NIMEWACHA KUWEKA MAANDIKO VIRAKA - NASAHA YA UPOLE KWA MWINJILISTI NDACHA

Mwinjilisti Francis Ndacha anayewasumbua Waislamu kwenye viwanja vya dawah ameanza kurekebika. Hii ilikuwa ni nasaha kwake. Kwa maoni au mapendekezo tafadhali piga simu zifuatazo: +254722600533 au +254777600777

Пікірлер: 919

  • @athmanyusufkea3405
    @athmanyusufkea3405 Жыл бұрын

    Ewe Mwenyezi Mungu uliyetukuka kwa jina lako, rehema zako na nguvu zako nakuomba umuongoze Ndacha. Aameen

  • @threebrothers..

    @threebrothers..

    Жыл бұрын

    Wewe ndie inafaa kujiombea

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Sante Ndachaaa leo Papa Francic kawa mpinga Kristo 😮😮Hahahha haleluyaaaaa 😅😅. Alhamudilah umethibitisha ilo.

  • @saidimgeni9096
    @saidimgeni9096 Жыл бұрын

    Ndacha nimjajanja tu ila she unabusara iliyo pitiliza mashaalah shekhe mungu akuzidishie

  • @martinzacharia6888
    @martinzacharia6888 Жыл бұрын

    Hoja za mwislamu ni zilezile tangia miaka nenda rudi,Ndacha Mungu akubariki sana unawafunza waislamu japo mioyo yao ni mawe

  • @abubakarmohamed9567

    @abubakarmohamed9567

    Жыл бұрын

    Umesema kweli hoja zetu ni zilezle miaka nenda miaka rudi kwa sababu quran yetu haibadiliki kama bibilia zenu

  • @maryamjuma1980
    @maryamjuma1980 Жыл бұрын

    Allah akulipe kheri sheihk Ramadhan unatufunza mambo mengi tulivokua hatuyajui juu ya ndugu zetu wa ki binaadamu. Allah akuzidishie afya njema na akuwezeshe zaidi kuzitangaza haki na akakukutanishe na kipenzi chetu mtume Muhammad (s. a. w)

  • @faizabbas4620
    @faizabbas4620 Жыл бұрын

    YA RABB NAKUOMBA UMUHIFADHI SHEIKH RAMADHAN...AKULINDE NA AKUHIFADHI ...KWA HAKIKA TUNAELIMIKAA KUPITIA KIPINDI CHAKO..SHUKRAN SANAA NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH SHEIKH RAMADHAN ..

  • @BonifacseverianOfficial
    @BonifacseverianOfficial3 ай бұрын

    Ndacha mwenyezi Mungu mtukufu akuzidishie zaidi mapenzi yake yatimizwe.

  • @mussamohamedmohamed7048
    @mussamohamedmohamed7048 Жыл бұрын

    Wallah Thumma Wallah,,waislam,tumshukuruni ALLAH,, TABAARAQ WATA'AALA,,Kwani hii NE'EMA ALLAH ametupatia ya UISLAM,,,Hakika,,hata uwe TAJIRI,kiasi Gani au Uwe MASKINI,Kias Gani ila NE'EMA YA UISLAM NIKUBWA KUSHINDA,,Chochote utakacho kuwa NACHO,, WALLAH ALHAMDULILLAH,,,

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Жыл бұрын

    Allah akulipe kher shekh wetu nipo mbagala tz nakufatilia ikhwan

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Aamin thumma Aamin

  • @hajinkulunge8493

    @hajinkulunge8493

    Жыл бұрын

    Mbagala yetu hiyo

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 Жыл бұрын

    Huyu Ndacha Mwenyezi Mungu ampe hidaya. Tusiwakejeli tafadhalini mtu kama Ndacha ni Ujahliya tu wako nazo

  • @janekariuku8181
    @janekariuku8181 Жыл бұрын

    Wow I like the interpretation of Ndacha .evidence from Bible en evidence from Quran .then I like Conversation.may God have mercy on our Muslim brothers in Jesus mighty name.Ramathan be facing such professional the same way you r professional

  • @abubakarmohamed9567

    @abubakarmohamed9567

    Жыл бұрын

    May Allah have mercy on you to.

  • @MahangaYakub
    @MahangaYakub8 ай бұрын

    Alhamdulillah mwenyeezi mungu akuzidishie elimu na hikma katika mijadala yote na wa Pasteur

  • @gadafiismail8126
    @gadafiismail8126 Жыл бұрын

    Assalamualaikum walahumatulahi wabarakatu..Allah swt doesn't share his name with his creatures, he remains the most powerful, most merciful, most forgiving.

