Ustadh Shafii Awaumbua Wachungaji Ndani ya Nchi ya Msumbiji Kuhusu Kuharibiwa Kwa Bibilia-

Msumbiji kwawaka moto wahadhili wakiwasha.....
Ustadh Shafii Awaumbua Wachungaji Ndani ya Nchi ya Msumbiji Kuhusu Kuharibiwa Kwa Bibilia-

Пікірлер: 256

  • @AliViatu-hk6br
    @AliViatu-hk6br11 ай бұрын

    Waislam takbir

  • @judicateshuma3688

    @judicateshuma3688

    11 ай бұрын

    We shafi ndiyo utakuwa kuni za kuchoma wengine jehanam,

  • @user-cg2vp3qs7d
    @user-cg2vp3qs7d4 ай бұрын

    Laailahailallah allah akusamehe mchungaji tena sana

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Жыл бұрын

    Allah awape umri mrefu munao tufahamisha wa afya awape kauli thabit Dunian na akhera

  • @AbdulIsmail-ie4hp
    @AbdulIsmail-ie4hp3 ай бұрын

    Ost shafiii........ Mungu amhifadhi

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha38539 ай бұрын

    Allah Akbar navyo wapenda ustadh Shaffi na Juma kinyogori yaa Rab awalindee hiyo kazi mnaifanya kwa roho Moja ........Allah awafunguliye milango ya jannah

  • @zuleihaalide
    @zuleihaalide Жыл бұрын

    Nilikuwepo kwenye hii debate

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Жыл бұрын

    Uyu mkirsto duh kasema yesu Mungu mara kageuka yehova Mungu wakirsto bhana sarakasi

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    Жыл бұрын

    Kakaa kwa ala wako alierogwa hajui kusoma wala kuandika, mnafichwa kwenye kiarabu ili msijue lolote

  • @nicksonlyimo1562

    @nicksonlyimo1562

    8 ай бұрын

    Unacho shangaa Nini majina ya Mungu wa kweli ,wakati kwenye Quran mungu wenu ana majina 99

  • @TawfiqHaji

    @TawfiqHaji

    Ай бұрын

    ​@@nicksonlyimo1562,nyie mungu wenu ana majina mangapi,mungu kazaliwa anakula anakunya analala ,vipi hiyo.

  • @msackmedia6866
    @msackmedia68665 күн бұрын

    Tumekuteremshia kitabu (Tu) hawezi kua Mungu maana Mungu ni mmoja acheni uongo

  • @umratkapera3415
    @umratkapera3415 Жыл бұрын

    Allah akuhifazi Ustazi Shafyii Shomari

  • @emmanuelmatiko7307
    @emmanuelmatiko730719 күн бұрын

    Pastor you're the best

  • @rajabnyoka-vv5vh
    @rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын

    Ndugu zetu wakrixto wanafanya biashara pamoja na hao wachungaji wao na wala hili halina Shaka na wao pia haki wanaijua ni vile tu pesa wanaziona tamu lakini pepo nitamu sana mungu awangoze ndugu zetu waingie katika haki ya uislamu aameen.

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Umepotea mpendwa

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    9 ай бұрын

    Upo sahihi kabisaa Ukweli wanaujua ila wakiristo wabishi tu kwa kutaka dunia

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Жыл бұрын

    Mashaallah jazakumllah kheir

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Жыл бұрын

    Maashaallah baarakallah wallahi shekh shaffi wwe kiboko mungu akupe umri mrefu ulio wa kheri akupe mwisho mwema aamin

  • @ustadhshafiionlinetv

    @ustadhshafiionlinetv

    Жыл бұрын

    Allahuma amiin kwa sote inshallah

  • @ahmedhamisi-jc2hs

    @ahmedhamisi-jc2hs

    Жыл бұрын

    Amina rabbi allamiin

  • @godsonishengoma5378

    @godsonishengoma5378

    11 ай бұрын

    Yesu ndye njia ya uzma.. Kapewa mamlaka yote,juu mbingun na dunian.. Htoweza kamwe kumuona Mungu paspo yeye.. Ukifa ungali s mfuas wa Yesu,jehanam panakuhus.!

