(B) 060 HABIB MAZINGE Vs MCHUNGAJI YAHYA | NANI KAMPA NABII MUHAMMAD UTUME (SOUTH AFRIKA 2014)

AKASHA DAAWAH CHANNEL

Пікірлер: 441

  • @abdallahmseven600
    @abdallahmseven6005 жыл бұрын

    Wewe mazinge Allah akujalie Wewe ulinifanya nikawa mwislamu hivi Sasa mimi ni mwislamu mgeni mashallah

  • @mbalahdejr4277

    @mbalahdejr4277

    5 жыл бұрын

    Alhamdulilah allah kakuongoza

  • @brothertamiim1930

    @brothertamiim1930

    5 жыл бұрын

    mash allh

  • @malikiakimwera9524

    @malikiakimwera9524

    5 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @martinibrahim8966

    @martinibrahim8966

    5 жыл бұрын

    Jacob polee ndugu yangu...kwa sababu umefanya maamuz pacpo kufanya uchunguz wa kiloho jacob maamuz nimabaya endapo utaamua bila kumshilikisha mungu mwenyewe...uliamua kimwili naco kiloho mungu akuhurumie...

  • @hajrakassim2945

    @hajrakassim2945

    5 жыл бұрын

    @@martinibrahim8966 mungu akuhurumie wewe usiejielewa

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe38265 жыл бұрын

    Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mzinge inshallah

  • @rukybaribari6883
    @rukybaribari68837 жыл бұрын

    Allah barik Mazinge mlinde na umtimie malaika 70 wamlinde kwa kila hila .amin

  • @abdallahmseven600

    @abdallahmseven600

    5 жыл бұрын

    Bro si malaika 70 nimeongeza elfu 70,000

  • @seifali5973
    @seifali59738 жыл бұрын

    sh.mazinge na wenzake wote katikaa daawah mungu awajaalie afya njema na janaatul firdauss kutoa mtu kwa giza kumleta kwa nuru yataka moyoo sanaa jazakallah kheir mashekhee

  • @aishahakizimana5868

    @aishahakizimana5868

    5 жыл бұрын

    seif ali , allahumma amiiiin

  • @korogwetanga810

    @korogwetanga810

    5 жыл бұрын

    Aamiin yarrab

  • @raymondngajagu66

    @raymondngajagu66

    5 жыл бұрын

    HKun MTU anayewapoteza watu kama mazinge badilika hakun ukweli wowote kwenye uisilamu labda majini

  • @raymondngajagu66

    @raymondngajagu66

    5 жыл бұрын

    Shetan amewapote waislamu

  • @babimwita4532

    @babimwita4532

    2 жыл бұрын

    Hiyo ndo nuru shauri yenu

  • @kinglionist1331
    @kinglionist13318 жыл бұрын

    Hii kazi ambayo mazinge ya fanya halipwi na mtu na ni kazi gumu sana tumuombe mwenyezi mungu amtie janatul fardoss

  • @AKASHA.P

    @AKASHA.P

    8 жыл бұрын

    +Kuku Bataa AMIIINA

  • @asutfaile2647

    @asutfaile2647

    8 жыл бұрын

    Allahuma ameen

  • @mrsdully1613

    @mrsdully1613

    7 жыл бұрын

    amin yaraab

  • @zaithazaitha820

    @zaithazaitha820

    7 жыл бұрын

    aaamin

  • @mumkmamy5186

    @mumkmamy5186

    6 жыл бұрын

    Aameen

  • @naimakhalfani8139
    @naimakhalfani81395 жыл бұрын

    Mashallah mazinge ALLAH akupe moyo uendelee kuwapa dawa makafiri waweze ingia dini ya HAKI IN SHA ALLAH

  • @magembesitta5657

    @magembesitta5657

    2 жыл бұрын

    Hamna dini ya mauzauza

  • @alfanomar242
    @alfanomar2427 жыл бұрын

    nafuraia sana zaid ya sana kusikia ukwel wa mambo najivunia kua muislam

  • @jumamfupi7223

    @jumamfupi7223

    6 жыл бұрын

    Arran

  • @jumamfupi7223

    @jumamfupi7223

    6 жыл бұрын

    at fan Omar

  • @khalfanhamisi4218

    @khalfanhamisi4218

    5 жыл бұрын

    Wslm alkum ' ndugu wslm? wkrsto wbshna bure,lkn dini n moja na ni ya khislm,Allah Akbar!!!......

