JE YESU NI MUNGU? | MAZINGE VS NDACHA +254705602959

MAZINGE VS NDACHA | JE YESU NI MUNGU? +254705602959

Пікірлер: 1 400

  • @edwinezawadi2736
    @edwinezawadi27365 ай бұрын

    Barikiwa saana mtumishi wa Mungu Ndacha hao wamefichwa ya Roho ni naomba Mungu awafunulie ya rohoni

  • @user-cp8gq7rx2c
    @user-cp8gq7rx2c7 ай бұрын

    Alhamdoulillah im Muslim Ya barriq barik shekh mazinge

  • @sammagesa8184
    @sammagesa8184 Жыл бұрын

    Ndacha kiboko ya mazinge..... ....alaf mazinge huna hoja ila unapiga kelele tu.... Pastor ndacha Mungu akubariki sana....

  • @amaniibrahim4415

    @amaniibrahim4415

    Жыл бұрын

    Amriyakwanza iliofanya wanawa izraeli wasifike kanan kwawakti nihipi au amri azifahi

  • @carolinekenya1669

    @carolinekenya1669

    Жыл бұрын

    Anashinda akibweka na hana kitu ya kusema,,kupoteza mda tungekua tunasikiza Ndacha

  • @adamsaid-ze1jw

    @adamsaid-ze1jw

    9 ай бұрын

    Ww ujitambui mungu ana baba unajitambua nyie mungu akufananishwa na ki2 chochote jitambueni nyinyi yaan daah inalilah waina lilahi lajion

  • @user-vg7pp6xp2g

    @user-vg7pp6xp2g

    6 ай бұрын

    hahahaaa amumuezi Mazinge kiboko yao😅😅

  • @yassirswaleh7127

    @yassirswaleh7127

    5 ай бұрын

    Na unakaa unaamini mungu mfu. Mungu kafa msalabani na unakaa unapoteza mda kuabudu mungu ambae tayari alishakufa

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael8514 Жыл бұрын

    Dacha ubarikiwe ubarikiwe,unalifahamu neno la mungu,wafundishe

  • @mohabro9521
    @mohabro9521 Жыл бұрын

    Ustaadh mazinge MUNGU akubariki ndugu yangu akujalie kila la kheri

  • @naksphraits4237

    @naksphraits4237

    4 ай бұрын

    Mungu mgani unazungumzia?

  • @antonyndinga8890

    @antonyndinga8890

    3 ай бұрын

    Hapa nimeelewa, Kuna mambo ktk roho na Kuna mambo ktk mwili. Inavyoonekana wakristo wanajua katika mwili na roho lakini waislamu wanajua ktk mwili

  • @fimboyamusadavy180

    @fimboyamusadavy180

    Ай бұрын

    Asanti sana mwalimu Ndacha

  • @chuugamestz4487
    @chuugamestz4487 Жыл бұрын

    Akupe maisha marefu shekh wetu mazinge

  • @maymunamakungu6265

    @maymunamakungu6265

    Жыл бұрын

    Amin yarabb

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha38539 ай бұрын

    Alhamdullillah kwa neemah ya u Islam ......Allah awahifadhi wahadhiri wetu

  • @user-if4mj3wl8m

    @user-if4mj3wl8m

    3 ай бұрын

    Amiin

  • @saphinalutaha9077
    @saphinalutaha907711 ай бұрын

    Mungu ampe afya njema maznge❤❤❤❤❤

  • @muznazahra455
    @muznazahra4554 ай бұрын

    Shukran Shekh wetu na wote walofanikishakikao hicho ,JAZAKUMULLAH KHAIR JAZAA.

  • @FaithDoha
    @FaithDoha Жыл бұрын

    Tangu nianze kufwatilia maandiko haya na mafundisho haya akika nimejua ukiwa katika roho mtakatifu ndio utaelewa walakini kaa hauna roho mtakatifu uwezi elewa thanks mr Ndacha

  • @JustinaMalugu-pd6kf

    @JustinaMalugu-pd6kf

    Ай бұрын

    mtumishi songa mbele

  • @Dominant97

    @Dominant97

    Ай бұрын

    Hakika

  • @user-hj3wj6or8b
    @user-hj3wj6or8b5 ай бұрын

    Alhamdulillah, ustadh Mazinge and your colleagues spread the holy Quran and all books of God which mentioned only one God, I'm proud to be Muslim

  • @Andaybuidingworks

    @Andaybuidingworks

    3 ай бұрын

    potea kabisa. 😂 uisilamu ya Muhammad

  • @EvMichaelMwaura
    @EvMichaelMwaura Жыл бұрын

    God bless you Mwalimu Ndacha. I have come to know you lately and I love what you are doing in the body of Christ. You're a great inspiration in and to the body of Christ.

