MCH. HANANJA ALIPUKA NA WACHUNGAJI WANAOBUNI MIUJIZA NA KUJIFANYA WANATOA UTAJIRI WA MAJINI NA PETE

KUHUSIANA NA KAZI YA KANISA HASWA HAPA TULIONGEA NA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA KUHUSU JAMBO GANI ANGEPENDA KUSHAURI KUHUSU MAKANISA

Пікірлер: 43

  • @LinosJohn-dp9xi
    @LinosJohn-dp9xi13 күн бұрын

    Nawashangaa mnaomkashifu Mchungaji Hananja mbona sijaona alipoteleza? Yeye anatoa darasaaa povu la nini?

  • @ladislauslucas4554
    @ladislauslucas455412 күн бұрын

    Jibuni hoja zake kwa maandiko, mchungaji Hananja endelea na kazi ya kutueleza ukweli japo wanaumia wanoamini wanadamu, piga chumaaaaaa

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    7 күн бұрын

    @@ladislauslucas4554 Huyu mzee ana haki kuchukiwa sababu anawaanika Madhambi yao..Huyu Baba Kanyooka Mbaya sana

  • @user-dp1fj9dw9r
    @user-dp1fj9dw9r6 күн бұрын

    Ukimsikiliza huyu faza unaona kabisa kwamba Kazi ya Mungu n wito na Si kupiga Dili , hata yesu alimthamini Yule mama masikini aliyetoa ela ndogo aliyokua nayo pekee na yesu anasema mama huyu ndo ameweka hazina kuu mbinguni na WALA kwenye mafundisho hatujawai kuona kwenye bibilia kama Hawa wanajiita watumish yaaan wametupiga Sana , tujitathmin , mithal inasema vijana wangu wanaangamia kwakukosa maarifa

  • @user-hb8iv7jz9c
    @user-hb8iv7jz9c7 күн бұрын

    Ubarikiwe mungu akupeemaisha maisha marefu Baba.

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    Kupimwa na soko na wazee Hakuna hata mmoja wangu, baada yako wewe ni mizimu, basi tutalipwa kwa faraja ya upepo Ambapo kwa neema yangu, Mungu wangu, nionyeshe maajabu ya uwezo wako, nguvu, dhuluma. , na dhulma, ee Mwenyezi Mungu, Ewe Yahi Yaqiyam, Heshima wapendwa na zaidi, hii ni, na kwa wale ambao ni wazee wa Jahannamu, waliomba, hivyo watakuwa sawa na giza ee Mungu, wazuie madhalimu, madhalimu, na madhalimu haya yanakuja pamoja nawe , Ewe Mola Mlezi wa walimwengu wote, kwa khiyana yetu huko Palestina, Gaza, Rafah, na ardhi zote za Palestina wakasema, "Mola wetu," ambaye ametuletea haya, mwongezee adhabu yake, na arudishwe Motoni wakasema: Tuna nini hata hatuwaoni watu? ugomvi baina ya watu Motoni Mungu, Amina, Mola wa walimwengu wote.☝☝🤲🤲☝☝

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    An yi nazari da kasuwa da tsoffi Ba kowa a cikina, bayan ku, ku ne fatalwa, don haka za a ba mu lada don jin daɗin iska Inda a cikin alherina, Allahna, ka nuna mini abubuwan ban mamaki na iyawarka, ƙarfinka, zalunci. , da azzalumai, ya Allah Ya Allah, Ya Yahi Yaqiyam, Masoya kuma mafi girma, wannan shi ne, kuma ga wadanda suke dattijon Jahannama, sun yi addu'a, don haka za su kasance, don haka su dandana, zafi da duhu. Ya Allah ka datar da azzalumai, da azzalumai , Ya Ubangijin talikai, saboda ha'incinmu a Palastinu, da Gaza, da Rafah, da dukkan qasashen Falasdinu, sai suka ce: "Ya Ubangijinmu", Ka qara masa azaba, ka ninka shi a cikin wuta Suka ce: "Mẽne ne a gare mu, bã zã mu ga mutãne ba?" jãyayya a tsakãnin mutãne Wuta Allah, Amin, Ya Ubangijin talikai.☝☝🤲🤲☝☝