  • @abdallahmseven600

    @abdallahmseven600

    5 жыл бұрын

    Wewe Kama Mimi uko juu tu san

  • @neemanitu7522
    @neemanitu75225 жыл бұрын

    Mashaallah, wakristo mmepotoka mnasema yesu ndo mungu wenu sasa mungu wenu kafa msalabani. Hivi sasa dunia imebaki na nani. Rudini ktk dini ya haki msijidanganye.

  • @rassanleezedon6861

    @rassanleezedon6861

    5 жыл бұрын

    Tahila wewe.. kafa kafufuka...mtume kafa mazima

  • @aivanimaedard6314

    @aivanimaedard6314

    5 жыл бұрын

    Neema Nitu Usihukumu mungu ndo Anajua ss wote niwake coz kila MTU na Imani Yake

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    5 жыл бұрын

    Neema Nitu JINA lako zuri waitwa Neema vp upo nje ya Neema ya Mungu, YESU aliye hai wamkana Leo, yeye atakaekuja kuwahukumu waliohai na wafu, tena hakuna mtu wa dini yeyote anaebisha kuhusu kurudi kwa YESU hata wahuni wanaosema atakuja kuoa hawasemi kwa sasa yupo wapi

  • @farouqisra6502
    @farouqisra65025 жыл бұрын

    May Allah protect you with your work until the day of judgement sheikh mazinge

  • @hijakhalifa845

    @hijakhalifa845

    5 жыл бұрын

    Farouq Isra mashalaah

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari5458 жыл бұрын

    mola akulipe kheir na akujalie pepo mazinge inshallah kwa kazi njema

  • @alhajiomary2294
    @alhajiomary22945 жыл бұрын

    Shekh mazinge unahoja konk maashaallah.

  • @nadyajuma4108
    @nadyajuma41087 жыл бұрын

    Mashallaah Allaah akuzidishie sana mazinge uzid kuutetea uislam Allaah azidi kukup afya na baraq tele inshallaah

  • @salmaathman1973
    @salmaathman19738 жыл бұрын

    mashaallah!!! sio mchezo shekh Mazinge uko juu!!! Allah akuhifadhi sana sana!. mabruk yako.

  • @jumannemashaka9439
    @jumannemashaka94395 жыл бұрын

    MashaAllah ndugu yetu mazinge katika imani kwakazi nzuri unayoifanya Allah Akujaliee kila lilo la Heri Akujaliee Afya njema na Akujaliee umri mrefu Aminaaa

  • @zawadally9097
    @zawadally90975 жыл бұрын

    Sh. Mazinge allah akuongezee umri mrefu innshaallah uzidi kuwaelimisha hao makafili

  • @jamilaallyally2411
    @jamilaallyally24117 жыл бұрын

    mashaallah shekh mazinge allah akuzidishie umri

  • @gideonimathew6491

    @gideonimathew6491

    7 жыл бұрын

    Yesu ni njia ndugu yangu

  • @fbhj443

    @fbhj443

    6 жыл бұрын

    Gideoni Mathew ni njia yakwwndea wapi?

  • @mumkmamy5186

    @mumkmamy5186

    6 жыл бұрын

    Aameen @ siz jamila

  • @hamidanasoro7634

    @hamidanasoro7634

    6 жыл бұрын

    Nas zaim

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba42318 жыл бұрын

    MashaAllah mazinge wape vitu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28085 жыл бұрын

    Mazinge nikiboko ww ninomaa sanaaa unajua

  • @jafarisintoo3743
    @jafarisintoo37435 жыл бұрын

    Allah akulipe sheikh wangu.

