IMANI PETRO | SAID KINYOGOLI | DEBATE YA BUGURUNI DAR TZ
AKASHA DAAWAH CHANNEL
Жүктеу.....
Пікірлер: 112
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Allahu akbar Ma shaa Allah,Allah akuhifadh ustadh yaani wanipa raha hadi basi, Akasha eee tupe vitu bana in shaa Allah
@hamzaadrin9417 жыл бұрын
Allah Amlaze Mahala Pema Peponi Shekhe Wetu
@aminashabangonzi4020 Жыл бұрын
Dah😥 shekhe Imani Petro Allah akupe jannatu Firdausi umepamban sana wallah kutuachia hii elimu 🤲
@hawadownloadhawa81656 жыл бұрын
Alhamdulillah namshukru Allah nilikuwepo kwenye mhadhara huu namuomba Allah akanioneshe na akhera kwa mambo mema yarrab aamini yarrab aamini
@maksum35497 жыл бұрын
masha allah....( I am from indonesia)
@twalibizogunter9765
6 жыл бұрын
Mak Sum hello
@yesusimungu90847 жыл бұрын
Jamani uislam Raaaaaaaa sana
@zulfaalnabhanzulfaalnabhan86537 жыл бұрын
ma shaa ALLAH jazakumullahulkheyr
@drraizkidume8677 жыл бұрын
ALLAH mantenha sua alma em paz
@saidpolenikwamsbakinidi62327 жыл бұрын
safi sana iman petro wamezowea kuburuzwa nawazungu mafundisho km hayo hawapewi makanisani
@ramzanqarim49772 жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuweka pema penye wema iman petro.
@hanifaharet37397 жыл бұрын
jamani!!Imani Petro alifariki???Allah mjaalie pepo
@dullahmamu2165
7 жыл бұрын
Hanifa haret ameen thuma ameen
@babuuabdalla4117 Жыл бұрын
ASSALAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKAATUHU IN SHA ALLAH ALLAH SWT AMLIPE KILA LA KHERI USTADH ALSHAHID IMAN PETRO AMIN 🤲
@maftahramadhani66627 жыл бұрын
jazaka Allahu kyran
@saidpolenikwamsbakinidi62327 жыл бұрын
Ndio mana hawa wakiristo hawafundish mafundisho ya yesu / nabii mussa aliambiwa na mungu vuwa viatu unapoingia mahala pakatif wao wanaingia naviatu hawafat vitab wanafata wazungu
@khuwailatnassor85217 жыл бұрын
ewe mola wetu mtukufu irehemu roho ya sheikh wetu iman petro n.a. ilaze mahali pema peponiii......amino
@rajabrojapeoplegmamilcom
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor Aamin yaa rab
@mrsdully1613
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor kafariki kwani? ???
@rajabrojapeoplegmamilcom
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor Allahuma aamin
@yesusimungu9084
7 жыл бұрын
Ameen thumma ameen فيصل الحردان
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor amiin
@evmoseschungu47497 жыл бұрын
Andiko limetimia na mimi sina budi kunyamaza ila ukwel umekwisha kulewa.
@fatmaabdilahi10075 жыл бұрын
Allah Awajalie kilala kheri mashekhe wetu
@hamisishafii16456 жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi sheikh Iman petro
rahasana uislam ilaukimuona imani petro rohoinauma sanajamani Allah akuepushe na adhabu
@jimmyhabarugira42327 жыл бұрын
Mola wetu mtukufu tunakuomba iweke roho ya sheikh petro mahali pema peponi
@ommytensi1324
6 жыл бұрын
Mwenyezmungu mjalie pepo mjawako imani petro
@myself4128
6 жыл бұрын
Jimmy Habarugira MARA MTU AKIFA HUKUMU!! SALA ZA MAREHEMU HAZISAIDII.....HEBR 9:27
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
Aamiin Rabil Aalamiin
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
@@myself4128 hayakuhusu
@prettyaysha7892
5 жыл бұрын
@EE RR mzigo uko kichwani kwapa limelowa maji yakunuka.... Una HILA baba hayakuhusu
@jumakitadu86743 ай бұрын
Nimecheka Sana kwa maswali ya imam petro yalivyo magumu. Allah akurehem
@AliBaba-male2 жыл бұрын
Allah amuweke Iman Petro mahala pema peponi
@mariamsuleiman71597 жыл бұрын
mubgu akujalie janat firidausi penda sana ila mungu kakupenda zqidi
@harbisulub7 жыл бұрын
masha Allah tabarakaAllah
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Mungu amuangazie nuru njema imani petro
@evmoseschungu47497 жыл бұрын
Mnaibadili kweli ya mungu kuwa uongo mungu awanusuru na ghadhabu yake.
