Anashinda akibweka na hana kitu ya kusema,,kupoteza mda tungekua tunasikiza Ndacha
@adamsaid-ze1jw
9 ай бұрын
Ww ujitambui mungu ana baba unajitambua nyie mungu akufananishwa na ki2 chochote jitambueni nyinyi yaan daah inalilah waina lilahi lajion
@user-vg7pp6xp2g
6 ай бұрын
hahahaaa amumuezi Mazinge kiboko yao😅😅
@yassirswaleh7127
5 ай бұрын
Na unakaa unaamini mungu mfu. Mungu kafa msalabani na unakaa unapoteza mda kuabudu mungu ambae tayari alishakufa
@nsubiraphael8514 Жыл бұрын
Dacha ubarikiwe ubarikiwe,unalifahamu neno la mungu,wafundishe
@mohabro9521 Жыл бұрын
Ustaadh mazinge MUNGU akubariki ndugu yangu akujalie kila la kheri
@naksphraits4237
4 ай бұрын
Mungu mgani unazungumzia?
@antonyndinga8890
3 ай бұрын
Hapa nimeelewa, Kuna mambo ktk roho na Kuna mambo ktk mwili. Inavyoonekana wakristo wanajua katika mwili na roho lakini waislamu wanajua ktk mwili
@fimboyamusadavy180
Ай бұрын
Asanti sana mwalimu Ndacha
@chuugamestz4487 Жыл бұрын
Akupe maisha marefu shekh wetu mazinge
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
Amin yarabb
@ibrahimfarha38539 ай бұрын
Alhamdullillah kwa neemah ya u Islam ......Allah awahifadhi wahadhiri wetu
@user-if4mj3wl8m
3 ай бұрын
Amiin
@saphinalutaha907711 ай бұрын
Mungu ampe afya njema maznge❤❤❤❤❤
@muznazahra4554 ай бұрын
Shukran Shekh wetu na wote walofanikishakikao hicho ,JAZAKUMULLAH KHAIR JAZAA.
@FaithDoha Жыл бұрын
Tangu nianze kufwatilia maandiko haya na mafundisho haya akika nimejua ukiwa katika roho mtakatifu ndio utaelewa walakini kaa hauna roho mtakatifu uwezi elewa thanks mr Ndacha
@JustinaMalugu-pd6kf
Ай бұрын
mtumishi songa mbele
@Dominant97
Ай бұрын
Hakika
@user-hj3wj6or8b5 ай бұрын
Alhamdulillah, ustadh Mazinge and your colleagues spread the holy Quran and all books of God which mentioned only one God, I'm proud to be Muslim
@Andaybuidingworks
3 ай бұрын
potea kabisa. 😂 uisilamu ya Muhammad
@EvMichaelMwaura Жыл бұрын
God bless you Mwalimu Ndacha. I have come to know you lately and I love what you are doing in the body of Christ. You're a great inspiration in and to the body of Christ.
@ZenaNekesa-sx7qf
10 ай бұрын
You are the false prophet that God said you will come during the end tyms
@user-st7gg3ig5g
3 ай бұрын
B4 supporting something read and understand it,cz you call your self born again Christians believing in Jesus,Most of you you're followers of Paulo and not Jesus,read warumi 11,mstari 13,Then tell me 10 countries that yesu alihubiri injili apert from israel
@JustinaMalugu-pd6kf
Ай бұрын
Mwalimu Ndacha Ubarikiwe na Songa mbele
@samhansie3964 Жыл бұрын
Barikiwa sanaaaa mwalim ndacha Mungu akuweke sanaa kwa ajili yetuu 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@justinmguluka4385
Жыл бұрын
Safi
@africanking9004 Жыл бұрын
may God bless you ndacha for unvailing the gospel to them
@evanskhaoya566 Жыл бұрын
i love this, may ALLAH BLESS YOU ALL
@shabanindadaye4806 ай бұрын
Alihmundulilahi ya Allah mubark shekhe mazing mupanuliyekifuwacak azid kuwailimisha wadjawako
@b.f.cburundifilmscompany3098 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana katika jina la yesu kristo
@mohamedyeslam5194 Жыл бұрын
Mashallah sheikh Mazinge
@xaliimacabdullahi-lb8iz7 ай бұрын
MashaAllah ustadh Mazinge,,, wafunze Hawa waliopotea,,,
@harrisonodiwa7248 Жыл бұрын
Hivyo Kwa akili ya Mazinge kipofu akisema kuku ni gari kipofu anauwezo kuliko mwenye macho. Yaani kipofu akisema Yesu ni nabii na mwenye macho aseme ni Mwana wa Mungu Mazinge ataegemea upande wa kipofu....balaa sana.
@benardpaul5971
Жыл бұрын
you've made my day, nikama mtu akuambie I heard a voice na mwingine aseme i had a dream, utaamini nani...
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Aah! Tusimlaumu sana. Ni vile upeo wake umeishia.
@yassirswaleh7127
Жыл бұрын
Shida mungu wenu katahiriwa ,hatuwezi abudu mtu aliyetahiriwa kama sisi
@daudilangat6123
6 ай бұрын
Ndacha mwalimu wa ulimwengu kuelekeza watu wote kwa yesu kristo😅😅😅😅😅
@khermisybonaya3741 Жыл бұрын
Allah ampe Umri Mrefu wenye kheri hyo Mzee wetu *Mazinge* na ajaalie wawe wengi mfano wake🤲 khusuusan katka sisi vijana, ama kwa ndugu zetu ktka ubinadamu Allah awape hidaya ya kumtambua na kumuabudu yy🤲
@jamesombaso9493
Жыл бұрын
Yaaani bado mnaami uongo
@scofiotdangote7576
Жыл бұрын
Amin
@joasgeorge3710
Жыл бұрын
Kwa lipi mwaminini Yesu acheni Ujinga Hali mkijua Maalifa Yesu ni Mungu
@arabicgrammarchannel1162
Жыл бұрын
Dini ya uislamu ni dini ya ukweli
@yassirswaleh7127
Жыл бұрын
@@joasgeorge3710 hatuabudu mungu aliyetahiriwa
@prosperniyongere7480 Жыл бұрын
Bwana muchristo achana na huyu muislamu yeye anamujuwa Yesu kimwili tu. Na ukisema Roho Mtakatifu kwao unakuwa umegonga mwambwa.
@adamsaid-ze1jw
9 ай бұрын
Ww ujitambui Amin mungu anakufa na Amin yesu mungu mbwa ww
@joelrotich13066 ай бұрын
Wonderful conversations this making me to be achristian indeed, thanks to pastor Ndacha, God leading to inspire and spiritual grew more strong, Amen..
@annendegwa2375 Жыл бұрын
I'm happy to see you standing firm ndacha for christ.they want it to look like campaign, but you make them understand in a polite way.God bless you.
@Hussayn21
Жыл бұрын
Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki! Ndacha hana jipya mungu yupi ywa tahiriwa wewe vipi. Majidiliano kusudi yake ni kuelimishwa chukueni maandiko
@mabascorcarpitow1819
Жыл бұрын
Do your research from what ndacha said,on both religions....you'll find that on Muslim side is actually not true and he doesn't finish the verses
@yesuanikumbukejanuary8363
Жыл бұрын
Yupo vizuri saana .
@ArcadiusAndove-sp5dy
5 ай бұрын
My God bless you mtumishi ndacha watoe kwenye upovu huo wajue akuna lisilo wesekana kwa mungu
@khalidabu5259 Жыл бұрын
Mwalimu ndacha akuna need ya mafundisho na watu kama awa awajui yesu alikuja nduniani kimwili
@salimumbonyumukiza7032
Жыл бұрын
Ndacha wewe wacha uwongo tafazari mimi sizani uwongo wako kama wewe nimu somwi kwel dacha wewe muzehe mazinge muna fikiri wewe una jarimbu kweli hawuna elimu
@filexbenefits5612
Жыл бұрын
@@salimumbonyumukiza7032 mambo ya roho ayaitaji Elimu, soma hadi ulaya but you will never find spiritual teaching, it need prayerful and much committed man to God, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu na mengine mtapewa.