  • @fahadorkholam7376
    @fahadorkholam73765 жыл бұрын

    Allah awabashirie jannatul firdaus mashehe wapenzi

  • @mohdwasia7309
    @mohdwasia73095 жыл бұрын

    Naomb mung akuzidishie umr mref il upate kuwafundisha hao wanafunzi

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor35075 жыл бұрын

    dah shekh wetu Alla akulinde na mikafiri isio elewa

  • @munirayusra91
    @munirayusra917 жыл бұрын

    Ameen thumma Ameen

  • @ahmednoormohamuud7659

    @ahmednoormohamuud7659

    6 жыл бұрын

    Munira Yusra

  • @akareemtamimy35
    @akareemtamimy358 жыл бұрын

    mashallah tabaraka allah mola akupe umri mrefu ustadh mazinge kwa kutangaza dini ya haki hawakuezi

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela99482 жыл бұрын

    Yohana, utukufu wa Mungu uwe juu yako daima.

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail465 жыл бұрын

    mash Allah hadi raha mazinge utabaki kuwa juu, juu mawinguniii

  • @ndumbajr9037
    @ndumbajr90375 жыл бұрын

    Sheikh Suleiman Mazinge Allah akubariki sana ..uishi miaka mingi yenye Kheri na baraka tele ili uendelee kutoa dawa na kuwasilimisha makafiri... #proudbemuslim

  • @safielimjema4593

    @safielimjema4593

    Жыл бұрын

    Kwalipi?

  • @safielimjema4593

    @safielimjema4593

    Жыл бұрын

    Mbariki kwalipi

  • @halimamwachilimwachili5099
    @halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын

    Allah akubariki Sheikh Mazinge.

  • @innocentomar16
    @innocentomar168 жыл бұрын

    mazinge wape maneno yahaki

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela99482 жыл бұрын

    Yesu na Muhammad wapi na wapi! Muhammad hana sifa za utume.

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing17805 жыл бұрын

    Mazinge ana confidence anaijua biblia kuliko wenyewe

  • @lokeredavid9754
    @lokeredavid97542 жыл бұрын

    Yesu alisema chunganeni na mmtume wa uongo Mohammad

  • @salamamohd876

    @salamamohd876

    2 жыл бұрын

    No s ok pg

  • @mkomboziathumani4986
    @mkomboziathumani49868 жыл бұрын

    wakristo ni wacheza dance tu hawana dini

  • @abdallahmseven600

    @abdallahmseven600

    5 жыл бұрын

    Wewe kumbe unajua zaidi

  • @abdallahmseven600

    @abdallahmseven600

    5 жыл бұрын

    Uko saw bro

  • @rassanleezedon6861

    @rassanleezedon6861

    5 жыл бұрын

    Kapime ufahamu wako milembe

  • @frankjohn8570

    @frankjohn8570

    5 жыл бұрын

    Mkombozi Athumani mtu hajulikani kabisa kwenye kundi la mitume na manabii ambao Mungu aliwatuma kwaajili ya wana waisrael sasa vipi atajwe ana fungu gani katika israel