  • @user-qe2nj8ze4g
    @user-qe2nj8ze4g5 ай бұрын

    Mashaa Allah mwenye ENZIMUNGU AWALIPE AWAPE MAISHA MAREFU YENYE KHER

  • @SalmaIbrahim-ns6wy
    @SalmaIbrahim-ns6wy13 күн бұрын

    usilam ndo dini yahaki beleya mungu alhamdulillah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Maashaallah tabarakallah

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Жыл бұрын

    Ma ashaa ALLAH ,, MUNGU awape nguvu na umoja na awazidishie kheir na ilmu zaidi , na awajalie wepesi kila palipo na uzito na mwisho mwena na awajalie jannatul fridausi amiin

  • @ustadhshafiionlinetv

    @ustadhshafiionlinetv

    Жыл бұрын

    Allahu amiin thuma amiin kwa sote inshallah pamoja nawe

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    Жыл бұрын

    We jamaa jinga kweli na Sura yako mbovu sasa yakobo alikua akishindana na mjumbe WA Mungu, sasa sikama kashindana na Mungu nini ambacho huelewi nini? kwani wewe unatangaza uislam kwaajili ya Nani? Unasoma Maandiko ya Qur'an na MTU akibisha sianakua kabishana na Allah wako tumia akili kabla ujaropoka utumbo

  • @judicateshuma3688

    @judicateshuma3688

    11 ай бұрын

    Nyie amuwezi kushinda na Mungu aliye hai, ni sawa na kufukuzana na upepo, mtaumia bure,

  • @HabimanaAbdaul

    @HabimanaAbdaul

    11 ай бұрын

    Ĺlĺĺĺlĺĺĺĺllĺlĺĺĺĺĺlĺĺĺĺĺĺĺĺĺĺĺ9ll9ll9l9llll9l9l9l9ll09lllllll9ll9l

  • @user-fy4op1sw2f

    @user-fy4op1sw2f

    7 ай бұрын

    Amiin yarab

  • @user-zh9iz4nj1h
    @user-zh9iz4nj1h4 ай бұрын

    Alhkbar...alhakbar❤❤❤🎉🎉🎉

  • @jjtm164
    @jjtm1647 ай бұрын

    Huyu mchristo Mungu amubariki

  • @HawaMohammed-te7ug
    @HawaMohammed-te7ug11 ай бұрын

    M,mungu,akufanyie,wepex,Shekhe,WETU,kwakazi,kubwa,unayoifanya

  • @user-zv4sx9iv8z
    @user-zv4sx9iv8z3 ай бұрын

    Macha Allah, Cheikhs Shafii

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Жыл бұрын

    ماشاءالله

  • @edithnimubona-uq1es
    @edithnimubona-uq1es6 ай бұрын

    Subhanallah eti kama upumbafu kuumba umbu kila kitu Mungu kaumba kwasababu du

  • @SalimJillo-gj7kz
    @SalimJillo-gj7kzАй бұрын

    Mashaallah

  • @teronotieno3338
    @teronotieno33384 ай бұрын

    Shafiii❤❤❤❤

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw11 ай бұрын

    Baraka Sheikh wote mnatufunza mema alhamdulilah...🎉🎉

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Жыл бұрын

    Masha ALLAH Sheikh Shafi nimiongoni mwa Masheikhe ninao wakubali sana. Mwenyezi MUNGU Akujahalie kheri Zaidi katika Dunia na Akhera. Ila naomba Fika na Katika Kijiji Cha Kilanjelanje na mbwemkuru vijiji hivi vipo wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi na Mimi Binafsi ndipo nilipo lelewa hapo na wazazi walionilea ni wamakonde pale wamakonde wanakashifiwa sana wanaitwa WAMAWIA Kitu ambacho kinapelekea wasiokuwa Waislamu kuona Uislamu Dini ya kijahilia. Hata Mimi nilikuja kuijua haki baada ya kwenda Dar es salaam Hivyo Naomba Masheikhe fikeni vijiji hivyo pia In Sha ALLAH mukatoe makandokando Watu waijue haki fanyeni hivyo Kwa ajili ya ALLAH🙏

  • @angelomalimi2444

    @angelomalimi2444

    Жыл бұрын

    Kwa uwongo na unafiki

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero7324 Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @rashidimwambichi3340
    @rashidimwambichi3340 Жыл бұрын

    Lini hii

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Mwezi hu wa 3 na Talahe 3. 2023,

