Ustadh Shafii Online Tv

Ustadh Shafii Online Tv

Karibu Katika Chanel Maalum kwaajili ya Maudhui ya Dini ya Kiislam Kama Vile Mihadhara, Mawaidha, Maulidu, Quran Tukufu, Qaswida, Darsa NK. Usisahau KU Subscriber Chanel hii Ili usipitwe kila tunapoweka Video Mpya.

Пікірлер

  • @aminanekesa3718
    @aminanekesa3718Сағат бұрын

    Babaangu Allah Akupee umri mrefu uzidi kuadhalilisha wa christ Allahuma Amiiin

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727Сағат бұрын

    jamaa anajua sana huyu: hapigi kelele

  • @ahmedmpimbi9684
    @ahmedmpimbi96845 сағат бұрын

    Dah wallah pepo inatafutwa na kuna wanaume biidhnillah watapata pepo, Mwenyezi Mungu awape pepo

  • @siwaletv4185
    @siwaletv41855 сағат бұрын

    Hivi hii ni kabla ya ule mkasa uliowakuta ndugu zangu ama ni baada

  • @user-in8hr4cv5y
    @user-in8hr4cv5y10 сағат бұрын

    Wewe ndie shehe wetu mungu akulinde namabaya yote

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i10 сағат бұрын

    Shafii apo kwa raisi mwinyi hebu tuache kidogo we tupe daawa tu bana

  • @MombaMapira
    @MombaMapira10 сағат бұрын

    Pole sana uku kwetu siyo kuzuli

  • @ziadayasin711
    @ziadayasin71111 сағат бұрын

    Mashaallah❤nashaallah❤ Allah awaizazi woto mashehe zetu mimi nafurahi kuzaliw uwisikamu shukurani Allah ❤

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi737711 сағат бұрын

    Umesikia ww shafii huwex kurlewa nini kimachoendelea Sera ya Ughaidi imeletwa na marekani kwa Lengo tu la kuuumiza Uislamu! *İslam tourturing* Mliteswa koz mlikuwa waislamu ! Nchi ya TZ ni imekaa kilristo mifumo yake kila kitu !

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf189412 сағат бұрын

    Mada mzuri sana lakini spika siyo safi

  • @swalehfarid5466
    @swalehfarid546612 сағат бұрын

    SIMBA WA ALLAH.TUNAKUOMBEA SANA ALLAH AKUPE UMRI WA KHERI NA AKUTAKABALIYE UNAYOYAFANYA NA AKURUZUKI JANNATUL FIRDAUS

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn12 сағат бұрын

    POLE SANA ILA USISAHAU KUWAOMBEA DUA WAZAZI WAKO KWA WINGI SANA

  • @RahmaMfaume-sp2oj
    @RahmaMfaume-sp2oj12 сағат бұрын

    Pole USTADHI wangu

  • @user-sf7lp1fs7d
    @user-sf7lp1fs7d12 сағат бұрын

    Waalaikum salaam warahmatullah

  • @mwinyiswaleh8388
    @mwinyiswaleh838813 сағат бұрын

    Harmonaz ni mjinga.alitaka sifa kwa wanawake alidhani akisemahivyo wanawake watampenda.

  • @ntakirutimanavicent-lj2tn
    @ntakirutimanavicent-lj2tn16 сағат бұрын

    Hapo kwenye jihad umesema uongo Eti mtuma hajawahi kupiga mushiliki mpaka mushiliki aaze kupiga wa Islam?? Uongo kwani maswahaba wamefikaaje Africa?? Mushiliki WA Africa alienda uwarabuni kuapigavita ndio maswahaba wakawarudishia mpaka Africa?? Acha uongo ungesema mtume hajawahi kufanya muhadhala nawa kristo

  • @saidijumahussein533
    @saidijumahussein53310 сағат бұрын

    We kafiri huo ukristo wako huujui utaujua uislam, hata kuchamba hujui.

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota10 сағат бұрын

    Yuko sahih qurian inasema usipigane mpaka wawachokozen kwa hiyo yuko sahih

  • @ahmedmpimbi9684
    @ahmedmpimbi96845 сағат бұрын

    Kwa hyo ww unajua uislamu kuliko huyu mwalimu anaekueleza?.

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary741016 сағат бұрын

    Innalillah wainna ilaihy raajioon jamani natuitetee kuran yetu kwa maana bila kuran hakuna maisha ya starehe kabisa NDANI ya MOYO wa MWANAADAMU.

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary741016 сағат бұрын

    Asalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh. ALLAH Atusitiri na hawa watu wanaoibadilisha kuran. Inabidi tuwe macho zaidi kuran isichafuliwe.