  • @ahmedbaga26
    @ahmedbaga265 жыл бұрын

    Kweli wakriso hawana dini

  • @getrudealnos4165

    @getrudealnos4165

    5 жыл бұрын

    Wawana din kwa maneno ya mazinge, nakuonea huruma

  • @fatmahassan6497

    @fatmahassan6497

    5 жыл бұрын

    Dini pekee ni uislam

  • @nintunzeloic9990

    @nintunzeloic9990

    5 жыл бұрын

    Bastard

  • @magembesitta5657

    @magembesitta5657

    2 жыл бұрын

    Yesu ni Mungu cio kuabudu mitume iliyorogwa

  • @achivanejaphary2534
    @achivanejaphary25348 жыл бұрын

    hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri Achivanejaphary

  • @mohammedabdinur6236
    @mohammedabdinur62362 жыл бұрын

    Sheakh Mazinge mungu akulinde kwa Maisha yako

  • @fatamiqw1298
    @fatamiqw12988 жыл бұрын

    hawa wamepoteya njiya allah atawaongoza inshaallah

  • @pierremira
    @pierremira7 жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe amen kwanza ninaomba katika jina la yesu nakomba yesu umwage damu Yako kwa watu wote duniani iliwaweze kufunuliwa macho yao fahamu zao waweze kuona,kusikia wafunguliwe katika vifuniko vyote vya shetani na majini yote yaliyo katika vitengo mbalimbali vyakuwapotosha binadamu ili wasijue ukweli ulioyo kweli naamini haya katika jina la yesu kristo amina swali langu kwa waislam wote mtueleze wapi huyo Muhammad anaye jiita mtume WA mwisho yaani masiha swali langu Sasa kama yeye ni masiha wapi alifanya Mambo yaliyotabiliwa kufanywa na masiha yaani kuponya, wapi aliponya, wapi alifufua kama ilivyo tabiliwa masiha ? wapi nataka jibu

  • @shaaallyi1702

    @shaaallyi1702

    5 жыл бұрын

    pierremira seng

  • @ahmedwako7732

    @ahmedwako7732

    5 жыл бұрын

    Wacha hizo soma maandiko mjomba

  • @selemanishabani6843

    @selemanishabani6843

    5 жыл бұрын

    Utakuwa lini na utajitambua lin?

  • @masoudmasoud5819

    @masoudmasoud5819

    5 жыл бұрын

    Masiha sio Muhammad masiha atakuja karibu ya dunia kuisha

  • @morrisevarist6706
    @morrisevarist67062 жыл бұрын

    Waislam wote naomba muache mbwembwe zenu za majini,HEBU soma Biblia 1Yohana 5:18-21 amen.

  • @harbisulub
    @harbisulub8 жыл бұрын

    jazaka llah khair kwa hizi video baraka Allah feek, iko part C?

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul42755 жыл бұрын

    Mungu akuweke shekhe wetu

  • @soccertv293
    @soccertv2938 жыл бұрын

    mazinge juu

  • @mkiwezeshwamnaweza362

    @mkiwezeshwamnaweza362

    5 жыл бұрын

    wewe bwana Yahya unalazimisha neno kuchaguliwa kiukweli hujui kiswahili

  • @brothertamiim1930

    @brothertamiim1930

    5 жыл бұрын

    mazinge oyee

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa76646 жыл бұрын

    Hongera ustadh Mazinnge Allah akuzidishie umri upate elimisha makafiri Aamin

  • @aivanimaedard6314
    @aivanimaedard63145 жыл бұрын

    Hakuna mwenye kutoa haki bari mwenyezi mungu tu Alie mbinguni

  • @abdiqaanurow5924
    @abdiqaanurow59247 ай бұрын

    Allah atakulipa InshaAllah sh. Maxinge

  • @davisrotich116
    @davisrotich1165 жыл бұрын

    Mazinge umekula kibano mpaka kijasho chakutoka pole sana njoo kwa Yesu ubatizwe wachana na mtume wa uongo

  • @fatmahamad2156

    @fatmahamad2156

    5 жыл бұрын

    Km ni muongo ,subiria hapo siku utakayotolew roho ndo utajua km ni muongo au mkweli

  • @fbhj443
    @fbhj4436 жыл бұрын

    AllaH akupe afya Sheikh wetu wallah kuelimisha kafiri ni kazi kubwa

  • @humairahtomicky2454
    @humairahtomicky24545 жыл бұрын

    yn mazinge amekaa kibabe😂😂😂

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph10742 жыл бұрын

    ILA 😂😂😂😂 Mazinge Kwa kuzuga sasa hapo alikua anajifutafuta nini kwenye domo lake😂😂😂 zee zima akili halina