  • @ktjnr12169
    @ktjnr121697 ай бұрын

    Allah Akbar

  • @AmoIslamicTv
    @AmoIslamicTv4 ай бұрын

    Allah aturithie Sote inshaallahu

  • @user-nq3zf2kh9n
    @user-nq3zf2kh9n4 ай бұрын

    Mtumishi Obama Mwenyezi Mungu akubariki sana

  • @seifsuleiman4046
    @seifsuleiman4046 Жыл бұрын

    Mashaallah nimependa kazi allah akupeni nguvu

  • @swabrinanasser9656

    @swabrinanasser9656

    Жыл бұрын

    Gg

  • @swabrinanasser9656

    @swabrinanasser9656

    Жыл бұрын

    J

  • @DeBeasts66
    @DeBeasts66 Жыл бұрын

    Naikumbuka iyooo🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @khairatkheir7776
    @khairatkheir777618 күн бұрын

    ALLAHU AKBAR

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @Idysalim
    @Idysalim Жыл бұрын

    Kumbe bibilia nikitabu kinacho mpinga Allah...! SubhannaAllah

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Mmepotea

  • @nicksonlyimo1562

    @nicksonlyimo1562

    8 ай бұрын

    Sio tuu kumpinga Allah hajulikani kabisa kwa Biblia ,kwani Allah ni mungu wa makuresh na Quran ni kitabu kinacho shirikishwa na mambo mengi yakiwemo uganga ,majini,na upinzani dhidi ya amri za Mungu wa kweli ,na kinashuhudia uongo juu ya torat na injili na zaburi toeni ndani ya Quran injili iko wapi? Na hiyo torat ndani ya Quran iko wapi? Na hizo zaburi ndani ya Quran iko wapi?? Hakuna hata moja na Quran haiwezi kua na hivyo vitabu kwani vilishatiwa muhuri kwa Roho Mtakatifu vikafika ukomo wa kutokuongeza chochote,onyesheni Biblia isio na mapungufu ambayo ninyi waislaam mmeihifadhi au mnayoijua Ili tuitifautishe na iliopo Leo ,acheni uongo Mungu Huwa anajiteta kwa haki na sii uongo wa kufurahisha watu,,kwani Quran alipewa Mohammad na adui wa jubril Ambae ni shetani Soma Quran 2:97 hao mnao wadanganya wakawafuata hawajui chochote pia hua wanakaa kwenu na Kisha hurudi tena walikotoka kwani wanaona mabalaa matupu huko .(wakristo wanaabudu kwa jinsi ya Roho na ninyi hamjui mambo ya Roho kwani ninyi mko mwilini kiibada ,Yesu alisema Tangu Sasa waabuduo halisi imewapasa kuabudu katika Roho na kweli soma Yohana3:3-6 wakristo wamezaliwa mara pili kwa jinsi ya Roho,(Yohana 4:23-24 waabuduo halisi) waislamu hamna hiyo.

  • @mejukassim
    @mejukassim Жыл бұрын

    Tabarakallah 🤲🏼🤍

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f11 ай бұрын

    Ave Maria is played and One of the screen legends is annunciation.

  • @mwajumasaidi4486
    @mwajumasaidi4486 Жыл бұрын

    Mashallah,

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Жыл бұрын

    Masha Allah Ustaz

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Mash Allah Shekhe Shafi na Mashekhe wenzio wote Allah awaweke.

  • @HassanAbdallah-qv9me
    @HassanAbdallah-qv9me Жыл бұрын

    Mashallah shehe safii

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 Жыл бұрын

    Mko sawa wachungaji

  • @sylivesternovatus
    @sylivesternovatus6 ай бұрын

    Nyie mmelaniwa

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Жыл бұрын

    MA SHA ALLAH

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Mtachomwa Moto jidanganyeni na majini yenu

  • @user-ni8eg7zg3y
    @user-ni8eg7zg3y Жыл бұрын

    Mashalla barakallah

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f11 ай бұрын

    Thanks.

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63467 ай бұрын

    Wakiristo washindani kweli. Vitu viko wazi

  • @user-fo3sj1pn9g
    @user-fo3sj1pn9g8 ай бұрын

    ma ashaa Allah

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Жыл бұрын

    Safi sana Shafi

  • @user-bn1qg7iq6l
    @user-bn1qg7iq6lАй бұрын

    Yuko pamoja damu zangu

  • @jjtm164
    @jjtm1647 ай бұрын

    Mungu wao muongoooo

  • @HusseinAli-fx1ld

    @HusseinAli-fx1ld

    7 ай бұрын

    Kiswahili pia hujui😂

  • @jjtm164

    @jjtm164

    5 ай бұрын

    @@HusseinAli-fx1ld Bora umeelewa

  • @JUMAAKIIZA
    @JUMAAKIIZA11 ай бұрын

    Maashaallah

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Jidanganyeni na majini yenu mtachomwa Moto jidanganyeni na majini yenu

  • @foreveryoung-we7oo
    @foreveryoung-we7oo6 ай бұрын

    Alaa… kumbe wakiristo wamtukana mungu lohhhhh watu waovu sana hawa watakua kuni za moto

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f11 ай бұрын

    Pia wasome Amanda is. Referred to The Madonna,kutoka Glass menagerie.

