NIMEWACHA KUWEKA MAANDIKO VIRAKA - NASAHA YA UPOLE KWA MWINJILISTI NDACHA
Mwinjilisti Francis Ndacha anayewasumbua Waislamu kwenye viwanja vya dawah ameanza kurekebika. Hii ilikuwa ni nasaha kwake. Kwa maoni au mapendekezo tafadhali piga simu zifuatazo: +254722600533 au +254777600777
Пікірлер: 919
Ewe Mwenyezi Mungu uliyetukuka kwa jina lako, rehema zako na nguvu zako nakuomba umuongoze Ndacha. Aameen
@threebrothers..
Жыл бұрын
Wewe ndie inafaa kujiombea
Sante Ndachaaa leo Papa Francic kawa mpinga Kristo 😮😮Hahahha haleluyaaaaa 😅😅. Alhamudilah umethibitisha ilo.
Ndacha nimjajanja tu ila she unabusara iliyo pitiliza mashaalah shekhe mungu akuzidishie
Hoja za mwislamu ni zilezile tangia miaka nenda rudi,Ndacha Mungu akubariki sana unawafunza waislamu japo mioyo yao ni mawe
@abubakarmohamed9567
Жыл бұрын
Umesema kweli hoja zetu ni zilezle miaka nenda miaka rudi kwa sababu quran yetu haibadiliki kama bibilia zenu
Allah akulipe kheri sheihk Ramadhan unatufunza mambo mengi tulivokua hatuyajui juu ya ndugu zetu wa ki binaadamu. Allah akuzidishie afya njema na akuwezeshe zaidi kuzitangaza haki na akakukutanishe na kipenzi chetu mtume Muhammad (s. a. w)
YA RABB NAKUOMBA UMUHIFADHI SHEIKH RAMADHAN...AKULINDE NA AKUHIFADHI ...KWA HAKIKA TUNAELIMIKAA KUPITIA KIPINDI CHAKO..SHUKRAN SANAA NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH SHEIKH RAMADHAN ..
Ndacha mwenyezi Mungu mtukufu akuzidishie zaidi mapenzi yake yatimizwe.
Wallah Thumma Wallah,,waislam,tumshukuruni ALLAH,, TABAARAQ WATA'AALA,,Kwani hii NE'EMA ALLAH ametupatia ya UISLAM,,,Hakika,,hata uwe TAJIRI,kiasi Gani au Uwe MASKINI,Kias Gani ila NE'EMA YA UISLAM NIKUBWA KUSHINDA,,Chochote utakacho kuwa NACHO,, WALLAH ALHAMDULILLAH,,,
Allah akulipe kher shekh wetu nipo mbagala tz nakufatilia ikhwan
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Aamin thumma Aamin
@hajinkulunge8493
Жыл бұрын
Mbagala yetu hiyo
Huyu Ndacha Mwenyezi Mungu ampe hidaya. Tusiwakejeli tafadhalini mtu kama Ndacha ni Ujahliya tu wako nazo
Wow I like the interpretation of Ndacha .evidence from Bible en evidence from Quran .then I like Conversation.may God have mercy on our Muslim brothers in Jesus mighty name.Ramathan be facing such professional the same way you r professional
@abubakarmohamed9567
Жыл бұрын
May Allah have mercy on you to.
Alhamdulillah mwenyeezi mungu akuzidishie elimu na hikma katika mijadala yote na wa Pasteur
Assalamualaikum walahumatulahi wabarakatu..Allah swt doesn't share his name with his creatures, he remains the most powerful, most merciful, most forgiving.
