Ustadh Shafii Amaliza Mabishano ya Wakiristo Wenyewe Kwa Wenyewe-Majibu Sahihi Kwa Wakati Sahihi

usisahau ku subscribe channel hii

Пікірлер: 330

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..junior2 ай бұрын

    Safiiii sanaaaa...sheikheeee umewamaliza vizuri sanaaa...duuh kumbe wakristo mungu wao yesu..na yeye pia yesu anamungu wake..huwa anamuomba...yani mungu arafu na yeye pia ana mungu anae mtegemea kumuomba...daaah wakristo kweli baadhi yao 0.0 hamna kitu kichwani

  • @UmarMasudi-so2hi
    @UmarMasudi-so2hi9 күн бұрын

    Wakristo hawana oja dhidi ya uislamu... Ustaadh wangu nakufata 100%toka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-qv3xp1fd4u
    @user-qv3xp1fd4uАй бұрын

    Yesu si mungu bali ni nabii t ni mtume wa mungu

  • @abduliashiru9394
    @abduliashiru93942 ай бұрын

    Asante sana Shekhe, Darasa zuli sana Allah akulipe khery Duniani na Akhera Amiiin.

  • @DanKanu-ox4hx
    @DanKanu-ox4hxАй бұрын

    Yesu si Mungu ni Mtume wa Mungu

  • @LugomeRisasi
    @LugomeRisasi19 күн бұрын

    Mimi ni mkristo kwa mafundisho haya shekh Yuko vizur jina la Alie mtuma yesu lihimidiwe

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack61802 ай бұрын

    Wallah ndio maana mm nilisilim,yaan Ukristo ni shida sn

  • @alexandernyambo7739

    @alexandernyambo7739

    2 ай бұрын

    Ulienda kwenye uislamu kumfata Muhamadi aliyeolewa na Bi Hadija??? Kweli wewe rafiki yangu kama ni kupotea ndo umepotea kabiiiiiisaaaaaaaaaaaaa

  • @huseinshedrack6180

    @huseinshedrack6180

    2 ай бұрын

    @@alexandernyambo7739 uko sahihi ni bora mm nilie mfuata alie olewa akapiga na show kuliko ww una mfuata Yesu jogoo alikuwa hapand mtung mpk anaondoka hajui Raha ya Dem😂😂😂😂

  • @alexandernyambo7739

    @alexandernyambo7739

    2 ай бұрын

    @@huseinshedrack6180 Na huyohuyo ndiye aliyewafundisha umalaya, maana yeye aliolewa na bi Hadija na akamwoa tena Ahsha mtoto wa miaka 6.... 🙄🙄 Jamaa alikuwa malaya na mbakaji, kisha eti ni mtume, ametumwa na shetani 😈 kueneza umalaya sivyo eeeeh?? Ndo maana nanyi mnaendeleza mambo yake kwenye TARAWEY 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏 Na wanawake wenye macho kama vikombe wanawasubiri huko Kuzimu kwa baba yenu...

  • @hasaniabdalah6148

    @hasaniabdalah6148

    2 ай бұрын

    ​@@huseinshedrack6180😂😂😂 ila wewe umenichekesha mungu akubariki

  • @huseinshedrack6180

    @huseinshedrack6180

    2 ай бұрын

    @@hasaniabdalah6148 ni hatar ndgu yng,hawa makafir wanacho kijua ni kukashifu metume wa Mwenyez Mungu tu,mm toka niingie ktk Uisilam cjawai kuona Waislam wakiwakafu Manabii,sasa ni kwenda nao hvyo wanavyo taka wao maana hta mm nilikuwa huko kwenye akil zao za kijinga

  • @ElizabethChuri
    @ElizabethChuriАй бұрын

    Muombe mungu kwa lugha yako apate kuku elewa

  • @sudihammad7387
    @sudihammad7387Ай бұрын

    Warumi 9:5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.naomba isomeni taratibu kufata hizo alama za lugha

  • @engineerjuma9876

    @engineerjuma9876

    Ай бұрын

    Kwanza ujue hiyo warumi ni kitabu kikichotoka wapi? , Mtume paulo yeye ndiye aliyetoa mafundisho ya Uungu wa Yesu na huyo paulo ndiye aliyeleta fundisho la Utatu mtakatifu na yeye paulo ndiye muasisi wa Ukilisto na hayo mafundisho ya paulo kutoka kwenye vitabu vya Matende ndio Msingi wa Ukilisto na ukilisto mafundisho yake yanategemea vitabu hivyo

  • @maclaudismail6606

    @maclaudismail6606

    3 күн бұрын

    Wapi kwenye biblia imeandikwa kristo ni jina la mungu ?

  • @MejjatScott-mf2vi
    @MejjatScott-mf2vi2 ай бұрын

    Kweli na Asante!,cc niwajinga wa mapokeo mabaya

  • @saidgumbo2529
    @saidgumbo25292 ай бұрын

    Yesu hana sifa yakuitwa mungu hata kidogo kwasabubu ,ukisoma yohan 8:40 inasema hivi , lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambae nimewambia iliyo kweli niliyo isikua kwa mungu Ibrahim hakufanya hivyo

  • @athumanmkomwamkomwa2912
    @athumanmkomwamkomwa2912Ай бұрын

    Maashaalah

  • @bakari52
    @bakari522 ай бұрын

    Asante mwalimu. Wenye kuelewa ataelewa

  • @ashrafnuru6402
    @ashrafnuru64022 ай бұрын

    Bibilia ni kitabu kinachochanganya watu huwezi kusoma bibilia ukamjua yesu mana mara aitwe mungu, mara mwana wa mungu, mara mtume, mara nabii wazungu washafanya yao,

