Ugeni Mzito Kwa Ustadh Shafii,Dr Shabani Muhoro-Mwanadada wa Kikiristo Awashangaa Wakiristo Wenzake

usisahau ku subscribe channel hii

Пікірлер: 356

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr3 ай бұрын

    This young woman is Very smart ,clean mindset and good heart . Welcome to Islamic religion.

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f3 ай бұрын

    Ma shaa allah huyo dada kesha anza kuiona nur subhanallah allhamdulillah

  • @Adm9464
    @Adm94643 ай бұрын

    Very true . This is the confusion our Christian brothers and sisters are struggling to explain for the last 2000 years.

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db3 ай бұрын

    Allah Akuongozee. Mashekhe nyote Akupen Kla La Kher na Akuepushien Shar Za Mahasid ,Allah Akujalien Uhai na Uzma Il Tupate Kuitangaza Lalilaha Illah Allah Muhammad RasuluAllah🙏🕋🕌

  • @AbdulRahman-dt7qq
    @AbdulRahman-dt7qq2 ай бұрын

    Mungu amjalie kila lakheri uyo dada haiyone hakii

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    2 ай бұрын

    Aameen,

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn3 ай бұрын

    Uislamu ndio dini ya hakiiiiiiiiiiii❤

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Haki gani unayozungumziaa

  • @hamicpina1151

    @hamicpina1151

    2 ай бұрын

    ​@@Thruthministry haki ni ukweli ulio kamilika kabisa

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Ikiwa quaran ni kweli MUNGU angempatia mussa na manabiii wengne kabla ya muhhamad maan wameishi Karne nyng pasipo hiyo kweli

  • @alyumaraos
    @alyumaraos3 ай бұрын

    Yan sheikh shaban ktk masheik ninao wapenda ww ni no 1 na uliniacha hoi siku ya mdahalo uliofanyika kanisan hapa tz ulipo mjib yule jamaa kwa nn mbingu zinatetemeka dahhhhhh Allah akufanyie wepes ktk kila kt chako.

  • @hamisiwesonga2496

    @hamisiwesonga2496

    3 ай бұрын

    ata mm nakumbuka.tena alitoa majibu kwa bibilia yao

  • @Kuminamoja1995

    @Kuminamoja1995

    3 ай бұрын

    Kweli na mimi poa masha'allah

  • @rashidkatoti5781

    @rashidkatoti5781

    2 ай бұрын

    Uyo Ustadh ameenda shule sio mchezo

  • @hashimmohammed694

    @hashimmohammed694

    2 ай бұрын

    Mimi pia hilo jibu lake lilinipelekea kumpandisha daraja shekhe huyu alinifunza kitu muhumu sana

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db3 ай бұрын

    MashaAllah,wee Dada Allah Akuongozee,Uwe Muislam ,Na Uzd kuijua Hak,Unaongea Maneno Mazur,Bado Shahada t2 Hapo,

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma97293 ай бұрын

    Wataelewa yu na kiama hakiji mpaka watu wote wajue ukweli inshalla washaanza

  • @rahmaabdalla7643
    @rahmaabdalla76432 ай бұрын

    Masha'allah, masheikh wetu Allah awahifadhi na awazidishie umri.

  • @fatuma5208
    @fatuma52083 ай бұрын

    Nimeelewa.shukurani❤❤❤❤❤

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani43762 ай бұрын

    Huyu dada naomba nitafutiwe namba yake nimuoe kabsa! Aje kwenye dini ya Haki ya Kiislam! Nimempenda mno.❤️

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi16043 ай бұрын

    Mungu ni mmoja tu Allah subhanna wa thahallah hakuzaa Wala hakuliwa wa Hana anae fanana nae hata mmoja

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Allah siyo Mungu wa kweli

  • @abdillahiharuna0029

    @abdillahiharuna0029

    2 ай бұрын

    Kama mungu sio mungu wa kwer je mungu wako wa kwer ni nani

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Ай бұрын

    Allah nimungu lauogoooo

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary74102 ай бұрын

    Asalam alaykum warrahmatullah wabarakatuh masheikh wetu kweli mnafanya vizuri Sana kutusomea maneno ya ALLAH yaani MUNGU.

  • @AbuuSwabrina
    @AbuuSwabrina3 ай бұрын

    Mashallah,hyo dada kama yko tayari kusilim Niko tayari kumnusur

  • @user-hy5le8uk5b
    @user-hy5le8uk5b3 ай бұрын

    Akuna dini km usilam so proud to be Muslim ☪️

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Uislamu haiwezi kuwa dini ya mungu kwa asili yake na jinsi waislamu walivyo na wanavyoiishi

  • @aliiddi4268

    @aliiddi4268

    2 ай бұрын

    Sas ww edward kaa uko uko ktk ukiristo sema yesu ndio mungu umuabudu sasa utakapofika kwa mungu wako ndo utajuwa nini cha kumueleza TAFAKARI sana

  • @victorgasper7563

    @victorgasper7563

    2 ай бұрын

    kwakeli maisha ya kiislam ayana mahusiano kabisa na mungu yani mm nashangaa waislam wanaitetea dini ambayo yenyewe aijitetei amakel kuwa uyaone

  • @musalumbi8490

    @musalumbi8490

    2 ай бұрын

    💕💕💕

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Ай бұрын

    Wislam nikusali bila chup

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah84562 ай бұрын

    Huyo dada kweli anafikiria sana mambo ya imani ukimuangalia wenda apati usingizi kwa kumuwaza Mungu wa kweli ni nani pole sana dada ila naomba Mungu akujalie umjue Mungu wa kweli lakini siyo Yesu anayedaiwa kavaa mwili alafu akasulubiws huo ni uongo wa watu

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30922 ай бұрын

    😂😂😂😂dada Allaah amuongoze katika njia ya hakki Aameen

  • @JumaNongwa
    @JumaNongwa3 ай бұрын

    Ahsante kaka shabani muhoro maasha Allah

  • @mwamvuarashid290
    @mwamvuarashid2903 ай бұрын

    Maji na mafuta yatajitenga tu dini ya Haki mbele za mwenyezi mungu ni uislam tu

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Kama waislamu walivyojitenga na Mungu ila wameambatana na dini badala yake wameachana na Mungu

  • @abdillahiharuna0029

    @abdillahiharuna0029

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414 kwahiyo ww hauna dini

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    ​@@abdillahiharuna0029 Hata maana ya dini hawajuagi

  • @user-so5ss3cm5p
    @user-so5ss3cm5p2 ай бұрын

    Wakristo tafakarini bana yani Mungu mwenye uwezo wa kila kitu ashindwe kumuua mwenye makosa shetwan amuue mwanawe ampendae kwa imani yenu au mungu mwenyewe auwawe

  • @babazungu3180
    @babazungu31802 ай бұрын

    Kuna watu wa moton na watu wapepon sasa hapo dada yangu allah akuongoze kuislimu tu .