Shida wa wakristo wanamueleza yesu kuliko yeye mwenyewe
Alhamdulillah alhamdulillah alhamdulillah nashkr sana kw neema ya waislam n nachukia kua mtu asiyejua Mungu wa kweli
Uyo ndacha ukweli anaujua ila maslahi tu ya maisha ndo yanamfanya asiuweke ukweli bayana ila Allah ajaalie imani katika kifua chake nasisi atuzidishie imani katika vifua vyetu
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Aamin yarab
@mamawamoya3344
Жыл бұрын
Amiin
@bakariomari3692
Жыл бұрын
Ramadhan hongera sana, naomba umulize swali hili ndacha,,mwanadamu aliumbwa kwa udongo, shetani aliumbwa kwa moto na malaika kwa Nuru, je yesu aliumbwa material gani? Kwa sababu hio point yake ya kuwa yesu aliumbwa kama vile alivyoumbwa HAWAA ndio hainiingii kwa akili.
@nooor1120
Жыл бұрын
Aamiin yaarabb
@jacksonkilonzo1439
Жыл бұрын
MUNGU NDIO AWAONEKANIE NYINYI MTOKE GIZANI MJUE KUNA MUNGU MMOJA KUNA ROHO MTAKATIFU NA KUNA MWANAWE AMBAYE NI YESU KRISTO BILA HIVYO MTAPOTEA NA MAFUNDISHO YENU MNAYOKATAA YESU NI MWANA WA MUNGU
Ndacha umebadilika . Hapo mwanzo hukuwa wa kutaka kuelewa ilikuwa ubishi tu. But sasa kweli unataka kuelewa na kujifunza. Mashehe wamekutoa kwa utatu wakakuleta kwa mungu mmoja pekeee. Neno la mungu akitaka lolote ni kuwa nalo linakuwa. Yesu ni neno la mungu kama vile kwa genesis mungu alisema iwe nuru ikawa nuru. Nyoka ya musa iliitokana na fimbo ni kwa neno la mungu. Kondoo alioshushiwa ibrahim kuichinga ni neno la mungu. Mungu anasema kuwa lina kuwa. Maria pata mimba akapata!
@hamisajumanne
6 ай бұрын
Swadakta❤
Maa shaa Allah sheikh MWANYEZI MMUNGU aquzidishia
Katika some hili Ndacha amemuvulia sana huyo muislame sijuwe ni kwa sababu walimpiga mawe amejilinda sana ndiomaana akasema wafanye mujadala kuhusu maada hiyo ya Uungu wa Yesu. Mungu akubaliki sana pastor Ndacha.
Allah akujalie afya na uzima akuzidishie Elimu uendelee kulingania Atakulipa mema kwa kazi yako ya dawa ushamfikisha mbali ndacha kuna ciku atairoa shahada t inshallah
Masha Allah TabarakAllah, Shukran ustadh Ramadhan kuria
@zaburi2386
Жыл бұрын
Hana Elim
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sheikh ikiwa kunayo Mtu atamuongoza Ndacha Inshallah inshallah itakuwa Ni wewe Kwa Sababu Wewe hum sikiliza na NaFikiri ndio na yeye hukuheshimu inshallah Inshallah Ndacha ata silimu Chini Ya mkono Wako Inshallah inshallah Mungu amjaaliye
@richardchuwa4402
Жыл бұрын
Hamuzi ndacha wewe
Mashallah ramadhani ,KAZI nzuri Ila kwa ndacha unajikasa kwa mafundisho Ila ,tenga sifa za mungu ndio ueleze aliye muwezesha yesu kuwa na miujiza hizo sote ,na baada ya hapo yesu alituaiti kuwa kama yeye ikiwa tuna Imani kama yeye.
Astaghfirullah Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab.Alhamdulilah Rabbil Aalamiin kwa neema ya Uislam. Mwenye Enzi Mungu amhidi huyu ndacha
Naomba NDUGU Zetu waislamu sote tu muombee Ndacha sio Kwa kumkejeli kumtusi Inshallah inshallah
@mamawamoya3344
Жыл бұрын
Yaa Allah ,muongoze mja wako huyu katika njia ilio nyooka.
@nooor1120
Жыл бұрын
Yaa Allah mlainishe moyo wake bwana Ndacha aingie ktk dini yako ya haki uislam.
