemuumba huyo yesu,ajabu sana. Ustadh Mazinge wape aya labda watazinduka in shaa Allah
MaashaaAllah Sheikh mazinge Allah akupekheri Duniani na Akhera ww na jopu lako loote Allahumma Amiin🙏
Asante allah kwakuniumba muislam..inshallah niongoze niwe mwenye kutimiza nguzo tano za uislamu
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
farida sema Alhamdulillah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@jumakoga2179
4 жыл бұрын
Al handullah
@najmagudeh203
3 жыл бұрын
AMIIN INSHAALLAH
@hamissuche6576
2 жыл бұрын
Dadangu farida, jina Allah, unaanza na capital letter A,.. sio allah
@elphasseurei
Жыл бұрын
Ushapotelea maji Nini ndgu.uko ata kwa dawa siezi kua muislamu.😂
MashaAllah masheikh wetu,tafadhalini toeni mada za masaa mengi jaman
Islam is my religion...proud to be Muslim
@AbubakarShariff-rc5hh
Ай бұрын
Rh
Uko sawa Mazinge tufungue macho Mazinge mungu akulinde.
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@danielmahela2436
4 жыл бұрын
Hahaha isaya Ni nabii anaongea kauli ya kinabii anaposema amezaliwa sio kwamba Tayari. Mfano ufunuo 21:1 Inasema kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena. Sasa ukisoma iki kifungu ni kana kwamba haya mambo yamekwisha tokea kumbe bado, Ivyo tusipagawe na maneno ya unabii barikiwa sana Amen.
MaashAllah,safi, Allah awaongeze katika njia ilonyoka na atuepushe na moto 🤲 Alhamdulilah nashukuru ni Muslim
Barakallahfiq Mungu atawalipa Leo na kesho akhera In Sha Allah
Shukraan sheikhe mazinge allah atakulipa kwakazi yako
Mashallah sheikh mazinge! Lakini uli tuondolea utamu kidogo, kulikuwa najamaa ataka kusilimu ukamkatiliza, kwa sababu ya mchungaji, sasa sijui kama alisilimu?!
Masha Allah
Naomba walimu kabla hamjaanza mjadala mjaribu kufunza hawa wakristo kiswahili...kiswahili ni ngumu kweli
@asaduzamanalmaxmud7671
3 жыл бұрын
Masha allah
Asalamu aleykum ya sheikh yahya .salamu zangu unifikishie ustadh mazinge
mashaAllah Allah awalipe kwa kazi mnayoifanya
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Amin
mashaallah Allah bariik my brothers
Wakiristo allah anawaona kama mnajuwa uislam ni dini ya haki mnaubishi tu ila nawakumbushia kwa Allah tutarejea na mashekhe wetu wanajitahidi kuwasaidia namuomba allah atujaliye mwisho ulio mzuri na pia akulainisheni nyoyo zenu
mashallah shekh suleiman mungu akuongezee elmu uzidi kutukumbusha nakutukumbusha in sha allah
Ustadhi mazinge Mungu akujalie na akupe rehema mafundishi yako ni mazuri sana na yanafanya uisilamu unazidi kung'aa na kumelemeta
Masha Allah mnafanya kazi nzuri mgekuja kajiado county
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Maryam tukiandaliwa twakuja
sheikh Mazinge Allah akujalie elmu ya juu zaidi inshallah
Sheikh Suleiman Mazinge tunakupenda kwa ajili ya Allah! Hoja zako nzito sana jazakallahu kheyr.
Mbingu na mbinguni ni tofauti ndugu,mungu alikua mbinguni akiyajenga mbingu.kuna mbingu nne ndio ufike mbinguni.ety mwalimu wa mwislamu na haujui kueleza ya yalio direct explaination.
Masha Allah SHEIKH Yahya na team yako Allah awalinde na awaongoze na awafanyie wepesi katika kazi zenu
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
amin
@ukhtysakinaa7664
4 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 Allahumma amiin
@kitkatpleasesubscribe6720
4 жыл бұрын
Sheikh Yahya DAAWAH 0720900181 , My dear brother Yahya *PLEASE* do remember to watch my very important videos in my *Playlists* and please add English subtitles to your videos. *Jazak'Allahu Khairan*
Hawa wenzetu hawajielewi kabisa inalilahi mazinge unawaweza kweli wanakufuru
Asante ndugu kwa kujikaza be blessed alot,kama bibilia inasemaje na wao wanajua vema kua yesu ni mwana wa mungu na ni mungu, Colossians 1:15 alikua kumbe Cha kwanza so ni mtoto wake,na ndio maana anaitwa mungu kwa sababu ni mtotowe.lakn hawezi kua mungu mwenyewe,Bali ni mfano wa mungu,na kaa vnye wewe na babako,unatumia jina LA babako.....lakni haimanishi mtoto ni babake.wanakuchanganya lakni uko sawa bro.