  • @alexandernyambo7739

    @alexandernyambo7739

    2 ай бұрын

    Ninyi waislamu ndio madishi yenu kichwani yameyumba Kwani mwana wa mbuzi naye ni nani, mwana wa nyoka ni nyoka pia, sasa nini cha kushangaza kwa Yesu kuwa mwana wa Mungu na kuwa Mungu pia

  • @ashrafnuru6402

    @ashrafnuru6402

    2 ай бұрын

    @@alexandernyambo7739 Kwahiyo unamaanisha mungu Anazaa,yaani nyinyi imani yenu ni imani tu bila logic yaan, Bibilia ni mvurugano tu ety husipungeze wala husiongeze neno wakati Bibilia zenyewe zietofautiana idadi ya vitabu

  • @alexandernyambo7739

    @alexandernyambo7739

    2 ай бұрын

    @@ashrafnuru6402 Luka 3:21~22 "Ikatoka sauti ktk lile wingu ikisema... HUYO NI "MWANANGU" MPENDWA, MSIKILIZENI YEYE" Wewe ni nani hata uhoji kuzaa au kutozaa 🙄🙄 Na hiyo ndiyo sifa ya kuwa Mungu, kwamba ANAWEZA mambo yote Hakuna asicho kiweza aiseeeeh Anaweza kuimba, kubomoa, kujenga na hata kuzaa kwanini asiweze!!!!!!!!

  • @saiddgsmg

    @saiddgsmg

    2 ай бұрын

    @@alexandernyambo7739 kwamaana hiyo mungu wako wawili yesu na baba yake,sasa je yule mama yake maliya atakuwa mungu mariya,na baba yake yusufu atakuwa mungu baba yusufu,sasa swali langu kwako kabla ya huyo mungu yusufu dunia ilikuwa inaongozwa na mungu gani???!!!...

  • @alexandernyambo7739

    @alexandernyambo7739

    2 ай бұрын

    Kwa kweli BIBLIA ni kitabu kinacho changa ya sana sana.... Hauwezi ukawa na mzigo wa Majini, Maruhani na akina Makata na Subihanj kama mliyonayo ninyi Waislamu kisha ukaielewa vizuri Biblia... Biblia ni Takatifu, hueleweka na wenye Roho Mtakatifu tu, kwa kuwa ni Biblia Takatifu tu

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын

    Moja mungu alimuumba adamu ambae Hana baba Wala mama 2kisha aka muumba Hawa kwakutumia ubavu wa Adam akaatikana bin Adam mweny baba asie na mama 3

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b2 ай бұрын

    Huyu dada jamani kaupiga mwingi hebu wano mkubali huyu dada joooni tujuwane kwa laiki

  • @issakakolwa
    @issakakolwaАй бұрын

    Duuuuh kz kwelkwel, mungu gn aliye zaliwa?, mungu gn anae kula kunywa na vngne kama hvyo?, co kuw waislam wanachkelea kw uelew wenu nooo, cc waislam 2na wacktkia kw ujnga wenu kueni wajanj bac, kw nn mambo yko waz ksha niny mnayafchia ukwel wke?, ALLAH TAA'LA akueleweshen in sha ALLAH.

  • @abdulJambe
    @abdulJambeАй бұрын

    Swali langu kabla yesu hajazaliwa nani alikuwa mungu

  • @user-vn2hw7bs2l
    @user-vn2hw7bs2lАй бұрын

    Mbona Mzee wa upako kasema kweli kuhusu mungu

  • @mohammedawissa9863
    @mohammedawissa98632 ай бұрын

    Watakuli wakristo insha'ALLAH

  • @ShamimHassan-qm1et
    @ShamimHassan-qm1et2 ай бұрын

    Endeleen kubishan wenyew kwa wenyew sis tupo palee👉👉tunawaangalia tu😎

  • @DanKanu-ox4hx
    @DanKanu-ox4hxАй бұрын

    Hii ndiye sababu ilifanya nikawa muislamu

  • @LaizaLaiza-oj9uw
    @LaizaLaiza-oj9uw2 ай бұрын

    Uko sawa dada kabisa

  • @user-yw2si9xq5s
    @user-yw2si9xq5s25 күн бұрын

    Kwahiyo mzee waupako yupo sahihi

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc2 ай бұрын

    Sura gani iliyosema yesu ni mungu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын

    Allahuvakbar ama kwa hakika mola wetu hanana mtoto wala hajazaaa wala hajazaliwa na wala haikuwa kifano na kitu chochote na yes ni mtume wa mwenyezimungu

  • @jacksonmwafongo1917
    @jacksonmwafongo19172 ай бұрын

    Kwa hiyo mungu wako ana ulithi kutoka Kwa nani acheni kumkufulu mungu

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Sikiliza maandiko wacha jazba Yesu avalishwe nepi kama wewe na bado umfanye kua Mungu hata akili ya kawaida haingii akilini

  • @alexalute6712
    @alexalute67122 ай бұрын

    Wapinga Kristo wapo wengi duniani leo shekh wangu. Soma 1Yohana 2:18-26

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Soma yohana 17:3

  • @Ostica..Omie..junior

    @Ostica..Omie..junior

    2 ай бұрын

    Kwaiyo nyinyi iyo bibilia yenu inabishana maandiko..kweli iyo bibilia ipo sahihi..kitabu cha mungu kimekamilika akina makosa..God is perfectly..mungu ajawai kukosea..kwanini iyo bibilia yenu inapingana maandiko..?iyo iyo bibilia inakataa yesu sio mungu kwa matamshi yake mwenyewe yesu..iyo iyo bibilia yenu inasema yesu ni mungu..daaah huruma sanaaaaaa kwa wasio na akili🤣🤣🤣 nacheka sanaa

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635Ай бұрын

    Ushauri wangu kwako pambana na mashehe wenzako wa mitandao kuhusu peteza kichawi ukristo uwezi kuu elewa labda ubatizwe tu

  • @allyyasini9944

    @allyyasini9944

    Ай бұрын

    Yesu sio mungu .. mungu ajazaaa wala ajazaliwa ..