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Shida wa wakristo wanamueleza yesu kuliko yeye mwenyewe

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l7 ай бұрын

    Alhamdulillah alhamdulillah alhamdulillah nashkr sana kw neema ya waislam n nachukia kua mtu asiyejua Mungu wa kweli

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Жыл бұрын

    Uyo ndacha ukweli anaujua ila maslahi tu ya maisha ndo yanamfanya asiuweke ukweli bayana ila Allah ajaalie imani katika kifua chake nasisi atuzidishie imani katika vifua vyetu

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Жыл бұрын

    Aamin yarab

  • @mamawamoya3344

    @mamawamoya3344

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @bakariomari3692

    @bakariomari3692

    Жыл бұрын

    Ramadhan hongera sana, naomba umulize swali hili ndacha,,mwanadamu aliumbwa kwa udongo, shetani aliumbwa kwa moto na malaika kwa Nuru, je yesu aliumbwa material gani? Kwa sababu hio point yake ya kuwa yesu aliumbwa kama vile alivyoumbwa HAWAA ndio hainiingii kwa akili.

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Aamiin yaarabb

  • @jacksonkilonzo1439

    @jacksonkilonzo1439

    Жыл бұрын

    MUNGU NDIO AWAONEKANIE NYINYI MTOKE GIZANI MJUE KUNA MUNGU MMOJA KUNA ROHO MTAKATIFU NA KUNA MWANAWE AMBAYE NI YESU KRISTO BILA HIVYO MTAPOTEA NA MAFUNDISHO YENU MNAYOKATAA YESU NI MWANA WA MUNGU

  • @ufafanuzi4382
    @ufafanuzi4382 Жыл бұрын

    Ndacha umebadilika . Hapo mwanzo hukuwa wa kutaka kuelewa ilikuwa ubishi tu. But sasa kweli unataka kuelewa na kujifunza. Mashehe wamekutoa kwa utatu wakakuleta kwa mungu mmoja pekeee. Neno la mungu akitaka lolote ni kuwa nalo linakuwa. Yesu ni neno la mungu kama vile kwa genesis mungu alisema iwe nuru ikawa nuru. Nyoka ya musa iliitokana na fimbo ni kwa neno la mungu. Kondoo alioshushiwa ibrahim kuichinga ni neno la mungu. Mungu anasema kuwa lina kuwa. Maria pata mimba akapata!

  • @hamisajumanne

    @hamisajumanne

    6 ай бұрын

    Swadakta❤

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah sheikh MWANYEZI MMUNGU aquzidishia

  • @gahunguleonidas2606
    @gahunguleonidas2606 Жыл бұрын

    Katika some hili Ndacha amemuvulia sana huyo muislame sijuwe ni kwa sababu walimpiga mawe amejilinda sana ndiomaana akasema wafanye mujadala kuhusu maada hiyo ya Uungu wa Yesu. Mungu akubaliki sana pastor Ndacha.

  • @user-hu3uw4pd7y
    @user-hu3uw4pd7y4 ай бұрын

    Allah akujalie afya na uzima akuzidishie Elimu uendelee kulingania Atakulipa mema kwa kazi yako ya dawa ushamfikisha mbali ndacha kuna ciku atairoa shahada t inshallah

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 Жыл бұрын

    Masha Allah TabarakAllah, Shukran ustadh Ramadhan kuria

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    Hana Elim

  • @husha6372
    @husha6372 Жыл бұрын

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sheikh ikiwa kunayo Mtu atamuongoza Ndacha Inshallah inshallah itakuwa Ni wewe Kwa Sababu Wewe hum sikiliza na NaFikiri ndio na yeye hukuheshimu inshallah Inshallah Ndacha ata silimu Chini Ya mkono Wako Inshallah inshallah Mungu amjaaliye

  • @richardchuwa4402

    @richardchuwa4402

    Жыл бұрын

    Hamuzi ndacha wewe

  • @ramadhandawuudalbertmachan6726
    @ramadhandawuudalbertmachan6726 Жыл бұрын

    Mashallah ramadhani ,KAZI nzuri Ila kwa ndacha unajikasa kwa mafundisho Ila ,tenga sifa za mungu ndio ueleze aliye muwezesha yesu kuwa na miujiza hizo sote ,na baada ya hapo yesu alituaiti kuwa kama yeye ikiwa tuna Imani kama yeye.

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Жыл бұрын

    Astaghfirullah Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab.Alhamdulilah Rabbil Aalamiin kwa neema ya Uislam. Mwenye Enzi Mungu amhidi huyu ndacha

  • @husha6372
    @husha6372 Жыл бұрын

    Naomba NDUGU Zetu waislamu sote tu muombee Ndacha sio Kwa kumkejeli kumtusi Inshallah inshallah

  • @mamawamoya3344

    @mamawamoya3344

    Жыл бұрын

    Yaa Allah ,muongoze mja wako huyu katika njia ilio nyooka.

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Yaa Allah mlainishe moyo wake bwana Ndacha aingie ktk dini yako ya haki uislam.