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin687817 сағат бұрын

    Kuja Kwa ndacha kudume chako

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani133717 сағат бұрын

    Allah awabariki sheikhe Mazinge

  • @BaruMasimango-zo2se
    @BaruMasimango-zo2se19 сағат бұрын

    Pôle sh

  • @FIDELBALUMEJOSEPH
    @FIDELBALUMEJOSEPH20 сағат бұрын

    nimeamua mwenye kumufuata yesu, mazinge baki na dini yako,

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa913120 сағат бұрын

    Wallah mashaallah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba132220 сағат бұрын

    Kuna mapoint mengi umeyaongea nimeyashika sana allah akujaze kheri sana

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba132220 сағат бұрын

    MaashaaAllah sub-haanallah historia yako nzito Mwenyezi Mungu akujaalie kila la kheri inshaallah Amiin🙏

  • @Dearm-ome2in1huba
    @Dearm-ome2in1huba22 сағат бұрын

    Shekhe shafi nampenda kwa ukweli wake. Huwapa watu daraja zao kwa wanavo stahili nihizo dara kama anavosema kuhusu sule

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi99649 сағат бұрын

    Wew Allah amekuonesha kile nilchokuona wew

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi99649 сағат бұрын

    Nilchokiona mm

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi99649 сағат бұрын

    Nilchokiona mm

  • @HanifahYusuf-x1l
    @HanifahYusuf-x1l22 сағат бұрын

    Mashaallah allahumma baarik fiih❤❤

  • @HanifahYusuf-x1l
    @HanifahYusuf-x1l22 сағат бұрын

    Mashaalla allahumma baarik fiih❤❤❤

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b23 сағат бұрын

    Allah anakupenda sana na ndo maana anakulinda kwa Kila madhoruba lengo tu niuzidi kutulingania, Allah akujaalie umri mrefu na usije ukabadilika,

  • @ustadhshafiionlinetv
    @ustadhshafiionlinetv23 сағат бұрын

    Allahuma Amiin

  • @musayosia4081
    @musayosia408118 сағат бұрын

    Amiina 🙏

  • @mwinyiswaleh8388
    @mwinyiswaleh8388Күн бұрын

    Wachristo someni wacheni ushabiki.

  • @mwinyiswaleh8388
    @mwinyiswaleh8388Күн бұрын

    Paulo mtume wanani wewe.alipewa kitabu gani.

  • @mbalilax162
    @mbalilax162Күн бұрын

    mazinge wewe kweli elimu huna hata kidogo,,,,wewe kitanda chako hakina sehemu ya kichwa na sehemu ya miguu? unajua design ya makaburi ya wayahuni wa zama hizo wewe? sasa mariamu amesimama upande wa kichwa wa sehemu ya kulaza maiti analia kuwa hamna mwili, wewe unamlazimishia kuwa mwili upo UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE😂😂😂😂. kweli hii dini ya kishirikina imekosa point za kushindana na Ukristo mmebaki kuokoteza okoteza maskini😂

  • @mbalilax162
    @mbalilax162Күн бұрын

    kumbe uprofesa wako ni mchwara....unalazimishia hivyo😂😂!!!

  • @AGM19697
    @AGM1969712 сағат бұрын

    Kakimbia Dar upako wa Mwamposa ungemraruau😂

  • @allyway999
    @allyway999Күн бұрын

    Story hii inaitaji full bwana shekhe wangu umeifanya kwa ufupi sana

  • @aziziabdulrahman3914
    @aziziabdulrahman3914Күн бұрын

    Dunia haijui kutafuta watu katika watu mashughul walio pita kujiua biblia yahaya Hosea ni kiboko ya wote kwenye kujiua biblia

  • @bakariomari9778
    @bakariomari9778Күн бұрын

    Alhamdulillah ustadh nimepata kusoma kwako shukran

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mwКүн бұрын

    Mashaallah Mashaallah

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga2613Күн бұрын

    Nakukubali mwamba wa hoja

  • @rajabuchumbi6098
    @rajabuchumbi6098Күн бұрын

    Namkubali sana shekhe shafi mungu akuzidishie

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9dКүн бұрын

    Asalam alaykum 🙏

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9dКүн бұрын

    Asalam alaykum 🤲🤲🙏

  • @ustadhshafiionlinetv
    @ustadhshafiionlinetvКүн бұрын

    Walykum salm warahmatullahi wabarakatuh

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265Күн бұрын

    Kwenu Mafia ipi?

  • @musayosia4081
    @musayosia4081Күн бұрын

    Subhaanallaah dah mungu akujaalie kheri nyingi sheikh shafi history yako inasikitisha sana.

  • @user-sf7lp1fs7d
    @user-sf7lp1fs7dКүн бұрын

    Mashallah shekh shafy

  • @fredosanya9604
    @fredosanya9604Күн бұрын

    MASHAALLAH mzindue huyo hajui chochote...

  • @user13375
    @user13375Күн бұрын

    Majini walislim hii inaniogopesha😮😮😮😮

  • @JohnReonald-up8zr
    @JohnReonald-up8zrКүн бұрын

    Shafii ndy anapotosha ataki kusema ukweli maandiko yanavyosema ,, mtume anasema kwama, hakika royo yake imikononi mwake atakuja kuhukumu , eleweni bac musiwe mnabisha2 Kila kitu someni pameandikwa vipi

  • @user-xt6dv9mg4z
    @user-xt6dv9mg4zКүн бұрын

    Alisilimu tu mume nipo

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay22082 күн бұрын

    Yani huyu mazinge anakutana na wasiojua maandiko alafu anatumia maandiko nusu nusu yaaani natamani nifanye naye mdahalo anaokoka siku hiyo hiyo

  • @mbalilax162
    @mbalilax162Күн бұрын

    umeona eeh...yani ni hana ufahamu hata kidogo, analazimishia vitu ambavyo hata havipo ata aibu haoni!!

  • @Josephmwamafupa-ry3zh
    @Josephmwamafupa-ry3zh2 күн бұрын

    Mazinge profesa wa Uongo sana!Mbona anaruka ruka maandiko!!!!!!!!!

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d2 күн бұрын

    Asalam alaykum ❤❤🙏🙏🙏🤲