Malundi online Tv

Malundi online Tv

Nyayo za miguu kwenye mwaba.

Nyayo za miguu kwenye mwaba.

KUKU WAPIGANIA JIKE.

KUKU WAPIGANIA JIKE.

YESU BABA YAKE NANI?.

YESU BABA YAKE NANI?.

LISU ASHINDA KWA HOJA,

LISU ASHINDA KWA HOJA,

Пікірлер

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini34710 күн бұрын

    Tunamis bunge hili

  • @CharlesMasanja
    @CharlesMasanjaАй бұрын

    Sawa kabisa...! Ni ufunuo halisi wenye manufaa kwa Taifa

  • @mbakijonas5647
    @mbakijonas5647Ай бұрын

    Umeongea point mzee

  • @LeyanKiberenge
    @LeyanKiberengeАй бұрын

    Ujinga TU wA mwandishi kusema uongo

  • @NelsonMwaigomole
    @NelsonMwaigomoleАй бұрын

    YA MWSKA GANI HII.

  • @alexpaul2981
    @alexpaul29812 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/po2c05SBmNyxpsY.htmlsi=Ytjp3mLhKaQ84a8s na hapa tunapita ndugu zangu

  • @JohnKimaro-cn6vk
    @JohnKimaro-cn6vk2 ай бұрын

    Kawe wamepata jembe..

  • @JohnKimaro-cn6vk
    @JohnKimaro-cn6vk2 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @sendmessages2794
    @sendmessages27942 ай бұрын

    Askofu yuko sawa kabisa.

  • @sendmessages2794
    @sendmessages27942 ай бұрын

    A Safi

  • @WanawaMunguTV-zm5fu
    @WanawaMunguTV-zm5fu2 ай бұрын

    Sawa kabisa. Maono ya nchi ya mda mrefu ni mwarobaini wa Tanzania.❤

  • @mohammedomar2865
    @mohammedomar28652 ай бұрын

    Huyu sio bwege

  • @EmanuelMutunga-wb9nc
    @EmanuelMutunga-wb9nc2 ай бұрын

    Allah amrehemu

  • @nassoropongwa8022
    @nassoropongwa80222 ай бұрын

    Allah akupe Pepo

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x842 ай бұрын

    Si ni MAREHEMUUU..ACHA ZENU...HUYO NI MAREHEEMUUUUUUUUUUUUU

  • @user-rb2ut7lu6h
    @user-rb2ut7lu6h3 ай бұрын

    Mnakufuru

  • @PastorPhilipMbaabu.
    @PastorPhilipMbaabu.3 ай бұрын

    Play the video hapa sisi Kenya tuiyone.

  • @dremmanuelsmasunga4480
    @dremmanuelsmasunga44804 ай бұрын

    Mwigulu nimemuona alikua jounalist au

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya41784 ай бұрын

    Amina hakika Yesu ni Neno la Mungu nae neno ndio Mungu amina❤❤❤

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f5 ай бұрын

    Ma shaa allah mungu akurehemu imani petro

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything5 ай бұрын

    👊✌️👍。

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur5 ай бұрын

    Kwa JINA LA YESU ALIE HAI HAI misukule wote warudi mwaka huu 2024

  • @cirimwamibusane8713
    @cirimwamibusane87136 ай бұрын

    ivio vitabu vyote munasema waislam je munavipata ndani ya kuroan ama ndani ya bibiliya.

  • @user-kv1pw4dg9i
    @user-kv1pw4dg9i6 ай бұрын

    Jamani tuwaeshimu mama zetu mama ndokilakitu

  • @rmoomusic2382
    @rmoomusic23826 ай бұрын

    Poleni sana akina mama

  • @user-nz9pk3fu9b
    @user-nz9pk3fu9b8 ай бұрын

    Rahmahullah

  • @linusluka5358
    @linusluka53588 ай бұрын

    Kiukweli viongozi wetu wanapambana Sana Ila wanaokwamisha nao hawakosekani

  • @maryammo-gd3me
    @maryammo-gd3me8 ай бұрын

    Imani petro Allah akurehemu akupe pepo ya firdows

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw8 ай бұрын

    Marehemu S A W mchungaji wewe mchokozi kweli. Anyway uko sawa mwalimu.