MAA SHAA AL-LAAH MWENYEZI MUNGU AKUPENI KHERI NYINGI
مشاءالله تبارك الله يا أستاذ سليمان، جزاك الله خير
Sawa sawa Sheikh au ma sheikh Wangu
Mashaa Allah
Mbona tamu lakini fupi sheikh?
Maashaallah uislamu ni kila kitu
@nuosab
4 жыл бұрын
Sheikh mazenge Endelea na hii Daawah Allah atuondolee maradhi ambaye haina Dawa
Sheikh Yahya *PLEASE* add English subtitles... And by the way Sheikh Yahya *PLEASE* also watch my important videos in my *Playlists*
Mungu wabarik kwenye kutangaza dawa
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
MASHAALLAH MASHAALLAH TABARAKALLAH
MashaAllah... Mwenyezi Mungu Awabariki kwa kazi yenu ya kuwatoa watu katika giza... IshaAllah.
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Amini pamoja na ww
MashaAllah sheikh uko waazi kabisa .hata mtoto mdogo akuelewa tu
Maa shaa Allah sheikh wafunguwe macho..
Jazakallahu khayr
Subhanallah alhamdulillah kwa neema hii ya uslam yaa rabbiy
Allah ibarik fiq sheikh mazinge ndugu yetu from watamu
Thank for that knowledge
Mashalaah masheikh wetu ALLAH awabariki
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
@@kenyadawahtv90 Mashaallah, na me naitaka iyo kazi Zanzibar hamna uku.
Jmni muendelezo
Mashaallah kwanin hukuwa mwalimu wangu mazinge
Masha Allaah
Mashallah
mashaAllah
Asalaam Alykum warahmatullah wabarakatu... Nisaidieni na part 2 of this. Jameni. And please make dua for my mother for Allah to guide her to Islam. Jazakallah
Jmn naomba munisaidie nimpate mazinge nina tatizo lkm naona nikimpata tatizo litatatulika inshllh
Allah awape wepesi mashekh wetu nn maana makafiri huwa wanajifanya hawaelew
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Kafir ni mtume wenu muhamad ambaye hata hakujitambua enzi za utume wake.
@bahatihadijabahati7456
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 ww ndo kafiri pili huna akili ungekuwa na akili usinge abudu yesu waacha mungu wewe vp
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@bahatihadijabahati7456 we ndo fala kweli
@bahatihadijabahati7456
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 sigombani na boya mimi
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@bahatihadijabahati7456 boya mwenyewe usie na akili, mkiambiwa toeni aya ni wapi muhamad kapewa utume na Mungu mnabaki mnajambajamba hovyo.
ALLAH azid kuusimamia Uislamuu
Kukuru kakara mpe Mike hyo
Kuna continuation ya hii video ya kukuru kakara?! Sheikh Mazinge umemkatizia huyo Charles alitaka kusilimu...hebu tupe mlivyomalizana naye na huyo mzee uliyemuita pia...otherwise great job mashaallah tabarak Allah
@charlesjoseph791
4 жыл бұрын
Nipe namba ya huyo mazinge anaejifanya anajua
@charlesjoseph791
4 жыл бұрын
Nipe namba ya huyo mazinge anaejifanya anajua
@charlesjoseph791
4 жыл бұрын
Naomba namba akinijibu nasilim 0765319605 hyo namba yangu
@charlesjoseph791
4 жыл бұрын
Nooor Dubem Nipe namba
@zamzamahmed5718
4 жыл бұрын
@@charlesjoseph791 wewe usijifanye umeshindwa hapo kisha waleta Zako hapa 😂😂😂😂😂😂
Maa Shaa Allah, Uislam Raha,Nashukuru Allah,Hongereni Sana Kwa Kutuelimisha.Muendelezo Naomba Alhamdulillah.
@sidneykanumba8165
4 жыл бұрын
Allahumma Aameen
@mwanahalimamwachili9679
4 жыл бұрын
@@sidneykanumba8165 Àamiin.