@filexbenefits5612
Жыл бұрын
Soma quran au biblia, not in vein to do this
@yassirswaleh7127
Жыл бұрын
@@filexbenefits5612 hatuwezi abudu mungu aliyetahiriwa
@suzanaagustinookelo4953
10 ай бұрын
@@salimumbonyumukiza7032we ndio ujui kusoma (musomwii) ndio nini!!!?
@mwazanialiishehe1784 Жыл бұрын
Yohane 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
@tsumamartin6878 Жыл бұрын
leo nishatambua ww Mazinge,hauna lolote na hujapitia hoja za Ndacha
@elienew37887 ай бұрын
Kila.goti litapigwa mbele zake Yesu kristo nakila.ulimi utakiri yakua Yesu ni Bwana ameen👏👏
@khadijaali1656
6 ай бұрын
Yesu ni mtume naye ni Nabii Issa sasa kma unamkana Allah ww kana tu ila huo ndo ukwel na utabaki kuwa ukweli acheni uzushi huo
@betteyandrew291 Жыл бұрын
Yesu ni yeye yule Jana na milele
@robertmnyanyika525 Жыл бұрын
Ndacha ubarikiwe sana uwanja ni wako na Roho mtakatifu fanyeni yenu hapo Naona hawana jipya hao nikweli lazima tuwafahamishe kwa lazima huyu Yesu
@mutulaObedi2 ай бұрын
Mweshimiwa MZEE ndacha ubarikiwe na Mungu wahubiri hao wa mujuwe Yesu kwamba Neno la Mungu tena alikuwa Mungu nayote imefanyika kwa Neno' ila wa eslamu Wana maneno ila hawana Neno ' njo mana hupuruka puruka tu.
@user-xm8dn5js9h10 ай бұрын
We ndacha,Safi Sana,kwanza unaroho wa mungu pili unamjua yesu vizr Sana,alafu unajiamini Kama yesu,shetani hakubabaishi hata kidogo wape injili hao Hadi waseme ndioo.wanakubali sema wakaidi tuu.
@yusuphlule5254 Жыл бұрын
Daah! Kwakweli uislamu Ni msiba! Hivi haya Ni majibu ya swali aliloulizwa kweli? Asante yeah kwa kutufunulia haya.
@legend9805
Жыл бұрын
Wewe ndio una msiba pole sanaa. Yesu anaomba msaada kwa mungu alafu awe mungu loo
@RIO-jf9mo
Жыл бұрын
@@legend9805 Aliomba msaada wapi..!?
@legend9805
Жыл бұрын
@@RIO-jf9mo nenda kasome bibilia vizuri yesu aliomba mungu amnyanyuwe juu
@RIO-jf9mo
Жыл бұрын
@@legend9805 hasa si alikuwa binadamu ...hasa ngoja nikuulize MUNGU ana uwezo wa kufanya lolote na anajua mbele kutafanyika nini ...hasa mbona asizuie hicho kitu kufanyika ingali ana uwezo ....jiulize ...wewe ...sababu ni kuwa yesu alifanyika mwili na ilimpasa afanye yote kufundisha watu kama nyinyi ....alikua na uwezo wa kufanya lolote ila alifwata utaratibu tu Kama binadamu ili mumuelwe ...
@legend9805
Жыл бұрын
@@RIO-jf9mo yesu alizaliwa sasa mungu gani yuwazaliwa na binadamu
@user-rt5vq5vc3k9 ай бұрын
Allha akulinde shehe wetu wewe ndacha kubali yesu sio Mungu
@whitetigerprincy5882
3 ай бұрын
hupo gizani
@ambeleikenda50548 ай бұрын
Mr Mazinge, may God open your eyes
@user-sv6zy3hc8o
7 ай бұрын
Zz
@samuelmuhindosivamwanza4988
6 ай бұрын
AMEN
@ahmedalfan8075 Жыл бұрын
I proud to be a Muslim. God bless every Muslim 🙏
@SundayChilango-wg1tp
Жыл бұрын
Mungu akusadie uweze kupata ufunuo ndio utajuwa ukweli
@ahmedalfan8075
Жыл бұрын
@@SundayChilango-wg1tp wew ndio upate ufunuo sio mim
@yohanakiyumbi4795
Жыл бұрын
Kwanini unajivunia kuwa Muislamu?.... toa Sababu 20 nzito kutetea hoja yako
@FathiaAhmed-px2lm
11 ай бұрын
Mazinge amepata kipaji kotka kwa Allah ndiooooooo ndiooooooo ndiooooooo mazinge hooyyyyyye 🙏🙏🙏🕋🕋🕋✋♥️🌹🇰🇪👌👌👌👌👌💪 Islam 🙏🙏🙏 mazinge kiboko yenu mutake musitake Love you mazinge hooyyyyyye
@mwanahija968
11 ай бұрын
@@FathiaAhmed-px2lm hoyeeeeeeeeeeeeeeee muslim hoyeeeeeeeeee hoyeeeeee
@antonynjenga9351 Жыл бұрын
Jesus the Lord and king all praises and worship onto him
@bigmanfish6346
7 ай бұрын
Jesus told you to worship God. But you worship him instead. Jesus prayed in the mosques but you pray in churches. Jesus took oblution before prayers but you don’t and instead pray with shoes on
@vascoaloycekihwele9724 Жыл бұрын
Ndacha unapoteza mda na mazinge... (1 Corinthians 2:11) Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mung. (1 Corinthians 2:12) Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na MUNGU. So mazinge ni wale wayahudi unategemea aelewe vip ingawaje Iko clear?
@DrNelsonJohnMuhirwe27 күн бұрын
Nimeamini Pastor Ndacha Amebarikiwa na MUNGU Amepewa Hakili na Elimu ya kutosha Mungu Akubariki Pastor japokuwa wa islama nivichwangumu hawa sikie
@appleman5634 ай бұрын
Alhamdulillah sijazaliwa kwenye huo ujinga wa kuabudu watu
@yassirkhamis-kx1xk8 ай бұрын
Laailaaha illallah muhammadurrasuulullah
@georgelugaliki1307 Жыл бұрын
Blessed be the Name of Jehovah. I have learned alot. Bible explaining its self
@bigmanfish6346
7 ай бұрын
You’ve not learnt anything. No verse in the whole bible that Jesus was Christian or entered a church or asked you to be Christians. Uongo mtupu kwendeni zenu
@omwangegriffins7000
7 ай бұрын
@@bigmanfish6346makasiriko ya nini? Pingana ukitumia hoja 😅
@bigmanfish6346
6 ай бұрын
@@ARUWAAHMADA-jz9ms Aruwa uko wapi
@bigmanfish6346
6 ай бұрын
@@ARUWAAHMADA-jz9ms aruwa uko wapi? Nipe number yako
@fredouma359
5 ай бұрын
Even Quran speaks of Deity of Jesus...But some have refused to listen.Boundless idiocy.
@amanicarlumehabel75757 ай бұрын
Nimependezwa na hiyo kwamba "Tutawanywesha huyu yesu mpaka mmjue" hapa kweli waislamu waislamu ni wazi kuwa Biblia inawachanganya
@user-ns1jw3rl3g8 ай бұрын
Ndugu Ndasha Mungu yu Pamoja nawe Atakupa nguvu.waislam hao, siku zote wako ki mwili.
@johnabamungu5984 Жыл бұрын
Samahani sana kwa hili neno ila naomba tu niseme. Kwa sababu nime shangaa huyu anaye itwa mazinge .hajuwi lolote kabisa kwa sababu hoja za ndacha zina heshimu kichwa cha mada. Yeye kaenda inje na kukurupuka bure.tuna fataka walimu wakislamu lakini huyu ni oyvo kabisa. Mada ina ongeleya uungu wa yesu. Ina maana haitakiwi ku zungumziwa kimwili.
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Amezidiwa mada ndio mana anahangaika. Ni wa kumuonea huruma tu kwa kukosa ufahamu. Vile anapotosha umati wa kiislamu.
