Mwalimu Shabani Awajibu Makafiri(Wapingaji) Kuhusu Bi Aisha Awapa Darasa la Kutosha na Kujfunza

usisahau ku subscribe channels hii

Пікірлер: 53

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2scАй бұрын

    ASALAM ALEY KUM MWALIM SHABANI HAWA MAKAFIRI INABIDI UWAFUNDISHE USICHOKE.WAO WANAMUONA MTUME MUHMADI ILA HAWAONI ALICHOKIFANY NABII LUTU YEYE NA WANAWE WAWILI ALILALA NAO AKAWATIA MIMBA WOTE WAWILI ATUONI MUNGU AKIMUHUKUMU LUTU NUHU AKAWAPEVUKA KATIKA ULEVI ATUONI MUNGU AMEMUHUKUMU DAUDI KALALA NA MKE WA MTU KIMYA !!! ILA MTUME MUHMADI S.A.W KUMUOA B AISHA KELELE.

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hbАй бұрын

    Maa Shaa Allah....Allah awahifadhi na awazidishie ilm .... awalipe malipo mema ya Jannatul Firdaus

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa483527 күн бұрын

    Saf sana

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725Ай бұрын

    Allah azidi kukupa afya, nguvu na umri mrefu uzidi kuwa fundisha hawa juhalaa asa yaarab Allah awa hidi na wafahamu ukweli ulipo

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    Muhammad kwa kweli alibaka hilo lilikuwa moja wapo la kosa wanalomwombea rehema Waislamu wote kila siku😊

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961Ай бұрын

    Hili swali angeulizwa sheikh msomi sio huyu mwalimu wa shule

  • @MohamedAliMohamed-mm4sq
    @MohamedAliMohamed-mm4sqАй бұрын

    Huyo abel nashiriki live zake tiktok yeye mwenyewe anaomba msaada hadi stand ya kuekea cmu

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi67328 күн бұрын

    Hahahaha itakuwa aisha dada yao hao

  • @StevenPeter-sg7zo
    @StevenPeter-sg7zo29 күн бұрын

    Eti mtoto wa miaka sita ni mke wa mtume alf waislamu hawaoni kama ni kosa ila wanazidi kutetea ujinga., Ndomana Yesu alisema kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni., Ndyo hiki tunachokiona leo.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    Mwalimu Shaaban, Wakristo siyo Makafiri ila Makafiri ni wale wanaosujudia kuelekea Qibra Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi yaani Al hajar Al aswad huku wakidhani wanamsujudia Mwenyezi Mungu kumbe jiwe na wale wanaompa zawadi ya vijiwe Shetani aliyeko Mina

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    28 күн бұрын

    Makafiri ni wale wanaomuabudu binadamu aliyeuliwa na viumbe wake kwa kutundikwa msalabani.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 Hiyo khadith kutoka Bukhar itabaki kama ilivyo haiwezi kurekebishwa na wasomi wa sasa ili kufuta ukweli!! Mwalimu Shaaban kama utaonea mashaka khadith za kina Sahih Bukhar au Sahih Muslim Basi utakuwa na mengi ya kurekebisha😅

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2scАй бұрын

    PAMOJA NA HAYO YOTE MJNGU HAKUACHA KUWATUMIA MANABII WAKE

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377Ай бұрын

    Mwalim Shaban; kafiri ni kafiri tu kula nguruwe huaribu thalamas brain ya mtu! Ukıosoma Quran kwa kengo ya kuichallenge itakychallwnge ww saasa vice verse is true!

  • @samxx411
    @samxx411Ай бұрын

    Kila nikiwaona hawa huwafikiria safari yao baada ya kifo chao. Yaani sijui wamejitoa sadaka kwa Allah liwalo na liwe ila. Allah awaongoe waijuwe haki

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    Na Mimi Huwa nawafikiria ni yule anayesujudia kuelekea Qibra Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi yaani Al hajar Al aswad huku akidhani anamsujudia Mwenyezi Mungu kumbe jiwe!! na wanaoenda Hajji na kumrushia zawadi ya vijiwe Shetani aliyeko Mina Jamarat

  • @samxx411

    @samxx411

    Ай бұрын

    @@paulmushi2428 wewe mushi hoja zako za kitoto hizo za kilasiku...au ulizaliwa kabla ya ndoa??

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    ​@@samxx411 Niwe nilizaliwa ndani ya ndoa au nje ya ndoa nakuomba katafari tena kusujudu kuelekea Qibra Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi Al hajar Al aswad je ni ibada halari ya kumsujudia Mwenyezi Mungu??

  • @samxx411

    @samxx411

    Ай бұрын

    @@paulmushi2428 wewe huna unalolijuwa hata kusafiri hujawahi inabidi sisi tunaabudu jiwe au Allah?? Mbona hueleweki na wewe unamuabudu nani Mungu au mtu??