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur9 ай бұрын

    Sipend uislamu kabisa hua mwanisinya sana,nivile tu yesu alisema hakuja kutegua dini wala manabii alikuja kutimiliza kila lililo nenwa na manabii ingekua sio ivo uslamu ungezima kabisaa

  • @celeniendayishimiye849
    @celeniendayishimiye84910 ай бұрын

    Jamani watu wa gupasuriwa tunatoka mbari mwenye ha japasuriwa aombe zaidi kabisa nusu yakifo nawaganga mungu awazidishie ujuzi

  • @JohnsonKenga-wm9ii
    @JohnsonKenga-wm9ii10 ай бұрын

    Najivunia kua muisilamu

  • @user-rn3ix3xx4y
    @user-rn3ix3xx4y11 ай бұрын

    A❤❤❤❤❤❤

  • @josephmkami
    @josephmkami Жыл бұрын

    Naomba namba za huyu Msanii

  • @user-um4sg1ho7j
    @user-um4sg1ho7j Жыл бұрын

    Jamani wekeni zote

  • @suzanamunisi1369
    @suzanamunisi1369 Жыл бұрын

    Amen

  • @omarmtumbi7151
    @omarmtumbi7151 Жыл бұрын

    Hakuna udhibitisho wowote aliotoa zaidi ya kuzungukazunguka tu kuipa point Imani yake. Ameongea mengi na wala hajaeleweka. Ustadhi katoa hoja za wazi na wala hajazunguka sana. Hata Quran yenyewe haielewi.

  • @HusseinAli-fx1ld
    @HusseinAli-fx1ld Жыл бұрын

    Imani Petro Pale ulipo Mungu akurehemu akututie dhambi akuingize peponi

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 Жыл бұрын

    Allah akulipe kila laheri amina

  • @fatmajama8968
    @fatmajama8968 Жыл бұрын

    Inauma jaman tunapitia magum tunaozaa ktk hinjia mungu awalipe kheri madoct tunapasuliwa sehem iyoiyo kilamtoto nabado tunaowaheshimisha kuitwa baba ukisema mshono unaumaleo ilhali unamwez 1 wauzazi unaonekana unajiuguza kusudu hawajali walann yarab nikuzie vijana wangu wajekua wanaume Bora kwawake zao inauma sn opereshen bado kunawatu wanakuja kukupastres huponi kwaharaka

  • @loveqween
    @loveqween Жыл бұрын

    Ata Mimi nilizaliwa Kwa operation nilikua sijui kama mtu anafanyiwa hivi nampenda sana mama angu and I'm sorry Kwa YOTE niliyo kukosea

  • @faustofausto2202
    @faustofausto2202 Жыл бұрын

    Du ni hatar isikie kwamwingine isikukute jaman

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b Жыл бұрын

    Mashallah jamani Allah akuongezee maisha marefu inshallah

  • @ericruyenzi566
    @ericruyenzi566 Жыл бұрын

    Hahaha !,marehemu Muhammad (s.a.w) nabii wa uongo hahahaha !.

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z4mM0c6uitu5kcY.html MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z4mM0c6uitu5kcY.html MUINGILIANO KATI YA UISLAM NA UKATOLIKI

  • @stevenmponzi8168
    @stevenmponzi8168 Жыл бұрын

    Sasa si kweli ni marehemu

  • @happychacha8910
    @happychacha8910 Жыл бұрын

    Siamini kama ndo nimepitia maishani mwangu inatisha jamani mpaka nimelia Mungu mkubwa nusu ya kifo changu

  • @marthakissima3335
    @marthakissima3335 Жыл бұрын

    Mungu atusaidie kina mama 😥

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Жыл бұрын

    misri wakati huo ahikuwa ya waarabu ilikuwa ni watu weusi sana ikkitwa kemet,anaglaia ushahidi wa kisayansi nje ya pyramid kuna sanamu za watu weusi wanapua pana na ni weusi hii ilipelekea alexander the great alipofika alichukia sana kuona watu weusi wana sayansi kubwa sana aliamuru sanamu hizo zipigwe risasi pua kupoteza ushahidi.kemet maana yake nchi ya watu weusi misri kia asili ni ya waafrika sio waarabu