  • @user-ne4yr5cj4s
    @user-ne4yr5cj4s2 ай бұрын

    Allah akuongoze ktk haki....na inshaallah nakuombea dua ukisilimu allah ajalie nikuoe mimi......❤❤❤❤

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia59292 ай бұрын

    MashaAllah

  • @kutailass6671
    @kutailass66713 ай бұрын

    Maa shaa Allah, ila jitahidin kuongea kiswahili sababu wanao buruzwa zaid ni wasio jua kizung Jmn,

  • @user-vy9bl6ei2x
    @user-vy9bl6ei2x3 ай бұрын

    Toka uko hao wanapoteza watu mungu anasulubiwa na binadamu wake

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa72752 ай бұрын

    Mdada maashaallah natamani kumuoa awe mke wangu,❤❤❤❤❤

  • @raheemmagambo2882
    @raheemmagambo28822 ай бұрын

    Uislamu n din ya haki,Allah akuongoze dada angu umaut ukukute hali ya kuwa n muislam,TÀQBIIIIIIIR

  • @KhamisiBakari-xf4er
    @KhamisiBakari-xf4er3 ай бұрын

    Huyo dada kamaliza kila kitu

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Huyo hajamaliza Kila kitu bali anatapatapa kwa Kila kitu hamjui Mungu kama waislamu wenzake wasivyomjua Mungu

  • @aliiddi4268

    @aliiddi4268

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414huyo ni mkiristo mwenzako anakushangaeni sana wakiristo wenzake ww na wenzako ndo hamujui mungu.

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414Uyo dada kakupita kwa akili mara elf1

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    2 ай бұрын

    Bado akili mgando. kama hujaridhika na hoja alizozitoa huyo binti endelea kukufuru, unaendelea tu kuwa miongoni mwa waliotajwa katika Qur'an " vipofu, viziwi mabubu na hao hawatarejea" ​@@edwardntamaboko3414

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Ай бұрын

    Huyu nimslam wao hahahaaaa

  • @AbdulRahman-dt7qq
    @AbdulRahman-dt7qq2 ай бұрын

    Mi binafsi nimempenda kwailo

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube2 ай бұрын

    Jamani mungu katahiriwa dah

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Ай бұрын

    Aya ip

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah22992 ай бұрын

    Hao wakristo kwenye biblia yao wanamtukana mpaka mungu atie mungu atakuja kufanya ukahaba

  • @hamzangunga1578

    @hamzangunga1578

    2 ай бұрын

    Isaya 23 -17

  • @user-hn3ib5uc3g
    @user-hn3ib5uc3g2 ай бұрын

    Swdakta ya shekh

  • @jumakutengeza1080
    @jumakutengeza10802 ай бұрын

    Yohana 17:3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

  • @abdisalat6497

    @abdisalat6497

    2 ай бұрын

    Sijakuelewa give explanation please.

  • @moejah7512

    @moejah7512

    Ай бұрын

    That prove he’s not god he was sent by god

  • @jumakutengeza1080
    @jumakutengeza10802 ай бұрын

    Yakobo 1:17 Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka. KULA CHUMA ICHO

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango90882 ай бұрын

    Wanadai 100% mungu na 100% binadamu japo bila andiko

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa46082 ай бұрын

    dada 🎉 ❤❤ 100%

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db3 ай бұрын

    Alnfurahasha Pale ,Alpojbu Swal la Muyahud muhubr Wakristo,Aliulza Kw Nn Mungu Wa Waislam Anaogopa Kumfanyia Mtto Kw Nn Aogope Kua Ana Mtoto,Da Aljbu Vzur Sanna Hamdullah,

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y3 ай бұрын

    7 hours ago viewers ni elfu moja how about 5 years ijayo ? twende kazi mwalimu

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya90022 ай бұрын

    We ndio ume sema nini hapa , sasa mbona wamfananisha Mungu na wanadamu , Mungu ana takiwa kuitwa peke yake na hakuna ruksa ya kutumia jina lake kwa asie kua yeye , na niandiko lipi lasema kua yesu ana ruksa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kulitumia jina lake ?! Hivi ndivyo mlivyo wakiristo mkibanwa kwenye hoja mwakimbilia maneno ya vichwani mwenu yasio na mashiko yoyote ya kimaandiko , na maneno yako haya japo ni uongo yapo dhidi yako ya kwamba , kama unasema yesu alikua tu akilitumia jina la Mungu kama utumiavyo wewe mkiristo jina la baba yako mara nyingine na ikitoa umeitwa kwalo unaitika , lakini ukweli utabaki kua wewe ni wewe na baba yako ni baba yako wala haitoka kinyume kamwe aban aslan , kadhali Mwenyezi Mungu nae ikiwa tutakukubalia maneno yako hayo basi Mungu ni Mungu na yesu ni yesu na si kinyume hawa si mmoja kama mnavyo dai kua ni kama yai la kuku , bali nyie ndio mayai tena gredi wakiristo wakubwa nyie , hata hebu zitumie akili zenu , kwa hiyo kwa maneno yako haya Yesu kakodisha jina la Mwenyezi Mungu sio 😂😂😂😂😂

  • @esterlove9035
    @esterlove90353 ай бұрын

    Aisee 😢😢

  • @aziza9093
    @aziza90933 ай бұрын

    Kazizr❤❤

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30922 ай бұрын

    Ndo maana kila siku waislamu tunasema wakristo ni makafiri wanasema tuna madharau

  • @hamishassan6784
    @hamishassan67842 ай бұрын

    wanasema kuna watu waliamua kutumia uongo kama silaha muhimu wa kuweka mambo yao sawa na ni miaka mingi wamewadanganya watu mfano. Watu tumetokana na manyani, Shetani ni mweusi, mengine ndio hayo Mungu amejiua mwenyewe kutukomboa wanadamu kashindwa kumuua Shetani anayetupotosha sisi tule raha. Yaani nazani wakati umefika wa kuanza kujitambua sasa

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30922 ай бұрын

    Yesu akaburuzwa kwenye streets ya Jerusalem helplessness bila ya kuweza hatta kujinusuru, na mwisho ilibidi tena Aombe na akasema Mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v3 ай бұрын

    Zinduka njia au dini ya yesu ni ya mungu ukiristo ni vinywa vya watu

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂mutaipa kila majina lakini haielekei kwa sababu ni dini ya kutungwa na watu na wenyewe wapo wanaitendea haki kila siku wanaingiza mambo mapya

