Ustadh Mazinge Amchakaza Mchungaji South Africa-Utume wa Mtumie Muhammad (s.a.w)

usisahau ku subscribe channel hii

Пікірлер: 13

  • @user-jo9fb7df5z
    @user-jo9fb7df5zАй бұрын

    Shekhe mazinge allah akupe pepo ya juu kabisaa hakika unakazi nzito

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul8192 ай бұрын

    Prof. Habib Othman Mazinge .. Allah amuhifadhi Kazi kubwa ameifanya alhamdulillaah 🎉❤

  • @hassanadam3007
    @hassanadam30072 ай бұрын

    Masha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allah akuzidishie

  • @ImanSaid-ox3po
    @ImanSaid-ox3poАй бұрын

    M/Mungu amlete mrithi wa Mazinge asije akafa na elimu yake

  • @user-ct7zd6he2j

    @user-ct7zd6he2j

    Ай бұрын

    Kinyogoli yupo

  • @FatumaFatu-ok9kt
    @FatumaFatu-ok9ktАй бұрын

    Allah amjalie umri sheikh mazinge jamani

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa2 ай бұрын

    Allah akubariki ustaz wetu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын

    Allahu akbaru yaaaah allah rabiii zidniiii yaaaaah kariiim wewe ndie muweza

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 ай бұрын

    makafiri ni wapingaji wa mitume wote hawawaamini mitume na vitabu na Mungu mwenyewe wapo tuu

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8elАй бұрын

    Sura al imran: 19 Hakika dini ya pekee mbele ya allah ni uislamu. Na wala hawakuikataa waliopewa kitabu (wakristo na mayahudi - biblia na taurati) ila baada ya kuujua ukweli (quran) kwa chuki baina yao. Na kwa atakepinga aya za allah (quran) basi allah hukumu yake ni kwao ni ya haraka sana (kwani wataingizwa motoni bila kuhesabiwa matendo yao kwa kukataa kwao) Sura al imran:144 Na hakuwa muhammad ila ni mtume, na walitangulia kabla yake mitume wengine

  • @mariamhassan8152

    @mariamhassan8152

    Ай бұрын

    Allah akubariki sana Sheikh Mazinge, Jazzak Allah Khair Insha Allah ❤

Келесі