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Huyu ndacha ni mbaya huyu, Allah ndo anajua
@zaburi2386
Жыл бұрын
@@habibasalim3092 ubaya wake ni upi
@zaburi2386
Жыл бұрын
@@mamawamoya3344 Allah mwenyewe kiama ana kesi ya kujibu
Jazaka Allah kwenu nyote wa wili In sha Allah tutazidi kuwafuatilia!
@boscomhenusi7844
Жыл бұрын
Ndacha upo vizuri sana,endelea kutufundisha
@boscomhenusi7844
Жыл бұрын
V
Mashallah Shekh wtu Allah akulipe ujira wa pekee pia Allah amjalie ndugu ytu awe Miongon mwetu cc Waislm Allah humma Ameen
😂😂😂 😂 Mungu ni moja yeye tu pekee yake. Yesu aliamrisha tumwabudu Mungu.❤❤❤ Ndacha Karibu kwa Islamu. Mungu amekuonyesha ukweli katika vitabu hata Sheikh Ramadhan inshallah anakutakia la heri, labda ukatae 😂😂😂😂😂 😮
Masha Allah MashaAllah Good job Ramahda
Masha Allah sheikh ramadhan debate nzuri
Thanks Ustadh, walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh.
Njia ya kwenda mbinguni ni Yesu kristo hakuna dini ya haki ya kumpeleka mtu mbinguni Ndacha ubarikiwe sana unafanya kazi nzuri
@mudighurayra
Жыл бұрын
Unajua kama hujasoma shida inakua ndio hii nyie si munasema yesu alitabiriwa na manabii sasa kitu kinacho tabiriwa kinakua hakija tokea ila kitatokea sasa kama yesu wakat uwo ambao hajatokea jee hao manabii walikua wakifata njia gani
@rehemaabinelynyagawa2878
Жыл бұрын
@@mudighurayra ni Yesu siyo yesu jifunze kuandika kwanza maana naona huelewi kila kitu
Mungu aumba pepo na moto ndacha kajichagulia moto kwa hiyari yake
@mudighurayra
Жыл бұрын
Usimuingize motoni kabla hajafa maana pengine yeye anaweza akasilimu ikawa kuna ukaribu zaidi wa kuingia peponi kuliko me na wewe tulie zaliwa kwenye uislamu, maana yeye akisilimu leo anakua msafi kabisa na anasilim anakufa apo apo unafkir nini kinatokea
@mudighurayra
Жыл бұрын
Hukumu tumuachie mwenyewe Allah
Allah akupe kila lakheri shelh
Waruuhun minhu kwa ayaah haimanishi ni rooho ya mungu, bali inamanisha ni roho kutoka kwake. Roho ya mungu ingesema waruuhuhuuu! منه minhu ina manisha kutoka kwake bana
Pastor ndacha uko on fire... Sheikh ameshakubali YESU NI ROHO WA MUNGU..CASE CLOSED
@RamadanPaul
8 ай бұрын
Ndacha yupo kimasilahi ndugu, anaijua haki, hawez toka atapoteza vingi....
AL IMRAN 58-61. "Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.Hakika mfano wa Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka. Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo."
@jaffjeff6912
Жыл бұрын
Umeuawa
hakika wa tumishi wa mungu mnajitahidi sana kufundisha mungu awabariki sana
@abdullrahmanwazir4603
Жыл бұрын
😂⁶1
Yesu ni neno la mungu,kuna tofauti ya neno na roho.
@emanuelkyomo3772
Жыл бұрын
Tupe tofauti kimaandiko
Yesu kristo ni nguvu yamungu. Roho mtakatifu ni nguvu yamungu lilitumwa neno .neno hilo lilitoka mdomoni mwa MUNGU. HUNIITOI HAPO
Ndacha karibu tena Ku pikwa,....