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    Die twee lesers wat onthou word, maar die wat nie geglo het in trots en spiesjies, hoeveel mense is voor hulle Hulle is 'n gevolg van hulle, en hulle het gesê: Hulle loop en wees geduldig met jou afleiding Ons het nie gehoor nie dit in die hiernamaals Dit is niks anders as 'n versinsel nie. Die Boodskap is uit ons midde gestuur Voor hulle was die mense van Noag en Aad Farao, die man met stokke, en die mense van Lot, en die metgeselle van Mekka reg Aqaba al -Masabar oor wat hulle sê en onthou ons dienaars, dit is dieselfde Die een wat 'n muddhur het Moenie bang wees vir die twee opsommings nie, ons wil hê ons moet dit doen, so ek sal onder ons wees met die waarheid Soetheid van die bose, ons het jou 'n opvolger in die land gemaak. Diegene wat deur die pad van God mislei word, het 'n ernstige pyniging van wat hulle vergeet het op die dag van die rekenskap. , of ons sal maak Die wat veilig is, doen die geregtigheid in die land in die land Wat is die aanbidder, want hy is 'n wyk Met die sluier, het hulle geantwoord op my, so hy het geslaag

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    Wasomaji wawili wanaokumbukwa, lakini wale waliokufuru kwa kiburi na mishikaki, ni watu wangapi walio kabla yao Haya si chochote ila ni uzushi tu. Hakuna shaka katika ukumbusho wangu walisema uwongo kabla yao kaumu ya Nuhu na Adi, mtu wa vigingi, na Thamud, na watu wa Lut'i, na watu wa Makkah, wote hao walisema uwongo sawa Aqaba al-Masabar juu ya wanayoyasema na wakumbuke waja wetu, huyu ni sawa Mwenye muddhur Usiogope mukhtasari mbili, tunataka tufanye hivyo, basi nitakuwa miongoni mwetu na ukweli Utamu. Hakika sisi tumekufanya wewe kuwa mrithi katika ardhi. Wale walio potea njia ya Mwenyezi Mungu wana adhabu kali ya waliyo yasahau siku ya hesabu kwa walio kufuru, na kwa walio kufuru kutoka Motoni. Au tutawafanya walio salama wafanye wema katika ardhi katika ardhi Muabudiwa ni nani, kwani yeye ni mlinzi Mwenye pazia, wakaniitikia, basi akafaulu.

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    Ubushakashatsi hamwe nisoko hamwe nabasaza Ntamuntu numwe, nyuma yawe, uri ghos, bityo tuzagororerwa guhumurizwa numuyaga Aho mubuntu bwanjye, Mana yanjye, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa , n'igitugu, yewe Mana Mana Mana, yewe Yahi Yaqiyam, Banyakubahwa Cyubahiro kandi benshi, ibi ni, kandi kubakuru b'ikuzimu, barasenze, bityo bazabe bamwe. Reka rero baryohe, ubushyuhe n'umwijima. Mana, hagarika abarenganya, abanyagitugu, n'abagome. Uyu muhengeri uraza hamwe nawe. Binjiye mu muriro , Nyagasani w'isi, kubera ubuhemu bwacu muri Palesitine, Gaza, Rafah, no mu bihugu byose bya Palesitine Bati: "Mwami wacu," watugejejeho ibi, byongera umubabaro we, kandi wikubye kabiri mu muriro baravuze bati: "Ikibazo ni iki kuri twe ko tutabona abagabo?" Twakundaga kubatekereza mu bantu babi gutongana hagati yabantu. Vuga uti: "Ndi umuburo gusa, kandi nta yindi mana ibaho uretse Allah, Umwe, Isumbabyose," mu ijuru no ku isi ndetse n'ibiri hagati yabo Oh, Nyirububasha, Kubabarira Mana, Amen, Mwami w'isi.☝☝🤲🤲☝☝