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Huyu ndacha ni mbaya huyu, Allah ndo anajua

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    @@habibasalim3092 ubaya wake ni upi

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    @@mamawamoya3344 Allah mwenyewe kiama ana kesi ya kujibu

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Жыл бұрын

    Jazaka Allah kwenu nyote wa wili In sha Allah tutazidi kuwafuatilia!

  • @boscomhenusi7844

    @boscomhenusi7844

    Жыл бұрын

    Ndacha upo vizuri sana,endelea kutufundisha

  • @boscomhenusi7844

    @boscomhenusi7844

    Жыл бұрын

    V

  • @masoudkassim2106
    @masoudkassim21065 ай бұрын

    Mashallah Shekh wtu Allah akulipe ujira wa pekee pia Allah amjalie ndugu ytu awe Miongon mwetu cc Waislm Allah humma Ameen

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw11 ай бұрын

    😂😂😂 😂 Mungu ni moja yeye tu pekee yake. Yesu aliamrisha tumwabudu Mungu.❤❤❤ Ndacha Karibu kwa Islamu. Mungu amekuonyesha ukweli katika vitabu hata Sheikh Ramadhan inshallah anakutakia la heri, labda ukatae 😂😂😂😂😂 😮

  • @ianhassan1116
    @ianhassan1116 Жыл бұрын

    Masha Allah MashaAllah Good job Ramahda

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 Жыл бұрын

    Masha Allah sheikh ramadhan debate nzuri

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Thanks Ustadh, walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh.

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 Жыл бұрын

    Njia ya kwenda mbinguni ni Yesu kristo hakuna dini ya haki ya kumpeleka mtu mbinguni Ndacha ubarikiwe sana unafanya kazi nzuri

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    Жыл бұрын

    Unajua kama hujasoma shida inakua ndio hii nyie si munasema yesu alitabiriwa na manabii sasa kitu kinacho tabiriwa kinakua hakija tokea ila kitatokea sasa kama yesu wakat uwo ambao hajatokea jee hao manabii walikua wakifata njia gani

  • @rehemaabinelynyagawa2878

    @rehemaabinelynyagawa2878

    Жыл бұрын

    @@mudighurayra ni Yesu siyo yesu jifunze kuandika kwanza maana naona huelewi kila kitu

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 Жыл бұрын

    Mungu aumba pepo na moto ndacha kajichagulia moto kwa hiyari yake

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    Жыл бұрын

    Usimuingize motoni kabla hajafa maana pengine yeye anaweza akasilimu ikawa kuna ukaribu zaidi wa kuingia peponi kuliko me na wewe tulie zaliwa kwenye uislamu, maana yeye akisilimu leo anakua msafi kabisa na anasilim anakufa apo apo unafkir nini kinatokea

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    Жыл бұрын

    Hukumu tumuachie mwenyewe Allah

  • @farajiawadhi8558
    @farajiawadhi8558 Жыл бұрын

    Allah akupe kila lakheri shelh

  • @ufafanuzi4382
    @ufafanuzi4382 Жыл бұрын

    Waruuhun minhu kwa ayaah haimanishi ni rooho ya mungu, bali inamanisha ni roho kutoka kwake. Roho ya mungu ingesema waruuhuhuuu! منه minhu ina manisha kutoka kwake bana

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi1 Жыл бұрын

    Pastor ndacha uko on fire... Sheikh ameshakubali YESU NI ROHO WA MUNGU..CASE CLOSED

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    8 ай бұрын

    Ndacha yupo kimasilahi ndugu, anaijua haki, hawez toka atapoteza vingi....

  • @humanitydensity8974
    @humanitydensity8974 Жыл бұрын

    AL IMRAN 58-61. "Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.Hakika mfano wa Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka. Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo."

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    Жыл бұрын

    Umeuawa

  • @isayalemberua9195
    @isayalemberua9195 Жыл бұрын

    hakika wa tumishi wa mungu mnajitahidi sana kufundisha mungu awabariki sana

  • @abdullrahmanwazir4603

    @abdullrahmanwazir4603

    Жыл бұрын

    😂⁶1

  • @stephenmaina4406
    @stephenmaina4406 Жыл бұрын

    Yesu ni neno la mungu,kuna tofauti ya neno na roho.

  • @emanuelkyomo3772

    @emanuelkyomo3772

    Жыл бұрын

    Tupe tofauti kimaandiko

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Yesu kristo ni nguvu yamungu. Roho mtakatifu ni nguvu yamungu lilitumwa neno .neno hilo lilitoka mdomoni mwa MUNGU. HUNIITOI HAPO

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Ndacha karibu tena Ku pikwa,....