  • @user-ug6gr3gu5m
    @user-ug6gr3gu5m Жыл бұрын

    Mashallah

  • @MahaHassan-gi4zp
    @MahaHassan-gi4zp11 ай бұрын

    الله اكبر

  • @wadudi2741
    @wadudi2741 Жыл бұрын

    Hiikali

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Жыл бұрын

    WAKRISTO JIEPUSHE I NA WATU HAWA WALISHINDWA KUHUBIRI HABARI ZA IMANI YAO WAANGAIKI NA IMANI ZA WENGINE. BIBLIA SIYO KITABU NI NENO LA MUNGU MKUU ALIYE HAI MILELE YOTE. ELEWENI HILI. AMEN.

  • @alisaidabdallah1480

    @alisaidabdallah1480

    11 ай бұрын

    Kitabu kilicho virungwa virungwa na wanadamu

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Allah ni lusifa SHETANI Kama hujui watachomwa Moto hawa

  • @TawfiqHaji

    @TawfiqHaji

    Ай бұрын

    ​@@stephanomaduhu5426-hujui ulitendalo,mungu akuongowe haki uione na kuifuata na shari,batil akukinge na akuepushe.

  • @chikuiddy9946

    @chikuiddy9946

    Ай бұрын

    ​@@stephanomaduhu5426 Dooh! Allah akusamehe kwa kweli na akuongoze katika njia iliyo ya haki

  • @user-xr9yf3jy7g
    @user-xr9yf3jy7g6 ай бұрын

    Wape daa😮w

  • @sylivesternovatus
    @sylivesternovatus6 ай бұрын

    Hakuna din zaid ya ukristo

  • @NhaloNhalo-ol7ls
    @NhaloNhalo-ol7ls11 ай бұрын

    Mashaallah Nawata Sheikh shusha vitu.

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Allah ni lusifa SHETANI Kama hujui mtachomwa Moto jidanganyeni

  • @chikuiddy9946

    @chikuiddy9946

    Ай бұрын

    ​@@stephanomaduhu5426Pole sana ndugu yangu Allah akusamhe kwa kweli

  • @user-bj8no2ob7l
    @user-bj8no2ob7l Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Жыл бұрын

    Mchungaji hajui kujibu aanaaajibu vingine pale ni 42 alipo anza na kweingine 22 alipo anza hajajibu kadaakia moris

  • @mugabekashindi4111
    @mugabekashindi41119 ай бұрын

    Kwa nini mnampinga yesu ivi mkosawa kwni nyinyi mnauwezo wakumpinga Mungu kwakumutuma mwana wapekee mnamukufuru Mungu wenu bila nyinyi kujuwa sijuwi mnachanganikiwa wa slim

  • @HusseinAli-fx1ld

    @HusseinAli-fx1ld

    7 ай бұрын

    Yesu sio Mungu. Yesu alizaliwa uchi uchi akatairiwa alilala akaenda choo Akala akasahau. Mungu gani Ako na sifa izi

  • @chikuiddy9946

    @chikuiddy9946

    Ай бұрын

    Ndugu yangu waislam hawampingi yesu, ispokuwa kwa Imani ya kiislam Yesu ni mtume wa Mw/Mungu si Mungu, uelewe hapo

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p5 ай бұрын

    Mwanao akwambie baba upumbavu wako sio kama wa watoto wa mtaani wakristo acheni utani na mungu biblia inasema mungu mpumbavu halafu mnatetea utumbo huu mtihani sana

  • @sanitoamericomualeia7998
    @sanitoamericomualeia799811 ай бұрын

    Assim onde se realizou esse debate, em que distrito de Cabo Delgado?