  • @user-tc9vi3ow3n
    @user-tc9vi3ow3n3 ай бұрын

    Leo katoa swali mshindi anapata zawadi sh,50elf,Mimi nimuislamu namsapoti kwa kuongeza zawadi ya 50,iwe laki kwa mshindi

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma80363 ай бұрын

    Kabissa dadaa

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 ай бұрын

    💖

  • @JumaNurudini
    @JumaNurudiniАй бұрын

    ❤❤❤❤

  • @binseif2216
    @binseif22163 ай бұрын

    Yesu angekuwa Mungu asingetaka msaada kwa mungu aliposema ndaninya bible (aloi aloi lama sabaktani?)Mungu wangu Mungu wangu mbona unaniacha

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Na angekuwa mwanadamu asingefufuka

  • @amosiabdulallh7965

    @amosiabdulallh7965

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414we we kuna watu alienda mbinguni bila kufariki,Nani Bola anaekufa kwaza nahuo anaenda bila kufa Nani awe mungu?

  • @user-do1pq2uu1c

    @user-do1pq2uu1c

    2 ай бұрын

    Huko kufufuka simliandika wenyewe vitabu vyenu nakina kingjems kwani Habari hizo uliambiwa kasema mungu? Mungu anakitabu kinaitwa injiil na sio kingjemsvision

  • @binseif2216

    @binseif2216

    2 ай бұрын

    @@edwardntamaboko3414 Shida yenu wakristo hamueleweki kwahiyo unaamini Yesu sio mungu

  • @abdulrahmansangey1626
    @abdulrahmansangey16262 ай бұрын

    Mie cha ajabu walio msulubu yesu ni wanaadamu. Ambao kajitoleo kwa ajili yao awasamehee

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    2 ай бұрын

    Mungu hawezi kufanya upuuzi kama huo .Nyinyi mnakufuru tu na kumdhihaki Mungu

  • @alexalute6712
    @alexalute67122 ай бұрын

    Wewe dada umefeli saaaaana mdogo angu nakuhurumia sana, ulikofikasijui kama yupo wa kukusaidia ibaki neema ya MUNGU tu. Pili ninyi mashehe mambo ya rohoni kwenu ninyi ndg zangu ni shida kuyaelwa.

  • @aliroro9344

    @aliroro9344

    Ай бұрын

    😂😂😂😂...Tufundishe wewe mmbo ya Roho maana kwenu mnategeza roho

  • @jumakutengeza1080
    @jumakutengeza10802 ай бұрын

    Kumbukumbu la Torati 32:39 Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    2 ай бұрын

    Hizo habari za uongo. Yesu hajawabi kusema yeye ni Mungu ila wakati wote alikua akimzungumzis baba yake mfano baba mbona unaniacha? Wasamehe hawajui watendalo, kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu na aliomba kucha nzima kama yeye ni Mungu alimuomba nani?

  • @muftiamanzi-ri5yv
    @muftiamanzi-ri5yv2 ай бұрын

    Atariiii

  • @HamzaMakobanice
    @HamzaMakobanice3 ай бұрын

    Duuuh shekhe shaabani ana madini atali nataman kipindi kisi ishe na m b zisi ishe.

  • @ayoubbilatuka7012
    @ayoubbilatuka70122 ай бұрын

    Naomba huyo mdada anichek inbox km hajaolewa mie nipo tayari kwa chochote...

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z3 ай бұрын

    Mzungu ametuteka ustadhi shabani

  • @ZuberiHaji
    @ZuberiHaji2 ай бұрын

    MATAYO 4 Kisha mungu yesu kapewa lifti na shetani mkapa juu ya mnara wa hekalu akaambiwa ajirushe 😅😅😅😅 Akakimbia kifooo kwa kujitetea

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli39743 ай бұрын

    Uyu ndo Mkristo anae jielewa ata manabii wa uwongo tunawaona wanawauzia watu udongo

  • @AllySully
    @AllySully2 ай бұрын

    Makafiri hata uwambie vip hawawez kukubali.

  • @seifserenge3340
    @seifserenge33403 ай бұрын

    Jamani hawa wakristo wana matatizo ya kiakili na inafaa wakapimwe akili. Ndugu zangu katika Adam kaeni mtafakari msilishwe tu fikra za watu na nyinyi hamfikiri !!

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo58633 ай бұрын

    Hv mungu alishindwa kumkombo BINADAMU bira kuja mbona Musa alimkomboa bira ya kuja wakrsto waji tafakari

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Musa hakuwa na uwezo kama Yesu ndiyo maana alikombolewa yeye kwanza ndipo Mungu akaja kuwakomboa watu wote walioletewa torati na Musa,ninyi waislamu ndio mjitafakari kwa kutokujua sifa sahihi ya Mungu

  • @hamidudigogo5863

    @hamidudigogo5863

    2 ай бұрын

    @@edwardntamaboko3414 Yona 1:4 inakuhusu vizuri tu mungu huweza fanya lolote Kwa kauli yake tu Hana haja kuja duniani sasa NGOJENI mkong'oto

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414 Unakulaga nyama ya yesu na damu ya yesu kila jumapili huu Kama sio uchawi ni nini?

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414Sifa sahihi ya Mungu. Hakua Myahudi wala hakutahiriwa hakula halali haendi chooni. Mungu si kiumbe yupo popote. Korani inasema Mungu ni mmoja tu hakuzaa hakuzaliwa hana mshirika hafananishwi hatengenezewi mapicha au masanamu wala hakusulubiwa na kuuawa

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue2 ай бұрын

    Nikweli dada sasa kama mlisha kombolewa kwanini mnasali na kuombewa sasa

  • @jumakutengeza1080
    @jumakutengeza10802 ай бұрын

    Tuisome Biblia, kwa maana Mungu ametupa akili, tusisubr kusomewa.

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla66222 ай бұрын

    Wakristo sijui akilizao ziko matakroni....yani siwaelewagi hatakidogo wanaamini vitu ambavyo hata mtoto mchanga hakubari

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim49773 ай бұрын

    Hicho kipande cha kuumbwa Nabii Adam ..kisha hawaa kutoka kwa nabii adam ..inamaana adam katoa mke..kisha mariam kutoa mume bila baba ambaye ni issa .aka yesu

  • @omyboy6550
    @omyboy65503 ай бұрын

    Eti binadamu alifanya dhambi, Mungu akaamua kuja mwenyewe, akajitia kwenye tumbo la bikira miezi 12, akazaliwa kwenye zizi la kondoo, siku ya saba hao binadamu aliowaumba, wakamtahiri. Akaishi maisha yote kuwatangazia binadamu kumhusu ila wakamkataa. Wakamsulubisha, makamtundika kwenye msalaba ili awaokoe hao wanadamu, awaepushe na moto aloutengeza Kwa ajili ya hao hao binadamu. Hii ni Imani Gani lkn?