Nakupenda sana
Alhamdulillah nilisilimu kupitia hizi video Allah awabariki sana nitafurahi zaidi mkikaribia kwetu +254 kutoa daawa huenda wazazi wangu wakasilimu na wengine In sha Allah
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Mashaallah.
@mohammedrajabu7449
3 жыл бұрын
MaashaaAllah nduyangu salama mohammed allah akupe kheri na baraka tele na ajaalie wazaziwako wafe Haliyakua ni waisilamu safi kabisa
God is alfa and omega. God is the God of now. He is i am whom i am.
Mazenge Babalao 😃😃
MASHA ALLAH
Endelea kutufunza mengi na mungu awalinde awape umri mrefu wakutujuza mengi
Nachukurumungu kuwa muislamu. Mweyezimungu akuwekee wepes, kuakufudichadiniyake, zakalaher
Takbiiiir 🙆🙆🙆
Mungu atajali tu lazim wasilimu wote
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
amin
Mashallah,
Lakkini shekhe jamaa alitaka kuslimu bana mbona 😢😢ukampinga🥺
Endeleeni kunidanganya enyi kizazi cha farao sababu kuu kwangu moja ya kuikana usilamu ni dini ya farao ya wamisiro ambao walipigwa na Mungu kwa mapogo wadanganyeni wasio jua bibilia someni mstari mmoja na kukariri mdanganye watu wakristo tunajiamini tunadini ya ya Wana wa esilaely walio mshinda Miungu ya farao endeleeni kuyafuga mapepo wa wazuri
@prettyaysha7892
3 жыл бұрын
Enzi za farao ni umma wa Musa na Isa mnaemuita yesualikua na umma wake wa kiyahudi na umma uliosasa ni wa Muhammad mkubali mkatae maana Enzi ya Musa kina farao walimpinga, Issa (yesu ) pia kunao waliompinga na sasahivi ni umma wa Muhammad pia kunao wapingao kama nyinyi Sasa mnaojitia kwa yesu hivi nyinyi wayahudi ama hamjielewi siwashangai hamjijui mko kundi lipi, pole lakini kila mtume alikua na kizazi chake jisahau tu na nyinyi c wayahudi
Waisilamu mwafunzwa kilauchao muache kuangalia mwili ju yeye alikuwepo tangu imbrahim jameni mejawa na kutoelewa ila mungu awasaidiye
@badalabdallah7761
4 жыл бұрын
Acha kukurupuka jitambue mtoto
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Ww kama unampenda mwenyezi mungu leo kuwa mwislamu sio unaleta habari za biburia hapa
Takibiliiii
Swadakta mazinge
Awo Wakristo wanamuabudia nimrom na mke wake na mtoto wao tamuz bila wao kujijua
Islam cannot be defeated cz u cannot defeat a victory that is predestined
@kitkatpleasesubscribe6720
4 жыл бұрын
Adnan Saleh , My dear brother *PLEASE* you must also watch my very important videos in my *Playlists*
Assalamu Aleikum
@kenyadawahtv90
4 жыл бұрын
Waalykum Salam Al Akh
😀😀😀hapo nikuchemka tu
Those people are confused basi Allah awafanyiye wepesi
Zaburi moja moja heri ya MTU asie kweda katika shauli la wasio haki wala hakuketi kwenye mabaraza ya wenye mizaihau wala mabaraza ya wasio haki
Jameni utabiri manabii wengi walitabiri yeshu
Shekh unaendelea au?
Ww
jamani uwiislam raha yani nimefulahi sana waiislamu kuwaelekezo wakristo ktk njia lmustakim iliyo nyooka
yani kiukweli kwa mtu mwenye akili timamu akisikiliza haya kwa makini basi wakristo kweli mnapotea ivi mbona hamuelewi kila siku yesu mingu ewe mkristo kaa utafakari
Mwenye namba ya huyu shekhe suleiman mazinge anigee
Usiende tena kanisani 😂😂😂😂😏
Ingekuwa mm hiyo mikafiri ningeipiga mibao mn mikaidi sn Ela nyie munowafundisha muna moyo AllaH awalipe kheri ingekuwa mm na presha zangu zamanii nishamkunja km haelewi na kaahaondoka
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Duh ww noma.