@muhammadnabii6497
7 жыл бұрын
kweli ipi mussa chungu???
@shabamuhidin634
2 жыл бұрын
hehe,sawa ila kaa ukijua Yesu amesema atahukumu kabila kumi na mbili za Israel,so jipange mapema maana najua wewe ni mnyamwezi au mgogo wa tanzania hahahaha
@ramadhanisalum3548 Жыл бұрын
Allah akurehem na akulipe pepo yake Kwa idhini yake
@peterchuchu53957 жыл бұрын
Kwanzia leo mm naukiristo bac
@salmamahfoozsalma2693
7 жыл бұрын
PETER CHUCHU hongera kwa kuujua ukweli uliko
@hamzaadrin941
7 жыл бұрын
karibu sana
@mr.vegass6197
6 жыл бұрын
PETER CHUCHU Allah akuongoe
@myself4128
6 жыл бұрын
PETER CHUCHU Unamkana Kristo kwa sababu ya huyu mpagani??nikuulize swali dogo ndugu peter!! Baba yetu wa imani Ibrahim alikuwa na kitabu gani???lakini je kuna kitu kilimzuia kumcha Mungu???????soma waebrania 6:4 ...... mimi sihukumu ila ninaamini huyu jamaa anataabika tu huko aliko sababu Hakuna njia zaidi ya Kristo
@muddathirkassim2407
5 жыл бұрын
Welcome bro
@jacksonmalechera34245 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akurehemu
@alimaalima60167 жыл бұрын
Masha Allah
@biramsakh92122 жыл бұрын
Imani petro Allah amlaze mahala pema peponi amin amin
@samxx411 Жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu hatuna cha kumlipa mtu huyu wala hatuna uwezo wa kumlipa kwa kulitangaza neno lako ila tunakumba wewe ALLAH umlipe firdaus pepo ya daraja la juu na umuokoe na adhabu za Jahannam kwa uwezo wako na utukufu wako. AMIN
@ibraimodinodino8285 жыл бұрын
allah k vai te colocar no paraíso inchallah....paz a sua alma sheikh Imani petro....
@biramsakh92122 жыл бұрын
Awa mashekh wote petro NA wengine wataalamu wasomi wadini walikua wakirsto mapadri maaskofu nawakaacha ukirsto kwakujua sio dini lkn hao wasiojua wamo kuburuzwa maskini wala hawasomi bibiliya yao vzr Allah awaongoze njia amin
@suberasubera6412 жыл бұрын
Miminawapenda wahadhiri woooote
@leadertyga292 жыл бұрын
Allah akibar duuuh Mashaallah waroma ni wagumu sana kusilimu hongera sana dada karibu katika uislamu mi mwenyewe nimesilimu uislamu raha sana wallah
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Mnamajininwote yanawaongoza mpaka mmeslim mtu mwenye akili yake awezi kuwa Mpinga Kristo ambaye katabiriwa Dunia nzima kama atakuja Mpinga Kristo na wala hakuna Mpinga Muhammad ila kutokana na Majini lazima Uslimu. Poleni sana kwa kufuata Dini inayo pendwa na Majini
@ramadhanisalum3548
Жыл бұрын
@@charlesmapunda5905 kwel haki ikifika batili hujitenga ww endelea na ukafiri wako ufe nao
@mahamedabdi18817 жыл бұрын
innalilaha wa innailayhi rajiuun
@hamisimkima1172 жыл бұрын
Ukweli upo wazi lakn Washirikina 👈 Bado wanatumia Nguvu nyingi sana kupata ugali
@yesusimungu90847 жыл бұрын
Shuq"ran Masheikh
@timabushuti7254
7 жыл бұрын
JazakaALLAH kheri
@hamisimkima1172 жыл бұрын
Hapa ndipo unapopata majibu kwamba kaziyake Mola haina Makosa
@prettyaysha78925 жыл бұрын
Wakristo hawapendi old testament coz ina mambo yote ya kiislam wanaipenda new testament ya sheitan paulo
@smartboytz36286 жыл бұрын
huu ulifanyika mwakangani
@salmaothman1535 жыл бұрын
ILA WAKRISTO WANATIA HURUMA MAANA HATA HOJA MOJA WANAOJIBU UKAWA KWELI
@binahmedjuma86812 жыл бұрын
Assalaam alaykum, ndugu zangu huu Muhadhara ulikuwa mwaka gani?