  • @mwanakombokalamu7009
    @mwanakombokalamu7009 Жыл бұрын

    Allah amuongoze maana bado haeleweki au pengine alilipwa mara anakubali kisha anapinga tena kwetu dua zetu inshAllah aone haki

  • @mamawamoya3344

    @mamawamoya3344

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @mwanakombokalamu7009

    @mwanakombokalamu7009

    Жыл бұрын

    @@jkewl999 Thuma Ameen

  • @mwanakombokalamu7009

    @mwanakombokalamu7009

    Жыл бұрын

    @@mamawamoya3344 Thuma Ameen

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Ndacha anacheza mchezo wa kulipwa,

  • @mwanakombokalamu7009

    @mwanakombokalamu7009

    Жыл бұрын

    @@habibasalim3092 inshAllah Allah ampatie hidaya awe muislam 🤲🤲🤲

  • @TruthofGodswillministry1997
    @TruthofGodswillministry1997 Жыл бұрын

    Francis ndacha He s very Wise man ONLY Because He has WISDOM OF JESUS CHRIST

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Жыл бұрын

    Wakristo ni watu wa ajabu sana yaan hata ukaaji wa Ndacha ni wa hasara hasara hauna utulivu kama yupo kwa mkewe wakati anaangaliwa na dunia nzima.Tofauti na mwenzie Ramadhan amekaa kwa adabu kabisa.Itoshe tu kusema Alhamdulillah kwa neema ya uislam.

  • @ZulfaHamza

    @ZulfaHamza

    3 ай бұрын

    Hhh jmn nmecheka sana hii coment yako

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah ndacha mdg mdg ataingia ktk din ya haki inshaallah

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    Uislam ni din ya hak ya shetan

  • @saudahassan6667

    @saudahassan6667

    Жыл бұрын

    @@zaburi2386 pole sana tumia akili yangu sasa ww fikiria mungu akuumbe halaf atahiriwe ivi yanaingia akilini yesu sio mungu mpka dunia inaisha

  • @emanuelkyomo3772

    @emanuelkyomo3772

    Жыл бұрын

    @@zaburi2386 na Ukristo ni dini ya nani?

  • @husha6372
    @husha6372 Жыл бұрын

    MashAllah MashAllah Ndacha anakuja Pole Pole Sana Inshallah inshallah Mungu ata muonyesha haki NA uongofu inshallah Inshallah

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    Aje kwenye majini ama?

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Ameen aameen

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 majini gani wewe bhana wacha propaganda zako.

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@nooor1120 kwahiyo unakataa majini sio waislamu?

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@jkewl999 hahahaha majini Ni waislamu

  • @aminamahamud9333
    @aminamahamud9333 Жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah Allah akuzidishie ustadh Ramadhan

  • @BonifacseverianOfficial
    @BonifacseverianOfficial3 ай бұрын

    Napenda namna mnajadiri kwakuelewana Mungu awabariki nyote

  • @shueb123
    @shueb123 Жыл бұрын

    This guy is intelligent,,,and his intelligence is really confusing him . I will pray for him inshaAllah. . .

  • @richardmuita4339

    @richardmuita4339

    Жыл бұрын

    Exactly he is confused

  • @safiakara1868
    @safiakara1868 Жыл бұрын

    Subhanallah... May Almighty Allah guide us to straight path

  • @IbrahimAli-vi9ep
    @IbrahimAli-vi9ep Жыл бұрын

    Ndacha anakuja pole pole katika dini ya haki

  • @fadhilshafi2947
    @fadhilshafi29477 ай бұрын

    Sheikh Omar upo smart sana kichwani... hujakubali kabisa janjajanja zakuweka viraka maandiko

  • @Sharrif456
    @Sharrif456 Жыл бұрын

    Uyu dacha ni mshidani kweli

  • @jacksonkilonzo1439

    @jacksonkilonzo1439

    Жыл бұрын

    MUNGU NDIO AWAONEKANIE NYINYI MTOKE GIZANI MJUE KUNA MUNGU MMOJA KUNA ROHO MTAKATIFU NA KUNA MWANAWE AMBAYE NI YESU KRISTO BILA HIVYO MTAPOTEA NA MAFUNDISHO YENU MNAYOKATAA YESU NI MWANA WA MUNGU

  • @jacksonngusi4122

    @jacksonngusi4122

    Жыл бұрын

    Abdala ata mie nimefuatilia vizuri uko nami

  • @farajiawadhi8558
    @farajiawadhi8558 Жыл бұрын

    Maashallah shekh mfundishe huyu

  • @swadiknassirmwanasi
    @swadiknassirmwanasi11 ай бұрын

    Mwenye kurithiwa nimwenye sifa ya kufa. Je,Mungu anaitaji mrithi tupeni maandiko.