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Kwani akiamua awe mtu,asulubiwe,afe na afufuke anashindwa?Nimeamini kweli waislamu hawajui sifa sahihi za Mungu

  • @abdillahiharuna0029

    @abdillahiharuna0029

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414acha kua kama jiwe ndugu yang

  • @boaz9248
    @boaz92483 ай бұрын

    Bonge la kufuru kweli kweli😂

  • @isayaogola8733
    @isayaogola87332 ай бұрын

    uelewa wa maandiko nikidogo

  • @MwalimJecha
    @MwalimJecha3 ай бұрын

    Bonge la kufuru

  • @AkramKamana-uf7gk
    @AkramKamana-uf7gk3 ай бұрын

    Bado shahada ila tayali ameelez ukwl

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db3 ай бұрын

    Ustadh Muhoro na Muamnia hyoo,Tena Wakristo Wakmuona Kacmama hyoo Wanatetemeka ,kw maana Anajua Kuchambua Kla Kt2 ,Quran Na Biblia

  • @omarmakame3027
    @omarmakame30273 ай бұрын

    Mungu alikula kipande cha samaki wa kuokwa

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    3 ай бұрын

    mungu alikuwa kipanda cha samakiii au alikula umekusudia

  • @omarmakame3027

    @omarmakame3027

    3 ай бұрын

    @@sabihaibrahim143 eat kula

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    3 ай бұрын

    @@omarmakame3027 ok

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    ​Akiamua ale hashindwi,

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414akiamua kuzini pia anaweza ? Au mpaka afunge ndoa? Tafakari nyie wakiristo

  • @user-vy4qj1qu9g
    @user-vy4qj1qu9g3 ай бұрын

    Wakiristo wenzako huaga hawapendi kuambiwa ukweli..ona watamtusi mwenzao kwa kuwa kawaambia tu iliyo kweli

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Waislamu ndiyo clip nyingi nimeona waliokuwa waislamu wakisema wameachana na uislamu,mashekhe walioachana na uislamu wanaposema mushikeli wa uislamu wanasemwa na waislamu kuwa wao siyo waislamu bali ni wamchongo,sasa hata huyu dada ni muislamu tu ametumwa ajifanye mkristo hata ongea yake ni ya muislamu aliyekubuhu hatudanganyiki,mmetumia mihadhara,ugaidi,nk,sasa mmeamua kujifanya wakristo wanaokana umungu wa Yesu mmefeli,labda mtawapata wahuni

  • @AshaBiAsha-ou9ht

    @AshaBiAsha-ou9ht

    2 ай бұрын

    Pole hii ni kawaida ukiambiwa ufanye utafiti sisi sio kama nyinyi kuwapanga wagonjwa halafu mkasema kapoa kumbe ni uongo kwa hiyo mmezoea kudanganywa mtafute uone kama muislamu ukiambiwa na wewe ujiambie au akili za kuambiwa ongeza na zako fatilia kwanza ndio ubishe pole sana😢

  • @abdillahiharuna0029

    @abdillahiharuna0029

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414 kwahiyo hadi huamini bible yako au ni husomagi cs alicho kisema katoa kwenye bible

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    ​@@edwardntamaboko3414 Niwazi kabisa huna elimu kaka tafuta maarifa Hata dini yako hujui Yesu aliongea lugha gani? Agano jipya limeandikwa kwa lugha gani? Ni kina nani waliandika injili ya matayo, Luka, Marko na john? Nakupa homework kaanze na hayo Ukitaka kukua ukweli acha uvuvi soma Ukitaka kubakia hivyo hivyo endelea kuchagua uvuvi

  • @user-vy9bl6ei2x
    @user-vy9bl6ei2x3 ай бұрын

    Iyo mikondoo iliopotea Toka uko

  • @abduljaffer
    @abduljaffer3 ай бұрын

    Pia eti mungu yesu anakula viumbe vyake 😂

  • @user-of5vx7pr8p
    @user-of5vx7pr8p2 ай бұрын

    Umelaaniwa wewe na uzao wako

  • @mutomubaya
    @mutomubaya2 ай бұрын

    Ili Ukristo uweze kuenea Waroma waliamua ni lazima kutumia uwongo kuhusu Mungu na kuzua jina Jesus kisha kudai eti ndilo jina lile Malaika alisema Mtoto atakayezaliwa na Bikra Mariam ataitwa. Ni uwongo. Waprotestant waligundua Mroma anaongea uwongo wakajuepusha naye lakini hata wao bado hawaachi baadhi ya mambo yako wazi wazi sio ukweli.

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko54932 ай бұрын

    Kama wewe kweli ni mkristo, ninamaswali mengi sana ya kujiuliz.

  • @mussamohammedy8014

    @mussamohammedy8014

    2 ай бұрын

    Usiwe na mashaka ktk huyo dada bali mm binafsi swali langu halina tofaut kujiuliza na huyo dada inakuaje mungu atengenezee watu mvutano ukwel utabaki kuwa mmoja kabla hujamkosofa bas tafakar wazungu wanacho tufanyia leo basi Ni njia kubwa wameitengeneza kwetu

  • @moonstar3888
    @moonstar38883 ай бұрын

    Dada angu kwita yesu mungu si eti yeye Diye mungu yesu anatumia jina la baba ake mungu so ukimwita mungu n sawa juu anatumia jina la baba ake kama vele Mimi natumia jina la baba angu tukota shule adi kwa Id yangu natumia jina la baba angu so ukiniita jina la baba angu nitaitika ju nikitakaa kuitika n sawa na kumkana baba angu

  • @alyumaraos

    @alyumaraos

    3 ай бұрын

    Kwaiyo ww kama unaitwa Esta John ni sawa na utaitika ukiitwa jina la babaako. Ww john utaitika acha uwongo

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    3 ай бұрын

    ​@@alyumaraos😂😂😂😂😂😂

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    3 ай бұрын

    ​@@alyumaraoshata Jina la mwenyezi Mungu halijuwi

  • @captenndunga6745

    @captenndunga6745

    3 ай бұрын

    Akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa mungu akuongoze utoke gizani.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    3 ай бұрын

    @@captenndunga6745 una matatizo kweli

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu3 ай бұрын

    Dada anaakili nzuri ya kutafakari sio kufuata tu maqbdiko kama kondoo ,hata sisi waislamu TUNAPASWA kutafakari maandiko kama Quran inavyotuamuru

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Unafahamu kutafasiri quaran ama umekalili??