  • @ZenaNekesa-sx7qf

    @ZenaNekesa-sx7qf

    10 ай бұрын

    You are the false prophet that God said you will come during the end tyms

  • @user-st7gg3ig5g

    @user-st7gg3ig5g

    3 ай бұрын

    B4 supporting something read and understand it,cz you call your self born again Christians believing in Jesus,Most of you you're followers of Paulo and not Jesus,read warumi 11,mstari 13,Then tell me 10 countries that yesu alihubiri injili apert from israel

  • @JustinaMalugu-pd6kf

    @JustinaMalugu-pd6kf

    Ай бұрын

    Mwalimu Ndacha Ubarikiwe na Songa mbele

  • @samhansie3964
    @samhansie3964 Жыл бұрын

    Barikiwa sanaaaa mwalim ndacha Mungu akuweke sanaa kwa ajili yetuu 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @justinmguluka4385

    @justinmguluka4385

    Жыл бұрын

    Safi

  • @africanking9004
    @africanking9004 Жыл бұрын

    may God bless you ndacha for unvailing the gospel to them

  • @evanskhaoya566
    @evanskhaoya566 Жыл бұрын

    i love this, may ALLAH BLESS YOU ALL

  • @shabanindadaye480
    @shabanindadaye4806 ай бұрын

    Alihmundulilahi ya Allah mubark shekhe mazing mupanuliyekifuwacak azid kuwailimisha wadjawako

  • @b.f.cburundifilmscompany3098
    @b.f.cburundifilmscompany3098 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana katika jina la yesu kristo

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 Жыл бұрын

    Mashallah sheikh Mazinge

  • @xaliimacabdullahi-lb8iz
    @xaliimacabdullahi-lb8iz7 ай бұрын

    MashaAllah ustadh Mazinge,,, wafunze Hawa waliopotea,,,

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 Жыл бұрын

    Hivyo Kwa akili ya Mazinge kipofu akisema kuku ni gari kipofu anauwezo kuliko mwenye macho. Yaani kipofu akisema Yesu ni nabii na mwenye macho aseme ni Mwana wa Mungu Mazinge ataegemea upande wa kipofu....balaa sana.

  • @benardpaul5971

    @benardpaul5971

    Жыл бұрын

    you've made my day, nikama mtu akuambie I heard a voice na mwingine aseme i had a dream, utaamini nani...

  • @benedictfabian4209

    @benedictfabian4209

    Жыл бұрын

    Aah! Tusimlaumu sana. Ni vile upeo wake umeishia.

  • @yassirswaleh7127

    @yassirswaleh7127

    Жыл бұрын

    Shida mungu wenu katahiriwa ,hatuwezi abudu mtu aliyetahiriwa kama sisi

  • @daudilangat6123

    @daudilangat6123

    6 ай бұрын

    Ndacha mwalimu wa ulimwengu kuelekeza watu wote kwa yesu kristo😅😅😅😅😅

  • @khermisybonaya3741
    @khermisybonaya3741 Жыл бұрын

    Allah ampe Umri Mrefu wenye kheri hyo Mzee wetu *Mazinge* na ajaalie wawe wengi mfano wake🤲 khusuusan katka sisi vijana, ama kwa ndugu zetu ktka ubinadamu Allah awape hidaya ya kumtambua na kumuabudu yy🤲

  • @jamesombaso9493

    @jamesombaso9493

    Жыл бұрын

    Yaaani bado mnaami uongo

  • @scofiotdangote7576

    @scofiotdangote7576

    Жыл бұрын

    Amin

  • @joasgeorge3710

    @joasgeorge3710

    Жыл бұрын

    Kwa lipi mwaminini Yesu acheni Ujinga Hali mkijua Maalifa Yesu ni Mungu

  • @arabicgrammarchannel1162

    @arabicgrammarchannel1162

    Жыл бұрын

    Dini ya uislamu ni dini ya ukweli

  • @yassirswaleh7127

    @yassirswaleh7127

    Жыл бұрын

    @@joasgeorge3710 hatuabudu mungu aliyetahiriwa

  • @prosperniyongere7480
    @prosperniyongere7480 Жыл бұрын

    Bwana muchristo achana na huyu muislamu yeye anamujuwa Yesu kimwili tu. Na ukisema Roho Mtakatifu kwao unakuwa umegonga mwambwa.

  • @adamsaid-ze1jw

    @adamsaid-ze1jw

    9 ай бұрын

    Ww ujitambui Amin mungu anakufa na Amin yesu mungu mbwa ww

  • @joelrotich1306
    @joelrotich13066 ай бұрын

    Wonderful conversations this making me to be achristian indeed, thanks to pastor Ndacha, God leading to inspire and spiritual grew more strong, Amen..

  • @annendegwa2375
    @annendegwa2375 Жыл бұрын

    I'm happy to see you standing firm ndacha for christ.they want it to look like campaign, but you make them understand in a polite way.God bless you.

  • @Hussayn21

    @Hussayn21

    Жыл бұрын

    Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki! Ndacha hana jipya mungu yupi ywa tahiriwa wewe vipi. Majidiliano kusudi yake ni kuelimishwa chukueni maandiko

  • @mabascorcarpitow1819

    @mabascorcarpitow1819

    Жыл бұрын

    Do your research from what ndacha said,on both religions....you'll find that on Muslim side is actually not true and he doesn't finish the verses

  • @yesuanikumbukejanuary8363

    @yesuanikumbukejanuary8363

    Жыл бұрын

    Yupo vizuri saana .