@IbrahimMwinyi
Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh pia
@IbrahimMwinyi
Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh
@IbrahimMwinyi
Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh
@-q127
Жыл бұрын
Nakwambia huyu mazinge hajui kabisa anacho kisema yuko aut na mada 😮😮
@eduosamo849 Жыл бұрын
mazingee Noma Sanaa Allahamdulliha Allah akupe umri ameen
@erickmaisha4773
Жыл бұрын
Nguvu ya ndugu zenu majini hazitoboi injili ya yesu
@erickmaisha4773
Жыл бұрын
Jini ni mwislamu mbona unamkataa na kasilimu🤣🤣🤣
@scofiotdangote7576
Жыл бұрын
Ameen
@ramadhanmahongole9293
Жыл бұрын
@@tatujuma8781 waislamu na mashetwani ni baba mmoja na mama mmoja wanasali wote misikitini🤣🤣🤣
@omaryissa2562
Жыл бұрын
@@ramadhanmahongole9293 acha kushadadia vitu usivyo na elimu navyo
@Nolithajack12 Жыл бұрын
Hamuna hoja yoyote mazigi Hana finishing 🤔🤔
@-q127 Жыл бұрын
Ndacha Mungu akusaidie sana maana hawo watu kuelewa nishida ,naukweli unaonekana lkn ushidani ndo kwingi kwao,
@mirajisalehe742 Жыл бұрын
Ndacha umenyooka sana hukupindapinda nenda na ukweli huohuo ,mijadala hiyo ni njia nzuri sana ya kuihubiri lnjili
@Utulivu444
Жыл бұрын
kabisaaaa
@dankonkwibe20326 ай бұрын
Ndacha iam a congolese but you are contribute in the body Of Christ. IAM learned more in your teaching may dear Pastor and your Paulo Who read the books, i love you so much
@SophiaMsigwa-lc3km6 ай бұрын
Mungu akuzidishe ndacha Kwa kazi nzuri ya Mungu🎉❤
@olengonelson7453 Жыл бұрын
Yani Mazinge na uzee huu wote na ufahamu wote bado haikubli kweli mradi awadanganye wafwasi vipofu wa uislamu. Hoja potovu hazina msingi. MWONGO SANA HUYU MZEE.
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Anaujua vizuri ukweli. Sema ujeuri tu.
@fanuelemanuel3623 Жыл бұрын
Watu wanapenda vip ambavyo havoko hai yesu Ni mungu ukweli upo kwenye biblia
@AnuarMakame-iy2gy
7 ай бұрын
Yesu ni mtume ukweli upo katika qurani
@jofreykabobe
7 ай бұрын
@@AnuarMakame-iy2gywakristo hatutumii Quran tunatumia Biblia ndomana sisi hatumjui Issa tunamjua Yesu
@kharifa-kf7nn Жыл бұрын
Toa Iman yako pendeni sikiliza kwa umakini maandiko ...mada nyingine aiitaj maandiko ni uelewa wako tyu utapata majibu ..jiulize sifa za mungu then fikiria matendo ya uyo issa ibn Mariam utapat jibu kamili
May God bless you ndacha with more wisdom for transforming Muslim to Christianity, and May God help them to understand the Bible
@jacobmotegi9703 Жыл бұрын
Huku ni mjadhala kati ya mwili na roho. Ndacha Yuko kiroho na Mazinge Yu kimwili, hawataelewana hadi Ndacha ajadili naye mambo ya kimwili ambayo Mazinge anaongelea. Mazinge hajui mambo ya kiroho, hiyo ndio shida tu.
@barakaelias1116 Жыл бұрын
Mtumish NDASHA Mungu akupe nguvu ya kuendelea kuutetea UKRISTO.
@Hussayn21
Жыл бұрын
Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki
@nzizajovinpaul4955
Жыл бұрын
Utukufu na heshima bwana Yesu kristo nizako Milele na Milele Amen.
@mohamedyeslam5194
Жыл бұрын
Hana lolote huyo ndacha,Mazinge ndio kiboko Yao,Allah Ampe sheikh mazinge Umbri mrefu
@passlinemedia6657 Жыл бұрын
Ndacha May God bless you,you are making many Muslims to understand about Jesus christ
@francojuma5762 Жыл бұрын
Good teaching thumbs up
@morriswambugu8292 Жыл бұрын
Mungu akubariki Ndacha,Hoja zako nzito sana. Halafu siri ya kuweka mafungu mingi hivo kwa kichwa ni gani?
@sawetito22
Жыл бұрын
Kafiri ndacha
@walugoivan
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha mungu akupe Barack
@filexbenefits5612
Жыл бұрын
Kafiri utasema tu lakini ukweli ndio mchugu, utameza tu
@jacksonnzai1593 Жыл бұрын
mazinge anaelewa alichofundicha Ndacha, shida n uma unaomwamini ndacha utamwonaje atakpkbali uhalali wa Yesu Mungu? kweli awa watu hawana Roho wanaongozwa 'na elmu 'na utashi tu. Ubabe fanyeni ila Yesu Bwana.
Hongera Saana,,, Excellent,,, Fantastic,,, glorious Pastor Ndacha hakika Unasoma Mnoo Biblia kisha unajua sn kuelezea kwa kina kbs kuhusu Yesu Kristo Pamoja na Dini yote ya Kikristo.... najivunia Saana kuwa Mkristo naipenda sn Dini yangu Milele Daima 🙏🙏🙏🙏
@rubbenjohn9451
11 ай бұрын
Umeona eeh, yani ana roho mtakatifu
@bullermgana213
11 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/fo6jk5SRhavRXdo.html
@saphinalutaha9077
11 ай бұрын
Hakuna ktu apo
@ShabaniSechambo-lk3jb
9 ай бұрын
Pole kama ww nimkristo,imeandikwa amepotea yoyote amtegemeae mtu kama mungu wake.
@bigmanfish6346
8 ай бұрын
Bro read bible carefully. You are at wrong
@leahbaatjes4215 Жыл бұрын
Just imagine anasema. .. mjapani katengeneza gari. .kwa mfano wake inaingia akilini kweli? ? Hawa waislam huwa wanatumia akili kweli? ?
@AliHassan-sj8cm
Жыл бұрын
Wanatumia kuma ya mamako
@emmahosoro8764 Жыл бұрын
Nashukuru sana pst ndacha mungu akusidizie neema.allready waisilamu wamekubali kuwa yesu ni mwana wangu kutoka kwa kitabu cha yohana 3:16
@michaelbaton7711
Жыл бұрын
kwa kifupi tu huyu mzee anaonesha jinsi alivyo amua mwenyewe kuhungana na shetani kumpinga yesu
@samwelrobeth7763
Жыл бұрын
@@michaelbaton7711 Yani Hawa JAMAA Wana roho ya mpinga kristo ndani yao hata na wao bila kujua Kama Wana roho ya mpinga kristo ,na Ile roho huwapofusha fikra wajione Wana elim ya dini na kadharika Ila Ni wapinga kristo,Ila hatuna la kuwalaum maana walitabiriwa na lazima walitimize hilo ili andko litimie,na sisi ni wajib wetu kuwahubilia ili wasije wapoteza wengine
@countercheck887
Жыл бұрын
God bless you abundantly Pst Ndacha. Hawa makafiri wanamkana Yesu hadharani buy try to misinterpret the Bible verses. Reciting Koran or Reciting the Bible is totally different from reading the Bible and having the Revelation of the Bible.
@JamaliZidadu-jd1nl
7 ай бұрын
Ishu ni kwamba yesu ni mtot wa mungu ila sio mungu na kutumia jina la mungu haimaanishi kua ni mungu saw
@sharonkerubo9030 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi Wa Mungu Ndacha
@milikaekal8623
Жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa mtumishi wa mungu helewa hawa watu niwapinga kristo
@IreneNduta-qp6yg Жыл бұрын
True man of God Ndacha.