  • @amosmalakyese1227
    @amosmalakyese12275 жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Baba. Mungu akuwezeshe kuisema kweli. Kweli humweka MTU kua huruuuuu

  • @korentinisilayo8125
    @korentinisilayo81252 жыл бұрын

    Mtume wa mungu kalogwa na binadamu hiii kali sana ikiwa ndio hivyo basi musa angelogwa na wachawi wa misri

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph10742 жыл бұрын

    Kweli waislam Hamna hoja mpaka mwalim wenu anaulizia muda ya point zimeisha mpaka kila time anaulizia muda

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye51278 жыл бұрын

    Masha allah

  • @igiraneza4
    @igiraneza47 жыл бұрын

    itakuwaje waislaam wakifundisha kuwa mwanaume akiamini maandiko peke yake itakuwa ngazi pia yakuwapeleka wake zao peponi! wakati tunajuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake mwenyewe, hayo yakwenda peponi na wake je na kama mke hatokuwa ametii amri za Mungu? atalazimishwa kumfuata mume aliyo tii peponi. !!!!

  • @ndungojr1425

    @ndungojr1425

    5 жыл бұрын

    Rosi Mbonankira

  • @rozinahamisi84
    @rozinahamisi845 жыл бұрын

    Alhamdulillah nimeingia kwa dini ya haki nikatoka uko kwa wakristo

  • @mrsdully1613
    @mrsdully16137 жыл бұрын

    kweli kabisa hapa ni kazi ngumu sana sheikh mazinge mungu akubarik na akulinde na mahasid wote hao utabishananaooo mpaka nahawatokubal mung atakuwezesha kwakila jambo insgaAllah

  • @pierremira

    @pierremira

    7 жыл бұрын

    mwisho WA manabii maanayake no masiha kwa huyo Mohammed masiha?????? masiha ktk Hadith alivyooa aliruhusiwa pekee kuoa hao wanawake peke take mungu awafungue macho shetani,jini wote mapepo ujuzi wote elimu zote majini nikweli majini yana uhamu elimu nyingi na kunavitabu vingi vya elimu hizo

  • @pierremira

    @pierremira

    7 жыл бұрын

    ndugu zangu mungu alisema nitafute kama kweli unataka ukweli sali kutoka ktk Moto wako muulize atakujibu utajua ukweli mungu tu ndiye atakujibu mtume hawezi kukujibu ala hawezi kukujibu NG'o kwanini jubu unalo ala ni shetani ametengeza Dini aabudiwe kama mungu

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa58786 жыл бұрын

    Allah akupe nguvu sheikh mazinge na akujaalie kila la kheri ktk safari ya kuutangaza na kuunyanyua uislamu

  • @msellemabdallah8806

    @msellemabdallah8806

    5 жыл бұрын

    Allah bariki KAZI zamazinge namwisho mpe popo ya firdaus

  • @salmamambo8820
    @salmamambo88207 жыл бұрын

    tatizo.wakiristo. wanadanganywaa.tuuu wao.hawana kubishaa kila kitu Kwao nindiyo huyo pasta anabadilisha mamboo tu wao wanafurahiya tu nishida manzinge Allah akuongonzee Maisha marefu kwauwenzoo wake waerimishe wafahamu

  • @dancewithlils
    @dancewithlils Жыл бұрын

    May Allah protect you shekh Mazinge

  • @jaffarhadji7580
    @jaffarhadji75808 жыл бұрын

    mazinge kiboko yao

  • @tumaininestory7998

    @tumaininestory7998

    6 жыл бұрын

    si kweli

  • @abdallahmseven600

    @abdallahmseven600

    5 жыл бұрын

    Wewe mwanaume kamili

  • @noelmlaponi3405

    @noelmlaponi3405

    5 жыл бұрын

    Kwan mohamad mtu me?