  • @ArcadiusAndove-sp5dy

    @ArcadiusAndove-sp5dy

    5 ай бұрын

    My God bless you mtumishi ndacha watoe kwenye upovu huo wajue akuna lisilo wesekana kwa mungu

  • @khalidabu5259
    @khalidabu5259 Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha akuna need ya mafundisho na watu kama awa awajui yesu alikuja nduniani kimwili

  • @salimumbonyumukiza7032

    @salimumbonyumukiza7032

    Жыл бұрын

    Ndacha wewe wacha uwongo tafazari mimi sizani uwongo wako kama wewe nimu somwi kwel dacha wewe muzehe mazinge muna fikiri wewe una jarimbu kweli hawuna elimu

  • @filexbenefits5612

    @filexbenefits5612

    Жыл бұрын

    @@salimumbonyumukiza7032 mambo ya roho ayaitaji Elimu, soma hadi ulaya but you will never find spiritual teaching, it need prayerful and much committed man to God, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu na mengine mtapewa.

  • @filexbenefits5612

    @filexbenefits5612

    Жыл бұрын

    Soma quran au biblia, not in vein to do this

  • @yassirswaleh7127

    @yassirswaleh7127

    Жыл бұрын

    @@filexbenefits5612 hatuwezi abudu mungu aliyetahiriwa

  • @suzanaagustinookelo4953

    @suzanaagustinookelo4953

    10 ай бұрын

    ​@@salimumbonyumukiza7032we ndio ujui kusoma (musomwii) ndio nini!!!?

  • @mwazanialiishehe1784
    @mwazanialiishehe1784 Жыл бұрын

    Yohane 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 Жыл бұрын

    leo nishatambua ww Mazinge,hauna lolote na hujapitia hoja za Ndacha

  • @elienew3788
    @elienew37887 ай бұрын

    Kila.goti litapigwa mbele zake Yesu kristo nakila.ulimi utakiri yakua Yesu ni Bwana ameen👏👏

  • @khadijaali1656

    @khadijaali1656

    6 ай бұрын

    Yesu ni mtume naye ni Nabii Issa sasa kma unamkana Allah ww kana tu ila huo ndo ukwel na utabaki kuwa ukweli acheni uzushi huo

  • @betteyandrew291
    @betteyandrew291 Жыл бұрын

    Yesu ni yeye yule Jana na milele

  • @robertmnyanyika525
    @robertmnyanyika525 Жыл бұрын

    Ndacha ubarikiwe sana uwanja ni wako na Roho mtakatifu fanyeni yenu hapo Naona hawana jipya hao nikweli lazima tuwafahamishe kwa lazima huyu Yesu

  • @mutulaObedi
    @mutulaObedi2 ай бұрын

    Mweshimiwa MZEE ndacha ubarikiwe na Mungu wahubiri hao wa mujuwe Yesu kwamba Neno la Mungu tena alikuwa Mungu nayote imefanyika kwa Neno' ila wa eslamu Wana maneno ila hawana Neno ' njo mana hupuruka puruka tu.

  • @user-xm8dn5js9h
    @user-xm8dn5js9h10 ай бұрын

    We ndacha,Safi Sana,kwanza unaroho wa mungu pili unamjua yesu vizr Sana,alafu unajiamini Kama yesu,shetani hakubabaishi hata kidogo wape injili hao Hadi waseme ndioo.wanakubali sema wakaidi tuu.

  • @yusuphlule5254
    @yusuphlule5254 Жыл бұрын

    Daah! Kwakweli uislamu Ni msiba! Hivi haya Ni majibu ya swali aliloulizwa kweli? Asante yeah kwa kutufunulia haya.

  • @legend9805

    @legend9805

    Жыл бұрын

    Wewe ndio una msiba pole sanaa. Yesu anaomba msaada kwa mungu alafu awe mungu loo

  • @RIO-jf9mo

    @RIO-jf9mo

    Жыл бұрын

    @@legend9805 Aliomba msaada wapi..!?

  • @legend9805

    @legend9805

    Жыл бұрын

    @@RIO-jf9mo nenda kasome bibilia vizuri yesu aliomba mungu amnyanyuwe juu

  • @RIO-jf9mo

    @RIO-jf9mo

    Жыл бұрын

    @@legend9805 hasa si alikuwa binadamu ...hasa ngoja nikuulize MUNGU ana uwezo wa kufanya lolote na anajua mbele kutafanyika nini ...hasa mbona asizuie hicho kitu kufanyika ingali ana uwezo ....jiulize ...wewe ...sababu ni kuwa yesu alifanyika mwili na ilimpasa afanye yote kufundisha watu kama nyinyi ....alikua na uwezo wa kufanya lolote ila alifwata utaratibu tu Kama binadamu ili mumuelwe ...