@hamisikulola84815 жыл бұрын
kwa hali hii wanaoritad kazi kwenu mwadandia dini za kuungauanga subirini jahanam
@peacefulabdhulhakeem30327 жыл бұрын
nashtuka na kuhuzunika kwa hilo. naomba kujuzwa juu la hilo. kwani sh. imani petrol kafa dunia?
@AKASHA.P
7 жыл бұрын
KITAMBO
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Ndio
@bahatibagaile99675 жыл бұрын
Waislamu wanachekesha Kwa mjibu wa Surat mariamu aya 71 na 72 Imani Petri yupo Jehanamu. Qur'an 10:102 inaelezea waislamu mtakavyokuwa
@kassimali8316
5 жыл бұрын
Habari yako dada. Nimeziangalia hizo aya ulizo sema hapo juu lakini naona hazisemi kama waumini wa dini ya kiislamu wataingia jehanamu.Ili ujue tafsiri ya Qurani inakubidi uangalie aya ya mbele yake au nyuma yake ndio utafahamu. Nakuletea tafsiri za hizo aya. Surat Mariamu. 71. Tena hakika Sisi Tunawafahamu sana wanaostahili zaidi kuunguzwa humo. 72.Wala hakuna ye yote katika ninyi ila ni mwenye kuifikia. Ndiyo wajibu juu ya Mola wako uliokwisha hukumiwa. (hizo ndio aya ulizosema, sasa hapo dada yangu mpenzi hukufahamu. Hapo Allah (Mungu wa Haki) anatuambia wanadamu wote lazima tutapita ktk njia inayoitwa siratwi, njia hiyo ni nyembamba sana, hapo Allah atabagua baina ya waumini wa kweli wa kiislamu na makafiri, makafiri wataanguka na kuiingi motoni waumini wa kweli watavuka salama) angalia aya hii ya 73 inavyosema. 73.Kisha Tutawaokoa wale wamchao (Mungu); na Tutawaacha wadhalimu humo wakiangukia magoti. kama utakuwa na maswali zaidi unaweza kuniuliza lengo ni kusaidiana ili tukapate pepo. kwa email yangu. kassim1533@outlook.com au Whats App +255777919400. nikumalizie na aya hii itakusadia. Soma Quran 5: 73-77 73. Bila shaka wamekufuru wale waliosema, Hakika Mwenyezi Mungu ni Masihi bin Mariamu, na Msihi alisema:Enyi wana wa Israeli, Mwabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu, Kwa yakini anayemshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu Amemharimishia Pepo, na mahali pake ni Motoni; na wadhalimu hawatakuwa na wasaidizi. 74.Kwa hakika wamekufuru wale waliosema: Hakika Mwenyezi Mungu ni watatu wa watatu, hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na kama hawataachahayo wayasemayo, kwa yakini itawagusa wale waliokufuru miongoni mwao adhabu iumizayo. 75.Je, hawatubu kwa Mwenyezi Mungu na kumwomba msamaha? Na Mwenyezi Mungu ni Msamehevu, Mrehemevu. 76.Masihi bin Mariam siye ila ni Mtume tu; bila shaka Mitume wamekwisha fariki kabla yake; na mama yake ni mwanamke mkweli; wote wawili walikuwa wakila chakula. Tazama jinsi Tunavyowabainishia Aya, kisha tazama wanageuzwa wapi? 77 Sema. Je, mnamwabudu badala ya Mwenyezi Mungu ambaye hawezi kuwadhuruni wala kuwafadisheni? Na Mwenyezi Mungu ndiye Asikiaye, Ajuaye. Nakutakia kila la kheri DADA
@hamisikulola8481
5 жыл бұрын
Bahati Bagaile huna hoja waislamu peponi Quran 40:40 Quran 43:68 to aya wakristo wataingia peponi
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Kasome vizuri Qur-an bibie km hijui sema ufahamishwe
@prettyaysha7892
5 жыл бұрын
@bahati bagaile yaani waropoka tyu juu juu huna jipya
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
@@kassimali8316 MashaAllah! Allah akujaalie kila lililojema, na mafikio yetu yawe peponi. 🤲🤲
Пікірлер: 112