@MensonSichinga-rs3mg3 ай бұрын
Habari uko nampenda sana unavyofundisha wa isilamu mungu akuongezee roho ili wa mujue yesu
@erickmaisha4773 Жыл бұрын
Heee this a teacher bibilia sikukuwa naijuwa lkn nimeanza kuishika Kwa sababu ya ndacha
@zuhuramabd2255 Жыл бұрын
Huyu mzee anafanya makusud anajifanya haelewi ......hayuko sirious n mzaha2 ....haina haja kufanya mkutano na huyu mzee ..ameambiwa kila k2 lkn haelewi
@samwelrobeth7763
Жыл бұрын
Roho ya mpinga kristo ndiyo inawasumbua hawana namna ya kujiyoa humo bila neema take Bwana
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
Nyie mkizidiwa mnajidai roho au mwili. Wakristo bwana very funny!
@buyoyafrank8831 Жыл бұрын
Neno ni yesu 🎊
@user-vo3ni9so7e7 ай бұрын
Christianity is quite deep and some of our brothers can't comprehend .. especially the people of the other side . God take human body in order to reach human being.. but he is God taking human body to reach to human ... That's why he sleeps and eat . But he is God in human nature to reach human .
@user-os3tg5bo6v16 күн бұрын
Yesu ni Mungu, Yesu ni Mwana wa Mungu Yoh 1:18, Isay 9:6.Amen
@onesmusmusyoka766 Жыл бұрын
Waisilaham bila roho mtakatifu awazezi elewa maadiko
@adamsaid-ze1jw
9 ай бұрын
Ww ujitambui
@kilondajohn Жыл бұрын
Ndasha nalikua muslum kuanzia APA n'a amini Christ kuwa mungu
@orotancnelly3047
Жыл бұрын
Ubarikiwe
@Utulivu444
Жыл бұрын
POINT
@nininahazwedonavine3349
Жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@wamorire2043
8 ай бұрын
@@nininahazwedonavine3349ACHA uongo
@HamadizoMadizo
8 ай бұрын
Una akili ww sio muislamu ww unatuzuga tu
@user-ic5yl7mz4d3 ай бұрын
Ndacha Mungu akuzidishie maarifa na hekima
@Kivukwanza Жыл бұрын
Ni kweli huyu mzee Mazinge hana hoja yoyote ya msingi. Waislam mtafuteni Yesu
@alicekatsutsu6345 Жыл бұрын
Pogezi sana mwalimu dacha yaani majibu na mwawali yanatokana na bibilia ,nitabaki kuwa muamini wamwenyezi mungu ambaye ndiye mungu,musabato
@DanielApologeticsSwahili7 ай бұрын
Yesu ndiye Mfalme mkuu. Mbarikiwe wote!!!
@cabrandybebz24686 ай бұрын
Mashallah Allah akubarik shekh mazinge
@neemamwalende9740 Жыл бұрын
Majibu anayo jibu na mwaswali aliyo ulizwaa tofauti huyoo maginge YESU awaponye waislam mtamkuta siku mkikata roho hapo ndipoo mtaelewaaa.
@yusuphlule5254 Жыл бұрын
Poleni Sana ndugu zetu waislamu kwa Hilo giza lililowafunika kwakweli MUNGU AWASAIDIE KWAKWELI MAANA BAADA YA YOTE KUNA HUKUMU MBAYA SANA ,NA KWAKEJELI MLIZONAZO!
@cabylake2320
Жыл бұрын
Wewe ndo mungu awaongoze wa kristo wote
@rahel6725
Жыл бұрын
Niwashindani aki Kama mishipa imgn umesomewa ukweli lkn we bado wakosa kuamini
@yasinrock1635
Жыл бұрын
Naww pole sana kwakuwa aujui
@naataliagrande2787
Жыл бұрын
Ww hujielewii, mungu ni mmoja tu hata mseme vipi
@naataliagrande2787
Жыл бұрын
Bibilia imeandikwa tu, zengine ni za uongoo oooo 😂
@majaliwamsigwa6206 Жыл бұрын
Aongozwe Sara ya toba huyo Mazinge,hana hoja kabisa,kakutana na upako wa kipekee
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Hahahahahaaaa! Yani anaruka ruka kama mahindi kikaangoni. Hahahahahaaaa!
@wizzahgfalme3874 Жыл бұрын
Mazinge kweli huna hoja.... sasa unajadili wakati Yesu alifanyika mwili, ilhali mada niya uungu wa. Yesu kweli waislamu hawamjui Yesu. abadan
@thomasmuli9597 Жыл бұрын
Mimi ndimi njia ukweli na uzima......
@lucasbundala7231 Жыл бұрын
Mwalim ndacha nikazikubwa kufundisha mamboyakiloho wakati mazinge anafundisha maisha yakimwili kazamwendo namungu azidikukulinda
@AlainKakudji2 ай бұрын
Merci cher Pasteur de Jésus-Christ nous sommes ensemble depuis D.R.Congo.
@AkonkwaProductions5 ай бұрын
Pasteur Francis ndacha soit béni abondamment par notre seigneur et Dieu Jésus Christ
@barakacharo5967 Жыл бұрын
Ndacha amemchapa mazinge vizuri sana ,ingili inaendelea mbele amen 👏🙏🙏
@mwanahija968
11 ай бұрын
Amemchapa na nini nyinyi mtoni direct yesu io sku ataingia peponi bila kuwangalia
@saphinalutaha9077
11 ай бұрын
Hawez kumshnda maznge kwa hoja
@AnuarMakame-iy2gy
7 ай бұрын
Siku ambayo nabii issa ataingia peponi naziona vile sura za wale walowakimwita mungu watakavyofedheheka mbele ya Allah 🤣😂😂😂😂
@jofreykabobe
7 ай бұрын
@@AnuarMakame-iy2gy Nyie waabudu mashetani na majini na wapinga kristo pepo mtaisikia tu kama ndugu zenu wayahudi waliomkataa Yesu
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
Mazinge kachoka hana hoja kabisa ila mgumu wa kuelewa kaweka pamba masikioni🤣🤣🤣🤣
@johnnandemu5605
10 ай бұрын
Kumbe umeona 😂😂😂
@geomeasure98106 ай бұрын
Ndacha is an institution from heaven meant to liberate Muslim frm devil worship lest anyone (Muslim)will claim he didn't hear the gospel of Christ.
@user-zv8hb1zc3j6 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mwalimu mazinge
@reginakarambu8902 Жыл бұрын
Barikiwa mwalimu dacha Ata Mimi ninatamani sana kujua mengi kuhusu bibilia
@ahmedysalah2957
9 ай бұрын
Anawapoteza ndacha hamsikii hamuoni yesu sio mungu,yesu anasema na uzima wamilele ndio huu wakujue mungu wa pekee wa kweli,acheni kupotezwa kuweni waislamu mpate salama
@audifansisafari5587
4 ай бұрын
YESU KRISTO ni MUNGU
@vumiliawambula1716 Жыл бұрын
mtumishi ndacha barikiwa Sana
@terrywatahi1203 Жыл бұрын
I love this..🥰🥰🥰 mungu milele
@mzaliwaseif7079 Жыл бұрын
Sizani kama Ndacha anakuwaga a nafaham anachokisema. Kwamana pakiwa Mada ya Yesu ni Mungu anateteya ikiwa Mada ya mwana wa Mungu pia anateteya. Mungu awezi kuwa na mkoo. Mazinge kauwa kweli
@yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo kila Wakati Wapendwa 🙏🙏🙏🙏🙏
@Hussayn21
Жыл бұрын
Goa has no clan
@yohanakiyumbi4795
Жыл бұрын
@@Hussayn21 ndio Mwenyezi Mungu hana ukoo...lkn je unamfahamu Yesu Kristo ktk Roho na Mwili,,, au unamjua ktk Mwili tu?
@jesselingzzy6537
11 ай бұрын
Sasa Yesu na Mungu nan wakupewa sifa?
