makafiri ni wapingaji wa mitume wote hawawaamini mitume na vitabu na Mungu mwenyewe wapo tuu
@BushDoctor-dw8elАй бұрын
Sura al imran: 19 Hakika dini ya pekee mbele ya allah ni uislamu. Na wala hawakuikataa waliopewa kitabu (wakristo na mayahudi - biblia na taurati) ila baada ya kuujua ukweli (quran) kwa chuki baina yao. Na kwa atakepinga aya za allah (quran) basi allah hukumu yake ni kwao ni ya haraka sana (kwani wataingizwa motoni bila kuhesabiwa matendo yao kwa kukataa kwao) Sura al imran:144 Na hakuwa muhammad ila ni mtume, na walitangulia kabla yake mitume wengine
@mariamhassan8152
Ай бұрын
Allah akubariki sana Sheikh Mazinge, Jazzak Allah Khair Insha Allah ❤
Пікірлер: 13
Shekhe mazinge allah akupe pepo ya juu kabisaa hakika unakazi nzito
Prof. Habib Othman Mazinge .. Allah amuhifadhi Kazi kubwa ameifanya alhamdulillaah 🎉❤
Masha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Allah akuzidishie
M/Mungu amlete mrithi wa Mazinge asije akafa na elimu yake
@user-ct7zd6he2j
Ай бұрын
Kinyogoli yupo
Allah amjalie umri sheikh mazinge jamani
Allah akubariki ustaz wetu
Allahu akbaru yaaaah allah rabiii zidniiii yaaaaah kariiim wewe ndie muweza
makafiri ni wapingaji wa mitume wote hawawaamini mitume na vitabu na Mungu mwenyewe wapo tuu
Sura al imran: 19 Hakika dini ya pekee mbele ya allah ni uislamu. Na wala hawakuikataa waliopewa kitabu (wakristo na mayahudi - biblia na taurati) ila baada ya kuujua ukweli (quran) kwa chuki baina yao. Na kwa atakepinga aya za allah (quran) basi allah hukumu yake ni kwao ni ya haraka sana (kwani wataingizwa motoni bila kuhesabiwa matendo yao kwa kukataa kwao) Sura al imran:144 Na hakuwa muhammad ila ni mtume, na walitangulia kabla yake mitume wengine
@mariamhassan8152
Ай бұрын
Allah akubariki sana Sheikh Mazinge, Jazzak Allah Khair Insha Allah ❤