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783Ай бұрын

    Yesu kristo alikuwaweko kabula ya dunia Soma methali 8 22_30quran alaha akumba yoate kalamu peke

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy2 ай бұрын

    Wataelewa tuu na sasa kweli inaanza kuwa bayana baina yao. Alhamdulillah ☝️🕌♥️♥️♥️

  • @kiumbeabdul
    @kiumbeabdul2 ай бұрын

    Mtu yoyote, kama akikusikiliza vizuri, ni lazima aseme kwamba yesu sio mungu ila ni nabii

  • @HappyKiteboarder-du9th
    @HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын

    Hivi Hawa wakiristo wanasoma vitabu Gani .,.au hawaoni je kusikia Pia hamsikii

  • @tajiriwaroho
    @tajiriwarohoАй бұрын

    Katika jambo la kujivunia kwa Waislamu tumeanzakueleweka wanakataa sasa Yesu si Mungu wenyewe kwa wenyewe wale wanaosema Yesu Mungu wajiulize kwanini ametumwa wanajichanganya mara wanasema mwana wa Mungu mara Mungu mwenyewe hawajuwi wanachokiamini lakini washaanzakuelewa

  • @saidgumbo2529
    @saidgumbo25292 ай бұрын

    Wakrsto wote mnaosema yesu ni mungu ,swali (1)yesu kazaliwa na nani (2) na mamake yesu kaumbwa na nani (3) wakati yesu Yuko tumboni mwa mama yake Dunia ilikua na nani.

  • @jombadulla

    @jombadulla

    2 ай бұрын

    hawawezi kujibu,hawa wanaburuzwa tu,ni punguwani,huyu yesu mtume wa mungu kama mitume mengne hana chochote, hana tofaut na musa au daud,wenzetu wanakosea wapi

  • @sleymankassim4332

    @sleymankassim4332

    2 ай бұрын

    Usisahau Yesu alikaa tumbon miez kadhaa,

  • @georgemartinmartin5423

    @georgemartinmartin5423

    2 ай бұрын

    Mbona mepesi sana hayo maswali

  • @graceswai9166

    @graceswai9166

    2 ай бұрын

    😢mwapotea kwa kuwa huyajui maandiko, hata Quraan imewaambia mtuulize mambo ya kiroho ninyi hamyajui

  • @ahmedabry293

    @ahmedabry293

    2 ай бұрын

    ​@@graceswai9166jibu maswali usizunguke

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 ай бұрын

    😢

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын

    Acha waji fyatuw akili hivi kweli mungu umvalishe nepi umtundike msalabani upoge msumari ana kuangalia tu nyie warumi Mme walisha nini Hawa nduguzetu mpaka Wana kuwa kama mazombi

  • @saiddgsmg

    @saiddgsmg

    2 ай бұрын

    mi naona wamelishwa maviiii😂😂😂😂

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa2 ай бұрын

    Hawa makafiri wasiposilimu wataishia motoni

  • @JumaJuma-gw1dq
    @JumaJuma-gw1dq2 ай бұрын

    Mwisho ya yote nyie mnao sema yesu ni mungu kabla hajakuepo huo yesu Dunia ilikuwa na nan

  • @user-qg7el6gc5j
    @user-qg7el6gc5j2 ай бұрын

    Yesu na Mungu, Muhamad na Allah. nadhani tumeelewana....... Yesu ni mwana wa Mungu. ndio maana huwezimsikia mkristo anakemea mapepo kwa jina la Mungu bali kwa jina la Yesu. kwamba sisi tunaunganishwa na Mungu kupitia mwanawe Yesu Kristo

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    2 ай бұрын

    Yesu na Mungu inakuwaje tena wakati Yesu ni Mungu

  • @user-qg7el6gc5j

    @user-qg7el6gc5j

    2 ай бұрын

    @@saidsuleiman1753 ukisema yesu ni mungu basi muhamad ni mungu....

  • @DanKanu-ox4hx

    @DanKanu-ox4hx

    Ай бұрын

    Muhammad ni Mtume na Yesu ni Mtume tunaamini mungu ni mmoja (Allah).

  • @user-tc9vi3ow3n
    @user-tc9vi3ow3n2 ай бұрын

    Naomba Hilo andiko mungu kuwauliza nani amtume Yesu anasema mitume Mimi,andiko Hilo lipo wapi?

  • @MohamediOmari-nz4vv
    @MohamediOmari-nz4vvАй бұрын

    Vitabu vimetungwa na wazungu kwa faida zao wametoa ukweli wameweka uwongo

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange45002 ай бұрын

    MIMI NINACHO JIGAMBA NIKWAMBA 1.BABA=MUNGU mfano msimwiite yeyote baba duniani,baba/mungu in mkuu kuliko Mimi,baba au mungu wangu in mungu wenu😅😅😅MANENO YAKE KRISTO KINYWANI

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango90882 ай бұрын

    Bibilia inatuchanganya bhana

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali16972 ай бұрын

    Kumbe ndiyo maana munawapenda waisrael hatakama hao waisrael wako mbali na ukristo

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 ай бұрын

    hakika huyu mtoto ndo mwalimu wao

  • @HappyKiteboarder-du9th

    @HappyKiteboarder-du9th

    2 ай бұрын

    Kabissa

  • @majidabas3843

    @majidabas3843

    2 ай бұрын

    Ni talent yapekee

  • @dstaroficial
    @dstaroficial2 ай бұрын

    😂😂😂😂 Mungu ana kikao . Mungu xijui mnamchukuliaje mabos

  • @MidaMapunda
    @MidaMapunda2 ай бұрын

    Safi shehee.. Ningekuwa karibu ungenisilimisha.