  • @FauziahNambaka-bn2ln
    @FauziahNambaka-bn2ln2 ай бұрын

    Huyu ndacha anafaa kuambiwa kabla mungu atamke hilo neno yesu hakuwepo

  • @hashimabdi
    @hashimabdi Жыл бұрын

    Mashallah ustadhi

  • @sabrialabri5350
    @sabrialabri5350 Жыл бұрын

    وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. AL AN'AM 108

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Shukran

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    Жыл бұрын

    Yes na ndio wana mtukana sana ila Mungu atawaonesha njia ilio nyooka In Shaa Allah tukaingie peponi sote kwa pamoja na wote watao amini ukweli

  • @ufafanuzi4382
    @ufafanuzi4382 Жыл бұрын

    mandugu wakristo mnaoshabikia ndacha hapa kubalini itikadi ya ndacha ya kwamba yasu si mungu! Na hakuna mungu baba mungu mwana na mungu roho

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 Жыл бұрын

    Masha Allah 🥰

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Жыл бұрын

    Ndacha anajichanganya. Anajaribu kujitoa kwenye ukatoliki lakini hatoki. Hawa watu waliingizwa na Mzungu kwenye mafundisho ya uwongo kwamba Mungu anaitwa jina la kizungu, Jesus. Sasa wanajaribu wawezavyo wapotoshe watu wengi. Kuhusu Mungu anazua mambo ambayo hayapo kabisa. Manano aliyotumwa nayo Mtume, Muhammad, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ndio sahihi, bila shaka. Hakika Hakuna apasae kuabudiwa kwa HAQQI ila Allah na (hakika) Muhammad, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ni Mtume wa Allah. Na Qur'an ni ushahidi wa kutosha na Sunnah. Na Allah ndiye anayejua zaidi.

  • @qerysir4410

    @qerysir4410

    Жыл бұрын

    Warabu wamekufanya mtumwa wa fikra zao

  • @richardmuita4339

    @richardmuita4339

    Жыл бұрын

    Uislamu haujatoka kwa Mungu...waislamu wasipo okoka na kumuamini Yesu kama Korani inavyowaamuru ...Yesu ni mwanzo na mwisho...na waislamu na binadamu wote watasimama mbele yake siku ya kiama... mmkatae Yesu kwamba si mwana wa Mungu na si Mungu lakini Hilo halitawasaidia...mtaangamia jehenamu ya moto msipo badili.. kumuamini mtume Mohammad SAW badala ya Issa/Yesu.. Mashehe na MA Imam wenu ndio wanaopotosha waislamu kwa kukengeuwa ukweli kwenye Koran na biblia.

  • @horemow9832

    @horemow9832

    Жыл бұрын

    Bila Yesu hauwezi ingia Mbinguni ngangania dini tu hakuna mtu yeyote atakaye kufa akiwa Muslim ataingia mbinguni ukitaka kujua hilo kufa kwa hiyo dini ndipo utakapo juwa

  • @emanuelkyomo3772

    @emanuelkyomo3772

    Жыл бұрын

    @@horemow9832 Basi leta aya iliyosema Wakristo wataingia Mbinguni aya moja tu basi

  • @horemow9832

    @horemow9832

    Жыл бұрын

    @@emanuelkyomo3772 John 14:6

  • @momboi2
    @momboi2 Жыл бұрын

    Ndacha Mungu akuzidishie

  • @experiencetours5037

    @experiencetours5037

    Жыл бұрын

    Amzidishe au amuongoze....?

  • @blackchair_chairman1307
    @blackchair_chairman1307 Жыл бұрын

    Ubarikuwe sana mtumishi Ndacha ... Umebarikiwa

  • @melchizarn
    @melchizarn Жыл бұрын

    Nimeipenda mjadala huu sana. Kujifundisha tu kwa upole na maneno ya upendo.

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Жыл бұрын

    Mneno matupu tu ya Ndacha na Paulo!

  • @robertwilson1133
    @robertwilson1133 Жыл бұрын

    Pongezi Sana Pastor Francis Ndacha.

  • @TruthofGodswillministry1997
    @TruthofGodswillministry1997 Жыл бұрын

    Bible it is only Holy book of TRUTH kwa wale wanaamini hivo just like this comment for Love of our Lord Jesus Christ 😊😊😊😅😅😅Torati tunayo😂😂😂😂.... Ramathan ako na shida hahahaha hahahaha hahahaha kwa ndacha hanaokota 00✅✅✅💯💯💯🔥🔥🔥 congratulations 🎉 🎉 🎉 🎉 Ndacha 🔥😂😂😂😂😂Ulimuweza Ramathan 😂😂😂😂😂 hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha

  • @msafiriibrahim5104
    @msafiriibrahim5104 Жыл бұрын

    Ipo siku itafika na Ndacha ataacha kabisa kuhubiri uongo aache kabisa kuweka maandiko viraka na kutafsiri Hadidhi za MTUME MUHAMAD SAW Visivyo. ndacha Nakuombea sana mwenyezi Mungu akuongoze kwenye njia ilioyo nyooka na Upige shahada ya kuwa hakuna apasaye kuabudiwa kwa haki ila MwenyezimMungu mmoja asiye na Mshirika na Muhammad saw ni mtume wake na pia Yesu sio Mungu wala mwana wa Mungu utasilimu tu Inshallah

  • @ameirjuma8425
    @ameirjuma8425 Жыл бұрын

    Nimemuona Mwalimu wa kiislam hakubali qur an iwekewe kitab chengine juu Mashaa Allah mwenyezi mungu akulipe kila lenye kher na ww

  • @sharifnassor4417

    @sharifnassor4417

    Жыл бұрын

    Wakristo hawanyoshi maneno

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Жыл бұрын

    Ndacha tuambie hapo Methali 8:1-....YESU ALIZALIWA JE?