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Жыл бұрын

    MASHAALLAH

  • @stephanomaduhu5426

    @stephanomaduhu5426

    11 ай бұрын

    Hamjui maandiko ninyi

  • @AliBahumawa
    @AliBahumawa10 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @siwaletv4185
    @siwaletv41854 сағат бұрын

    Hivi hii ni kabla ya ule mkasa uliowakuta ndugu zangu ama ni baada

  • @kiragufrankjoram4060
    @kiragufrankjoram4060 Жыл бұрын

    ELIMU NI MUHIMU SANA MWALIMU WAKIISILAMU UMEDANGANYA UMA WAKO HUKUMALIZA AYA KWENYE BIBILIA LAKINI KWA VILE WANAO KUSIKIZA KIDONGO WAPUGUKIWA NA ELIM WANAPIGA TAKBIR TAKBIR WACHA NI MALIZE AYA 5:16 1Kor 6:14Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Kristo hajafufuka. 1715:17 Rum 4:25Tena kama Kristo hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu. 1815:18 Mt 9:24Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea. 1915:19 1Kor 4:9Ikiwa tumaini letu ndani ya Kristo ni kwa ajili ya maisha haya tu, sisi tunastahili kuhurumiwa kuliko watu wote. 2015:20 1Pet 1:3; Mdo 26:23; Ufu 1:5; Mt 9:24Lakini kweli Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, tunda la kwanza la wale wote waliolala. 2115:21 Rum 5:12Kwa maana kama vile mauti ilivyokuja kwa njia ya

  • @judicateshuma3688

    @judicateshuma3688

    11 ай бұрын

    Akuna she au imamu au mwalimu yoyote wa kiislam anayeweza kumshawishi mkristo kwa njia ya mafundisho akacilim akuna hata mmoja

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Жыл бұрын

    Suti zaa waazungu zinaapita utamaduni wa kizungu hv huo mvinyo walitoeea wapi wakati wapo pangooni duh haata mungu kaumba nyoka ana sum haieeleweki manaa bee wote warabu wazungu hatari

  • @arkanodadirey
    @arkanodadirey11 ай бұрын

    Masha ALLAH ustadh shafii MUNGU akuhifadhi pia naoba number zako kwa heshima zako

  • @ibrahimfarha3853

    @ibrahimfarha3853

    9 ай бұрын

    Kama utazipewa Nami nazihitaji

  • @ustadhshafiionlinetv

    @ustadhshafiionlinetv

    7 ай бұрын

    +255 716747459

  • @ustadhshafiionlinetv

    @ustadhshafiionlinetv

    7 ай бұрын

    +255716747459

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i5 ай бұрын

    Wakiristo ni hatari sana,, Mimi japo ni mwislaamu naitwa Abdu Salaam Abubakar Abdallaziz Abdallaiman Twalamohamed Al akimu.Kesho mimi nabatizwa nitaitwa Peter bin Paul bin John bin Yoshua

  • @TawfiqHaji

    @TawfiqHaji

    Ай бұрын

    Muongo muislami ni mtu mwenye imani ya kweli na hofu na mungu wake na wala imani yake haiyumbishwi na udanganyifu tamaa au mkumbo tuu,we sio muislamu,nenda uko ukachunge kondoo .🤦

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Жыл бұрын

    Kwahiyo mmungu kajikisoa mwenyewe kua yy mpumbavu huoni kua ni mikkono ya watu imeongeza

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-ik8yg4gx4g
    @user-ik8yg4gx4g8 ай бұрын

    Wasiram mnapensa kupotosha

  • @TawfiqHaji

    @TawfiqHaji

    Ай бұрын

    Mnadanganywa tatizo na haonwachungaji wenu wanaokula michango yenu na kuuziwa mkate wa bwana msikufuru,muogopeni allah iko siku mtakufa na mtafufuliwa na kulipea kwa kuwapoteza watu kwa maksudi.🤷

  • @ngematv7900
    @ngematv7900 Жыл бұрын

    Ni kukosa kazi walioleta dini hawajisumbuwagi hivo

  • @user-hp6gz6ln4k
    @user-hp6gz6ln4kАй бұрын

    Mtadanganya wale wasio lijua Neno la Mungu, kwa mkristo anaye ijuwa Biblia vizuri, na Quran na vitabu vyenu ampiti

  • @JamesMduma
    @JamesMduma6 ай бұрын

    Haujajibu swali korohani ina vitabu vingapi

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw11 ай бұрын

    ❤❤❤ Mashallah🎉

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p5 ай бұрын

    Kwanini yesu azaliwe jerusalem jina la kitabu litolewe na wagiriki 😢?

