Karibu Katika Chanel Maalum kwaajili ya Maudhui ya Dini ya Kiislam Kama Vile Mihadhara, Mawaidha, Maulidu, Quran Tukufu, Qaswida, Darsa NK. Usisahau KU Subscriber Chanel hii Ili usipitwe kila tunapoweka Video Mpya.
Babaangu Allah Akupee umri mrefu uzidi kuadhalilisha wa christ Allahuma Amiiin
@saidrakwe8727Сағат бұрын
jamaa anajua sana huyu: hapigi kelele
@ahmedmpimbi96845 сағат бұрын
Dah wallah pepo inatafutwa na kuna wanaume biidhnillah watapata pepo, Mwenyezi Mungu awape pepo
@siwaletv41855 сағат бұрын
Hivi hii ni kabla ya ule mkasa uliowakuta ndugu zangu ama ni baada
@user-in8hr4cv5y10 сағат бұрын
Wewe ndie shehe wetu mungu akulinde namabaya yote
@user-ip4ie7pt6i10 сағат бұрын
Shafii apo kwa raisi mwinyi hebu tuache kidogo we tupe daawa tu bana
@MombaMapira10 сағат бұрын
Pole sana uku kwetu siyo kuzuli
@ziadayasin71111 сағат бұрын
Mashaallah❤nashaallah❤ Allah awaizazi woto mashehe zetu mimi nafurahi kuzaliw uwisikamu shukurani Allah ❤
@twaibumikidadi737711 сағат бұрын
Umesikia ww shafii huwex kurlewa nini kimachoendelea Sera ya Ughaidi imeletwa na marekani kwa Lengo tu la kuuumiza Uislamu! *İslam tourturing* Mliteswa koz mlikuwa waislamu ! Nchi ya TZ ni imekaa kilristo mifumo yake kila kitu !
@hamzayusuf189412 сағат бұрын
Mada mzuri sana lakini spika siyo safi
@swalehfarid546612 сағат бұрын
SIMBA WA ALLAH.TUNAKUOMBEA SANA ALLAH AKUPE UMRI WA KHERI NA AKUTAKABALIYE UNAYOYAFANYA NA AKURUZUKI JANNATUL FIRDAUS
@HashimSalim-qj7zn12 сағат бұрын
POLE SANA ILA USISAHAU KUWAOMBEA DUA WAZAZI WAKO KWA WINGI SANA
@RahmaMfaume-sp2oj12 сағат бұрын
Pole USTADHI wangu
@user-sf7lp1fs7d12 сағат бұрын
Waalaikum salaam warahmatullah
@mwinyiswaleh838813 сағат бұрын
Harmonaz ni mjinga.alitaka sifa kwa wanawake alidhani akisemahivyo wanawake watampenda.
@ntakirutimanavicent-lj2tn16 сағат бұрын
Hapo kwenye jihad umesema uongo Eti mtuma hajawahi kupiga mushiliki mpaka mushiliki aaze kupiga wa Islam?? Uongo kwani maswahaba wamefikaaje Africa?? Mushiliki WA Africa alienda uwarabuni kuapigavita ndio maswahaba wakawarudishia mpaka Africa?? Acha uongo ungesema mtume hajawahi kufanya muhadhala nawa kristo
@saidijumahussein53310 сағат бұрын
We kafiri huo ukristo wako huujui utaujua uislam, hata kuchamba hujui.
@KhalfanMakota10 сағат бұрын
Yuko sahih qurian inasema usipigane mpaka wawachokozen kwa hiyo yuko sahih
@ahmedmpimbi96845 сағат бұрын
Kwa hyo ww unajua uislamu kuliko huyu mwalimu anaekueleza?.
@yusuphomary741016 сағат бұрын
Innalillah wainna ilaihy raajioon jamani natuitetee kuran yetu kwa maana bila kuran hakuna maisha ya starehe kabisa NDANI ya MOYO wa MWANAADAMU.
@yusuphomary741016 сағат бұрын
Asalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh. ALLAH Atusitiri na hawa watu wanaoibadilisha kuran. Inabidi tuwe macho zaidi kuran isichafuliwe.