  • @abdillahiharuna0029

    @abdillahiharuna0029

    2 ай бұрын

    ​@@Thruthministry sura gani utafsiliwe

  • @EngLex-vo7te
    @EngLex-vo7te3 ай бұрын

    Hivi kwa nini shetani bado yupo tu na Mungu anamuona tu

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    2 ай бұрын

    Shetani aliomba mungu ampe mda aendelee kuwepo adi kiama akakubaliwa

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    Ni mwanzo mzuri wa kutafakari Cha msingi kaa chini u some elimu hizo zipo Changamoto yetu ni uvivu wa kusoma

  • @Kanyawela
    @Kanyawela2 ай бұрын

    Kama hujui sema sijui kushangaa kwako hakutambadilisha kuwa Mungu uyo YESU YESU ni Mungu tena Mungu tena Mungu ongea kiharabu ongea kingeleza ongea rugha zote YESU ni Mungu tena MUNGU

  • @alinnenne984
    @alinnenne9842 ай бұрын

    Unapozungumza juu ya uislam usijaribu kusema uongo ndugu yangu hakuna suratul ya 112 yenye ayah 6 sio kweli inaonekana unakaririshwa kusema uongo iangalie vizuri sura ya 112 Ina Aya ngap hata hivyo iyo sura unayosema wewe mtume alieambiwa aseme Sema Muhammad mungu ni mmoja, yeye tu ndie anaestahiki kukusudiwa kwa hajja zote, hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hakufanana na yoyote. Hiyo ndio maana ya sura ya 112 kwahiy hoja yako ya uongo jaribu kujifunza kwanza. Then nilikuuliza wewe mbona hunijib ndugu yangu vipi nitaweza kumfahamisha mtu ambae siijui Imani yake nakuuliza tena yesu kwako ni kama nani mungu au mtoto wa mungu maana nyie wenyew mmetofautiana naomba jibu ili tuendelee

  • @yohana1242

    @yohana1242

    2 ай бұрын

    Hahahah ww akili zako mbovu😂 muislam yeyote dunia mzima anaamini yesu ni mtume wa mungu kazi kwako kumpa sifa ambazo sio zake siku ya mwisho atakuja kukuuliz yeye ni nani njoo umwambia kma ivo unavomuita motoni moja kwa moja

  • @Thruthministry
    @Thruthministry3 ай бұрын

    Acheni kutishaa watu maana hakuna jipya isipokuwa dini ya haki ni uislam mara manabii wote walikuwa waislam hamuoni kama mnatisha watu ,, uislam ni cheche ya waasi na ni tamaduni za uarabuni

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    2 ай бұрын

    Eleweka vidhuri u Islam sion tamaduni ni njia yakwenda kwa Allah

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    who is Allah??

  • @edwardntamaboko3414

    @edwardntamaboko3414

    2 ай бұрын

    Hakuna nabii muislamu labda wa uongo,maana hata Muhammad siyo nabii wa Mungu

  • @Vgrace2023
    @Vgrace20232 ай бұрын

    Kitu waisilamu wanakosa ufahamu ni kua mwanadamu haezi kuwa Mungu ila Mungu anaeza kua mwanadamu. Je matendo ya mitume 20:28 hii pia ilikua fabricated ka vyenye waislamu hujitetea. Hiyo damu aliyonunulia kanisa waislamu muiseme nigani.

  • @Bahati47

    @Bahati47

    2 ай бұрын

    Wewe mbona unaendelea ku kufuru hivyo? 😢 halafu mkiitwa makafiri mnalia Lia

  • @Vgrace2023

    @Vgrace2023

    2 ай бұрын

    @@Bahati47 Shida haujui maana ya hilo neno kafiri. Alafu nkuulize, mafundisho yenu misikitini hujumuisha surat Al jinn au hiyo ni no go zone.

  • @Vgrace2023

    @Vgrace2023

    2 ай бұрын

    @@Bahati47 Shida haujui maana ya hilo neno kafiri. Alafu nikuulize, uko misikitini mkifundishwa hua mnagusia surat Al jinn au hiyo ni no go zone?

  • @listerferdinand9653

    @listerferdinand9653

    2 ай бұрын

    MUNGU wenu anaweza kila kitu hata kuzini anaweza? Think brother do not measure GOD in human dimensions

  • @Vgrace2023

    @Vgrace2023

    2 ай бұрын

    @@listerferdinand9653 Then doesn't deserve to be almighty if your God is limited.

  • @Thruthministry
    @Thruthministry3 ай бұрын

    inakuaje sanamu iwe na mwana au mfano wake ,, haiwezekani na huyo binti wa kikristo alitakiwa auulize sio kusema wakristo akili hazipo sawaa maana haelewi YESU ni nani

  • @alinnenne984

    @alinnenne984

    2 ай бұрын

    Waislamu wanamjua yesu zaidi kuliko wakristo. Kwanza yesu hakuja kwaajili yako wewe wahusika ni waisraili tu. Lakini akili yako haiwezi kuelewa kama mungu hajakufungua. Kubali kuujua uislam vizur kubali kataka kumjua yesu ni nani kisha utafaham dini ipi ni ya kweli

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Kama mnafahamu vizuri YESU ,, naomba uniileweshe YESU na manabii wote walikuwa ni dini gani

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    2 ай бұрын

    ​@@Thruthministry Nabii Yesu na manabii wengine wote walikuwa waislamu

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Nipe Aya kwa maandiko uislam ulikuwepo kabla ya muhhamad ama YESU alikuwa muislam pamojaa na manabii wengne

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph10743 ай бұрын

    Swali jingine nyie mapunga , kwanini baada ya kula tunda Mungu alisema ntaweka uadui kati ya uzao wa mwanamke na uzao wa nyoka kwanini asiseme ataweka uadui kati ya uzao wa mwanaume? Na nyoka? Uadui ukawa kwa mwanamke ? Nijibuni

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    3 ай бұрын

    Umesikia vizuri huyo binti wa kikristo

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    3 ай бұрын

    Duh! kweli wengine wagumu wa kuelewa

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    3 ай бұрын

    inachekesha sana la Mungu kutemewa mate na viumbe vyake.

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    3 ай бұрын

    hufahamiki

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    3 ай бұрын

    @@nassorsharifu9837 ujajibu swali , ?