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk9 ай бұрын

    Mh

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga242811 ай бұрын

    DINI YA HILA

  • @michalpeter5980
    @michalpeter59806 ай бұрын

    Ss niinjili ipi unayo iamini

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63467 ай бұрын

    Alaaaa…. Kumbe wakiristo wamtukana mungu? Likua sina hio. Watachomwa mpaka wakome

  • @ronaldhelmott8379
    @ronaldhelmott8379 Жыл бұрын

    Na ...bahati nzuri wote mtakiri kuwa Yesu ndo mkombozi wenu mtake msitake Bible haijawai kumdang'anya

  • @tours15

    @tours15

    11 ай бұрын

    Bibilia ndio nini? inatoka wapi?

  • @ronaldhelmott8379

    @ronaldhelmott8379

    11 ай бұрын

    @@tours15 ni taa ya maisha yako so jitahidi sanaa uwe unakisoma kila siku.

  • @HusseinAli-fx1ld

    @HusseinAli-fx1ld

    7 ай бұрын

    Jibu makosa yalio ndani kwa bibilia

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 Жыл бұрын

    Wakristo hawana dini ya sawasawa lakini wameshika kikubwa. Mpaka upate bahati ya kuwa mkristo ndipo utaiona rehema na neema za mwenyezi MUNGU, na ahimidiwe Yesu Kristo wa Nazareti Alie hai, Jana, leo, na hata milele zote.

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    9 ай бұрын

    Hamna dini haswaaaa

  • @ronaldhelmott8379
    @ronaldhelmott8379 Жыл бұрын

    Maana mnawaambia watu mambo ya kufikirika Biblia inaeleza kila kitu wazi kabisaa mwanzo wa Dunia mpka mwisho wa Dunia

  • @mozartshukuru8604
    @mozartshukuru860411 ай бұрын

    Shaf sasaa mwanzo 19:30 n kizaz cha lutu sasaaaa apo walimzalilisha???elim finyu

  • @suleymandachi782
    @suleymandachi782 Жыл бұрын

    Tito2:13 kuna kiunganishi NA inamaana kuwa kuna Allah na nabii ambae ni yesu. Angseama Mungu mkuu muokozi wetu yesu hapo ingekuwa yesu ni mungu Mfano baba NA mama maana yake baba ni mtu mungine Mama ni mtu mungine, Ingesema baba mama ingekuwa maana nyingine

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek9683 Жыл бұрын

    Neno kitabu kwa kigiriki ni vivilio sio bibilia na hiyo vivilio ni vitabu vyote,atuache waislam

  • @mugabekashindi4111
    @mugabekashindi41119 ай бұрын

    Akuna atakae fika kwa bwana bila kumpitia yesu😅😅😅😅

  • @HusseinAli-fx1ld

    @HusseinAli-fx1ld

    7 ай бұрын

    Ilo ndio neno la mwisho mnalobaki nalo. 😅😅😅😅

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Жыл бұрын

    Ndio vitabu vya ibrahim inakubalika ni uislam na injili ni isa uislam na torat zote ni uislam ndio mana wwaislam wamefuata dini ya ibrahim hawajapinga ndio kuhuji ibrahim ameanzisha na ila bilblia hiyo imetungwa naa bada ya yesu sio ile ya kale ya ukweli walio fata waislam cha ukweli hiki kimezidishwa na kupunguzwa utamadunni ni wa kizungu mzungu mwizi tu hana na bee

  • @NahyaShaban-ve4qe
    @NahyaShaban-ve4qe Жыл бұрын

    naongeza aya tatu Yohana 19:14_16 Marko 15:25 af maliza na matendo ya mitume 12:22🤣

  • @hassanntakirutimana4509
    @hassanntakirutimana4509 Жыл бұрын

    Katika Quran 3:65 hakuna ayat yoyote katika Quran hakuna ayat iliosema kua bibilia ndani ya Quran

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz4 ай бұрын

    Utoto huo

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Жыл бұрын

    Hata naaa bee isa aalinssali na kuingia all aqsa masjed sio kanisa jamani quruani haijaa baguaa ma bee na kiarabu no ndio lugha ya maana bee wote na ukienda dunia nzima waislam ni wamoja wanasali kwalugha mojaa na kokote duniani huyu mchngaji muogope mungu sio mzungu

  • @magingijronlinetv2901
    @magingijronlinetv290110 ай бұрын

    quran imeandikwa tu na watu ushahidi uko wazi kabisaa... lakini mnawadanganya waislamu kuwa imeshushwa... nikiwa na muda nitaandika mengi.

  • @saidsaido8064
    @saidsaido8064 Жыл бұрын

    msumbiji sehem gani apo

Келесі