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    Ondersoek met die mark en die bejaardes Niemand van my nie, na jou, jy is die spoke, so ons sal beloon word vir die troos van die wind Waar in my genade, my God, wys my die wonders van u vermoë, krag, onderdrukking , en tirannie, o God O God, O Yahi Yaqiyam, liewe Eerbewyse en die meeste, dit is, en vir diegene wat die oudstes van die Hel is, het hulle gebid, sodat hulle dieselfde sal wees, so laat hulle dit proe, die hitte en duisternis O God, stop die onderdrukkers, die tiranne. Hierdie golf kom saam met hulle , O Heer van die wêrelde, vir ons verraad in Palestina, Gaza, Rafah, en al die Palestynse lande hulle het gesê: "Wat is die saak met ons dat ons nie mense sien nie?" rusie tussen mense Vuur Sê: "Ek is net 'n waarskuwer, en daar is geen god behalwe Allah, die Een, die Allerhoogste," in die hemele en die aarde en alles wat tussen hulle is O, die Magtige, die Vergewensgesinde God, Amen, Here van die wêrelde.☝☝🤲🤲☝☝

  • @MasamaJanuary-ej1zz
    @MasamaJanuary-ej1zz3 күн бұрын

    Piga kazi mchungaji nakukubali sana upeo wako mkubwa sana wewe

  • @harrietlutale922
    @harrietlutale92214 күн бұрын

    Acha kutukana mtumishi wa Mungu. Shindwa kwa jina la Yesu Kristo Mwokozi wetu na utupwe kuzimu kwa Damu ya Yesu Kristo Mwokozi wetu.

  • @user-fy4op1sw2f

    @user-fy4op1sw2f

    9 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @ibutilehyila9146

    @ibutilehyila9146

    6 күн бұрын

    @@harrietlutale922 kwani katukana tusi gani au ametoa darasa? Au una chuki binafsi nae?

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent94082 күн бұрын

    Naongeza Kila sememu Kuna riziki ila imefichwa kidogo tu akili umepewa tiari tumia akili hiyo kupata hata Simba porini Ili ale nyama lazima apambane sana hakuna kutia huruma kuomba omba labda uwe na sababu maalumu tu

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari974713 күн бұрын

    Walokole wanafanya ya wakristo na kudanganya wakristo...

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    ከገበያ እና ከአረጋውያን ጋር ተዳሰሰ ከእኔ ማንም የለም ካንተ በኋላ እናንተ መናፍስት ናችሁ ስለዚህ ለነፋስ መጽናኛ ዋጋ እንሰጣለን አምላኬ ሆይ በፀጋዬ የችሎታህን፣ የጥንካሬህን፣ የጭቆናህን ድንቅ ነገር አሳየኝ , እና አምባገነንነት, ኦ አምላኬ ሆይ, ያሂ ያቂያም, የተከበሩ እና በጣም ብዙ, ይህ ነው, እና የጀሀነም ሽማግሌዎች ለሆኑት, ጸለየላቸው, ስለዚህ እነሱ ይቅመሱ, ሙቀት እና አቤቱ ጨቋኞችን፣ ግፈኞችን፣ ጨካኞችን አስቀርላቸው የዓለማት ጌታ ሆይ በፍልስጤም ፣ በጋዛ ፣ በራፋ ፣ በፍልስጤም ምድር ሁሉ ስለ ክህደታችን ጌታችን ሆይ ይህንን ያቀረበልንን ስቃይ አብዝተህ በእሳት ውስጥ እጥፍ ድርብ አሉት «ሰዎችን የማናየው ለኛ ምን አገባን?» አሉ። በሰዎች መካከል መጣላት «እኔ አስፈራሪ ብቻ ነኝ። በሰማያትና በምድር በመካከላቸውም ያለው ሁሉ ከአላህ ሌላ አምላክ የለም» በላቸው ኣምላክ ኣሜን ኣሜን።☝☝🤲🤲☝☝