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54393 ай бұрын

    Hivi nyie waislamu mungu wenu ni kinyango msimpe sifa za muweza yote kama anashindwa kula hafai huyo Allah anamipaka ndomaana Allah Sio Mungu WA kweli tunamkataa milele

  • @khadijahamina8457

    @khadijahamina8457

    3 ай бұрын

    subiri ufe uta juwa uko uko sisi atunashida weye uwe muslam

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    3 ай бұрын

    @@khadijahamina8457 hona nitapo kufa nitakuwa huko Yohana 14:1 mpaka 6 Hilo tangazo lilitolewa kabla Muhammad ajazaliwa mpaka Leo linatuakikishia wakristo Muhammad kalikataa Hilo tangazo na wafasi wake nyie waislamu kazi mnayo waislamu njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo

  • @salimobeid1470

    @salimobeid1470

    3 ай бұрын

    Mungu hawezi kua na sifa kama za mwanadamu ale vip kisha baada ya kula aende chooni au

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    3 ай бұрын

    @@khadijahamina8457 wew okoa nafasi Yako usisubili kufa njoo Kwa Yesu kristo mwokozi hachana na Dini ya majini mapepo wachafu

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    3 ай бұрын

    Ndugu kwanza jiulize aliyoyasema mkristo mwenzio, mwenzio kajiuliza akaona ataa hili la yesu kuwa MUNGU halikuingii akilini, Sasa na ww jiulize usiwe mpingaji tu' au kuleta blah blah ...!

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54393 ай бұрын

    Allah afanani na chochote? Au hamuoni nyie waislamu kwani Nuru sio kiumbe ? Sama hapo Quran 24:35 hona hapo Allah alivyojichanganya kajiita Nuru Tena mfano wake ni kama taa ikiwa kwenye Tungi mkikataa hiyo Allah basi ni muongo

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    3 ай бұрын

    Sawaa mtumishi,, barikiwaa sana kwa kumtangazaa KRISTO katika kweli yote

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    3 ай бұрын

    @@Thruthministry ubarikiwe mwana WA Mungu tuwafamishe ha wahachane na kushilikiana na majini au mapepo wachafu wamedangabywa

  • @Thruthministry
    @Thruthministry3 ай бұрын

    Dini ya haki!! Haki ipi inayozunguzmwa maana MUNGU kamwe hawezi kuwa na shetani sehemu moja maani shetani alisimu na kuwa muislam,, iweje dini ya haki ni uislam pia hujui kujengaa hoja wew

  • @alinnenne984

    @alinnenne984

    2 ай бұрын

    Ukisha silimu na kujisalimisha huwezi kuwa shetani tena. Shetani ni jinni anaemuasi mungu na hata binaadam huwa anakuwa na sifa ya shetani pale anapomuasi mungu. Mungu anapenda viumbe vyake na anataka wrote wajisalimishe katokana na akili maarifa aliyotupa yeye. Uislam ni dini ya haki usome uislam vizur

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Tuelewee gani ,, unamanisha baada ya kusilimu kwa shetani akarudia Hali yake ya usafi na kuwa karibu na MUNGU kwa kuwa kasilimishwa?? Shetani ni shetani tuu yupo anasubili adhabu yake iweje dini ya haki kwa MUNGU akiwepo shetani ndani ake??

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Kisomo Cha kukarili ni Islam maan mtume wenu hakuwa anafahamu kusoma na kuandikaa lakn anaambiwaa semaaa ee muhhamad,, Nani alikuwa kando yake akimwambia semaa,, pia uislam nje ya quaran umekwishaa ,, mbn huwa mnabagua watu mpaka wakuwe waislam??

  • @alinnenne984

    @alinnenne984

    2 ай бұрын

    Leo nakufahamisha ndugu yangu. Mtume alikuwa akisomeshwa na malaika jibril alikuwa anaambiwa aseme yale aliefunuliwa kama yalivyo ili isionekane kuwa ameengeza kitu na hata yeye mtume kwa vile binaadamu kama binaadam wengine alikuwa akikosea na aliambiwa na Allah na alifikisha vilevile kama alivyoambiwa. Kwa ufupi jibril alikuwa akishuka kumfundisha mtume kwa amri ya Allah. Halafu nataka nikuulize isijekuwa namfahamisha mtu ambae siifahamu imani yake. Hivi wewe unamuamini yesu kama nani kwako ili tufahamiane vizuri? Maana kuwa wakristo mapadri wanaamini yesu ni mungu wengine ni mtoto wa mungu niambie ww upo upande gani. Ili nikueleweshe vizuri mdogo wangu maana mimi namjua yesu vizuri sana kupitia qur-an na injili ambavyo vyote ni miongoni mwa vitabu vya Allah

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Kuhusu Imani usijali utanifahamu hapo badaee kikubwa tujifunzee kwa hojaa tuu ili ukweli udhibitikee,,, unakubaliana kuwa muhhamad ndie aliyekuja na uislam na mtu wa kwanza kuslim alikuwa bi Aisha,, kabla ya hapo waraabu wote walikuwa wanaabudu sanamu zilizokuwa al-kaaba na badae kufanyika kuwa MUNGU mmoja Allah

  • @Thruthministry
    @Thruthministry3 ай бұрын

    Sheikh zijakupata vizuri maana huwezi kutumia biblia kumuelezea YESU maana unaamin katika Qu-aran pia inaelezea kuwa allah hakuzaa wa wala hakuzaliwa wala hana mwana na wa kufanana nae,, hiyo ni kweli maana Allah ni mkusanyiko wa masanamu yaliyokuwa uko makka pia allah sio YAHWEH wa biblia

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    2 ай бұрын

    Hoja yako haina ushahidi wa ayah ya Quran,hawa Masheikh wanaongea kwa ayah za Bibilia na Quran ili isionekane ni maneno yao ya kutunga Wenyewe,Sasa ninakushauri na Wewe ujenge hoja yako kwa ushahidi wa Ayah za vitabu vinavyoaminiwa na Wakristo ambayo ni Bibilia na Quran inayoaminiwa na Sisi Waislamu.MASWALI YANGU NI KAMA IFUTAVYO:-1.Wapi ayah ya Bibilia isemayo Allah ni Mkusanyiko wa masanamu ya Makka?Swali la 2:-Wapi ayah ya Quran isemayo Allah ni Mkusanyiko wa masanamu wa Makka?Hawa Walimu wamefundisha vizuri sana kwa watu wenye nia ya kuelewa wameelewa,Sasa wewe umeandika maneno haya kwa hasira ambavyo ni kinyume na utaratibu wa mijadara ya kidini!