  • @user-ie3jv7lz6g
    @user-ie3jv7lz6g5 ай бұрын

    Masha Allah tabaraka Allah Allah jazakha aAllahu kairani

  • @littlebrother4
    @littlebrother4 Жыл бұрын

    I love this

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 Жыл бұрын

    Asalam alykum uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    Uislam ni giza Totoro

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Nuru Alanuur

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Hahhaaaa 🤣🤣 ndacha eti.....wasikate nusunusu

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Жыл бұрын

    Masha Allah Ustaz

  • @emmyndunge6406

    @emmyndunge6406

    Жыл бұрын

    Ndacha mungu akubariki xna

  • @khalidbitebo9258
    @khalidbitebo9258 Жыл бұрын

    Uwislam kweli ni unyenuekevu yaani kaka unavyomsikiliza ndacha hapo umetulia unamjibu kwa kujiamin hata presha huna mungu akubaliki Sana kaka

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Жыл бұрын

    Inakuaje yesu alikuwepo mwanzo alafu aje azaliwe

  • @mamawamoya3344

    @mamawamoya3344

    Жыл бұрын

    Balaa

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    Ulitaka aje Kwa njia hapa Dunian

  • @chelseafcinafrica4313

    @chelseafcinafrica4313

    Жыл бұрын

    @@zaburi2386 melkesedeke alikujia njia gani hapa duniani?

  • @dicksonkoech9528

    @dicksonkoech9528

    Жыл бұрын

    Inakuwaje mtume Mohammed karogwa n nimtume wa mungu?

  • @davidkomba616

    @davidkomba616

    Жыл бұрын

    Kwa Mungu hakuna jambo linashidikana acha kuuliza swali ilo mbele za Mungu

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Жыл бұрын

    SIJAONA AYA HATA MOJA MUNGU AKISEMA YESU ALITOKA NDANI MWAKE!

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    Na huwezi kuiona milele kozi majini yameziba ufahamu wako

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 Tatizo lilianzia tu pale Mohamad alipomsilimisha shetani, so hamtaelewa kamwe.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 majini si yameumbwa na yesu. Kwa nini yesu asiyatulize kupoteza watu

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    Жыл бұрын

    Ndugu yangu Assalaam alaykum Kumbe upo huku pia Maashaallah.

  • @samsiakassakangeta1780

    @samsiakassakangeta1780

    Жыл бұрын

    Nipo huku pia.

  • @aminaoman2100
    @aminaoman2100 Жыл бұрын

    Ndacha ss tunakuombea tu siku moja utaona nuru yawiislam inshaallah

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Mie nahisi hatoingia uislam

  • @gh7naa
    @gh7naa Жыл бұрын

    Chizi ndacha mungu anazaa aseme aliubwa dunia iliubwa binadam waliumbwa

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Жыл бұрын

    Jesus is God according to Ndacha.. When you come to the Scriptures it's different from what he is saying. God is not a human. Trinitarians don't agree with him at all .. they are his biggest fans when he talks to muslims.

  • @nooor1120
    @nooor1120 Жыл бұрын

    Mr Ndacha bado hajasilimu?Allah akujalie usilimu kwani uislam ndio dini ya haki.

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    Yani aache neema ya Yesu afate majini ya Muhamadi haiwezekani kamwe

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 mbona majini yapo kanisani kila siku munakemea majini huko wala hayeshi yanazidi kuzaliwa huko kanisani. MUHAMMAD majini ya kazi gani, hebu soma usilimu na wewe wacha ushabiki.

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    @@nooor1120 Majin ni maislam Kwa mujibu wa Quran 72:14

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    @@zaburi2386 ikiwa jini muislam ndio kaslimu huyo

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 majini ni ya muhammad au ya yesu aliye yaumba?. Muhammad hajaumba kitu. Aliyeumba ndiyo mwenye vyake

  • @johnomondi1683
    @johnomondi1683 Жыл бұрын

    Ndacha hajielewi uungu ni Godliness

  • @geofreymajiwa9824

    @geofreymajiwa9824

    Жыл бұрын

    Wakristo ndio tunajichanganya kuhusu uungu WA Yesu na utatu Mtakatifu,Yesu kuwa Mwana WA Mungu hakumfanyi kuwa Sawa na Baba Ila anakuwa Sawa na Baba Kwa kurithi kutoka kwa Baba yake .....na ndivyo biblia inasema

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    Жыл бұрын

    @@geofreymajiwa9824 Sasa mwenyewe kafa ata arithi yeye

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын

    Mashallah sheh ramazan mungu akubariki sana

  • @bacteria5184
    @bacteria5184 Жыл бұрын

    Huyu ndacha anajua ukweli tumwombee Allah awe muislamu.