  • @legend9805

    @legend9805

    Жыл бұрын

    @@RIO-jf9mo yesu alizaliwa sasa mungu gani yuwazaliwa na binadamu

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k9 ай бұрын

    Allha akulinde shehe wetu wewe ndacha kubali yesu sio Mungu

  • @whitetigerprincy5882

    @whitetigerprincy5882

    3 ай бұрын

    hupo gizani

  • @ambeleikenda5054
    @ambeleikenda50548 ай бұрын

    Mr Mazinge, may God open your eyes

  • @user-sv6zy3hc8o

    @user-sv6zy3hc8o

    7 ай бұрын

    Zz

  • @samuelmuhindosivamwanza4988

    @samuelmuhindosivamwanza4988

    6 ай бұрын

    AMEN

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Жыл бұрын

    I proud to be a Muslim. God bless every Muslim 🙏

  • @SundayChilango-wg1tp

    @SundayChilango-wg1tp

    Жыл бұрын

    Mungu akusadie uweze kupata ufunuo ndio utajuwa ukweli

  • @ahmedalfan8075

    @ahmedalfan8075

    Жыл бұрын

    @@SundayChilango-wg1tp wew ndio upate ufunuo sio mim

  • @yohanakiyumbi4795

    @yohanakiyumbi4795

    Жыл бұрын

    Kwanini unajivunia kuwa Muislamu?.... toa Sababu 20 nzito kutetea hoja yako

  • @FathiaAhmed-px2lm

    @FathiaAhmed-px2lm

    11 ай бұрын

    Mazinge amepata kipaji kotka kwa Allah ndiooooooo ndiooooooo ndiooooooo mazinge hooyyyyyye 🙏🙏🙏🕋🕋🕋✋♥️🌹🇰🇪👌👌👌👌👌💪 Islam 🙏🙏🙏 mazinge kiboko yenu mutake musitake Love you mazinge hooyyyyyye

  • @mwanahija968

    @mwanahija968

    11 ай бұрын

    @@FathiaAhmed-px2lm hoyeeeeeeeeeeeeeeee muslim hoyeeeeeeeeee hoyeeeeee

  • @antonynjenga9351
    @antonynjenga9351 Жыл бұрын

    Jesus the Lord and king all praises and worship onto him

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    7 ай бұрын

    Jesus told you to worship God. But you worship him instead. Jesus prayed in the mosques but you pray in churches. Jesus took oblution before prayers but you don’t and instead pray with shoes on

  • @vascoaloycekihwele9724
    @vascoaloycekihwele9724 Жыл бұрын

    Ndacha unapoteza mda na mazinge... (1 Corinthians 2:11) Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mung. (1 Corinthians 2:12) Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na MUNGU. So mazinge ni wale wayahudi unategemea aelewe vip ingawaje Iko clear?

  • @DrNelsonJohnMuhirwe
    @DrNelsonJohnMuhirwe27 күн бұрын

    Nimeamini Pastor Ndacha Amebarikiwa na MUNGU Amepewa Hakili na Elimu ya kutosha Mungu Akubariki Pastor japokuwa wa islama nivichwangumu hawa sikie

  • @appleman563
    @appleman5634 ай бұрын

    Alhamdulillah sijazaliwa kwenye huo ujinga wa kuabudu watu

  • @yassirkhamis-kx1xk
    @yassirkhamis-kx1xk8 ай бұрын

    Laailaaha illallah muhammadurrasuulullah

  • @georgelugaliki1307
    @georgelugaliki1307 Жыл бұрын

    Blessed be the Name of Jehovah. I have learned alot. Bible explaining its self

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    7 ай бұрын

    You’ve not learnt anything. No verse in the whole bible that Jesus was Christian or entered a church or asked you to be Christians. Uongo mtupu kwendeni zenu

  • @omwangegriffins7000

    @omwangegriffins7000

    7 ай бұрын

    ​@@bigmanfish6346makasiriko ya nini? Pingana ukitumia hoja 😅

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    6 ай бұрын

    @@ARUWAAHMADA-jz9ms Aruwa uko wapi

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    6 ай бұрын

    @@ARUWAAHMADA-jz9ms aruwa uko wapi? Nipe number yako

  • @fredouma359

    @fredouma359

    5 ай бұрын

    Even Quran speaks of Deity of Jesus...But some have refused to listen.Boundless idiocy.

  • @amanicarlumehabel7575
    @amanicarlumehabel75757 ай бұрын

    Nimependezwa na hiyo kwamba "Tutawanywesha huyu yesu mpaka mmjue" hapa kweli waislamu waislamu ni wazi kuwa Biblia inawachanganya

  • @user-ns1jw3rl3g
    @user-ns1jw3rl3g8 ай бұрын

    Ndugu Ndasha Mungu yu Pamoja nawe Atakupa nguvu.waislam hao, siku zote wako ki mwili.

  • @johnabamungu5984
    @johnabamungu5984 Жыл бұрын

    Samahani sana kwa hili neno ila naomba tu niseme. Kwa sababu nime shangaa huyu anaye itwa mazinge .hajuwi lolote kabisa kwa sababu hoja za ndacha zina heshimu kichwa cha mada. Yeye kaenda inje na kukurupuka bure.tuna fataka walimu wakislamu lakini huyu ni oyvo kabisa. Mada ina ongeleya uungu wa yesu. Ina maana haitakiwi ku zungumziwa kimwili.

  • @benedictfabian4209

    @benedictfabian4209

    Жыл бұрын

    Amezidiwa mada ndio mana anahangaika. Ni wa kumuonea huruma tu kwa kukosa ufahamu. Vile anapotosha umati wa kiislamu.