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Hapana hasira ndugu maana tupo tunajifunzaa

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Huwezi kutumia biblia ili Hali huiamini hizo ni porojo za kijanja kwa dini ya kiislam ,, kitabu kinaitwa historia ya maisha ya mtume muhhamad

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    2 ай бұрын

    @@Thruthministry Nyie munaoiamini hamuilewi,Sasa tuacheni Sisi tunaoelewa Quran na Bibilia tuwafundisheni,kuelewa kitu imanishi unakiamini!Sasa mtu akiwa anazielewa njia za sheitani nikwamba tayari kamuelewa Sheitani na kumuamini?

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    2 ай бұрын

    @@Thruthministry Ni vizuri,jifunze ili uifuate njia ya Mwenyezi Mungu iliyonyooka.

  • @Thruthministry
    @Thruthministry3 ай бұрын

    john 3:16,, 1:18 and mathew 16:16 Jesus is only begotten son of God or son of living God,,, swali kwako sheikh,, umesema jesus was powerfull according to luke 24:36-44 je unaamini katika biblia maana qu-aran inasema hakufaa wala kufufuka .. Ni wapi katika qu-aran YESU kafufuka ili tuone nguvu yake ??

  • @Nily-kz3db

    @Nily-kz3db

    2 ай бұрын

    Yesu Kw Waislam,N Nabii Cio Mungu,La pili,Yesu Hakufa kw Iman Ya Kislam Alnyanyuliwa kwke Na Allah Kunusurka Kfo Cha Wanaadam,Ila Tuna Amin Urejeeo Wa Nabii Issa Au Yesu Dunian , kwhy Swala Lakusema Uwoneshwe kufufuka Ktk Quran Yesu Hakufaa Wala Hathulubiwa mstalaban,je Wakristo Wap Yesu Kafa Il Ithbtkee kufufuka kwake?

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Luke 23:47 pia ningependa unambie maana ya neno "kufishwaa" ni Nini??

  • @Thruthministry

    @Thruthministry

    2 ай бұрын

    Huwezi kumuelezea YESU kwa kutumia quaran maana inapinga kwa sababu imeandikwa baada ya YESU kuondoka na pia YESU anazungumzaa " uzima wa milele ndio huu wakujue wewe MUNGU wa pekee wa kweli na YESU KRISTO uliyemtuma" John 17:3 hiyo ni dhahiri hakuna uzma pasipo YESU ukimwamini kuwa mwokozi wa maisha yako,, lakini muhhamad anasema ni Allah na yeye (mtume) ndipo unapta uzmaa, Allah ni Nani??

  • @Nily-kz3db

    @Nily-kz3db

    2 ай бұрын

    @@Thruthministry ,Safi Sanna,Kwnz Npenda Sanna ,Andko ,lko,Lna Sema Y Kwmba ,Yesu Mwenyewe Anasema Kwnz Mungu Wa Pekee Na Yesu N Mtume Alie Tumwa Kwhy Yesu Kwtumwa Na Mungu Wke Ajee Afundahe,Na Hz zte Nsheria za Mana Bii Wote wame Tumwa hvyo,Ashhadu Allailaha Ila Allah Wanna Mussa Radulu Allah,Ashhadu Alla ilaha Wanna Issa Rasulu Allah,Ashahad Allah ilaha Ila Allah Wanna Muhammad RasuluAllah,Kwhy Cc Quran imemueleza Muhammad kua Kuna Vtabu 4,Taurat ,Dhabur Injil ,na Quran,kwh Lazma Tumjue Vzur Issa Au Yesu ,N Nabii Wa Dhaman Zke zlopta,Hta Yye Yesu Almtabr Atakuja Mtume Wa Mwsho Na Jna Lake Araitwa Muhammad Au Ahmad Aswadukul Amin Yesu kama Lzia Hvo,Aswadukul Amin mana yke n Mkwel Na Muamnfu,na Hajakosea , Muhammad Mkwel Na Muamnfu,Watu Wa Makuraish walkua Wanamuamn Sanna Mtume ,Kumpa Mal Zao Awahfadie,kwhy Ndugu Na Bii Issa Au Yesu Tunamjua Na Tumefumdshwa ktk qurana, Yesu jitien Nyirangjfunze Kwngu Kw Mana Mm N mpole Na Mnyenyekevy Wa Moyo,Mana Yke Unyenyekevy Uislam umeisha hyo

  • @Nily-kz3db

    @Nily-kz3db

    2 ай бұрын

    @@Thruthministry km ungallisoma Biblua yko,Injil Ilio Sahhi bc Wallah utajua Klchoandkwa na Utabr Wa Muhammad,Ndio Imeandkwa Bada Yesu kuondoka ,ndio Cc Dhaman Za Mtume tukaletewa Quran kiwe muongozo na Nour Ktk Maisha yetu Dunian na Akhera,na Kujua Yalosadkika Kabla yetu ,Yan kabla Dhama Za Mtume,ndio Mana Allah ndiom/M/Mungu Wakuabudiwa,km c Kuketeqa Qurana cc Tungejua je Dhama Za Waliopta ,Mitume Mengne,Na Karne Zao ,Na Matendo Yao,lkn Tazama Quran Tukufu ,imetueleza Kla Ktu ,Na Ndiom Saiv Muislam Anamjua Adam ,ubrahimNouh,Daud Haroun,Issa Na Muhammad Hz N Dhama. Za Nabii Muhammad,kpenz Cha Allah,

  • @osmanhajj3059
    @osmanhajj30593 ай бұрын

    Yesu alikuja baada ya adam

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    3 ай бұрын

    wee muongo

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54393 ай бұрын

    Wewe shekhe hacha ujinga Yohana 9: 35 mpaka 38 Yesu kristo kamwambia umemuona mwana WA Mungu Yesu kambwambia Mimi Soma hapo hacha ubishi na ujinga msiwe kama mtume wenu ambaye alikuwa ajui kusoma Wala kuandika Soma Quran 7:157

  • @ustadhshafiionlinetv

    @ustadhshafiionlinetv

    3 ай бұрын

    Jahannam Inakusubiri Fanya Haraka Ujinusuru

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    3 ай бұрын

    @@ustadhshafiionlinetv jehanamu inamsubili Allah aingize unyayo wake ijaye soma Adithi za huyo mtume wenu WA mchongo ndomaana hatuwakubali Allah na mtume wake WA majini

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    3 ай бұрын

    ​​@@ustadhshafiionlinetv wewe ndo jahanam inakusubiri na huyo dada , Ilo andiko la Mungu kutoshindana na mwanadam mnajua context yake inamaanisha nini? Au Hilo andiko lilimaanisha nini? Andiko lilimaanisha alikua anazungumzia uzao WA seti ambao walikua ni Wana WA Mungu na uzao WA kaini ambao ulikua ni uzao WA wanadam sasa inahusiano na nini?