@tsumamartin687817 сағат бұрын
Kuja Kwa ndacha kudume chako
@kawtharalbarwani133717 сағат бұрын
Allah awabariki sheikhe Mazinge
@BaruMasimango-zo2se19 сағат бұрын
Pôle sh
@FIDELBALUMEJOSEPH20 сағат бұрын
nimeamua mwenye kumufuata yesu, mazinge baki na dini yako,
@abubakarimussa913120 сағат бұрын
Wallah mashaallah
@mohammedrajabumwamba132220 сағат бұрын
Kuna mapoint mengi umeyaongea nimeyashika sana allah akujaze kheri sana
@mohammedrajabumwamba132220 сағат бұрын
MaashaaAllah sub-haanallah historia yako nzito Mwenyezi Mungu akujaalie kila la kheri inshaallah Amiin🙏
@Dearm-ome2in1huba22 сағат бұрын
Shekhe shafi nampenda kwa ukweli wake. Huwapa watu daraja zao kwa wanavo stahili nihizo dara kama anavosema kuhusu sule
@maulidimanzi99649 сағат бұрын
Wew Allah amekuonesha kile nilchokuona wew
@maulidimanzi99649 сағат бұрын
Nilchokiona mm
@maulidimanzi99649 сағат бұрын
Nilchokiona mm
@HanifahYusuf-x1l22 сағат бұрын
Mashaallah allahumma baarik fiih❤❤
@HanifahYusuf-x1l22 сағат бұрын
Mashaalla allahumma baarik fiih❤❤❤
@Ismailmusa-y6b23 сағат бұрын
Allah anakupenda sana na ndo maana anakulinda kwa Kila madhoruba lengo tu niuzidi kutulingania, Allah akujaalie umri mrefu na usije ukabadilika,
@ustadhshafiionlinetv23 сағат бұрын
Allahuma Amiin
@musayosia408118 сағат бұрын
Amiina 🙏
@mwinyiswaleh8388Күн бұрын
Wachristo someni wacheni ushabiki.
@mwinyiswaleh8388Күн бұрын
Paulo mtume wanani wewe.alipewa kitabu gani.
@mbalilax162Күн бұрын
mazinge wewe kweli elimu huna hata kidogo,,,,wewe kitanda chako hakina sehemu ya kichwa na sehemu ya miguu? unajua design ya makaburi ya wayahuni wa zama hizo wewe? sasa mariamu amesimama upande wa kichwa wa sehemu ya kulaza maiti analia kuwa hamna mwili, wewe unamlazimishia kuwa mwili upo UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE😂😂😂😂. kweli hii dini ya kishirikina imekosa point za kushindana na Ukristo mmebaki kuokoteza okoteza maskini😂
@mbalilax162Күн бұрын
kumbe uprofesa wako ni mchwara....unalazimishia hivyo😂😂!!!
@AGM1969712 сағат бұрын
Kakimbia Dar upako wa Mwamposa ungemraruau😂
@allyway999Күн бұрын
Story hii inaitaji full bwana shekhe wangu umeifanya kwa ufupi sana
@aziziabdulrahman3914Күн бұрын
Dunia haijui kutafuta watu katika watu mashughul walio pita kujiua biblia yahaya Hosea ni kiboko ya wote kwenye kujiua biblia
Пікірлер
Babaangu Allah Akupee umri mrefu uzidi kuadhalilisha wa christ Allahuma Amiiin
jamaa anajua sana huyu: hapigi kelele
Dah wallah pepo inatafutwa na kuna wanaume biidhnillah watapata pepo, Mwenyezi Mungu awape pepo
Hivi hii ni kabla ya ule mkasa uliowakuta ndugu zangu ama ni baada
Wewe ndie shehe wetu mungu akulinde namabaya yote
Shafii apo kwa raisi mwinyi hebu tuache kidogo we tupe daawa tu bana
Pole sana uku kwetu siyo kuzuli
Mashaallah❤nashaallah❤ Allah awaizazi woto mashehe zetu mimi nafurahi kuzaliw uwisikamu shukurani Allah ❤
Umesikia ww shafii huwex kurlewa nini kimachoendelea Sera ya Ughaidi imeletwa na marekani kwa Lengo tu la kuuumiza Uislamu! *İslam tourturing* Mliteswa koz mlikuwa waislamu ! Nchi ya TZ ni imekaa kilristo mifumo yake kila kitu !
Mada mzuri sana lakini spika siyo safi
SIMBA WA ALLAH.TUNAKUOMBEA SANA ALLAH AKUPE UMRI WA KHERI NA AKUTAKABALIYE UNAYOYAFANYA NA AKURUZUKI JANNATUL FIRDAUS
POLE SANA ILA USISAHAU KUWAOMBEA DUA WAZAZI WAKO KWA WINGI SANA
Pole USTADHI wangu
Waalaikum salaam warahmatullah
Harmonaz ni mjinga.alitaka sifa kwa wanawake alidhani akisemahivyo wanawake watampenda.