  • @IbrahimMwinyi

    @IbrahimMwinyi

    Жыл бұрын

    Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh pia

  • @IbrahimMwinyi

    @IbrahimMwinyi

    Жыл бұрын

    Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh

  • @IbrahimMwinyi

    @IbrahimMwinyi

    Жыл бұрын

    Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh

  • @-q127

    @-q127

    Жыл бұрын

    Nakwambia huyu mazinge hajui kabisa anacho kisema yuko aut na mada 😮😮

  • @eduosamo849
    @eduosamo849 Жыл бұрын

    mazingee Noma Sanaa Allahamdulliha Allah akupe umri ameen

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    Жыл бұрын

    Nguvu ya ndugu zenu majini hazitoboi injili ya yesu

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    Жыл бұрын

    Jini ni mwislamu mbona unamkataa na kasilimu🤣🤣🤣

  • @scofiotdangote7576

    @scofiotdangote7576

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    Жыл бұрын

    @@tatujuma8781 waislamu na mashetwani ni baba mmoja na mama mmoja wanasali wote misikitini🤣🤣🤣

  • @omaryissa2562

    @omaryissa2562

    Жыл бұрын

    @@ramadhanmahongole9293 acha kushadadia vitu usivyo na elimu navyo

  • @Nolithajack12
    @Nolithajack12 Жыл бұрын

    Hamuna hoja yoyote mazigi Hana finishing 🤔🤔

  • @-q127
    @-q127 Жыл бұрын

    Ndacha Mungu akusaidie sana maana hawo watu kuelewa nishida ,naukweli unaonekana lkn ushidani ndo kwingi kwao,

  • @mirajisalehe742
    @mirajisalehe742 Жыл бұрын

    Ndacha umenyooka sana hukupindapinda nenda na ukweli huohuo ,mijadala hiyo ni njia nzuri sana ya kuihubiri lnjili

  • @Utulivu444

    @Utulivu444

    Жыл бұрын

    kabisaaaa

  • @dankonkwibe2032
    @dankonkwibe20326 ай бұрын

    Ndacha iam a congolese but you are contribute in the body Of Christ. IAM learned more in your teaching may dear Pastor and your Paulo Who read the books, i love you so much

  • @SophiaMsigwa-lc3km
    @SophiaMsigwa-lc3km6 ай бұрын

    Mungu akuzidishe ndacha Kwa kazi nzuri ya Mungu🎉❤

  • @olengonelson7453
    @olengonelson7453 Жыл бұрын

    Yani Mazinge na uzee huu wote na ufahamu wote bado haikubli kweli mradi awadanganye wafwasi vipofu wa uislamu. Hoja potovu hazina msingi. MWONGO SANA HUYU MZEE.

  • @benedictfabian4209

    @benedictfabian4209

    Жыл бұрын

    Anaujua vizuri ukweli. Sema ujeuri tu.

  • @fanuelemanuel3623
    @fanuelemanuel3623 Жыл бұрын

    Watu wanapenda vip ambavyo havoko hai yesu Ni mungu ukweli upo kwenye biblia

  • @AnuarMakame-iy2gy

    @AnuarMakame-iy2gy

    7 ай бұрын

    Yesu ni mtume ukweli upo katika qurani

  • @jofreykabobe

    @jofreykabobe

    7 ай бұрын

    ​@@AnuarMakame-iy2gywakristo hatutumii Quran tunatumia Biblia ndomana sisi hatumjui Issa tunamjua Yesu

  • @kharifa-kf7nn
    @kharifa-kf7nn Жыл бұрын

    Toa Iman yako pendeni sikiliza kwa umakini maandiko ...mada nyingine aiitaj maandiko ni uelewa wako tyu utapata majibu ..jiulize sifa za mungu then fikiria matendo ya uyo issa ibn Mariam utapat jibu kamili

  • @user-bh8ny6lu1y

    @user-bh8ny6lu1y

    Ай бұрын

    Tatizo yarohoni Salio rohoni ndo wawezao kuyatambua,

  • @user-bh8ny6lu1y

    @user-bh8ny6lu1y

    Ай бұрын

    Walio rohoni

  • @liliankagea3318
    @liliankagea3318 Жыл бұрын

    May God bless you ndacha with more wisdom for transforming Muslim to Christianity, and May God help them to understand the Bible

  • @jacobmotegi9703
    @jacobmotegi9703 Жыл бұрын

    Huku ni mjadhala kati ya mwili na roho. Ndacha Yuko kiroho na Mazinge Yu kimwili, hawataelewana hadi Ndacha ajadili naye mambo ya kimwili ambayo Mazinge anaongelea. Mazinge hajui mambo ya kiroho, hiyo ndio shida tu.

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116 Жыл бұрын

    Mtumish NDASHA Mungu akupe nguvu ya kuendelea kuutetea UKRISTO.

  • @Hussayn21

    @Hussayn21

    Жыл бұрын

    Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki

  • @nzizajovinpaul4955

    @nzizajovinpaul4955

    Жыл бұрын

    Utukufu na heshima bwana Yesu kristo nizako Milele na Milele Amen.

  • @mohamedyeslam5194

    @mohamedyeslam5194

    Жыл бұрын

    Hana lolote huyo ndacha,Mazinge ndio kiboko Yao,Allah Ampe sheikh mazinge Umbri mrefu

  • @passlinemedia6657
    @passlinemedia6657 Жыл бұрын

    Ndacha May God bless you,you are making many Muslims to understand about Jesus christ

  • @francojuma5762
    @francojuma5762 Жыл бұрын

    Good teaching thumbs up

  • @morriswambugu8292
    @morriswambugu8292 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Ndacha,Hoja zako nzito sana. Halafu siri ya kuweka mafungu mingi hivo kwa kichwa ni gani?