@yussufsheikh5111
3 жыл бұрын
Wakiristo hawakubali ukweli
Mazinge Ni mgonjwa wa akili, hapo Naona hela za waislamu Ni tamu Sanaa😂😂😂😂😂 mazinge nenepa kabisaa
@mundharyhabibu5361
4 жыл бұрын
Umeelwa shule iliyotolewa lakini
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Waislam hawatoleshwi pesa mbona.
@abubakarzamir6276
4 жыл бұрын
Kanisan ndio kuna pesa za shetan kila jumapili
Kafri ni kafiri tu hawakubali kueli
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
Kafiri namba moja ni nyie waislamu.
@asayubeejr1199
4 жыл бұрын
Subhanallaah inshallah iko siku watajua ukweli na haki
@user-wv5fq1bm5x
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 Subhanallah yani ww mungu akutowe gizani ujue dini ya kweli ni ya Kiislam
@gerkombo6512
4 жыл бұрын
@@user-wv5fq1bm5x dini ya kufuga majini siyo
@husseinyhassany5696
4 жыл бұрын
@@gerkombo6512 ni wewe 2 pole
Sheikh namba yako naipata je na kwa dar uko sehemu gani
@abdulshakoursalumsaid7125
4 жыл бұрын
Hayupo Tz uyo yupo Kenya.
Wakati utafika mazinge na wenzio mtapiga magoti mbele zake Yesu kristo Mungu aliye hai na kujutia haya natamani kama ningekuwepo hapo nikunyooshe mazinge na Hao unao waaminisha hapo ya kufkilika
@shemsiasalumu9200
4 жыл бұрын
Hujui ulitendalo naww utajuta siku utakapo kutana na MOLA WAKO MLENZI
@meddyhazali1470
4 жыл бұрын
Jielewe wewe.... mnakubali mitume yote kuwa walipewa utume isipokuwa Mtume Muhammad kisa tu alikuwa muarabu ...angekuwa mzungu mnge mkataa? Rudini kundini nyie.... mara baba roho mwana...hamuwezi kumpa cheo cha Mungu yesu wakati yeye alikuwa nabii tu.... kwahiyo Mungu alizaliwa?? Someni msipelekwe pelekwe tu
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu hana mfano wake,Hazai, haoi na haiwezekani akamuumba nabii Issa ambaye nyie mliyopotaka mnamuhita Yesu alafu yeye mwenyezi mungu aingie kwenye nafusi ya Issa heti yesu ni mungu,Yesu alitumwa na mungu,yesu kaumbwa na mungu na Yesu sio mungu na dini ya kweli ni Uislamu tu na ni 1tu.
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Yaani ww ukizaa mtoto,mtoto huyo anakuwa ana nafsi yako?
wakristo mna vichwa vigumu aise...
@user-wv5fq1bm5x
4 жыл бұрын
Aisee yani mungu awanusuru yani wengine wagumu kufahamu
Mmh
Yesu ni mungu ama laa Jibu liko yoh 14:7 na yesu ndo kakuumba yoh 1:1--3
@officialkamdudu
4 жыл бұрын
Shukran Oberd kwani yohana 1:1 ni maneno ya nani ?
@shukranoberd2490
4 жыл бұрын
Official Kamdudu niya yohan na ht hivo nyie mnakataa wingi wa mungu lakn qolohan yen inasema mfano kipindi Muhammad anapewa utume hakupewa na mungu moja maana quoran inasema tulimpa sio nilimpa so mna miungu mingi sio mungu mmoja
@officialkamdudu
4 жыл бұрын
Shukran Oberd acha porojo Allaah anatumia katika Qur’ani kwa njia ya wingi inatumika katika lugha nyingi na katika Kiarabu ni Jam‘u Lita‘dhiim (Majestic or Royal Plural au wingi wa ukubwa na utukufu au wingi wa kifalme). Oxford Advanced Learner’s Dictionary inafasiri We (Sisi) kwa kusema: “Formal used instead of I by a king, queen or pope or by the writer of an editorial article in a newspaper, etc. The ROYAL WE (Inatumika rasmi badala ya Mimi na mfalme, malkia, papa au na mwandishi wa tahariri katika makala ya gazeti na kadhalika. Hii ni Sisi ya kifalme” (uk. 1443). Na Allaah ni Mkuu zaidi na Mtukufu na kwake ipo mifano ya juu zaidi na ni aula katika kutumia utukufu wake katika hilo, hivyo ‘TUME’ au ‘SISI’ inapotumika katika Qur’an inaonyesha Utukufu wake akiwa Yeye ni Yeye tu wala hana mwendani.