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Kama nia unayo mpigie simu akusilimishe Hakika dini ilio ya haki ni uislam anaeabudu dini isio ya kiislam haitakubaliwa bali atakua na hasara siku ya mwisho

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Pia unaweza kwenda msikitini sehemu ilio karibu na wewe hapo utasilimishwa

  • @hashirukitumbi6245

    @hashirukitumbi6245

    2 ай бұрын

    Allah akufanyie wepes, tafuta msikiti wowote jirani yako utasilimu. Allah anawapenda wenye kuiona haki na kuifuata.

  • @user-ov9zg1gl5b

    @user-ov9zg1gl5b

    2 ай бұрын

    Amani ya mungu iwe juu yako mpendwa

  • @salimobeid1470

    @salimobeid1470

    2 ай бұрын

    Allah akuongezo ndugu yangu usilimu

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix72222 ай бұрын

    Tafautisha maandiko mangine yamechomekwa ktk biblia kur an ndio kiboko yao huwezi kuchomeka ktk kuran

  • @user-bq2zp5vq3e
    @user-bq2zp5vq3e2 ай бұрын

    Kipara yesu simba wa yumba atakuja mungu

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54392 ай бұрын

    YESU ni Mungu Yesu ni Mungu Yesu ni Mungu Yesu ni Mungu mkuuuu Muhammad asikie na majini yote yaipate hiyo taharifa

  • @KaitaKatema

    @KaitaKatema

    2 ай бұрын

    acha ujinga MOHAMMAD anaingiaje hapo mjibu huyo dada

  • @swafiirbulbul819

    @swafiirbulbul819

    2 ай бұрын

    Sio Taharifa .. 😂 ni TAARIFA .. Jifunze Kiswahili kwanza

  • @hasaniabdalah6148

    @hasaniabdalah6148

    2 ай бұрын

    Wadanganye wasio na maarifa tulio na maarifa tushajua zamani kuwa Kalam ya waandishi imetiwa hukoo kwenye bibilia na alie iris Kalamu sio Muhammad ila ni hao mayahudi ilu msitambue ukweli ujao ambao ndio huu uislam juu lako kufuata au usifuate kesho yako ndio itakupa majibu anayo pinga leo

  • @ANDREWKIMARO-by3zl

    @ANDREWKIMARO-by3zl

    2 ай бұрын

    @@KaitaKatema Sasa sheikh Shafii amekuwa mdada sikuhizi? Hapo hamna hoja ya msingi , YESU NI MUNGU TITO 2:13 imeisha

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    2 ай бұрын

    @@hasaniabdalah6148 kesho yangu Kwa Yesu aliye mbinguni wew kesho Yako Iko Kwa marehemu Muhammad huko kaburini sisi ni WA juu nyie ni WA chini njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo mlango upo wazi njia yeupe

  • @kabithechoreographerandcom7439
    @kabithechoreographerandcom74392 ай бұрын

    John 10 :30

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    John 17:3

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43822 ай бұрын

    WATAELEWA TU HAO WATOA SADAKA KWA SHETANI🦝

  • @Lameckrichvsix
    @Lameckrichvsix2 ай бұрын

    Ninani na nani ulowaona hao wakristo wanabishana wao kwa wao kama sio ujinga wa ku'dis imani za watu we ostazi zungumzia mambo yako ya kiislam nani anakupa ww uchungaji wa kutuhubilia habali za yesu hali ya kuwa muislam au ww ni kafili

  • @BobgIsmail
    @BobgIsmail11 күн бұрын

    Siyo kama wakiristo hawaelewi wanaelewa kila kitu na ukweli wote wanaujua bali ubishi tu

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa2 ай бұрын

    P1a wasome yoh:17_3. Km watakuwa na ufahamu huwenda wakasilimu

  • @ANDREWKIMARO-by3zl

    @ANDREWKIMARO-by3zl

    2 ай бұрын

    Na wakujue hii ni continiously kauli endelevu Na wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma Huwezi ukatwambia kwa andiko hilo tayari umeshamjua Mungu wa pekee ilihali andiko linasema kauli endelevu "WAKUJUE" YESU NI MUNGU TU TITO 2:13 Hapo sheikh kawashwa tu hajui kusoma wala haji kuelewa mpaka aachane na majini

  • @MwalimuD
    @MwalimuD2 ай бұрын

    Kinachosumbua wengi ni kuelewa Yohana 1:14.The Word became flesh.Neno alifanyika mwili. Kumtambua Yesu akiwa kama Neno na akiwa kama Mwili.Roho atufunulie zaidi

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @ANDREWKIMARO-by3zl

    @ANDREWKIMARO-by3zl

    2 ай бұрын

    @@Catherine-mh8sw Na wakujue hii ni continiously kauli endelevu Na wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma Huwezi ukatwambia kwa andiko hilo tayari umeshamjua Mungu wa pekee ilihali andiko linasema kauli endelevu "WAKUJUE" Bado Yesu ni Mungu tu Tito 2:13

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    @@ANDREWKIMARO-by3zl yesu katumwa na mungu. Nding nding nding

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    @@ANDREWKIMARO-by3zl Sasa aliyekaa mbinguni na yesu mkono wake wa kulia ni nani? . Na wewe ni nani yako? Na baba yake yesu aliye mbinguni ni nani yako.

  • @ANDREWKIMARO-by3zl

    @ANDREWKIMARO-by3zl

    2 ай бұрын

    @@Catherine-mh8sw Twende taratibu ili uelewe Kulingana na Yohana 4:24 Mungu ni nini..........?