Allah amuongoze maana bado haeleweki au pengine alilipwa mara anakubali kisha anapinga tena kwetu dua zetu inshAllah aone haki
@mamawamoya3344
Жыл бұрын
Amiin
@mwanakombokalamu7009
Жыл бұрын
@@jkewl999 Thuma Ameen
@mwanakombokalamu7009
Жыл бұрын
@@mamawamoya3344 Thuma Ameen
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Ndacha anacheza mchezo wa kulipwa,
@mwanakombokalamu7009
Жыл бұрын
@@habibasalim3092 inshAllah Allah ampatie hidaya awe muislam 🤲🤲🤲
Francis ndacha He s very Wise man ONLY Because He has WISDOM OF JESUS CHRIST
Wakristo ni watu wa ajabu sana yaan hata ukaaji wa Ndacha ni wa hasara hasara hauna utulivu kama yupo kwa mkewe wakati anaangaliwa na dunia nzima.Tofauti na mwenzie Ramadhan amekaa kwa adabu kabisa.Itoshe tu kusema Alhamdulillah kwa neema ya uislam.
@ZulfaHamza
3 ай бұрын
Hhh jmn nmecheka sana hii coment yako
Mashaallah mashaallah ndacha mdg mdg ataingia ktk din ya haki inshaallah
@zaburi2386
Жыл бұрын
Uislam ni din ya hak ya shetan
@saudahassan6667
Жыл бұрын
@@zaburi2386 pole sana tumia akili yangu sasa ww fikiria mungu akuumbe halaf atahiriwe ivi yanaingia akilini yesu sio mungu mpka dunia inaisha
@emanuelkyomo3772
Жыл бұрын
@@zaburi2386 na Ukristo ni dini ya nani?
MashAllah MashAllah Ndacha anakuja Pole Pole Sana Inshallah inshallah Mungu ata muonyesha haki NA uongofu inshallah Inshallah
@madetetv6576
Жыл бұрын
Aje kwenye majini ama?
@nooor1120
Жыл бұрын
Ameen aameen
@nooor1120
Жыл бұрын
@@madetetv6576 majini gani wewe bhana wacha propaganda zako.
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@nooor1120 kwahiyo unakataa majini sio waislamu?
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@jkewl999 hahahaha majini Ni waislamu
MashaAllah MashaAllah Allah akuzidishie ustadh Ramadhan
Napenda namna mnajadiri kwakuelewana Mungu awabariki nyote
This guy is intelligent,,,and his intelligence is really confusing him . I will pray for him inshaAllah. . .
@richardmuita4339
Жыл бұрын
Exactly he is confused
Subhanallah... May Almighty Allah guide us to straight path
Ndacha anakuja pole pole katika dini ya haki
Sheikh Omar upo smart sana kichwani... hujakubali kabisa janjajanja zakuweka viraka maandiko
Uyu dacha ni mshidani kweli
@jacksonkilonzo1439
Жыл бұрын
MUNGU NDIO AWAONEKANIE NYINYI MTOKE GIZANI MJUE KUNA MUNGU MMOJA KUNA ROHO MTAKATIFU NA KUNA MWANAWE AMBAYE NI YESU KRISTO BILA HIVYO MTAPOTEA NA MAFUNDISHO YENU MNAYOKATAA YESU NI MWANA WA MUNGU
@jacksonngusi4122
Жыл бұрын
Abdala ata mie nimefuatilia vizuri uko nami
Maashallah shekh mfundishe huyu
Mwenye kurithiwa nimwenye sifa ya kufa. Je,Mungu anaitaji mrithi tupeni maandiko.