Allahu akbar Ma shaa Allah,Allah akuhifadh ustadh yaani wanipa raha hadi basi, Akasha eee tupe vitu bana in shaa Allah
Allah Amlaze Mahala Pema Peponi Shekhe Wetu
Dah😥 shekhe Imani Petro Allah akupe jannatu Firdausi umepamban sana wallah kutuachia hii elimu 🤲
Alhamdulillah namshukru Allah nilikuwepo kwenye mhadhara huu namuomba Allah akanioneshe na akhera kwa mambo mema yarrab aamini yarrab aamini
masha allah....( I am from indonesia)
@twalibizogunter9765
6 жыл бұрын
Mak Sum hello
Jamani uislam Raaaaaaaa sana
ma shaa ALLAH jazakumullahulkheyr
ALLAH mantenha sua alma em paz
safi sana iman petro wamezowea kuburuzwa nawazungu mafundisho km hayo hawapewi makanisani
Mwenyezi mungu azidi kukuweka pema penye wema iman petro.
jamani!!Imani Petro alifariki???Allah mjaalie pepo
@dullahmamu2165
7 жыл бұрын
Hanifa haret ameen thuma ameen
ASSALAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKAATUHU IN SHA ALLAH ALLAH SWT AMLIPE KILA LA KHERI USTADH ALSHAHID IMAN PETRO AMIN 🤲
jazaka Allahu kyran
Ndio mana hawa wakiristo hawafundish mafundisho ya yesu / nabii mussa aliambiwa na mungu vuwa viatu unapoingia mahala pakatif wao wanaingia naviatu hawafat vitab wanafata wazungu
ewe mola wetu mtukufu irehemu roho ya sheikh wetu iman petro n.a. ilaze mahali pema peponiii......amino
@rajabrojapeoplegmamilcom
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor Aamin yaa rab
@mrsdully1613
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor kafariki kwani? ???
@rajabrojapeoplegmamilcom
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor Allahuma aamin
@yesusimungu9084
7 жыл бұрын
Ameen thumma ameen فيصل الحردان
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Khuwailat Nassor amiin
Andiko limetimia na mimi sina budi kunyamaza ila ukwel umekwisha kulewa.
Allah Awajalie kilala kheri mashekhe wetu
Mungu akulaze mahali pema peponi sheikh Iman petro
@aminashabangonzi4020
Жыл бұрын
Aaaamin
@mohamedisalum522
3 ай бұрын
hģfghhhdģggdffhfhgdhģhhfģhģģgdggfdghdgffhdhghdddfhdgggģhhgfffgfhdhdfjddhfffggģghffgfhdgfhdhdhdghgģģgģģgth5hdhdģģgdhdgdrhdggggģdgggğffh6dhdghdhhdhdghdhdhhdhģhdfjhdhdffgģhhghdgģdfhdghggdhdghdhdhdhdhdhdghfggghdgghdhdhdgfhdhgggghdhdghdhhdgghddgģfjhdghdfdfdghhffdghdhdhgdhhhgfhhgfgghddhdgggggģghjģghgģggģgģhģggģģggjghggghggjgģggģggggģggģghgģgģgjggghjģggggģģgghhgģgghgģgggggggjgggģggjjg ģgggghghgģjggggģģhdg@@aminashabangonzi4020
rahasana uislam ilaukimuona imani petro rohoinauma sanajamani Allah akuepushe na adhabu
Mola wetu mtukufu tunakuomba iweke roho ya sheikh petro mahali pema peponi
@ommytensi1324
6 жыл бұрын
Mwenyezmungu mjalie pepo mjawako imani petro
@myself4128
6 жыл бұрын
Jimmy Habarugira MARA MTU AKIFA HUKUMU!! SALA ZA MAREHEMU HAZISAIDII.....HEBR 9:27
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
Aamiin Rabil Aalamiin
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
@@myself4128 hayakuhusu
@prettyaysha7892
5 жыл бұрын
@EE RR mzigo uko kichwani kwapa limelowa maji yakunuka.... Una HILA baba hayakuhusu
Nimecheka Sana kwa maswali ya imam petro yalivyo magumu. Allah akurehem
Allah amuweke Iman Petro mahala pema peponi
mubgu akujalie janat firidausi penda sana ila mungu kakupenda zqidi
masha Allah tabarakaAllah
Mungu amuangazie nuru njema imani petro
Mnaibadili kweli ya mungu kuwa uongo mungu awanusuru na ghadhabu yake.