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    Жыл бұрын

    Kuwa muislam ni hasara kubwa

  • @mobutu3884

    @mobutu3884

    Жыл бұрын

    Ukweli ni kwamba wewe na Mohamad wote mnasubiri Yesu siku ya kiama aje kuwahukumu kwa dhambi zenu.

  • @bacteria5184

    @bacteria5184

    Жыл бұрын

    @@mobutu3884 kazi ya kuhukumu ni ya mwenyezi mungu sio ya nabii yeyote.

  • @samuelmwauragichuhi6568

    @samuelmwauragichuhi6568

    Жыл бұрын

    majini walislim wakawa waislam...sijaona mahali majini walislim wakawa wakristo

  • @bacteria5184

    @bacteria5184

    Жыл бұрын

    @@samuelmwauragichuhi6568 mungu aliumba watu na majini,wapo watu wazuri na wabaya na majini hali kadhalika.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Poor him 😢 anatapatapa kwa tamaa za kidunia. Allah amuongoze Ndacha asimame kwenye haki.

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Kabisaa

  • @countercheck887

    @countercheck887

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @countercheck887

    @countercheck887

    Жыл бұрын

    Nyinyi ndo mliopotea. Achaneni na Dini za majini

  • @nakundwamkubwe7823

    @nakundwamkubwe7823

    Жыл бұрын

    @@countercheck887 tutokee hapa . Nenda kamuulize Mchungaji wako ivi ! Wapi Andiko ukristo ni Dini ? Nani kawaambia muwe wakristo? Je kwanini Yesu hakuwai kufanya ibada ktk kanisa? Je wapi andiko wakristo mtaingia paradise? Iweje mnaimani tofauti na wote ni wakristo? Kwanini hamtahiriwi na Yesu alitahiriwa? Kwanini mnakwenda kanisani uchi ? Mchungaji wako akikupa majibu njoo ukoment hapa .

  • @nakundwamkubwe7823

    @nakundwamkubwe7823

    Жыл бұрын

    @@countercheck887 Nenda muulize Mchungaji wako ivi !! Kwanini kiti cha enzi cha shetani kipo kanisani? Kwanini mnakula nguruwe na Mwenyezi Mungu amesema msile nguruwe? Kwanini mnaabudu siku tofauti na wote ni wakristo? Kwanini Biblia zipo tofauti? Kwanini mnakunywa pombe kanisani ( DIVAI)?

  • @TruthofGodswillministry1997
    @TruthofGodswillministry1997 Жыл бұрын

    Pole Francis ndacha kwa vurungu pole my broh

  • @ramamadunda2361
    @ramamadunda2361 Жыл бұрын

    Kwa habari ya Mungu, muwe kitu kimoja maana Mungu ni mmoja tu

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Жыл бұрын

    Kisha utaendelea kudai mdahalo nami? Muonee huyo Ramadhani Kaguo anayekupa maziwa hakupi chakula kigumu! Waebrania 5:12.,13.,14. 12. Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu. 13. Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga. 14. Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya.

  • @emanueliyohanayohanasiit-fo9oq

    @emanueliyohanayohanasiit-fo9oq

    Жыл бұрын

    Anakuuliza maswili ya kejeli t mbona yeye anauliza maswili apayo ayamo kwenye kitabu

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Жыл бұрын

    KURITHI ASILI HAKUMFANYI KIUMBE AWE MUNGU! SOTE TUMERITHI ASILI YA MUNGU! { وَإِن مِّن شَيۡءٍ إِلَّا عِندَنَا خَزَآئِنُهُۥ وَمَا نُنَزِّلُهُۥٓ إِلَّا بِقَدَرٖ مَّعۡلُومٖ } [Surah Al-Ḥijr: 21] Ali Muhsin Al-Barwani: Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na Sisi; wala hatukiteremshi ila kwa kipimo maalumu. JE, HATA MBUZI AITWE MUNGU MWANA MAANA NAYE NI ASILI YA MUNGU? NDACHA👉🎤

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Huyu ndacha anajua anapinda uliki anajua kila kitu kwamba uislamu ndio dini ila amepotosha watu atakwenda motoni pamoja nao na kuwahonga kuwanunua watu na kuwadanganya na vitu va kifahari Laanatullah

  • @izzohizz6858

    @izzohizz6858

    Жыл бұрын

    Ukiata kuelewa biblia uliza waalimu wanao ijua biblia vizuri ukisoma tuu mwenyewe kama gazeti kwa nia ya kutaka kuikosoa hutaielewa

  • @samsiakassakangeta1780

    @samsiakassakangeta1780

    Жыл бұрын

    Hakuna mwalimu wa Biblia awezaye kukuelewesha Biblia! Maandiko kuyaelewa hakuombi Mwalimu,bali kwa hitaji Akili! Waweza kuwa na akili zaidi hata ya huyo Mwalimu naye akajikuta anasoma kwako! Achana na dhana hiyo potovu kuwa kila kitu ushikiliwe ufamu na walimu!