@shukranoberd2490
4 жыл бұрын
Official Kamdudu kwanini atumie wingi wakati ni nafsi moja km sio dini ya kihun et mpaka mnadanganya watu et waloasi sabato walikua manyani yaan ni utoto kabisa mbona mpaka sasa wanaasi na hawawi mnyani
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
mungu kazaliwa😁😁duuu mungu sijui huko tumboni aliwekwa na nani na kabla yakuzaliwa sasa mama ake yesu alikuw anaabudu nini😁😁kweli hamuwezi kuelewa milele na milele
😂 namuonea uruma uyo mchungaji anabwabwaja tuu sijamuelewa ata nusu jaman ee Islam ndio dn ya kweli wakubar wakatae
Na hata "shahada" Katika Coran hakuna
Kwani hata qur'una mupinga hata qur'una nyinyi ovyo akili punguwani
Sio tu Bible hata qur'una YESU aliumba AL - Imran 2 :49 Na ni mutume kwa wana wa lsreal kuwaambia mimi nimekujieni na lshara kutoka kwa Mola mlezi wenu ya kwamba na kuundieni kwa udongo kama ndege sura ya ndege Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya mwenyezi MUNGU.
@janetkahada5206
3 жыл бұрын
Sorry it's AL Imran 3:49
Soma Tito 2:13 yesu ni Mungu
@ramadhanwilbard4685
4 жыл бұрын
Ww soma Quran ndicho kitabu kikamilimu cha mwenyezi mungu na hakina shaka ndani yake.
@NahyaShaban-ve4qe
Жыл бұрын
ww huyo ni paul aliwadanganya🤣🤣🤣
Huyo dogo hajuwi wanitafute mimi
@davidochieng2975
4 жыл бұрын
Waje kwangu pia hawatoshi ni vile hawapendi kupeana muda kwa wenzao.Ubishi tu na kutokubali ukweli wa biblia.
@user-wv5fq1bm5x
4 жыл бұрын
Hamna lolote nyie mnakataa tuu dini ni ya kiislam
@adamtamim6048
4 жыл бұрын
@@davidochieng2975 haya hebu tupe andiko linalosema ukristo ndio dini ya kweli Na lialosema yesu ni mungu
@adamtamim6048
4 жыл бұрын
@@davidochieng2975 hebu jiulize swali dogo tuu kabla yesu hajazaliwa binaadam walikuwa wanamiabudu mungu gan
@ismailyusuph740
4 жыл бұрын
Hahaaa’ wanashindwa kina Papa Paulo wanaoandika biblia kila mwaka’ utaweza ww ndugu...! Ukisoma maandiko utaelewa kwamba hujitambui ...!..unakwenda Kwa kukaririshwa na wachungaji..!
Wacha kuchanganya huyo Jamaal, hiyo hoja huwezani nayo ispokuwa, nikumchanganya, kama unajiamini kabisa na hoja zako please nitafute tujadiriane.
@zakialustan722
4 жыл бұрын
Akutafute nani wewe bankrupt
@davidochieng2975
4 жыл бұрын
@@zakialustan722 Mbona mnakataa ukweli nyinyi?
@mundharyhabibu5361
4 жыл бұрын
@@davidochieng2975 unahoj gani..... Maandiko bibilia nzma hkun hta moj linalosem ukristo ni dini
twasubiri muendelezo insha Allah
huyo shekhe hajielewi
@aliimwasiri2764
4 жыл бұрын
Nenda ukamueleweshe mwenzako anahaha kama kameza uji moto ajui aumeze au auteme😁😁😁
@asmaaabdalla9372
4 жыл бұрын
Msiba Kwa wakristo mungu mwana roho mtakatifu wote wanks 1+1+1=3
@asmaaabdalla9372
4 жыл бұрын
Mungu WA wakristo kazaliwa katahiriwa msiba anae tahiriwa mungu mwanadamu fikirieni maneno yaupunbavu munatukuwa kanisani
@minaminaa1669
4 жыл бұрын
@@asmaaabdalla9372 😊😃😃😃
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
yesu kaumba nini kama ni mungu na huyo yesu anatahiriwi dahh msibishe ila mshukiru waislam wanavyotoa miadhara inawasaidia nyie msio jua hadhi ya mungu ivi yesu kweli awe mungu alaf mlivyokuwa maboya na nyumba zenu mmejaza picha za yule alieigiza picha la yesu na kumpigia magoti😁😁