Huyu ndacha anafaa kuambiwa kabla mungu atamke hilo neno yesu hakuwepo
Mashallah ustadhi
وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِنْ دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. AL AN'AM 108
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Shukran
@mudighurayra
Жыл бұрын
Yes na ndio wana mtukana sana ila Mungu atawaonesha njia ilio nyooka In Shaa Allah tukaingie peponi sote kwa pamoja na wote watao amini ukweli
mandugu wakristo mnaoshabikia ndacha hapa kubalini itikadi ya ndacha ya kwamba yasu si mungu! Na hakuna mungu baba mungu mwana na mungu roho
Masha Allah 🥰
Ndacha anajichanganya. Anajaribu kujitoa kwenye ukatoliki lakini hatoki. Hawa watu waliingizwa na Mzungu kwenye mafundisho ya uwongo kwamba Mungu anaitwa jina la kizungu, Jesus. Sasa wanajaribu wawezavyo wapotoshe watu wengi. Kuhusu Mungu anazua mambo ambayo hayapo kabisa. Manano aliyotumwa nayo Mtume, Muhammad, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ndio sahihi, bila shaka. Hakika Hakuna apasae kuabudiwa kwa HAQQI ila Allah na (hakika) Muhammad, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ni Mtume wa Allah. Na Qur'an ni ushahidi wa kutosha na Sunnah. Na Allah ndiye anayejua zaidi.
@qerysir4410
Жыл бұрын
Warabu wamekufanya mtumwa wa fikra zao
@richardmuita4339
Жыл бұрын
Uislamu haujatoka kwa Mungu...waislamu wasipo okoka na kumuamini Yesu kama Korani inavyowaamuru ...Yesu ni mwanzo na mwisho...na waislamu na binadamu wote watasimama mbele yake siku ya kiama... mmkatae Yesu kwamba si mwana wa Mungu na si Mungu lakini Hilo halitawasaidia...mtaangamia jehenamu ya moto msipo badili.. kumuamini mtume Mohammad SAW badala ya Issa/Yesu.. Mashehe na MA Imam wenu ndio wanaopotosha waislamu kwa kukengeuwa ukweli kwenye Koran na biblia.
@horemow9832
Жыл бұрын
Bila Yesu hauwezi ingia Mbinguni ngangania dini tu hakuna mtu yeyote atakaye kufa akiwa Muslim ataingia mbinguni ukitaka kujua hilo kufa kwa hiyo dini ndipo utakapo juwa
@emanuelkyomo3772
Жыл бұрын
@@horemow9832 Basi leta aya iliyosema Wakristo wataingia Mbinguni aya moja tu basi
@horemow9832
Жыл бұрын
@@emanuelkyomo3772 John 14:6
Ndacha Mungu akuzidishie
@experiencetours5037
Жыл бұрын
Amzidishe au amuongoze....?
Ubarikuwe sana mtumishi Ndacha ... Umebarikiwa
Nimeipenda mjadala huu sana. Kujifundisha tu kwa upole na maneno ya upendo.
Mneno matupu tu ya Ndacha na Paulo!
Pongezi Sana Pastor Francis Ndacha.
Bible it is only Holy book of TRUTH kwa wale wanaamini hivo just like this comment for Love of our Lord Jesus Christ 😊😊😊😅😅😅Torati tunayo😂😂😂😂.... Ramathan ako na shida hahahaha hahahaha hahahaha kwa ndacha hanaokota 00✅✅✅💯💯💯🔥🔥🔥 congratulations 🎉 🎉 🎉 🎉 Ndacha 🔥😂😂😂😂😂Ulimuweza Ramathan 😂😂😂😂😂 hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha
Ipo siku itafika na Ndacha ataacha kabisa kuhubiri uongo aache kabisa kuweka maandiko viraka na kutafsiri Hadidhi za MTUME MUHAMAD SAW Visivyo. ndacha Nakuombea sana mwenyezi Mungu akuongoze kwenye njia ilioyo nyooka na Upige shahada ya kuwa hakuna apasaye kuabudiwa kwa haki ila MwenyezimMungu mmoja asiye na Mshirika na Muhammad saw ni mtume wake na pia Yesu sio Mungu wala mwana wa Mungu utasilimu tu Inshallah
Nimemuona Mwalimu wa kiislam hakubali qur an iwekewe kitab chengine juu Mashaa Allah mwenyezi mungu akulipe kila lenye kher na ww
@sharifnassor4417
Жыл бұрын
Wakristo hawanyoshi maneno
Ndacha tuambie hapo Methali 8:1-....YESU ALIZALIWA JE?