  • @JACKSONRICHARD-wi9tn
    @JACKSONRICHARD-wi9tn13 күн бұрын

    Kikubwa yamewaingia ,

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    Masu karantawa guda biyu wadanda ake tunowa, amma wadanda suka kafirta da girman kai da karkatacciya, mutane nawa ne a gabansu, sakamakonsu ne, kuma suka ce: Su ne suke tafiya kuma su yi hakuri da shagaltuwar ku Wancan, a Lãhira, an saukar da shi zuwa gare shi, daga gare mu, kuma bãbu shakka a cikin ambatoNa waɗanda suka ƙaryata a gabãninsu akwai mutãnen Nũhu da Ãdãwa, ma'abũcin tũtuwa, da Samũdãwa, da mutãnen Luɗu, da ma'abũta Makkah, lalle ne, haƙĩƙa, ya yi ƙarya dama Aqaba al-Masabar akan abin da suke fada kuma ku tuna da bayinmu, wannan shi ne wanda yake da laka kada ku ji tsoron takaitattun guda biyu, muna so mu yi haka, don haka zan kasance tare da mu da gaskiya Zaki. na sharri, Muka sanya ka magada a cikin kasa, wadanda tafarkin Allah ya batar, suna da azaba mai tsanani daga abin da suka manta a ranar hisabi ga wadanda suka kafirta, da wadanda suka kafirta daga wuta. , ko kuma Mu sanya wadanda suka tsira, su yi aiki na gari a cikin kasa a cikin kasa Menene mai bauta, domin shi Unguwa ce Da mayafi, suka amsa mini, sai ya yi nasara.

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall61408 күн бұрын

    Acheni ukora viongozi wamakanisa...Mutakwenda nyote Jahannam mukifa kwaukiristo....Nabii Isa Mwana wamariam Hakua mkiristo Wala hakuwatuma Watu wawe wakiristo...Acheni ukora

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw13 күн бұрын

    Anaongea ukweli huyo sio mnafiki.wanafiki wapo wengi lazima wajulikane tusiwe vilanza waliendelea walikuwa wanaumbuliwa na camera za Siri ukweli ikawa wazi na inatakiwa wawe wanadhalilishwa Kwa camera za Siri hapo tutajua ukweli kwani tumefunikwa blanketi vichwa .

  • @aooshosho4255
    @aooshosho42554 күн бұрын

    Lakini pia yesu akuwa anaitwa yesu au Jesus sasa inakuwa je jina lenye hata ajui lifanye kazi...mi naona nyote gora moja unatowa dust kwa macho ya wengine ili hali wewe pia ujielewi...na pia ukristo haukuwepo wakati wa mwana wa mariam sasa ni nani kawambia mfate ukristo ...wapi kwa bibilia kaliwamulisha kuweni wakristo...🤔🤔🤔

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall61408 күн бұрын

    Kabisa limejaa Maovu yakila Aina.kanisani Kuna Muovu Shetani ndio kila Siku munatoana mapepo munapofanya uovu kumshirikiaha Mungu nakumtukana Mungu eti Mungu Anamtoto..waovu wakubwa ninyi wakiristo...Shetani nishetani namalaika nimalika Acheni kumpa Shetani Sofa yamalaika....

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    6 күн бұрын

    @@sulehassanshall6140 kwani neno katika Biblia linasemaje? Hakuna sehemu kwenye bible imeandikwa mtoto bali mwana. Sasa katika hilo soma huyo mwana anaaemwaje?

  • @harrietlutale922
    @harrietlutale92214 күн бұрын

    Ushindwe na ulaaniwe kwa kumtukana mtumishi. Utupwe kuzimu kwa jina la Yesu Kristo Mwokozi wetu.