  • @samsiakassakangeta1780

    @samsiakassakangeta1780

    Жыл бұрын

    HIVI HAUJUI KUWA HAO WALIMU WENGI WAO NDIO WAPOTOSHAJI WA KONDOO? FIKIRIA AYA HIZI ZA BIBLIA: Mathayo 15:15.,16.,17. 15. Basi Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo. 16. Yesu akasema, Hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili? 17. Hamjafahamu bado ya kuwa kila kiingiacho kinywani hupita tumboni, kikatupwa chooni? TAZAMA PIA: Yeremia 50:6.,7. 6. Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea, wachungaji wao wamewapoteza; wamewapotosha milimani; wamekwenda toka mlima hata kilima, wamesahau mahali pao pa kupumzika. 7. Watu wote waliowaona wamewala; na adui zao walisema, Sisi hatuna hatia, kwa kuwa hao wametenda dhambi juu ya BWANA, aliye kao la haki, yaani, BWANA, tumaini la baba zao. Umeona!

  • @izzohizz6858

    @izzohizz6858

    Жыл бұрын

    @@samsiakassakangeta1780 Kama kuwa na akili ndio kujua na kufahamu mambo basi waislamu wenye akili wangetambua na kuacha ibaba ya sanamu ya kuabudu sanamu, imagine dunia nzima imedanganywa heti kuna Mungu anaitwa Allah na kumbe ni ibada ya sanamu tuu na wenyewe hawajui maskini

  • @reubenmwagisa4380
    @reubenmwagisa43804 ай бұрын

    Ndacha wewe ni mwalimu, na unafanya kazi nzuri sana.

  • @salimalriyami7654
    @salimalriyami7654 Жыл бұрын

    Insha Allah, ipo siku ndacha atasilim mpe kibano aelewe ,, anakuja kidogokidogo Insha Allah.

  • @SOLARTALKTV
    @SOLARTALKTV Жыл бұрын

    From the look of things, Bro Ramadhan is asking very pretty questions. His statements beats clearly beats the logic.. 🤣 LAW vs FAITH

  • @countercheck887
    @countercheck887 Жыл бұрын

    Mwalimu Ndacha ndie Dawa yenu waislam. Hakuna alifika kiwango cha debate zake. Hongera Mwalimu Ndacha

  • @ibrahimsuleyman9465

    @ibrahimsuleyman9465

    Жыл бұрын

    Hana elimu sana ila ana hoja za kubabatiza

  • @salimalmahrizi395
    @salimalmahrizi395 Жыл бұрын

    NENO kwa kiarabu ni kalima.ALLAH anapotaka kufanya kitu husema (Neno) KUWA na LIKAWA .sio material.

  • @jekoniafesto523
    @jekoniafesto523 Жыл бұрын

    Japo mimi ni mtu wa utatu leo nimekuelewa Ndacha ubarikiwe sana.

  • @abdallahonesimebamporubusa1540
    @abdallahonesimebamporubusa1540 Жыл бұрын

    Nabashkur sana niko Bujumbura

  • @TruthofGodswillministry1997
    @TruthofGodswillministry1997 Жыл бұрын

    Quran sio kitambu Cha mwenyenzi Mungu...Ramathan emotions 😅😅😅twaziona husoni mwako kubali hufuzwe na Francis ndacha 😂😂😂😂haumuwenzi Ndanca ... Francis ndacha He is very wise

  • @virusimbayajunior
    @virusimbayajunior Жыл бұрын

    I love this guy,, wisdom tupuuu

  • @mtailwahamisi
    @mtailwahamisi Жыл бұрын

    MWALIM ndacha ALLAH amuongoze huo NDIO ukweli yesu anamwanzo ila MUNGU hana mwanzo .na ndcha akisilim wasabato kwisha.maana ndiye wanaemyegemea KWA SASA.hata hayo mafundiaho YAKE watamtenga tuu napia watamuita msaliti nahata KWENYE mikutano watakua hawamuiti tena apo alipo tayari wanamkalia vikao ntaniambia mm nipo Tanzania ila namfatilia sana.mafundisho YAKE NI tofauti kambisa nakile wakiristo wamefundisha miaka na miaka.itikadi yake NI ya mashahidi ya yehova

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Mie nahisi hato ingia uislam

  • @maymunamakungu6265

    @maymunamakungu6265

    Жыл бұрын

    Hatosilimu kwa vile analinda maslahi ya kidunia