  • @reubenngonyo1308
    @reubenngonyo13082 жыл бұрын

    I'm proud to be a Christian

  • @zawadisembeguli3435
    @zawadisembeguli34355 жыл бұрын

    Am proud to be chiristianity thanks Lord 😘😘😘

  • @111dudi

    @111dudi

    2 жыл бұрын

    Nenda kwa Mfalme Zumaridi mungu mpya wa wakristo

  • @khayriyamussa5680
    @khayriyamussa56805 жыл бұрын

    Mhh babu tafaaa waislam duniani hatumfati Yesu usidanganye watu.. sisi tunamfata Allah naMuhammad mjumbe wake kwa mafundisho sahihi ya Qur-An... yesu ni Nabii Issa..ambaye si Mungu wala Simwana WaMungu..

  • @thuebamohammedswaleh6897
    @thuebamohammedswaleh68978 жыл бұрын

    +Akasha mbona mumeikata jamani ama hapo ndio mwisho????? Mazinge na wahadhir wote wanaoipeleka mbele daawah sisi hatuna lakuwalipa ila kuwaomboa kwake Allah tabaraka wata'aala kuwapa nguvu na afya njema kila siku muendelee kuipigania dini yake kwani iyo ndio biashara bora mbele zake Allah azzah wajala..........Allah awakinge na husda,,,,maovu na yale yote ambayo makafiri wanakutendeeni........awajaalieni na aajalie waislamu wote shahada mbele ya mauti...raha ndani ya qabri atukinge na shari za dunia na za kaburi na atukinge na adhabu za moto na atujaalie pepo yake firdhaus kuwa makaazi yetu AMIYN THUMA AMIYN

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani49936 жыл бұрын

    mungu akuweke mazinge inshaalwa

  • @salehlofy4251
    @salehlofy42517 жыл бұрын

    Wakristo hawana hoja wala Mungu, Mungu wao ni mzungu na wakati hata mtume mmoja hakuna aliekua mzungu vp watakua na dini jaman acheni mchezo kuna kufa na kufufuliwa na kulipwa

  • @mesaidtsozi8797
    @mesaidtsozi87978 жыл бұрын

    Mazinge juu.

  • @mwantumuhamad8013

    @mwantumuhamad8013

    6 жыл бұрын

    y

  • @hamidaabdalla679

    @hamidaabdalla679

    5 жыл бұрын

    Mesaid Tsozi

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    5 жыл бұрын

    Juu zaidi

  • @thuebamohammedswaleh6897
    @thuebamohammedswaleh68978 жыл бұрын

    section c iko wapi jamani nakosa mauthamu

  • @gracecypiliani3520
    @gracecypiliani35206 жыл бұрын

    Yaani nyie munasumbuliwa namapepo ya uzinzi bibilia ilasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa wote tutabadilishwa na kufanana na Yesu atakapo dhihilishwa kwanza mute alikuwa mzinzi aliowa idadi yawanawake zaidi ya idadi mulio amuliwa nahayo mapepo yenu ety ni mungu wenu

  • @yusuphmanyata4541
    @yusuphmanyata45415 жыл бұрын

    Alahu akbaru ewe mungu mlinde ndugu mazinge kwakuwafahamisha hao makafir

  • @ibrahimabdul5490
    @ibrahimabdul54908 жыл бұрын

    Inatakiwa Shekhe atembeze na fimbo. Mana watu wanajibiwa swali ekesha wanarejea hilohilo. Ekesha kitu kingine nilichokipima mm hawa Mapastor ukosefu wa kutokujuwa kiswahili fasagha. Mana hawajui maana ya kuchaguliwa wala kutumwa. Au kama wanafahamu basi itakuwa wanataka watu wawaone kama wasomi na majibu wanayojibiwa sio sahihi. Au hawakubali kushindwa na kama hawakubali kushindwa,unaambiwa siku zote asiekubali kushindwa sio mshindani.! Au kama vp kaeni hivohivo na ukafiri wenu ipo siku ndo mtamjua M/mungu ni nani.? Mana siku zote unaambiwa kuku wako mwenyewe umshikie manati yanini. Wee muache aruke rukee jioni akiingia bandani tu unamkamata. Ndo M/mungu nyinyi anakufanyeni kama kuku tu ipo siku mkifika mbele yake ndo mtamjua kama Mungu ni nani..?