Masha Allah tabaraka Allah Allah jazakha aAllahu kairani
I love this
Asalam alykum uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@zaburi2386
Жыл бұрын
Uislam ni giza Totoro
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Nuru Alanuur
Hahhaaaa 🤣🤣 ndacha eti.....wasikate nusunusu
Masha Allah Ustaz
@emmyndunge6406
Жыл бұрын
Ndacha mungu akubariki xna
Uwislam kweli ni unyenuekevu yaani kaka unavyomsikiliza ndacha hapo umetulia unamjibu kwa kujiamin hata presha huna mungu akubaliki Sana kaka
Inakuaje yesu alikuwepo mwanzo alafu aje azaliwe
@mamawamoya3344
Жыл бұрын
Balaa
@zaburi2386
Жыл бұрын
Ulitaka aje Kwa njia hapa Dunian
@chelseafcinafrica4313
Жыл бұрын
@@zaburi2386 melkesedeke alikujia njia gani hapa duniani?
@dicksonkoech9528
Жыл бұрын
Inakuwaje mtume Mohammed karogwa n nimtume wa mungu?
@davidkomba616
Жыл бұрын
Kwa Mungu hakuna jambo linashidikana acha kuuliza swali ilo mbele za Mungu
SIJAONA AYA HATA MOJA MUNGU AKISEMA YESU ALITOKA NDANI MWAKE!
@madetetv6576
Жыл бұрын
Na huwezi kuiona milele kozi majini yameziba ufahamu wako
@mobutu3884
Жыл бұрын
@@madetetv6576 Tatizo lilianzia tu pale Mohamad alipomsilimisha shetani, so hamtaelewa kamwe.
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@madetetv6576 majini si yameumbwa na yesu. Kwa nini yesu asiyatulize kupoteza watu
@sama-_8368
Жыл бұрын
Ndugu yangu Assalaam alaykum Kumbe upo huku pia Maashaallah.
@samsiakassakangeta1780
Жыл бұрын
Nipo huku pia.
Ndacha ss tunakuombea tu siku moja utaona nuru yawiislam inshaallah
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Mie nahisi hatoingia uislam
Chizi ndacha mungu anazaa aseme aliubwa dunia iliubwa binadam waliumbwa
Jesus is God according to Ndacha.. When you come to the Scriptures it's different from what he is saying. God is not a human. Trinitarians don't agree with him at all .. they are his biggest fans when he talks to muslims.
Mr Ndacha bado hajasilimu?Allah akujalie usilimu kwani uislam ndio dini ya haki.
@madetetv6576
Жыл бұрын
Yani aache neema ya Yesu afate majini ya Muhamadi haiwezekani kamwe
@nooor1120
Жыл бұрын
@@madetetv6576 mbona majini yapo kanisani kila siku munakemea majini huko wala hayeshi yanazidi kuzaliwa huko kanisani. MUHAMMAD majini ya kazi gani, hebu soma usilimu na wewe wacha ushabiki.
@zaburi2386
Жыл бұрын
@@nooor1120 Majin ni maislam Kwa mujibu wa Quran 72:14
@nooor1120
Жыл бұрын
@@zaburi2386 ikiwa jini muislam ndio kaslimu huyo
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@madetetv6576 majini ni ya muhammad au ya yesu aliye yaumba?. Muhammad hajaumba kitu. Aliyeumba ndiyo mwenye vyake
Ndacha hajielewi uungu ni Godliness
@geofreymajiwa9824
Жыл бұрын
Wakristo ndio tunajichanganya kuhusu uungu WA Yesu na utatu Mtakatifu,Yesu kuwa Mwana WA Mungu hakumfanyi kuwa Sawa na Baba Ila anakuwa Sawa na Baba Kwa kurithi kutoka kwa Baba yake .....na ndivyo biblia inasema
@mudighurayra
Жыл бұрын
@@geofreymajiwa9824 Sasa mwenyewe kafa ata arithi yeye
Mashallah sheh ramazan mungu akubariki sana
Huyu ndacha anajua ukweli tumwombee Allah awe muislamu.