@muhammadnabii6497
7 жыл бұрын
kweli ipi mussa chungu???
@shabamuhidin634
2 жыл бұрын
hehe,sawa ila kaa ukijua Yesu amesema atahukumu kabila kumi na mbili za Israel,so jipange mapema maana najua wewe ni mnyamwezi au mgogo wa tanzania hahahaha
Allah akurehem na akulipe pepo yake Kwa idhini yake
Kwanzia leo mm naukiristo bac
@salmamahfoozsalma2693
7 жыл бұрын
PETER CHUCHU hongera kwa kuujua ukweli uliko
@hamzaadrin941
7 жыл бұрын
karibu sana
@mr.vegass6197
6 жыл бұрын
PETER CHUCHU Allah akuongoe
@myself4128
6 жыл бұрын
PETER CHUCHU Unamkana Kristo kwa sababu ya huyu mpagani??nikuulize swali dogo ndugu peter!! Baba yetu wa imani Ibrahim alikuwa na kitabu gani???lakini je kuna kitu kilimzuia kumcha Mungu???????soma waebrania 6:4 ...... mimi sihukumu ila ninaamini huyu jamaa anataabika tu huko aliko sababu Hakuna njia zaidi ya Kristo
@muddathirkassim2407
5 жыл бұрын
Welcome bro
Mwenyezi Mungu akurehemu
Masha Allah
Imani petro Allah amlaze mahala pema peponi amin amin
Ewe Mwenyezi Mungu hatuna cha kumlipa mtu huyu wala hatuna uwezo wa kumlipa kwa kulitangaza neno lako ila tunakumba wewe ALLAH umlipe firdaus pepo ya daraja la juu na umuokoe na adhabu za Jahannam kwa uwezo wako na utukufu wako. AMIN
allah k vai te colocar no paraíso inchallah....paz a sua alma sheikh Imani petro....
Awa mashekh wote petro NA wengine wataalamu wasomi wadini walikua wakirsto mapadri maaskofu nawakaacha ukirsto kwakujua sio dini lkn hao wasiojua wamo kuburuzwa maskini wala hawasomi bibiliya yao vzr Allah awaongoze njia amin
Miminawapenda wahadhiri woooote
Allah akibar duuuh Mashaallah waroma ni wagumu sana kusilimu hongera sana dada karibu katika uislamu mi mwenyewe nimesilimu uislamu raha sana wallah
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Mnamajininwote yanawaongoza mpaka mmeslim mtu mwenye akili yake awezi kuwa Mpinga Kristo ambaye katabiriwa Dunia nzima kama atakuja Mpinga Kristo na wala hakuna Mpinga Muhammad ila kutokana na Majini lazima Uslimu. Poleni sana kwa kufuata Dini inayo pendwa na Majini
@ramadhanisalum3548
Жыл бұрын
@@charlesmapunda5905 kwel haki ikifika batili hujitenga ww endelea na ukafiri wako ufe nao
innalilaha wa innailayhi rajiuun
Ukweli upo wazi lakn Washirikina 👈 Bado wanatumia Nguvu nyingi sana kupata ugali
Shuq"ran Masheikh
@timabushuti7254
7 жыл бұрын
JazakaALLAH kheri
Hapa ndipo unapopata majibu kwamba kaziyake Mola haina Makosa
Wakristo hawapendi old testament coz ina mambo yote ya kiislam wanaipenda new testament ya sheitan paulo
huu ulifanyika mwakangani
ILA WAKRISTO WANATIA HURUMA MAANA HATA HOJA MOJA WANAOJIBU UKAWA KWELI
Assalaam alaykum, ndugu zangu huu Muhadhara ulikuwa mwaka gani?
kwa hali hii wanaoritad kazi kwenu mwadandia dini za kuungauanga subirini jahanam
nashtuka na kuhuzunika kwa hilo. naomba kujuzwa juu la hilo. kwani sh. imani petrol kafa dunia?