  • @danielmwakimi2416
    @danielmwakimi2416Ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZGp9t5hxqMa2j7w.htmlsi=HAu7gSAnzVCHw0Mq Yesu ni Mungu

  • @NduwimanaMoise
    @NduwimanaMoise2 ай бұрын

    Wacha iyo Yesu ni Mungu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc2 ай бұрын

    Yani majibu ya yesu ni mungu majibu yapo ktk hihi biblia Mzee wa upako yupo sahihi sana

  • @theodorythobius3965
    @theodorythobius39652 ай бұрын

    Wako tayari kuungana na roho ovu ilimradi tu waonekane mbele za macho ya wanadamu wanahaki.Nyie endeleeni kumkufulu Mungu ila wakati utaongea wenyewe. Biblia ukiisoma bila kuongozwa na roho mtakatifu haya ndo madhara yake na ili uongozwe na roho mtakatifu lazima uwe umempokea Yesu kuwa bwana na muokozi wako. Na haya makufulu myatamkayo hayana budi kutukia ili yatimie yale yaliyoandikwa. Kabla hujatoa neno fanya reseach kwanza itakusaidia maana kila neno utalitolea hesabu yake siku ya mwisho. Tubuni Nawatakia kila la kheri katika kumtafuta Mungu aliye hai wapendwa.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @hasaniabdalah6148

    @hasaniabdalah6148

    2 ай бұрын

    Qur an ilipo shushwa aya moja ilisema kitabu kisicho na shaka kwa wamchao Mungu hapo ndio ukaona masheikh wanasoma bibilia na kugundua kuwa kweli qur an imesema kweli na ni muongozo kwa wachamungu . kwenye uislam hatutaki wingi au

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmg2 ай бұрын

    wakristo akiri zao zimejaa matope ukweli wanaujywa ila ,wanajifanya punguani,hivi.kweli mungu anaweza kukamatwa na kupigwa na kuzalilishwa.

  • @RapaFata

    @RapaFata

    2 ай бұрын

    Hata mimi nashangaa ikiwa muhamad hakuelewa chochte kuhusu msalaba, je hawa maamuma wa leo wenye kuagua watu wataelewa kweli? Je, Allah hawezi kufanya kama Yesu kamwe mbona waja wake hoi kwenye elimu na imani?

  • @punnamalaba4445

    @punnamalaba4445

    2 ай бұрын

    Mungu awasamehe mbadirike msiyabadiri maandiko, hata shetani alitumia biblia kumjaribu Yesu endelea tu kuxiondoa yodi ktk biblia

  • @RapaFata

    @RapaFata

    2 ай бұрын

    @@punnamalaba4445 Waislam wakishindwa kukielewa kipengele kwenye biblia wanadai kimekorogwa. Yani mie nilipokuwa nataka kuslim nilijiona mjanja na mwenye akili maana nilianza kupoteza ule utu wa ndani na kuvaa hasira na ujinga. Lakini ashukuriwe Kristo aliyeingia tena ndani yangu na kunibadilisha ufahamu. Nikatoka mbio sasa nimeokoka nipo huru. Nawacheka tu wale maimamu na midevu yao na magauni

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 ай бұрын

    ​@@RapaFatahahahaaa mwehu wee wewe unayemuabudu mwanaume mwenzio ndo unaakili

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    2 ай бұрын

    ​@@punnamalaba4445muongo wewe shetani hakutumia bibilia kumjaribu yesu kwa sababu bibilia haikuwepo siku alizokuwepo yesu ni kitabu kilichotungwa baada yake kuondoka

  • @AziziPonera
    @AziziPonera2 ай бұрын

    Wape elimu hao

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783Ай бұрын

    Wewe muongo akuna mtu ameona mungu hata siku moja alikuwa yesu kristo na Musa

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын

    Yesu mtt wa mariam niujamilifu wa uumbaji wa. Mungu kwanini ni ukamilifu hebu fatilia komenti zangu ujue Kwa nini Moja

  • @mckobatz5861
    @mckobatz58612 ай бұрын

    Ili mtu awe anahitaji vitu vitatu roho, nafsi na mwili kitabu cha mwanzo kimesema "na tumfanye mtu kwa mfano wetu" ndipo inapokuja sense ya trinity Mungu baba mwana na roho mtakatifu. Malaika kiumbe wa mwenyezi Mungu mwenye kazi ya kutoa roho anaweza fanya hivyo kwa sekunde moja ktk maeneo tofauti Mtwara, Rukwa, Mwanza, China marekani na Palestine Mungu kwanini mnamuwekea limit kwamba kuna anavyoweza na vingine hawezi?(kuwa mtu na kuwa Mungu at the same time). Israelites jangwani walipoomba kumuona waliposikia ngurumo tu kidogo wakasema basi je huyu bwana mkubwa angekuja ktk utukufu wake jicho la nani lingeweza kumtazama? Hapo mwanzo palikuwako na neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu katika yeye vitu vyote vilifanyika. He's God that's it.

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e2 ай бұрын

    Ikiwa hadi leo hujui yesu au issa ibni Mariam ni Nabii wa Mungu bali unaamini yasu ni Mungu basi jua huna tofauti na hayawani yaani basi kuna binadamu ambao wanaumri mkubwa kuliko Mungu? Yani kabla hajazaliwa sikulikua na wanadamu? Kwaihivyo wao wanaumri mkubwa kuliko Mungu hivi mnatutania au

  • @AlfaMwahasanga
    @AlfaMwahasanga2 ай бұрын

    Soma hapa shehe 1yohana 5:8 ni kweli kabisa Mungu ni mmoja wala hakuna shaka. Ila katika huyo Mmoja kuna nafasi tatu Yohana 14:6-10 isaya 9:6

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Michongo ya Paulo hiyo amewazushia kama hamtasoma vyema kitabu chenu mtaingia motoni fuateni haki twende pamoja peponi Yohana anawaambia mtaenda mbinguni wakati mbingu pia imeumbwa na Mwenyezi Mungu anasema ataikunja mbingu sasa wakati ikikunjwa na wewe upo huko si utakunjwa pamoja 😂