Hapo kwenye jihad umesema uongo Eti mtuma hajawahi kupiga mushiliki mpaka mushiliki aaze kupiga wa Islam?? Uongo kwani maswahaba wamefikaaje Africa?? Mushiliki WA Africa alienda uwarabuni kuapigavita ndio maswahaba wakawarudishia mpaka Africa?? Acha uongo ungesema mtume hajawahi kufanya muhadhala nawa kristo
We kafiri huo ukristo wako huujui utaujua uislam, hata kuchamba hujui.
Yuko sahih qurian inasema usipigane mpaka wawachokozen kwa hiyo yuko sahih
Kwa hyo ww unajua uislamu kuliko huyu mwalimu anaekueleza?.
Innalillah wainna ilaihy raajioon jamani natuitetee kuran yetu kwa maana bila kuran hakuna maisha ya starehe kabisa NDANI ya MOYO wa MWANAADAMU.
Asalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh. ALLAH Atusitiri na hawa watu wanaoibadilisha kuran. Inabidi tuwe macho zaidi kuran isichafuliwe.
Kuja Kwa ndacha kudume chako
Allah awabariki sheikhe Mazinge
Pôle sh
nimeamua mwenye kumufuata yesu, mazinge baki na dini yako,
Wallah mashaallah
Kuna mapoint mengi umeyaongea nimeyashika sana allah akujaze kheri sana
MaashaaAllah sub-haanallah historia yako nzito Mwenyezi Mungu akujaalie kila la kheri inshaallah Amiin🙏
Shekhe shafi nampenda kwa ukweli wake. Huwapa watu daraja zao kwa wanavo stahili nihizo dara kama anavosema kuhusu sule
Wew Allah amekuonesha kile nilchokuona wew
Nilchokiona mm
Nilchokiona mm
Mashaallah allahumma baarik fiih❤❤
Mashaalla allahumma baarik fiih❤❤❤
Allah anakupenda sana na ndo maana anakulinda kwa Kila madhoruba lengo tu niuzidi kutulingania, Allah akujaalie umri mrefu na usije ukabadilika,
Allahuma Amiin
Amiina 🙏
Wachristo someni wacheni ushabiki.
Paulo mtume wanani wewe.alipewa kitabu gani.
mazinge wewe kweli elimu huna hata kidogo,,,,wewe kitanda chako hakina sehemu ya kichwa na sehemu ya miguu? unajua design ya makaburi ya wayahuni wa zama hizo wewe? sasa mariamu amesimama upande wa kichwa wa sehemu ya kulaza maiti analia kuwa hamna mwili, wewe unamlazimishia kuwa mwili upo UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE😂😂😂😂. kweli hii dini ya kishirikina imekosa point za kushindana na Ukristo mmebaki kuokoteza okoteza maskini😂
kumbe uprofesa wako ni mchwara....unalazimishia hivyo😂😂!!!
Kakimbia Dar upako wa Mwamposa ungemraruau😂
Story hii inaitaji full bwana shekhe wangu umeifanya kwa ufupi sana
Dunia haijui kutafuta watu katika watu mashughul walio pita kujiua biblia yahaya Hosea ni kiboko ya wote kwenye kujiua biblia
Alhamdulillah ustadh nimepata kusoma kwako shukran
Mashaallah Mashaallah
Nakukubali mwamba wa hoja
Namkubali sana shekhe shafi mungu akuzidishie
Asalam alaykum 🙏
Asalam alaykum 🤲🤲🙏
Walykum salm warahmatullahi wabarakatuh
Kwenu Mafia ipi?
Subhaanallaah dah mungu akujaalie kheri nyingi sheikh shafi history yako inasikitisha sana.
Mashallah shekh shafy
MASHAALLAH mzindue huyo hajui chochote...
Majini walislim hii inaniogopesha😮😮😮😮
Shafii ndy anapotosha ataki kusema ukweli maandiko yanavyosema ,, mtume anasema kwama, hakika royo yake imikononi mwake atakuja kuhukumu , eleweni bac musiwe mnabisha2 Kila kitu someni pameandikwa vipi
Alisilimu tu mume nipo
Yani huyu mazinge anakutana na wasiojua maandiko alafu anatumia maandiko nusu nusu yaaani natamani nifanye naye mdahalo anaokoka siku hiyo hiyo
umeona eeh...yani ni hana ufahamu hata kidogo, analazimishia vitu ambavyo hata havipo ata aibu haoni!!
Mazinge profesa wa Uongo sana!Mbona anaruka ruka maandiko!!!!!!!!!
Asalam alaykum ❤❤🙏🙏🙏🤲