@AKASHA.P
7 жыл бұрын
KITAMBO
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Ndio
Waislamu wanachekesha Kwa mjibu wa Surat mariamu aya 71 na 72 Imani Petri yupo Jehanamu. Qur'an 10:102 inaelezea waislamu mtakavyokuwa
@kassimali8316
5 жыл бұрын
Habari yako dada. Nimeziangalia hizo aya ulizo sema hapo juu lakini naona hazisemi kama waumini wa dini ya kiislamu wataingia jehanamu.Ili ujue tafsiri ya Qurani inakubidi uangalie aya ya mbele yake au nyuma yake ndio utafahamu. Nakuletea tafsiri za hizo aya. Surat Mariamu. 71. Tena hakika Sisi Tunawafahamu sana wanaostahili zaidi kuunguzwa humo. 72.Wala hakuna ye yote katika ninyi ila ni mwenye kuifikia. Ndiyo wajibu juu ya Mola wako uliokwisha hukumiwa. (hizo ndio aya ulizosema, sasa hapo dada yangu mpenzi hukufahamu. Hapo Allah (Mungu wa Haki) anatuambia wanadamu wote lazima tutapita ktk njia inayoitwa siratwi, njia hiyo ni nyembamba sana, hapo Allah atabagua baina ya waumini wa kweli wa kiislamu na makafiri, makafiri wataanguka na kuiingi motoni waumini wa kweli watavuka salama) angalia aya hii ya 73 inavyosema. 73.Kisha Tutawaokoa wale wamchao (Mungu); na Tutawaacha wadhalimu humo wakiangukia magoti. kama utakuwa na maswali zaidi unaweza kuniuliza lengo ni kusaidiana ili tukapate pepo. kwa email yangu. kassim1533@outlook.com au Whats App +255777919400. nikumalizie na aya hii itakusadia. Soma Quran 5: 73-77 73. Bila shaka wamekufuru wale waliosema, Hakika Mwenyezi Mungu ni Masihi bin Mariamu, na Msihi alisema:Enyi wana wa Israeli, Mwabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu, Kwa yakini anayemshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu Amemharimishia Pepo, na mahali pake ni Motoni; na wadhalimu hawatakuwa na wasaidizi. 74.Kwa hakika wamekufuru wale waliosema: Hakika Mwenyezi Mungu ni watatu wa watatu, hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na kama hawataachahayo wayasemayo, kwa yakini itawagusa wale waliokufuru miongoni mwao adhabu iumizayo. 75.Je, hawatubu kwa Mwenyezi Mungu na kumwomba msamaha? Na Mwenyezi Mungu ni Msamehevu, Mrehemevu. 76.Masihi bin Mariam siye ila ni Mtume tu; bila shaka Mitume wamekwisha fariki kabla yake; na mama yake ni mwanamke mkweli; wote wawili walikuwa wakila chakula. Tazama jinsi Tunavyowabainishia Aya, kisha tazama wanageuzwa wapi? 77 Sema. Je, mnamwabudu badala ya Mwenyezi Mungu ambaye hawezi kuwadhuruni wala kuwafadisheni? Na Mwenyezi Mungu ndiye Asikiaye, Ajuaye. Nakutakia kila la kheri DADA
@hamisikulola8481
5 жыл бұрын
Bahati Bagaile huna hoja waislamu peponi Quran 40:40 Quran 43:68 to aya wakristo wataingia peponi
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Kasome vizuri Qur-an bibie km hijui sema ufahamishwe
@prettyaysha7892
5 жыл бұрын
@bahati bagaile yaani waropoka tyu juu juu huna jipya
@binahmedjuma8681
2 жыл бұрын
@@kassimali8316 MashaAllah! Allah akujaalie kila lililojema, na mafikio yetu yawe peponi. 🤲🤲
kwani imani petrol kafariki dunia?
@AKASHA.P
7 жыл бұрын
KITAMBO
@alameratalloy8422
7 жыл бұрын
AKASHA DAAWAH masheghe watu Allah awaweke
@ahmedbakari8748
7 жыл бұрын
AKASHA DAAWAH the
@annassuleiman4508
5 жыл бұрын
@@AKASHA.P kafariki mwaka gani
@allymbembe4774
2 жыл бұрын
Kweli amefariki na amezikwa tabata