@zaburi2386
Жыл бұрын
Kuwa muislam ni hasara kubwa
@mobutu3884
Жыл бұрын
Ukweli ni kwamba wewe na Mohamad wote mnasubiri Yesu siku ya kiama aje kuwahukumu kwa dhambi zenu.
@bacteria5184
Жыл бұрын
@@mobutu3884 kazi ya kuhukumu ni ya mwenyezi mungu sio ya nabii yeyote.
@samuelmwauragichuhi6568
Жыл бұрын
majini walislim wakawa waislam...sijaona mahali majini walislim wakawa wakristo
@bacteria5184
Жыл бұрын
@@samuelmwauragichuhi6568 mungu aliumba watu na majini,wapo watu wazuri na wabaya na majini hali kadhalika.
Poor him 😢 anatapatapa kwa tamaa za kidunia. Allah amuongoze Ndacha asimame kwenye haki.
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Kabisaa
@countercheck887
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@countercheck887
Жыл бұрын
Nyinyi ndo mliopotea. Achaneni na Dini za majini
@nakundwamkubwe7823
Жыл бұрын
@@countercheck887 tutokee hapa . Nenda kamuulize Mchungaji wako ivi ! Wapi Andiko ukristo ni Dini ? Nani kawaambia muwe wakristo? Je kwanini Yesu hakuwai kufanya ibada ktk kanisa? Je wapi andiko wakristo mtaingia paradise? Iweje mnaimani tofauti na wote ni wakristo? Kwanini hamtahiriwi na Yesu alitahiriwa? Kwanini mnakwenda kanisani uchi ? Mchungaji wako akikupa majibu njoo ukoment hapa .
@nakundwamkubwe7823
Жыл бұрын
@@countercheck887 Nenda muulize Mchungaji wako ivi !! Kwanini kiti cha enzi cha shetani kipo kanisani? Kwanini mnakula nguruwe na Mwenyezi Mungu amesema msile nguruwe? Kwanini mnaabudu siku tofauti na wote ni wakristo? Kwanini Biblia zipo tofauti? Kwanini mnakunywa pombe kanisani ( DIVAI)?
Pole Francis ndacha kwa vurungu pole my broh
Kwa habari ya Mungu, muwe kitu kimoja maana Mungu ni mmoja tu
Kisha utaendelea kudai mdahalo nami? Muonee huyo Ramadhani Kaguo anayekupa maziwa hakupi chakula kigumu! Waebrania 5:12.,13.,14. 12. Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu. 13. Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga. 14. Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya.
@emanueliyohanayohanasiit-fo9oq
Жыл бұрын
Anakuuliza maswili ya kejeli t mbona yeye anauliza maswili apayo ayamo kwenye kitabu
KURITHI ASILI HAKUMFANYI KIUMBE AWE MUNGU! SOTE TUMERITHI ASILI YA MUNGU! { وَإِن مِّن شَيۡءٍ إِلَّا عِندَنَا خَزَآئِنُهُۥ وَمَا نُنَزِّلُهُۥٓ إِلَّا بِقَدَرٖ مَّعۡلُومٖ } [Surah Al-Ḥijr: 21] Ali Muhsin Al-Barwani: Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na Sisi; wala hatukiteremshi ila kwa kipimo maalumu. JE, HATA MBUZI AITWE MUNGU MWANA MAANA NAYE NI ASILI YA MUNGU? NDACHA👉🎤
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Huyu ndacha anajua anapinda uliki anajua kila kitu kwamba uislamu ndio dini ila amepotosha watu atakwenda motoni pamoja nao na kuwahonga kuwanunua watu na kuwadanganya na vitu va kifahari Laanatullah
@izzohizz6858
Жыл бұрын
Ukiata kuelewa biblia uliza waalimu wanao ijua biblia vizuri ukisoma tuu mwenyewe kama gazeti kwa nia ya kutaka kuikosoa hutaielewa
@samsiakassakangeta1780
Жыл бұрын
Hakuna mwalimu wa Biblia awezaye kukuelewesha Biblia! Maandiko kuyaelewa hakuombi Mwalimu,bali kwa hitaji Akili! Waweza kuwa na akili zaidi hata ya huyo Mwalimu naye akajikuta anasoma kwako! Achana na dhana hiyo potovu kuwa kila kitu ushikiliwe ufamu na walimu!