@yohanakiyumbi4795
11 ай бұрын
@@jesselingzzy6537 Yesu na Mungu ni huyo huyo...kwa Sababu kabla Duniani haijaumbwa Yesu alikuwepo toka Zamani Mnoo alikuwa Roho,,, ila baadae kbs Yesu Kristo alivyokuja Duniani alizaliwa na bikira Maria (Mariam) hapo alikuwa Mwili ndio Maana alikuwa amekuja km umbo la binadamu
@yohanakiyumbi4795
11 ай бұрын
@@jesselingzzy6537 kwa Kifupi ni Kwamba kuna Mungu Mmoja tu ila amegawanyika Ktk nafsi 3... 1.Mungu Baba,,, 2.Mungu Mwana,, 3.Mungu Roho Mtakatifu ...hapo Sijui umeelewa Vzr au
@celestinekerubo483910 ай бұрын
Thank u pastor ndacha conntue teaching them in Truth and spirit because their eyes are still closed.
@marthacharles38728 ай бұрын
Oyooooooooooo ,ndacha uko vizur ,nmeshangaa anasoma yesu ni mwana wa mungu
@elizabethsidi5574 Жыл бұрын
Kama mazinge alikua pastor alikua anafundisha mambo ya mwili ndo maana akasilimishwa,hivi kama tukimwangalia mungu katika mwili SI amezeeka Hadi hawezi kutembea anatembea na mkongojo kwasababu mwili ndio unazeeka lakini roho haizeeki mungu ni roho nyinyi waislamu
@majaliwamsigwa6206 Жыл бұрын
Mazinge amkili tu Yesu mwana wa Mungu,ili am tangaze Duniani pote,hana vigezo vya kupinga habari za Yesu
@sirajiatibu3232
Жыл бұрын
Jesus is not a son of God but Marry Luke 1:29:30&31
Пікірлер: 1 400
Barikiwa saana mtumishi wa Mungu Ndacha hao wamefichwa ya Roho ni naomba Mungu awafunulie ya rohoni
Alhamdoulillah im Muslim Ya barriq barik shekh mazinge
Ndacha kiboko ya mazinge..... ....alaf mazinge huna hoja ila unapiga kelele tu.... Pastor ndacha Mungu akubariki sana....
@amaniibrahim4415
Жыл бұрын
Amriyakwanza iliofanya wanawa izraeli wasifike kanan kwawakti nihipi au amri azifahi
@carolinekenya1669
Жыл бұрын
Anashinda akibweka na hana kitu ya kusema,,kupoteza mda tungekua tunasikiza Ndacha
@adamsaid-ze1jw
9 ай бұрын
Ww ujitambui mungu ana baba unajitambua nyie mungu akufananishwa na ki2 chochote jitambueni nyinyi yaan daah inalilah waina lilahi lajion
@user-vg7pp6xp2g
6 ай бұрын
hahahaaa amumuezi Mazinge kiboko yao😅😅
@yassirswaleh7127
5 ай бұрын
Na unakaa unaamini mungu mfu. Mungu kafa msalabani na unakaa unapoteza mda kuabudu mungu ambae tayari alishakufa
Dacha ubarikiwe ubarikiwe,unalifahamu neno la mungu,wafundishe
Ustaadh mazinge MUNGU akubariki ndugu yangu akujalie kila la kheri
@naksphraits4237
4 ай бұрын
Mungu mgani unazungumzia?
@antonyndinga8890
3 ай бұрын
Hapa nimeelewa, Kuna mambo ktk roho na Kuna mambo ktk mwili. Inavyoonekana wakristo wanajua katika mwili na roho lakini waislamu wanajua ktk mwili
@fimboyamusadavy180
Ай бұрын
Asanti sana mwalimu Ndacha
Akupe maisha marefu shekh wetu mazinge
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
Amin yarabb
Alhamdullillah kwa neemah ya u Islam ......Allah awahifadhi wahadhiri wetu
@user-if4mj3wl8m
3 ай бұрын
Amiin
Mungu ampe afya njema maznge❤❤❤❤❤
Shukran Shekh wetu na wote walofanikishakikao hicho ,JAZAKUMULLAH KHAIR JAZAA.
Tangu nianze kufwatilia maandiko haya na mafundisho haya akika nimejua ukiwa katika roho mtakatifu ndio utaelewa walakini kaa hauna roho mtakatifu uwezi elewa thanks mr Ndacha
@JustinaMalugu-pd6kf
Ай бұрын
mtumishi songa mbele
@Dominant97
Ай бұрын
Hakika
Alhamdulillah, ustadh Mazinge and your colleagues spread the holy Quran and all books of God which mentioned only one God, I'm proud to be Muslim
@Andaybuidingworks
3 ай бұрын
potea kabisa. 😂 uisilamu ya Muhammad
God bless you Mwalimu Ndacha. I have come to know you lately and I love what you are doing in the body of Christ. You're a great inspiration in and to the body of Christ.
@ZenaNekesa-sx7qf
10 ай бұрын
You are the false prophet that God said you will come during the end tyms
@user-st7gg3ig5g
3 ай бұрын
B4 supporting something read and understand it,cz you call your self born again Christians believing in Jesus,Most of you you're followers of Paulo and not Jesus,read warumi 11,mstari 13,Then tell me 10 countries that yesu alihubiri injili apert from israel
@JustinaMalugu-pd6kf
Ай бұрын
Mwalimu Ndacha Ubarikiwe na Songa mbele
Barikiwa sanaaaa mwalim ndacha Mungu akuweke sanaa kwa ajili yetuu 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@justinmguluka4385
Жыл бұрын
Safi
may God bless you ndacha for unvailing the gospel to them
i love this, may ALLAH BLESS YOU ALL
Alihmundulilahi ya Allah mubark shekhe mazing mupanuliyekifuwacak azid kuwailimisha wadjawako
Mungu akubariki sana katika jina la yesu kristo
Mashallah sheikh Mazinge
MashaAllah ustadh Mazinge,,, wafunze Hawa waliopotea,,,
Hivyo Kwa akili ya Mazinge kipofu akisema kuku ni gari kipofu anauwezo kuliko mwenye macho. Yaani kipofu akisema Yesu ni nabii na mwenye macho aseme ni Mwana wa Mungu Mazinge ataegemea upande wa kipofu....balaa sana.
@benardpaul5971
Жыл бұрын
you've made my day, nikama mtu akuambie I heard a voice na mwingine aseme i had a dream, utaamini nani...
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Aah! Tusimlaumu sana. Ni vile upeo wake umeishia.
@yassirswaleh7127
Жыл бұрын
Shida mungu wenu katahiriwa ,hatuwezi abudu mtu aliyetahiriwa kama sisi
@daudilangat6123
6 ай бұрын
Ndacha mwalimu wa ulimwengu kuelekeza watu wote kwa yesu kristo😅😅😅😅😅
Allah ampe Umri Mrefu wenye kheri hyo Mzee wetu *Mazinge* na ajaalie wawe wengi mfano wake🤲 khusuusan katka sisi vijana, ama kwa ndugu zetu ktka ubinadamu Allah awape hidaya ya kumtambua na kumuabudu yy🤲
@jamesombaso9493
Жыл бұрын
Yaaani bado mnaami uongo
@scofiotdangote7576
Жыл бұрын
Amin
@joasgeorge3710
Жыл бұрын
Kwa lipi mwaminini Yesu acheni Ujinga Hali mkijua Maalifa Yesu ni Mungu
@arabicgrammarchannel1162
Жыл бұрын
Dini ya uislamu ni dini ya ukweli
@yassirswaleh7127
Жыл бұрын
@@joasgeorge3710 hatuabudu mungu aliyetahiriwa
Bwana muchristo achana na huyu muislamu yeye anamujuwa Yesu kimwili tu. Na ukisema Roho Mtakatifu kwao unakuwa umegonga mwambwa.
@adamsaid-ze1jw
9 ай бұрын
Ww ujitambui Amin mungu anakufa na Amin yesu mungu mbwa ww
Wonderful conversations this making me to be achristian indeed, thanks to pastor Ndacha, God leading to inspire and spiritual grew more strong, Amen..