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @AlfredZacharia-of3je

    @AlfredZacharia-of3je

    2 ай бұрын

    Hatuwezi kuingia kwenye dini ambayo Muhammad alimsilimisha shetwan akawa muislam

  • @hasaniabdalah6148

    @hasaniabdalah6148

    2 ай бұрын

    ​@@AlfredZacharia-of3jeumesahau tuu hata sheitwani pia ni kiumbe cha mungu ndio maana sheitwani alikua mbinguni akiabudu pamoja na malaiika kosa lake ni husda alioiweka alipo ambiwa amsujudie Adam akapinga hata wewe kama mkristo kosa lako ni kumpinga Muhammad kama nabii wa mwisho wa Mungu . unaweza ukatenda matendo mema na hayana malipo kukataa haki na njia ya mitume na manaabii 😢😢😢 huzuni juu yako una masikio husikii una macho huoni

  • @samxx411
    @samxx4112 ай бұрын

    Wote kundi moja, hawajielewi wao wenyewe hawana uhakika na dini yao...na hakuna mkristo mwenye uhakika na dini yake ila ubishi tu...

  • @brothermuadhwam890
    @brothermuadhwam8902 ай бұрын

    Msipo elewa hapa aaa hamueewi tena ni moto tuu shekh shafii kashamaliz kaz maan maandiko yashajitosheleza hayo mbna wakristo wabishi sana moto hamuuwez heee nawahurumia sana na kufuru zenu wazwaz

  • @user-ob2ik5gy1b

    @user-ob2ik5gy1b

    2 ай бұрын

    Biblia ni maneno ya watu na sii ya mungu kwani biblia ni nyingi na zote ni tofauti na hizi zimetungwa na wanadamu.

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa2 ай бұрын

    Hawa makafiri wamefungwa na shetani hawaoni maandiko

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk2 ай бұрын

    HUO NDIO MKOROGO WA BIBLIABWAANAH, WASHAANZA KUUELEWA WENYEWE.

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u2 ай бұрын

    Bibilia nikitabu chumungu mungu yupi unae mjuwa wewe miungu nimengi wewe unaseme yupi

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @alyumaraos
    @alyumaraos2 ай бұрын

    Hahaha akili ni nywele na huyu mzee kipala hana nywele kwaiyo hana akili timam anazidiwa akili na huyo mwanamke.

  • @LugomeRisasi
    @LugomeRisasi19 күн бұрын

    Biblia inajitosheleza ila kumbe watu hatujui maandiko

  • @profs.a5412
    @profs.a54122 ай бұрын

    😂😂😂 waislamu na mbumbu wengine woote nasoma comment zao hapaaaa.😂

  • @sleymankassim4332
    @sleymankassim43322 ай бұрын

    Ndugu zetu wakristo zingatieni swali la mwisho alilouliza shekhe, ikiwa yesu ni Mungu je ni Mungu gan bwana yesu alikuwa akimuomba kwenye Mlima?????

  • @ANDREWKIMARO-by3zl

    @ANDREWKIMARO-by3zl

    2 ай бұрын

    Swali limeshajibiwa sana labda kama ni mtoro darasani huyo sheikh wako

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783Ай бұрын

    Alaha anapa kwa aliuamba kike na kiume swali anaapa kwa nani?

  • @Anuarmustafa4128

    @Anuarmustafa4128

    Ай бұрын

    Anaapa kwa malaika wake

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango90882 ай бұрын

    Unasema vema ila kutuokoa hio itoe haiwezekani tuwe tumeokolewa tukiwa hai hata tukiendelea kufanya zambi

  • @user13375
    @user133752 ай бұрын

    Wenye ndugu Majini

  • @user-nl1ou9ow2l

    @user-nl1ou9ow2l

    Ай бұрын

    Suleiman alikuwa akiwafanyisha kazi.je alikuwa ni ndugu zake hao majini na je Suleiman hakuwa na elimu kwa maoni yako.kuingia duniani ni laisi ila kutoka kwake ni kugumu.maana unaingia ukiwa hauna dhambi ila unatoka ukiwa na madhambi.dini tumeletewa,ni vyema tukatumia akili zetu vema ni dini ipi tuliyoletewa inaweza kutuweka ktk njia ya haqi.ama ndio tufuate ushabik na amasa.kama watu wa siasa.

  • @user13375

    @user13375

    Ай бұрын

    @@user-nl1ou9ow2l 🤣

  • @user13375

    @user13375

    Ай бұрын

    @@user-nl1ou9ow2l nyie hamtofautiani kihusu Maulid ? Unaweza kudhani ulipo ni salama tafakari ,na ndo maana hata mwandamo wa mwezi huwa inawatofautisha kufungua.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa48352 ай бұрын

    Weunae bishana na huyo dada akili huna bichwa kama tofali latope kama yesu niMUNGU kabla hajazaliwa dunia alikua nayo nani? kidevu kama kona ya kiazi

  • @wadimtwana7286

    @wadimtwana7286

    2 ай бұрын

    Ndugu umeua

  • @isaackusupa9635
    @isaackusupa96352 ай бұрын

    Kwanini msihubiri uisilamu wenu Badala ya kuhangaika na ukristo? Kama huujui uungu usiongee kitu. Mwanzo anasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu Mungu alikuwa na nani? Katika Agano la kale unalolizungumzia sheria zake zilikuwaje? Na waisrael walishindwa soma vizuri Yeremi 31:31-34 utaelewa