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    9 күн бұрын

    @@harrietlutale922 hizo laana zako wala hazimpati kwasababu anaongea kweli.

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa83814 күн бұрын

    Yesu Ali kua Mkiristo?

  • @SIMULIZIZONE

    @SIMULIZIZONE

    14 күн бұрын

    @@hamidmussa838 Mkristo maana yake "mbarikiwa" sasa kama yesu hakuwa mbarikiwa basi itabidi utuambie nani mwingine ni mkristo zaidi ya Yesu

  • @oscarjohn477

    @oscarjohn477

    8 күн бұрын

    @@hamidmussa838 yesu ndo kristo mwenyew

  • @GwakisaMwaisanga-th7uz

    @GwakisaMwaisanga-th7uz

    4 күн бұрын

    Hakuwa mkristo ila yeye ndiye kristo bali sisi ndio wake yaan wa kristo

  • @user-eb9ni9sb3n
    @user-eb9ni9sb3n14 күн бұрын

    Kwahiyo wewe yesu anakujuwa?hcha kujihesabia.haji una lolote

  • @user-eb9ni9sb3n

    @user-eb9ni9sb3n

    14 күн бұрын

    Unajihesabia haki wewe nitakatifu mpaka uwakosowe wenzio wewe mwenye mwizi kama wezi wengine

  • @aquinomsigwa6998

    @aquinomsigwa6998

    12 күн бұрын

    ​@@user-eb9ni9sb3nfala ww

  • @user-eb9ni9sb3n
    @user-eb9ni9sb3n14 күн бұрын

    Towa upumbavu wewe mzee umeshazeeka kalale

  • @user-wb4xv7lf1h

    @user-wb4xv7lf1h

    12 күн бұрын

    Hekima ya Mungu ikusaidie kusema yanayofaa usirudie kutukana watumishi wa Mungu nakuonyaa

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    7 күн бұрын

    Upumbavu wake ni nini..? Na wewe acha Usenge

  • @Glorylt
    @Glorylt9 күн бұрын

    KWAHIYO HUYU HANANJA ANAJULIKANA NA YESU? NA KWA VIGEZO GANI HANANJA ATAMBULIKE KWA YESU WENGINE WASITAMBULIKE?

  • @GwakisaMwaisanga-th7uz

    @GwakisaMwaisanga-th7uz

    4 күн бұрын

    Bado hujaelewa ww

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke12 күн бұрын

    Abasomyi bombi bibukwa, ariko abatizera ubwibone na skewers, abantu bangahe imbere yabo Nibisubizo byabo, baravuze bati: Nibo bagenda kandi bihangane kurangara kwawe Ntabwo twigeze twumva ibi mubuzima bwa nyuma. Ibi ntakindi uretse guhimba. Ubutumwa bwoherejwe kuri twe kuva muri twe Nta gushidikanya ko nibuka Ibyo byabeshye. Imbere yabo ni abantu ba Nowa na Aad Farawo, umuntu ufite imigabane, na Thamud, hamwe na Loti, hamwe nabagenzi ba Maka. Aba ni ababuranyi burya Aqaba al -Masabar kubyo bavuga kandi wibuke abakozi bacu, ibi ni bimwe Ufite muddhur Ntutinye incamake ebyiri, turashaka ko tubikora, bityo nzaba muri twe hamwe n'ukuri Kuryoshya by'ibibi, twakugize umusimbura mu gihugu Abayobywa n'inzira y'Imana bafite umubabaro ukabije w'ibyo bibagiwe ku munsi w'ibaruramari Kubatizera, ndetse n'abatemera umuriro. , cyangwa tuzakora Abatekanye, bakore gukiranuka mugihugu mugihugu Ni iki usenga, kuko ari umurinzi Umwenda ukingiriza, baransubiza, nuko aratsinda