I'm happy to see you standing firm ndacha for christ.they want it to look like campaign, but you make them understand in a polite way.God bless you.
@Hussayn21
Жыл бұрын
Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki! Ndacha hana jipya mungu yupi ywa tahiriwa wewe vipi. Majidiliano kusudi yake ni kuelimishwa chukueni maandiko
@mabascorcarpitow1819
Жыл бұрын
Do your research from what ndacha said,on both religions....you'll find that on Muslim side is actually not true and he doesn't finish the verses
@yesuanikumbukejanuary8363
Жыл бұрын
Yupo vizuri saana .
@ArcadiusAndove-sp5dy
5 ай бұрын
My God bless you mtumishi ndacha watoe kwenye upovu huo wajue akuna lisilo wesekana kwa mungu
Mwalimu ndacha akuna need ya mafundisho na watu kama awa awajui yesu alikuja nduniani kimwili
@salimumbonyumukiza7032
Жыл бұрын
Ndacha wewe wacha uwongo tafazari mimi sizani uwongo wako kama wewe nimu somwi kwel dacha wewe muzehe mazinge muna fikiri wewe una jarimbu kweli hawuna elimu
@filexbenefits5612
Жыл бұрын
@@salimumbonyumukiza7032 mambo ya roho ayaitaji Elimu, soma hadi ulaya but you will never find spiritual teaching, it need prayerful and much committed man to God, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu na mengine mtapewa.
@filexbenefits5612
Жыл бұрын
Soma quran au biblia, not in vein to do this
@yassirswaleh7127
Жыл бұрын
@@filexbenefits5612 hatuwezi abudu mungu aliyetahiriwa
@suzanaagustinookelo4953
10 ай бұрын
@@salimumbonyumukiza7032we ndio ujui kusoma (musomwii) ndio nini!!!?
Yohane 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
leo nishatambua ww Mazinge,hauna lolote na hujapitia hoja za Ndacha
Kila.goti litapigwa mbele zake Yesu kristo nakila.ulimi utakiri yakua Yesu ni Bwana ameen👏👏
@khadijaali1656
6 ай бұрын
Yesu ni mtume naye ni Nabii Issa sasa kma unamkana Allah ww kana tu ila huo ndo ukwel na utabaki kuwa ukweli acheni uzushi huo
Yesu ni yeye yule Jana na milele
Ndacha ubarikiwe sana uwanja ni wako na Roho mtakatifu fanyeni yenu hapo Naona hawana jipya hao nikweli lazima tuwafahamishe kwa lazima huyu Yesu
Mweshimiwa MZEE ndacha ubarikiwe na Mungu wahubiri hao wa mujuwe Yesu kwamba Neno la Mungu tena alikuwa Mungu nayote imefanyika kwa Neno' ila wa eslamu Wana maneno ila hawana Neno ' njo mana hupuruka puruka tu.
We ndacha,Safi Sana,kwanza unaroho wa mungu pili unamjua yesu vizr Sana,alafu unajiamini Kama yesu,shetani hakubabaishi hata kidogo wape injili hao Hadi waseme ndioo.wanakubali sema wakaidi tuu.
Daah! Kwakweli uislamu Ni msiba! Hivi haya Ni majibu ya swali aliloulizwa kweli? Asante yeah kwa kutufunulia haya.
@legend9805
Жыл бұрын
Wewe ndio una msiba pole sanaa. Yesu anaomba msaada kwa mungu alafu awe mungu loo
@RIO-jf9mo
Жыл бұрын
@@legend9805 Aliomba msaada wapi..!?
@legend9805
Жыл бұрын
@@RIO-jf9mo nenda kasome bibilia vizuri yesu aliomba mungu amnyanyuwe juu
@RIO-jf9mo
Жыл бұрын
@@legend9805 hasa si alikuwa binadamu ...hasa ngoja nikuulize MUNGU ana uwezo wa kufanya lolote na anajua mbele kutafanyika nini ...hasa mbona asizuie hicho kitu kufanyika ingali ana uwezo ....jiulize ...wewe ...sababu ni kuwa yesu alifanyika mwili na ilimpasa afanye yote kufundisha watu kama nyinyi ....alikua na uwezo wa kufanya lolote ila alifwata utaratibu tu Kama binadamu ili mumuelwe ...
@legend9805
Жыл бұрын
@@RIO-jf9mo yesu alizaliwa sasa mungu gani yuwazaliwa na binadamu
Allha akulinde shehe wetu wewe ndacha kubali yesu sio Mungu
@whitetigerprincy5882
3 ай бұрын
hupo gizani
Mr Mazinge, may God open your eyes
@user-sv6zy3hc8o
7 ай бұрын
Zz
@samuelmuhindosivamwanza4988
6 ай бұрын
AMEN
I proud to be a Muslim. God bless every Muslim 🙏
@SundayChilango-wg1tp
Жыл бұрын
Mungu akusadie uweze kupata ufunuo ndio utajuwa ukweli
@ahmedalfan8075
Жыл бұрын
@@SundayChilango-wg1tp wew ndio upate ufunuo sio mim
@yohanakiyumbi4795
Жыл бұрын
Kwanini unajivunia kuwa Muislamu?.... toa Sababu 20 nzito kutetea hoja yako
@FathiaAhmed-px2lm
11 ай бұрын
Mazinge amepata kipaji kotka kwa Allah ndiooooooo ndiooooooo ndiooooooo mazinge hooyyyyyye 🙏🙏🙏🕋🕋🕋✋♥️🌹🇰🇪👌👌👌👌👌💪 Islam 🙏🙏🙏 mazinge kiboko yenu mutake musitake Love you mazinge hooyyyyyye
@mwanahija968
11 ай бұрын
@@FathiaAhmed-px2lm hoyeeeeeeeeeeeeeeee muslim hoyeeeeeeeeee hoyeeeeee
Jesus the Lord and king all praises and worship onto him
@bigmanfish6346
7 ай бұрын
Jesus told you to worship God. But you worship him instead. Jesus prayed in the mosques but you pray in churches. Jesus took oblution before prayers but you don’t and instead pray with shoes on
Ndacha unapoteza mda na mazinge... (1 Corinthians 2:11) Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mung. (1 Corinthians 2:12) Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na MUNGU. So mazinge ni wale wayahudi unategemea aelewe vip ingawaje Iko clear?
Nimeamini Pastor Ndacha Amebarikiwa na MUNGU Amepewa Hakili na Elimu ya kutosha Mungu Akubariki Pastor japokuwa wa islama nivichwangumu hawa sikie
Alhamdulillah sijazaliwa kwenye huo ujinga wa kuabudu watu
Laailaaha illallah muhammadurrasuulullah
Blessed be the Name of Jehovah. I have learned alot. Bible explaining its self
@bigmanfish6346
7 ай бұрын
You’ve not learnt anything. No verse in the whole bible that Jesus was Christian or entered a church or asked you to be Christians. Uongo mtupu kwendeni zenu
@omwangegriffins7000
7 ай бұрын
@@bigmanfish6346makasiriko ya nini? Pingana ukitumia hoja 😅
@bigmanfish6346
6 ай бұрын
@@ARUWAAHMADA-jz9ms Aruwa uko wapi
@bigmanfish6346
6 ай бұрын
@@ARUWAAHMADA-jz9ms aruwa uko wapi? Nipe number yako
@fredouma359
5 ай бұрын
Even Quran speaks of Deity of Jesus...But some have refused to listen.Boundless idiocy.
Nimependezwa na hiyo kwamba "Tutawanywesha huyu yesu mpaka mmjue" hapa kweli waislamu waislamu ni wazi kuwa Biblia inawachanganya
Ndugu Ndasha Mungu yu Pamoja nawe Atakupa nguvu.waislam hao, siku zote wako ki mwili.
Samahani sana kwa hili neno ila naomba tu niseme. Kwa sababu nime shangaa huyu anaye itwa mazinge .hajuwi lolote kabisa kwa sababu hoja za ndacha zina heshimu kichwa cha mada. Yeye kaenda inje na kukurupuka bure.tuna fataka walimu wakislamu lakini huyu ni oyvo kabisa. Mada ina ongeleya uungu wa yesu. Ina maana haitakiwi ku zungumziwa kimwili.