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @user-qv3xp1fd4u

    @user-qv3xp1fd4u

    Ай бұрын

    Tumemfanya mtu kwa mfano wetu maana yake ni kwamba; Wewe una akili mungu naye anazo akili lkn akili zako hazifanani na mungu, wewe una nguvu ni kweli mungu naye anazo nguvu lkn nguvu zako hazifanani na mungu, wewe unasikia ni sawa mungu naye anasikia lkn usikivu wa mungu na wewe ni tofauti lkn wote mnasikia, maona, mna nguvu nk katika dhana hiyo lkn UKWELI ni kwamba mungu hafanani na KIUMBE CHOCHOTE

  • @stevenmponzi8168
    @stevenmponzi81682 ай бұрын

    nendeni kwa nabii kiboko ya wachawi muone waislam wenzenu walivyojaa na wanavyokimbia uislamu

  • @selengechobo

    @selengechobo

    2 ай бұрын

    Kiboko ya wachawi si mganga wa kienyeji yule acha bangi tumia akili usibuluzwe na waganga hao

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    2 ай бұрын

    yule nabii au tapeli yule ni tapeli TU kama wakina mwamposa acha ujinga kuwa na akili

  • @mwashumkigoda

    @mwashumkigoda

    2 ай бұрын

    Hao mi wajinga wenzenu na huyo mtume wenu mi muongo mkubwa mi mchawi kama wachawi wengine

  • @minaniyasini7834
    @minaniyasini78342 ай бұрын

    Wakristo someni biblia msingoje kusomewa .ili mpate kujuwa zaidi

  • @HappyKiteboarder-du9th

    @HappyKiteboarder-du9th

    2 ай бұрын

    Upo sahii

  • @sudihammad7387
    @sudihammad7387Ай бұрын

    Njooni msilim uislam unasema kila siku dunia ni sehem ndogo kosea kuishi usikosee kwa mungu ukirudi kwako utajikuta unataabika maisha yoote ya kuishi mbele ya Mungu mwenyewe

  • @alexandernyambo7739

    @alexandernyambo7739

    Ай бұрын

    Wewe Sud umechizika bado kifaranga hivyo 😂🤣😂🤣 Nani asilim na kuingia kwenye dini ya mauza uza, dini ya majini Makata na majini sharifu, Maimuna na Subihan 🙄🙄 Si ndiyo maana mnafanana nayo majina Wenzenu tunajazwa Roho Mtakatifu na tunakuwa Watakatifu 😁😁😁. Ninyi mnajazwa hayo majini na mnaendekeza ngono, kuoa wake wengi na ushoga kwa wake zenu na huko Madrasa kwa watoto wenu 😣🤗. Mnapokutana huko TARAWEY mnafanyiana nini?? Mnadhani hatuyajui eeeh 🙄🙄 Njooni kwa YESU huku kuna Utakatifu na Uzima wa kweli..... TUNA MWABUDU MUNGU MTAKATIFU, BIBLIA NI TAKATIFU, SISI NI WATAKATIFU, MBINGUNI WATAINGIA WATAKATIFU TU KAMA MIMI HAPA...... WENYE MAJINI SHARIFU HAWAWEZI KUWA WATAKATIFU NA WOTE SEHEMU YAO NI JEHANAMU NA MOTO 🔥🔥🔥💥 USIO ZIMIKA 😁SHITUKA, UTOROKE UJE WEWE.... RAHA YA UKWELI IKO HUKU

  • @user-ih4kw5eb3d
    @user-ih4kw5eb3d2 ай бұрын

    Mfano umeambiwa na mamaako uingie kwashimo la choo na kunamtu mwengine ambae humuamini ama ampita njia akwambia hapo panashimo, sasa kati ya mama na mtu kando utamamini nani

  • @mussashaha-iv7gg

    @mussashaha-iv7gg

    2 ай бұрын

    huelewi

  • @user-yl7zp6dd1d
    @user-yl7zp6dd1d2 ай бұрын

    Huyu ilimu hana pia akili yake puhnguani

  • @Suleimanokechi
    @Suleimanokechi2 ай бұрын

    Wakristo hao wanalishwa mashonde kanisani ndy maana hawajielewi

  • @danielmwakimi2416

    @danielmwakimi2416

    Ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZGp9t5hxqMa2j7w.htmlsi=HAu7gSAnzVCHw0Mq

  • @sarabura8933
    @sarabura89332 ай бұрын

    YESU kirsto ni MUNGU

  • @ramadhankilango9088

    @ramadhankilango9088

    2 ай бұрын

    Fikiria Tena uwezekano wa mungu kula na kunywa mvinyo (pombe) na wanaadamu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @HamisiMohamed-je8fj

    @HamisiMohamed-je8fj

    2 ай бұрын

    Akiri auna wewe naukafiri wako

  • @HamisiMohamed-je8fj

    @HamisiMohamed-je8fj

    2 ай бұрын

    Mungu anatailiwa

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    @@HamisiMohamed-je8fj 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mungu kaenda jando kama kaka angu Hamis 🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 .

  • @HamisiMohamed-je8fj
    @HamisiMohamed-je8fj2 ай бұрын

    Wakristo akiri zao kama nguluwe2

  • @ANDREWKIMARO-by3zl

    @ANDREWKIMARO-by3zl

    2 ай бұрын

    Hizo akili tumepewa na YESU 1 Yoh 5:20 SUV Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, "naye ametupa akili" kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.

  • @hoseasteven6241
    @hoseasteven62412 ай бұрын

    acha kudanganya watu, kama wewe hauamini kama yesu ni Mungu basi haina noma tuache sisi na ujinga wetu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma97092 ай бұрын

    Shida wanasoma vitabu vya watu ndiyo maana al.quran inabaki na sifa ya pekee

  • @danielmwakimi2416

    @danielmwakimi2416

    Ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZGp9t5hxqMa2j7w.htmlsi=HAu7gSAnzVCHw0Mq

  • @saidgumbo2529
    @saidgumbo25292 ай бұрын

    Hili andiko wakrsto hamlioni?