  • @sawetito22

    @sawetito22

    Жыл бұрын

    Kafiri ndacha

  • @walugoivan

    @walugoivan

    Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha mungu akupe Barack

  • @filexbenefits5612

    @filexbenefits5612

    Жыл бұрын

    Kafiri utasema tu lakini ukweli ndio mchugu, utameza tu

  • @jacksonnzai1593
    @jacksonnzai1593 Жыл бұрын

    mazinge anaelewa alichofundicha Ndacha, shida n uma unaomwamini ndacha utamwonaje atakpkbali uhalali wa Yesu Mungu? kweli awa watu hawana Roho wanaongozwa 'na elmu 'na utashi tu. Ubabe fanyeni ila Yesu Bwana.

  • @bullermgana213

    @bullermgana213

    11 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/fo6jk5SRhavRXdo.html nani kaelewa zaid hapa

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын

    Hongera Saana,,, Excellent,,, Fantastic,,, glorious Pastor Ndacha hakika Unasoma Mnoo Biblia kisha unajua sn kuelezea kwa kina kbs kuhusu Yesu Kristo Pamoja na Dini yote ya Kikristo.... najivunia Saana kuwa Mkristo naipenda sn Dini yangu Milele Daima 🙏🙏🙏🙏

  • @rubbenjohn9451

    @rubbenjohn9451

    11 ай бұрын

    Umeona eeh, yani ana roho mtakatifu

  • @bullermgana213

    @bullermgana213

    11 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/fo6jk5SRhavRXdo.html

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    11 ай бұрын

    Hakuna ktu apo

  • @ShabaniSechambo-lk3jb

    @ShabaniSechambo-lk3jb

    9 ай бұрын

    Pole kama ww nimkristo,imeandikwa amepotea yoyote amtegemeae mtu kama mungu wake.

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    8 ай бұрын

    Bro read bible carefully. You are at wrong

  • @leahbaatjes4215
    @leahbaatjes4215 Жыл бұрын

    Just imagine anasema. .. mjapani katengeneza gari. .kwa mfano wake inaingia akilini kweli? ? Hawa waislam huwa wanatumia akili kweli? ?

  • @AliHassan-sj8cm

    @AliHassan-sj8cm

    Жыл бұрын

    Wanatumia kuma ya mamako

  • @emmahosoro8764
    @emmahosoro8764 Жыл бұрын

    Nashukuru sana pst ndacha mungu akusidizie neema.allready waisilamu wamekubali kuwa yesu ni mwana wangu kutoka kwa kitabu cha yohana 3:16

  • @michaelbaton7711

    @michaelbaton7711

    Жыл бұрын

    kwa kifupi tu huyu mzee anaonesha jinsi alivyo amua mwenyewe kuhungana na shetani kumpinga yesu

  • @samwelrobeth7763

    @samwelrobeth7763

    Жыл бұрын

    @@michaelbaton7711 Yani Hawa JAMAA Wana roho ya mpinga kristo ndani yao hata na wao bila kujua Kama Wana roho ya mpinga kristo ,na Ile roho huwapofusha fikra wajione Wana elim ya dini na kadharika Ila Ni wapinga kristo,Ila hatuna la kuwalaum maana walitabiriwa na lazima walitimize hilo ili andko litimie,na sisi ni wajib wetu kuwahubilia ili wasije wapoteza wengine

  • @countercheck887

    @countercheck887

    Жыл бұрын

    God bless you abundantly Pst Ndacha. Hawa makafiri wanamkana Yesu hadharani buy try to misinterpret the Bible verses. Reciting Koran or Reciting the Bible is totally different from reading the Bible and having the Revelation of the Bible.

  • @JamaliZidadu-jd1nl

    @JamaliZidadu-jd1nl

    7 ай бұрын

    Ishu ni kwamba yesu ni mtot wa mungu ila sio mungu na kutumia jina la mungu haimaanishi kua ni mungu saw

  • @sharonkerubo9030
    @sharonkerubo9030 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi Wa Mungu Ndacha

  • @milikaekal8623

    @milikaekal8623

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe sanaa mtumishi wa mungu helewa hawa watu niwapinga kristo

  • @IreneNduta-qp6yg
    @IreneNduta-qp6yg Жыл бұрын

    True man of God Ndacha.

  • @MensonSichinga-rs3mg
    @MensonSichinga-rs3mg3 ай бұрын

    Habari uko nampenda sana unavyofundisha wa isilamu mungu akuongezee roho ili wa mujue yesu

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha4773 Жыл бұрын

    Heee this a teacher bibilia sikukuwa naijuwa lkn nimeanza kuishika Kwa sababu ya ndacha

  • @zuhuramabd2255
    @zuhuramabd2255 Жыл бұрын

    Huyu mzee anafanya makusud anajifanya haelewi ......hayuko sirious n mzaha2 ....haina haja kufanya mkutano na huyu mzee ..ameambiwa kila k2 lkn haelewi

  • @samwelrobeth7763

    @samwelrobeth7763

    Жыл бұрын

    Roho ya mpinga kristo ndiyo inawasumbua hawana namna ya kujiyoa humo bila neema take Bwana

  • @maymunamakungu6265

    @maymunamakungu6265

    Жыл бұрын

    Nyie mkizidiwa mnajidai roho au mwili. Wakristo bwana very funny!