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2scАй бұрын

    NIAMALIZIE KWA KUSEMA UKISOMA KITABU CHA WAFALME WA PILILI UKIANZIA SURA YA 16 NASURA 21 UTAPATABKUJUA NINI UMRI MANASE ALITAWALA AKIWA NA MIAKA 12 WAFALME 21:1 KUENDELEA

  • @therezapetro5725

    @therezapetro5725

    Ай бұрын

    Sasa mtu kutawala ndo unaringanisha na mtoto kuolewa? Acheni kutetea vitu ambavyo havipo.Quran inasema kuwa huyo mtume wenu ni mfano bora kwa watu wote basi si na nyie muoe watoto wa miaka 6 tuone kama kweli huyo mtume wenu ni mfano wa kuigwa. Yesu alisema kwa matunda yao mtawatambua nina fuatilia vitabu vyenu lakini naona kweli ufahamu wenu umefungwa. Mtu na akili zake timamu eti ana amini akienda mbingu ataozeshwa wake zaid ya 72 na atapewa uume usiosinyaa mda wote umesimama😂😂😂😂 kwa hiyo kumbe mbingu ya mungu wenu ni mwendo wa ngono tu.

  • @yakubsuleiman6819

    @yakubsuleiman6819

    Ай бұрын

    Kafiri ni kafiri tu unahukumu Na hujui lolote na ukielezewa unajifanya unajua saaana...bure kabisa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961Ай бұрын

    Anza kujibu swali acha tamaa ya hela na kutuletea story za kutuchosha

  • @hamishassan6784

    @hamishassan6784

    Ай бұрын

    Abuu yunus humfahamu huyo laiti ungelimjua ungeyarudisha maneno yako. Allah amjaalie Mwl. wangu. si mtu wa shida kihivyo kama unavyomhisi waulize wenye kumjua kaka

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    28 күн бұрын

    Ww Muislam kweli lakini au

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765Ай бұрын

    Ila Paulo aliekufungeni macho hamuoni mnalalamikia nabii Muhammad aliyoyafanya ? Hawa makafiri wanaongozwa na chuki,Paulo alikupotezeni mpaka sasa mnaamini kua yesu ni mwana wa MUNGU wakati huo ni upagani, alafu kinachokuumeni ni nini wakati Aisha alikua na wazazi wake na waligundua kua mtoto wao alitimia nyinyi visokorokwinyo shida yenu ni nini?

  • @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi

    @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi

    Ай бұрын

    ]wamedanganywa[ Na ]wapagani wa kirumi+kigiriki[ Ndio waasisi wa ]imani ya kikiristo[ Kupitia ]paulo[ ~ #warumi1;7-8{tito2;13}# ^SI AGANO LA MUNGU^ ~ #wakorintho(2)11;16{wagalatia3;15}#

  • @therezapetro5725

    @therezapetro5725

    Ай бұрын

    ​@@MOHAMMEDMOSHE-sy3qiHuelewi wewe .nyie ndo mmedanganywa na wapagani wa ki arabu kwa sababu mambo mengi ktk dini yenu yalifanywa pia na wapagani wa kabila la qurash huko mecca mfano hiyo kaaba ilikuwepo pindi cha uapagani hapo mecca na waliabudu hapo na pia hilo jiwe jeusi mnalo libusu mkiamini linasamehe dhambi lilikuwepo pia pindi ha upagani wa waarabu hapo mecca.Na pia jina la huyo mungu wenu Allah ni moja ya miungu iliyoabudiwa na wapagani wa kabila la qurash. Kwa hiyo mnaabudu msichokijua.Yesu awafungue macho mpate kuona na kufahamu.

  • @therezapetro5725

    @therezapetro5725

    Ай бұрын

    Ushauri wangu mdogo kwako usiongee kitu usichokijua watakucheka watu😂😂. Yesu wenyewe alijisema yeye ni mwana wa Mungu tena akasema yeye na baba ni umoja kumanisha kuwa yeye ni mwana wa Mungu na ni Mungu at the same time. Hadi wayahudi walitaka kumpiga mawe wakisema anajifanya kuwa Mungu. YOHANA 10: 29-33. Mtume paulo alichaguliwa na yesu mwenyewe ili awe mtume wa mataifa na alifundisha mafundisho yote ambayo yesu aliagiza. Na nyaraka zote za mtume paulo zinaelezea injili ya yesu kristo.Hakuna hata fundisho moja la mtume paulo linalopingana na mafundisho ya yesu kawa sababu ni yesu mwenyewe ndiye aliyemtuma .

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Ай бұрын

    @@therezapetro5725 ndio nimesema hata shetani wanamuita yesu mwana wa MUNGU, ma mwehu kama wewe ndio watacheka,lete andiko yesu anasema mimi ni mwana wa MUNGU, alafu Paulo hakufundisha hata neno moja la yasu na wala Paulo sio mtume

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Ай бұрын

    @@therezapetro5725 Paulo wako uyo unaesema ni mtume wa yesu, (MATENDO YA MITUME 26:9,, MIMI MWENYE NALIONA KWAMBA NAFSI YANGU YANIPASA KUTENDA MAMBO MENGI Y"ALIYOPINGANA " NA YESU KRISTO, NAMI NILIYAFANYA HAYA KULE YERUSALEM, NILIWAFUNGA WENGI MIONGONI MWA WATAKATIFU NDANI YA MAGEREZA, NIKISHA KUPEWA AMRI NA WAKUU WA MAKUHANI, NA WAKISHA KUUWAWA MIMI PAULO NILITOA IDHINI YANGU, hapo vipi? Hivi nyinyi mnasoma bibilia gani? Nikweli Paulo anasema imani ya warumi inatangazwa ulimwenguni kote

Келесі