Yesu ni MUNGU wakristo

Пікірлер: 12

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya41784 ай бұрын

    Amina hakika Yesu ni Neno la Mungu nae neno ndio Mungu amina❤❤❤

  • @justinecumpos5912
    @justinecumpos59123 жыл бұрын

    uzuri wawakristo tunalijuw neno,,,,,,nyi toeni matusi sis tunawasamehe buleeeeeee

  • @rosecysistor1707
    @rosecysistor17074 жыл бұрын

    Nikweli kabisa umetoa prove nzuri kabisa

  • @dianaezekiel5035
    @dianaezekiel50355 жыл бұрын

    True

  • @seifissa6932
    @seifissa69323 жыл бұрын

    Wakiristo jitambuen kiundan zaid yesu mung?? No

  • @mabulaoneamosy1281
    @mabulaoneamosy12814 жыл бұрын

    QURAN INASEMA ALLAH ALIWEKA ROH0 YÀKE KUPITIA UTUPU WA MARIÀM. AKAZALIWA SIKU HIYO AKAONGEA SIKU HUG HIYO

  • @mkushplatnam1595
    @mkushplatnam15954 жыл бұрын

    apo kuna kufikiri kibinadam na kufikiri kiroho,

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu95902 жыл бұрын

    Yesu si Mungu wakati wowote kzread.info/dash/bejne/h5efqKmJZLKok5s.html

  • @yuzotv458
    @yuzotv4584 жыл бұрын

    Yani kuna watu machizi,ivi kama yesu mungu kwanini atahiriwe???. Yesu mungu kwann alale kwenye jahaz na maji yalipojaa wakamuamsha. Kwaiyo mungu alilala eh???. Kwanza yesu ni muislam soma bible luka 4:16 kisha fungua nyuma ya bible angalia maana ya sinagogi???.

  • @user-ic5yl7mz4d

    @user-ic5yl7mz4d

    Ай бұрын

    Tatizo lako hujasikiliza mada vizuri

  • @omarmtumbi7151
    @omarmtumbi7151 Жыл бұрын

    Hakuna udhibitisho wowote aliotoa zaidi ya kuzungukazunguka tu kuipa point Imani yake. Ameongea mengi na wala hajaeleweka. Ustadhi katoa hoja za wazi na wala hajazunguka sana. Hata Quran yenyewe haielewi.

  • @yuzotv458
    @yuzotv4584 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂,alafu mnaposema yesu alikuja duniani mnakosea sana,yesu amezaliwa na mariam na hata zilipofikia siku 8 zakumtahiri akatahiriwa yesu.sasa jamani mungu anatahiriwa???.