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Amezidiwa mada ndio mana anahangaika. Ni wa kumuonea huruma tu kwa kukosa ufahamu. Vile anapotosha umati wa kiislamu.
@IbrahimMwinyi
Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh pia
@IbrahimMwinyi
Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh
@IbrahimMwinyi
Жыл бұрын
Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh
@-q127
Жыл бұрын
Nakwambia huyu mazinge hajui kabisa anacho kisema yuko aut na mada 😮😮
mazingee Noma Sanaa Allahamdulliha Allah akupe umri ameen
@erickmaisha4773
Жыл бұрын
Nguvu ya ndugu zenu majini hazitoboi injili ya yesu
@erickmaisha4773
Жыл бұрын
Jini ni mwislamu mbona unamkataa na kasilimu🤣🤣🤣
@scofiotdangote7576
Жыл бұрын
Ameen
@ramadhanmahongole9293
Жыл бұрын
@@tatujuma8781 waislamu na mashetwani ni baba mmoja na mama mmoja wanasali wote misikitini🤣🤣🤣
@omaryissa2562
Жыл бұрын
@@ramadhanmahongole9293 acha kushadadia vitu usivyo na elimu navyo
Hamuna hoja yoyote mazigi Hana finishing 🤔🤔
Ndacha Mungu akusaidie sana maana hawo watu kuelewa nishida ,naukweli unaonekana lkn ushidani ndo kwingi kwao,
Ndacha umenyooka sana hukupindapinda nenda na ukweli huohuo ,mijadala hiyo ni njia nzuri sana ya kuihubiri lnjili
@Utulivu444
Жыл бұрын
kabisaaaa
Ndacha iam a congolese but you are contribute in the body Of Christ. IAM learned more in your teaching may dear Pastor and your Paulo Who read the books, i love you so much
Mungu akuzidishe ndacha Kwa kazi nzuri ya Mungu🎉❤
Yani Mazinge na uzee huu wote na ufahamu wote bado haikubli kweli mradi awadanganye wafwasi vipofu wa uislamu. Hoja potovu hazina msingi. MWONGO SANA HUYU MZEE.
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Anaujua vizuri ukweli. Sema ujeuri tu.
Watu wanapenda vip ambavyo havoko hai yesu Ni mungu ukweli upo kwenye biblia
@AnuarMakame-iy2gy
7 ай бұрын
Yesu ni mtume ukweli upo katika qurani
@jofreykabobe
7 ай бұрын
@@AnuarMakame-iy2gywakristo hatutumii Quran tunatumia Biblia ndomana sisi hatumjui Issa tunamjua Yesu
Toa Iman yako pendeni sikiliza kwa umakini maandiko ...mada nyingine aiitaj maandiko ni uelewa wako tyu utapata majibu ..jiulize sifa za mungu then fikiria matendo ya uyo issa ibn Mariam utapat jibu kamili
@user-bh8ny6lu1y
Ай бұрын
Tatizo yarohoni Salio rohoni ndo wawezao kuyatambua,
@user-bh8ny6lu1y
Ай бұрын
Walio rohoni
May God bless you ndacha with more wisdom for transforming Muslim to Christianity, and May God help them to understand the Bible
Huku ni mjadhala kati ya mwili na roho. Ndacha Yuko kiroho na Mazinge Yu kimwili, hawataelewana hadi Ndacha ajadili naye mambo ya kimwili ambayo Mazinge anaongelea. Mazinge hajui mambo ya kiroho, hiyo ndio shida tu.
Mtumish NDASHA Mungu akupe nguvu ya kuendelea kuutetea UKRISTO.
@Hussayn21
Жыл бұрын
Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki
@nzizajovinpaul4955
Жыл бұрын
Utukufu na heshima bwana Yesu kristo nizako Milele na Milele Amen.
@mohamedyeslam5194
Жыл бұрын
Hana lolote huyo ndacha,Mazinge ndio kiboko Yao,Allah Ampe sheikh mazinge Umbri mrefu
Ndacha May God bless you,you are making many Muslims to understand about Jesus christ
Good teaching thumbs up
Mungu akubariki Ndacha,Hoja zako nzito sana. Halafu siri ya kuweka mafungu mingi hivo kwa kichwa ni gani?
@sawetito22
Жыл бұрын
Kafiri ndacha
@walugoivan
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha mungu akupe Barack
@filexbenefits5612
Жыл бұрын
Kafiri utasema tu lakini ukweli ndio mchugu, utameza tu
mazinge anaelewa alichofundicha Ndacha, shida n uma unaomwamini ndacha utamwonaje atakpkbali uhalali wa Yesu Mungu? kweli awa watu hawana Roho wanaongozwa 'na elmu 'na utashi tu. Ubabe fanyeni ila Yesu Bwana.
@bullermgana213
11 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/fo6jk5SRhavRXdo.html nani kaelewa zaid hapa
Hongera Saana,,, Excellent,,, Fantastic,,, glorious Pastor Ndacha hakika Unasoma Mnoo Biblia kisha unajua sn kuelezea kwa kina kbs kuhusu Yesu Kristo Pamoja na Dini yote ya Kikristo.... najivunia Saana kuwa Mkristo naipenda sn Dini yangu Milele Daima 🙏🙏🙏🙏
@rubbenjohn9451
11 ай бұрын
Umeona eeh, yani ana roho mtakatifu
@bullermgana213
11 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/fo6jk5SRhavRXdo.html
@saphinalutaha9077
11 ай бұрын
Hakuna ktu apo
@ShabaniSechambo-lk3jb
9 ай бұрын
Pole kama ww nimkristo,imeandikwa amepotea yoyote amtegemeae mtu kama mungu wake.
@bigmanfish6346
8 ай бұрын
Bro read bible carefully. You are at wrong
Just imagine anasema. .. mjapani katengeneza gari. .kwa mfano wake inaingia akilini kweli? ? Hawa waislam huwa wanatumia akili kweli? ?
@AliHassan-sj8cm
Жыл бұрын
Wanatumia kuma ya mamako
Nashukuru sana pst ndacha mungu akusidizie neema.allready waisilamu wamekubali kuwa yesu ni mwana wangu kutoka kwa kitabu cha yohana 3:16
@michaelbaton7711
Жыл бұрын
kwa kifupi tu huyu mzee anaonesha jinsi alivyo amua mwenyewe kuhungana na shetani kumpinga yesu
@samwelrobeth7763
Жыл бұрын
@@michaelbaton7711 Yani Hawa JAMAA Wana roho ya mpinga kristo ndani yao hata na wao bila kujua Kama Wana roho ya mpinga kristo ,na Ile roho huwapofusha fikra wajione Wana elim ya dini na kadharika Ila Ni wapinga kristo,Ila hatuna la kuwalaum maana walitabiriwa na lazima walitimize hilo ili andko litimie,na sisi ni wajib wetu kuwahubilia ili wasije wapoteza wengine
@countercheck887
Жыл бұрын
God bless you abundantly Pst Ndacha. Hawa makafiri wanamkana Yesu hadharani buy try to misinterpret the Bible verses. Reciting Koran or Reciting the Bible is totally different from reading the Bible and having the Revelation of the Bible.
@JamaliZidadu-jd1nl
7 ай бұрын
Ishu ni kwamba yesu ni mtot wa mungu ila sio mungu na kutumia jina la mungu haimaanishi kua ni mungu saw
Ubarikiwe Sana mtumishi Wa Mungu Ndacha
@milikaekal8623
Жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa mtumishi wa mungu helewa hawa watu niwapinga kristo
True man of God Ndacha.