  • @danielmwakimi2416

    @danielmwakimi2416

    Ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZGp9t5hxqMa2j7w.htmlsi=HAu7gSAnzVCHw0Mq

  • @favoritebrayo
    @favoritebrayo2 ай бұрын

    watu kama waislamu hawana Roho Mtakatifu watamjua aje YESU waanze kutufunza wao jameni🤔🤔🤔🤔🤔😚😚😚

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @idinado-wk3lx

    @idinado-wk3lx

    2 ай бұрын

    Kosome vinzuli bibilia mtaelewa TU ila ukweli utakuja bainika TU Toka kizani Toka kizani 😂😂😂😂😂

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    2 ай бұрын

    @@Catherine-mh8sw hilo andiko lina tatizo gani?

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    2 ай бұрын

    @@idinado-wk3lx mimi najua vitu zenye unajua na zenye hujui ata

  • @idinado-wk3lx

    @idinado-wk3lx

    2 ай бұрын

    Sio laisi wewe Bado uko kizani soma vizuli utakuja nishukulu iyo nikwafaida Yako 😂😂😂😂😂 Pole sana

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko54932 ай бұрын

    Hivi uislam na ukristo kipi kilianza? Bila shaka ni ukristo( baada ya miaka kama 600) . Je ni kipi kinaweza kuwa na ukweli? Vyenye kumbukumbu za kipindi hicho au kilichokuja baada ya miaka 600?

  • @samxx411

    @samxx411

    2 ай бұрын

    Acha pombe ukristo ameanzisha paulo pale antokia wakati uislam ulikuwepo tokea Adam alikuwa muislam, ibrahim, mussa na yesu wote walikuwa waislam, sasa iweje ukristo uanze mwanzo.....soma uelewe usiwe kichwa pumba

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    Ukongwe sio hoja ukongwe ingekua hivyo basi injili ingekua sio ya kweli kwa sababu torati ilikua mapema zaidi yake.

  • @samxx411

    @samxx411

    2 ай бұрын

    @@listerferdinand9653 kichwa chako kizima nakukubali mkuu

  • @hoseasteven6241

    @hoseasteven6241

    2 ай бұрын

    @@samxx411 Nani alikudanganya kuwa at niwaislam

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    ​@@hoseasteven6241haya sema Ibrahim alikuwa dini gani?

  • @egnomsigwa8418
    @egnomsigwa84182 ай бұрын

    Kuanzia leo simwamini mtume paulo

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    2 ай бұрын

    Yohana 17:3

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy2 ай бұрын

    Hicho kitabu kinajikanganya,Quran haijajikanganya

  • @danielmwakimi2416

    @danielmwakimi2416

    Ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZGp9t5hxqMa2j7w.htmlsi=HAu7gSAnzVCHw0Mq

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54392 ай бұрын

    Quran kitabu Cha majini uwezi kukilinganisha na biblia Mungu WA kwenye biblia sio WA kwenye Quran atutawakubali milele na milele

  • @brothermuadhwam890

    @brothermuadhwam890

    2 ай бұрын

    Humpati mtu Moton unakwenda pekeako 😂😂 pumbavo usieona wal kusikia finnari jahannam

  • @AhmedZahor

    @AhmedZahor

    2 ай бұрын

    Chizi ukimjibu na wewe Utakua Chizi sasa Mungu wenu munasema kasulubiwa mpk kafa Mungu gn apigwe na viumbe vyake mpk wamuuwe nyie wagalatiwa Muwe na akili musome

  • @nubianqueen6700

    @nubianqueen6700

    2 ай бұрын

    Pia sisi hatutowakubali abadan, hata qiyama kikisimama.

  • @user-es4uf6gj7u

    @user-es4uf6gj7u

    2 ай бұрын

    Kafiri hanjiaya yakutokea kwanyekibano cha moto ill pale atakapo silimu mana hiyo bibilia mwanzo mwisho inamtukana mungu au hulioni hilo kafiri ww naka hilioni useme uoneshwe

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    2 ай бұрын

    @@user-es4uf6gj7u wewe muhone mungu wenu anaomba kunusuriwa maana yake yapo motoni Quran 47:7 Fanya ima waumini waislamu mkimusuru mwenyezii mungu naye atawanusuru je hapo nani kafiri Allah kajiweka wazi alipo hatarini

  • @punnamalaba4445
    @punnamalaba44452 ай бұрын

    Bint endelea tu kuukataa Uungu wa Yesu, atakapokuja na utukufu wake hayo utayaeleza mwenyewe mbele yake ,

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    2 ай бұрын

    Uyo mwana mke ana akili kuliko nyote Mungu amuongoe azidi kuelewa haki ilipo

  • @HappyKiteboarder-du9th

    @HappyKiteboarder-du9th

    2 ай бұрын

    Huyu dada anaakili sana endekea kuwafundisha

  • @HassanJaphari-rx7jy

    @HassanJaphari-rx7jy

    2 ай бұрын

    Mungu ni mmoja tu na "hakuzaa na Wala hakuzaliwa" na hafanani na chochote hapa ulimwenguni. ☝️🕌🙏🙏🙏

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    Umewahi kusoma kitabu gani? Mkiacha uzembe mkakaa mkasoma mtakua ukweli

  • @mussashaha-iv7gg

    @mussashaha-iv7gg

    2 ай бұрын

    huelewi bado ww ni mjinga

  • @cideboy100
    @cideboy1002 ай бұрын

    Huyo mchungaji anaezungumza hapo mwambieni asome Isaya 56:11 atafahamu yeye ni nani

  • @jombadulla

    @jombadulla

    2 ай бұрын

    kakupoteza paulo wew,soma Marco 12:28 ,je ni mungu