  • @buyoyafrank8831
    @buyoyafrank8831 Жыл бұрын

    Neno ni yesu 🎊

  • @user-vo3ni9so7e
    @user-vo3ni9so7e7 ай бұрын

    Christianity is quite deep and some of our brothers can't comprehend .. especially the people of the other side . God take human body in order to reach human being.. but he is God taking human body to reach to human ... That's why he sleeps and eat . But he is God in human nature to reach human .

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6v16 күн бұрын

    Yesu ni Mungu, Yesu ni Mwana wa Mungu Yoh 1:18, Isay 9:6.Amen

  • @onesmusmusyoka766
    @onesmusmusyoka766 Жыл бұрын

    Waisilaham bila roho mtakatifu awazezi elewa maadiko

  • @adamsaid-ze1jw

    @adamsaid-ze1jw

    9 ай бұрын

    Ww ujitambui

  • @kilondajohn
    @kilondajohn Жыл бұрын

    Ndasha nalikua muslum kuanzia APA n'a amini Christ kuwa mungu

  • @orotancnelly3047

    @orotancnelly3047

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @Utulivu444

    @Utulivu444

    Жыл бұрын

    POINT

  • @nininahazwedonavine3349

    @nininahazwedonavine3349

    Жыл бұрын

    Amina ubarikiwe

  • @wamorire2043

    @wamorire2043

    8 ай бұрын

    ​@@nininahazwedonavine3349ACHA uongo

  • @HamadizoMadizo

    @HamadizoMadizo

    8 ай бұрын

    Una akili ww sio muislamu ww unatuzuga tu

  • @user-ic5yl7mz4d
    @user-ic5yl7mz4d3 ай бұрын

    Ndacha Mungu akuzidishie maarifa na hekima

  • @Kivukwanza
    @Kivukwanza Жыл бұрын

    Ni kweli huyu mzee Mazinge hana hoja yoyote ya msingi. Waislam mtafuteni Yesu

  • @alicekatsutsu6345
    @alicekatsutsu6345 Жыл бұрын

    Pogezi sana mwalimu dacha yaani majibu na mwawali yanatokana na bibilia ,nitabaki kuwa muamini wamwenyezi mungu ambaye ndiye mungu,musabato

  • @DanielApologeticsSwahili
    @DanielApologeticsSwahili7 ай бұрын

    Yesu ndiye Mfalme mkuu. Mbarikiwe wote!!!

  • @cabrandybebz2468
    @cabrandybebz24686 ай бұрын

    Mashallah Allah akubarik shekh mazinge

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende9740 Жыл бұрын

    Majibu anayo jibu na mwaswali aliyo ulizwaa tofauti huyoo maginge YESU awaponye waislam mtamkuta siku mkikata roho hapo ndipoo mtaelewaaa.

  • @yusuphlule5254
    @yusuphlule5254 Жыл бұрын

    Poleni Sana ndugu zetu waislamu kwa Hilo giza lililowafunika kwakweli MUNGU AWASAIDIE KWAKWELI MAANA BAADA YA YOTE KUNA HUKUMU MBAYA SANA ,NA KWAKEJELI MLIZONAZO!

  • @cabylake2320

    @cabylake2320

    Жыл бұрын

    Wewe ndo mungu awaongoze wa kristo wote

  • @rahel6725

    @rahel6725

    Жыл бұрын

    Niwashindani aki Kama mishipa imgn umesomewa ukweli lkn we bado wakosa kuamini

  • @yasinrock1635

    @yasinrock1635

    Жыл бұрын

    Naww pole sana kwakuwa aujui

  • @naataliagrande2787

    @naataliagrande2787

    Жыл бұрын

    Ww hujielewii, mungu ni mmoja tu hata mseme vipi

  • @naataliagrande2787

    @naataliagrande2787

    Жыл бұрын

    Bibilia imeandikwa tu, zengine ni za uongoo oooo 😂

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Жыл бұрын

    Aongozwe Sara ya toba huyo Mazinge,hana hoja kabisa,kakutana na upako wa kipekee

  • @benedictfabian4209

    @benedictfabian4209

    Жыл бұрын

    Hahahahahaaaa! Yani anaruka ruka kama mahindi kikaangoni. Hahahahahaaaa!

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 Жыл бұрын

    Mazinge kweli huna hoja.... sasa unajadili wakati Yesu alifanyika mwili, ilhali mada niya uungu wa. Yesu kweli waislamu hawamjui Yesu. abadan

  • @thomasmuli9597
    @thomasmuli9597 Жыл бұрын

    Mimi ndimi njia ukweli na uzima......

  • @lucasbundala7231
    @lucasbundala7231 Жыл бұрын

    Mwalim ndacha nikazikubwa kufundisha mamboyakiloho wakati mazinge anafundisha maisha yakimwili kazamwendo namungu azidikukulinda

  • @AlainKakudji
    @AlainKakudji2 ай бұрын

    Merci cher Pasteur de Jésus-Christ nous sommes ensemble depuis D.R.Congo.