Habari uko nampenda sana unavyofundisha wa isilamu mungu akuongezee roho ili wa mujue yesu
Heee this a teacher bibilia sikukuwa naijuwa lkn nimeanza kuishika Kwa sababu ya ndacha
Huyu mzee anafanya makusud anajifanya haelewi ......hayuko sirious n mzaha2 ....haina haja kufanya mkutano na huyu mzee ..ameambiwa kila k2 lkn haelewi
@samwelrobeth7763
Жыл бұрын
Roho ya mpinga kristo ndiyo inawasumbua hawana namna ya kujiyoa humo bila neema take Bwana
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
Nyie mkizidiwa mnajidai roho au mwili. Wakristo bwana very funny!
Neno ni yesu 🎊
Christianity is quite deep and some of our brothers can't comprehend .. especially the people of the other side . God take human body in order to reach human being.. but he is God taking human body to reach to human ... That's why he sleeps and eat . But he is God in human nature to reach human .
Yesu ni Mungu, Yesu ni Mwana wa Mungu Yoh 1:18, Isay 9:6.Amen
Waisilaham bila roho mtakatifu awazezi elewa maadiko
@adamsaid-ze1jw
9 ай бұрын
Ww ujitambui
Ndasha nalikua muslum kuanzia APA n'a amini Christ kuwa mungu
@orotancnelly3047
Жыл бұрын
Ubarikiwe
@Utulivu444
Жыл бұрын
POINT
@nininahazwedonavine3349
Жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@wamorire2043
8 ай бұрын
@@nininahazwedonavine3349ACHA uongo
@HamadizoMadizo
8 ай бұрын
Una akili ww sio muislamu ww unatuzuga tu
Ndacha Mungu akuzidishie maarifa na hekima
Ni kweli huyu mzee Mazinge hana hoja yoyote ya msingi. Waislam mtafuteni Yesu
Pogezi sana mwalimu dacha yaani majibu na mwawali yanatokana na bibilia ,nitabaki kuwa muamini wamwenyezi mungu ambaye ndiye mungu,musabato
Yesu ndiye Mfalme mkuu. Mbarikiwe wote!!!
Mashallah Allah akubarik shekh mazinge
Majibu anayo jibu na mwaswali aliyo ulizwaa tofauti huyoo maginge YESU awaponye waislam mtamkuta siku mkikata roho hapo ndipoo mtaelewaaa.
Poleni Sana ndugu zetu waislamu kwa Hilo giza lililowafunika kwakweli MUNGU AWASAIDIE KWAKWELI MAANA BAADA YA YOTE KUNA HUKUMU MBAYA SANA ,NA KWAKEJELI MLIZONAZO!
@cabylake2320
Жыл бұрын
Wewe ndo mungu awaongoze wa kristo wote
@rahel6725
Жыл бұрын
Niwashindani aki Kama mishipa imgn umesomewa ukweli lkn we bado wakosa kuamini
@yasinrock1635
Жыл бұрын
Naww pole sana kwakuwa aujui
@naataliagrande2787
Жыл бұрын
Ww hujielewii, mungu ni mmoja tu hata mseme vipi
@naataliagrande2787
Жыл бұрын
Bibilia imeandikwa tu, zengine ni za uongoo oooo 😂
Aongozwe Sara ya toba huyo Mazinge,hana hoja kabisa,kakutana na upako wa kipekee
@benedictfabian4209
Жыл бұрын
Hahahahahaaaa! Yani anaruka ruka kama mahindi kikaangoni. Hahahahahaaaa!
Mazinge kweli huna hoja.... sasa unajadili wakati Yesu alifanyika mwili, ilhali mada niya uungu wa. Yesu kweli waislamu hawamjui Yesu. abadan
Mimi ndimi njia ukweli na uzima......
Mwalim ndacha nikazikubwa kufundisha mamboyakiloho wakati mazinge anafundisha maisha yakimwili kazamwendo namungu azidikukulinda
Merci cher Pasteur de Jésus-Christ nous sommes ensemble depuis D.R.Congo.
Pasteur Francis ndacha soit béni abondamment par notre seigneur et Dieu Jésus Christ
Ndacha amemchapa mazinge vizuri sana ,ingili inaendelea mbele amen 👏🙏🙏
@mwanahija968
11 ай бұрын
Amemchapa na nini nyinyi mtoni direct yesu io sku ataingia peponi bila kuwangalia
@saphinalutaha9077
11 ай бұрын
Hawez kumshnda maznge kwa hoja
@AnuarMakame-iy2gy
7 ай бұрын
Siku ambayo nabii issa ataingia peponi naziona vile sura za wale walowakimwita mungu watakavyofedheheka mbele ya Allah 🤣😂😂😂😂
@jofreykabobe
7 ай бұрын
@@AnuarMakame-iy2gy Nyie waabudu mashetani na majini na wapinga kristo pepo mtaisikia tu kama ndugu zenu wayahudi waliomkataa Yesu
Mazinge kachoka hana hoja kabisa ila mgumu wa kuelewa kaweka pamba masikioni🤣🤣🤣🤣
@johnnandemu5605
10 ай бұрын
Kumbe umeona 😂😂😂
Ndacha is an institution from heaven meant to liberate Muslim frm devil worship lest anyone (Muslim)will claim he didn't hear the gospel of Christ.
Mungu akutie nguvu mwalimu mazinge
Barikiwa mwalimu dacha Ata Mimi ninatamani sana kujua mengi kuhusu bibilia
@ahmedysalah2957
9 ай бұрын
Anawapoteza ndacha hamsikii hamuoni yesu sio mungu,yesu anasema na uzima wamilele ndio huu wakujue mungu wa pekee wa kweli,acheni kupotezwa kuweni waislamu mpate salama
@audifansisafari5587
4 ай бұрын
YESU KRISTO ni MUNGU
mtumishi ndacha barikiwa Sana
I love this..🥰🥰🥰 mungu milele
Sizani kama Ndacha anakuwaga a nafaham anachokisema. Kwamana pakiwa Mada ya Yesu ni Mungu anateteya ikiwa Mada ya mwana wa Mungu pia anateteya. Mungu awezi kuwa na mkoo. Mazinge kauwa kweli
Tumsifu Yesu Kristo kila Wakati Wapendwa 🙏🙏🙏🙏🙏
@Hussayn21
Жыл бұрын
Goa has no clan
@yohanakiyumbi4795
Жыл бұрын
@@Hussayn21 ndio Mwenyezi Mungu hana ukoo...lkn je unamfahamu Yesu Kristo ktk Roho na Mwili,,, au unamjua ktk Mwili tu?
@jesselingzzy6537
11 ай бұрын
Sasa Yesu na Mungu nan wakupewa sifa?
@yohanakiyumbi4795
11 ай бұрын
@@jesselingzzy6537 Yesu na Mungu ni huyo huyo...kwa Sababu kabla Duniani haijaumbwa Yesu alikuwepo toka Zamani Mnoo alikuwa Roho,,, ila baadae kbs Yesu Kristo alivyokuja Duniani alizaliwa na bikira Maria (Mariam) hapo alikuwa Mwili ndio Maana alikuwa amekuja km umbo la binadamu
@yohanakiyumbi4795
11 ай бұрын
@@jesselingzzy6537 kwa Kifupi ni Kwamba kuna Mungu Mmoja tu ila amegawanyika Ktk nafsi 3... 1.Mungu Baba,,, 2.Mungu Mwana,, 3.Mungu Roho Mtakatifu ...hapo Sijui umeelewa Vzr au
Thank u pastor ndacha conntue teaching them in Truth and spirit because their eyes are still closed.
Oyooooooooooo ,ndacha uko vizur ,nmeshangaa anasoma yesu ni mwana wa mungu
Kama mazinge alikua pastor alikua anafundisha mambo ya mwili ndo maana akasilimishwa,hivi kama tukimwangalia mungu katika mwili SI amezeeka Hadi hawezi kutembea anatembea na mkongojo kwasababu mwili ndio unazeeka lakini roho haizeeki mungu ni roho nyinyi waislamu
Mazinge amkili tu Yesu mwana wa Mungu,ili am tangaze Duniani pote,hana vigezo vya kupinga habari za Yesu
@sirajiatibu3232
Жыл бұрын
Jesus is not a son of God but Marry Luke 1:29:30&31