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    3 ай бұрын

    ​@@prochesernest5439 ngoja ile siku unanyofolewa Roho ndio utajua.

  • @hemedbamja3197

    @hemedbamja3197

    3 ай бұрын

    Mi naomba unisaidie,yesu ni Mungu au ni mwana wa Mungu?

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54393 ай бұрын

    Dada kapagawa na Pepo mchafu

  • @HassanNamtyakaBacar

    @HassanNamtyakaBacar

    3 ай бұрын

    Wewe unatakiwa kumuelewa huyo dada. Anakufanya upate muda wa kutafakari.

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    3 ай бұрын

    Mwenye pepo mchafu ni wewe kaa Tafakari.

  • @abuhassan9552

    @abuhassan9552

    3 ай бұрын

    Kibisa dada uko sahihi kabisa wewe ambae uko kwenye shimo lamoto nawewe jiokoe

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    3 ай бұрын

    @@abuhassan9552 mbona amtoi majibu ya majini au mapepo wachafu Kuwa ni ndungu zenu waislamu maana walislimu wakawa waislamu na mtume wao ni Muhammad

  • @HassanNamtyakaBacar

    @HassanNamtyakaBacar

    3 ай бұрын

    @mwawekomiuda9779 shida yako hutaki kujifunza kitu hapo kwenye maelekezo yake huyo dada. Shida nyingine unakimbilia kwenye mada ambayo huyo dada hajazungumzia. Sasa swala la mapepo ulileta hapa ili iweje? Hilo kama unataka lifanye wewe liwe mada nyingine na utafahamishwa hadi uelewe.

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah3 ай бұрын

    Wewe francis kuwa muelewa usiwe mpotofu kuwazid wote kuwa muelewa, hii comet yako ni kinyaa haina marna wala hujatumia akili hata kidogo kuweza angalau kudanganya, hivi wakiristo hamuna hata aibu kusema yesu ni mungu, na kumfanya mungu ni binaadam kuweni na akili musiburuzwe kamambuzi

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    3 ай бұрын

    Yeu ni Mungu asilimia 💯 ndomana hata hukumu anatoa Yesu ukisoma ufunuo unaona kiti cha Enzi na mwanakondoo amaketi kuume , lengo la Yesu kuja duniani ni kuukomboa ulimwengu Kwa dam yake , ili kutusafisha kama yesu ni binadam asingeweza kutukomboa sababu mwanadam anaasili ya zambi Yesu Hana zambi na hakua na dhambi kwasababu alikua ni Mungu ,

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    3 ай бұрын

    ​@@francisjoseph1074yohana 17:3

  • @mobutu3884
    @mobutu38843 ай бұрын

    Kama Mohamad alikuwa hajui kusoma wala kuandika nyie ni nani mpaka myajue maandiko ya Biblia? Mnatafsiri Biblia kiislamu unategemea nini? 😂😂 Quran ilishawambia ikiwa mna shaka waulizeni wenye kumbukumbu, ila sasa hivi nyie ndio mnajifanya wenye kumbukumbu ni msiba mzito, ukiwacheki walivyo serious utadhani wanajua kumbe wanatafuta pesa dah 😂😂

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    3 ай бұрын

    Hela zinataftwa makanisani nd sehemu ya biashara skuiz😂

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    3 ай бұрын

    @@dulividuli5237 kwa hiyo kwa akili yako hapo unaona hawatafuti pesa 😂 shida mmeaminishwa ni kanisani tu halafu hao wanaowaaminisha wanapiga pesa kwa style hii hii, ila wanawajulia sana 😄

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    3 ай бұрын

    @@mobutu3884 Tupe Njia ipi apo wanopiga pesa mm nakupa Wachungaji wanapiga pesa kupitia Fungu la 10 wanasema fungu la 10 linatolewa kila mwenz wakt kumbe linatolewa kila mwaka mara Moja hapa mnapigwa wakristo pia mnapigwa kwnye sadaka,wachungaji wanakula wao sadaka wakat sadaka anaestahili kupewa ni Maskini lakin nyinyi mnampa sadaka mtu anatembelea V8 hapa mnapgwa Wakristo.

  • @Nily-kz3db

    @Nily-kz3db

    3 ай бұрын

    Ndugu,jiulze Ww Unapo zaliwa Mpk unakuja km hujasoma ukafundshwa ,Waweza kufaham kusoma na kuandka,c mpka ujfunzee,Allah Anajua kw nn Almleta Mtumeee Muhammad Hajui kusoma ,Kwnz Almfundsha Akajua kusoma Quran uzur ,Ndpo akatufundsha tukajua,na Ndio Mana Watto wasoma Quran wakmalza wanajua Ktabu chao Vzur,

  • @Nily-kz3db

    @Nily-kz3db

    3 ай бұрын

    Sasa ww Kaz kwak,Biblia Bla kuisoma Utaifaham ,na hyo Yesu Injil Bla Kuisoma Alfaham, Nn Hao wanafunz wke Bla kufunzwa na Yesu wangefaham,Acha Akl potofu,

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph10743 ай бұрын

    Niwaulize swali nyie makafiri kwani Mungu alisema ntaweka audui Kati ya uzao WA Mwanamke na uzao WA nyoka , uzao WA Mwanamke utamponda kichwa na uzao WA nyoka utamponda kisigino ,Hilo andiko linamaanisha nini nyie machoko , na Nani aliempondavkichwa nyoka?

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    2 ай бұрын

    We choko Kwani wewe ukimpiga Nyoka huwa unaponda mkiani?

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    2 ай бұрын

    We choko Kwani wewe ukimpiga Nyoka huwa unaponda mkiani?

  • @francisjoseph1074

    @francisjoseph1074

    2 ай бұрын

    @@faudhiasaidi3669 kweli we punguani na tahira kweli Kwa akili zako unafikilia kumpiga nyoka na jiwe kichwani? Akitokea kobla utampiga jiwe la kichwa? Au anakonda au chatu unaweza mpinga jiwe la kichwa ? Na unakua angle ipi mpaka unampiga jiwe anakuangalia Ty kweli we hauna akili nilijua Ty utaongea huu utumbo 😂😂😂😂 , Kwa akili zako nikuulize unafikili aliemdanganya hawa Kula tunda ni hawa nyoka tunao waona mitaani? Nyoka anaezungumziwa hapo ni shetani , popolete palipo andikwa nyoka ndani ya bible ujue ni shetani na sio hawa nyoka unafikilia 😅😅😅 nakusubiri unijibu nikutwange swali lingine

Келесі