  • @saidatsuluo4365

    @saidatsuluo4365

    8 жыл бұрын

    Vzztzzzu

  • @AlamriFofo

    @AlamriFofo

    7 жыл бұрын

    hahahah fimboooo tena

  • @princerammy1543

    @princerammy1543

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma9055 жыл бұрын

    Huwez kumjua Mungu wa kweli kwa style hiyo. Sidhan kama mnajua mnachokifanya. Huwez kumjua Mungu kusoma vitabu vya dini pekee. Ni lazima uende zaid ya hapo. Maana hata waliondika hayo maandiko nao hawajajua kila kitu kuhusu Mungu. Huwez kuujua ukweli kwa kubishana hivyo.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper52357 жыл бұрын

    Mchungaji Yahay kwanza ni Genius akienda kwenye maiki haendi na vikaratasi Korani yote imo kichwani na hoja zake ni za maandiko Big up sana mchungaji uislam haueleweki

  • @selemankibago4341

    @selemankibago4341

    7 жыл бұрын

    USIMSIFIE MTU AANZA KWANZA WEWE MWENYEWE HUJUI MOYONI MWAKE ANAMUAMINI NANI!!!

  • @moviesandinfotv9933

    @moviesandinfotv9933

    5 жыл бұрын

    Pole Sana hujielew ww

  • @aishahakizimana5868

    @aishahakizimana5868

    5 жыл бұрын

    Hakuna kafiri anaeweza kuhifadhi kitabu kitukufu coran, hamjielewi nyie 🤣🤣🤣😂😂😂😂

  • @yusuphally4204

    @yusuphally4204

    5 жыл бұрын

    ww kwel ni tahira hauon huyo mchungaji ana karatasi hapo unatia huruma kweli

  • @111dudi
    @111dudi2 жыл бұрын

    Huyu Yohana muongo sana na mpindisha aya,Mtume alirogwa mara moja sio katika maisha yake yote tangu azaliwe. Huyu bwege sana.mazinge Mungu akulinde na akupe maisha marefu.

  • @gregolyhaule6928

    @gregolyhaule6928

    2 жыл бұрын

    acha matusi basi

  • @111dudi

    @111dudi

    2 жыл бұрын

    @@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya hadhara kwa nia ya kupotisha waumini kwa kutumia uongo anastahili zaidi ya hiyo

  • @111dudi

    @111dudi

    2 жыл бұрын

    @@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya watu anasema uongo au kumkadhibisha mtu mkweli, anastahili nini?

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo3897 жыл бұрын

    tunachotafuta ni kwenda kwa mungu ila kwa mafundisho ya wakristo ukifatiria hakuna kitu mala yesu mungu mala sasa mungu anakufa

  • @bernardchesoli4322
    @bernardchesoli4322 Жыл бұрын

    Wachungaji Mungu awalinde huu mjadala mazinge kashindwa kumtetea Mohamed.

  • @mesaidtsozi8797
    @mesaidtsozi87978 жыл бұрын

    hapo chacha...ongea yanakuusu achana na doctor Sulle wewe. acha kurukaruka.

  • @evalineakuku590
    @evalineakuku5905 жыл бұрын

    yesu ndiye mulango wa uzima si muhamed muhamed baba wa kuzimu

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole40005 жыл бұрын

    Mwalimu Yohana ukafiri umekutawala.Mungu akuongoze akupe nuru ya uislamu, hakika uko katika upotovu.