@samsiakassakangeta1780
Жыл бұрын
HIVI HAUJUI KUWA HAO WALIMU WENGI WAO NDIO WAPOTOSHAJI WA KONDOO? FIKIRIA AYA HIZI ZA BIBLIA: Mathayo 15:15.,16.,17. 15. Basi Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo. 16. Yesu akasema, Hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili? 17. Hamjafahamu bado ya kuwa kila kiingiacho kinywani hupita tumboni, kikatupwa chooni? TAZAMA PIA: Yeremia 50:6.,7. 6. Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea, wachungaji wao wamewapoteza; wamewapotosha milimani; wamekwenda toka mlima hata kilima, wamesahau mahali pao pa kupumzika. 7. Watu wote waliowaona wamewala; na adui zao walisema, Sisi hatuna hatia, kwa kuwa hao wametenda dhambi juu ya BWANA, aliye kao la haki, yaani, BWANA, tumaini la baba zao. Umeona!
@izzohizz6858
Жыл бұрын
@@samsiakassakangeta1780 Kama kuwa na akili ndio kujua na kufahamu mambo basi waislamu wenye akili wangetambua na kuacha ibaba ya sanamu ya kuabudu sanamu, imagine dunia nzima imedanganywa heti kuna Mungu anaitwa Allah na kumbe ni ibada ya sanamu tuu na wenyewe hawajui maskini
Ndacha wewe ni mwalimu, na unafanya kazi nzuri sana.
Insha Allah, ipo siku ndacha atasilim mpe kibano aelewe ,, anakuja kidogokidogo Insha Allah.
From the look of things, Bro Ramadhan is asking very pretty questions. His statements beats clearly beats the logic.. 🤣 LAW vs FAITH
Mwalimu Ndacha ndie Dawa yenu waislam. Hakuna alifika kiwango cha debate zake. Hongera Mwalimu Ndacha
@ibrahimsuleyman9465
Жыл бұрын
Hana elimu sana ila ana hoja za kubabatiza
NENO kwa kiarabu ni kalima.ALLAH anapotaka kufanya kitu husema (Neno) KUWA na LIKAWA .sio material.
Japo mimi ni mtu wa utatu leo nimekuelewa Ndacha ubarikiwe sana.
Nabashkur sana niko Bujumbura
Quran sio kitambu Cha mwenyenzi Mungu...Ramathan emotions 😅😅😅twaziona husoni mwako kubali hufuzwe na Francis ndacha 😂😂😂😂haumuwenzi Ndanca ... Francis ndacha He is very wise
I love this guy,, wisdom tupuuu
MWALIM ndacha ALLAH amuongoze huo NDIO ukweli yesu anamwanzo ila MUNGU hana mwanzo .na ndcha akisilim wasabato kwisha.maana ndiye wanaemyegemea KWA SASA.hata hayo mafundiaho YAKE watamtenga tuu napia watamuita msaliti nahata KWENYE mikutano watakua hawamuiti tena apo alipo tayari wanamkalia vikao ntaniambia mm nipo Tanzania ila namfatilia sana.mafundisho YAKE NI tofauti kambisa nakile wakiristo wamefundisha miaka na miaka.itikadi yake NI ya mashahidi ya yehova
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Mie nahisi hato ingia uislam
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
Hatosilimu kwa vile analinda maslahi ya kidunia