  • @AkonkwaProductions
    @AkonkwaProductions5 ай бұрын

    Pasteur Francis ndacha soit béni abondamment par notre seigneur et Dieu Jésus Christ

  • @barakacharo5967
    @barakacharo5967 Жыл бұрын

    Ndacha amemchapa mazinge vizuri sana ,ingili inaendelea mbele amen 👏🙏🙏

  • @mwanahija968

    @mwanahija968

    11 ай бұрын

    Amemchapa na nini nyinyi mtoni direct yesu io sku ataingia peponi bila kuwangalia

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    11 ай бұрын

    Hawez kumshnda maznge kwa hoja

  • @AnuarMakame-iy2gy

    @AnuarMakame-iy2gy

    7 ай бұрын

    Siku ambayo nabii issa ataingia peponi naziona vile sura za wale walowakimwita mungu watakavyofedheheka mbele ya Allah 🤣😂😂😂😂

  • @jofreykabobe

    @jofreykabobe

    7 ай бұрын

    ​@@AnuarMakame-iy2gy Nyie waabudu mashetani na majini na wapinga kristo pepo mtaisikia tu kama ndugu zenu wayahudi waliomkataa Yesu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын

    Mazinge kachoka hana hoja kabisa ila mgumu wa kuelewa kaweka pamba masikioni🤣🤣🤣🤣

  • @johnnandemu5605

    @johnnandemu5605

    10 ай бұрын

    Kumbe umeona 😂😂😂

  • @geomeasure9810
    @geomeasure98106 ай бұрын

    Ndacha is an institution from heaven meant to liberate Muslim frm devil worship lest anyone (Muslim)will claim he didn't hear the gospel of Christ.

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j6 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu mwalimu mazinge

  • @reginakarambu8902
    @reginakarambu8902 Жыл бұрын

    Barikiwa mwalimu dacha Ata Mimi ninatamani sana kujua mengi kuhusu bibilia

  • @ahmedysalah2957

    @ahmedysalah2957

    9 ай бұрын

    Anawapoteza ndacha hamsikii hamuoni yesu sio mungu,yesu anasema na uzima wamilele ndio huu wakujue mungu wa pekee wa kweli,acheni kupotezwa kuweni waislamu mpate salama

  • @audifansisafari5587

    @audifansisafari5587

    4 ай бұрын

    YESU KRISTO ni MUNGU

  • @vumiliawambula1716
    @vumiliawambula1716 Жыл бұрын

    mtumishi ndacha barikiwa Sana

  • @terrywatahi1203
    @terrywatahi1203 Жыл бұрын

    I love this..🥰🥰🥰 mungu milele

  • @mzaliwaseif7079
    @mzaliwaseif7079 Жыл бұрын

    Sizani kama Ndacha anakuwaga a nafaham anachokisema. Kwamana pakiwa Mada ya Yesu ni Mungu anateteya ikiwa Mada ya mwana wa Mungu pia anateteya. Mungu awezi kuwa na mkoo. Mazinge kauwa kweli

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын

    Tumsifu Yesu Kristo kila Wakati Wapendwa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Hussayn21

    @Hussayn21

    Жыл бұрын

    Goa has no clan

  • @yohanakiyumbi4795

    @yohanakiyumbi4795

    Жыл бұрын

    ​@@Hussayn21 ndio Mwenyezi Mungu hana ukoo...lkn je unamfahamu Yesu Kristo ktk Roho na Mwili,,, au unamjua ktk Mwili tu?

  • @jesselingzzy6537

    @jesselingzzy6537

    11 ай бұрын

    Sasa Yesu na Mungu nan wakupewa sifa?

  • @yohanakiyumbi4795

    @yohanakiyumbi4795

    11 ай бұрын

    @@jesselingzzy6537 Yesu na Mungu ni huyo huyo...kwa Sababu kabla Duniani haijaumbwa Yesu alikuwepo toka Zamani Mnoo alikuwa Roho,,, ila baadae kbs Yesu Kristo alivyokuja Duniani alizaliwa na bikira Maria (Mariam) hapo alikuwa Mwili ndio Maana alikuwa amekuja km umbo la binadamu

  • @yohanakiyumbi4795

    @yohanakiyumbi4795

    11 ай бұрын

    @@jesselingzzy6537 kwa Kifupi ni Kwamba kuna Mungu Mmoja tu ila amegawanyika Ktk nafsi 3... 1.Mungu Baba,,, 2.Mungu Mwana,, 3.Mungu Roho Mtakatifu ...hapo Sijui umeelewa Vzr au

  • @celestinekerubo4839
    @celestinekerubo483910 ай бұрын

    Thank u pastor ndacha conntue teaching them in Truth and spirit because their eyes are still closed.

  • @marthacharles3872
    @marthacharles38728 ай бұрын

    Oyooooooooooo ,ndacha uko vizur ,nmeshangaa anasoma yesu ni mwana wa mungu

  • @elizabethsidi5574
    @elizabethsidi5574 Жыл бұрын

    Kama mazinge alikua pastor alikua anafundisha mambo ya mwili ndo maana akasilimishwa,hivi kama tukimwangalia mungu katika mwili SI amezeeka Hadi hawezi kutembea anatembea na mkongojo kwasababu mwili ndio unazeeka lakini roho haizeeki mungu ni roho nyinyi waislamu

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Жыл бұрын

    Mazinge amkili tu Yesu mwana wa Mungu,ili am tangaze Duniani pote,hana vigezo vya kupinga habari za Yesu

  • @sirajiatibu3232

    @sirajiatibu3232

    Жыл бұрын

    Jesus is not a son of God but Marry Luke 1:29:30&31

Келесі