  • @magembesitta5657

    @magembesitta5657

    2 жыл бұрын

    Kwenye uisilamu hakuna nuru ni upotofuu

  • @deone728
    @deone7287 жыл бұрын

    Barikiwa Mchungaji

  • @achivanejaphary2534
    @achivanejaphary25348 жыл бұрын

    hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri

  • @mokhaking2734
    @mokhaking27347 жыл бұрын

    mazinge kiboko yao kama kawaida.

  • @fatumabura1998

    @fatumabura1998

    5 жыл бұрын

    Mazinge ww kiboko

  • @zainabuhamisi2176
    @zainabuhamisi21766 жыл бұрын

    Hasbunallah waneemalwakili

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын

    Mashaallah tabaraka llahu

  • @fghvghggh3296
    @fghvghggh32966 жыл бұрын

    mwaisilamu hoyeee jamani wakristo ebu musilimu ili muingie peponi

  • @othmanabdallah1948
    @othmanabdallah19487 жыл бұрын

    aaamin thuma amini

  • @asrymohd6690
    @asrymohd66905 жыл бұрын

    Mashaallaaah UST mazinge

  • @sumalago864
    @sumalago8648 жыл бұрын

    ..wakristo hawawezi kitu...hawamfuati YESU watamfuata MUHAMMAD..?...wanapelekwapelekwa tu...

  • @evalineakuku590

    @evalineakuku590

    5 жыл бұрын

    Suma Lago hakuna mkristo atamufuata muhamedi

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    5 жыл бұрын

    Ukilisto ni upotevu

  • @mhogomchungu7168

    @mhogomchungu7168

    5 жыл бұрын

    @@evalineakuku590 hata Mazinge alikua mkiristo tena Mwenye cheo kikubwa amemfuata Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake. Sasa rudia uliyoyandika uone kama yanaingia akilini

  • @aishaswalleh7621
    @aishaswalleh76217 жыл бұрын

    Ameen ya rab

  • @enockkibona7522
    @enockkibona75222 жыл бұрын

    Mchaji Mungu hawezi logwa

  • @111dudi
    @111dudi5 жыл бұрын

    Yahaya kaishiwa hoja tena kaaibika kwa uongo wake, lakini hasikii. Mazinge kaonyesha ustaarabu sana katika malumbano , ilihali Yahaya alianza na matusi.

  • @albassamjjamali9286
    @albassamjjamali92865 жыл бұрын

    aaa bora ushindane na wote si mazingee mazinge anaelimu

  • @abdallahmseven600

    @abdallahmseven600

    5 жыл бұрын

    Kweli anayo zaidi ya wakristo wote

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman71596 жыл бұрын

    muedelezo jamani hulipo hishia patamu zahidi watahelewa tuu makafiri mungu awaogoze

  • @kingnotorious6178
    @kingnotorious61785 жыл бұрын

    Subhanallah mpaka nimelia kwa furaha

  • @magembesitta5657
    @magembesitta56572 жыл бұрын

    Nany mtaijua kwel nanyi itawaweka huruuuu

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
    @kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын

    Wanajifanya hawaelewi , wanaelewa vipi Mwenyezi Mungu amtume malaika wake Jibril kwake kwa mpango gani yaan Jibril atumwe kwake? wanaelewa

  • @kwizerazainabu3804
    @kwizerazainabu38045 жыл бұрын

    Enyi wachungaji Allah awasame na kwakutukana wa islam kwamba niwachawi

  • @maulidabdallah8384
    @maulidabdallah83846 жыл бұрын

    Nakubali Sana mazinge

  • @BernardLegembo1
    @BernardLegembo15 жыл бұрын

    Nani ameruhusu wenye uelewa mdogo kujadili mambo makubwa. Mifano ya kitoto oooooo . wanaongea kihuni iiiiiiii

  • @mohamedkisoma3492
    @mohamedkisoma34925 жыл бұрын

    mashallah mazinge